MZEE MTITU: AFUNGUKA USIYOYAJUA SAKATA LA MAGOMA | WANACHAMA WASIMUONE KICHAA KUWASHITAKI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 76

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y Месяц назад +12

    Nilikua nakusubili Kwa ham mzee wewe ndomwelewa kuliko ote unaogea kiumakini mno mungu akuongeze maisha malefu ili niendelehe kukusikiliza vitu vingi unavijua

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Месяц назад +3

    Wenye akili yanga wawili lakin kwa sasa watatu na magoma ndan

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 Месяц назад

      Kwa hiyo wanaofoji Saini za watu na kufungua kesi ndo wana akili?

  • @user-tg2dj2vi7w
    @user-tg2dj2vi7w Месяц назад

    Engeneer madawa huuzi tena. Biashsra imeshaanza kuharibika umewazurumu wenzio. Unakula peke yako. Wajanja wameshtuka. Safari haxiishi kimbe anauza madawa. Anzeni kumchunguza vzr. Hana uengeneer wwte anauza madawa

    • @ephesongailo8564
      @ephesongailo8564 Месяц назад

      Katoe taarifa polisi,,,, hapa sio mahali pake....! Utajichumia kesi ndugu.

  • @MaximilianBKalitibu
    @MaximilianBKalitibu Месяц назад

    Magoma achukuliwe hatua zakishelia kwakuidhalilisha yanga African

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Месяц назад +1

    Vyiura cf mnateseka mkiwa wapi hahahaha hii ndoo ubaya ubwela😂😂😂😂

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Месяц назад +1

    Magom yuko sahihi mimi ni yanga naona wazi kuna upigaj mkubwa sana unaoendelea yanga.kuna wazee wanapozwa pesa na kuna kundi la vijana wanapozwa ili wamdhihaki mzee magoma kunyamaza.kiukweli kagoma yuko sahihi sana

  • @ntulloboy2916
    @ntulloboy2916 Месяц назад

    Yanga vichwa vigumu Sana kuelewa achana nao

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад

    JUMA MAGOMA HOYEEEEEEEEE!

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 Месяц назад

    Kweli kina vilaza na waelevu.kakushinda mzeee we kijana point huna.. mzee magoma yupo sahihi

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Месяц назад +1

    Conflict of interest

  • @hamadshembago7647
    @hamadshembago7647 Месяц назад

    Huyo jamaa wa pemben amekaa kinafiki nafiki kwel yan

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Месяц назад

    Huyu mzee niwalewale😂😂😂😂😂😂

    • @hamadshembago7647
      @hamadshembago7647 Месяц назад

      Kivip yan au kipi hujaelewa😂😂halaf kumbuka huyo ni mzee,hajui kutumia google lkn yupo straight 😂😂angalia hilo la pemben linalokuna pua tu,yan lipo tayar kwa mabishano tu huyu ndo walewale sasa kwel uto😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @user-sb5cd4jg5q
    @user-sb5cd4jg5q Месяц назад

    Acha habari zenu

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Месяц назад +1

    Wala mihogo jazz band

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад

    Hivi vizee vyahivi ni vya hovyo

  • @ramadhansesala4891
    @ramadhansesala4891 Месяц назад

    Yanga kweli vilaza

  • @bone102
    @bone102 Месяц назад

    Hivi kwann Yanga wanaongea Pumba sana aisee yaan Kijana kazidiwa na mzee ambaye hata kutumia vizur google hajui

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 Месяц назад

    Utopolo,mmemuelewa,mzee,

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад

    HAWA WAZEE WA YANAGA NINAWAELEWA VIZURI WAKO MAKINI MNO.

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 Месяц назад

    Magomaaaaaa😅

  • @thomangwanyama7122
    @thomangwanyama7122 Месяц назад

    Simba jifarijini mapema kabla kivumbi akijaanza uo ndio us Hindi wenu ligi ikianza auna chenu tabu iko palepale

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад

    Magoma katumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 Месяц назад

    😂😂😂😂 msiye jua maana ya kolo ni mjomba na makolo ni wajomb kwaiy youote any ita kolo jua unait mjomb😂😂

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx Месяц назад

    Ubera ubwera

  • @kyaligonzalouis4663
    @kyaligonzalouis4663 Месяц назад

    Mgongano wa maslahi ni Conflict of interest sio controversy. Ubaya Ubwela

  • @ambwenemwamwimbe153
    @ambwenemwamwimbe153 Месяц назад

    Simba wanawatu bana

  • @haroldtarimo3115
    @haroldtarimo3115 Месяц назад

    Masuala ya yanga unamhoji mtu wa simba kulikoni

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Месяц назад

    😀😀😀😀😀magoma ashakua super star

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 Месяц назад

    Utopolo mbona coment siizioni leo mzee mtitu anawaelewesha mana huku mtaani jitu hayajui ki2 yanatubania pua tu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Месяц назад

    Kuhusu mwanasheria kweli Yanga hatuna kabisa.

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 Месяц назад

    Makolo mikundu inawasha jambo haliwahusu

  • @yuzoooyuso583
    @yuzoooyuso583 Месяц назад

    Aliesema Yanga woote hawana akili pepo ataiona.wale wawili mpokeeni na huyo mmoja Mzee magoma.nyinyi vyura aka gongowazi hebu toeni mwiko huko nyuma labda akili itawarudi mnaibiwa acheni kuendelea kullewa supu na ipo siku mtamkumbuka Mzee magoma

  • @khalidmgonja
    @khalidmgonja Месяц назад

    Waandishi wakat mwingn watu kam nasoro pila msiwe mnawahoj maan wanapend kuongelea mapenz ya uyanga hawan hoj za msingi mabwabwa hawa

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад

    Huyu ni Yanga

  • @user-rl8ge1zl1m
    @user-rl8ge1zl1m Месяц назад

    Wachezaji Sasa hivi wanalipwa kiasi gani

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Месяц назад

    Huna akili hiyo ni press wanachama wa nini

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад

    Kwenda huko,we kaongee ya simba

  • @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i
    @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i Месяц назад

    Kumbe nyinyi ndio munao mtuma uyo bwege mwenzio uyo, baasi mutayaoga

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Месяц назад

    We mzee waambiye hao vijana wanunulie hiyo kahawa maana nakuona unajichanganya yaani unataka kusema mama Karume atiye saini ajishitaki mwenyewe ? Hapo wewe umesema bodi iliyopita na mama Karume alikuwepo sasa vipi leo atiye saini kwa kujishitaki ? Mimi hapo sijaelewa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    Bundi limehamia jangwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hapo ndo mtajua nini maana wa neno ,UBAYA UBWELA 😅😅😅

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад

    Huyu ni Simba,wametumwa

  • @IbrahimMakonga
    @IbrahimMakonga Месяц назад

    Uyo hajui kitu utopolo

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Месяц назад

    Kolo yeyote yule katika hili nilazima atampigia chapuo tu mzee magoma kitakita

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад

      Mnajionyesha wazi kuwa hamjielewi aisee yaan Mangoma kawazidi akili nyie mnafurah wakat Yanga inapotezwa kwa kudanganywa na matokeo ya uwanjan Timu inatakiwa kuingiza hela zaidi sio kuacha sifa za kufika robo fainali au kujaza vikombe wewe dogo

  • @timothymbughuni1356
    @timothymbughuni1356 Месяц назад

    Controversy??????

  • @Shags.1972
    @Shags.1972 Месяц назад

    Tatizo hata mkisema wanachama waende wote wakajadili hayo marekebisho Dar wanachama wataweza kufika wote acheni fikira za kizee nyie kinawauma nini

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Месяц назад

    Vyura mwaka huu wanacho utopolo bwana

  • @KumbaBoy
    @KumbaBoy Месяц назад

    Sasa mzee mtitu turudi nyuma mama Samia ni raisi wa jamuur wa muungano wa Tanzania ukirudi yeye ndie mwenyekiti wa ccm jee mzeemtitu unajuwa iyo unaic aiwezekani

  • @vom84
    @vom84 Месяц назад

    Huyo shabiki wa Yanga Hana uelewa, hajui lolote linalohusu sheria

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад

    Huyu bwege alisema heri baba afe abaki mo

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Месяц назад

    Auna lolote mzee Mtitu nyinyi watu wa simba mpo nyuma ya huyo mzee kagoma

  • @christopherdaniel7279
    @christopherdaniel7279 Месяц назад

    Hakuna mwanasimba ambaye anaweza kumuongelea vibaya magoma over ila dozi ipo palepale

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 Месяц назад

      Mie ni yanga ila magoma yuko sahihi .tuache ushabiki maandaz .tuangalie maslah ya yanga yetu.sio wamekaa wapigaj

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад

    Wanafiki Hawa wanaingikiaje mambo ya Yanga?Watatuvuruga,watatuchanganya?Tuwe makini

  • @ambwenemwamwimbe153
    @ambwenemwamwimbe153 Месяц назад

    Huyo jamaa wa utopolo kalewa chibuku

  • @user-rl8ge1zl1m
    @user-rl8ge1zl1m Месяц назад

    Mwandishi mjinga na yeye ni kolo

  • @JohnKapalamula-z9j
    @JohnKapalamula-z9j Месяц назад

    Mzee huna akili wewe umekujaa ushabiki

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Месяц назад

    Mashabiki WA SIMBA siyo waelewa na ndiyo maana timu Yao aifanikiwi kamwe ni kama mashabiki wanao mshabikia harmonaizi vile awajitambui ikitokea harmonaizi ayupo woote watarudi Kwa Ally kiba ndiyo maana diamond kafanya mchezo mchafu kumtoa harmonaizi kundini kijanja ili ampoteze Ally kiba na kafanikiwa ila hao mashabiki ni madunduka awajielewi ndiyo mashabiki WA simba

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Haifanikiwi wakati iko ndani ya vilabu 10 bora Afrika. Wewe kweli chizi😂😂😂

    • @maikomatayo2794
      @maikomatayo2794 Месяц назад

      wee choko kweli aya nyinyi utopolo mnae jierewa mna mafanikio gani 😢😢

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Месяц назад

    Mgongano wa kimaslahi = conflict of interest.

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Месяц назад

    Kolo akili hawana, Magoma hatambuliki kwa sasa kwa katiba iliyopo, na kakiri mwenyewe hajawahi kulipia 😅

    • @AzizMangara
      @AzizMangara Месяц назад

      Kama magoma, atambuliki, na wale wanne Nao awatambuliki?! Utopolo, msilete mihemko. Kikubwa kukaa na wale wazee, kwani walicho kisema ni kweli au katiba aijachezewa?! Tunapenda maendereo ya mpira na hata Hawa wazee wakiachiwa Timu awawezi, ila wanahaki tusilete ujanja janja, na tusilete mihemko ya Simba na Yanga. Kaeni Nao zungumzeni Nao vinginevyo mtatafutana saana.

    • @user-dl1mg2qf4n
      @user-dl1mg2qf4n Месяц назад

      @@AzizMangara Sio mimi ni yeye mwenyewe kasema hajawahi kulipia kadi miaka minne sasa, je ukiwa na akili timamu atakuwa mwanachama kweli au shabiki?

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Mawazo yako mgando unadhani kesi kapeleka Juma peke yake. Wako wengi wewe mshamba😂😂😂

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Месяц назад

    Hawa watu wayanga hawajui wanachokiongea maskini

  • @kingzu_97
    @kingzu_97 Месяц назад

    V