SUGU AWAKA JIMBO LA MBEYA KUGAWANYWA, ATANGAZA VITA NA SPIKA TULIA,CHADEMA WAMJIA JUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 39

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    CHADEMA mko juu.Mmependeza CHUKUEN MAUA yenu hongereni sana.

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Год назад +2

    ccm wasenge sana 2025 lazima mnyooke tu mtake msitake.

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Месяц назад

    Sugu moto juu🎉🎉🎉

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos Год назад +2

    Umeme alisambaza JPM nchi nzima.

  • @sethmwakangata1871
    @sethmwakangata1871 Год назад +3

    Ongelea sera Kila siku Tulia je ndio maendeleo utakayoleta,Kwa kweli Sugu inaonekana Tulia unamwogopa sana.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад +1

      ccm wasenge sana mlizoea kubebwa lazima mtage 2025.

    • @abuorodismas3833
      @abuorodismas3833 Год назад

      Hawakumbuki wananchi wa mbeya walivyogoma na kutaka kuanzisha varangati hadi waziri mkuu Pinda akashindwa kuwatuliza hadi alipombembereza Sugu kuwatuliza ndipo mambo yakarudi shwari akapachikwa jina Rais wa mbeya !

  • @hudsonmwasambungu6842
    @hudsonmwasambungu6842 Год назад +3

    Huyu hawezi kumshinda Tulia hata aende kwao ukinga au uwanji kwanza ukilinganisha mtu mwenye upeo yeye Sugu hafikii

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад +1

      2025 lazima mfilwe wasenge wa ccm mlizoea kubebwa machoko nyinyi.

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Год назад

      Kwanza dalili kubwa za kuogopa kila siku ni tulia.ovyoo

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Год назад

      Upeo na kuwatumikia wananchi ni vitu viwili tofauti

    • @oscarkasalile3966
      @oscarkasalile3966 Год назад

      Kama nyie mnataka mumpe Tulia kwasababu ya ukabila mnafeli Sana ndugu zangu, hapa inatakiwa tupate kiongozi anaewapenda wananchi, tutoe ukabila, kitu kilichofanyika kwenye Bandari Dada yetu kashiriki kutuumiza watanzania, kukubari uwekezaji wa hovyo katika nchi yetu.

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Месяц назад +1

    Tulia tulia na mdogo wako mjenge mbeya gawaneni kwenye boksi la kura

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +2

    Genge la Chadema ni hovyo kabisa.

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Год назад +1

    Mbeya jiji kubwa lazima ligawanywe Kama vile Mwanza,Nyamagana na Ilemela Mwaga sera

  • @akramburuhani1247
    @akramburuhani1247 Год назад

    Nakukubali sana mkuu

  • @gordondavid6063
    @gordondavid6063 Год назад +1

    sugu meizi tu hufai

  • @KenthNdingo
    @KenthNdingo Год назад

    Sugu Tulia maji marefu endelea kubolesha muzika.

  • @paulkidola8856
    @paulkidola8856 Год назад

    Ndugu yangu ni Maskini wa hotuba za kijamii. Kama jamii unaeleweka

  • @lutegomakoyeluhahula361
    @lutegomakoyeluhahula361 Год назад +2

    Mbona Kama wasikilizaji wako hawakuelewi?

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      hawamuelewi kisa wewe choko umesema.

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Год назад +1

    Mbona kama unamuogopa tulia🤭🤭

  • @charleslyimo144
    @charleslyimo144 Год назад

    Jimbo la mbeya kuhawanywa !! Tulia apte sehm inayomuung mkono sugu achukue hilo la pili, kuna shida hapo?

  • @gordondavid6063
    @gordondavid6063 Год назад +1

    uyo mama kaongea point kuliko sugu

  • @SaidyLikaunga
    @SaidyLikaunga 8 месяцев назад

    Nakukuba sugu acha Wana mbeya watalia

  • @victorzimba3316
    @victorzimba3316 Год назад

    Dar nimechukia sana jana mbunge mtega amereta hoja wanawake wamevuliwa nguo na kuwapiga na upanga wenye moto tulia anatetea je angekuwa nama yake angesubili? na je kufanya hivyo si kujichukulua sheria mkonon

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 10 месяцев назад

    Mpinga maendeleo wewe mda wako umekwisha na Jimbo litagawanywa na hukuna Jimbo utakalopata wewe

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422

    pamoja mwamba usisahau katiba mpya

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe6467 Год назад

    Hoja zimeisha miaka kumi inatosha Sasa HIV hatuitaji ngonjera, Mwanza imegawanywa Dar imegawanywa, kipindi chako ulippiga mpunga wa Barbara za mkopo Toka benki ya Dunia zimejengwa chini ya kiwango

  • @amigo1170
    @amigo1170 Год назад +1

    Brother NIPO nyuma yako

  • @machangoemanuel6174
    @machangoemanuel6174 Год назад

    Sugu

  • @amigo1170
    @amigo1170 Год назад

    Hawa niwalembo tu wanafunga vibaka kwatamaa za muda

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      lazima mfilwe 2025 mlizoea kubebwa wasenge nyinyi.

    • @victorzimba3316
      @victorzimba3316 Год назад

      Tuambie ukubwa wa jiji la mbeya au unajuwa tu kubwa ugawanye hapo mbeya inaanzia igawa mwisho mbalizi ukubwa upo wapi sema. Kwa uwakika

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Год назад

    Mbeya hawataki muimbaji

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Год назад +1

    Mbeya jiji kubwa lazima ligawanywe Kama vile Mwanza,Nyamagana na Ilemela Mwaga sera