KIJANA ADAIWA KUUAWA NA MGANGA PUGU, WANANCHI WAMUUA BABA WA MGANGA, POLISI WATULIZA WANANCHI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 186

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 14 дней назад +10

    Huu mwezi mbona umekuwa Wamoto sana matukio ya vifo yamekuwa mengi

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 14 дней назад +7

    UGANGA upo Tena nikazi yaheshima, lkn Sasa UGANGA umevamiwa na matapeli, Hasan humo DAR nimtihani.

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 14 дней назад +9

    Hao mwisho wao sio mzuri wanajifanya waganga kumbe matapeli dua za wanaowatapeli zinaanza kufanya kazi😅😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😂😂😂😂

    • @zaitunisagwa2082
      @zaitunisagwa2082 13 дней назад

      Hakika tena. Itakuwa Dua la kuku limempata mwewe😅😅.

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 14 дней назад +5

    Hakuna wa kuaminika kwenye hii dunia ya leo😢😢😢😢

  • @user-wu1bb4ky9s
    @user-wu1bb4ky9s 12 дней назад +2

    Tatizo sisi wantanzania unapenda sana mambo ya ushirikina

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 14 дней назад +2

    Hilo john ni mwixi mla rushwa likamatwe.

  • @PombeKali-cj1ex
    @PombeKali-cj1ex 14 дней назад +3

    Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 14 дней назад +4

    Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 13 дней назад

      Chefuu

    • @user-mu7yn9gr1w
      @user-mu7yn9gr1w 10 дней назад

      ​@@salmamlokela1987😂😂😂 eti chefuu

    • @gracemwingwa-jx7yy
      @gracemwingwa-jx7yy 9 дней назад +1

      We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 14 дней назад +4

    nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 14 дней назад +4

    Wivu tu tafuteni PESA acheni ubabaifu

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 14 дней назад +1

      Mtu kauwawa na ni nyumbani kwa huyo Taz. Wewe unasema wanawivu!!!! We mpumbavu kabisa

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 13 дней назад +1

      Angekuwa ameuwawa mwanao au ndugu yako ungesema wivu?Temea mate chini yasikufike

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 12 дней назад +3

    Jamaa hafungwi ana vibuyu vingi Sanaa na akarudi mtakoma apo mtaani jamaa ameshindikana Kwa uchawi😅😮😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 14 дней назад +1

    Huyo n shetani lake limeelekeza achinjemtu ili uchawi ukoleee na mdogo wako nae kajiponza kafungiwa,badi ajirudisha ndoo kauliwa,hakili zero, alonae,

  • @user-ii1ro2vf9x
    @user-ii1ro2vf9x 14 дней назад +11

    Ila nilikua naona kweny tv yake akipost mna comment nakumshukuru mmefanikiwa leo mmemgeuka n tapeli😂😂😂😂

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 14 дней назад +1

      Na mm ndo nimebak mdomo wazi hapa 😮

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 14 дней назад

      Binaadam kugeuka dakikatu

    • @MarryLeizer-di3ly
      @MarryLeizer-di3ly 13 дней назад +1

      Kawapanga watu wakutoa shuuda tapel mkubwa siku yake imefika

    • @bahatirobert1009
      @bahatirobert1009 13 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @aishahussein9348
      @aishahussein9348 12 дней назад

      Iyo ni biashara,mimi unipage nitoe shuhuda,napewa hel naanzaje kukataa

  • @S__Official24
    @S__Official24 14 дней назад +8

    Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢
    Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢

  • @user-rf9vn7lz1n
    @user-rf9vn7lz1n 12 дней назад +1

    Hiv mpk sasa bado watu mnaamin ugang jaman daah mpo dunia ipi

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 14 дней назад +2

    uyu taz mpumbavu sana yuajifanya anahasira ata maongezi yake simpenfi uyu mganga tapeli mungu ajalie spatikane auliwe pia

  • @user-ji7ju8lp4p
    @user-ji7ju8lp4p 14 дней назад +4

    Taz mshenzi sana na ni tapeli uganga wenyewe jau tu

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 11 дней назад +1

    eti mfarume wa dawa manina zake uyo dogo anasema eti kun faya kun mungu leo kakuonesha kwamba yey ndomfalme wawa falume namungu endelea kuwanyosha

  • @gracemwingwa-jx7yy
    @gracemwingwa-jx7yy 9 дней назад

    Kumbe huyu mganga ni mshenzi sana kuanzia leo hapati like zangu

  • @ashiruahmedselemani7842
    @ashiruahmedselemani7842 13 дней назад +2

    Huyo baba mliomuua mtakamatwa nyie mkome! Tena hao vimbelembele wa kumjibu muhandishi wa habari!

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 6 дней назад

    Não Police waliofika hapo mala ya kwanza wafungwe kifungo Cha milele

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 11 дней назад +1

    WANANCHI MMEFANYA VZR KUMUUUA HUYO BABA

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 12 дней назад

    Pole sana kaka

  • @ZainabuBita
    @ZainabuBita 4 дня назад

    Niwaogo bwana wanatak kuletea ujaja tu

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 14 дней назад +1

    Chezanavyote siokaziyauganga wakujitangaza lzma upingwe tukio

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 14 дней назад +5

    Hapa ssa ndio amempa manyaunyau chakuongea😂😂😂😂

  • @user-zq6nc2nf1g
    @user-zq6nc2nf1g 14 дней назад

    Imani zakipuzi tuu

  • @PendoMfalamagoha
    @PendoMfalamagoha 11 дней назад

    Pole bro

  • @scolasticastephano4366
    @scolasticastephano4366 9 дней назад

    Tumutegemee Mungu binadamu siyo wema

  • @salimtz6
    @salimtz6 12 дней назад +1

    Mbona huyu nyau kam ndo main 🎯 target inawezakanaje mtu mnalumbana kila siku half siku ya tukio unafika mwanzo 😅 Kwa waandishi? ila Tanzania bahna

  • @omarcpt1178
    @omarcpt1178 4 дня назад

    Chomeni na nyumba, choma kilakitu nayeye mkimkamata tia moto tu

  • @YassinyNganywama
    @YassinyNganywama 14 дней назад

    DAAAAH

  • @legallytallm7702
    @legallytallm7702 12 дней назад

    What country is this?!

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 14 дней назад +1

    kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 13 дней назад +1

    Chomeni na hilo Jengo

  • @rehmastyle4446
    @rehmastyle4446 10 дней назад

    Aliye kuuwiya mdogo wako ni Manyaunyau

  • @ZainabuBita
    @ZainabuBita 4 дня назад

    Siokweli waugovi namayauyau labud kawatma

  • @hassansaid3833
    @hassansaid3833 14 дней назад +2

    Ila kweli mapaka paka ni noma yani umempiga shakizi la nguvu ukoo wa huyo Taz tapeli bado yeye lazima nae amalizwe 😂😂

    • @dvjkelly8449
      @dvjkelly8449 13 дней назад +1

      shakizi ni nini?

    • @user-wu1bb4ky9s
      @user-wu1bb4ky9s 12 дней назад

      Ni kitu cha kutupiwa mfano limbwata au kurushiwa jini la kujinyonga

  • @mwanatumukombo4497
    @mwanatumukombo4497 13 дней назад +1

    Ss niulize kwa nn mukamuua babake na aliye sababisha kifo cha mlinzi ni taz hamja fanya poa ata mbele ya Allah nyinyi munge dili na TAZ

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s 12 дней назад

      Hawajafanya vizuri kabisa. Nashanfaa wengine wansona sawa tu. Na je sliyemuua huyo mlinzi ni nani?

    • @user-ls1ot6fs4v
      @user-ls1ot6fs4v 12 дней назад

      Eti kwa nini wasimpeleke polisi

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 14 дней назад

    Mbona mna focus sana kwenye hayo matunguri 🥱

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 12 дней назад

    Allah tupe Stara, Angalia kifo aluchokufa huyo mzee,Wewe Mganga kesho utajibu Mbele ya Allah,umesababisha kifo cha Baba yako pasipo hatia,

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 14 дней назад

    Mmmmmm hiii dunia inamambo mengi

  • @gefreymtalo5613
    @gefreymtalo5613 10 дней назад

    Huyo jamaa bado yupo uraiyani ? Mkuu wa police wa mkoa wa dar leta jibu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 14 дней назад +6

    Ss kwnn mmemuuwa baba ake wkat yy ausiki wnanchi na jyie mkatwe mana mmeuwa vile vile na kwnn muibe fenucha za ndani nyie ni wezi

    • @shaibusalim5751
      @shaibusalim5751 14 дней назад

      Sikilza vizur kakamtu anavyoongea huyo baba nae kausika

    • @fatumakidoa4006
      @fatumakidoa4006 13 дней назад

      Afe huko pia nae damu Moja ya uuwaji

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 10 дней назад

    Mungu atusaidie jamani,damu ya huyu askari itanena juu yao

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 10 дней назад

    Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 14 дней назад +1

    Yote mipango ya manyau nyau kamsukumia afanye ayo

  • @OmanBuraimi-wl4tm
    @OmanBuraimi-wl4tm 14 дней назад

    Wana vibali vyaoo wagangaa

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 6 дней назад

    Bomoeni hayo majengo

  • @FatmaZena
    @FatmaZena 14 дней назад

    Innalillah wainnaillah raj'uun

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 14 дней назад +2

    Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo

  • @ashaomary5558
    @ashaomary5558 10 дней назад

    Chomeni nyumba hiyo asirud

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 12 дней назад

    Huyo angechomewa nyumba mshenz huyo😢😢😢😢

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 14 дней назад

    Wananchi nawapendaga bure.

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777 13 дней назад

    Mwezi mmoja mbele Taz anarud hapo kaeni mbali nae hawezi kufungwa ni mchawi hafai

  • @mamaboizpure842
    @mamaboizpure842 7 дней назад

    Si huyu jamaa anakua tiktok wah

  • @dnyotausa6154
    @dnyotausa6154 11 дней назад

    Roho mbaya zinawasumbua masikini

  • @EmanuelMnubi
    @EmanuelMnubi 10 дней назад

    Atari sana

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 14 дней назад +1

    Manyau nyau kaja kuakikisha km. Dawa zake zimefanya kz yn unekuja kbs unaht haibu

  • @officialkmoneyvevo3175
    @officialkmoneyvevo3175 13 дней назад +1

    8:42 Manyaunyau kapata pakujipigia promo😂😂

  • @user-zt1te9ir8t
    @user-zt1te9ir8t 14 дней назад

    vita ni akiri vita ya uchumi ndo hii.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 14 дней назад

    Manyau nyau salute kuanzia leo nakupa salute 🕴

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 14 дней назад

      Wote ao wanajuana mm nilimuamin ila sijawai kumtafuta nilikuwa namfatilia kumbe ni zaid ya shetani anamana kabisa

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 14 дней назад

      Ukifikia kumuuwa mwezako ww sio mtu wakawaida

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 14 дней назад

      @@WaridiTambi yn ht mm nilomuamin asilimia zote kumbe hafai kabisa 😥

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 14 дней назад +1

      @@WaridiTambi kabisa kwanza huna roho km ya binadamu wenzio ni roho ya ukatili sana

  • @candy9969
    @candy9969 14 дней назад +2

    Uyu jamaa sio Ndio Anafany uganga wake tiktok

  • @sharifachacha7677
    @sharifachacha7677 10 дней назад

    Aiseee !!!!?¿??

  • @hyy4114
    @hyy4114 14 дней назад +1

    Subhanna Allah huyu mganga nilimuona Tik tok Ana majibu ya jeuri kwel

    • @jassminemubarak2828
      @jassminemubarak2828 14 дней назад

      kwanz haja wahi kucheka mie namuelewa huyu mganga

    • @fadhilimsafiri216
      @fadhilimsafiri216 14 дней назад

      Tapeli yule na katili sana

    • @hyy4114
      @hyy4114 14 дней назад

      @@jassminemubarak2828 mm nilimuona tu Tik tok Ana majigambo Subhanna Allah

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 14 дней назад

      ​@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢

  • @Blandinakanini
    @Blandinakanini 13 дней назад

    Sasa ata mukijoma si ataunda zingine
    Huyu mujawi

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 14 дней назад +2

    Ki2 kingn jeshi l police wanpo sikia taalifa km wanatkiw wawe kipaumbele kwend kumchkua mtuumiw il kuepush v2 km hv

  • @kidykodyyusufukod-ud6vg
    @kidykodyyusufukod-ud6vg 10 дней назад

    hili linaweza kua na taswira tofauti ata na tunavoliona

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 12 дней назад

    Huyu mwenye kapelo ni manyaunyau yy mwenyewe mganga tapeli

  • @elizajoseph7209
    @elizajoseph7209 12 дней назад

    Macat cat jamaniiii

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 13 дней назад

    tunaomba mkono wa shelia umfuatilie uyo tuz

  • @rosemneney3244
    @rosemneney3244 14 дней назад

    Hiyo 5 yako sogeza pembeni

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 14 дней назад +1

    astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans

  • @ElizabethRaju-sx2vu
    @ElizabethRaju-sx2vu 7 дней назад

    Chuki tu

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 14 дней назад

    Manyaunyau kwake nifuraha ya kunguru😅😅😅😅😂😂badala ya masikitiko😢😢😢

  • @merrymichael6126
    @merrymichael6126 13 дней назад

    Manyaunyau noma xn anavutia kwkr

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w 13 дней назад

    Mnasubiri nini chomeni moto vibanda vyake hivyoo mtu mmoja anasumbua jamii sababu ya tunguli zake huyo ni taperi tu

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 14 дней назад

    Anamdom Huy Taz khaaa sijawah kuona majivuno sasa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 14 дней назад

      Utajiri wenyew wa kutapeli watuuuuu

  • @AbdonRenatus
    @AbdonRenatus 12 дней назад

    Huyo mganga aukumiwe mara moja maana anajuwa kile alicho kifanya na uchunguz uwe wa mda mfupi sana ili haki itendeke

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 12 дней назад

    Huyu jamaaa mweny t shirt nyeupe mnafki

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 12 дней назад

    Manyau kama manyau oyeèeeee

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 14 дней назад

    mbona amekimbia fomo kubwa tu kuuwa mwenzio ajifanya mganga lakini uyu mshenzi sana auliwe pia slafu yuko live tik tok mbona kskimbia nyumbani

  • @RehemaSaid-rg5mr
    @RehemaSaid-rg5mr 14 дней назад

    Mbona roo yake ngum

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu8539 13 дней назад

    Manyaunyau ukafurahi kweli

  • @damasiibrahimu8892
    @damasiibrahimu8892 14 дней назад

    Kumbe uganga ni tasnia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 14 дней назад

    Manyaunyau ataingia live amedhapata content😂😂😂

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 14 дней назад

    Umpige mtu na kitu kizito had anyonyoke nywele😢😢😢😢Mungu tutetee

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 12 дней назад

    Matapeli dawa yao ndo hiyo,kwa nini umfanyishe kazi mtu alafu usimlipe hela yake,uyo tapeli msimuache ua kabisa na yeye amfate mwenzie

  • @user-zp4gf7te8o
    @user-zp4gf7te8o 12 дней назад

    Maisha aya bwana

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 14 дней назад

    wamesahau kuchoma nyumba moto

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 14 дней назад

    uyu mwanaume taz dunia alichukua na kifua domo akidai akuna wa kumfanya lolote na nsisi binadam tunao.mwamini na kumpa mapesa ndio kaingia kiburi auliwe uyu akuna cha nini wala nini amemuonea mtoto wawatu vipi wamfungia mwenzio ndani mbwa uyu fomo

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 14 дней назад +2

    Ila huyo tazi aliambiwa Na Shekh suleima Allah atamuumbua 😢subuhhallaah ona leo hii kadhalilika japo kakimbia

  • @user-zu9kw7vv8w
    @user-zu9kw7vv8w 14 дней назад

    Anaesema wivu angechinjwa mwanao

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 14 дней назад

    Mnachelwesha chomeni hiyo nyumba na Kila kitu chake serikali haipo kwa masimulizi hayo atuna polisi tuna wafuga maovu rushwa imesababisha kifoo je mtatuambia Nini chomeni Kila kitu iwe fundisho

  • @WaridiTambi
    @WaridiTambi 14 дней назад

    Uku mganga uku kamari alafu kwa nn wamuue uyo baba ake wangemuuwa yy mwenyewe

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 14 дней назад +1

      Yeye alikimbia na familia yke baba qke alimuqcha akijua watamuacha raia

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 14 дней назад

      @@ElizabethWamcha mtihani kwa kweli inauma kwa wote kuliwa alafu kule TikTok anajitapa sana adi watu kumuamini sana kumbe afai ni muwaji akiongea unasema mungwana kumbe roho ya shetani ukifia kuuwa kweli afai ata kidogo

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 14 дней назад +1

      Anatakiwa apate kwanza maumivu ndo afe akija msibani sasa apo achague kuzika baba au kutokomea manispaa ndo izike

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 14 дней назад

      @@rashidmsuya5721 mtihan sana mm imeniuma uyo baba kufa japo kijana wake kaua wangemtia ndani uyo baba ila wao walio kuwepo ndio wanajua zaid uyo baba

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 14 дней назад

    Manyaunyau hata wewe ni walewale

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 14 дней назад +3

    Sasa kwanini wananchi wamuue huyo baba jamani 🥹🥹🥹

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 14 дней назад

      We unaona alikua anafanya vizuri kutishia watu

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 14 дней назад

      Sasa nawaowashajitia hatiani kwakuua huyomzee wangeachanserekali ifanye yake

    • @shaibusalim5751
      @shaibusalim5751 14 дней назад

      Selikali gani

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 13 дней назад

      ​@@Mrsmussa-wn6kvserikal ipi unaambiwa kuua ndo zake na akikamatwa lisaa tu kaachiwa na anajitapa kabisaa

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 13 дней назад

      @@salmamlokela1987 niyeye sio wao kilamtu na bahatiyake unambiwa usisafirie nyota ya mwezio sio km yy kafanya makosa naww ulipize makosa acha vyombo vinavyohusika vitashulikia

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 14 дней назад +2

    Auliwe na yy kumalamamaake

  • @AidaGadson-pn6ud
    @AidaGadson-pn6ud 14 дней назад

    Km

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 14 дней назад

    Inalillahi wainailahi rajuun....ilawangemuua mwenyewe kuoiko.kumuua baba yake wananchi pia mnamakosa kilaalomuua babayake huyo. Mjinga wachukuliwe hatua