VITUKO VYA MUGABE NI AIBU NA USHUJAA !!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #Thestorybook Simulizi ya Maisha ya Raisi wa Kwanza wa Zambia Robert Mugabe.

Комментарии • 573

  • @nancykaona2054
    @nancykaona2054 5 лет назад +23

    Asante sana mtiga . Sikuwa najua nimemezeshwa ujinga na wazungu.ilove you mugabe

  • @cruzzymsomalitm7676
    @cruzzymsomalitm7676 5 лет назад +655

    😂😂😂😂 Mugabe ni konki 🔥fireeeeee kama tunao mkubali mugabe tujuane kwa kulike

  • @lupenzakenny8893
    @lupenzakenny8893 4 года назад +7

    Ni bonge la kiongozi ,alikua na xifa zote,alikua anafaa, hakika alijiamini na aliamini kua mungu Ni wetu xote sio wawazungu tu no, Kama unaamini hilo gonga like zako hapa

  • @ceciliamatumla5939
    @ceciliamatumla5939 5 лет назад +69

    Nilikua namkubali mno huyu mzee nilikua nampenda jmn rest in paradise Mugabe😥😥

  • @ahmedshaban9111
    @ahmedshaban9111 5 лет назад +37

    Sifumbi macho kwenye kujifunza
    You are the best Mtiga

  • @geofreymsengi9971
    @geofreymsengi9971 4 года назад +8

    Upo vizur kaka unajua kuadithia yaan nasikiliza hata sichoki Nice work bro

  • @yonamwakamele
    @yonamwakamele 5 лет назад +82

    Safi sana Media zote wangekuwa kama wew basi Waafrika baadhi wanaopumbazwa na wazungu wakapumbazika kuua na kuchafua viongozi bora wa Africa wangebadilika.

  • @stephanieeunice8572
    @stephanieeunice8572 5 лет назад +41

    The love I have for this guy's voice ooh my,but I love intelligent,sharp and articulate men.Mtigah keep it up,I love you

    • @H2025-y8g
      @H2025-y8g 5 лет назад +1

      big up kwa *Ananias Edger *

    • @sospetersiame906
      @sospetersiame906 4 года назад

      Nilimpenda sana mugabe huyo kwakweli wazee wetu hao ni majasiri sana walikuwa hawaogopi mtu ma wazungu wakikuweza wanapelekesha mbaya

  • @bridgettjohn7811
    @bridgettjohn7811 5 лет назад +14

    Napenda de way unasimulia hata ambae anakichwa kigum anaerewa keep it up😘😘

  • @kelyanjeremiya2533
    @kelyanjeremiya2533 5 лет назад +43

    Rest in peace mkuu mugabe.. MUNGU bado anatutazama wanadamu tunaojiona ndy kila kitu kwenye ulimwengu huu wa mwanga na giza ila tuzidi kumuomba yeye..🙏🙏

  • @naamanbenedict3781
    @naamanbenedict3781 4 года назад +22

    Kama unaingalia 2020 piga like

  • @immamrema2288
    @immamrema2288 5 лет назад +5

    Asante sana maana mimi nilimchulia mtu gaidi...mungu alaze mahala pema pepon amen

    • @pendael02
      @pendael02 5 лет назад

      Pole sana kwa kukaririshwa

  • @djrautz733
    @djrautz733 5 лет назад +217

    Hili pindi ni kali sana kama unakubak gonga like

    • @marthanjau6618
      @marthanjau6618 3 года назад

      Kwa hilj nimekubali uko makini

    • @gersonjohakm1935
      @gersonjohakm1935 3 года назад

      Nikweli alikua kiongoz mahilii ila duuuuuu!!!!!!!!

  • @brokenigga2842
    @brokenigga2842 5 лет назад +16

    Kila mtu ana uzuri na ubaya wake 🙌🙌

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 5 лет назад +9

    Wow mtangazaji unanikosha Sana brother 🤗😘

  • @joshuamcompanyjoshuamgusi7175
    @joshuamcompanyjoshuamgusi7175 5 лет назад +10

    Daah Napenda Sana Usimuliaji wako Kaka Mtiga🔥🔥🔥

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 5 лет назад +2

    Asante sana mtangazaji!
    Mimi nahitaji simulizi kama hizi zitawale zaidi.
    Wazungu wanajaribu kuchafua vichwa vya wengi wetu!

  • @teljanahmed2051
    @teljanahmed2051 4 года назад +2

    Mko vizuri story book
    Tuleteeni pia story ya Burundi kwa ihsani yenu

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +12

    Tatizo letu Weusi huwa hatupeani support

  • @jifaqmoonwalker6032
    @jifaqmoonwalker6032 5 лет назад +6

    Hii ndo media pendwa Tanzania kwa sasa.... Keep it up Wasafi

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 5 лет назад +13

    The really legend of AFRICA

  • @lizbethkisasa5060
    @lizbethkisasa5060 5 лет назад +7

    Asante mwandishi nahisi tumejifunza mengi

  • @riziki2542
    @riziki2542 5 лет назад +3

    Nilisema na ukafanya big thanks 👍💕👌

  • @wakujamedia-tz
    @wakujamedia-tz 5 лет назад +6

    Asante the story book niiomba sana hii story

  • @ivetamasae3172
    @ivetamasae3172 5 лет назад +11

    I respect u on what you are doing coz you know how to find the truth

  • @tumainieldanistan2472
    @tumainieldanistan2472 5 лет назад +7

    Nice presentation bro
    Umetufungua macho

  • @goodhopeofficial8041
    @goodhopeofficial8041 5 лет назад +19

    Mtiga ni fire🔥

  • @mariahwanjiku1809
    @mariahwanjiku1809 5 лет назад +5

    Am just loving the story book

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 5 лет назад +6

    RIP sir, you did enough for us. A luta continua✊🏾 Respect from DR of Congo🇨🇩

  • @eltonjohnivyishaka29
    @eltonjohnivyishaka29 5 лет назад +10

    Brother w ni noma saana

  • @harselybayo4466
    @harselybayo4466 5 лет назад +4

    bro you made me cry😟

  • @saidsoud5967
    @saidsoud5967 5 лет назад +10

    Jembe hili..SIMBAAAAA..

  • @mustialjumi8213
    @mustialjumi8213 4 года назад +2

    Nakubali sana mtiga abdala sauti imeweza kipaji uko nacho big up!👊👊👊

  • @Daphne362
    @Daphne362 5 лет назад +4

    Jamani hiyo sauti yako we kaka mtiga 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

    • @djdino2250
      @djdino2250 5 лет назад

      Mmy naomba namba yako please yangu 0745720466

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 5 лет назад +34

    Tujiulize sana kwanin mashujaa, na wanaharakat (wapigania uhuru wa Africa wanapatwa mauti katika hospital za ulaya pale tuwapelekapo jili ya matibabu ( r. i, p)Zimbabwe freedom fighter

    • @jackfimbo4486
      @jackfimbo4486 5 лет назад +1

      Wilson John sababu bado Uhuru haujapatikana kutokana na kuisha kwa mafreedom fighter

    • @amevuai8724
      @amevuai8724 5 лет назад +1

      @wilson john umeuliza swali zuri sana tena la msingi

    • @josiahjohn5230
      @josiahjohn5230 5 лет назад +2

      Hii ndo ujue kuwa bala la africa linapigwa vita na mataifa yalioendelea ili tudidimizwe kiuchumi, hakili na afya kwa kuwaangusha watetez wa africa kama ilivyo kwa mwalim jk nyerere

    • @ebbycronal7011
      @ebbycronal7011 5 лет назад +1

      Swal zuri sawa na bob marley

    • @mtulivuindustryltd2356
      @mtulivuindustryltd2356 5 лет назад +1

      The big problem

  • @barakamafwimbo8323
    @barakamafwimbo8323 5 лет назад +4

    Ni kwel kabisa tunakumbuka mambo ambayo siyo ya msingi

  • @filbertkapama8824
    @filbertkapama8824 5 лет назад +90

    Nkiangalia huku namuona mtiga,juu naona ananius hahahaa gonga like kama unamkubali mtiga abdala

    • @amoursalum272
      @amoursalum272 3 года назад

      Kiuhalisia mugabe alikua simba haki yke kukaa madarakani mpka kufa

  • @leonardqamunga6218
    @leonardqamunga6218 5 лет назад +6

    We jamaa unayesoma unajua kazi unayoifanya Upo vzr sn , kaza buti Upo vzr sn

  • @francekabelege2998
    @francekabelege2998 4 года назад +2

    Waheshimuni sana wanawake wenye mimba kwamaana nimtu pekeee ambae anatembea na ushahidi kuwa wamefanya mapenzii da Mugabe ni balaaaaa navoskiia ivi namwona nyerere mana vuchwa vyao nisaw Africa unity

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 лет назад +32

    Big father president
    Ongera sana in AFRICAN

  • @faridaminzi4353
    @faridaminzi4353 4 года назад +2

    Mtiga respect kwako

  • @rnoboeofficial5338
    @rnoboeofficial5338 3 года назад +1

    mungu nisaidie nije kuwa raisi kama mugabe,magufuli na gadafi nikomboe waafrica ee mwenyezi mungu nisaidie niwe mzalendo daima.

  • @shabankawambwa4397
    @shabankawambwa4397 5 лет назад +2

    Hongera simba kwakuongeza ushindani wa tasnia ya Sanaa sio kila siku radio na tv moja tu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад +1

    Safi sana

  • @barakastephano6144
    @barakastephano6144 5 лет назад +33

    I really admire his voice when he was speaking. Rest in peace "lion of Africa "

  • @zechyulewagreenapple5705
    @zechyulewagreenapple5705 4 года назад +1

    Excellent

  • @elianaminja5585
    @elianaminja5585 5 лет назад +3

    Umetisha kiongoz 👏👏

  • @valture100
    @valture100 3 года назад

    Kazi nzuri sana, nashukuru kwa historia hii Kumhusu Hayati Mugabe. Naomba utuletee yake Nabii Dr. David Owuor.

  • @Freecross189
    @Freecross189 5 лет назад +1

    Vizuri sana ndugu uko vizuri sana

  • @wcb4life859
    @wcb4life859 5 лет назад +16

    Nakwenda Zimbabwe

  • @blezywatino1043
    @blezywatino1043 2 месяца назад

    Mugabe❤❤❤ the legend of Africa.

  • @tatukinyogoli9001
    @tatukinyogoli9001 5 лет назад +1

    Uko vizuri kaka

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 5 лет назад +23

    Hawajaisha wote amebaki Kenneth Kaunda wa Zambia

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 5 лет назад +4

    Yaan ww kka unasauti nzuli sana

  • @pragodisama1217
    @pragodisama1217 5 лет назад +11

    Dah nimechelewa

  • @zenamiraji9062
    @zenamiraji9062 5 лет назад +14

    Respect kwa mugabe...he was real man. No fear. Rip.simba wa Afrka

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 5 лет назад +11

    MTIGA ABDALLAH🔥🙌

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 5 лет назад +61

    Alikuwa na akili nyingi sana huyu mzee.Hajawahi kuwa dictator ila hila za wazungu.

  • @Johnkokolo
    @Johnkokolo 5 лет назад +1

    Me nakupa hongera bro umekuw mtu wa kuigwa kwa kufafanua vitu km hivi tofauti na wanaotutafutia habr za udaku...keep it up

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 5 лет назад +2

    Wazungu wapumbavu sana ,,,Safi sana Rais Mugabe sijawahi kufaham kama ndo ulikua Unamsima hvo.

  • @pastorndabilajembelayesu2063
    @pastorndabilajembelayesu2063 3 года назад

    Hongera Sana mugambe

  • @mufamozmufash166
    @mufamozmufash166 5 лет назад +8

    Wasafiiiiiii

  • @gracebalthasar3044
    @gracebalthasar3044 4 года назад +4

    R.I.P the Lions of Africa.. Nyerere, Mugabe, Mandela

  • @JefreyKings
    @JefreyKings 5 лет назад +6

    Do a story on President Jomo Kenyatta for all our Kenyan Brothers.
    Mashujaa day is coming up on 20 October

  • @moseking2400
    @moseking2400 5 лет назад +2

    Hadithi nzuri sana na ingependeza kama waafrika wote wangejua hii story maana inajenga xana

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 5 лет назад +42

    Wazungu washenzi kwlkwl ......lkn watu weusi sisi bado tunawashobokea

  • @ibrahimkassim1664
    @ibrahimkassim1664 5 лет назад +10

    Km umeyakubali maneno ya Mugabe gonga like hapa Obama km unataka tukubali ushoga Njoo nikuanze ww

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 5 лет назад +2

    Story nzuri sana rest in peace Mugabe

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 2 месяца назад

    Mwamba kabisa 🙌🔥🙌

  • @islamabdalab3457
    @islamabdalab3457 4 года назад

    Asante

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 5 лет назад +6

    May Your Soul Rest In Peace Hon. Mugabe ...!!!

  • @kondegangfans7368
    @kondegangfans7368 5 лет назад +45

    Kipindi changu pendwa 💥 support by konde gang

  • @pascalkapama2185
    @pascalkapama2185 5 лет назад +6

    Nice mtiga bro

  • @Jxcjs
    @Jxcjs 5 лет назад +6

    Tupe na ya nyerereee arifu

  • @johnsilima6789
    @johnsilima6789 4 года назад +14

    Kama umemkubari huyu mzee baba mpe like zake hapa

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 5 лет назад +34

    Mugabe me alikuwa ananiacha hoi tu alivyokuwa akisinzia hadharani😂😂😂😂😂ninachompendea zaidi mugabe ni ujasiri wake wa kupambana na wazungu...

  • @raphaelshan4905
    @raphaelshan4905 4 года назад +2

    Malikia hana mamlaka yeyote ni cheo cha heshima tu Kama ilivyokuwa kwa machief na watemi hapa TZ .Ila wameamua kukienzi cheo cha umalikia kuna utofauti uraisi au waziri mkuu. Ndo maana uingereza wanafanya uchaguzi wa waziri mkuu kila baada ya miaka Mitano.

  • @nassirmasoud6097
    @nassirmasoud6097 5 лет назад +2

    I lyk dis man.shujaa sana huyu

  • @jescajoseph3419
    @jescajoseph3419 4 года назад +2

    watu waliozaliwa miaka ya 20's...wako genius sana

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 5 лет назад +11

    Rest in peace simba(lion) of AFRICA❤

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 5 лет назад +4

    Kifo ni aki yetu ata kama wange kaa miaka miatatu wao wange kidai2 cha muimi ni kuwaombea kwa mungu mwenye nguvu awapumuzishe kwa amani

  • @johnsonjusto9564
    @johnsonjusto9564 5 лет назад +12

    mugabe kwa quotes zake nimejifunzaga kwake nakucheka pia

  • @mohdharoub7121
    @mohdharoub7121 5 лет назад +4

    I respect ever 4rever RIP MUGABE

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 5 лет назад +17

    Mke wa Mugabe Grace ndiye aliyeharibu sfa za rais huyu.Nchi ya Zimbabwe sasa inasikitisha.

  • @baroamani4420
    @baroamani4420 5 лет назад +12

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @peterswambua52
    @peterswambua52 5 лет назад +11

    R.I.P ....Mugabe +254😩😩

  • @mst1studio270
    @mst1studio270 4 года назад

    Documental hongera saaaana kwa usimulizi mzuri

  • @lizbethmacha384
    @lizbethmacha384 5 лет назад +1

    Noma sanaaaaa👏👏👏👏👏

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole3113 5 лет назад +1

    🔥🔥HATARII🙏🏻🙏🏻 TUNAPENDA tumpate mtu mwingine kama MUGABE.. R.I.P MUGABE

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 5 лет назад +3

    Big up sana *Mugabe* , duuh Africa Tumepoteza wasimamizi wetu wanaosimama nakusema bila uoga kabisa tuseme *Mugabe Simba from Africa*

  • @nomatter1239
    @nomatter1239 4 года назад +4

    Gonga like kama unamkupali mugabe aliposema wazungu wa cls midom yao

  • @Shaban-y5f
    @Shaban-y5f Год назад

    Nimekukubali kwahii stor

  • @kamutua6376
    @kamutua6376 5 лет назад +1

    Wow now i know.. Thanku fo this

  • @timilaimbazi8479
    @timilaimbazi8479 4 года назад +1

    Mugabe Cio mchezo kwa kweli!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @breyliker3490
    @breyliker3490 5 лет назад +32

    Kama unamkubali mugabe nautaji like zang hapa

  • @sayfu9842
    @sayfu9842 4 года назад +1

    heshima ya Africa

  • @jumamagali5089
    @jumamagali5089 5 лет назад +5

    brother unajua kupangilia maneno, nimependa sana hapo kwa malikia na huku afrika

  • @luchomodise
    @luchomodise 5 лет назад +2

    Kifo si kazi ya mungu bro

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 5 лет назад +6

    Aiseeee appreciate Daddy Robert Mugabe We will miss you forever and for always😓😂😓😂😓😂

  • @lillynjuguna3022
    @lillynjuguna3022 3 года назад

    Thanks for reminding us what is important lest we forget