Miraji leo umeongea urojo, kama kisugu aisee hivi wapi umewaona hao wachezaji unaowasifu mmesajili wanacheza invisible matches anaelezea kama kashawaona mechi zaidi ya 6, sawa ubaya ubwege😂😂😂😂😂😂
Simba kwa sasa haipangiki maana ni kikundi cha wachezaji kinachotafuta timu, tusubirini tucheze tujue timu yetu. Mh huyu dube namuwazia sna na mzize anazidi kua wa moto
In case of anything asilaumiwe Mangungu alaumiwe boss maana yeye ndio kasajili. Sitaki kumsikia shabiki yoyote wa Simba SC akimlaumu bwana Mangungu. Edit: Nikimuona Miraji Maramoja na vibe kama hivi mimi mwenyewe pia naogopa tarehe nane naona kigugumizi kuingiza team maaana si kwa sifa hizi...
Shafii dauda msikilize vizur MIRAJI utapata madini 💥💥
Uko sawa sana bro dabi Haina mwenyewe
Mm ni mwananchiiii lakini huyu mwambaa anajua kuchambua Mpira 💪💪💪🤝🤝🤝
Hamna hela yule Baswani wenu, tapeli na bahili hamuwezi kumpata Max kabisa.
Ila miraji zamani nilikuwa nakukubali ila sikuhizi umekuwa shabiki tu kama wengineeeee
Hicho kitu Cha wazee sijui hakipo ni nadharia tu ingekuwa hivyo ubingwa wa CAF Simba ingekuwa imebeba hata mara 1 ndani ya misimu 4 ya ubora wao.
Jina la huyu mwamba please ili nikirudi kigamboni dsm apo nikutane nae angalau aseee The man knows what Ball is🎉🎉🎉
Miraji maramoja ndio jina lake
FACTS. MWAMBA ANAJUA NO MATTER WHAT
MIRAJI wewe mtuuuuuuuuuuuu...! nakukubali sana...!
Miraji bwana 😂😂 bado unaamini kwenye ushirikina na miujiza😅😅😅kama zama zimebadilika Sana aisee 😅😅😅
Fact bro....
Nakubali Mimi nipo yanga
Mirajiiiiiiii nakukubaliii
Wewe unasema nyege zamamaako
Tar 8 kiukweli mmmm panashughuli Kali sana
Miraji leo umeongea urojo, kama kisugu aisee hivi wapi umewaona hao wachezaji unaowasifu mmesajili wanacheza invisible matches anaelezea kama kashawaona mechi zaidi ya 6, sawa ubaya ubwege😂😂😂😂😂😂
We subiri tarehe 8 tabulele raaaaa
Hajielewi bado zile tano zinazunguka kichwani
Uyu jamaa huwa anajua Ball baraa .... mpaka huwa najisikia amani sana akiwapo kwa mdahalo wa kandanda na soka in general ani
(Udugu umala)👈👈👈😊
Nan aliemkuta mwenzie kat ya max na oho uliowataja
Dah!😂😂😂😂
Ulipo mtaja namba 11, nimegundua hauko serious. Ila sio mbaya Sana, unajua
😊😊😊
ukiskia watu wampira ndokama Hawa , hawana ubinafsi
Msimalize maneno kitawakuta kitu shauri yenu
Wanamalizaga maneno ndugu zetu awa
Mi siamini imani za uchawi kwenye mpira, naamini uwezo ndo unaongea
Simba kwa sasa haipangiki maana ni kikundi cha wachezaji kinachotafuta timu, tusubirini tucheze tujue timu yetu. Mh huyu dube namuwazia sna na mzize anazidi kua wa moto
Miraji umewaona wap awo unao wazungumzia??
Mabingwa Tena wa ligi ya NBC na nusufainali Caf hapo vip?
In case of anything asilaumiwe Mangungu alaumiwe boss maana yeye ndio kasajili. Sitaki kumsikia shabiki yoyote wa Simba SC akimlaumu bwana Mangungu.
Edit: Nikimuona Miraji Maramoja na vibe kama hivi mimi mwenyewe pia naogopa tarehe nane naona kigugumizi kuingiza team maaana si kwa sifa hizi...
Taratiiibu Miraji anatoka kwenye njia zake sasa hivi hana tofauti na kisugu huyo mtu yupo Mısri Umemuona a wapi
Miraji umezingua tuambie ubora wa simba upo wapi na time mpya bado hata hatujaiona ?
Unachambua vzr
😂😂 MIRAJI SIKU UKILA 5 USIJE UKALIA MZE 😂😂😂😂
Aise naiombea team YETU mema
🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Uyu miraji siku atamzimisha muandishi kwa mikofi😅😅
Wachambuz kwel wanchida kama wale w wasfi ukimtoa musa mwakisu na ambangile
Miraj nakubaliana na wewe wachambuzi wa bongo hamna kitu
miraji fundi
Subili tarehe 8, ulete zilipendwa hizo
Uko. Vzr..mwamba. mungu.. akuta gulie
Uko safi sana kaka
Mzee said yuko wapi
SIKU FIKA WEWE 😂😂😂😂😂 SIMBA WAKIMBIANEEEE
Kuhusu wachambuzi kuongea ukweli mtupu wachambuzi wana ushabiki
Dur😂😂😂😂😂
Mmesha anza😂nyege zenu wakati ukifika team mnamkabidhi mangungu
Mbona unahasira sana Miraji?
Usipanic hivyo subiri tuje tuanze kukutana kuanzia tar 8 tutajua wapi panapo vuja?
subiri mvua inyeshe miraji usimalize maneno.