MZEE MASATU: AICHOMOLEA BETRI TAIFA STARS | KOCHA KAPUYANGA VIBAYA MNO | YANGA WANATAFUTA NINI KMC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 19

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 10 дней назад +4

    Tatizo ni kira meche utakuta timu imebadilishwa hivi ni kweri tanzania haina wachezaji wazuri ebu acheni UTIMU hiro ni taifa

  • @MasterNicodemus-yw8tq
    @MasterNicodemus-yw8tq 10 дней назад +2

    Mzinze bado haonyeshi kama awe mtu wakutegemewa kama tunaendelea hivi hatufiki popote

  • @MohamedSlim-tw9un
    @MohamedSlim-tw9un 10 дней назад +1

    Ukweli tuseme kocha ws taifa star hawezi sijui tff wanamng'ang'ania hanauwezo kabisa

  • @muhammadmpahi338
    @muhammadmpahi338 10 дней назад

    Hicho ndo kiwango chetu cha timu yetu Hakuna jipya ni yaleyale hata angekuwa nani. Labda wapinzani wetu wawe dhaifu

  • @tresphoryngao2367
    @tresphoryngao2367 10 дней назад +1

    Ufuatiliage coment so unapenda kupost tyu huku unaambiwa. Mapungufu hufanyi marekbisho

    • @wispoti_tv
      @wispoti_tv  10 дней назад

      Pole familia kwa changamoto, sauti ipo jaribu kwa device nyingine

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 10 дней назад +2

    Subilini wapate muungabiko

  • @BobNasa
    @BobNasa 10 дней назад +1

    Acha kuaminisha ushirikina Ndugu.

    • @MgeniSaid-fp3wg
      @MgeniSaid-fp3wg 10 дней назад

      Waapii kaongelea ushirikina au kiswahili kwako mtihani

  • @mandelamgeta
    @mandelamgeta 10 дней назад

    Chanel Yako Kila siku tunakwambia sauti Iko chini huelewi hatukufatilii Tena

    • @wispoti_tv
      @wispoti_tv  10 дней назад +3

      Sauti ipo familia jaribu kwa device nyingine, pole kwa changamoto

  • @Mgema001
    @Mgema001 10 дней назад

    Mi nashindwaga kumuelewa mzee masatu akianza kuongelea maswala ya usimba na uyanga...tatizo ni mfumo alioweka kocha na wala sio mzize

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 10 дней назад

    muache uongo mzize ni mzuri akitokea sub sema kocha mjinga na kibabage mlitaka akatae kucheza hiyo winger mmutukane kama Job ili ya mwaka jana na kacheza katoa alichokua nacho kwa mzize kuanguka anguka sio yey tu zimbwe mwwnyewe alikua anadondoka kama nn unaleta usimba na uyanga taifa stars we mzee vip aya jengeni uwanja wenu kama mnaona mnalogwa acha ushamba mzee na kuwaza mambo ya kishirikina

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 дней назад +1

      WASHIRIKINA NYIE UTOPOLO MSIKATAE

  • @SHARIFFDOSSI-tw6zf
    @SHARIFFDOSSI-tw6zf 10 дней назад

    Sema huyu mzeee ni mlevii saaana yani yeye kaona kibabage na mzize ndio tatzo kweliii😂😂😂@japhewamipango

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 дней назад +2

      MLEVI NI WEWE KASEMA NAMBA POZISHENI WALIZOWEKWA NI TATIZO SIO WAO TOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂😂😂

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 10 дней назад

    Mzee wa hovyo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 дней назад +1

      WEWE NI UTOPOLO PITA KUSHOTO 😂😂😂😂😂

    • @MgeniSaid-fp3wg
      @MgeniSaid-fp3wg 10 дней назад +1

      Acha ujinga tatizo hata soka hulijui