Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

ALIYEKUWA M/KITI wa Juma Magoma Tawi la Yanga AWASHA MOTO/ ANATAFUTA KIFO Injinia hawezi KUONDOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 авг 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 373

  • @FaridiMussa-qc2bk
    @FaridiMussa-qc2bk Месяц назад +37

    Hawa ndio wazee wa yanga
    Gonga like kama umemkubali huyu mzee

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Месяц назад +190

    Waliomkubaliiiii huyuuu mzeeee gonga like. 😂😂😂😂😂hawa ndo wazeee wa busala tunaooo watakaaa sis

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Месяц назад +67

    Yanga oyeeeeeee💚💛💛💛💚mzee wamaana kabisa uyu

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w Месяц назад +49

    Mzee Abdallah sakho una upeo wa mbali sana 🎉🎉🎉🎉 utaishi miaka 100 mzee 😂😂😂😂

  • @ALLYBULULA
    @ALLYBULULA Месяц назад +56

    Hongera mzee upo vyema sana chikia maua uako🎉

  • @InnocentBoatLake-bq4gk
    @InnocentBoatLake-bq4gk Месяц назад +58

    Mzeee upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉watuache na Yanga yetuuuuuuu❤❤❤

  • @AllanAthuman
    @AllanAthuman Месяц назад +38

    Mze ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ulindwe na mungu zaid yaa apo ulipo

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w Месяц назад +24

    Mzee wamaana kwel huyuuu gonga like hapo 🤣🤣🤣

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад +22

    Daima mbele nyuma mwiko button ✅✅✅✅✅

  • @user-tl1yv6nv9m
    @user-tl1yv6nv9m Месяц назад +2

    Mzeee mngu akujallie unaenda nawakati❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata Месяц назад +7

    Busara inapimwa hivi na ujasiri wa kutosha kabisa hongera mzee kwa kwenda na wakati.

  • @AshphauShomary
    @AshphauShomary Месяц назад +7

    Kumbe wazee wenzake wapo bana Aya magoma mjibu mzee mwenzako Sasa mzeee Asante sanaaaaa nipe nmba zako nikupe gahawaaa

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Месяц назад +15

    Good wise Oldman we love you, achia vijana waendeshe gurudum,

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад +36

    Kweli magoma njaa Kali ana tia aibu Hana watoto wamshauri vijana watapiga

  • @rubenikambio1718
    @rubenikambio1718 Месяц назад +14

    Asante Mzee umetupa location, asante sana🥺

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Месяц назад +3

    Eng huyu mzee apewe posho swafiiiii❤❤❤

  • @selemannyamafu8840
    @selemannyamafu8840 Месяц назад +3

    Nzee mungu akuweke miaka zaidi na zaidi uyo atakua katumwa atuache na furahaa yetu wana Yangq

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 29 дней назад +1

    Asante Mzee Umeongea maneno ya Msingi na imetoa Ushauri Sahihi Kwa Juma Magoma.

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Месяц назад +14

    😂😂😂😂😂 nimecheka sana apo mzee alivyoanza kujibu. Namim nikizeeka ntakua najibu kama mzee apo😂😂😂

  • @SadikBakary
    @SadikBakary Месяц назад +2

    Hawa ndio wazeee wa yanga yetu❤❤ tunakupenda san❤❤

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Месяц назад +22

    Namba za cm za huyu Mzee apewe kahawa,anabusara sana.lusheni

  • @abdulrahmanisaid4127
    @abdulrahmanisaid4127 Месяц назад +25

    mzeee wa kwanza anayezeekaa na akili zake❤❤❤❤❤

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад +3

    Mwendo mdundooooo 💃💃💃 mfukishieni salam mze kasema🎉❤😂

  • @Agath45
    @Agath45 Месяц назад +15

    Huyo mzee magoma anatafuta kifo cha mapema😂😂

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Месяц назад +1

      Mzee wa hovyo Sana anataka pakufia , njaa inamsumbua eti wapewe timu na pesa zilizopo 😂😂😂😂 wao wawili waiendeshe timu kweli njaa mbaya Sana! Mara nataka Wana Yanga wamtambue juma magoma kuwa ni nani😂😂

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад +39

    Walishamzoea Yusuf manji wakimtikisa kidogo anatoa pesa huu sio utawala ule

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Месяц назад +1

      Sasa safari hii kaingia chakike, kayatimbaaaaaa😂😂 Sura yake sijui ataiweka wapi, atatembea kwa wasiwasi kuanzia sasa😂😂

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Месяц назад

      😅😅😅

  • @user-rj5gw2dx7y
    @user-rj5gw2dx7y Месяц назад +3

    Asante mzee wetu kwa busara zako nyingi kwa yanga

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад +24

    Kiukweli huyo Juma Magoma anatumika na Simba issue kubwa wanawazuia Yanga kwenda kuweka Bango pale mtaa wa msimbazi

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Месяц назад +4

    Hongela San Mzee wetu nyie ndio wazee wa yanga🎉🎉🎉🎉🎉

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Месяц назад +8

    😂😂😂Mzee agiza gahawa bili nitalipa Baba 🎉🎉🎉

  • @calvintheone299
    @calvintheone299 Месяц назад +24

    Safi mzeee wangu😊

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi Месяц назад +1

    Mzee kaongea point sana.nakutakia maisha marefu babuyangu🙏

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад +5

    Mwenye kiti wa yanga ananguruma. Yanga waleeeeeeee!!!!!!!!.

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Месяц назад +3

    Akome kabisaa aiache Yanga yetuuu💚💚💚💚💛💛💛

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar Месяц назад +11

    😂😂😂😂😂😂safiii san baba semaa semaa daima mbelee nyuma mwikooo

  • @khamiskhan-m8m
    @khamiskhan-m8m Месяц назад +12

    Babu mwambieh mangoma atuachie yng yetuu😂😂😂😂😂

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s Месяц назад +9

    Kweli babaangu jinaskujui munguakubaliki

  • @djmuketztv
    @djmuketztv Месяц назад +9

    Uyu mzee ni noma😅😅😅

  • @mohamedyk1163
    @mohamedyk1163 Месяц назад +6

    Huyu mzee katisha sana yani ni🔥🔥💥

  • @user-ed4wh9ln9q
    @user-ed4wh9ln9q Месяц назад +25

    Mzee safi Sana engineer abaki

  • @user-ds9gp5ew6h
    @user-ds9gp5ew6h Месяц назад +19

    Mm nashindwa kuelewa yeye nani mpaka aanze kutusumbua mda huu wakati timu imetulia au sisi Tanzania tumelogwa?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад +2

      Tatizo ssi watanzania ni watu ambao hatupendi challenge ndo maana ht mtt akijenga mtaani badala wampe motisha wanamroga ili wengine washindwe ndo kma mpira badala ya kuzipa sapoti timu ili zilete ushindani wao wanawaza kudidimiza na ndo mana tunashindwa kuendelea ht kitaifa

    • @MosesKameka-z8o
      @MosesKameka-z8o Месяц назад

      Mzee uko vizuli

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Месяц назад +5

    Point mzee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Месяц назад +5

    Aende kwa madunduka ndio kwa fujo sisi tupo kwetu KENYA lkn titakuja kufanya mandamano huko mumtoe magoma aende burundi

  • @edmundhenrykagimbo9776
    @edmundhenrykagimbo9776 Месяц назад +8

    Wow! Mzee Abdallah Sako yupo vizuri mno! 👏👏👏!

  • @augustinoflavian1738
    @augustinoflavian1738 Месяц назад +18

    Mzee wa maana kabisa huyu

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Месяц назад +3

    Safi sana Mzee wetu wakina ubwela fc hapo wanaumia sana

  • @James-sz4ec
    @James-sz4ec Месяц назад +43

    Mzee tumekuelewa taja namba yako tufanye miamala

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Месяц назад +10

    Wazee wanaojielewa kma hawa wapo wachache sana

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад +12

    Huyo magoma mshamba sana na walomtuma hao wotee

  • @H3s4d
    @H3s4d Месяц назад +9

    Nimesema. Hiyo. Ni. Njaa. Mzee. Nimekuamini😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdalahasuman8740
    @abdalahasuman8740 Месяц назад +13

    Mzee kunywa kahawa chupambili nakuja lipa😂

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Месяц назад +9

    Yanga yangu mbele tu nyuma aaahh 😂😂

  • @user-wg2vl1rh4l
    @user-wg2vl1rh4l Месяц назад +9

    Hizi ndo kauli anazotakiwa apewe mshamba Magoma .MPE BABA 56.10 ISAYA.

  • @user-cq4ct1lv9k
    @user-cq4ct1lv9k Месяц назад +9

    Mzeee safisana ameangea vizuri sana

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama Месяц назад +13

    Tuma namba Yako mzee.tumimine muhamara

  • @charlespeternsangano9219
    @charlespeternsangano9219 Месяц назад +14

    Safi mzeee

  • @FidesWillbard
    @FidesWillbard Месяц назад +8

    Yangaaaa weeee watafte watu wakushindana nao so yangaaaa

  • @samsitinasamweli
    @samsitinasamweli Месяц назад +12

    Hivi huyo mzee anakili timamu anakumbuka tunapotoka

  • @user-fw9gr8tw6b
    @user-fw9gr8tw6b Месяц назад +1

    Mzee anakitu asikilizwe mtu wamana kbs huyu 👏👏👏

  • @WestonSamwelly1
    @WestonSamwelly1 Месяц назад +6

    Yup Sawa mzee

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Месяц назад +9

    Hao wazee itabidi tuanze kuwatafuta kimya kimya

  • @Theopithmachali
    @Theopithmachali Месяц назад +6

    Safi Sana babu

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Месяц назад +15

    Yanga bingwa tena

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Месяц назад +1

    Mtu wa maana kabisa👏

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7y Месяц назад +15

    😅 mitano tena 🔥🔥🙌

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Месяц назад +10

    Mm smbaa lakini watuzeni chochote kama zawadi hawa wazee mii ni mtu wa burudani bwana naumia nikifungwa ila sio chuki za kichawi mpira starehe sasa kurudi ulikotoka starehe tutazipata wapi nambea tu timu yangu pendwaa simba Allah aipe mafanikio iwe zamu yetu kucheka kiroho safi

  • @MohamedSharafi-w7q
    @MohamedSharafi-w7q Месяц назад +8

    Huyo magoma kama hana kazi aje newla tumpe mikorosho apulize atuachie yanga yetu

  • @user-mw7ky4wd3q
    @user-mw7ky4wd3q Месяц назад +3

    Nzee uko sawaaa

  • @user-gs2cr1xc8c
    @user-gs2cr1xc8c Месяц назад +2

    Salute mzee

  • @mudricabuy3309
    @mudricabuy3309 Месяц назад +7

    Ankari bin Ansu 😂😂😂

  • @AliveGiant
    @AliveGiant Месяц назад +11

    Mzeee wa maaana kabisa huyu

  • @kaminambeho
    @kaminambeho Месяц назад +3

    Huyu mzee ningepata namba yake ningemtumia hela ya kahawa

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o Месяц назад +1

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu tushinde huu mtafaruku

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Месяц назад +3

    Mambo haya wayapeleke Kwa MAKOLO.....sio YANGA, ukilizua ujue utabaki mwenyewe.. Magoma njaa tu' inamsumbua

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Месяц назад

    Asante sana mzeee wetu unazewka na uelewa wako

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Месяц назад +7

    Huyu Asomewe Hasbillah Waneemalwakiyl Makolo Wanataka kutuondolea Raha ila Tutamuweka Chini Muweche Kama Kachoka Kaaa..

  • @BarakaJoseph-es7tx
    @BarakaJoseph-es7tx Месяц назад +6

    Tuma namba Mzee tuweke pesa

  • @abdaa800
    @abdaa800 Месяц назад +4

    😂mpe kahawa mzee anywe

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Месяц назад +1

    Umenena kweli Baba yangu Mungu akulinde

  • @JoviceEustad-vv1hl
    @JoviceEustad-vv1hl Месяц назад +8

    Engineer hersi tafuta na kadi ya ccm ugombee uraisi wa nchi tunakupa

  • @FadhiliMkisi
    @FadhiliMkisi Месяц назад +2

    Safi mzeee wangu naninataaka afeee kwer

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Месяц назад +13

    Juma magoma kweli anataka kifo

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga Месяц назад +3

    tazipataje namba za huyu Mzee wamaana sana

  • @TanzanianTanzanian-p1q
    @TanzanianTanzanian-p1q Месяц назад +5

    Kweli mzee

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti Месяц назад +1

    Mzee cc wananchi tumekuelewa tuma namba yako tufanye miamara💚💛💪💪😄😄😄

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 Месяц назад +1

    Mashaallah

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Месяц назад +2

    Eti wazee wa yanga hata hiyo mahakama ni wapumbavu tu wanasikiliza watu wamechoka maisha wanajitafutia umaarufi

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian Месяц назад +4

    Safi sana🎉

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 22 дня назад

    Uyo magoma ana njaaaa sanaaaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c Месяц назад +4

    Mzee unasema ukweli nikuatalisha maisha

  • @olgasalmus44
    @olgasalmus44 Месяц назад +1

    Mzee nimekupenda Bure wambile wasikile.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Месяц назад

    Axante Mzee wetu tutampoteza sisi asituletee ujinga wake wanayanga 😂😂

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад +3

    Magoma apelekwe mirembe Kwa check up na watoto zake

  • @gloriaburamu8818
    @gloriaburamu8818 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nakupenda Babu

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq Месяц назад +1

    Mtashobya josia nikiwa Kenya atari kweri magoma njaa itampereka pabaya

  • @samsitinasamweli
    @samsitinasamweli Месяц назад +4

    Haowazee wasituchanganye timu yao ama hawajui wamezeeka wachie ngazi

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 Месяц назад

    Huyu mzee mtu wa maana kabisa❤❤❤

  • @PriscaBenjamin-ub7lu
    @PriscaBenjamin-ub7lu Месяц назад +5

    ❤Mzee uko vuzuri Sana 👐

  • @yonaantony
    @yonaantony Месяц назад

    Mzee unatosha ❤❤❤❤❤😢😢

  • @BonMaro
    @BonMaro Месяц назад

    Mzeee kasema mi naakili timamu na ujingastaki zhen why whypendaa sanaaa mzee wangu

  • @lodricksengo9197
    @lodricksengo9197 Месяц назад

    Muzee uko sawa kabisa awachie vijjana kamahana kazi atafute kazi yakufanya