Balaa! Mvua kubwa Dar, tazama Jamaa alivyoitafuta Pikipiki yake kwenye maji
HTML-код
- Опубликовано: 21 апр 2024
- Hali ilivyo Barabara ya Nelson Mandela, mataa ya Temeke baada ya mvua kunyesha Muonekano wa Barabara ya Nelson Mandela kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha leo Aprili 22, 2024 maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Watu wapunguze kuingiliana kinyume na maumbile ni vitu ambavyo wenzetu waliangamizwa kabisaaa
aliyemuangalia Mhandishi mara mbili mbili ... like hapa tujuane
Mwenyezi mungu awasaidie 😮
Sasa hyo dada haon anakuuliza usenge, akikuliza Nini hii, muambie nituz
Tena tazania nadhani ni kenya tuu mungu atuhurumie tunataka mvua ya baraka wala sio vifo
Mungu tusaidie
Nairobi,Kenya hivi tu....
Hiii
Maswali Gani ayo mtangazaji
Allah awanusuru tz
Maswali Gani ayo mtangazaji
Eti aliweza kupoteza pikipiki yake. Kiswahili hiki hatar
Mvua teele.,....May God give us enough rains. Nairobi hali ni hii
Hapa nchini Kenya, hivi tu, mola hutuhurumie tu!
Duu mungu tusaidie jamann
Tatizo ufisadi kweye serikal pesa ya kutengeneza miundo mbinu watu wanakula na familia zao
Daah Victoria umenikumbusha mbali kinyama up line wangu pale makumbusho😅😅😅polen na mvua watu wa mzizima
Ni kweli hatumlaumu mtu kwenye majanga ya asili, lkn Maeneo mengi ya Jiji la dar tatizo ni Hawa wanaofanya UPEMBUZI YAKINIFU, hawaangalii kitaalam kabla ya kujenga Barabara, matokeo yake majanga yanaongezeka
Turudi kwa Allah huu ni ukumbusho toshaa maasi yamezidi dunian
Kamuonekano kanaweza kuwa na mchango sana kwa Veronica kuepuka majibu makali 😂😂😂maswali gani hayo
Kipondi hiki mafundi wa magari pikipiki wanakula hela tu
Mmh watz wengine shida tuache kuzibua mitaro eti hii hali ya kawaida eti dubai pia ina mafuriko kwahiyo wewe kiakili unatawaliwa na dubai?Hapo mtaro mkubwa unatakiwa kupeleka maji baharini hivo mjiandae na bomoabomoa ndogo ndogo ili jiji likae sawa.
Rip magu
Poleni sana
mwananchi Digital kwa sasa mnastaili sifa hayo ndio tunayo yataka watanzania huyo mdada wa mwananchi anae hoji watanzania kwa jili yamvuwa majiyanavyo tesawatu hiyo ndio midi dada anarowa na mvuwa anauliza watu shida zao nampa mauwa yake nikija tanzania nitamtafutia tunzo
Kweli kabisa
SubhanaALLAH
ETI DUBAI NAPO WANA SHIDA HIYOO SO BAADA YA MVUA UTASEMA HATA DUBAI WAPO VILEVILE,ALIYEJENGA PALE JANGWANI MWENDOKASI NI NANI SI HAWA WATU WENU,TUNAOMBA HIYO MIFANO YA KULINGANISHA NCHI MUWACHE-JANGWANI PANA DIMBWI LA MUDA MREFU NA HALIJENGWI WATU WAMEWEKA VILE VI SKAVETA WAME PAKI WANALIPWA KWA MASAA MVUA INYESHE ISINYESHE NA WANAO VIMILIKI UTAKUTA NI WALE WALE MNAOWATETEA ETI DUBAI NAPO KUNA MAFURIKO-NAMWOMBA MUNGU BABA WA BWANA WETU YESU KRISTO AWAJALIE HEKIMA YA KUJUA MNATAKIWA KUTUMIAJE MALI NA MAMLAKA ZA UMMA ,NA MJUE UPENDELEO WOWOTE NA MAPATO YOYOTE YASIYO ADIRIFU MUNGU ATAWAULIZA NI MACHUKIZO KWAKE-NA MJUE HATA MKIJILIMBIKIZIA VIPI HAMTAZIKWA NAVYO NA KAMA NI PESA ZA UMMA HATA WATOTO WENU MKIWAACHIA WATAZITAPANYA TUUU-HUWA HAZIKAI WAPENDWA TUNAOMBA MTUBU MNATUTESA SANA.AMINAAAAAAAA.
drainage system ndio suluhisho
😢😢
kwa chuwa maji yamejaa😅😅😅😅😅
shida hapo ni mitaro imeziba
Daresalamu msubiri mzigo mwingine unashuka kutoka Ifakara. Jiandae kupokea mgeni yuko bado mikumi😂7
Loo pollen jamani
Ni hali ya hewa tu,mvua tumeshuhudia kenya,bahrain dubai na oman ,ila dubai na oman imeharibu sana ju ya mafuriko
Mtangqzaji bwana eti hali anaiyona halafu anamuuliza mbona unaikokota
Yaani maswali yake na kiswahili chake mh hataree. Eti ameweza kupoteza pikipiki yake
Polen jmn hko dar
MIFEREJI MNAIZIBA NA MATAKATAKA, USITARABU WETU MDOGO . SASA MATATIXO NDO HAYA. JAMAANI TUJIFUNZE KUTUNZA MIFEREJI YETU , NI KWA FAIDA YETU WENYEWE.
10 mingine ccm oyeee samia kumi mingine mungu anakuona
Yani wewe mtangazaji unabati hapo ulipo hawana hasira unamaswali y kijinga Mimi ungekuwa ushakula makofi nenda kasome tena
Tukisemaaaa nchi iko chini ya shetaniiii hamuelewagiii na badoooo mtahamaaaaa
Mtihani tu kutokana na madhambi ya wengi zinaa, riba na kukosa radhi za wazazi
Sio viongozi
Maana mpaka Dubai zaidi
Mitano tena
Polen
Duuh
Afrika ya mashiriki yote ni problems🙈🙈🙈
Omani na Dubai jee maana ttzo ili pia tupo nalo
Mtangazaji arudi shule! Badala ya kutuambia hapo ni wapi au barabara gani anasema “hapa” “barabara hii”
Mungu sahau Mali nyingi Zuma na wazinifu
Poleni jamani
HAPO KUNAMATAHILA WANALAUM SERIKAL HAPO WAKIJA WANASIASA WATASEMA SABABU N MAJI KUTIKA RUFIJI😂😂
Mum kumbuke nabii
HIYO N HAL YA HEWA TU HATA DUBAI PAMOJA NA MIUNDO MBINU YAO LAKIN MAFULIKO YALITOKEA
Mungu tusaidie