SAKATA LA HUKUMU YA YANGA LAIBUA SIRI NZITO/ MANJI AHUSISHWA MAGOMA AZULIWA MASWALI MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 147

  • @john11278
    @john11278 3 месяца назад +2

    Kakka hongera sana umeongea vizuri...
    Vipi kuhusu katiba yanga wanatumia ya mwaka ganiii??? ....

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 3 месяца назад +1

    Safi sana mwambelo junior inabidi ufanye hizi interview nyingi kila mtu aelewe

  • @DATIVACOSMAS
    @DATIVACOSMAS 3 месяца назад +1

    Hii nzuri kaka ubarikiwe

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 3 месяца назад +7

    Yanga ,malizeni mgogoro mko vizuri, mimi ni mnyama kama mkichukia basi lakini,hamu yangu nikumaliza mgogoro iwepo amani

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 месяца назад

      Kwani uliambiwa kuna mgogoro, vipi mgogoro wkt watu walipiga kura kupitisha katiba isipokuwa wawili tu.

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko 3 месяца назад

      ​kama walipga magoma kashndaj

  • @paulotemba8881
    @paulotemba8881 3 месяца назад +1

    Asante sana upo vizuri

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 3 месяца назад +11

    Huyu jamaa Kama ni mwalim basi wanafunzi wake hawawezi kufeli

  • @yakobokuzenza6837
    @yakobokuzenza6837 3 месяца назад +2

    Safi sana mzee.!

  • @ATANASFUSI-m1w
    @ATANASFUSI-m1w 3 месяца назад +1

    Huyo magoma anatumika wakati yanga inatembeza bakuli arikuwa wapi haondio wahujumu wayanga walio mshawishi fei atoke yanga yanga yawatu siomtu akacheze anakochezaga😅😅😅

  • @KamchapeKachara
    @KamchapeKachara 3 месяца назад

    Uko sawa mimi ni mnyama napenda ulweli

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 3 месяца назад +2

    Duuuuuh sasa tunapata kujua kumbe hii yanga watu walifanya sehemu ya upigaji yule manji alitakuipeleka yanga kileleni

  • @NathanKanick
    @NathanKanick 3 месяца назад +4

    Magoma hajajitaja Kama mdhamini bali Kama mwanachama. Yupo sahihi

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 месяца назад

      Na Magoma hana shida na nani anadhaamini, yeye kasema anataka wanachama wa Yanga wanaolipa kodi waruhusiwe kuchagua kiongozi na sio kuchagua watu watano kila tawi.

    • @hajimnubi4581
      @hajimnubi4581 3 месяца назад

      Magoma anadai kaishitaki bodi....ndio jamaa anauliza bodi Ipi?abedi wanaedai ndio mwenyekiti wa bodi aliteuliwa na Nani na kwenye kikao kipi

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko 3 месяца назад

      Bod yoyote iliobadil katba hata ww ungewkilisha body ungehusika😂

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      ​@@BigZhumbeSio kuchagua bali wanachama karibu lako wote waingie mkutanoni, sasa ukumbi anao yeye? Na pia kuwa eti yy anatambua katiba ya nqaka 68 tu,,, sasa Zingine xote wakati zinabadilishwa alikuwa Wapi? Na alikuwa anashinda jangwani kila siku ,,,, Sema alikuwa anapewa pesa na manji,, sasa hivi apatite kitu ndio kakimbuka katiba ya wadhamini ya mwaka 68? Kisa apatite kitu? Ni mchumia tumbo tu,,, Si unasikia alivyosema huyu jamaa, kuwa baba yake ni kina magoma wote walikuwa wanapata maslahi,, hapo ndo ujue yule hana uchungu wowote na Yanga bali ni tumbo tu,, kuku awachinjwi cku hizi,, anakula maharage tu , au ujamsikiliza vizuri huyu jamaa, ajaficha hata khs baba yake kuwa nae alikuwa anamegua chake

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 3 месяца назад +3

    Wanachoongelea ni tofauti ya mitazamo iliyokawepo. Ila ukiangalia kesi haiusiani na hukumu iliyotoka. Hayo ya tofauti ya mitazamo yapo na yataendelea kuwepo ila sio bado wengi wape itasimama.

  • @codemixtz1869
    @codemixtz1869 3 месяца назад +1

    Hii nchi ina mambo mengi 😂

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 3 месяца назад +1

    sema walikuwa wanakabidhiana timu kihun,,mnakabidhiana timu bila hata ya wajumbe au wanachama kuhusihswa,,lita nao walikuwa na mapungufu

  • @Gervas-l3h
    @Gervas-l3h 3 месяца назад

    Upo vzr kaka tetra ukweli

  • @ChristantusNyambo
    @ChristantusNyambo 3 месяца назад

    Duu RITA ni watoto sana how came mtu anampa mwingine udhamini.

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 3 месяца назад +1

    Ooooooh umefafanuwa vizuri Sana kumbe magoma nimwizi 😂😂😂😂 kwangu Mimi nimekuelewa Sana Mzee wangu wewe kaaza hivo hivo hapo kunamaokoto watakuja2 kukufata kutaka hicho cheti cha Mzee

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      😂😂😂 Ndo maana yake mzee wake pia aliwaacha kina magoma kwenye mataa akawa anakula kwa manji kiulaini, Sasa alivyokufa ndio Magoma akawa nae anapigia denge chance hiyo lkn ajui aingie vipi na njaa zake, Wazee wa zamani walikuwa wanashinda jangwani mikwala mingi ya uchawi wakawa wanapewa mapene daily tangu enzi ya Gulamali , sasa hivi wapo vijana akuna mshiko wa ovyo watu wanajenga timu na awaogopi mikwala "" Wazee wenye hekima kibao wapo jangwani ila wenye njaa ndio wanatafuta mwanya wa kupata doo 😂

  • @Bquality
    @Bquality 3 месяца назад +6

    Serikali inaharibu sana mpira wetu

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 Месяц назад

    Hi Tim iliyanza urubuni Kwanini wende wawili wakati kyabu yawa Huwo ulikuwa Umafiya tu

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 3 месяца назад +1

    Hizo kumbukumbu alirithishwa,swali yeye alijibiwa kama nani

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 Месяц назад

    Hii Tim yaujanjaunja Ndiomaana walikuwa wakichapana Bakora

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 3 месяца назад +2

    Hayooo yooote unayongea hayana issue Sana..
    Point ni uwakilishi wa wanachama kwenye kupiga kura na muwakilishi wa wanachama kwenye club awe tofauti na muwakilishi wa muwekezaji hapo ndiyo aliposimamia magoma na wenzie..
    Je mzee magoma na wenzie wako Sawa au hapaswi kuhoji hili?
    Mashitaka kwa wazamini ni kwamba usalama wa club na Mali zake uko mashakani...
    Kwa mdhamini yeyote anayestahili hizi hoja anapaswa kuzijibu..
    Magoma yeye hajashitaki kama kiongozi Bali kama mwanachama wa kawaida tu ana haki kisheria

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 месяца назад

      Sijui anaongelea nini wakati Magoma yuko wazi hataki Uongozi anataka haki sawa kwa Wananchi kwenye kuchagua viongozi

  • @bahatisube120
    @bahatisube120 3 месяца назад

    Mbona huyu mzee MAGOMA hamjibu?!!
    Au mzee MAGOMA kakamatwa ujanjaujanja wake?!!😂😂😂....

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 3 месяца назад

    Magoma amesaidia sana kumbe Yanga haina baraza la wadhamini

  • @khadijajumanne3324
    @khadijajumanne3324 3 месяца назад

    Sio manji bro ni njaa tu hao

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 3 месяца назад +3

    tumekuelewa brother

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 3 месяца назад

    Mzee kila aliye nwanachama anayo mamlaka ya kushitaki kama kuna kosa ameliona.

  • @josephinemgomi9837
    @josephinemgomi9837 3 месяца назад

    Yako RITA, na labda babaako hakuondoa jina lake ndiyo maana jina lake bado liko

  • @hassankhalid2465
    @hassankhalid2465 3 месяца назад

    Kumbe magoma yupo sawa!alisema amewashtaki wote7,wakawa hawaji mahakaman Ila mmoja kesi ikaendelea

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 3 месяца назад

    Magoma anadai yeye na mwambelo walienda kumtafuta mwinyikambi usiku bagamoyo akawaambia mje kesho mapema twende mahakamani nikawakabidhi power of attorney ndio wakaenda yeye na mwambelo

  • @hamadiomari9257
    @hamadiomari9257 3 месяца назад +1

    Hoja ya Mzee magoma ni katiba wanayotumia viongozi wa sasa ni batili kuna vipengele haviko sawa ambavyo ni wanachama kuingia kwenye uchaguzi na pili kuwe na mwenyekiti wa klabu hicho ndio kilio cha Mzee magoma 😊

    • @LinusKyando
      @LinusKyando 3 месяца назад

      SIMBA TULIA

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 3 месяца назад

      Unataka tufanane na nyi nyi makolo kuwa na mw/kiti sijuwi katibu kwani chama cha siasa ndio uwaga na migogolo km nyiee na kina mangungu yanga imepita huko huo ni mifumo ya kizamani inayodumaza michezo ndio mana yanga ikaleta wasomi wakaweka mikakate tutoke huko tuwe na raisi ndio watu wakenda jifunza laliga wakalipwa wakaenda kozi Espenia kusoma walivyoludi ndio unaona yanga inakimbiza africa nzima kwa miaka 3 tu sasa leo nani anataka kusikia upuzi huo weshachelewa wanzishe yanga yao sio hii

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 3 месяца назад

      Katiba batili imepitishwaje na vyama vya serikali ina maana hyo magoma ana akili kuliko wote walopitisha katiba?? Na imetambulishwa rasmi na Rais mstaafu nae alikubali kuidanganya serikali??

    • @LinusKyando
      @LinusKyando 3 месяца назад

      KATIBA INAPITISHWA NA WENGI WAPE,HATA YA NCHI KUNA WATU WANAIPINGA NA NCHI INAENDELEA,KENGE WEWE HATUWEZI KUUSIKILIZA WAJINGA WENU SIMBA WAWILI HAO AKAPINGE KATIBA YENU

    • @NathanKanick
      @NathanKanick 3 месяца назад

      ​@@LinusKyandonaona unajijibu mwenyewe kwamba watu wanaipigia katiba ya serikali lakini hawasikilizwi. Sasa katiba ya Yanga ni ile ile lakini haijafwatiwa.

  • @ipaparaymond3622
    @ipaparaymond3622 3 месяца назад

    Interim committee.

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 3 месяца назад +1

    Daa serikal inaalibu mpira bongo kumbe yanga sasaiv inaongozwa na wahuni

  • @MichaelSangula
    @MichaelSangula 2 месяца назад

    Yanga siyo kitegauchumi cha mtu binafsi

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 3 месяца назад

    Sawa kabisa mtoto wa juma mgomelwa

  • @JumaJidawi
    @JumaJidawi 2 месяца назад

    Wewe ongea mpaka unye kinyesi lakini pale yanga upati chochote we Babu tafuta kazi ya kufanya we babu

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      Unataka kufilwa wewe huyu umeona anataka pesa? Au kiswahili nacho uelewi? Yy hata ajali ndio maana anawaachia waandishi hayo ya kuwauliza yanga km baada ya miezi 3 walichagua wadhamini wengine,, msikilize mwishoni anasemaje? Usilopoke tu kisa ni mfuasi wa magoma

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 3 месяца назад +1

    Magoma kumbe kilaza Sana Mzee wangu unaki2 tutaongea na helesi akwangalie jicho la pili

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      Huyo baba yake alikuwa ndio bodies ya wadhamini peke yake ,, magoma anajua alishawahi kumtaja lkn ajui ukweli kuwa baba yake huyu alienda kuwaongeza ndio kina fatma karume na wenzake

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 3 месяца назад +1

    Sasa injinia kaingia kwa latina ipi yaleyale hata hao waliopo hawatambuliki kisheria

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 3 месяца назад +1

    Kazia hapo hapo kwenye kadi ya kifo

  • @JumaJidawi
    @JumaJidawi 2 месяца назад

    Wewevkama mamluki was Simba umifeli,pesavupati Wala chochote be iyovni njaa TU inayokusumbua tafuta kazi ya kufanya umalize njaa yako,Happ unapoteza MDA wako we Babu.

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 3 месяца назад

    Duuuuuh yani hii yanga watu walikuwa wanapeana tu

  • @MartinKimbwi
    @MartinKimbwi 3 месяца назад

    😮

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад

    Huyu naye hajui hawezi kutoa ushahidi mahakani

  • @azizamuharam3941
    @azizamuharam3941 3 месяца назад

    Nae pia ajijue tu kuwa kasema baba ake mpk kuipata yanga katoa rushwa ya sukari na unga na tunajua rushwa ni hujma

  • @ibrahimtanganyika2796
    @ibrahimtanganyika2796 3 месяца назад

    Wote wahuni mnachanganya watu.subirini sheria ya sasa.

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 3 месяца назад

    Kwa maelezo hayo Magoma ana haki kama mwanachama.Ameshinda kesi kutokana na viongozi yanga kutokuwa makini.

    • @telvinnicholas
      @telvinnicholas 3 месяца назад

      Unakichwa kigumu ndugu cha kuelewa.

  • @raphaelmakekela2185
    @raphaelmakekela2185 3 месяца назад

    0:36 m😮😊😊

  • @peterpata8825
    @peterpata8825 3 месяца назад

    Hawawezi lita kuuza Yanga …Yanga ni asili..inazuia wajanja

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 3 месяца назад

    Duh. Hii kali

  • @raymondmunis3553
    @raymondmunis3553 3 месяца назад

    Bado magoma kisheria anayo haki kuhoji kama mwanachama.Kumbe uhaini ulianza muda ndio maana magoma amegundua hicho kitu.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 3 месяца назад

    Yanga apewe tuu gsm yote hatutaki watu wenye njaa njaa kuhusika na vilabu

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Месяц назад

    Magoma kashitaki wadhamini hao saba kama mwanachama wa katiba ya 68 akiwemo mama Karume na wala hajasema yeye ni mmoja ya hawa wadhamini saba.
    Lakini wewe mwaandishi muite magoma hajibu ili la huyu mtoto wa Juma Mwabelo

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 3 месяца назад

    Magoma yupo sahihi injinia kaingiaje kwenye uzamini

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 3 месяца назад

    Mwandishi ni mzito sana wa kuelewa, swali moja kaliuliza mara 5

  • @MlokongaMnyanza
    @MlokongaMnyanza 3 месяца назад

    Umeingia ktk mfumo wa gsm

  • @magoripiru1757
    @magoripiru1757 3 месяца назад

    Nyooka unazunguka sana

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      Lazima aongee km ilivyo sio kukata kata km magoma

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад +1

    KESI IMEENDESHWA KWA UDANGNYIFU!!

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 3 месяца назад

    Yaani mie sio Yanga lkn hivi ilipofikia yanga Anaweza kutokea mtu mwenye Nia njema kweli Akaibua migogoro?

  • @josephinemgomi9837
    @josephinemgomi9837 3 месяца назад

    Kule RITA yapo majina ya wadhamini nenda kaulizie utapata majina

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 3 месяца назад

    Bodi yote ya wadhsmini ni batili kujingana na maelezo

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 2 месяца назад

    Mzeee mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉,ila timu zetu simba yanga na baadhi ya timu mbona yote inaongozwa na uislamu ,nauliza tu nijue,kwa nini kwa sababu kama yanga ni timu ya wananchi mbona hivyo,asasnte

    • @amirjuma9395
      @amirjuma9395 2 месяца назад

      Hii Dar es salaam ya wazaramu na wandengereko wamanyema hao ndo wenyeji makabila haya wengi ni waislamu kwaiyo ndomaana unaona waislamu ni wengi

  • @DM_15
    @DM_15 3 месяца назад

    Hao wazee 7 ndio wakora hawakutaka kukabidhi timu ndiomaanambakaleo akina mama fatma tunaishi tukijua ndio wamiliki wa clabu. Ulafi wamadaraka UBAYA UBWELA

  • @adamummy4363
    @adamummy4363 3 месяца назад +1

    Mzee magoma atampiga kurujuan huyu ije kua balaa duniani 😂😂😂maana hapa kashamvua nguo mtu mzima 😂😂😂

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 3 месяца назад +1

    Wahuni sana hawa jamaa

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 3 месяца назад +2

    Du watanzania wanaakiri Dana usicheze nao

  • @hassankhalid2465
    @hassankhalid2465 3 месяца назад

    Inashangaza taasidi kubwa km hii yanga nyaraka zake zimehifadhiwa mitaani,,wa2 wanaangalia michuzi tu kujaza matumbo

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 3 месяца назад

    Kama kina aman walipew mamlaka kwa muda ndio hao wanaoshtakiwa

  • @xongejayasini5656
    @xongejayasini5656 3 месяца назад

    Hana data za kutosha huyu akafanye vizur homework yake

  • @ZacksonMakundi
    @ZacksonMakundi 3 месяца назад

    Rita ndiyo walimpa abeid udhamini baada ya kujiridhisha kuwa mwambelo amekufa

  • @JeniphaDaud-qu2ib
    @JeniphaDaud-qu2ib 3 месяца назад

    Kwako dijei

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 3 месяца назад

    Magoma yeye kashatak kama nwanachama huru

  • @peterpata8825
    @peterpata8825 3 месяца назад

    Kaongea kidg ila kaeleweka

  • @josephinemgomi9837
    @josephinemgomi9837 3 месяца назад

    Tatizo huyo bwana mdogo hajitambui, kwani yeye ana nafasi gani katika Yanga? Au anadhani udhamini ni wa kurithi? Na anajidhani ana mamlaka ya kuihoji RITA? Hajitambui, angeenda huko Rita kuulixia

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 3 месяца назад

    Inaoneka wazee wengi walufanyaga taasisi ya selikali ambayo ni rita kama yao

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 3 месяца назад

    Vururu vururu. Hii ndio maana ya utopolo

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 3 месяца назад

    Uko sahihi sana huyo magoma mwehu

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 3 месяца назад

    Vilaza ni wengi mno nchini,,katiba tuliyopatia uhuru ndiyo tunayo sasa?ila njaa za wazee wengi waliokuwa yanga kipindi hicho ni stomach's transparent,

  • @ArafaMkomwele-vi2hp
    @ArafaMkomwele-vi2hp 3 месяца назад

    Sasa lini walipelekewa majina ya viongozi waliopo madarakani?

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 месяца назад

    ETI HUYO NDIO MWENYE YANGA HIYO TIMU NI YA WANACHAMA ..

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 3 месяца назад

    Magita umeyasikia ya huyo alievaa kofia kama yako..umeisha magita..

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 3 месяца назад +3

    Kwa hiyo yanga haipo toka 2021?

  • @AsaelBayaga
    @AsaelBayaga 3 месяца назад

    Kwako #yanga

  • @zamukahemele1505
    @zamukahemele1505 3 месяца назад

    Daah ww ni hazina ya yanga

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 3 месяца назад

    BADO MAGOMA YUPO SAWA

  • @OmaryMwigula
    @OmaryMwigula 3 месяца назад

    Eti anataka chake pumbavuu mzee wako alikuwa na tamaa

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 3 месяца назад

    Nakumuwakilisha mtu sio lazma uw mwnykit

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 3 месяца назад +1

    Kinachonishangaza ni kwamba, imekuwaje kumbukumbu za kiserikali zinazoihusu Yanga anazo kila mtu?

    • @VicentMillanzi
      @VicentMillanzi 3 месяца назад

      Umewaza sana mkuu... Na huyo amesema ahusiki na chochote sasa hizo nakala amepata wp? Achunguzwe uyu jamaa

  • @pinomjata678
    @pinomjata678 3 месяца назад

    Tatizo lipo Rita wanafanya maamuzi bila kuhusisha maamuzi ya wengi na pia mapendekezo yao hawayakufanyiwa kazi mpaka Juma Mwambelo anafariki 2021 na baada ya Mwambelo kufariki Rita walikuwa wanatambua wadhamini wa Yanga ni wakina nani?
    Wanaoumia ni wanachama wa Yanga kwani wachache ndio wanaofaidika na hii timu ambao wanajifunika kwenye kivuli cha mafanikio

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 3 месяца назад

    Anazungumza nani nihawao mapandikizi ya watu wanayanga tupo swali kabisa Hilo genge la wahuni waletwe kwenye mkutano mkuu watwambie wenye timu labda wanataka kupata mafoliwazi njaa mbaya au walikuwa wapi timu ilipo kuwa inatapatapa au wameisaidia yanga kwalipi muwe mnawahoji hao wahuni

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 3 месяца назад +7

    uto oyee

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Viongozi wa yanga waondoke mahakama himetoa hukumu

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 месяца назад

      Maaaaaweeee! kwani walichaguliwa na mahakamaa?

  • @nassoromar762
    @nassoromar762 3 месяца назад

    Ni kweli Yanga haina wadhamini ?

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 3 месяца назад

    Katiba ya 2011 kulifanyika mabadiliko gani?

  • @josephinemgomi9837
    @josephinemgomi9837 3 месяца назад

    Hivi kijana unafikiri kila kinachofanyika yanga lazima wewe upewe taarifa? Hujitambui

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 3 месяца назад

    MASKINI USIMPE DHAMANA ATAKUSALITI CHANGAMOTO YA YANGA WAMEDHAMINIWA NA MASKINI MUDA MREFU

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 3 месяца назад

    Kwahiyo magoma kelele kwa sababu hapewi pesa kumbe manji alikuwa akiwpaa pesa😅

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 3 месяца назад

      Hta ukimsikiliza anavyojikanyaga utajua tu kma ni njaa ndo inamfanya apige kelele

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 3 месяца назад

      @@fettiemaganza1484 ndio yanı kipindi cha manji watu walizo pesa snaa hiv saşa hawapati nafasi ndomana watu wanawaka

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад

    RITA WANA CHA KUJIBU??

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 3 месяца назад

    Maelezo haya yanaanza kunifanya nianze kuichukia Yanga. Tunatoa hela kumbe watu wengine wanazila tu

  • @JohnNjuyuwi-c2t
    @JohnNjuyuwi-c2t 3 месяца назад

    Kama mambo ya mpira Tanzania ndiyo yako hivyo kihuni sishabikii tena wala uanachama siutaki kabisa wajanja wanatafuta pesa

  • @AsaelBayaga
    @AsaelBayaga 3 месяца назад

    #Maulidi_kitenge