YULE INJINIA HERSI NDIO TATIZO KWETU, HAIWEZEKANI KILA KITU YEYE, KILA SEHEMU YUPO TU, SIJUI KWANINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • YULE INJINIA HERSI NDIO TATIZO KWETU, HAIWEZEKANI KILA KITU YEYE, KILA SEHEMU YUPO TU, SIJUI KWANINI

Комментарии • 22

  • @user-ef2zr4un2u
    @user-ef2zr4un2u 8 дней назад

    Midia zingine ni sawa na madangulo kama huwezi maisha ya kutowa habari fanya mpango mjiajili pesa za mgao wa mitandao mtaishia kuwa makaks poa mbona Akira zipo nyingi kuliko kutafuta umaarufu mtandaoni acheni ubwege njooni tulime mabustani mtatoka kuliko kupoteza mda mitandaoni

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 9 дней назад

    Pole makolo wamehaha ki sawa sawa

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 9 дней назад

    Tafadhali mr president supu kmc complex soon

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 9 дней назад +1

    Kwenye goli 5 huyu sindio aliahid kugawa nyumba😂😂😂

  • @macmugan
    @macmugan 8 дней назад

    Yaani Sponga Tv sasa umefikia kumhoji pu

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 8 дней назад

    Wachahhh Weeh..... this is soccer no blaa blaa.

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 9 дней назад

    Yaani unahoji chizi?

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 9 дней назад

    Nyinyi ndiowachawi kwanza huouwanja mmejenga nyinyi jengeni viwanjavenu siokiwanja siochenu mnaita chakwenu waambieni viongoziwenu wawasajilie wachezaji wa zuri na wawajengee uwanja wenu uwanjaule wa kmc niwaote yanga inacheza popote ilanyi mnawaza uchawi tu nabado sajilini wenye matege na mirasta msemege mnalogwa acheni ushamba

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 9 дней назад

    Weee hovyooo kweliiii, kubwa jinga kweli wewe zeree hujitambui

  • @HamadShaibungonyani
    @HamadShaibungonyani 8 дней назад

    Mwandishi unaonekana huna taaluma ya uandishi ,maswali unayo muuliza huyo choko uwanja sio wao huo

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 9 дней назад

    Kubwa jinga

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb 9 дней назад

    Naona achana na mwehu

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 9 дней назад

    Wewe acha maneno yako

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 9 дней назад

    Hakuna cha uwanja wenu. Uwanja ni mali ya serikali.

  • @peterjisema4222
    @peterjisema4222 8 дней назад

    Utautaka kwa nguvu wakati huna uwezo?Kweli wewe ni mjinga usiyejitambua.

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 9 дней назад

    Kwanza lekebisha kauli kiwanja cha simba kiwanja cha kmc

  • @amanyisyeoswald1613
    @amanyisyeoswald1613 8 дней назад

    Kaka maelezo yako yanaonekana unaogopa wewe siyo Yanga. Subiri utakapopopolewa

  • @BritoZenda
    @BritoZenda 9 дней назад

    Huna lolote kenge we

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb 9 дней назад

    Si amini kijana kama wewe handsume kumbe mwanga lo,

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 9 дней назад

    Ndio maana mnamtumia magoma kuukataa uongozi uliopo?? Mtasumbuka sana.

    • @Majhidymhessa
      @Majhidymhessa 9 дней назад

      Kweli kabisa....
      Watapata tabu sana tena sana tuu....

    • @Majhidymhessa
      @Majhidymhessa 9 дней назад

      Umeona eeh‼️