Nami pia siamini katika kutumia viboko pale ambapo mtoto hajafanya homework. Mwanafunzi kutokufanya wajibu wake husababishwa na mazingira ya shule husika.
Hapo aliposema kwamba hata break ya nusu saa tu mtoto anatembea akiwa anasoma ndio pamenishtua. Sasa huko ni kusoma au ni adhabu? All work and no play makes Jack a dull boy! Ndio maana wakifika vyuo wanapokuwa huru wanakuwa hawana maajabu. Wanawehuka na uhuru sababu hawakupata muda wa entertainment huko nyuma. Maisha ni ku balance bwana.
Ni kweli hivi nilijiuliza hilo swali kwamba hawa watoto wanapeendelea na madomo ya juu nikimaanisha A level na vyuo wanakuwaje? Tunatakiwa pia kufuatilia mwendelezo wao wakitoka hapo unakuwaje?
Hata kazini wako vizuri sana wanafunzi wa St Francis. Wako sharp, hata akija field tu unaona tofauti. Uhuru wa wengine ni kushika simu mda wote wao wanakuwa na maadili sana.
Hao wanafaurisha Kwa sababu watoto mpaka wafike form four washachujwa sana ,,,unaweza ukanza form one hapo alafu ukashanga unamalizia form four shule nyingine kabisa kwaajili ya mchujo....kwahiyo hata shule za serikali Nazo zingekuwa kila mtihani ni mchujo mbona wangecompit na hao lkn ndo haitakiwi iwe ivyo fundisha mtoto mpaka hatua ya mwisho hashindwe yeye tu mtihani
1. Walimu wapo vzr 2 shule ina kila kitu kinachotakia kumuezesha mwanafunz afaulu. 3. Shule inavosahil wanafunz inachukua wanafunz cream wale datsy st francis ni unstoppable. 4. Kwa msio jua ukifka form one kuna kama mwez mmj iv unafundshwa kuandika vzr yan mwandiko uwe msaf kaz yako isomeke vzr, sa kuja shule zetu za kata no one gives a fuck 😁 .
Waalim wengi ni mafelia ndio maana wanapiga watoto hata mimi nimehamisha watoto wangu nikahamishia Silverleaf maana hakuna viboko na Mimi naamini cjazaa watumwa
I hate religious or faith schools, I went to kibosho girls back then, under mother conso, my God, it was a never ending nightmare. The school did not have a doctor, no professional counselor, no hot water, no proper sanitary system, basically it was over its capacity and an absolute disaster.
Its only a negative perception but if u chose to see it all in positive way, now u could be thanking them for teaching u be stronger to survive in any circumstance n' still u remain focussed.
Some time huwezekana but we haven't sure about that cs miaka ya nyuma kuna shule zilitamba sana kumbe walikua wapiga madeal ilipojuilikana na kuwekewa vikwazo sahv wakawaida tu🙈🙈🙈🙈
muwe mfano kwa wengne viboko sio dili hebu ongeza volume teacher😃😃😃😁😁😁😁
Hongera Sana viongozi wa
ST FRANCIS na walimu wote
Hongera saana dada,, good job,, weldone
Sister vina 😊
Ahsante Walimu wa St Francis
Had raha😍
🔥🔥
Yn ni safi mpka laaa seeeeww
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Hishule ya msingi mwanza ikowapi?
Maombi na nidhamu
Should yangu hiyoooo
Wasafi nenden kwa millard mkajifunze kitu
Pia mnachukua watoto ambao ni cream tu, so, walimu hawatumii nguvu nyingi kuwafundisha coz ni fast learners
Watoto wao wanamsingi mzuri pia toka shule za msingi wanazotoka.
Wala sio hivyo
Yani hawa ada yao bei rahisi MILION 2 alafu mtoto ana uhakika wa division 1 asee ela ndogo sana
Nami pia siamini katika kutumia viboko pale ambapo mtoto hajafanya homework. Mwanafunzi kutokufanya wajibu wake husababishwa na mazingira ya shule husika.
Hapo aliposema kwamba hata break ya nusu saa tu mtoto anatembea akiwa anasoma ndio pamenishtua. Sasa huko ni kusoma au ni adhabu? All work and no play makes Jack a dull boy! Ndio maana wakifika vyuo wanapokuwa huru wanakuwa hawana maajabu. Wanawehuka na uhuru sababu hawakupata muda wa entertainment huko nyuma. Maisha ni ku balance bwana.
Ni kweli hivi nilijiuliza hilo swali kwamba hawa watoto wanapeendelea na madomo ya juu nikimaanisha A level na vyuo wanakuwaje? Tunatakiwa pia kufuatilia mwendelezo wao wakitoka hapo unakuwaje?
Hata kazini wako vizuri sana wanafunzi wa St Francis. Wako sharp, hata akija field tu unaona tofauti. Uhuru wa wengine ni kushika simu mda wote wao wanakuwa na maadili sana.
Hapo naona zote zinatakiwa kujifunza kwa uongozi huo,kwan so rahisi shule nzima means darasa lote kuwa na division one,lakin kuwatoa watu saba top ten
Kwanini uite adhabu kitu anachofanya mtu kwa kukipenda? Watoto wanafanya wanachokipenda bila kushikiwa bakora, Wewe unaita adhabu. Tutafika kweli
madarasa yao ni ya kawaida tu na majengo yao kwa ujumla sema nidhamu yao ni ya juu Sana aisee
Umasikini huu tutaishia kuziona mtandaoni tu shule tu ya serikali zinatushinda kuhudumia je hiyo ya mimilion tutaweze eeh Mungu nikumbuke nami
Ada ni Milion mbili tuu
Matokeo ya mtiani ya mtiani kidato cha 4 mkoa wa kagera wilaya kyerwa
Iko wap shule hii?
Mbeya mjini
Ipo Mbeya mjini karibu na Sangu Sekondari
Naombe mawasiliano ya shulen
wakofi kwa mkoa wa mbeya.....haujah kuniangusha
Hao wanafaurisha Kwa sababu watoto mpaka wafike form four washachujwa sana ,,,unaweza ukanza form one hapo alafu ukashanga unamalizia form four shule nyingine kabisa kwaajili ya mchujo....kwahiyo hata shule za serikali Nazo zingekuwa kila mtihani ni mchujo mbona wangecompit na hao lkn ndo haitakiwi iwe ivyo fundisha mtoto mpaka hatua ya mwisho hashindwe yeye tu mtihani
Siyo kweli hii Shule huwa hawachuji Ila Wana mtihani wa kuingia pale
Hawachuji bwana uliza vizuri ukiingia hadi utamaliza hapo unless kuna tatizo kubwa
1. Walimu wapo vzr
2 shule ina kila kitu kinachotakia kumuezesha mwanafunz afaulu.
3. Shule inavosahil wanafunz inachukua wanafunz cream wale datsy st francis ni unstoppable.
4. Kwa msio jua ukifka form one kuna kama mwez mmj iv unafundshwa kuandika vzr yan mwandiko uwe msaf kaz yako isomeke vzr, sa kuja shule zetu za kata no one gives a fuck 😁 .
Waalim wengi ni mafelia ndio maana wanapiga watoto hata mimi nimehamisha watoto wangu nikahamishia Silverleaf maana hakuna viboko na Mimi naamini cjazaa watumwa
Iko wapii
Jamani mpaka kujiunga hii shule procedures zikoje
😂😂😂 unaenda tuuuu
Mwanao apite interview kwanza.
Pili uwe na hela ya kutoshaaaa🙈🙈🙈
Hamad mbona ada yao ya kawaida cna
Kobas hiyo interview mpaka apite c kazi wastani wao ni max ngapi
Wakiingia vyuo vikuu huwa hawana maajabu sapu kwenda mbele
Siyo wote...hiyo ni kawaida hata ambao hawajasoma huko sup zipo...
Kuna kitu nyuma ya pazia kimejificha
Hii ndo shida tulonayo Watanzania. Ukifanya vizuri ni vibaya ukifanya vibaya nako wanakusema sa sijui jema ni lipi 😂
Ada nasikia ni milioni 3 je ni kweli?tujuzane
milioni3 kwa mazingira bora ya elimu ni hela ya kawaida mno
Ni kweli?
@@rithadonatus8110 ukimaliza while wanakujengea na nyumba au
@@mrh2812 😃😃
@@abubakarihamissi4178 Unavoona wewe maana wengine hata 100 hawana so hawana haki ya kusoma???
Sio walimuu tu wala wanafunzi hapa kunakitu nyumaa yapaziaa kiukwelii, nyinyii c mshawahii kufutiwa matokeo kwa uganganyifu nyieee
🤔🤔
Haahaaa kumbe
Hawajawahi kufutiwa matokeo. Umemix mafaili mkuu
Hawajahi futiwa. Wanasoma sana
Nani kakuongopea na record zako za uongo wewe
I hate religious or faith schools, I went to kibosho girls back then, under mother conso, my God, it was a never ending nightmare. The school did not have a doctor, no professional counselor, no hot water, no proper sanitary system, basically it was over its capacity and an absolute disaster.
You hate it is where you get 'he best
Its only a negative perception but if u chose to see it all in positive way, now u could be thanking them for teaching u be stronger to survive in any circumstance n' still u remain focussed.
At this level, you still committing fallacy. No wonder you can't appreciate even the little you have.
serekali inatakiwa ifanye uchunguzi huwenda wananunua mitihani
Miaka yote utabaki ukisema wananunua mitihani!!!!
Tatizo watu kufaulu kwa wengine ni kama miujiza, kama wewe huwezi usifikiri wote hawawezi, kama huwezi wewe tulia tu fanya mengine
Wewe kam ulienda shule kusindikiza wengine tulia na E Na D- zako kunawalio enda kusoma...
Some time huwezekana but we haven't sure about that cs miaka ya nyuma kuna shule zilitamba sana kumbe walikua wapiga madeal ilipojuilikana na kuwekewa vikwazo sahv wakawaida tu🙈🙈🙈🙈
Inawezakana,maana ada n 4.5 kwa mwaka,mpaka ufike4,,alaf ufer,mzaz atajisikiaj kupoteza Ela zote izo,kuna namna wnapewa majibu😀😀🙈