AHMED ALLY HAJAWA MNYONGE KISA SARE/UBAYA UBWELA LEO ULIBANWA SANA/TULIKUA NA PRESHA MNO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 77

  • @MuznaAlly
    @MuznaAlly Час назад +2

    I love Simba sports club ' tuko pamoja pin pin Camara ❤❤❤❤

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani Час назад +3

    I love ❤❤❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁💪💪🔥🔥🔥

  • @ShabaniAlly-oz9te
    @ShabaniAlly-oz9te 29 минут назад +2

    Viva simba lion forever 🙌🙌

  • @rehemakomba9825
    @rehemakomba9825 51 минуту назад +2

    Sare yetu inawahusu Nini huu ni mpira tunawasumbua eee Ubaya ubwela

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 2 часа назад +1

    Maneno mengi kazi kidogo!!!!@@

  • @AljuhaniAllyy-dg4ld
    @AljuhaniAllyy-dg4ld Час назад +1

    Makosa ya wachezaji walikuwa wanarilaksi sana wanaanza kulewa sifa wanacheza kwa kujiangalia sana, na huyo kamara analewa sifa sana analeta mzaha, pia debora hakutakiwa kutolewa kila mechi akitoka debora timu inayumba

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 25 минут назад

    Mliwananga Yanga kwa ushindi wao wa magoli machache tofauti na mlivyotaka nyinyi...haya achilia mbali magoli machache mmepata sare ongeeni tuwasikie chonde tu msimwambie mangungo ajiuzulu maana usajiri kafanya mo mwenyewe kwa sauti ya panya road

  • @MuhozyaTMwangwa
    @MuhozyaTMwangwa 2 часа назад +1

    musiwe mnakimbilia kusema wachezaji wameuza metch fikilia kama leo ingekuwa dabi mngefungwa ngapi leo unajua siku hazilingani fikirini kabla ya kusema na kutuhumu wachezaji

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 2 часа назад +2

    timu ya vijeba lili basi kuingia kinyumenyume ndio hhhh

  • @greysonkisinda7390
    @greysonkisinda7390 2 часа назад +2

    Coast anawaweza sana kipindi hiki hata ile mechi ya mshindi wa tatu mlibanwa sana,ubaya ubwela ulipatikana leo😂

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Час назад

      Unaongea kwa facts au utani wa jadi? Weka facts za michezo 15 kati ya Simba na coast tuone huko kutuweza unakosema

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 Час назад

      @@mckobatz5861 nimesema kipindi hiki siyo kipindi chote ,naongelea hizi mechi mbili mlizocheza hvi karibuni

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Час назад

      @@greysonkisinda7390 kumuweza mpinzani wako ni kuwa na uwezo wa kumfunga na kuondoka na matokeo 100% mfano hatuwezi sema Ken Gold kamuweza Yanga just kwa sababu ktk udogo wake kamzuwia Yanga kufunga magoli mengi ila kuna kitu kinaitwa siku mbaya kazini humtokea yeyote popote na ndio nature ya mchezo wa mpira wa miguu. Coastal wanajitahidi yes ila kauli "wanawaweza Simba" la

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 2 часа назад +2

    Mmeanza kulalamika😂😂😂😂

  • @zachariaevod8148
    @zachariaevod8148 2 часа назад +1

    Kumbe ahmed ally huwa anaongea kwa kutulia kiasi hichi

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yo Час назад +1

    Ubaya ubwela simba bingwa😅😅

  • @hemelodyking
    @hemelodyking Час назад +2

    simba bingwaaaa

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242 49 минут назад

    Mwamba unatumia nguvu kubwa kuwa haminisha wna simba kuwa simba ni bora ila kiukweli hamna timu magori mliyoshinda yote sio magori.....magori waliopiga coast ni magori ya kuuwa nyoka shimoni kiukweli mmebebwa sana

  • @DICKSONLUCAS-i6l
    @DICKSONLUCAS-i6l Час назад +1

    Alikamwe alisema kolo bwambwa ashindi mechi tano mfululizo iyo tmu hana leo tumeona mabingwa wa mdomoni kwenye pichi mbeleko Mungu kawaonyesha leo raha sana

  • @HasaniKitumba
    @HasaniKitumba 2 часа назад +1

    Wachaji wa simba wapimga mashuti kama hana gufu za miguu wakipinga mashuti kama mtot

  • @dreezytvonline5150
    @dreezytvonline5150 2 часа назад +1

    Matokeo ya kistukuza ndy nn 😂😂😂😂😂😂

  • @FrankMwisuwa
    @FrankMwisuwa 2 часа назад +1

    Mbna leo semaji kawa mpole 😂😂

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 2 часа назад +2

    kilokwinyozdad ubuntu botho

  • @FaisalAhmed-k3g
    @FaisalAhmed-k3g 38 минут назад +1

    Ukweli ni machovu ya wachezaji

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 2 часа назад +1

    Hii ndiyo Simba tunayoijua sisi sasa "UBWABWA UBWEBWE".

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Час назад

    Mateso yataendelea tarehe 19😂😂😂😂 kwa tofauti ya pointi 5 yangu macho panya road

  • @MussaRamadhan-v2c
    @MussaRamadhan-v2c 2 часа назад +1

    Mavi wewe unadanganya watu moo timua huyu mtu 😅😅😅

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 2 часа назад +1

    Hakuna kocha hapo, mna uchafu tu kenge ninyi

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo Час назад

    Usenge mutupu musha aza kuboroga mapema ndo uzuriii 😅😅😅😅 ndo hivo hivo2 munaogoz bao 2 kwa ziro way

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 2 часа назад +1

    Saree sio kufungwa kijana

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b Час назад

    Hamuna timu ubaya ubwegeeeee

  • @YusufuNguya
    @YusufuNguya 2 часа назад +1

    Hii ndo thimba nayoijua mimi

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 2 часа назад +1

    mateso yameanzaa

  • @Charlesmagita
    @Charlesmagita 2 часа назад +1

    😂😂😂😂 eti hamkuwa kwenye ubora wenu😂😂😂😂

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 часа назад +1

      Kumbe kuna siku hamna ubora??!! Kweli nimeamini semaji comedian...leo kiswahili cha kizungu kwisha habari yake😃😃

  • @LutangiloSamson
    @LutangiloSamson Час назад

    MDOMO UMEKUPONZA WEWE NIWAKUWA AMBIA WATU WA TANGA UNASHUGULI NAO SASA WAMEKUSHUGULISHA

  • @AziCure
    @AziCure 2 часа назад +1

    Mbon km kaingiliwa😂😂

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 2 часа назад +2

    Neno Mangush Lina Maana Yake Hizo ni mauchawi za huko Tanga,,,bat Simba Baba lao,, naomba mtu asiuguse comment

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b Час назад

    Kauli ya kutengeneza timu ndo imekuwa kichaka chenu fyuuu

  • @InnocentCoyote-td6kb
    @InnocentCoyote-td6kb 2 часа назад +1

    Ww mwandish wa habar choko unapozungumzia kichapo unamaanisha nn au ujuw tafsir ya neno kichipo

    • @anordallen8587
      @anordallen8587 Час назад

      😂😂😂😂 tena ilikuwa 3-2 mushukuru refa kawazaidia

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 53 минуты назад

    Subilini mkaifanye kwa yanga muone😂

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Час назад +1

    Sare ilitakiwaa ianzie Kwa Dodoma Jiji
    Basii tu.

    • @annodaboy
      @annodaboy 25 минут назад

      😂😂😂

    • @namtingakassim5529
      @namtingakassim5529 22 минуты назад

      Unapenda mpira au timu maana unaonesha hujui mpira

  • @HappinessMasawe
    @HappinessMasawe Час назад

    Kawaida sana ndo mpira ulivyooo

  • @ramaakbar4377
    @ramaakbar4377 2 часа назад +1

    Kustukuza😂

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b Час назад

    Hamuna timu hapa

  • @IrfaniBakari
    @IrfaniBakari 2 часа назад +1

    Wachezaji wamelewa sifa

  • @AdamCheze
    @AdamCheze 29 минут назад

    Kuna watu wamefurah leo sasa sijajua wanafurah nn

  • @emmanuelsamwel2865
    @emmanuelsamwel2865 3 часа назад +1

    Haaaaaa semaji semaji

  • @FlavianMtewele
    @FlavianMtewele Час назад

    Hata na Dodoma mlisha sale penati ya mchongo iliwaokoa.

  • @ashahusein6620
    @ashahusein6620 2 часа назад +1

    Mpoole

  • @niclassicsound871
    @niclassicsound871 15 минут назад

    Mna timu mbovu mpk aibu naona mimi

  • @rashidnjozi7965
    @rashidnjozi7965 Час назад

    Panya road

  • @GaudensiaKanza
    @GaudensiaKanza 2 часа назад +1

    Haha mdomo fyuuuuuuuuuuuu koma ropoka ww.

  • @jawahiriaelmy
    @jawahiriaelmy 2 часа назад +1

    Ahmed achaga kuseme lazima tutashinda uislam wako nko wapi

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 23 минуты назад

    Tunawahi kuridhika wambie wachezaji wapambane mwanzo mwisho dk 90 waache hiz mambo za kuridhika kijinga namna ile

  • @Mhabeshi.Madayi
    @Mhabeshi.Madayi 2 часа назад +2

    Ni matokeo ya kushtukiza😂😂😂Tuliwaambia panya rodi subirini pachanganye mtaelewa maji yako wp na mafuta yapo wapi...Na bado mtatia huruma sanaaaa😂😂

  • @Abeidmussakabisu
    @Abeidmussakabisu Час назад

    Mwambie.mama.yako.aje.achukue.mokoba.ya.fadilu.labda.yeye.nikocha.mzuli.kama.hamna.chakuposti.siulet.ugali.wako.ukalale.utopolo.we

  • @BugunaMarwa
    @BugunaMarwa 2 часа назад +1

    Tatizo Ni kipa unajuwa mna2miza sisi mashanlbiki wajinga nyie

  • @KhadijaIsmail-x2j
    @KhadijaIsmail-x2j Час назад

    Katulizwa leo

  • @rosemaryKalega-c5s
    @rosemaryKalega-c5s 56 минут назад

    Yani akunasiku niliyo amka vibaya nakulala vizur kama leo ubaya upwilu😂😂😂😂

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 Час назад

    Leo kapoa anaumwa?