Master J aelezea jinsi Kick zilivyoathiri vipaji, "Wagosi walinivua BMW, wasanii hawajui Kiingereza"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 24

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Год назад +2

    Kwer kuinvest ndo Kila kitu Yani,,mim mwenyewe ni chizi viwanja kama master j,,wow mungu atubariki na awabariki pia,,

  • @kiatu
    @kiatu Год назад

    Ni vizuri Tanzania tukawa na publishers wa nyimbo za songwriters/composers ambazo zinaweza kuwa accessed na wasanii wetu, hasa za kiingereza. Kuna watunzi wazuri ambao sio performers.

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter Год назад +3

    JAMANI ENGLISH YA MZIKI SIO YA PRESENTATION

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад

    Master j nouma sana huu mziki kautoa mbali

  • @geeva99
    @geeva99 Год назад

    Iyo kweli kabisa hata waandishi wa vitabu wana editors, sasa mistari ya kichovu watu wanaojielewa hatuwezi sikiliza inakuwa kama ni mazoezi ya kujifunza ujinga, bora huo wimbo wa zanzibar unasikilizika kwa mwaka huu kati ya nyimbo zenye english kwa mbali

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 Год назад

    That's Master J

  • @roman2270
    @roman2270 Год назад

    Well said MJ.

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 Год назад

    Interview nzuriii honestly

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Год назад

    Mim ndomana nakupendaga master j Kwasababu unaongeaga point zoootee,,na wenye akili wamekuelewa

  • @multdealerGoldenKeyNegroMtata
    @multdealerGoldenKeyNegroMtata Год назад +1

    Master J. Is talking Real.

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Год назад +1

    😂😂😂💪🏽💪🏽🔥🔥 wachaneee

  • @Paplick9
    @Paplick9 Год назад

    Master jay 📌📌📌

  • @businesstanzania
    @businesstanzania Год назад

    Video Tofauti Na Audio Arafu Mnataka Mshindane Na Media Nyingine Zilizo Bora

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +1

    KAZIA APO APO MWANETU.,MAUBUNIFU YAWE MENGI

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 Год назад

    Mbona mme mkatilisha master aja maliza anayo ongeya

  • @aikalema5725
    @aikalema5725 Год назад

    Umeongea ukweli dunia ya sasa nani anakupa chombo chake utumie kwa lazima.

  • @DM_15
    @DM_15 Год назад +1

    Hio radio ilikua Ni RFA ILIKUQ INAPIGA NGOMA ZA BONGO HATARI

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Год назад

    💪

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    kwaiyo basi.kwajibu hilo.master jay ndio.mana wengi wao ..wamejiingiza namatumiz.mabaya ya fedh walikua na pesa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter Год назад +1

    NONESENSE 😅

  • @nassorsaid5231
    @nassorsaid5231 Год назад

    Mambo mengine sio lazima uyaongelee kama huyajui dc youngfly siyo rapper ni comedian halafu unasema kabisa ana rap for real LMAO