Balaa! Mvua kubwa Dar, tazama Jamaa alivyoitafuta Pikipiki yake kwenye maji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2024
  • Hali ilivyo Barabara ya Nelson Mandela, mataa ya Temeke baada ya mvua kunyesha Muonekano wa Barabara ya Nelson Mandela kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha leo Aprili 22, 2024 maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.
    #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Комментарии • 54

  • @user-su2is7kv3y
    @user-su2is7kv3y 11 дней назад +4

    Watu wapunguze kuingiliana kinyume na maumbile ni vitu ambavyo wenzetu waliangamizwa kabisaaa

  • @azizjuma6125
    @azizjuma6125 12 дней назад +3

    aliyemuangalia Mhandishi mara mbili mbili ... like hapa tujuane

  • @user-pg4sk9wi1m
    @user-pg4sk9wi1m 13 дней назад +1

    Mwenyezi mungu awasaidie 😮

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 13 дней назад +2

    Sasa hyo dada haon anakuuliza usenge, akikuliza Nini hii, muambie nituz

  • @user-lw3ne4zu3k
    @user-lw3ne4zu3k 9 дней назад +1

    Tena tazania nadhani ni kenya tuu mungu atuhurumie tunataka mvua ya baraka wala sio vifo

  • @ismailally2014
    @ismailally2014 11 дней назад +1

    Mungu tusaidie

  • @kymkkm1078
    @kymkkm1078 10 дней назад +1

    Nairobi,Kenya hivi tu....

  • @ByabushaS2345
    @ByabushaS2345 13 дней назад +1

    Hiii
    Maswali Gani ayo mtangazaji

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 12 дней назад +1

    Allah awanusuru tz

  • @ByabushaS2345
    @ByabushaS2345 13 дней назад +1

    Maswali Gani ayo mtangazaji

  • @Everline398
    @Everline398 13 дней назад +1

    Eti aliweza kupoteza pikipiki yake. Kiswahili hiki hatar

  • @annkyeki5972
    @annkyeki5972 10 дней назад

    Mvua teele.,....May God give us enough rains. Nairobi hali ni hii

  • @leonardsang387
    @leonardsang387 9 дней назад

    Hapa nchini Kenya, hivi tu, mola hutuhurumie tu!

  • @ismailally2014
    @ismailally2014 11 дней назад

    Duu mungu tusaidie jamann

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 12 дней назад +1

    Tatizo ufisadi kweye serikal pesa ya kutengeneza miundo mbinu watu wanakula na familia zao

  • @irene4really
    @irene4really 13 дней назад

    Daah Victoria umenikumbusha mbali kinyama up line wangu pale makumbusho😅😅😅polen na mvua watu wa mzizima

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 10 дней назад

    Ni kweli hatumlaumu mtu kwenye majanga ya asili, lkn Maeneo mengi ya Jiji la dar tatizo ni Hawa wanaofanya UPEMBUZI YAKINIFU, hawaangalii kitaalam kabla ya kujenga Barabara, matokeo yake majanga yanaongezeka

  • @salumkhamis-tp4cp
    @salumkhamis-tp4cp 11 дней назад

    Turudi kwa Allah huu ni ukumbusho toshaa maasi yamezidi dunian

  • @NicholausMagere-qz4pk
    @NicholausMagere-qz4pk 10 дней назад

    Kamuonekano kanaweza kuwa na mchango sana kwa Veronica kuepuka majibu makali 😂😂😂maswali gani hayo

  • @peterjustin1237
    @peterjustin1237 12 дней назад +1

    Kipondi hiki mafundi wa magari pikipiki wanakula hela tu

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 12 дней назад +1

    Mmh watz wengine shida tuache kuzibua mitaro eti hii hali ya kawaida eti dubai pia ina mafuriko kwahiyo wewe kiakili unatawaliwa na dubai?Hapo mtaro mkubwa unatakiwa kupeleka maji baharini hivo mjiandae na bomoabomoa ndogo ndogo ili jiji likae sawa.

  • @Rich-wo
    @Rich-wo 13 дней назад

    Rip magu

  • @levokataanatorpolebabayetu9223
    @levokataanatorpolebabayetu9223 11 дней назад

    Poleni sana

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 13 дней назад +1

    mwananchi Digital kwa sasa mnastaili sifa hayo ndio tunayo yataka watanzania huyo mdada wa mwananchi anae hoji watanzania kwa jili yamvuwa majiyanavyo tesawatu hiyo ndio midi dada anarowa na mvuwa anauliza watu shida zao nampa mauwa yake nikija tanzania nitamtafutia tunzo

  • @husnaally7930
    @husnaally7930 13 дней назад

    SubhanaALLAH

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 11 дней назад

      ETI DUBAI NAPO WANA SHIDA HIYOO SO BAADA YA MVUA UTASEMA HATA DUBAI WAPO VILEVILE,ALIYEJENGA PALE JANGWANI MWENDOKASI NI NANI SI HAWA WATU WENU,TUNAOMBA HIYO MIFANO YA KULINGANISHA NCHI MUWACHE-JANGWANI PANA DIMBWI LA MUDA MREFU NA HALIJENGWI WATU WAMEWEKA VILE VI SKAVETA WAME PAKI WANALIPWA KWA MASAA MVUA INYESHE ISINYESHE NA WANAO VIMILIKI UTAKUTA NI WALE WALE MNAOWATETEA ETI DUBAI NAPO KUNA MAFURIKO-NAMWOMBA MUNGU BABA WA BWANA WETU YESU KRISTO AWAJALIE HEKIMA YA KUJUA MNATAKIWA KUTUMIAJE MALI NA MAMLAKA ZA UMMA ,NA MJUE UPENDELEO WOWOTE NA MAPATO YOYOTE YASIYO ADIRIFU MUNGU ATAWAULIZA NI MACHUKIZO KWAKE-NA MJUE HATA MKIJILIMBIKIZIA VIPI HAMTAZIKWA NAVYO NA KAMA NI PESA ZA UMMA HATA WATOTO WENU MKIWAACHIA WATAZITAPANYA TUUU-HUWA HAZIKAI WAPENDWA TUNAOMBA MTUBU MNATUTESA SANA.AMINAAAAAAAA.

  • @owlliker
    @owlliker 10 дней назад

    drainage system ndio suluhisho

  • @user-qj5us4lw2n
    @user-qj5us4lw2n 12 дней назад

    😢😢

  • @frankyeye
    @frankyeye 12 дней назад

    kwa chuwa maji yamejaa😅😅😅😅😅
    shida hapo ni mitaro imeziba

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 10 дней назад

    Daresalamu msubiri mzigo mwingine unashuka kutoka Ifakara. Jiandae kupokea mgeni yuko bado mikumi😂7

  • @mariosfrancis
    @mariosfrancis 10 дней назад

    Loo pollen jamani

  • @beautyafrica254
    @beautyafrica254 13 дней назад

    Ni hali ya hewa tu,mvua tumeshuhudia kenya,bahrain dubai na oman ,ila dubai na oman imeharibu sana ju ya mafuriko

  • @nuhumaalim4976
    @nuhumaalim4976 13 дней назад +1

    Mtangqzaji bwana eti hali anaiyona halafu anamuuliza mbona unaikokota

    • @Everline398
      @Everline398 13 дней назад

      Yaani maswali yake na kiswahili chake mh hataree. Eti ameweza kupoteza pikipiki yake

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 11 дней назад

    Polen jmn hko dar

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 13 дней назад

    MIFEREJI MNAIZIBA NA MATAKATAKA, USITARABU WETU MDOGO . SASA MATATIXO NDO HAYA. JAMAANI TUJIFUNZE KUTUNZA MIFEREJI YETU , NI KWA FAIDA YETU WENYEWE.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 13 дней назад +1

    10 mingine ccm oyeee samia kumi mingine mungu anakuona

  • @FavourTemu-cm6hp
    @FavourTemu-cm6hp 13 дней назад +2

    Yani wewe mtangazaji unabati hapo ulipo hawana hasira unamaswali y kijinga Mimi ungekuwa ushakula makofi nenda kasome tena

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 12 дней назад

    Tukisemaaaa nchi iko chini ya shetaniiii hamuelewagiii na badoooo mtahamaaaaa

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 12 дней назад

      Mtihani tu kutokana na madhambi ya wengi zinaa, riba na kukosa radhi za wazazi
      Sio viongozi

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 12 дней назад

      Maana mpaka Dubai zaidi

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 13 дней назад

    Mitano tena

  • @reubensengerema5851
    @reubensengerema5851 12 дней назад

    Duuh

  • @marcelnkomo7212
    @marcelnkomo7212 12 дней назад

    Afrika ya mashiriki yote ni problems🙈🙈🙈

    • @user-hp6pq9fb2l
      @user-hp6pq9fb2l 11 дней назад

      Omani na Dubai jee maana ttzo ili pia tupo nalo

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 13 дней назад +2

    Mtangazaji arudi shule! Badala ya kutuambia hapo ni wapi au barabara gani anasema “hapa” “barabara hii”

  • @user-ei3ps8dw8h
    @user-ei3ps8dw8h 11 дней назад

    Mungu sahau Mali nyingi Zuma na wazinifu

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 13 дней назад

    Poleni jamani

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 13 дней назад

    HAPO KUNAMATAHILA WANALAUM SERIKAL HAPO WAKIJA WANASIASA WATASEMA SABABU N MAJI KUTIKA RUFIJI😂😂

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 13 дней назад

    Mum kumbuke nabii

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 13 дней назад

    HIYO N HAL YA HEWA TU HATA DUBAI PAMOJA NA MIUNDO MBINU YAO LAKIN MAFULIKO YALITOKEA

  • @EnestinaMlula
    @EnestinaMlula 13 дней назад

    Mungu tusaidie