Midia zingine ni sawa na madangulo kama huwezi maisha ya kutowa habari fanya mpango mjiajili pesa za mgao wa mitandao mtaishia kuwa makaks poa mbona Akira zipo nyingi kuliko kutafuta umaarufu mtandaoni acheni ubwege njooni tulime mabustani mtatoka kuliko kupoteza mda mitandaoni
Midia zingine ni sawa na madangulo kama huwezi maisha ya kutowa habari fanya mpango mjiajili pesa za mgao wa mitandao mtaishia kuwa makaks poa mbona Akira zipo nyingi kuliko kutafuta umaarufu mtandaoni acheni ubwege njooni tulime mabustani mtatoka kuliko kupoteza mda mitandaoni
Pole makolo wamehaha ki sawa sawa
Tafadhali mr president supu kmc complex soon
Kwenye goli 5 huyu sindio aliahid kugawa nyumba😂😂😂
Yaani Sponga Tv sasa umefikia kumhoji pu
Wachahhh Weeh..... this is soccer no blaa blaa.
Yaani unahoji chizi?
Nyinyi ndiowachawi kwanza huouwanja mmejenga nyinyi jengeni viwanjavenu siokiwanja siochenu mnaita chakwenu waambieni viongoziwenu wawasajilie wachezaji wa zuri na wawajengee uwanja wenu uwanjaule wa kmc niwaote yanga inacheza popote ilanyi mnawaza uchawi tu nabado sajilini wenye matege na mirasta msemege mnalogwa acheni ushamba
Weee hovyooo kweliiii, kubwa jinga kweli wewe zeree hujitambui
Mwandishi unaonekana huna taaluma ya uandishi ,maswali unayo muuliza huyo choko uwanja sio wao huo
Kubwa jinga
Naona achana na mwehu
Wewe acha maneno yako
Hakuna cha uwanja wenu. Uwanja ni mali ya serikali.
Utautaka kwa nguvu wakati huna uwezo?Kweli wewe ni mjinga usiyejitambua.
Kwanza lekebisha kauli kiwanja cha simba kiwanja cha kmc
Kaka maelezo yako yanaonekana unaogopa wewe siyo Yanga. Subiri utakapopopolewa
Huna lolote kenge we
Si amini kijana kama wewe handsume kumbe mwanga lo,
Ndio maana mnamtumia magoma kuukataa uongozi uliopo?? Mtasumbuka sana.
Kweli kabisa....
Watapata tabu sana tena sana tuu....
Umeona eeh‼️