MIRAJI SIMBA AKUBALI MZIKI WA YANGA, YULE MAXI MPIA NDIO TATIZO PALE YANGA FUNDI WA MPIRA NAMTAMANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 53

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo Месяц назад +1

    Shafii dauda msikilize vizur MIRAJI utapata madini 💥💥

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +3

    Uko sawa sana bro dabi Haina mwenyewe

  • @abdulnuru6899
    @abdulnuru6899 Месяц назад +9

    Mm ni mwananchiiii lakini huyu mwambaa anajua kuchambua Mpira 💪💪💪🤝🤝🤝

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад +3

    Hamna hela yule Baswani wenu, tapeli na bahili hamuwezi kumpata Max kabisa.

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 Месяц назад +2

    Ila miraji zamani nilikuwa nakukubali ila sikuhizi umekuwa shabiki tu kama wengineeeee

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 Месяц назад +2

    Hicho kitu Cha wazee sijui hakipo ni nadharia tu ingekuwa hivyo ubingwa wa CAF Simba ingekuwa imebeba hata mara 1 ndani ya misimu 4 ya ubora wao.

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa Месяц назад

    Jina la huyu mwamba please ili nikirudi kigamboni dsm apo nikutane nae angalau aseee The man knows what Ball is🎉🎉🎉

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 Месяц назад +2

    FACTS. MWAMBA ANAJUA NO MATTER WHAT

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Месяц назад +2

    MIRAJI wewe mtuuuuuuuuuuuu...! nakukubali sana...!

  • @vincentshekibula6670
    @vincentshekibula6670 Месяц назад +2

    Miraji bwana 😂😂 bado unaamini kwenye ushirikina na miujiza😅😅😅kama zama zimebadilika Sana aisee 😅😅😅

  • @user-he5jw1pz7b
    @user-he5jw1pz7b Месяц назад +1

    Fact bro....

  • @Christopheasibabu
    @Christopheasibabu Месяц назад +1

    Nakubali Mimi nipo yanga

  • @PendoUrassa-xm7ru
    @PendoUrassa-xm7ru Месяц назад +1

    Mirajiiiiiiii nakukubaliii

  • @NassirAlly-q2r
    @NassirAlly-q2r Месяц назад +3

    Wewe unasema nyege zamamaako

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +1

    Tar 8 kiukweli mmmm panashughuli Kali sana

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 Месяц назад +2

    Miraji leo umeongea urojo, kama kisugu aisee hivi wapi umewaona hao wachezaji unaowasifu mmesajili wanacheza invisible matches anaelezea kama kashawaona mechi zaidi ya 6, sawa ubaya ubwege😂😂😂😂😂😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Месяц назад +1

      We subiri tarehe 8 tabulele raaaaa

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy Месяц назад +1

      Hajielewi bado zile tano zinazunguka kichwani

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa Месяц назад

    Uyu jamaa huwa anajua Ball baraa .... mpaka huwa najisikia amani sana akiwapo kwa mdahalo wa kandanda na soka in general ani
    (Udugu umala)👈👈👈😊

  • @NajminaMaulid
    @NajminaMaulid Месяц назад

    Nan aliemkuta mwenzie kat ya max na oho uliowataja

  • @eliusdiocres
    @eliusdiocres Месяц назад +2

    Dah!😂😂😂😂

  • @ReeNtinika
    @ReeNtinika Месяц назад

    Ulipo mtaja namba 11, nimegundua hauko serious. Ila sio mbaya Sana, unajua

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 Месяц назад +1

    😊😊😊

  • @makameJuma-ex3ps
    @makameJuma-ex3ps Месяц назад +1

    ukiskia watu wampira ndokama Hawa , hawana ubinafsi

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy Месяц назад

    Msimalize maneno kitawakuta kitu shauri yenu

  • @danielonline3181
    @danielonline3181 Месяц назад +1

    Wanamalizaga maneno ndugu zetu awa

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 Месяц назад +1

    Mi siamini imani za uchawi kwenye mpira, naamini uwezo ndo unaongea

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Месяц назад

    Simba kwa sasa haipangiki maana ni kikundi cha wachezaji kinachotafuta timu, tusubirini tucheze tujue timu yetu. Mh huyu dube namuwazia sna na mzize anazidi kua wa moto

  • @AbrahamanMsuya-d4x
    @AbrahamanMsuya-d4x Месяц назад +2

    Miraji umewaona wap awo unao wazungumzia??

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Месяц назад +1

      Mabingwa Tena wa ligi ya NBC na nusufainali Caf hapo vip?

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад

    In case of anything asilaumiwe Mangungu alaumiwe boss maana yeye ndio kasajili. Sitaki kumsikia shabiki yoyote wa Simba SC akimlaumu bwana Mangungu.
    Edit: Nikimuona Miraji Maramoja na vibe kama hivi mimi mwenyewe pia naogopa tarehe nane naona kigugumizi kuingiza team maaana si kwa sifa hizi...

  • @jamalinuru5503
    @jamalinuru5503 Месяц назад

    Taratiiibu Miraji anatoka kwenye njia zake sasa hivi hana tofauti na kisugu huyo mtu yupo Mısri Umemuona a wapi

  • @francishoti1465
    @francishoti1465 Месяц назад

    Miraji umezingua tuambie ubora wa simba upo wapi na time mpya bado hata hatujaiona ?

  • @SilasiPole-ll9yp
    @SilasiPole-ll9yp Месяц назад

    Unachambua vzr

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Месяц назад

    😂😂 MIRAJI SIKU UKILA 5 USIJE UKALIA MZE 😂😂😂😂

  • @ErickJohnfredy
    @ErickJohnfredy Месяц назад

    Aise naiombea team YETU mema

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад +1

    🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @salimrashidy3513
    @salimrashidy3513 Месяц назад

    Uyu miraji siku atamzimisha muandishi kwa mikofi😅😅

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Месяц назад

    Wachambuz kwel wanchida kama wale w wasfi ukimtoa musa mwakisu na ambangile

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Месяц назад +1

    Miraj nakubaliana na wewe wachambuzi wa bongo hamna kitu

  • @IsakwisaSophen-xp3bk
    @IsakwisaSophen-xp3bk Месяц назад

    miraji fundi

  • @hamzanangameta6243
    @hamzanangameta6243 Месяц назад

    Subili tarehe 8, ulete zilipendwa hizo

  • @user-jj3cv6jh8e
    @user-jj3cv6jh8e Месяц назад

    Uko. Vzr..mwamba. mungu.. akuta gulie

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian Месяц назад +2

    Uko safi sana kaka

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Mzee said yuko wapi

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Месяц назад

    SIKU FIKA WEWE 😂😂😂😂😂 SIMBA WAKIMBIANEEEE

  • @AndrewSwai
    @AndrewSwai Месяц назад

    Kuhusu wachambuzi kuongea ukweli mtupu wachambuzi wana ushabiki

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 Месяц назад +1

    Dur😂😂😂😂😂

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 Месяц назад +2

    Mmesha anza😂nyege zenu wakati ukifika team mnamkabidhi mangungu

  • @juliuskideula1535
    @juliuskideula1535 Месяц назад +1

    Mbona unahasira sana Miraji?
    Usipanic hivyo subiri tuje tuanze kukutana kuanzia tar 8 tutajua wapi panapo vuja?

    • @kayeesbelewa4819
      @kayeesbelewa4819 Месяц назад

      subiri mvua inyeshe miraji usimalize maneno.