Makosa ya wachezaji walikuwa wanarilaksi sana wanaanza kulewa sifa wanacheza kwa kujiangalia sana, na huyo kamara analewa sifa sana analeta mzaha, pia debora hakutakiwa kutolewa kila mechi akitoka debora timu inayumba
Mliwananga Yanga kwa ushindi wao wa magoli machache tofauti na mlivyotaka nyinyi...haya achilia mbali magoli machache mmepata sare ongeeni tuwasikie chonde tu msimwambie mangungo ajiuzulu maana usajiri kafanya mo mwenyewe kwa sauti ya panya road
musiwe mnakimbilia kusema wachezaji wameuza metch fikilia kama leo ingekuwa dabi mngefungwa ngapi leo unajua siku hazilingani fikirini kabla ya kusema na kutuhumu wachezaji
@@greysonkisinda7390 kumuweza mpinzani wako ni kuwa na uwezo wa kumfunga na kuondoka na matokeo 100% mfano hatuwezi sema Ken Gold kamuweza Yanga just kwa sababu ktk udogo wake kamzuwia Yanga kufunga magoli mengi ila kuna kitu kinaitwa siku mbaya kazini humtokea yeyote popote na ndio nature ya mchezo wa mpira wa miguu. Coastal wanajitahidi yes ila kauli "wanawaweza Simba" la
Mwamba unatumia nguvu kubwa kuwa haminisha wna simba kuwa simba ni bora ila kiukweli hamna timu magori mliyoshinda yote sio magori.....magori waliopiga coast ni magori ya kuuwa nyoka shimoni kiukweli mmebebwa sana
Alikamwe alisema kolo bwambwa ashindi mechi tano mfululizo iyo tmu hana leo tumeona mabingwa wa mdomoni kwenye pichi mbeleko Mungu kawaonyesha leo raha sana
I love Simba sports club ' tuko pamoja pin pin Camara ❤❤❤❤
I love ❤❤❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁💪💪🔥🔥🔥
Viva simba lion forever 🙌🙌
Sare yetu inawahusu Nini huu ni mpira tunawasumbua eee Ubaya ubwela
Maneno mengi kazi kidogo!!!!@@
Makosa ya wachezaji walikuwa wanarilaksi sana wanaanza kulewa sifa wanacheza kwa kujiangalia sana, na huyo kamara analewa sifa sana analeta mzaha, pia debora hakutakiwa kutolewa kila mechi akitoka debora timu inayumba
Mliwananga Yanga kwa ushindi wao wa magoli machache tofauti na mlivyotaka nyinyi...haya achilia mbali magoli machache mmepata sare ongeeni tuwasikie chonde tu msimwambie mangungo ajiuzulu maana usajiri kafanya mo mwenyewe kwa sauti ya panya road
musiwe mnakimbilia kusema wachezaji wameuza metch fikilia kama leo ingekuwa dabi mngefungwa ngapi leo unajua siku hazilingani fikirini kabla ya kusema na kutuhumu wachezaji
timu ya vijeba lili basi kuingia kinyumenyume ndio hhhh
Coast anawaweza sana kipindi hiki hata ile mechi ya mshindi wa tatu mlibanwa sana,ubaya ubwela ulipatikana leo😂
Unaongea kwa facts au utani wa jadi? Weka facts za michezo 15 kati ya Simba na coast tuone huko kutuweza unakosema
@@mckobatz5861 nimesema kipindi hiki siyo kipindi chote ,naongelea hizi mechi mbili mlizocheza hvi karibuni
@@greysonkisinda7390 kumuweza mpinzani wako ni kuwa na uwezo wa kumfunga na kuondoka na matokeo 100% mfano hatuwezi sema Ken Gold kamuweza Yanga just kwa sababu ktk udogo wake kamzuwia Yanga kufunga magoli mengi ila kuna kitu kinaitwa siku mbaya kazini humtokea yeyote popote na ndio nature ya mchezo wa mpira wa miguu. Coastal wanajitahidi yes ila kauli "wanawaweza Simba" la
Mmeanza kulalamika😂😂😂😂
Kumbe ahmed ally huwa anaongea kwa kutulia kiasi hichi
Ubaya ubwela simba bingwa😅😅
simba bingwaaaa
Mwamba unatumia nguvu kubwa kuwa haminisha wna simba kuwa simba ni bora ila kiukweli hamna timu magori mliyoshinda yote sio magori.....magori waliopiga coast ni magori ya kuuwa nyoka shimoni kiukweli mmebebwa sana
Alikamwe alisema kolo bwambwa ashindi mechi tano mfululizo iyo tmu hana leo tumeona mabingwa wa mdomoni kwenye pichi mbeleko Mungu kawaonyesha leo raha sana
Hujui mpira
Wachaji wa simba wapimga mashuti kama hana gufu za miguu wakipinga mashuti kama mtot
Matokeo ya kistukuza ndy nn 😂😂😂😂😂😂
Mbna leo semaji kawa mpole 😂😂
kilokwinyozdad ubuntu botho
Ukweli ni machovu ya wachezaji
Hii ndiyo Simba tunayoijua sisi sasa "UBWABWA UBWEBWE".
Ubaya ubwege😆😆😆
Mateso yataendelea tarehe 19😂😂😂😂 kwa tofauti ya pointi 5 yangu macho panya road
Mavi wewe unadanganya watu moo timua huyu mtu 😅😅😅
Hakuna kocha hapo, mna uchafu tu kenge ninyi
Usenge mutupu musha aza kuboroga mapema ndo uzuriii 😅😅😅😅 ndo hivo hivo2 munaogoz bao 2 kwa ziro way
Saree sio kufungwa kijana
Hamuna timu ubaya ubwegeeeee
Hii ndo thimba nayoijua mimi
mateso yameanzaa
😂😂😂😂 eti hamkuwa kwenye ubora wenu😂😂😂😂
Kumbe kuna siku hamna ubora??!! Kweli nimeamini semaji comedian...leo kiswahili cha kizungu kwisha habari yake😃😃
MDOMO UMEKUPONZA WEWE NIWAKUWA AMBIA WATU WA TANGA UNASHUGULI NAO SASA WAMEKUSHUGULISHA
Mbon km kaingiliwa😂😂
Neno Mangush Lina Maana Yake Hizo ni mauchawi za huko Tanga,,,bat Simba Baba lao,, naomba mtu asiuguse comment
Kauli ya kutengeneza timu ndo imekuwa kichaka chenu fyuuu
Ww mwandish wa habar choko unapozungumzia kichapo unamaanisha nn au ujuw tafsir ya neno kichipo
😂😂😂😂 tena ilikuwa 3-2 mushukuru refa kawazaidia
Subilini mkaifanye kwa yanga muone😂
Sare ilitakiwaa ianzie Kwa Dodoma Jiji
Basii tu.
😂😂😂
Unapenda mpira au timu maana unaonesha hujui mpira
Kawaida sana ndo mpira ulivyooo
Kustukuza😂
Hamuna timu hapa
Wachezaji wamelewa sifa
Kuna watu wamefurah leo sasa sijajua wanafurah nn
Haaaaaa semaji semaji
Leo tena mnatengeneza timu duh
Hata na Dodoma mlisha sale penati ya mchongo iliwaokoa.
Mpoole
Mna timu mbovu mpk aibu naona mimi
Panya road
Haha mdomo fyuuuuuuuuuuuu koma ropoka ww.
Ahmed achaga kuseme lazima tutashinda uislam wako nko wapi
Bwege weye uislam no nini shwine
Shetwanii wew
Tunawahi kuridhika wambie wachezaji wapambane mwanzo mwisho dk 90 waache hiz mambo za kuridhika kijinga namna ile
Ni matokeo ya kushtukiza😂😂😂Tuliwaambia panya rodi subirini pachanganye mtaelewa maji yako wp na mafuta yapo wapi...Na bado mtatia huruma sanaaaa😂😂
Were chokonn
Hujui mpir wewe tulia na utopolo yako tarehe 19 siombali
Ligi bado sana
Mbona unaongea kama hujui mpira wewe? Mpira upo hivyo
Mwambie.mama.yako.aje.achukue.mokoba.ya.fadilu.labda.yeye.nikocha.mzuli.kama.hamna.chakuposti.siulet.ugali.wako.ukalale.utopolo.we
Tatizo Ni kipa unajuwa mna2miza sisi mashanlbiki wajinga nyie
Wewe mshabiki madazi wewe
Katulizwa leo
Yani akunasiku niliyo amka vibaya nakulala vizur kama leo ubaya upwilu😂😂😂😂
Leo kapoa anaumwa?
Julia.wewe