MHUDUMU WA MOCHWARI ALIYEANDAA MIILI YA MAREHEMU 9 WALIOFARIKI KWA AJALI YA MAJI AELEZA MACHUNGU
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Pole sana kaka, tumeumia wote Mungu afariji wazazi wao. Dah ni huzuni hakika
Pole kaka Mungu akutie nguvu na ujasiri kwa kazi yako
😢 pole kaka kwa kazi ngumu Allah atakulipa
Mungu akupe wepez wa kazi yako
Pole sana kaka mungu akutie nguvu aendelee kukupa moyo.wa imani
Ni huuzuni San Kwa Taifa duuh .Mungu asimame tu
Pole sana kaka mungu ukupe wepezi katika kazi yako
Mmmh😮 wapumzike kwa amani ndugu zetu 😢
Mungu wangu kumbe Kuna mallya wanahudumia marehem alaf Ana wapenda anasema jmn duh pole kaka angu.
Huyu kaka aliye pata umauti kwa jili watoto da! Mungu atamweka peponi ha!
Pole sana kaka professor
Dah so sad jaman hyo hali sikia kwa mwenzio tuu pumzikeni kwa aman 😢
Poleni Sana ndugu inauma lakini KAZI ya mungu Haina
Rufaa kama mungu angekua ana
Pokea rushuwa tungecha watoto wapone uwiiiiiiiiiiii inauma watoto wadogo
Wamekatishuwa ndogo zao
Anapenda marehemu 😮 uyo kashavuta bangiii😅
Wala hata havuti bangi nilifiwa na mdogo wangu kwa ajali alitusaidia mpaka mwisho na alifanya kwa moyo na yupo peke yake
Kila mtu ana wito wake jamani...Hawa watu wameubwa huo ndio wito wao
Mungu wa mbinguni awapokee
Mungu awatie nguvu
Jamani😭😭🙆
Maelezo kama yamepindapinda au bado unausingizi
😅😅
😮😮
Mwandishi huyu ni stad
Pol san mkuu
MUNGU pekee awe faraja kwa wazazi,ndugu,waalimu,wanafunzi na Taifa kwa ujumla.Serikali iwe makini kukagua magari ya wanafunzi ,mengi ni mabovu na madereva wawe watu wazima na sio vijana .
Apo pa kumpenda marehem jaman,
R.i.p 😢😢😢
🙄🤔
Pole I sana was arusha
😢😢😢😢
poren jamn
Malya unakunywa pombe ama
Nyingi sana😢
We kuweza kulinda maiti usiku kucha kwa akili y kawaida
Jamani
Mlokole..
Natoka pole kwa watoto pamoja huyo kaka msamaria aliyeokoa hao watoto