MHUDUMU WA MOCHWARI ALIYEANDAA MIILI YA MAREHEMU 9 WALIOFARIKI KWA AJALI YA MAJI AELEZA MACHUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Комментарии • 37

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Месяц назад +3

    Pole sana kaka, tumeumia wote Mungu afariji wazazi wao. Dah ni huzuni hakika

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m Месяц назад +2

    Pole kaka Mungu akutie nguvu na ujasiri kwa kazi yako

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Месяц назад +3

    😢 pole kaka kwa kazi ngumu Allah atakulipa

  • @ConchestaKyaluzi
    @ConchestaKyaluzi Месяц назад +2

    Mungu akupe wepez wa kazi yako

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 Месяц назад

    Pole sana kaka mungu akutie nguvu aendelee kukupa moyo.wa imani

  • @JoromeAdventure
    @JoromeAdventure Месяц назад +1

    Ni huuzuni San Kwa Taifa duuh .Mungu asimame tu

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Месяц назад

    Pole sana kaka mungu ukupe wepezi katika kazi yako

  • @Magefanuel85
    @Magefanuel85 Месяц назад +1

    Mmmh😮 wapumzike kwa amani ndugu zetu 😢

  • @user-wt3iw8yc8z
    @user-wt3iw8yc8z 28 дней назад

    Mungu wangu kumbe Kuna mallya wanahudumia marehem alaf Ana wapenda anasema jmn duh pole kaka angu.

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Месяц назад +1

    Huyu kaka aliye pata umauti kwa jili watoto da! Mungu atamweka peponi ha!

  • @lucymrosso6930
    @lucymrosso6930 Месяц назад

    Pole sana kaka professor

  • @irenemwakalinga4350
    @irenemwakalinga4350 Месяц назад +1

    Dah so sad jaman hyo hali sikia kwa mwenzio tuu pumzikeni kwa aman 😢

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb Месяц назад +1

    Poleni Sana ndugu inauma lakini KAZI ya mungu Haina
    Rufaa kama mungu angekua ana
    Pokea rushuwa tungecha watoto wapone uwiiiiiiiiiiii inauma watoto wadogo
    Wamekatishuwa ndogo zao

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 Месяц назад +1

    Anapenda marehemu 😮 uyo kashavuta bangiii😅

    • @witnessnelson4807
      @witnessnelson4807 Месяц назад +2

      Wala hata havuti bangi nilifiwa na mdogo wangu kwa ajali alitusaidia mpaka mwisho na alifanya kwa moyo na yupo peke yake

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 29 дней назад

      Kila mtu ana wito wake jamani...Hawa watu wameubwa huo ndio wito wao

  • @Veronica-ht8rc
    @Veronica-ht8rc Месяц назад

    Mungu wa mbinguni awapokee

  • @BlessedJackson-ew5xr
    @BlessedJackson-ew5xr Месяц назад

    Mungu awatie nguvu

  • @AmedeusMbanda-gh4rj
    @AmedeusMbanda-gh4rj Месяц назад +1

    Jamani😭😭🙆

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +2

    Maelezo kama yamepindapinda au bado unausingizi

  • @BlandinaMassawe
    @BlandinaMassawe Месяц назад +1

    😮😮

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op Месяц назад +1

    Mwandishi huyu ni stad

  • @JumaMsangi-oq6qo
    @JumaMsangi-oq6qo Месяц назад +1

    Pol san mkuu

  • @dorcemwinuka9842
    @dorcemwinuka9842 Месяц назад +1

    MUNGU pekee awe faraja kwa wazazi,ndugu,waalimu,wanafunzi na Taifa kwa ujumla.Serikali iwe makini kukagua magari ya wanafunzi ,mengi ni mabovu na madereva wawe watu wazima na sio vijana .

  • @RehemaVMkanga
    @RehemaVMkanga Месяц назад

    Apo pa kumpenda marehem jaman,

  • @sadickponera2464
    @sadickponera2464 Месяц назад +1

    R.i.p 😢😢😢

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Месяц назад

    🙄🤔

  • @MakerePilli
    @MakerePilli Месяц назад

    Pole I sana was arusha

  • @nsiasawe7956
    @nsiasawe7956 Месяц назад

    😢😢😢😢

  • @NeemaChacha-kj8dq
    @NeemaChacha-kj8dq Месяц назад

    poren jamn

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Месяц назад +1

    Malya unakunywa pombe ama

  • @petermacharia7171
    @petermacharia7171 Месяц назад

    Mlokole..

  • @NeemaKirika
    @NeemaKirika Месяц назад

    Natoka pole kwa watoto pamoja huyo kaka msamaria aliyeokoa hao watoto