Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
ALIYEKUWA M/KITI wa Juma Magoma Tawi la Yanga AWASHA MOTO/ ANATAFUTA KIFO Injinia hawezi KUONDOKA
HTML-код
- Опубликовано: 26 авг 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Hawa ndio wazee wa yanga
Gonga like kama umemkubali huyu mzee
Waliomkubaliiiii huyuuu mzeeee gonga like. 😂😂😂😂😂hawa ndo wazeee wa busala tunaooo watakaaa sis
Mimi wa Kwanza
@@FrankLuhaha-dt5sh mashani yakii pamoja hayakosi kugombana jamànii
❤❤
Naqubali kaka
Anatak kifo😅😅
Yanga oyeeeeeee💚💛💛💛💚mzee wamaana kabisa uyu
Hoiyeeeee
Mnajifariji tuu lkn mumeshindwa kesi subirin kitachotokea
Mzee Abdallah sakho una upeo wa mbali sana 🎉🎉🎉🎉 utaishi miaka 100 mzee 😂😂😂😂
Miaka 1000 Kwa Mzee wetu
Wewe ni mganga
Hongera mzee upo vyema sana chikia maua uako🎉
Mzeee upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉watuache na Yanga yetuuuuuuu❤❤❤
Mze ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ulindwe na mungu zaid yaa apo ulipo
Mzee wamaana kwel huyuuu gonga like hapo 🤣🤣🤣
Daima mbele nyuma mwiko button ✅✅✅✅✅
Mzeee mngu akujallie unaenda nawakati❤❤❤❤❤❤❤❤
Busara inapimwa hivi na ujasiri wa kutosha kabisa hongera mzee kwa kwenda na wakati.
Kumbe wazee wenzake wapo bana Aya magoma mjibu mzee mwenzako Sasa mzeee Asante sanaaaaa nipe nmba zako nikupe gahawaaa
Good wise Oldman we love you, achia vijana waendeshe gurudum,
Kweli magoma njaa Kali ana tia aibu Hana watoto wamshauri vijana watapiga
Asante Mzee umetupa location, asante sana🥺
Eng huyu mzee apewe posho swafiiiii❤❤❤
Nzee mungu akuweke miaka zaidi na zaidi uyo atakua katumwa atuache na furahaa yetu wana Yangq
Asante Mzee Umeongea maneno ya Msingi na imetoa Ushauri Sahihi Kwa Juma Magoma.
😂😂😂😂😂 nimecheka sana apo mzee alivyoanza kujibu. Namim nikizeeka ntakua najibu kama mzee apo😂😂😂
Niwachache wanao zeeka vizur
Kuzeeka unachukulia rahisi siyo
Hawa ndio wazeee wa yanga yetu❤❤ tunakupenda san❤❤
Namba za cm za huyu Mzee apewe kahawa,anabusara sana.lusheni
Mzee ikimpendeza anywe kahawa mwaka mzima nalipa mimi huku
mzeee wa kwanza anayezeekaa na akili zake❤❤❤❤❤
😂😂😂😂
Mwendo mdundooooo 💃💃💃 mfukishieni salam mze kasema🎉❤😂
Huyo mzee magoma anatafuta kifo cha mapema😂😂
Mzee wa hovyo Sana anataka pakufia , njaa inamsumbua eti wapewe timu na pesa zilizopo 😂😂😂😂 wao wawili waiendeshe timu kweli njaa mbaya Sana! Mara nataka Wana Yanga wamtambue juma magoma kuwa ni nani😂😂
Walishamzoea Yusuf manji wakimtikisa kidogo anatoa pesa huu sio utawala ule
Sasa safari hii kaingia chakike, kayatimbaaaaaa😂😂 Sura yake sijui ataiweka wapi, atatembea kwa wasiwasi kuanzia sasa😂😂
😅😅😅
Asante mzee wetu kwa busara zako nyingi kwa yanga
Kiukweli huyo Juma Magoma anatumika na Simba issue kubwa wanawazuia Yanga kwenda kuweka Bango pale mtaa wa msimbazi
Hongela San Mzee wetu nyie ndio wazee wa yanga🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂Mzee agiza gahawa bili nitalipa Baba 🎉🎉🎉
Safi mzeee wangu😊
Mzee kaongea point sana.nakutakia maisha marefu babuyangu🙏
Mwenye kiti wa yanga ananguruma. Yanga waleeeeeeee!!!!!!!!.
Akome kabisaa aiache Yanga yetuuu💚💚💚💚💛💛💛
😂😂😂😂😂😂safiii san baba semaa semaa daima mbelee nyuma mwikooo
Babu mwambieh mangoma atuachie yng yetuu😂😂😂😂😂
Kweli babaangu jinaskujui munguakubaliki
Uyu mzee ni noma😅😅😅
Huyu mzee katisha sana yani ni🔥🔥💥
Mzee safi Sana engineer abaki
Mm nashindwa kuelewa yeye nani mpaka aanze kutusumbua mda huu wakati timu imetulia au sisi Tanzania tumelogwa?
Tatizo ssi watanzania ni watu ambao hatupendi challenge ndo maana ht mtt akijenga mtaani badala wampe motisha wanamroga ili wengine washindwe ndo kma mpira badala ya kuzipa sapoti timu ili zilete ushindani wao wanawaza kudidimiza na ndo mana tunashindwa kuendelea ht kitaifa
Mzee uko vizuli
Point mzee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Aende kwa madunduka ndio kwa fujo sisi tupo kwetu KENYA lkn titakuja kufanya mandamano huko mumtoe magoma aende burundi
Wow! Mzee Abdallah Sako yupo vizuri mno! 👏👏👏!
Mzee wa maana kabisa huyu
Safi sana Mzee wetu wakina ubwela fc hapo wanaumia sana
Mzee tumekuelewa taja namba yako tufanye miamala
Sanaaaa
Ana staili kweli😂😂😂
Wazee wanaojielewa kma hawa wapo wachache sana
Huyo magoma mshamba sana na walomtuma hao wotee
Nimesema. Hiyo. Ni. Njaa. Mzee. Nimekuamini😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee kunywa kahawa chupambili nakuja lipa😂
Yanga yangu mbele tu nyuma aaahh 😂😂
Hizi ndo kauli anazotakiwa apewe mshamba Magoma .MPE BABA 56.10 ISAYA.
Mzeee safisana ameangea vizuri sana
Tuma namba Yako mzee.tumimine muhamara
Safi mzeee
Yangaaaa weeee watafte watu wakushindana nao so yangaaaa
Hivi huyo mzee anakili timamu anakumbuka tunapotoka
Mzee anakitu asikilizwe mtu wamana kbs huyu 👏👏👏
Yup Sawa mzee
Hao wazee itabidi tuanze kuwatafuta kimya kimya
Safi Sana babu
Yanga bingwa tena
Mtu wa maana kabisa👏
😅 mitano tena 🔥🔥🙌
Mm smbaa lakini watuzeni chochote kama zawadi hawa wazee mii ni mtu wa burudani bwana naumia nikifungwa ila sio chuki za kichawi mpira starehe sasa kurudi ulikotoka starehe tutazipata wapi nambea tu timu yangu pendwaa simba Allah aipe mafanikio iwe zamu yetu kucheka kiroho safi
Huyo magoma kama hana kazi aje newla tumpe mikorosho apulize atuachie yanga yetu
Nzee uko sawaaa
Salute mzee
Ankari bin Ansu 😂😂😂
Mzeee wa maaana kabisa huyu
Huyu mzee ningepata namba yake ningemtumia hela ya kahawa
Tunamuomba Mwenyezi Mungu tushinde huu mtafaruku
Mambo haya wayapeleke Kwa MAKOLO.....sio YANGA, ukilizua ujue utabaki mwenyewe.. Magoma njaa tu' inamsumbua
Asante sana mzeee wetu unazewka na uelewa wako
Huyu Asomewe Hasbillah Waneemalwakiyl Makolo Wanataka kutuondolea Raha ila Tutamuweka Chini Muweche Kama Kachoka Kaaa..
Tuma namba Mzee tuweke pesa
😂mpe kahawa mzee anywe
Umenena kweli Baba yangu Mungu akulinde
Engineer hersi tafuta na kadi ya ccm ugombee uraisi wa nchi tunakupa
Kwenye urais wa nchi badoo sana
@@user-jj7qv7kh2smmh!
😂😂😂😂mitano tena
W jamaa ww, kolozdad wakikusikia me sihusiki
Safi mzeee wangu naninataaka afeee kwer
Juma magoma kweli anataka kifo
tazipataje namba za huyu Mzee wamaana sana
Kweli mzee
Mzee cc wananchi tumekuelewa tuma namba yako tufanye miamara💚💛💪💪😄😄😄
Mashaallah
Eti wazee wa yanga hata hiyo mahakama ni wapumbavu tu wanasikiliza watu wamechoka maisha wanajitafutia umaarufi
Safi sana🎉
Uyo magoma ana njaaaa sanaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Mzee unasema ukweli nikuatalisha maisha
Mzee nimekupenda Bure wambile wasikile.
Axante Mzee wetu tutampoteza sisi asituletee ujinga wake wanayanga 😂😂
Magoma apelekwe mirembe Kwa check up na watoto zake
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nakupenda Babu
Mtashobya josia nikiwa Kenya atari kweri magoma njaa itampereka pabaya
Haowazee wasituchanganye timu yao ama hawajui wamezeeka wachie ngazi
Huyu mzee mtu wa maana kabisa❤❤❤
❤Mzee uko vuzuri Sana 👐
Mzee unatosha ❤❤❤❤❤😢😢
Mzeee kasema mi naakili timamu na ujingastaki zhen why whypendaa sanaaa mzee wangu
Muzee uko sawa kabisa awachie vijjana kamahana kazi atafute kazi yakufanya