NIMEFIWA NA WATOTO WANGU WAWILI AJALI YA GARI KUSOMBWA NA MAFURIKO ARUSHA
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
😭😭😭😭😭😭😭Mungu naomba uwape hizi familia faraja na mioyo ya subra
Poleni wafiwa wote, Mungu awape faraja kwani kwa akili zetu hatuwezi kitu
Pole sana Kaka ! Ni maumivu makubwa sana sana! Poleni Wazazi wote mliopoteza wapendwa wenu! Innalilah wainnalilah rajiuun!
Poleni Sana mwenyezi mungu akawe faraja kwenu
Pole sana mr mushi kwa msiba huu mkubwa, upokeeni msiba huu kwa imani tukijua kuwa sote tutapitia njia hiyo, Mungu awape pumziko la milele marehemu wote Amina
Amina!
Hakika ni KWA IMANI tu , ndio tunaweza kuzishinda nyakati ngumu zenye kuumiza... Ee Mungu wafariji hawa wazazi😭
Habar jaman tuna tafuta namba za mushi tuende kwake. Au kama unapajua kwakwe tuelekeze sisi ni classmates wake wa o-level😢😢😢
Pole sana mwenyezi mungu akupe nguvu wewe na familia yako
😭😭😭😭😭 nimejaribu kuvaa viatu vya wazazi havinitoshi, Mungu awape faraja iliyo ya kwl
Pole baba inauma sana watt wawili wote
Poleni sana ndugu zangu. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amen
Pole sana kaka
Duuuh inauma Sana inaniuma Sana Mimi uwiiiiii😂😂😂😂 polen wazizi wenzangu kwa kuondokewa na watoto mungu awatie nguvu jaman poleeen.
Poleni jamani kwa kupoteza wanafunzi wetu wa taifa la kesho, mungu haziweke roho mahali pema peponi
Pole kaka yang naumia sana Watt wawil
Poleni sana wanafamilia mliopoteza watoto kwa ajali MUNGU awapokee watoto hao Mbinguni.
Poleni saana ndugu zetu, tunalia pamoja. Mungu awapokee malaika Hawa😭😭😭
Daaaah Mungu mwenye enzi wafarijii wote waliopatwa na majonzi makubwaa haya
Poleni sana mungu awape nguvu wakati hu
😭😭😭 bwana mm ninani hata umenifanya niwe hivi 😭 poleni sana wapendwa Mungu mkombozi wetu awe nanyi daima
Huyu baba amejieleza vizuri sana, pamoja na dereva kufanya uzembe, kumbe kuna wengine walishakufa mahali hapo! Baba asante sana kwa ushauri wako..
😢😢😢
Mungu wambingun
Jamani polen sana
Vijana na madereva wengi Arusha ni wavuta bangi na mirungi ni vizuri sana wenye shule waajili wazee wenye wanafamilia
Unaongea tu wew huelewe hata angekuwa mzeee pia kama ni bangi ni bangi na sio Arusha tu mwombe mungu yasikukute
@@GloryMsopa chuga wako mkoa Gani Arusha bangi sana mnavuta nani asie wajua?
Daaah!!!! jaman polen sana pole tena pole kwamara nyingne Mungu wambinguni awatie nguvu sana hiki kipnd nikigum sana mtavuka samala katka hili naamini
Poleni sana ndugu zangu
Poleni sana ndug zetu MUNGUawape subira na amani katk mioyo yenu
Mungu akawe faraja ya pekee kwenu ndugu zetu😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏
Poleni sana ndugu zangu,Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu mno. Pole kaka yang kwa kuondokewa na watt wawili kwa wkt mmoja,inaumiza mno mnoo.
Pole Sana mwenyezi Mungu akutie nguvu
May the lord give you peace in these trying times to the parents and affected.
Tumuombe Mungu sana maana mwovu shetani anatumia mbinu nyingi kuumiza watu wa Mungu,hawa "manabii" nao ni miongoni mwa mawakala wa shetani
Poleni San wazazi Mungu akawape faraja katika kipindi hiki kigumu,,
Pole sana kaka😢😢
Pole sana, Mungu Ndio tegemeo lako ndugu
Poleni
Mungu awatie nguvu hizi familia hakika wana wakati mgumu sana!! Mungu wapokee salama watoto wako!!
E mungu wape faraja ndugu wote wazazi
Wape uvumilivu Mungu wangu wape daraja Baba Watoto wanauma Sana jaman Ee Mungu tulindie watoto wetu Baba .pole Sana Ndugu zangu Mungu awape faraja .
Mungu pekee ndo faraja ya hawa wazazi , awape nguvu, Mungu wasaidie hawa wazazi jamani nashindwa kuongea
Poleni sana
Poleni sana wafiwa,
Poleni sana wazazi.
Poleni sana.
Tunaomba serikali iweke mazingira sahihi kwenye maeneo yote ya kuvuka kama haya. Kuwekwe vizuizi vya pembeni kwenye vivuko vitakavyosaidia kuzuia likitokea tukio lolote.
Wapumzike kwa Amani 🙏🏻
Mwenyezi Mungu awapitishe wenye maumivu haya, yasiyooezeka. Poleni sana, viatu vyenu hatuviwezi kwa sasa.😭😭💔💔
Mungu awatie nguvu wapendwa wetu,inauma mnoo ,na Mungu awapokee huko mbinguni
Poleni sana mwenyezi Mungu awapumzishe kwa amani
Pole sana Mungu awatie nguvu
Pole san bro na wote walipmumbwa na dharma hiyo...Mungu pekoe awafariji
polen sana kwa msiba mzito😂
Poleni sana mweee
Pole sana ndugu yetu, jikaze sana, poleni wafiwa wote.
RIP,Poleni Sana wazazi wenzangu mungu wa amani awape faraja yake katika kipindi hiki kigumu,inauma sana mungu hatawaacha kamwe .
Mungu wape familia mioyo ya subra
Pole sana familia Mungu awafariji
Mwenyenzi mungu awape faraja wapendwa
Pole kwa familia Mungu awatie nguvu
Poleni sana ndugu zangu dah!
Pole bro daaa
Poleni sanaaa familia zotee inauma sana
Poleni mlioondokewa na wapendwa wenu, Mwenyezi Mungu akawe faraja kwenu
Mwenyez mungu akufanyie wepes uwe na subra na ustahamilivu kwenye moyo wako najua inauma sna lakn kaz ya mungu aina makosa pole baba Mwenyez atakufanyia wepes inshaalah utapat wengine pole sna in short polen kw ujumla 😭😭
Poleni xna wanaarusha mungu awapunzishe kwa amani watoto waliotangulia mbele ya haki Amen
Poleni sana Wana Arusha
Poleni sana wapendwa Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki Cha majonzi
pole sana
Polen sana tena sana
poleni sana mungu awatie nguvu tumeumia wote. hao ni wtt wetu wote
Poleni sana ndugu zetu mungu awe falaja kwenu
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu 😭😭 poleni sana
Kusaga TV mko vizuri Sana
Pole sana kaka mungu awatie nguvu wote katika kipindi hiki kigumu.
Poleni sana Mungu awatie nguvu 😭😭
Poleni sanaaa
Eeeeh mungu watie nguvu wafiwa wote
Mungu awatie nguvu
Poleni wote mliopatwa na janga hilo Mungu azilaze roho peponi amee
Mungu azilaze roho za watoto hao mahali pema wazazi wa watoto hao mungu awatie nguvu na baraka Tele daaaaaaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Poleni sanaaaa families. Almighty Allah give you all families strength inshallah
I am also crying with you
Mungu awatie nguvu wapendwa
Mungu awape faraja wafiwa wote 😭😭
Polen xn jamn ndug jamaa na marafik kwakwer inaum xn 😭😭😭
Pole sana kaka angu mungu awape pumzikk
Poleni sana ndugu zetu Mungu awatie nguvu
Poleni xana Kwa familia 😢😢
Pole sana kaka Mungu awatie nguvu
Mungu awatie nguvu wote
Pole kaka 😢😢😢
Poleni sana mungu akawe faraja yenu, katika kipindi kigumu.
Tunamshukuru tu Mungu kwa yote,,,Ee Mungu wape wazazi hawa faraja yako pekee,, safari yetu ni moja Ee Mungu tusaidie
Mungu akupe Nguvu jamani kwenye kipindi hiki kigumu 😢😢
Daah inauma sana mungu azilaze roho zao mahari pema pepon
Poleni sana ndugu zetu watoto wetu wapumzike kwa Amani😭😭
R..I. P. Inauma.....! Poleni wazazi wenzangu. Inauma mno mno. Wasingeagia shuleni, itaweza kuathiri watoto kisaikolojia. Lingechaguliwa eneo tofauti na shulemi.
Syo shulen n uwanjan kupo nje na shule
It hurts! it real hurts.. Poleni sana jamani
Poleni ndugu zetu mtoto anauma jamani Mungu awatie nguvu
Poleni sanaa wazazi wenzangu, Mungu awe mfariji wenu mkuu,😭😭🙏🙏
Mungu tu awape nguvu na kuwashika mkono kibinadamu maneno hayapo ya kuwaeleza wapendwa, Mungu awakumbatie,bila Mungu hatuwezi
Poleni sana wapendwa M/Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu kwenu 😭😭😭😭
Poleni sana ndugu zetu mliopoteza wapendwa wenu
Mungu awarejeshee wengine pia azidi kuwa bariki😂 Mungu awape nguvu
Poleni Sana wanafamilia kwa ajili!!
Inalillah wainailayrajun Allah akawe faraja yenu
Poleni sana jmn
Poleni wazazi na family RIP watoto wetu jamani
polen sana hakika ni maumivu yasiyoelezeka mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu mungu awe mfariji wenu😭😭
Poleni Sana WAPENDWA hakika inauma Sana😭😭😭