BABA ANYIMWA KUZIKA MWANAE ALIYEFARIKI KWENYE AJALI YA MAJI AFUKUZWA MSIBANI MWANASHERIA AFAFANUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 апр 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Комментарии • 249

  • @julianamachumu7188
    @julianamachumu7188 Месяц назад +2

    Uyo baba alitia mimba tu maitaji ya watoto atajua mama mwenyewe Safi sana mama

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Месяц назад +8

    Baba kama ni damu yako inuwa mikono shukuru Mungu atajibu. Damu haipotei hakimu wa mwisho ni Mungu.

    • @mwabuselectors
      @mwabuselectors Месяц назад +2

      Trust me hii kama kwli ni damu yake Itajibu siku. Nimepitia hapa comments wengi wanamcheka kua labda alikua haudumii.. Ofcourse inabid kujua both side stories ila haiondoi ile position ya jamaa kama alikua kweli ni baba wa mtoto. na hii its more spiritual than what people thinks in physical world..

  • @elizabethsangure4677
    @elizabethsangure4677 Месяц назад +4

    Ulikuwa wapi wakati msalaba unaandikwa? Maana yake hukushiriki toka mwanzo umeenda saa ya kuzika tu, duh

  • @consomaslani7522
    @consomaslani7522 Месяц назад +2

    Pole baba jina jina anapojitokeza kwenye tukio na kukuta jina halipo wakati hata ada hajui ni shi ngapi mtoto anakula nini yupo kama hayupo pole 😢

  • @NimahNchina
    @NimahNchina Месяц назад +1

    Ila selikali ingeangalia namna nyingine kwa upande wa wananwake wanaotelekezwa na watoto alisilimia kubwa wababa wanatelekeza watoto bila ya kujua wanaishi vip wanakula vip pongezi kwa mwanajeshi yeye ndo anajua watoto wale nini wasome shule gani wanavaa nini ila kwa sasa sheria itaingingia kumkandamiza huyu aliyevaa kiyatu kisichomhusu lakini kaeni mkijua single mothers wanateseka sana na majukumu ya kulea watoto

  • @catherinecharles8710
    @catherinecharles8710 Месяц назад +1

    Wanaume mmejua sana kukwepa majukumu likitokea lakutoe ndo mnaanza kudai haki, hamjui mtoto anakula nn, anavaa nn, anaenda vipi shule then wataka haki wanaume mjitafakar sana ata kama mama pia nichangamoto, tunza mtoto wako kama kweli nidamu yako ata ukitaka haki upewe bigup mother 💪💪💪

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Месяц назад +9

    Hii rambi rambi imefumua mengi mwaka huu 🙌🙌💔

  • @sophiagogola7866
    @sophiagogola7866 Месяц назад +6

    Mkome wanaume kutelekeza watt

  • @DM_15
    @DM_15 Месяц назад +2

    Hapo nduguyangu pole huyo mwanamke inaonyesha alisha anza kuchepuka nahuyo mjesh kabla hujatengana nae. Huyo mtoto huenda niwamwanajeshi ila alishikamimba akiwa kwako. Ndio wanawake tulionao sikuhiz kaka

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Месяц назад +5

    Hv mtu hakupi huduma yeyote ya mtoto miaka 5_10 hafu anaskia changamoto ndo analeta fuvu lake eti mwanangu hebu acheni hizo mambo bwana msichoshe mtoto ! Me bado sijakuelewa hata kidogo

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 Месяц назад

      Huduma inahusiana nn na jina la mtt???

    • @pendomushi6351
      @pendomushi6351 Месяц назад

      @@ernestsereli8559 vina uhusiano Sana kama umemtelekeza Toka azaliwe nakupa Hilo jina la Nini labda

  • @witneyjerry2587
    @witneyjerry2587 Месяц назад +2

    Namuonea huruma huyu baba,ukute watoto ni wa mwanajeshi😂😂

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Месяц назад +8

    Wababa jina jifunzeni hapo mwanajshi hana kosa,apewe hongera kwa kumlea huyo malaika asie na kosa na tumpe pole kwa kufiwa na mwanae wa kufikia mauwa yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @DM_15
      @DM_15 Месяц назад +1

      Wababajina hujielewi wewe huyo mama inaonyesha nimalaya tuu that's why akamkabidhi mtoto kwamtu mwingine kutengana katika ndoa haimaanish mwanaume ni mwanaumejina tabiapia husababisha watu kutengana. Watu walifungandoa kabisa bado mama kaenda kungine kuolewa namtoto unamkabidhisha huko unako olewa , unamkosea mtoto unamdhulum mtoto hakiyake. Siku akikua utamfanya mtoto kua namfadhaiko wamawazo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад +2

      @@DM_15kama angekuwa baba mwenye kufanya majukumu yake basi ilikuwa yeye ashughulikie maswala ya msiba kwa hiyo hata huo msalaba angeenda kuutengeneza yeye. Mababa wengi mnajua Kazaa lakini kulea mnakwepa!

    • @DM_15
      @DM_15 23 дня назад

      @@MsAggie5 nawewe unachekesha ushasikia mtoto alikua anaishi na mama huko aliko olewa, una uhakikagani huyo jamaa alikua huru kumuona mwanae msibatuu baba kaja kafukuzwa je, katika uzima alipata fursa yakumuona mwanaye? Tatizo mentality mnadhani kila mama anaelea mtoto pekeyake mnakimbia kutusi wanaume , wanaume wamejaaliwa kunyamaza hasemagi madhaifu yawezawao walachangamoto zinazo sababisha wao kutengana, wanaume wameumbwahivyo, huyo alie muoa huyo mama inawezekana alishamwambia mwanamke sitaki kukusikia ukiwasiliana na mzazi mwenzio. Hivyo huyo mama akaamua kumbadilisha mtoto jina kbisa. Wana ume ana wezakua anapigwa namkewe ndani lkn aka kaa kimya tuu na akaendelea na life lake msiwe wepesi kuhukumu. Mimj huwa naamini mwana ume mbaka aje alipe mahari aghramikie harusi kash kash zote zakuoa aka fuata halafu uje useme mwanaumejina . Siokweli mwana ume mbaka afanye jambo kubwahivyo ujue amefikiria kwakina ametazama namna yakuendesha maisha na akajiridhisha hakunaga mwana ume anaingia ghrama zakipumbavu hivyo kwani hakua anamengine yakufanya umalaya tuu wahuyo mama unamsumbua nothing another thing jamaa huenda kashuka kiuchumituu akakimbia kwa huyo mwingine

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Месяц назад +3

    Alikuwa analipa ada?

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Месяц назад +3

    Tukumbuke anayejua baba halisi wa mtoto ni mama. Tusisahau hilo 😂

  • @Salimushekifu
    @Salimushekifu Месяц назад +7

    Kuitwa baba sio jina la ubatizo.

  • @hanneremily3928
    @hanneremily3928 Месяц назад +2

    Ulikuwa unatoa Ada ulikuwa unamtunza huyo mtoto au unataka masingle mother wafanyaje Duuuh wanaume tunzeni watoto wenu mtapata haki zenu ilakama hamuwatunzi yatakukuta kitu

  • @mwanaidiathuman382
    @mwanaidiathuman382 Месяц назад +1

    Hatari sana

  • @talents7934
    @talents7934 Месяц назад +3

    Kitaalamu Hii inaitwa kukwepa Majukum😂😂 huenda ulikuwa hupeleki maokoto

  • @user-yw1rq3xj1q
    @user-yw1rq3xj1q Месяц назад +8

    Msibaani utajua mengii😢😢

  • @RichadTenga-ze4vp
    @RichadTenga-ze4vp Месяц назад +10

    HUYO mwanajeshi amejidhalilisha.mtoto usiyemzaa anapewaje jina lako jamani SI kujiaibisha huko

    • @mwabuselectors
      @mwabuselectors Месяц назад +1

      Sure. Unless huyu mama alitembea nae wakati wa ndoa. Kua huyu mwanajesh ndio mtoto wake wa damu. kwamba alimbambikia jamaa, lakin bado haijakaa sawa ingawa lazima mvutano unakua mkubwa,..Lakin kama sio mtoto wake wa damu its very bad Spiritually

    • @mtolela12
      @mtolela12 Месяц назад

      Atakua hanisi labda

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 Месяц назад +1

      Huenda ni hasira kwakuwa hukuhudumia mtoto ulikataa

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 Месяц назад +1

      Ulikuwa unamuhudumia huyo mtoto

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 Месяц назад +1

      Sasa kama alimkataa

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 Месяц назад

    Pole sana kaka

  • @AzizaHamdani-br8ox
    @AzizaHamdani-br8ox Месяц назад +2

    Aend zake uko alipomtelekeza huy mwana mama na watot mda wote alikuw wapi kwenye matumizi Kwanza anaonekana ni mlevi amuache baba mlez w mtot na mama ake mtot, yeye alikwepa matumiz saiv aliposikia kuw kun hela za mama samia ndo akajitokeza kwendraaaaaaa uko

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад

      Sio haki, kama walifunga ndoa ya nini kumbadilisha jina la mtoto? Hata kama hakuwa anamtunza haibadilishi ukweli, mbona kibongo bongo tushazoea kulea watoto wetu wenyewe? Ashukuru Mungu tu!

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Месяц назад +1

    Doctor hata km ukigombana na mwanamke lea watoto lakini km alikunyima kuhuumia hapo kweli umenyimwa haki. Pole

  • @bettykasase1267
    @bettykasase1267 Месяц назад +4

    Makonda anakazi saana,huu mkoa unamambo

  • @user-rf9vn7lz1n
    @user-rf9vn7lz1n Месяц назад +1

    Kwan ulikuw wapi bwan wew😂😂😂

  • @bettykasase1267
    @bettykasase1267 Месяц назад +7

    Ada alikuwa anatoa?

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад +1

      Atoi ila mbegu tu ndio alipanda huduma akutoa wajinga awa waume wote wapuzi waacha watoto likianguka ndio waleta makomwe hapa msilete ujinga kwa marehem asingekufa msingejileta achaneni na mtoto

    • @HalimaChuwa-kk5lt
      @HalimaChuwa-kk5lt Месяц назад

      Alipe wapi kumanina zake mtt akiwa mzima hahudumii maiti wanaitaka

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 25 дней назад

      ​@@HalimaChuwa-kk5lt sio hiyo maiti analilia m5 huyo mpuuzi

  • @sophiaibrahim446
    @sophiaibrahim446 Месяц назад

    Wababa acheni kutelekeza watoto wewe baba ndo mwenye makosa, kama mwenzako alipenda boga akapenda na uwa lake muache mwenzako akusaidie kulea pole sana

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 Месяц назад +2

    Ww unakosea Sana suala hili usiseme anatumia uwanajeshi tulisema nae anatumia udaktari wake kulalamika usiwe unataja nafasi ya hujasikiliza upande wa pili ww unalaumu mwanajeshi siyo. Sawa Hiyo ni taaluma kama ulivyoww wakili

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Месяц назад +4

    Kwani huyu Daktari alikuwa halipi Ada akajua jina la mtoto linasomekaje?angekuwa anawajibika angetatua hilo tatizo mapemaaa ina we,ekana alikuwa anaona watoto wanasoma kwake kitonga tuu

    • @HamisiForogo
      @HamisiForogo Месяц назад +2

      Alikuwa halipi angelipa ada angejua jina la mtoto wake

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@HamisiForogokwa ujumla alikuwa hajali Leo kafa anakuwa mtamu , dunia simamia nishuke😢😢😢😢

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Месяц назад +1

      SIKILIZENI TENA, MTOTO SHULENI JINA LIKO SAWA SHIDA NI HAPO KWENYE MSALABA TU. MIMI NASHAURI DOCTS ADAI MTOTO MAHAKAMANI KWANI ALIYE KUFA HAPO SIYO WAKE HIVYO ADAI MTOTO WAKE AKIWA HAI.

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 Месяц назад

      Huyo jamaa alikuwa hawajibikib kitu chochote kuhusu mtoto, angekuwa anawajibika angetatua Hilo tatizo kabla

  • @BerthaEnock-gm8gq
    @BerthaEnock-gm8gq Месяц назад

    Inauma sana jamn

  • @emes602
    @emes602 Месяц назад +1

    Ule msemo ukipenda boga penda na ua lake. Mjeshi kapenda na mama na mtoto wake.. safi sana amefanya vzr sana.

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 23 дня назад

    Huyu baba anaonekana anataka hizo pesa ambazo mhe mama samia alitoa hizo za rambirambi ndiyo anataka na wala hana shida na kuzika na wala kulea mtoto na wala hawajui kwa hali na Mali ha ha ha pesa ina mambo tu

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад

    Kuwa na nyumba 2 sio sababu ya mme kumtunza mkewe wengi hawatunzi wake zao cash money hata soda Hadi uombe wachukue tu

  • @user-kr8vc3gv5j
    @user-kr8vc3gv5j Месяц назад

    Wanashelia mda mwingine huwa mnakuwa syo waelewa wanaume mda mwingine wanazidi usumbufu hajui mtoto alikuwa wapi na alikuwa anatuzwa na nani ndyo maana mama aliamua kuandika ubini mwingine

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j Месяц назад +4

    Ww utalelewaje mtoto na mwanaume mwenzio bwana tupishe jitu zima ovhooooo

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 Месяц назад

      Una uhakika gan halei mtt?achen ushabik wa kijingaa

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 Месяц назад +3

    Siku zote alikuwa wapi kupaza sauti mitandaoni na kuomba wanawe? Leo amefariki ndio anajitokeza. Aishie kule kule alikokuwa. Amuache mama na mume wake mwingine wazike mtoto maana ndiye alikuwa mlezi WA mtoto muda wote na mlipa Ada😊

    • @daudimchileg307
      @daudimchileg307 Месяц назад

      Huwez kuzka mtoto hata kama angelelewa hadi uzeeni.

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 Месяц назад

      Atamzika tu, kelele za chura haimzuii ngombe kunywa Maji, alikwepa jukumu la malezi Leo kafa anataka nn?

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 Месяц назад

    Haya mbn ni yale ya kijana Majaliwa aliyewaokoa wahanga wa ajali ndege, baba aliyewatoroka mama na wanaye siku alivyosikia tu ushujaa wa mtoto kajitokeza, wanaume acheni kukimbia majukumu mnajidhalilisha jamani

  • @user-oz5jm6uk8v
    @user-oz5jm6uk8v Месяц назад +7

    Huduma utoi unalilia mtoto pambaneni kuhudumia watoto wanawake wanaudumia watoto wenyewe

    • @user-zw6xv1vt1p
      @user-zw6xv1vt1p Месяц назад

      Hapo ndugu halilii mtoto analilia pesa ya rambilambia

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@user-zw6xv1vt1pkabisa hakuwa na mapenzi na mwanae, aibu sana kwake

    • @user-cc8zx8xo3d
      @user-cc8zx8xo3d Месяц назад

      Bado ujatoa hoja

    • @haryanyawu640
      @haryanyawu640 Месяц назад

      Nani mwenye uhakika kama.hatoi matumizi?

    • @betyjoseph6812
      @betyjoseph6812 Месяц назад

      ​@@user-zw6xv1vt1p umemaliza

  • @user-ru8tg2vm3m
    @user-ru8tg2vm3m Месяц назад +3

    Wanajuaga baba ni jina la ukoo

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Месяц назад +1

    Uliwahi omba msaada usaidiwe kutunza Mtoto mke kakataaa😂

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m Месяц назад +1

    Mimi kwa akili zangu fupi kama simpendi uy mwanaume alienitelekeza ningemwambia mtoto sio wakwake bc yaishe

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад

      Walikuwa wanandoa kama wasingefunga ndoa labda. Lakini sio afya kumbadilisha mtoto jina

  • @christonakei3232
    @christonakei3232 Месяц назад +6

    Yaan mtoto hamtunzi alafu unataka mtoto subutu yako

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Месяц назад

      Hata kama angekua hamtunzi hawezi badilishwa jina jina la baba ni baba hata kama hatoi mia hilo ni kosaaaaa

    • @winifridarugayana7312
      @winifridarugayana7312 Месяц назад +1

      Kutunza ni kitu kingine na kuzaa ni kitu kingine kumnyima mwanae si sawa

  • @levinasway6717
    @levinasway6717 Месяц назад +1

    Nyieee maisha hayaaaa mbna iv jmn😢😢😢

  • @ESTHERKamala-qp7gi
    @ESTHERKamala-qp7gi Месяц назад +1

    Je ulikuwa unahudumia mtoto au ni baba jina tu pole sana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад

      Hata kama hakuwa anamuhudumia mtoto kashafariki malumbano ya nini? Na walifunga ndoa, shida ikowapi? Anyway amwachie Mungu tu

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад

    Msimalize maneno mwambie ndio anajua baba wa mtoto huenda alikuwa nae wkt yupo na mmewe Sasa kamzalia akiwa ndani ya ndoa

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Месяц назад +1

    😂😂😂hii nchi kuna mengi pesa hizi pole baba.

  • @shabanimaijo9148
    @shabanimaijo9148 Месяц назад

    Huyu baba angekuwa anawahudumia wanae yote yasingetokea haya,huyu mwanamke sio chiz bana,mwanajeshi kapenda msusa na boga kwa pamoja,huyu alokuja leo alikuwa wapi muda woote?

  • @josephlugongo6357
    @josephlugongo6357 Месяц назад

    Sasa kama daktari alizaa na huyo mwanamke basi akadai mtoto wake kwasababu aliyefariki sio mtoto wake kutokana na jina lililoandikwa katika msalaba.

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Месяц назад

    Mmh jmn huu msibawaArusha mbona una majangaaa heee huku Brayan anagombewa huku jina la mtoto heee

  • @irenebeatus9481
    @irenebeatus9481 Месяц назад +3

    Ungekua unalipa ada ungejua mtoto jina lake halisi ni lipi inaonekana malezi ulikua hufanyi mwanaume unizalishe unitelekeze uje ubane. Pua mtoto fyoko riozo ntakutoa macho baba sio mbegu baba. Ni malezi khaaa

    • @HamisiForogo
      @HamisiForogo Месяц назад

      Haswaaaaah watunze watoto wao

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Месяц назад

      ​@@HamisiForogo. Wamesema jina la mtoto shuleni halina shida ila kttk msalaba ndo pana sinto fahamu.

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa Месяц назад

      Tatizo mnakimbilia kutoa maoni badala ya kusikiliza maelezo umeambiwa shuleni jina halisi linatumika ila alipofariki likabadilishwa

    • @winifridarugayana7312
      @winifridarugayana7312 Месяц назад

      Kuna watoto wengi wanaolipiwa ada na watu wengine, hicho siyo kigezo Cha mtoto kubandikwa Jina la baba wakambo,

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 Месяц назад

      ​@@RenatusMatungwawanaume hamfai , kazi kuzalisha tu kulea hamjui then siku likitokea lolote mnajitokeza

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi Месяц назад

    Je ndugu yangu ulikuwa unamtunza ikiwa ni pamoja na kumsomesha? Haki ni yako na mtoto ni wako simamia haki yako.Pole sana daktari.

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 Месяц назад

    Mama samia akusaidie nn, we utakuwa umemtelekeza huyo mama hawezi kufanya hivyo bila ww kumfanyia uhuni huyo mama

  • @user-ov7fn3yt6j
    @user-ov7fn3yt6j Месяц назад

    🙆🙆kumekuchaaa

  • @user-me5oo1uk3k
    @user-me5oo1uk3k Месяц назад

    Mimi napitaaa tuuu mahana niabuu

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel8615 Месяц назад

    Ila Wanawake mnazambi kubwa sana ukute ulibeba mimba ya mjeda ukiwa kwenye ndoa badae ukafanya fujo ili uolewee na mjeda kisa maokoto harafu baba una msomesha mtoto au nawewe ndio unataka kulelewa na mjeshi kama ni wanao chukuwa huyo aliepona

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Месяц назад +1

    Pengine ulimterekeza

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n Месяц назад +1

    Kutengana

  • @julianamlekwa
    @julianamlekwa Месяц назад +1

    Anachekesha sana alivyo terekeza alikuwa ni kisiki wamwache mma wwa watu yyendio ana machungu yote hata hai wabba wakira hizipesa wakati wanawarea urikuwa wapi? 😂😂 Unachekesha Kwa hiyo na yye anataka mgao nniiii

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Месяц назад

    Kwanini akumtaka kabla ajafa jamani alipokuwa analelewa alitulia leo kafa unaleta utata itakusaidia nini acha tu kaka angu mungu aliekupa ndoa anajua kama uyo ni mwanao inatosha

  • @agnesgodsaviour5968
    @agnesgodsaviour5968 Месяц назад

    Mila zingine mwanaume akioa mke mwenye watoto anachukua na watoto wake

  • @user-ey1fq6hd9l
    @user-ey1fq6hd9l Месяц назад +2

    Sasa kama mtoto hayupo si nikuacha tu

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Месяц назад

    Na mi yatanikuta nayasubiri af na mi vilevile mzazi mwenzangu yuko na msoja,

  • @magenisweke3270
    @magenisweke3270 Месяц назад

    Ukome,tumizi hutoi unategemea nn

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Месяц назад

    Haya ya Sasa kwenye Ndoa jamaniii 🤔

  • @nicethgabriel3319
    @nicethgabriel3319 Месяц назад

    Watoto kukaa na baba ni mateso, baba ataowa watoto wananyanyasika na mama akiwa hai, kikubwa elewaneni leeni watoto wawe kwa mama kwa baba wakasalimie tu

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Месяц назад +1

    Ulikua unamuudumia ada ulilkua unalipa ada unajua kula yake au unalia lia tu

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms Месяц назад

    Na watamualibu saikolojia huyo mkubwa shule aitwe Odelo leo mdogo wake aitwe kivuyo ningemuona shujaaa angempa jina lake

  • @esterkilleo2638
    @esterkilleo2638 Месяц назад

    Kweli kabisa wasifukue maiti tena waelewane wabadilishe jina tu kwenye msalaba

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 Месяц назад

    Jamani mtoto kafa bado wamuhitaji? Duuuuuu dunia hiii ngumu

  • @bosiborimomanyi5592
    @bosiborimomanyi5592 Месяц назад

    Uliingiza tu...kulea nan alilea?

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms Месяц назад

    Huyo mjeda kajichafua mama yetu samia umefanya vyema kumpeleka makonda Arusha atawanyooosha

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Месяц назад

    Haya mamb jamaa angekausha tu mjeda anaupendo xna na yy akaushe dada wa watu aendelee na mjeda istoshe mtt keshakufa dada wa watu akaona bora ampe mjeda wtt ili mjeda asijiskie vibaya duh! We doctor acha roh mbaya

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 Месяц назад

    Pamoja nayote hayo mwenyekujua baba ya mtot ni mama

  • @franciskira925
    @franciskira925 Месяц назад

    Ajuae baba wa mtoto ni mama!

  • @shamslukumay2627
    @shamslukumay2627 Месяц назад

    Umepigwaaa hapo

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Месяц назад +3

    Tusikilize upande wa mama maana hizi hrla za rambirambi zimeleta kizaa zaa

    • @talents7934
      @talents7934 Месяц назад

      Dogo tulia kila wote wanamshahara hawaishi kwa ramabi rambi kwani wewe umeshatoa bei gani kwao kama rambi rambi? Hujafiwa ukayajua vizuri

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад

      ​@@talents7934Atujakataa ila waache mtoto apumzike slipoa hali baba mtoto alikua wapi alikua yuaudumia watoto alipoachana na mama watoto Ada atoi yani uduma atoi yote sliachia mama na mwanajeshi ndio yuatoa huduma sasa uyu yuataka nini swali niilo uyu mtoto axingekufa lini mgejitokeza mumeteleza watoto kaeni mkso wa kutulia uko

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +7

    Hapo baba analazimisha hela za rambirambi wakati watoto wako wanahudumiwa na baba mwingine😂😂mnampa shida mama samia hajui pesa za rambirambi ampe nani!

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 Месяц назад

      Kama kweli vile

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Месяц назад

      ​@@joycemkeka3769MWANAMME KAMILI HALEI WASIYO WAKE, HUZAA WAKE NA KUWALEA.

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Месяц назад

      Hana maana hiyo yeye kaenda kuzika mtoto wake aisee , wamemkosea Dr

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 Месяц назад

      😂

  • @user-ph2lt8tx4t
    @user-ph2lt8tx4t Месяц назад

    Nipisheni napita da

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Месяц назад +1

    Sasa km ata wasipowaudumia tusiwpe wababa wanaowaudumia tutawapa ata kwa lazima kikubwa waudumieni watt zenu

  • @user-vn5mj6mb8f
    @user-vn5mj6mb8f Месяц назад

    Jamn huyu baba namjua mke alimfukuza mume akachukua nyumba gar bado akaend anakofanyia kaz mume wake akazuia mshahar kwa ajjl ya matunzo ya watoto afu end of the day anamkatalia mume asizike mtoto sio sahih coz mwanaum. Alikua analea

  • @domsalimited3375
    @domsalimited3375 Месяц назад

    Umenyimwa mtoto kwsbb hujatunza mtoto leo ndo umemuona mtamu, je analipa ada acheni jaman kulipa ada kuna tesa

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Месяц назад

    Uana sheria ujeshi rudini kwenye imani za kidini mume na mke naamini anaye jua mtoto ni wa mwanaume yupi ni MUNGU ndiyo maana mnahangaika kwenda kwenye DNA

  • @DevothaSalim
    @DevothaSalim Месяц назад

    Mama anajua ukweli wa mtoto waache kelele

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms Месяц назад

    Hata akienda ustawi wa jamiii unachopewa ni hati ya kuasili tu nasio kubadilishwa jina

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Месяц назад

    Tungejua lini ndani ya ndoa nyingi zina heka heka hivi jaman au ni ile pesa imeamsha Ma X 😂🤣🙌

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Msiba huo kiboko una vituko vya kila aina Arusha kiboko kuna vituko vini vya ajabu

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Месяц назад

    Samahani naomba number ya huyo mwanasheria

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 29 дней назад

    Ungekuwa unawasomesha ungejua jina la mtoto. Inamaana haukuwa unahudumia familia yako

  • @monicamtui2922
    @monicamtui2922 Месяц назад

    Baba, ungekuwa na ushirikiano na watoto wako hayo ungeyagundua mapema. Ukiona hivyo ujue pana shida.

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад

    wewr usilete ngonjera ungekua mumetengana lakini watoa uduma sawa ila uliacha mama na watoto wake je asingekufa ungejitokeza lini kuudumia watoto nenda zako uko ahana na mtoto mpuzi moja wewe waume hamna heshima kabisa

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g Месяц назад

    Shida hapo ni malezi ukute mume wandoa alikua hana matunzo ya mtoto huyo mwanamke alibadilisha jina kwa hasira tu lkn hakutakiwa kubadilisha jina labda kama baba alimkana mwanae huyo

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Месяц назад

    Ndiyo kuna sheria but common sense must prevail

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 Месяц назад

    Kama huyu mwenye mtoto hakujitambua sasa mama angefanya nn lakini,na amempata mwanaume mwingne hakuna haja ya huyu mpuuzi amabaye hana tamani

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo3319 Месяц назад

    Anaonyesha mpole asiependa vurumai

  • @EphraimKadiko
    @EphraimKadiko Месяц назад

    Una uhakika unaemtaja kuwa mwanajeshi, au unaongea kufurahisha tu

  • @shabanimaijo9148
    @shabanimaijo9148 Месяц назад

    Usipotoa matunzo ya watoto watatafutiwa baba mwingine hata wawe saba

  • @user-ne6vu7kc5u
    @user-ne6vu7kc5u Месяц назад

    Na kama alikuwa hamjali mtoto na halipi ada mwanajeshi akawa analipa ada shida gani? Jina tuu

  • @ernestsereli8559
    @ernestsereli8559 Месяц назад

    Hawa wanawake ni shidaaaa

  • @innocentmlay5703
    @innocentmlay5703 Месяц назад

    Baba komaa

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Месяц назад

    Akusaidie nini rais akusaidie nini sasa wakati hujui mtoto amelelewa na nani matunzo hamna mimi naona mama amnzike mtoto wake tuu hongera mwanaume uliemtunza na kupokea mama na mtoto na kuwalea je? Hivi mwenye uhakika mtt ni wa nani mnajua ni mama?