RUFIJI HALI NI TETE, WANANCHI WAOMBA MSAADA, CHADEMA WAFIKA ENEO LA TUKIO, NYUMBA ZAFUNIKWA NA MAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 апр 2024
  • #TANZANIA: Rufiji hali ni tete, Wananchi waomba msaada, Chadema wafika eneo la tukio na kutema cheche, nyumba, hospitali, mashamba yafunikwa na maji, sababu zatajwa.

Комментарии • 178

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Месяц назад +5

    Poleni Sana wanarufiji ndugu zetu watanzania, Mungu akawe faraja yenu, eee Mungu wasaidie ndugu zetu

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Месяц назад +5

    Poleni saana ndugu zetu

  • @SurprisedAutoRace-ib8nf
    @SurprisedAutoRace-ib8nf Месяц назад +3

    Poleni sana wakazi wa Rufiji

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Месяц назад +2

    Poleni sana WATANZANIA wa Fufiji tunaimani naserikali yenu yenye sifa ya usikivu itaonyesha UMAHIRI WAKE wa utukufu wa kuwalinda wananchi bila kuchelewa Mungu awape ujasiri muwezekumudu mtihani unaosababishwa na miundo mbinu ya walioaminiwa na TANZANIA 🇹🇿

  • @user-wl5wz7zn1c
    @user-wl5wz7zn1c Месяц назад +1

    Wewe ni kiongozi WA Imani tumia nafasi yako vizuri

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Месяц назад +1

    Poleni sana ndugu zetu Watanzania,sikujua hali ni mbaya vile navyoona.Watu wa muto rufiji wanahitaji usaidizi kuokoa maisha ya watu.CCM wako wapi?Nimesikitika sana nikiwa hapa Nairobi.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Месяц назад +1

    Poleni sana ndugu zetu mungu aweke mkono wake

  • @ZubedaMbaraka
    @ZubedaMbaraka 16 дней назад

    Jamaa ameongea point sana

  • @AllyMdachi
    @AllyMdachi Месяц назад +1

    Poleni Sana wataniwangu wandengeleko mjekuishi Lindi kamaitawapendeza

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

    Poleni sana ndugu zetu ,tutachangia na pia nahisi serikali itatia mkono wake na kuwaokoa na hali hiyo.

  • @YohanaFrank-ej7on
    @YohanaFrank-ej7on 28 дней назад

    Poleni wapendwa wetu mungu awatie nguvu sana na kuwasaidia na maafa hayo

  • @athumannyungundileki9799
    @athumannyungundileki9799 Месяц назад +2

    Tunamshukuru mama yetu kwa kutuletea mafuriko

  • @malyondanga4635
    @malyondanga4635 Месяц назад

    Nashukuru chadeema mmenifunzaa jambo mimi

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Месяц назад +1

    John Pambalu ameongea point kanakwamba asiyezingatia lazima atakuwa na utaahire wakijinsia kupuuzia ufafanuzi bayana wa dhiki waliyo zushiwa na wataalamu walioaminiwa na Taifa hakika ni JANGAKUBWA LA KITAIFA LINATAKIWA KUTANGAZWA KIMATAIFA NA SIKU ZA USONI WATADHARILIKA WA WALIOZUWA MAHANGAMIZI HAYO YA WANANCHI WAO 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @harrisonjustine2813
    @harrisonjustine2813 Месяц назад +2

    Hii ndiyo tatizo la serikali kwa maana ya mamlaka kubaka taaluma za watu

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Месяц назад +1

    Hatari sana

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Месяц назад +1

    Jamani poleni sana ahaaa

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 20 дней назад

    Jamani msaanda had chadema kusaidia sio mpaka vyama maana niujinga wa chama sio mjingambe saidiatu

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Месяц назад +1

    Polen sana nduguzetu Kwa majanga..tunajuwa serikali imewatelekeza na Haina hamu ya kuwasaidia wanacho juwa wao ni kukata 2000 Kwa ajili posho zao ziongezeke..

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Месяц назад +1

    Jamani mbona SASA miradi mingi mipya inaleta maafa, maana huku Morogoro kihonda lukobe na kihonda SGR imetuathiri sana kwa mafuriko makubwa ya hatari sana, ni kweli reli tunahitaji lkn yaliyotokea ni hasara kubwa kwa sisi maskini na tumeharibiwa maisha, wekeni watu makini ktk miradi wasiowaoga kutumia taaluma yao😮

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Месяц назад +1

    Subhanna Allah 😭

  • @EmanuelPeter-kn9mg
    @EmanuelPeter-kn9mg 28 дней назад

    Poleni sana mungu awape nguvu

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 14 дней назад

    Rufiji ndo nyumban mm nimezaliwa Zanzibar naishi Canada poleni jamaa zangu serekali ya tanzania inaubaguzi kwa sababu rufiji wananchi wengi wapinzan lakin naiyomba serekali iwasaidie nao pia watanzania

  • @claralyaupe5961
    @claralyaupe5961 Месяц назад

    Mungu awatetee mwenyewe poleni wapendwa mama tino nipo dar

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Месяц назад

    Poleni sana ndugu zangu hii selikali

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Месяц назад +2

    Kwa mara ya kwanza nimebahatika kusikia mtu amekufa huku anaongea 😅

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

      Hahahahahahaha

    • @makamehemed7378
      @makamehemed7378 Месяц назад

      @@MathewNathan-yb2bz wewe unacheka badala ya kumwelewesha?Huko kufa anakozungumzia huyo mama ni kupoteza kila kitu

  • @masoudjongo
    @masoudjongo 28 дней назад

    Hizo ni siasa kwenye maisha ya watu acheni siasa kila sehem

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 24 дня назад

    Ee mungu uwarehem wenzetu hawana ht chakula

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Месяц назад +2

    Hili jimbo lipo CUF CCm hawqwezi kwenda huko wanawashikisha adabu wanarufiji ndiyo siasa zetu za maji taka,

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Месяц назад

      Hebu acheni siasa, Mbunge wa Upinzani kazi yake ni kula posho tu, majukumu yote ni kwa Serikali iliyopo madarakani. madarakani. Kama hoja yako ni sahihi hawa ni CHADEMA hao CUF wako wapi?

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 Месяц назад +1

    Wewe unayejiita askofu nenda ukahubiri injili achana na siasa first hujui chochote pimbi wewe kwataarifa yako hao walishaambiwa wa hame hilo eneo sio salama kwao acha ropoka ropoka jombaa

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 25 дней назад

    Subuhanallah

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Месяц назад +1

    Hapo tu ndio mnaponifurahisha CHADEMA hii mmefanya kitu cha maana sana

  • @MwahijaIssah
    @MwahijaIssah Месяц назад +2

    Innalillahi wainnailayh rajiuun, polen sana ndugu zetu wa Rufiji Mungu awasimamie awpe faraja

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Месяц назад +2

    Wabunge hasa waupinzani enzi hizo walitoa taahadhari kuhusu bwawa hawakusikiwa wala kusikilizwa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Месяц назад

      Acha siasa za maji taka, wale waliotwambia bwawa halitajaa kwa miaka 5 kwa kuharibika ikolojia. Mbaraka Mwinshehe aliimba wimbo wa kuwapa pole wanarufiji. Maana yake hii hali hutokea.

  • @jompoultryfarm7012
    @jompoultryfarm7012 Месяц назад

    Sasa mm kweli natoa pole sana.lakini hata zipigwe kelele kiasigani hakuna kitakacho tokea.serikali haiwajibiki kwa mtu yoyote.

  • @user-ey4fh4om5k
    @user-ey4fh4om5k 23 дня назад

    Mbona mlipokua hakuna mafuliko mlikula mnakula Manisha vzr Leo mnalaumu serikari halafu kama mliyajua haya nyie chandema mgesema wakati linajengwa

  • @abasiachimika541
    @abasiachimika541 Месяц назад +1

    Duu poleni saana

  • @user-ps2om3fg8x
    @user-ps2om3fg8x Месяц назад

    Watu wanaomba msaada maji yameingia kwenye nyumba zao, we unawaongezea matatizo kwa kutema cheche.

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Месяц назад +2

    Uzembe wa serikali ya ccm wananchi muikatae CCM mpaka mfe muone Sasa kuwa ccm nichama feki

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Месяц назад

      Maji yakizidi unga hakuna wa kulaumiwa! Tuache siasa.

  • @user-ev8kq2zo2j
    @user-ev8kq2zo2j Месяц назад

    We ni Askofu acha siasa,lenga point

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Месяц назад

    Poleni sn umeme wenyewe uko wp unakatika muda wote ufika wakati sasa serikali mkubali ushauri wa wananchi msijione nyinyi wajanja sn

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Месяц назад

    Lailahailaa Allah,wasaidie,

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 Месяц назад

    Mafuriko yapo kila kona jamani,huku Arusha ni bwawa pia??kabla ya Bwawa Rufiji ilikuwa ikifurika kila mwaka,nafikir ni namna tu ya serikali kuwasidia wananchi hasa malazi na chakula kwa iki kipindi cha mvua.Mvua ni nyingi jamani, Arusha magari yanasombwa pia

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl Месяц назад

    Poleni,huo ni mtihani,utabidi kutafakari

  • @user-wl5wz7zn1c
    @user-wl5wz7zn1c Месяц назад

    Tatizo lipo lkn tuwe wakweli tunaposema serekali haijsfika mh Mbunge tulimuona huko,Mkuu WA Mkoa,mawaziri WA kisekta kikubwa ni uvumumilivu na kumuomba mingu

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 Месяц назад

    waitwe na watoe ushahidi kwa wanayoyasema vinginevyo ni uchochezi

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +2

    Askofu anatiririka balaaaaaaaa,hahahahahaha

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 Месяц назад

    Wewe askofu uchwara tukio kama hilo lilitokea mwaka 1978 muulize Mbaraka mwishehe aliliimba tukio hilo ingia RUclips utapata je kulikuwa na bwawa? Acheni siasa kwenye maisha ya watu bwana

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 Месяц назад

    waache hizo tatizo sio bwawa tatizo huu mwaka mvua ni nyingi..na TMA WALISHASEMA KUWA HUU MWAKA MVUA NI NYINGI

    • @user-xd4lu1xl6c
      @user-xd4lu1xl6c Месяц назад

      Nchi kalijia za kiarabu hl tete ht kz na mashuleni hakuna kwnd,dubai mpk ndege zinasombwa na maji hakuna usafili wa anga, mungu anafanya maajabu yake mn yy ndo mwny dunia na vilivyomo ndani

  • @sangamandasanga9085
    @sangamandasanga9085 Месяц назад

    Janga la ushoga na madawa ya kulevya ambalo linaharibu vijana wetu wengi mbona hawalisemi hawa. Wamekimbilia mafuriko ambayo yapo kila mahali na ni nje ya uwezo wa mwanadamu.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Месяц назад +1

    tanesco jengeni ukingo mkubwa na mpana ili maji yanayofunguliwa yasiharibu makazi na miundo mbinu isihari iwe

  • @zugulaloho1177
    @zugulaloho1177 Месяц назад

    Kikubwa tumuelekee mungu kumuomba atusamehe makosa yetu tatizo laana imezidi hasa ya ulawiti acha kuilaumu serikali serikali binadam kama wewe muelekee mungu kwa duwa😂😂😂😂

  • @user-ot9zb6eg7f
    @user-ot9zb6eg7f Месяц назад

    Tuwe wakweli

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Месяц назад +1

    Anauwezo wa kuahidi magori kwa milioni kumi kwa kila gori kwenye mafuriko hakuna ahadi iliyo tolewa mpaka sasa,. Na hii ndiyo serekali ya ccmu na uongozi wake!

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Месяц назад +1

    SERIKALI

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Месяц назад

    Huko yukreni yn Dunia yt mafuriko ht tunaoishi huku ughaibuni mafuriko kibao msilaumu serikali nyie chadema hamwezi kutoa msaada?mvua ana leta mungu si kula umuserikali

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 24 дня назад

    Asnt mwamchum

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Месяц назад +1

    Changamoto kubwa sana

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Месяц назад +1

    Mbona serikali ipo kimya hilo si janga kabisa

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Месяц назад

    Watengeneze mabwawa mengine kwa ajili ya kilimo kingazi

  • @kharfanally4186
    @kharfanally4186 25 дней назад

    Wacha uchama wewe dada popote ulipo serikali ipo sasa muna sema serikali ndio nini

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 25 дней назад

    Acheni siasa towenimisaada msipige kampeni

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 Месяц назад

    Kwani wananchi wenyewe mnashindwaje kujiongeza mpaka serekari ifike mahala sisi wenyewe tujiongeze

    • @malyondanga4635
      @malyondanga4635 Месяц назад

      Kwaniwe ulipo umejiongezaa au umeshba mihogo humujui mwenyeshd

  • @user-ot9zb6eg7f
    @user-ot9zb6eg7f Месяц назад

    Tatizo walikurupuka selekari yatu mkurupuko raisi anashindwa ata kwenda yeye bz na kuzulula inasikitisha watu wanafanywa kama mbwa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Месяц назад

    Maji yakijaa hayahitaji kufunguliwa mlango. Maji yameongezeka acheni kufitinisha wananchi na Serikalini.

  • @RaphaelJohnLuhende
    @RaphaelJohnLuhende Месяц назад

    Mchungaji au kiongozi wa kiimani sijui msimamo na lugha uitumiayo kueneza chuki kwa watu.
    Arusha na baadhi ya mikoa mafuriko yapo je yamesababishwa na nini aueleze Umma.
    Ni kweli kila taasisi za kidini ziwe na usajili hii nitatizo kuwa na kauli zenye utata kutoka kwa kiongozi kama hawa Mungu ibariki Afrika

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Месяц назад +3

    Jamani tuache siasa serikali ifanye lake maana naona watu wako kifitina zaidi

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Месяц назад

    Overflowing hiyo ,

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Месяц назад

    Nyie hamna pesa ?mnalaumu mbona nyie mko huko hamjafanya chchte

  • @AfidhiHassani-vu1th
    @AfidhiHassani-vu1th 23 дня назад

    Mungu yu p1 nanyi, 😂

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Месяц назад

    Hilo Jambo la mafuliko chama Cha mapinduzi liwajibike Kwanza serikali yenyewe imekaa kimyaa huu ni uwaji ccm aina huruma

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 Месяц назад

    maana yake nn yote haya..huu ni uchochezi

  • @frankmaeda4284
    @frankmaeda4284 Месяц назад +1

    Msomera,wametelekezwa, mgodini risasi kuua,mafuriko bado Uranium Namtumbo tutaipata makansa yataenea.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Mbunge alishafika huko bibi acha kutumika kisiasa hiyo ni mitihani ya mungu

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 Месяц назад

    acheni kupotosha

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    ✌️👊👍.

  • @RamaHRIzmaelov
    @RamaHRIzmaelov Месяц назад +2

    Daah!!Yaani nchi inajiendea tu kama serikali haipo..

  • @francisshimbala1629
    @francisshimbala1629 Месяц назад

    Chadema + Bwana Askofu = ?

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Месяц назад

    Chadema mwambieni huyo mtumishi wenu azungumze kwa akili analeta lawama za kisiasa ktk mambo serious

  • @user-hu8ke4gx1j
    @user-hu8ke4gx1j 22 дня назад

    Viongozi wa dini ombeni maana. hii siyo. kawaida

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Месяц назад

    Nyie mnajenga mtoni mnatarajia nini

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Месяц назад

    Mwanasiasa akikwambia usiku mwema, toka nje kaijiridhishe je ni kweli ni usiku or mchana, hao hao wanataka umeme wa kudumu, hao hao wanasema bwawa limesababisha mafuriko wakati mafuriko hayo yaliwahi tokea hata miaka ya nyuma kabla ya hilo bwawa so hawa ndugu zetu wawe na kiasi

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p Месяц назад

    Mbona hamvai life jacket

  • @user-ru3th1vz4m
    @user-ru3th1vz4m Месяц назад

    😂😂😂poleni Sana wanarufiji kwa garika iliyo wakuta, ni Mimi chief papii Fred mwakyelu mwanaharaki Chadema Mkoa was Mbeya kyela kata ya kyela mjini .

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Месяц назад +2

    Poleni sana ndugu zangu selikali yetu inajali matumbo yao tu

  • @kibwanasimba6431
    @kibwanasimba6431 Месяц назад

    Kwani huo jama sini mkondo wamaji au hayo mafriko ndio marayakwanza kutokea hapo tuna lizungumzia bwawa na harusha na morogoro wamzungumzie Nini kule Hanan nawao wazungu mzie Nini tuache kukurupuka kama chafya kwani hii sinjia yamaji

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад +1

    Poleni sana wanarufiji

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Месяц назад

    Ccm hoyeeee

  • @makebamsofe9536
    @makebamsofe9536 Месяц назад

    Wesaidia.watu..Acha.hadis

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Месяц назад

    Mmatema checked vipi pelekeni msaada sio kuuza sura huko!

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Месяц назад

    Na hizo energy drinks ni msaada?

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Huyu ni mchochezi na huku Ruvuma kuna mafuriko nako ni bwana la nyerere pumbavu kwani hauamini km mungo yupo

  • @DAISONKENAN
    @DAISONKENAN Месяц назад +1

    Poleni sana Wana rufiji

  • @user-cu6pc2tk7m
    @user-cu6pc2tk7m Месяц назад

    Mchungaji acha uchonganifu tafuta ni jinsi gani tatizo litaliwe

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Месяц назад

    Hapo wamebugi kwa kweli hizo mbegu watazila?au wanapanda wapi?

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад +1

    Badluck Flud hit rufiji so bad god with you people but Tanzania gavment has to looking better place to shifts on such place Denger to Tanzania population in fiucher to came Tanzania gavment has to do research to see better place on such areas Tanzania need rufiji people need help nit only rufiji but is the responsibility Tanzania gavment to do same ather place research in fiucher to came how to solve such problem in advance

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 Месяц назад

      Mmmhh,,Andika kwa Kiswahili ndugu..kuzungumza Broken English ama Lugha yoyote ile sio Kosa Lakini kuandika kwa KUBANANGA lugha ni KOSA BAYA....ungeandika kwa Lugha yako tu ,ungeeleweka😅

  • @exsaverykomba7936
    @exsaverykomba7936 Месяц назад

    Sasa nyinyi machizi mmeenda kufanya nini ningekuwe

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Месяц назад

    Serikali ndiyo shida Sasa waokoweni hawa viumbe

  • @peterkabeke362
    @peterkabeke362 Месяц назад

    mwendawazimu

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Месяц назад

    Chadema nao watoe msaada

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana Месяц назад

      Mjinga wewe kwani chedema ndo wanaokusanya kodi