RUFIJI HALI NI TETE, WANANCHI WAOMBA MSAADA, CHADEMA WAFIKA ENEO LA TUKIO, NYUMBA ZAFUNIKWA NA MAJI
HTML-код
- Опубликовано: 9 апр 2024
- #TANZANIA: Rufiji hali ni tete, Wananchi waomba msaada, Chadema wafika eneo la tukio na kutema cheche, nyumba, hospitali, mashamba yafunikwa na maji, sababu zatajwa.
Poleni Sana wanarufiji ndugu zetu watanzania, Mungu akawe faraja yenu, eee Mungu wasaidie ndugu zetu
Poleni saana ndugu zetu
Poleni sana wakazi wa Rufiji
Poleni sana WATANZANIA wa Fufiji tunaimani naserikali yenu yenye sifa ya usikivu itaonyesha UMAHIRI WAKE wa utukufu wa kuwalinda wananchi bila kuchelewa Mungu awape ujasiri muwezekumudu mtihani unaosababishwa na miundo mbinu ya walioaminiwa na TANZANIA 🇹🇿
Kwenda huko
Wewe ni kiongozi WA Imani tumia nafasi yako vizuri
Poleni sana ndugu zetu Watanzania,sikujua hali ni mbaya vile navyoona.Watu wa muto rufiji wanahitaji usaidizi kuokoa maisha ya watu.CCM wako wapi?Nimesikitika sana nikiwa hapa Nairobi.
Poleni sana ndugu zetu mungu aweke mkono wake
Jamaa ameongea point sana
Poleni Sana wataniwangu wandengeleko mjekuishi Lindi kamaitawapendeza
Poleni sana ndugu zetu ,tutachangia na pia nahisi serikali itatia mkono wake na kuwaokoa na hali hiyo.
Poleni wapendwa wetu mungu awatie nguvu sana na kuwasaidia na maafa hayo
Tunamshukuru mama yetu kwa kutuletea mafuriko
Kkkkkkkkkkkk
Nashukuru chadeema mmenifunzaa jambo mimi
John Pambalu ameongea point kanakwamba asiyezingatia lazima atakuwa na utaahire wakijinsia kupuuzia ufafanuzi bayana wa dhiki waliyo zushiwa na wataalamu walioaminiwa na Taifa hakika ni JANGAKUBWA LA KITAIFA LINATAKIWA KUTANGAZWA KIMATAIFA NA SIKU ZA USONI WATADHARILIKA WA WALIOZUWA MAHANGAMIZI HAYO YA WANANCHI WAO 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Hii ndiyo tatizo la serikali kwa maana ya mamlaka kubaka taaluma za watu
Hatari sana
Jamani poleni sana ahaaa
Jamani msaanda had chadema kusaidia sio mpaka vyama maana niujinga wa chama sio mjingambe saidiatu
Polen sana nduguzetu Kwa majanga..tunajuwa serikali imewatelekeza na Haina hamu ya kuwasaidia wanacho juwa wao ni kukata 2000 Kwa ajili posho zao ziongezeke..
Ahhh
Jamani mbona SASA miradi mingi mipya inaleta maafa, maana huku Morogoro kihonda lukobe na kihonda SGR imetuathiri sana kwa mafuriko makubwa ya hatari sana, ni kweli reli tunahitaji lkn yaliyotokea ni hasara kubwa kwa sisi maskini na tumeharibiwa maisha, wekeni watu makini ktk miradi wasiowaoga kutumia taaluma yao😮
Subhanna Allah 😭
Poleni sana mungu awape nguvu
Rufiji ndo nyumban mm nimezaliwa Zanzibar naishi Canada poleni jamaa zangu serekali ya tanzania inaubaguzi kwa sababu rufiji wananchi wengi wapinzan lakin naiyomba serekali iwasaidie nao pia watanzania
Mungu awatetee mwenyewe poleni wapendwa mama tino nipo dar
Poleni sana ndugu zangu hii selikali
Kwa mara ya kwanza nimebahatika kusikia mtu amekufa huku anaongea 😅
Hahahahahahaha
@@MathewNathan-yb2bz wewe unacheka badala ya kumwelewesha?Huko kufa anakozungumzia huyo mama ni kupoteza kila kitu
Hizo ni siasa kwenye maisha ya watu acheni siasa kila sehem
Ee mungu uwarehem wenzetu hawana ht chakula
Hili jimbo lipo CUF CCm hawqwezi kwenda huko wanawashikisha adabu wanarufiji ndiyo siasa zetu za maji taka,
Hebu acheni siasa, Mbunge wa Upinzani kazi yake ni kula posho tu, majukumu yote ni kwa Serikali iliyopo madarakani. madarakani. Kama hoja yako ni sahihi hawa ni CHADEMA hao CUF wako wapi?
Wewe unayejiita askofu nenda ukahubiri injili achana na siasa first hujui chochote pimbi wewe kwataarifa yako hao walishaambiwa wa hame hilo eneo sio salama kwao acha ropoka ropoka jombaa
Subuhanallah
Hapo tu ndio mnaponifurahisha CHADEMA hii mmefanya kitu cha maana sana
Kipi????😊😊😮
Innalillahi wainnailayh rajiuun, polen sana ndugu zetu wa Rufiji Mungu awasimamie awpe faraja
Wabunge hasa waupinzani enzi hizo walitoa taahadhari kuhusu bwawa hawakusikiwa wala kusikilizwa
Acha siasa za maji taka, wale waliotwambia bwawa halitajaa kwa miaka 5 kwa kuharibika ikolojia. Mbaraka Mwinshehe aliimba wimbo wa kuwapa pole wanarufiji. Maana yake hii hali hutokea.
Sasa mm kweli natoa pole sana.lakini hata zipigwe kelele kiasigani hakuna kitakacho tokea.serikali haiwajibiki kwa mtu yoyote.
Mbona mlipokua hakuna mafuliko mlikula mnakula Manisha vzr Leo mnalaumu serikari halafu kama mliyajua haya nyie chandema mgesema wakati linajengwa
Duu poleni saana
Watu wanaomba msaada maji yameingia kwenye nyumba zao, we unawaongezea matatizo kwa kutema cheche.
Uzembe wa serikali ya ccm wananchi muikatae CCM mpaka mfe muone Sasa kuwa ccm nichama feki
Maji yakizidi unga hakuna wa kulaumiwa! Tuache siasa.
We ni Askofu acha siasa,lenga point
Poleni sn umeme wenyewe uko wp unakatika muda wote ufika wakati sasa serikali mkubali ushauri wa wananchi msijione nyinyi wajanja sn
Lailahailaa Allah,wasaidie,
Mafuriko yapo kila kona jamani,huku Arusha ni bwawa pia??kabla ya Bwawa Rufiji ilikuwa ikifurika kila mwaka,nafikir ni namna tu ya serikali kuwasidia wananchi hasa malazi na chakula kwa iki kipindi cha mvua.Mvua ni nyingi jamani, Arusha magari yanasombwa pia
Poleni,huo ni mtihani,utabidi kutafakari
Tatizo lipo lkn tuwe wakweli tunaposema serekali haijsfika mh Mbunge tulimuona huko,Mkuu WA Mkoa,mawaziri WA kisekta kikubwa ni uvumumilivu na kumuomba mingu
waitwe na watoe ushahidi kwa wanayoyasema vinginevyo ni uchochezi
Askofu anatiririka balaaaaaaaa,hahahahahaha
Wewe askofu uchwara tukio kama hilo lilitokea mwaka 1978 muulize Mbaraka mwishehe aliliimba tukio hilo ingia RUclips utapata je kulikuwa na bwawa? Acheni siasa kwenye maisha ya watu bwana
waache hizo tatizo sio bwawa tatizo huu mwaka mvua ni nyingi..na TMA WALISHASEMA KUWA HUU MWAKA MVUA NI NYINGI
Nchi kalijia za kiarabu hl tete ht kz na mashuleni hakuna kwnd,dubai mpk ndege zinasombwa na maji hakuna usafili wa anga, mungu anafanya maajabu yake mn yy ndo mwny dunia na vilivyomo ndani
Janga la ushoga na madawa ya kulevya ambalo linaharibu vijana wetu wengi mbona hawalisemi hawa. Wamekimbilia mafuriko ambayo yapo kila mahali na ni nje ya uwezo wa mwanadamu.
tanesco jengeni ukingo mkubwa na mpana ili maji yanayofunguliwa yasiharibu makazi na miundo mbinu isihari iwe
Kikubwa tumuelekee mungu kumuomba atusamehe makosa yetu tatizo laana imezidi hasa ya ulawiti acha kuilaumu serikali serikali binadam kama wewe muelekee mungu kwa duwa😂😂😂😂
Tuwe wakweli
Anauwezo wa kuahidi magori kwa milioni kumi kwa kila gori kwenye mafuriko hakuna ahadi iliyo tolewa mpaka sasa,. Na hii ndiyo serekali ya ccmu na uongozi wake!
SERIKALI
Huko yukreni yn Dunia yt mafuriko ht tunaoishi huku ughaibuni mafuriko kibao msilaumu serikali nyie chadema hamwezi kutoa msaada?mvua ana leta mungu si kula umuserikali
Asnt mwamchum
Changamoto kubwa sana
Mbona serikali ipo kimya hilo si janga kabisa
Watengeneze mabwawa mengine kwa ajili ya kilimo kingazi
Wacha uchama wewe dada popote ulipo serikali ipo sasa muna sema serikali ndio nini
Acheni siasa towenimisaada msipige kampeni
Kwani wananchi wenyewe mnashindwaje kujiongeza mpaka serekari ifike mahala sisi wenyewe tujiongeze
Kwaniwe ulipo umejiongezaa au umeshba mihogo humujui mwenyeshd
Tatizo walikurupuka selekari yatu mkurupuko raisi anashindwa ata kwenda yeye bz na kuzulula inasikitisha watu wanafanywa kama mbwa
Maji yakijaa hayahitaji kufunguliwa mlango. Maji yameongezeka acheni kufitinisha wananchi na Serikalini.
Mchungaji au kiongozi wa kiimani sijui msimamo na lugha uitumiayo kueneza chuki kwa watu.
Arusha na baadhi ya mikoa mafuriko yapo je yamesababishwa na nini aueleze Umma.
Ni kweli kila taasisi za kidini ziwe na usajili hii nitatizo kuwa na kauli zenye utata kutoka kwa kiongozi kama hawa Mungu ibariki Afrika
Jamani tuache siasa serikali ifanye lake maana naona watu wako kifitina zaidi
Overflowing hiyo ,
Nyie hamna pesa ?mnalaumu mbona nyie mko huko hamjafanya chchte
Mungu yu p1 nanyi, 😂
Hilo Jambo la mafuliko chama Cha mapinduzi liwajibike Kwanza serikali yenyewe imekaa kimyaa huu ni uwaji ccm aina huruma
maana yake nn yote haya..huu ni uchochezi
Msomera,wametelekezwa, mgodini risasi kuua,mafuriko bado Uranium Namtumbo tutaipata makansa yataenea.
Mbunge alishafika huko bibi acha kutumika kisiasa hiyo ni mitihani ya mungu
acheni kupotosha
✌️👊👍.
Daah!!Yaani nchi inajiendea tu kama serikali haipo..
Chadema + Bwana Askofu = ?
Chadema mwambieni huyo mtumishi wenu azungumze kwa akili analeta lawama za kisiasa ktk mambo serious
Viongozi wa dini ombeni maana. hii siyo. kawaida
Nyie mnajenga mtoni mnatarajia nini
Mwanasiasa akikwambia usiku mwema, toka nje kaijiridhishe je ni kweli ni usiku or mchana, hao hao wanataka umeme wa kudumu, hao hao wanasema bwawa limesababisha mafuriko wakati mafuriko hayo yaliwahi tokea hata miaka ya nyuma kabla ya hilo bwawa so hawa ndugu zetu wawe na kiasi
Mbona hamvai life jacket
😂😂😂poleni Sana wanarufiji kwa garika iliyo wakuta, ni Mimi chief papii Fred mwakyelu mwanaharaki Chadema Mkoa was Mbeya kyela kata ya kyela mjini .
Poleni sana ndugu zangu selikali yetu inajali matumbo yao tu
Kwan NYIE ndio mna mafuriko tu huko
Kwani huo jama sini mkondo wamaji au hayo mafriko ndio marayakwanza kutokea hapo tuna lizungumzia bwawa na harusha na morogoro wamzungumzie Nini kule Hanan nawao wazungu mzie Nini tuache kukurupuka kama chafya kwani hii sinjia yamaji
Poleni sana wanarufiji
Ccm hoyeeee
Wesaidia.watu..Acha.hadis
Mmatema checked vipi pelekeni msaada sio kuuza sura huko!
Na hizo energy drinks ni msaada?
Huyu ni mchochezi na huku Ruvuma kuna mafuriko nako ni bwana la nyerere pumbavu kwani hauamini km mungo yupo
Poleni sana Wana rufiji
Mchungaji acha uchonganifu tafuta ni jinsi gani tatizo litaliwe
Hapo wamebugi kwa kweli hizo mbegu watazila?au wanapanda wapi?
Badluck Flud hit rufiji so bad god with you people but Tanzania gavment has to looking better place to shifts on such place Denger to Tanzania population in fiucher to came Tanzania gavment has to do research to see better place on such areas Tanzania need rufiji people need help nit only rufiji but is the responsibility Tanzania gavment to do same ather place research in fiucher to came how to solve such problem in advance
Mmmhh,,Andika kwa Kiswahili ndugu..kuzungumza Broken English ama Lugha yoyote ile sio Kosa Lakini kuandika kwa KUBANANGA lugha ni KOSA BAYA....ungeandika kwa Lugha yako tu ,ungeeleweka😅
Sasa nyinyi machizi mmeenda kufanya nini ningekuwe
Serikali ndiyo shida Sasa waokoweni hawa viumbe
mwendawazimu
Chadema nao watoe msaada
Mjinga wewe kwani chedema ndo wanaokusanya kodi