Mvua zasababisha Mlima Kawetere kumeguka Ujiuji wafunika nyumba 20 kata ya Itezi Jijini Mbeya
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde Juma Z. Homera amefika Mlima Kawetele uliopolomoka Alfajiri ya Leo na Kusababisha Kufukiwa kwa Nyumba 20, Ng'ombe Wanne na Kuharibika kwa Miundombinu ya Shule ya Generation katika Mtaa wa Gombe Kata ya Itezi Halmashauri ya Jiji la Mbeya.
Akizungumza baada Kuwasili eneo la Tukio RC Homera amekanusha Uvumi unaozagaa Mtandaoni ukidai Kuna Maafa katika tukio hilo ambapo amesema zaidi ya hivyo vilivyotajwa Aya ya Kwanza hakuna Madhara mengine Wala Maafa kama inavyoripotiwa na Baadhi ya Watu.
Aidha Homera ameiagiza Halmashauri ya Jiji la Mbeya kufanya Tathimini juu ya Waathirika hasa wale wasio na Malazi ya Kulala wahakikishe wanapatiwa Sehemu hizo wakati huu ambao Serikali inaendelea kupambana kuhakikisha Hali inakuwa Sawa katika Maeneo hayo.
Pia amekiagiza Kitengo Cha Ardhi Halmashauri ya Jiji la Mbeya kuacha kuwapimia Wananchi Viwanja eneo lenye Changamoto hasa ya Mkondo wa Maji kwa kufanya Kwao hivyo kutasababisha Matatizo kama hayo ambayo yangeweza kuzuilika.
Tukio hilo limetokea Alfajiri ya Kuamkia Leo ambapo chanzo Chake ni Mvua zinazoendelea Kunyesha Mfululizo na Matukio yanayofanana na haya yamekuwa yakitukia Mikoa Mbalimbali ikiwemo Mikoa ya Arusha na Lindi.
Poleni sana ndugu zetu Tuombe Mungu aturehemu wa Tz atuepushe na majanga yote
Ifikie wkt tuungane kumuomba Mungu msamaha mbona nyuma haya hayakuepo tukae chini tutafakari bila kujali itikadi za dini. Mungu anasamehe katikati ya ghadhabu anakumbuka rehema😭😭😭😭
Jaman mwaka wamajanga huu kila kukicha matukio
Poleni sana ndugu zetuni. Ila tujueni kwamba mungu yupo na mungu anawesa tuwacheni kumuhuzi mungu tuwacheni kucheza na mungu maan kwasasa binadamu tumekua tukizecha na mungu kwa mufano watu wengine wamekua wakiabudu binadamu badala ya kumuabudu mwenyzi waongo tu ebu tumurudieni mungu wetu maan emeanza kuruonyesha kwamba yupo
Mungu baba tunaomba tusamehe sisi waja wako kwa kutenda maovu mbele zako , tuepushe na majanga ya aina yoyote yale
Polen sana ndg zetu Mungu awatunze mliyokutwa na matatizo
Poleni sana ndg zangu wa Mbeya Mungu aweke wepesi mvua za mwaka huu kira sehem majanga kikubwa tumombe Mungu atuwekee wepesi
Poleni sana watanzania wenzetu tumombe sana mungu .
Poleni sana. Haya ndiyo yaliyotupata huku Katesh HANANG Manyara.
Poleni sana wahanga poleni mkuu wa mkoa na mbunge na Rais wetu Mungu iponye Tanzania
Dah! Mkuu wa Mkoa instead of giving a way out kama mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama, wewe unazugumzia kuwa mbunge anatamani kupaa!? Sasa kupaa kwa mbunge kwenye madhira haya kusaidie nini!? wewe ndiye mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama sio huyo mbunge, so baadala ya kuzungumzia habari za ambaye hawezi kufika hapo Kwa muda huu, saidieni watu waliopata madhira common man, unasema mbunge ana protocol gani kwenda kuona watu wake walioathirika na hilo balaa jimboni kwake!?, hapo haendi kama speaker bali anaenda kama mbunge brother, please tunaomba saidieni watu hawa baadala ya hizo siasa.
Ilikua mwaka 2010 nikiwa mfanyakazi wa Sogea satom tulikua tunajenga tenk la itez lkn nikaona maajab ya wananchi wakulima katika mlima kawetere nakumbuka niliwahi kuandika kuhusu athali za kilimo Kando ya mlima na nikasema Wilayan ya Rungwe Ina mvua nyingi wilaya imepiga marufuku kilimo kwenye minuko hivo mlima kwetere ulitakiwa kua ni mlima wa hifadhi chini ya uangalizi wa wizara husika,kwa mgeni yeyote akififika mbeya atashangaa jinsi mlima ulivyo vamiwa na wakulima na wajenzi hii ndio mbeya
Wiki iliyopita nilishangaa watu walivyolima juu mlimani na makazi yapo chini na serikali ipo kimya, tusipochukua hatua tutashuhudia zaidi ya haya
SHIDA SANA, UKIKAA MLIMANI UNAPOROMOKEEWA NA UKIKAA BONDENI UNAFURIKIWA NAMAJI, SASA TUKAJENGEE WAPI?
kajengeni mbinguni
Poleni sana ndugu zetu Mungu atusaidie sana majanga mengi huu mwaka
Pole sana wenzetu Mungu awatie nguvu na awape faraja ya pekee.
Poleni sana ndugu zangu
Hii ni sauti ya Mungu inataka tubadilike
Tena nikazi dogo sana kwa mungu kutuondolea majanga kama tutarudi kwake kuomba toba na msamaa😢😢😢😢
Poleni sana wahanga
Jamani poleni sana wapendwa
Poleni ndugu zetu
Mbeya yote ina takiwa ku fanyiwa “MASTER PLAN”, ambayo ita saidia sana ku epusha maafa makubwa kama haya. Tuna mshukuru MWENYEZI MUNGU kwamba, hakuna kifo kilicho tokea kwa mwanadamu yeyote. Amen 🥺🙏🏾
Poleni Sana ndugu zangu watanzania na wanambeya, tumuombe MUNGU ni mwema kwetu
Jaman kunakitu tz siobure
Tuwe karibu na Mungu ndugu zangu
poleni sana ndugu zetu
Poleni Sana ndugu zetu
Poleni ndugu zetu.
Poleni ndg zetu wa Mbeya Mungu awasaidie
Pole sana🎉
Poleni sana ndugu wote mungu atawasimamia
Poleni sana ndg zetu huko mbeya Mungu awatetee mvuke hili janga. Lakini je wwatu wetu wore wako salama?
Poleni sana nduguzetu
Mungu tuteee kwa kweli maana hatuelewi hii mvua ni mvua gani wakristo tuombe
Duu Polen jaman Maana hyo ni vurugavuruga eeee Mungu wang, chakushkru uzma upo Maana ingekua uck wa manane huenda yangetokea mengne
Poleni sana
Ee mola utulehemu tanzani yetu ili tope linataka nn tanzania jamani tumludie mungu nyakati hizi mungu anataka kusema nasi amina
Poleni sana watanzania mlioko mbeya Kwa majanga hayo ya land slide.mungu awatie nguvu.
Tukumbuke semina ya Mwalimu Mwakasege ya mwaka jana mwezi wa 3 .mambo mabaya yatakayoipata nchi kwa miaka minne .tuombe sana
Poleni ndugu zetu Kwa janga
Polen Sana watu mbeya kwachangamoto za mafuliko
Izi mvua ni kuomba Mungu tu Kila sehemu inanyeshaa na madhara ni mengi.. aisee tuombee uzima maana hali inatisha
Poleni Sana mbeya
Waaambiwe na watu wa mwanza linakuja kwao wahame
Poleni sana ndugu zetu wanambeya
Kweli mwakahuu nimajanga jaman tumuombee sana mungu
Daa pole sana nduguzangu mbeya pole
Poleni sana Mungu awalinde
Jamani Kuna watu mji wa Singida wamejenga karibu majabali makubwa, serikali fanyeni tathimini ya stability ya majabali hayo kumbe huenda Kuna siku yataanguka na kuleta madhara Kwa watu.
Kwel kabisa mitaa y misuna ile duu
Polen sana
daa kuna mwamba naona nyumba yake pale pembeni kwakweli anamshukulu Mungu tu,
Tatizo ni pale tulipo acha uongozi wa ki chifu
Machifu walikuwa wanaheshimiwa na kuogopwa
Walikuwa wakikataza uharibifu wa mazingira,lilikuwa linatejelezwa
Sasa rushwa imetawala,mwenye jukumu la kutunza mazingira hawawajibiki😮
Pore ndugu zetu mungu amewasaidia
Poleni Mungu na awafanyie njia kwa yote
Poleni ndugu zangu
Pole
poleni wahanga
Poleni tunasikitika wote Hakuna anaye furahia jambo hili
Duuuh Pole sana
Tunamuomba tulia na mama samia awasaidie haraka mkoa wa mbeya
Poleni jamani Mungu awafanyie wepesi. Kweli hizi ni siku za mwisho
Tuweke hazina zetu mbinguni.
Mnawatukuza machifu kuliko Mungu bado mtajua mpaka mumheshimu Mungu mtajua kuwa Mungu ni mkuu tena anaogofya yeye ni wakuogopwa mnatuletea ushoga Tanzania haya mnayoyaona yalisha wakuta watu wa sodoma na gomola yani wanawake kwa wanawake waoane kweli kisa misaada eti haki za binadamu siushetani huu kisa mikopo msituletee laana mkono wa Mungu umekuwa mzito juu utawala huu kama wa Nebukadreza jitakarini wapi mnlipeleka taifa hili.
Poleni
Haya yote niutimilivu wa kumalizika kwa dunia yesu Yuko njiani kutuijia jiandaeni viumbe asili vinaashiria
Turudieni kwa mungu sana allah atuhifadhi na mitihani
Polen sanaaa ndugu zangu
Poleni sana wapendwaaa😢😢😢
Poleni Sana wanambeya
Siku zamwisho niza hatari,Mungu atusamehe makosayetu
Dah mungu atunusuru na majanga Aya
Poleni wanambeya wenzetu
Mbn matujio haya utokea jumapili
Polen wote mlio patwa na mahafa hayoooo mungu awaponye na mahafa yalio tokea Jana
Poleni nyote mnaokubwa na janga hili
Poleni saana jamaan
POLENI SANA WAPENDWA
Poleni sana jamani
Poleni jamani
Eee Mungu tusaide tz
Duuh poleni majirani zangu itezi😴
Ndugu jamaa na marafiki tuweni pole na hayo mafuriko
NI WAKATI WA TOBA MATHAYO 24
Poren sana mungu atusaidie tu
Duuuu😢😢 polen sana ndugu zangu
Power sana kwa mfuliko
Mungu awasaidie
Poleni watanzania wenzet
KAULI YA KITAIFA YA KIONGOZI WA NCHI WA KWA WANANCHI KWA IMANI ZAO ITATOKA LINI?
Polensa
Polen ndugu zangu
Hii mvua.. daaa
pole sana hatari mwaka huu
Atari sana jamani mungu atusamehe turipomkosea maana majanga kira kukicha
Tumuombe tuu Mungu atunusuru maana hatuna ujanja dunia na vyote vilivyomo ni mali yake
Wah pole mama😢
Niongee ukweli tuu mazingira tunaharibu wenyewe binadamu rakin wataaramu wa majanga wanasema majanga yanayo tokea duniani % 96 tunasababisha binadamu % 4 tuu ndo majanga ya asili ya mwenyezi MUNGU mwenyewe
Poleni ndugu zangu wana mbeya hiii mvua inatisha tunashukuru Mungu kwa uzima aliowachia
Daaa pôleni sana jamani nyumbani hapo
Mwakasendo
E Mungu utusamehe maasi yamezidi