Ni bonge la kiongozi ,alikua na xifa zote,alikua anafaa, hakika alijiamini na aliamini kua mungu Ni wetu xote sio wawazungu tu no, Kama unaamini hilo gonga like zako hapa
Safi sana Media zote wangekuwa kama wew basi Waafrika baadhi wanaopumbazwa na wazungu wakapumbazika kuua na kuchafua viongozi bora wa Africa wangebadilika.
Rest in peace mkuu mugabe.. MUNGU bado anatutazama wanadamu tunaojiona ndy kila kitu kwenye ulimwengu huu wa mwanga na giza ila tuzidi kumuomba yeye..🙏🙏
Tujiulize sana kwanin mashujaa, na wanaharakat (wapigania uhuru wa Africa wanapatwa mauti katika hospital za ulaya pale tuwapelekapo jili ya matibabu ( r. i, p)Zimbabwe freedom fighter
Hii ndo ujue kuwa bala la africa linapigwa vita na mataifa yalioendelea ili tudidimizwe kiuchumi, hakili na afya kwa kuwaangusha watetez wa africa kama ilivyo kwa mwalim jk nyerere
Waheshimuni sana wanawake wenye mimba kwamaana nimtu pekeee ambae anatembea na ushahidi kuwa wamefanya mapenzii da Mugabe ni balaaaaa navoskiia ivi namwona nyerere mana vuchwa vyao nisaw Africa unity
Malikia hana mamlaka yeyote ni cheo cha heshima tu Kama ilivyokuwa kwa machief na watemi hapa TZ .Ila wameamua kukienzi cheo cha umalikia kuna utofauti uraisi au waziri mkuu. Ndo maana uingereza wanafanya uchaguzi wa waziri mkuu kila baada ya miaka Mitano.
Asante sana mtiga . Sikuwa najua nimemezeshwa ujinga na wazungu.ilove you mugabe
😂😂😂😂 Mugabe ni konki 🔥fireeeeee kama tunao mkubali mugabe tujuane kwa kulike
Cruzzy MsomaliTM kweli mgabe noma
Cruzzy MsomaliTM mim
Mugabe chuma
Jembe letu
Kawaachaje zimbabwe
Ni bonge la kiongozi ,alikua na xifa zote,alikua anafaa, hakika alijiamini na aliamini kua mungu Ni wetu xote sio wawazungu tu no, Kama unaamini hilo gonga like zako hapa
Nilikua namkubali mno huyu mzee nilikua nampenda jmn rest in paradise Mugabe😥😥
Mambo bibie
Muongo ww
🤔🤭🤔
Sifumbi macho kwenye kujifunza
You are the best Mtiga
Upo vizur kaka unajua kuadithia yaan nasikiliza hata sichoki Nice work bro
Safi sana Media zote wangekuwa kama wew basi Waafrika baadhi wanaopumbazwa na wazungu wakapumbazika kuua na kuchafua viongozi bora wa Africa wangebadilika.
Yona Mwakamele ni kweli
Wajinga ndo wanao kubali adui afuze watoto wake
Yona Mwakamele nikweli
The love I have for this guy's voice ooh my,but I love intelligent,sharp and articulate men.Mtigah keep it up,I love you
big up kwa *Ananias Edger *
Nilimpenda sana mugabe huyo kwakweli wazee wetu hao ni majasiri sana walikuwa hawaogopi mtu ma wazungu wakikuweza wanapelekesha mbaya
Napenda de way unasimulia hata ambae anakichwa kigum anaerewa keep it up😘😘
Rest in peace mkuu mugabe.. MUNGU bado anatutazama wanadamu tunaojiona ndy kila kitu kwenye ulimwengu huu wa mwanga na giza ila tuzidi kumuomba yeye..🙏🙏
Kama unaingalia 2020 piga like
Asante sana maana mimi nilimchulia mtu gaidi...mungu alaze mahala pema pepon amen
Pole sana kwa kukaririshwa
Hili pindi ni kali sana kama unakubak gonga like
Kwa hilj nimekubali uko makini
Nikweli alikua kiongoz mahilii ila duuuuuu!!!!!!!!
Kila mtu ana uzuri na ubaya wake 🙌🙌
Wow mtangazaji unanikosha Sana brother 🤗😘
Daah Napenda Sana Usimuliaji wako Kaka Mtiga🔥🔥🔥
Mugabe kiboko bwana
Asante sana mtangazaji!
Mimi nahitaji simulizi kama hizi zitawale zaidi.
Wazungu wanajaribu kuchafua vichwa vya wengi wetu!
Mko vizuri story book
Tuleteeni pia story ya Burundi kwa ihsani yenu
Tatizo letu Weusi huwa hatupeani support
Hii ndo media pendwa Tanzania kwa sasa.... Keep it up Wasafi
The really legend of AFRICA
Asante mwandishi nahisi tumejifunza mengi
Nilisema na ukafanya big thanks 👍💕👌
Asante the story book niiomba sana hii story
I respect u on what you are doing coz you know how to find the truth
Nice presentation bro
Umetufungua macho
Mtiga ni fire🔥
Am just loving the story book
Miriam,
RIP sir, you did enough for us. A luta continua✊🏾 Respect from DR of Congo🇨🇩
Brother w ni noma saana
bro you made me cry😟
Jembe hili..SIMBAAAAA..
Nakubali sana mtiga abdala sauti imeweza kipaji uko nacho big up!👊👊👊
Jamani hiyo sauti yako we kaka mtiga 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Mmy naomba namba yako please yangu 0745720466
Tujiulize sana kwanin mashujaa, na wanaharakat (wapigania uhuru wa Africa wanapatwa mauti katika hospital za ulaya pale tuwapelekapo jili ya matibabu ( r. i, p)Zimbabwe freedom fighter
Wilson John sababu bado Uhuru haujapatikana kutokana na kuisha kwa mafreedom fighter
@wilson john umeuliza swali zuri sana tena la msingi
Hii ndo ujue kuwa bala la africa linapigwa vita na mataifa yalioendelea ili tudidimizwe kiuchumi, hakili na afya kwa kuwaangusha watetez wa africa kama ilivyo kwa mwalim jk nyerere
Swal zuri sawa na bob marley
The big problem
Ni kwel kabisa tunakumbuka mambo ambayo siyo ya msingi
Nkiangalia huku namuona mtiga,juu naona ananius hahahaa gonga like kama unamkubali mtiga abdala
Kiuhalisia mugabe alikua simba haki yke kukaa madarakani mpka kufa
We jamaa unayesoma unajua kazi unayoifanya Upo vzr sn , kaza buti Upo vzr sn
Waheshimuni sana wanawake wenye mimba kwamaana nimtu pekeee ambae anatembea na ushahidi kuwa wamefanya mapenzii da Mugabe ni balaaaaa navoskiia ivi namwona nyerere mana vuchwa vyao nisaw Africa unity
Big father president
Ongera sana in AFRICAN
Mtiga respect kwako
mungu nisaidie nije kuwa raisi kama mugabe,magufuli na gadafi nikomboe waafrica ee mwenyezi mungu nisaidie niwe mzalendo daima.
Hongera simba kwakuongeza ushindani wa tasnia ya Sanaa sio kila siku radio na tv moja tu
Safi sana
I really admire his voice when he was speaking. Rest in peace "lion of Africa "
Excellent
Umetisha kiongoz 👏👏
Kazi nzuri sana, nashukuru kwa historia hii Kumhusu Hayati Mugabe. Naomba utuletee yake Nabii Dr. David Owuor.
Vizuri sana ndugu uko vizuri sana
Nakwenda Zimbabwe
Mugabe❤❤❤ the legend of Africa.
Uko vizuri kaka
Hawajaisha wote amebaki Kenneth Kaunda wa Zambia
ISAAC SIMON kweli
Yaan ww kka unasauti nzuli sana
Dah nimechelewa
Respect kwa mugabe...he was real man. No fear. Rip.simba wa Afrka
MTIGA ABDALLAH🔥🙌
Alikuwa na akili nyingi sana huyu mzee.Hajawahi kuwa dictator ila hila za wazungu.
Me nakupa hongera bro umekuw mtu wa kuigwa kwa kufafanua vitu km hivi tofauti na wanaotutafutia habr za udaku...keep it up
Wazungu wapumbavu sana ,,,Safi sana Rais Mugabe sijawahi kufaham kama ndo ulikua Unamsima hvo.
Hongera Sana mugambe
Mgabe Rais wetu
Wasafiiiiiii
R.I.P the Lions of Africa.. Nyerere, Mugabe, Mandela
Do a story on President Jomo Kenyatta for all our Kenyan Brothers.
Mashujaa day is coming up on 20 October
Hadithi nzuri sana na ingependeza kama waafrika wote wangejua hii story maana inajenga xana
Wazungu washenzi kwlkwl ......lkn watu weusi sisi bado tunawashobokea
wazungu hawana maana .....wale hawatupendi ....
duuuh text zinakatwa .....
Hassan Massaga Hakika
Wanauwezo wanaongoza dunia wakatae ufe na njaa
Km umeyakubali maneno ya Mugabe gonga like hapa Obama km unataka tukubali ushoga Njoo nikuanze ww
Story nzuri sana rest in peace Mugabe
Mwamba kabisa 🙌🔥🙌
Asante
May Your Soul Rest In Peace Hon. Mugabe ...!!!
Kipindi changu pendwa 💥 support by konde gang
konde gang hivyo ndo inavyotakiwa
My favorite artist konde boy 💪👊👊
konde gang siku hizi una comment kwenye ma video
Elifasi Nimpagaritse
hyo sio konde gang,,monde gang account take INA herufi kubwa
hey
Nice mtiga bro
Tupe na ya nyerereee arifu
Kama umemkubari huyu mzee baba mpe like zake hapa
Sujaa ssna
Mugabe me alikuwa ananiacha hoi tu alivyokuwa akisinzia hadharani😂😂😂😂😂ninachompendea zaidi mugabe ni ujasiri wake wa kupambana na wazungu...
aaaah sawa mama
Zuley Vendor Alikua amezeeka
Huzee ulichangia
Malikia hana mamlaka yeyote ni cheo cha heshima tu Kama ilivyokuwa kwa machief na watemi hapa TZ .Ila wameamua kukienzi cheo cha umalikia kuna utofauti uraisi au waziri mkuu. Ndo maana uingereza wanafanya uchaguzi wa waziri mkuu kila baada ya miaka Mitano.
I lyk dis man.shujaa sana huyu
watu waliozaliwa miaka ya 20's...wako genius sana
Rest in peace simba(lion) of AFRICA❤
Kifo ni aki yetu ata kama wange kaa miaka miatatu wao wange kidai2 cha muimi ni kuwaombea kwa mungu mwenye nguvu awapumuzishe kwa amani
mugabe kwa quotes zake nimejifunzaga kwake nakucheka pia
I respect ever 4rever RIP MUGABE
Mke wa Mugabe Grace ndiye aliyeharibu sfa za rais huyu.Nchi ya Zimbabwe sasa inasikitisha.
🔥🔥🔥🔥🔥
R.I.P ....Mugabe +254😩😩
Pw
Documental hongera saaaana kwa usimulizi mzuri
Noma sanaaaaa👏👏👏👏👏
🔥🔥HATARII🙏🏻🙏🏻 TUNAPENDA tumpate mtu mwingine kama MUGABE.. R.I.P MUGABE
i doubt john pombe magufuli is likely to be like him
Big up sana *Mugabe* , duuh Africa Tumepoteza wasimamizi wetu wanaosimama nakusema bila uoga kabisa tuseme *Mugabe Simba from Africa*
Gonga like kama unamkupali mugabe aliposema wazungu wa cls midom yao
Nimekukubali kwahii stor
Wow now i know.. Thanku fo this
Mugabe Cio mchezo kwa kweli!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama unamkubali mugabe nautaji like zang hapa
heshima ya Africa
brother unajua kupangilia maneno, nimependa sana hapo kwa malikia na huku afrika
Kifo si kazi ya mungu bro
Aiseeee appreciate Daddy Robert Mugabe We will miss you forever and for always😓😂😓😂😓😂
Thanks for reminding us what is important lest we forget