Wafanyabiashara wa Maduka Jijini Mbeya Wagoma Kupinga Manyanyaso ya TRA
HTML-код
- Опубликовано: 22 май 2024
- Baadhi ya Wafanyabiashara wa Maduka Mwanjelwa Kata Ruanda na Kabwe Kata ya Iyela Jijini Mbeya wamefunga maduka yao kwa kile walichodai kunyanyaswa na watumishi wa Mamlaka ya Mapato(TRA)Mkoa wa Mbeya.
Wakiongea kwa nyakati tofauti baadhi ya wafanyabiashara na wanunuzi nje ya maduka wamesema hupata usumbufu kutoka kwa wafanyakazi wa TRA.
Kwa upande wake Musibu Shaban Meneja Mamlaka ya Mapato(TRA)Mkoa wa Mbeya amesema wao kama Mamlaka wanatekeleza majukumu yao zaidi wakidai baadhi ya wafanyabiashara hutoa stakabadhi kinyume na malipo.
Hivi karibuni akiwa Mbeya Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amepokea malalamiko na kuagiza malalamiko hayo yafanyiwe kazi.
Mgomo huo wa wafanyabiashara umeleta usumbufu mkubwa kwa wateja wanaotoka nje ya Mkoa na nje ya nchi ambao wengi wao hupata mahitaji yao maduka ya Mwanjelwa na Kabwe.
Mama yetu mpendwa Samia Suluhu tunaomba Utuletee Makonda 🙏🙏
hata huku kwetu vijijini maduka yamefungwa..! hongereni sana kwa mashikamano
Mku w mkoa makonda tu awa wengine ni waafuas tu
Jamani nichangamoto
Safi Sana mbeya
wenye thamana ni bunge
mbeya kijijini bado hajasema
Hii ya risiti ni kweli na sio Mbeya tu Tanzania mzima janja janja nyingi
Kivumbi leo
❤❤❤
Akuna fact apo,ww shenz kvsa mamntilie akuow rst
Kiukweli tunako elekea tutawaachia wao wafungue maduka waone ugumu wa kufanya biashara,sisi tuwe tunawakadilia ili waone wenyewe,servic red😂😂😂🤣
Selikali hainapesa inazidi kuingiza majambazi
Mfikemo yangu dah
ila umeeleweka mama, serekali mtusaidie mwee
Kweri tuta ishi 2
mbavu zangu mimi😂😂😂