BABA ANYIMWA KUZIKA MWANAE ALIYEFARIKI KWENYE AJALI YA MAJI AFUKUZWA MSIBANI MWANASHERIA AFAFANUA
HTML-код
- Опубликовано: 16 апр 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Uyo baba alitia mimba tu maitaji ya watoto atajua mama mwenyewe Safi sana mama
Baba kama ni damu yako inuwa mikono shukuru Mungu atajibu. Damu haipotei hakimu wa mwisho ni Mungu.
Trust me hii kama kwli ni damu yake Itajibu siku. Nimepitia hapa comments wengi wanamcheka kua labda alikua haudumii.. Ofcourse inabid kujua both side stories ila haiondoi ile position ya jamaa kama alikua kweli ni baba wa mtoto. na hii its more spiritual than what people thinks in physical world..
Ulikuwa wapi wakati msalaba unaandikwa? Maana yake hukushiriki toka mwanzo umeenda saa ya kuzika tu, duh
Pole baba jina jina anapojitokeza kwenye tukio na kukuta jina halipo wakati hata ada hajui ni shi ngapi mtoto anakula nini yupo kama hayupo pole 😢
Ila selikali ingeangalia namna nyingine kwa upande wa wananwake wanaotelekezwa na watoto alisilimia kubwa wababa wanatelekeza watoto bila ya kujua wanaishi vip wanakula vip pongezi kwa mwanajeshi yeye ndo anajua watoto wale nini wasome shule gani wanavaa nini ila kwa sasa sheria itaingingia kumkandamiza huyu aliyevaa kiyatu kisichomhusu lakini kaeni mkijua single mothers wanateseka sana na majukumu ya kulea watoto
Wanaume mmejua sana kukwepa majukumu likitokea lakutoe ndo mnaanza kudai haki, hamjui mtoto anakula nn, anavaa nn, anaenda vipi shule then wataka haki wanaume mjitafakar sana ata kama mama pia nichangamoto, tunza mtoto wako kama kweli nidamu yako ata ukitaka haki upewe bigup mother 💪💪💪
Hii rambi rambi imefumua mengi mwaka huu 🙌🙌💔
Yaaan jaman
Mkome wanaume kutelekeza watt
Hapo nduguyangu pole huyo mwanamke inaonyesha alisha anza kuchepuka nahuyo mjesh kabla hujatengana nae. Huyo mtoto huenda niwamwanajeshi ila alishikamimba akiwa kwako. Ndio wanawake tulionao sikuhiz kaka
Hv mtu hakupi huduma yeyote ya mtoto miaka 5_10 hafu anaskia changamoto ndo analeta fuvu lake eti mwanangu hebu acheni hizo mambo bwana msichoshe mtoto ! Me bado sijakuelewa hata kidogo
Huduma inahusiana nn na jina la mtt???
@@ernestsereli8559 vina uhusiano Sana kama umemtelekeza Toka azaliwe nakupa Hilo jina la Nini labda
Namuonea huruma huyu baba,ukute watoto ni wa mwanajeshi😂😂
Wababa jina jifunzeni hapo mwanajshi hana kosa,apewe hongera kwa kumlea huyo malaika asie na kosa na tumpe pole kwa kufiwa na mwanae wa kufikia mauwa yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wababajina hujielewi wewe huyo mama inaonyesha nimalaya tuu that's why akamkabidhi mtoto kwamtu mwingine kutengana katika ndoa haimaanish mwanaume ni mwanaumejina tabiapia husababisha watu kutengana. Watu walifungandoa kabisa bado mama kaenda kungine kuolewa namtoto unamkabidhisha huko unako olewa , unamkosea mtoto unamdhulum mtoto hakiyake. Siku akikua utamfanya mtoto kua namfadhaiko wamawazo
@@DM_15kama angekuwa baba mwenye kufanya majukumu yake basi ilikuwa yeye ashughulikie maswala ya msiba kwa hiyo hata huo msalaba angeenda kuutengeneza yeye. Mababa wengi mnajua Kazaa lakini kulea mnakwepa!
@@MsAggie5 nawewe unachekesha ushasikia mtoto alikua anaishi na mama huko aliko olewa, una uhakikagani huyo jamaa alikua huru kumuona mwanae msibatuu baba kaja kafukuzwa je, katika uzima alipata fursa yakumuona mwanaye? Tatizo mentality mnadhani kila mama anaelea mtoto pekeyake mnakimbia kutusi wanaume , wanaume wamejaaliwa kunyamaza hasemagi madhaifu yawezawao walachangamoto zinazo sababisha wao kutengana, wanaume wameumbwahivyo, huyo alie muoa huyo mama inawezekana alishamwambia mwanamke sitaki kukusikia ukiwasiliana na mzazi mwenzio. Hivyo huyo mama akaamua kumbadilisha mtoto jina kbisa. Wana ume ana wezakua anapigwa namkewe ndani lkn aka kaa kimya tuu na akaendelea na life lake msiwe wepesi kuhukumu. Mimj huwa naamini mwana ume mbaka aje alipe mahari aghramikie harusi kash kash zote zakuoa aka fuata halafu uje useme mwanaumejina . Siokweli mwana ume mbaka afanye jambo kubwahivyo ujue amefikiria kwakina ametazama namna yakuendesha maisha na akajiridhisha hakunaga mwana ume anaingia ghrama zakipumbavu hivyo kwani hakua anamengine yakufanya umalaya tuu wahuyo mama unamsumbua nothing another thing jamaa huenda kashuka kiuchumituu akakimbia kwa huyo mwingine
Alikuwa analipa ada?
Tukumbuke anayejua baba halisi wa mtoto ni mama. Tusisahau hilo 😂
Kuitwa baba sio jina la ubatizo.
Ulikuwa unatoa Ada ulikuwa unamtunza huyo mtoto au unataka masingle mother wafanyaje Duuuh wanaume tunzeni watoto wenu mtapata haki zenu ilakama hamuwatunzi yatakukuta kitu
Hatari sana
Kitaalamu Hii inaitwa kukwepa Majukum😂😂 huenda ulikuwa hupeleki maokoto
Msibaani utajua mengii😢😢
Mno
HUYO mwanajeshi amejidhalilisha.mtoto usiyemzaa anapewaje jina lako jamani SI kujiaibisha huko
Sure. Unless huyu mama alitembea nae wakati wa ndoa. Kua huyu mwanajesh ndio mtoto wake wa damu. kwamba alimbambikia jamaa, lakin bado haijakaa sawa ingawa lazima mvutano unakua mkubwa,..Lakin kama sio mtoto wake wa damu its very bad Spiritually
Atakua hanisi labda
Huenda ni hasira kwakuwa hukuhudumia mtoto ulikataa
Ulikuwa unamuhudumia huyo mtoto
Sasa kama alimkataa
Pole sana kaka
Aend zake uko alipomtelekeza huy mwana mama na watot mda wote alikuw wapi kwenye matumizi Kwanza anaonekana ni mlevi amuache baba mlez w mtot na mama ake mtot, yeye alikwepa matumiz saiv aliposikia kuw kun hela za mama samia ndo akajitokeza kwendraaaaaaa uko
Sio haki, kama walifunga ndoa ya nini kumbadilisha jina la mtoto? Hata kama hakuwa anamtunza haibadilishi ukweli, mbona kibongo bongo tushazoea kulea watoto wetu wenyewe? Ashukuru Mungu tu!
Doctor hata km ukigombana na mwanamke lea watoto lakini km alikunyima kuhuumia hapo kweli umenyimwa haki. Pole
Makonda anakazi saana,huu mkoa unamambo
Kwan ulikuw wapi bwan wew😂😂😂
Ada alikuwa anatoa?
Atoi ila mbegu tu ndio alipanda huduma akutoa wajinga awa waume wote wapuzi waacha watoto likianguka ndio waleta makomwe hapa msilete ujinga kwa marehem asingekufa msingejileta achaneni na mtoto
Alipe wapi kumanina zake mtt akiwa mzima hahudumii maiti wanaitaka
@@HalimaChuwa-kk5lt sio hiyo maiti analilia m5 huyo mpuuzi
Wababa acheni kutelekeza watoto wewe baba ndo mwenye makosa, kama mwenzako alipenda boga akapenda na uwa lake muache mwenzako akusaidie kulea pole sana
Ww unakosea Sana suala hili usiseme anatumia uwanajeshi tulisema nae anatumia udaktari wake kulalamika usiwe unataja nafasi ya hujasikiliza upande wa pili ww unalaumu mwanajeshi siyo. Sawa Hiyo ni taaluma kama ulivyoww wakili
Kwani huyu Daktari alikuwa halipi Ada akajua jina la mtoto linasomekaje?angekuwa anawajibika angetatua hilo tatizo mapemaaa ina we,ekana alikuwa anaona watoto wanasoma kwake kitonga tuu
Alikuwa halipi angelipa ada angejua jina la mtoto wake
@@HamisiForogokwa ujumla alikuwa hajali Leo kafa anakuwa mtamu , dunia simamia nishuke😢😢😢😢
SIKILIZENI TENA, MTOTO SHULENI JINA LIKO SAWA SHIDA NI HAPO KWENYE MSALABA TU. MIMI NASHAURI DOCTS ADAI MTOTO MAHAKAMANI KWANI ALIYE KUFA HAPO SIYO WAKE HIVYO ADAI MTOTO WAKE AKIWA HAI.
Huyo jamaa alikuwa hawajibikib kitu chochote kuhusu mtoto, angekuwa anawajibika angetatua Hilo tatizo kabla
Inauma sana jamn
Ule msemo ukipenda boga penda na ua lake. Mjeshi kapenda na mama na mtoto wake.. safi sana amefanya vzr sana.
😂😂😂khaa
Huyu baba anaonekana anataka hizo pesa ambazo mhe mama samia alitoa hizo za rambirambi ndiyo anataka na wala hana shida na kuzika na wala kulea mtoto na wala hawajui kwa hali na Mali ha ha ha pesa ina mambo tu
Kuwa na nyumba 2 sio sababu ya mme kumtunza mkewe wengi hawatunzi wake zao cash money hata soda Hadi uombe wachukue tu
Wanashelia mda mwingine huwa mnakuwa syo waelewa wanaume mda mwingine wanazidi usumbufu hajui mtoto alikuwa wapi na alikuwa anatuzwa na nani ndyo maana mama aliamua kuandika ubini mwingine
Ww utalelewaje mtoto na mwanaume mwenzio bwana tupishe jitu zima ovhooooo
Una uhakika gan halei mtt?achen ushabik wa kijingaa
Siku zote alikuwa wapi kupaza sauti mitandaoni na kuomba wanawe? Leo amefariki ndio anajitokeza. Aishie kule kule alikokuwa. Amuache mama na mume wake mwingine wazike mtoto maana ndiye alikuwa mlezi WA mtoto muda wote na mlipa Ada😊
Huwez kuzka mtoto hata kama angelelewa hadi uzeeni.
Atamzika tu, kelele za chura haimzuii ngombe kunywa Maji, alikwepa jukumu la malezi Leo kafa anataka nn?
Haya mbn ni yale ya kijana Majaliwa aliyewaokoa wahanga wa ajali ndege, baba aliyewatoroka mama na wanaye siku alivyosikia tu ushujaa wa mtoto kajitokeza, wanaume acheni kukimbia majukumu mnajidhalilisha jamani
Huduma utoi unalilia mtoto pambaneni kuhudumia watoto wanawake wanaudumia watoto wenyewe
Hapo ndugu halilii mtoto analilia pesa ya rambilambia
@@user-zw6xv1vt1pkabisa hakuwa na mapenzi na mwanae, aibu sana kwake
Bado ujatoa hoja
Nani mwenye uhakika kama.hatoi matumizi?
@@user-zw6xv1vt1p umemaliza
Wanajuaga baba ni jina la ukoo
Uliwahi omba msaada usaidiwe kutunza Mtoto mke kakataaa😂
Mimi kwa akili zangu fupi kama simpendi uy mwanaume alienitelekeza ningemwambia mtoto sio wakwake bc yaishe
Walikuwa wanandoa kama wasingefunga ndoa labda. Lakini sio afya kumbadilisha mtoto jina
Yaan mtoto hamtunzi alafu unataka mtoto subutu yako
Hata kama angekua hamtunzi hawezi badilishwa jina jina la baba ni baba hata kama hatoi mia hilo ni kosaaaaa
Kutunza ni kitu kingine na kuzaa ni kitu kingine kumnyima mwanae si sawa
Nyieee maisha hayaaaa mbna iv jmn😢😢😢
Je ulikuwa unahudumia mtoto au ni baba jina tu pole sana
Hata kama hakuwa anamuhudumia mtoto kashafariki malumbano ya nini? Na walifunga ndoa, shida ikowapi? Anyway amwachie Mungu tu
Msimalize maneno mwambie ndio anajua baba wa mtoto huenda alikuwa nae wkt yupo na mmewe Sasa kamzalia akiwa ndani ya ndoa
😂😂😂hii nchi kuna mengi pesa hizi pole baba.
Huyu baba angekuwa anawahudumia wanae yote yasingetokea haya,huyu mwanamke sio chiz bana,mwanajeshi kapenda msusa na boga kwa pamoja,huyu alokuja leo alikuwa wapi muda woote?
Sasa kama daktari alizaa na huyo mwanamke basi akadai mtoto wake kwasababu aliyefariki sio mtoto wake kutokana na jina lililoandikwa katika msalaba.
Mmh jmn huu msibawaArusha mbona una majangaaa heee huku Brayan anagombewa huku jina la mtoto heee
Ungekua unalipa ada ungejua mtoto jina lake halisi ni lipi inaonekana malezi ulikua hufanyi mwanaume unizalishe unitelekeze uje ubane. Pua mtoto fyoko riozo ntakutoa macho baba sio mbegu baba. Ni malezi khaaa
Haswaaaaah watunze watoto wao
@@HamisiForogo. Wamesema jina la mtoto shuleni halina shida ila kttk msalaba ndo pana sinto fahamu.
Tatizo mnakimbilia kutoa maoni badala ya kusikiliza maelezo umeambiwa shuleni jina halisi linatumika ila alipofariki likabadilishwa
Kuna watoto wengi wanaolipiwa ada na watu wengine, hicho siyo kigezo Cha mtoto kubandikwa Jina la baba wakambo,
@@RenatusMatungwawanaume hamfai , kazi kuzalisha tu kulea hamjui then siku likitokea lolote mnajitokeza
Je ndugu yangu ulikuwa unamtunza ikiwa ni pamoja na kumsomesha? Haki ni yako na mtoto ni wako simamia haki yako.Pole sana daktari.
Mama samia akusaidie nn, we utakuwa umemtelekeza huyo mama hawezi kufanya hivyo bila ww kumfanyia uhuni huyo mama
🙆🙆kumekuchaaa
Mimi napitaaa tuuu mahana niabuu
Ila Wanawake mnazambi kubwa sana ukute ulibeba mimba ya mjeda ukiwa kwenye ndoa badae ukafanya fujo ili uolewee na mjeda kisa maokoto harafu baba una msomesha mtoto au nawewe ndio unataka kulelewa na mjeshi kama ni wanao chukuwa huyo aliepona
Pengine ulimterekeza
Kutengana
Anachekesha sana alivyo terekeza alikuwa ni kisiki wamwache mma wwa watu yyendio ana machungu yote hata hai wabba wakira hizipesa wakati wanawarea urikuwa wapi? 😂😂 Unachekesha Kwa hiyo na yye anataka mgao nniiii
Kwanini akumtaka kabla ajafa jamani alipokuwa analelewa alitulia leo kafa unaleta utata itakusaidia nini acha tu kaka angu mungu aliekupa ndoa anajua kama uyo ni mwanao inatosha
Mila zingine mwanaume akioa mke mwenye watoto anachukua na watoto wake
Sasa kama mtoto hayupo si nikuacha tu
Na mi yatanikuta nayasubiri af na mi vilevile mzazi mwenzangu yuko na msoja,
Ukome,tumizi hutoi unategemea nn
Haya ya Sasa kwenye Ndoa jamaniii 🤔
Watoto kukaa na baba ni mateso, baba ataowa watoto wananyanyasika na mama akiwa hai, kikubwa elewaneni leeni watoto wawe kwa mama kwa baba wakasalimie tu
Ulikua unamuudumia ada ulilkua unalipa ada unajua kula yake au unalia lia tu
Na watamualibu saikolojia huyo mkubwa shule aitwe Odelo leo mdogo wake aitwe kivuyo ningemuona shujaaa angempa jina lake
Kweli kabisa wasifukue maiti tena waelewane wabadilishe jina tu kwenye msalaba
Jamani mtoto kafa bado wamuhitaji? Duuuuuu dunia hiii ngumu
Uliingiza tu...kulea nan alilea?
Huyo mjeda kajichafua mama yetu samia umefanya vyema kumpeleka makonda Arusha atawanyooosha
Haya mamb jamaa angekausha tu mjeda anaupendo xna na yy akaushe dada wa watu aendelee na mjeda istoshe mtt keshakufa dada wa watu akaona bora ampe mjeda wtt ili mjeda asijiskie vibaya duh! We doctor acha roh mbaya
Pamoja nayote hayo mwenyekujua baba ya mtot ni mama
Ajuae baba wa mtoto ni mama!
Umepigwaaa hapo
Tusikilize upande wa mama maana hizi hrla za rambirambi zimeleta kizaa zaa
Dogo tulia kila wote wanamshahara hawaishi kwa ramabi rambi kwani wewe umeshatoa bei gani kwao kama rambi rambi? Hujafiwa ukayajua vizuri
@@talents7934Atujakataa ila waache mtoto apumzike slipoa hali baba mtoto alikua wapi alikua yuaudumia watoto alipoachana na mama watoto Ada atoi yani uduma atoi yote sliachia mama na mwanajeshi ndio yuatoa huduma sasa uyu yuataka nini swali niilo uyu mtoto axingekufa lini mgejitokeza mumeteleza watoto kaeni mkso wa kutulia uko
Hapo baba analazimisha hela za rambirambi wakati watoto wako wanahudumiwa na baba mwingine😂😂mnampa shida mama samia hajui pesa za rambirambi ampe nani!
Kama kweli vile
@@joycemkeka3769MWANAMME KAMILI HALEI WASIYO WAKE, HUZAA WAKE NA KUWALEA.
Hana maana hiyo yeye kaenda kuzika mtoto wake aisee , wamemkosea Dr
😂
Nipisheni napita da
Sasa km ata wasipowaudumia tusiwpe wababa wanaowaudumia tutawapa ata kwa lazima kikubwa waudumieni watt zenu
Point 😅😅😅😅😅
Jamn huyu baba namjua mke alimfukuza mume akachukua nyumba gar bado akaend anakofanyia kaz mume wake akazuia mshahar kwa ajjl ya matunzo ya watoto afu end of the day anamkatalia mume asizike mtoto sio sahih coz mwanaum. Alikua analea
Umenyimwa mtoto kwsbb hujatunza mtoto leo ndo umemuona mtamu, je analipa ada acheni jaman kulipa ada kuna tesa
Uana sheria ujeshi rudini kwenye imani za kidini mume na mke naamini anaye jua mtoto ni wa mwanaume yupi ni MUNGU ndiyo maana mnahangaika kwenda kwenye DNA
Mama anajua ukweli wa mtoto waache kelele
Hata akienda ustawi wa jamiii unachopewa ni hati ya kuasili tu nasio kubadilishwa jina
Tungejua lini ndani ya ndoa nyingi zina heka heka hivi jaman au ni ile pesa imeamsha Ma X 😂🤣🙌
Msiba huo kiboko una vituko vya kila aina Arusha kiboko kuna vituko vini vya ajabu
Samahani naomba number ya huyo mwanasheria
Ungekuwa unawasomesha ungejua jina la mtoto. Inamaana haukuwa unahudumia familia yako
Baba, ungekuwa na ushirikiano na watoto wako hayo ungeyagundua mapema. Ukiona hivyo ujue pana shida.
wewr usilete ngonjera ungekua mumetengana lakini watoa uduma sawa ila uliacha mama na watoto wake je asingekufa ungejitokeza lini kuudumia watoto nenda zako uko ahana na mtoto mpuzi moja wewe waume hamna heshima kabisa
Shida hapo ni malezi ukute mume wandoa alikua hana matunzo ya mtoto huyo mwanamke alibadilisha jina kwa hasira tu lkn hakutakiwa kubadilisha jina labda kama baba alimkana mwanae huyo
Ndiyo kuna sheria but common sense must prevail
Kama huyu mwenye mtoto hakujitambua sasa mama angefanya nn lakini,na amempata mwanaume mwingne hakuna haja ya huyu mpuuzi amabaye hana tamani
Anaonyesha mpole asiependa vurumai
Una uhakika unaemtaja kuwa mwanajeshi, au unaongea kufurahisha tu
Usipotoa matunzo ya watoto watatafutiwa baba mwingine hata wawe saba
Na kama alikuwa hamjali mtoto na halipi ada mwanajeshi akawa analipa ada shida gani? Jina tuu
Hawa wanawake ni shidaaaa
Baba komaa
Akusaidie nini rais akusaidie nini sasa wakati hujui mtoto amelelewa na nani matunzo hamna mimi naona mama amnzike mtoto wake tuu hongera mwanaume uliemtunza na kupokea mama na mtoto na kuwalea je? Hivi mwenye uhakika mtt ni wa nani mnajua ni mama?