Nice music mwengine mi bwana ile FRIDAY NIGHT,KING’AST, kidali po ni moja ya masong hatari sana jamaa ni Mtu haswa kaka kuvi niletee crazy buffa broo huyu nilibahati kukutana nae kinondon studio ye alikua anaishi biafra kaka mkuu mtu Poa sana namba zake pia nilikua nazo mlete hapa
Respect mr.nice kwa muziki wako
mzee hongera kwa content nzuri. ila tatizo video zinakatakata yani kuna maneno hayasikiki
Am your best Fan from Goma DRC ❤🇨🇩🇨🇩
FANYIA KAZI UBORA WA SAUTI PLEASE
Ilikua nyama ameigeuza imekua utumbo😂😂😂
Classic intervioew, naipa namba moja for this year lets goooooo
Legend 🔥🔥🔥
Kuvi, kwo hapa mzee mangi na mzee msukuma nani kkasema ukweli wa chanzo cha beef? 😂😂😂😂
Inabidi Sugu baada ya show ya huyu kufanyika amchukue Dudu kwenye show inayofata itakua poa sana
Mwamba huyu hapa😊
Legend
mrnice🔥
Mnarusha kipindi bila ustadi hamfanyi edit achen izo
legendery
Pesa inatoka kwa watoto
Wewe ndo maana ulipigwa
Nice music mwengine mi bwana ile FRIDAY NIGHT,KING’AST, kidali po ni moja ya masong hatari sana jamaa ni Mtu haswa kaka kuvi niletee crazy buffa broo huyu nilibahati kukutana nae kinondon studio ye alikua anaishi biafra kaka mkuu mtu Poa sana namba zake pia nilikua nazo mlete hapa
Jamaa aliimba bana
uyu mwamba bongo hakuna aliyemfikia enzi hizo
Jabir, una ushahidi kamili😂😂😂😂