Mwalimu aacha kufundisha na kuanza kuuza Maji mtaani, aonesha vyeti vyake,

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2018
  • Bilo Sid Bilo ni kijana anaishi mkoani Kigoma, Baada ya kumaliza masomo yake ya uwalimu mwaka 2015 na kuanza kufundisha moja kati ya shule ya secondary ya wasichana mkoani Kigoma kwa miezi 7 baada ya kukosa ajira serikialini na kuamua kujitolea katika shule hiyo.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 148

  • @silvanustesha8978
    @silvanustesha8978 6 лет назад +9

    Very good mwalimu mwenzangu ..na mm nimemaliza chuo 2015 na sasa cna mpango wa kuajiriwa coz nimejiajiri mwenyewe

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +13

    Mashallah, nimekuelewa Teacher, hongera sana

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 6 лет назад +9

    Safi sana kijana,vijana wengi wanang'ang'ania majina Makubwa wakati halileti hata pesa ya ugali,endelea kupambana utafika mbali💪💪💪

  • @rechomakungu5342
    @rechomakungu5342 6 лет назад +7

    Mungu akutie nguvu brother Mungu hawezi kukuacha yupo pamoja nawe

  • @adamgeorge5532
    @adamgeorge5532 6 лет назад +9

    daah pole sana brow mungu atakusaidi utafanikiwa katika mipango yako

  • @deliveranceprayer4902
    @deliveranceprayer4902 6 лет назад +1

    hongera sanaaa mwalimu. A teacher is a Jeck of all trends

  • @imanimatabula3109
    @imanimatabula3109 6 лет назад +6

    Dah good brother. Hakika umenigusa sana . Wewe ni jembe na InshaAllah utafanikiwa sana kaka.

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 Год назад +1

    Mungu akulinde na malengo Yako usiyaweke wazi sana siyo Kila mtu anapenda maendereo Yako kaka.

  • @gracenyanza432
    @gracenyanza432 6 лет назад +1

    ww ni mfano wa kuigwa kaka mungu akufungulie milango ya baraka na familiy yako mungu aikumbatie .

  • @ditricksilinu6038
    @ditricksilinu6038 6 лет назад +10

    well done mwalimu tukaze buti

  • @barnabasbahebe531
    @barnabasbahebe531 6 лет назад +1

    Nimekuelewa sana brother big up

  • @jeremiamunishi9444
    @jeremiamunishi9444 6 лет назад +2

    mh
    Upo vizuri mwl kwa maamuzi mazuri

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад

    Big up sana brother, mwenyezi mungu akusimamie.

  • @rechomakungu5342
    @rechomakungu5342 6 лет назад +2

    Mungu Azidi kukuinua zaidi brother

  • @ferdinand1880
    @ferdinand1880 6 лет назад +3

    Safi Sana braza upo vzr

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 6 лет назад +3

    Nakuupa wasia broo.. Utafika mbali.. Kwa bidii zako.. Lakiin ukipata mtonyo usije msaliti mkeo.. Kufa NA kuzikana

  • @jenivavedasto636
    @jenivavedasto636 6 лет назад +5

    Welldone!

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 6 лет назад +1

    Hongera sana , na mkeo ajivunie

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 6 лет назад +5

    Inspired

  • @beatricejuma1230
    @beatricejuma1230 6 лет назад +4

    Safi kaka angu

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 лет назад +2

    Noma sana

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 лет назад +6

    Safi sana kijana unaakili nakupongeza kwa hilo

  • @jedidaachieng3914
    @jedidaachieng3914 6 лет назад +1

    This is so challenging...I've learnt something. .God bless you Bro

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 6 лет назад +8

    Umenifungua kichwa kimejaa sumu namimi ngoja nijitose ktk fursa iliyoko mbele yangu ila napuuzia nikilinganisha namazingira niliyopo ingawa malipo siyo kama kazi inavo onekana
    ASANTE BRO ACHA NIJITOSE NAMIMI

    • @salummohdnyiga9760
      @salummohdnyiga9760 6 лет назад

      Rashid Busanya mazingira si tatizo wewe si mti ndugu yangu you can move and change if you have thirty of success

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 6 лет назад +2

    Maa shaa Allah

  • @victoriachesco35
    @victoriachesco35 6 лет назад +13

    Mungu akutie nguvu napenda wanaume wanaojituma

  • @theonestkatanda3054
    @theonestkatanda3054 6 лет назад +10

    Huyu ndugu ana akili nyingi na watu wa namna hii ni wachache sana duniani

  • @lucianachappa1213
    @lucianachappa1213 6 лет назад

    Big up.....Sana nimekuelewa sana

  • @joramchubwa3757
    @joramchubwa3757 6 лет назад +1

    Imana iguhezagile

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +1

    Umetisha Teacher

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 лет назад +4

    Kaza buti blo

  • @atusajiyejaphet7463
    @atusajiyejaphet7463 6 лет назад +12

    Shemeji yng nakukubali saaana na Leo umeniletea maji wewe ni jembeee

  • @obby2559
    @obby2559 6 лет назад +1

    Amazing

  • @nasiekutarishi3292
    @nasiekutarishi3292 6 лет назад +6

    Woiiii God Help us

  • @jacobtitus5867
    @jacobtitus5867 6 лет назад +2

    1st comment
    Teacher kaza nyie ndio mnatakiwa
    #hapa kazi tu😀😀😀😀😀

  • @agnetaagness5857
    @agnetaagness5857 Год назад

    Hogera sana brother mungu hatakuacha kamwe.

  • @greatmangii
    @greatmangii 6 лет назад

    #nyumbatamu kweli ubunifu muhimu hongera sana

  • @saidihussein5707
    @saidihussein5707 6 лет назад +7

    daa nimekuelewa sana

  • @ndimbumihumphrey8804
    @ndimbumihumphrey8804 6 лет назад +2

    This is IQ good

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 6 лет назад +3

    well done

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 6 лет назад +15

    Wajinga hawatokuelewa brother Mimi nimmoja wawale wenye ndoto yakujiajiri full stop. Salyut to you my young brother 3years later waliokaa kusubiri ajira watarekebisha kauli zao.

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 2 года назад

    Big up. Simamia unachokiamini najua utapingwa na wengi ila hatima ya kesho yako iko mikononi mwako.

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 6 лет назад +3

    Hongera bro.. Mungu akusimamie una akili saana

  • @sumakamatula3591
    @sumakamatula3591 6 лет назад

    safi sana bro. nimejifunza kitu

  • @mariammichael9773
    @mariammichael9773 6 лет назад +3

    Nimekupenda bure

  • @pendopius435
    @pendopius435 6 лет назад

    Umetisha bro

  • @selemanteketeke6911
    @selemanteketeke6911 6 лет назад +3

    kazi kazi tu

  • @jacksonmkome439
    @jacksonmkome439 6 лет назад

    Hongera sanaaah kaka...kaz Nzur koz unakula jasho lako big up brother @

    • @carolinamushi5555
      @carolinamushi5555 6 лет назад

      Na mimi nilisomea kilimo na mifugo nimejuariji mwenyewe nipo kijijini ninangombe wa maziwa ninashamba la matunda nauza maziwa nauza mapapai maparachichi, ndizi, kuku wa nyama, na mayai nimeweza kufungua biashara yangu kubwa tu mjini ya kuuza kuku wa nyama kwenye friji. Na nimejenga huku huku kijijini nyumba kubwa, nipo huru mimi na kilimo tuu

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 2 года назад

    حياتك من صنع أفكارك
    Maisha yako yanatengenezwa na fikra zako

  • @fridamwantandi8921
    @fridamwantandi8921 6 лет назад

    Hongera sana

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 6 лет назад +2

    Hunajitambuwa Sanaa kaka

  • @eneambogo4802
    @eneambogo4802 6 лет назад

    Nice bro

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 лет назад

    Welldone

  • @nkeshimanaemmanuel3066
    @nkeshimanaemmanuel3066 6 лет назад

    Hongera

  • @emmanueldionis8822
    @emmanueldionis8822 5 лет назад

    asante sana kaka umenifungua

  • @frankfrank322
    @frankfrank322 5 лет назад

    We tutaenda sawa ndg

  • @kakafranc8913
    @kakafranc8913 6 лет назад +6

    Dar niwachache wenye usubutu kama wako . Wengine nawaona wanapenda kulewa sifa za majina na kutoangalia wanachoingiza

  • @eddycharles5199
    @eddycharles5199 5 лет назад

    hatua nzuri

  • @kipukatz
    @kipukatz 5 лет назад +1

    #mtuwanguwanguvu mirrad ayo kama unamkubali mirrad ayo dondosha like yako hapa

  • @LukeUrioNEWS
    @LukeUrioNEWS 6 лет назад +5

    Hongera sana bro heshima sana kwako.

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 5 лет назад

    Nunua pikipiki angalau itakusaidia utaokoa muda pia.vizuri kaka

  • @williamfavour2982
    @williamfavour2982 6 лет назад

    kweli kabisa kamanda

  • @durra6087
    @durra6087 6 лет назад +1

    Safi sana

  • @jeromepetrododomatunawapat3654

    Huyu ni mpambanaji apatiwe ajila afundishe watoto wetu

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Год назад

    Usiwafiche brother waambie ukweli hawana hela yakukulipa maana watu waroho kubwa naninauhakika labda wakupe milion moja kwenda juu ndiyo kidogo inaweza kukusha wishi

  • @pascaltayari6004
    @pascaltayari6004 5 лет назад

    Hiyo ndyo Tanzania tunayoitaka

  • @ELLYSTVONLINE
    @ELLYSTVONLINE 6 лет назад

    Serikali imekupa ajira MBOLIBOLI iringa hongera kwa hilooo......

  • @queenshomba8412
    @queenshomba8412 6 лет назад +3

    Kaza buti dogo

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 6 лет назад +4

    ww unajielewa kabisa

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 Год назад

    Ukweli nimekumbuka home kgm pia ongera sana kijana

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 6 лет назад +2

    Mpaka mueshimiwa atoke
    TUTAPATA TABU SANA

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 6 лет назад +2

    Ukitoka hapo et dem aje kuomba pesa na yy anapga mkwanja kwako dah

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 6 лет назад +12

    Magufuli hongera sn kwa kasi hii ipo siku tutatengeneza Rocket kwenda mwezini umetufanya WTZ kuwa wabunifu hakuna vya bwelele shikilia hapo hapo baba maana hamna namna.

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 2 года назад

    Kweli mm nilimuona jirani yangu anauza dagaa kwa baiskeli huko zanzibar nilijua hajasoma kumbe anadigree wallah kaoa na kajenga mjengo kawashinda waaliim

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Год назад

      Ndugu yangu Hawa wanouza dagaa mara nyingi huwa ni watu wa kazi za watu Ile kuuza dagaa ni zuga tu 😎😎😎😎😎

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 5 лет назад

    Ajira how's, lap top hewa, Noah hewa na bado

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 6 лет назад +2

    ndo maisha ya Mtanzania inabidi tujiongeze tu

  • @jacksongithae5173
    @jacksongithae5173 6 лет назад +3

    Pongezi sana kwa ujasiri

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад

    Mhuu nimechoka ila tu mm niulize swali watu wanatatfa pesa wale wanaozitengeneza wanatatfa nn ikiwa na wao wanatatfa pesa basi hakuna atakae kuajir akakupa mshahara wa kukidhi mahitaji Kwa nchi zetu za afrika zaidi ya majeshi tu huo ndo ukweli ukitaka usitake habari ndo hio

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Год назад +1

    Ni makosa ya mfumo kuanzia wazazi mpaka elimu kwa ujumla. Huyu alisomea fani ile pasipo kujua kama atakosa kazi hivyo huku alipo ni njia mbadala ila ndiko wanakotokea matajiri duniani kote.

  • @rosemongi5084
    @rosemongi5084 6 лет назад +1

    millardayo hiiinikweli nakamanikweli kuanzialeo najiajiri

  • @joshuamwambene6041
    @joshuamwambene6041 2 года назад

    Duh kijana jasiri huyu

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr5035 6 лет назад

    Only in Tanzania

  • @jafariamiri8452
    @jafariamiri8452 5 лет назад

    Kwakweli amenipa ufunguo mkubwa'akilini' Millard ayo ,km mtaweza kunipatia namba ya huyu mwalim nitashukur kuna kitu naweza shea nae kupiga hatua

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 6 лет назад +2

    uko vzur umeoa2017 nasasa unawatoto wawil

    • @kautharmohammed7868
      @kautharmohammed7868 6 лет назад

      Edina Chami comment of the day

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 5 лет назад

      Edina Chami kweli mwalimu kawazidi,hamjui tofauti ya kuoa na kuwa na watoto?Na nyie ni wanawake,sitegemi mwanamke kuuliza hilo.Yaani mnamuona kakosea.......

    • @kiddandrew2520
      @kiddandrew2520 5 лет назад

      Mapachaaa

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 5 лет назад

      Habibu Mdetele ....Haaaahaaaaa Umeonaaa Watu vilaza Sana....Mwalimu ni Mwalimu tuu...

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 6 лет назад +1

    Mm mwalim wangu wa english wa secondary sahv kaacha kawa fundi simu kariakoo

    • @mickskillstechnology7511
      @mickskillstechnology7511 6 лет назад

      constantine manyanda kariakoo tena ufundi simu una hela Sanaa, kama mtu kwa siku atalaza 50 unategemea aajiriwe kufundisha alipwe laki 7 kwa kwezi bado makato

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 5 лет назад

    Kujiajir ndio mpango

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Год назад

    KIUKWELI PAMBANA KAKA

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu9066 2 года назад

    Umenifungua akili kweli ajira niutumwa huwezi kua namafanikio kwa kutegemea mshahara wa mwisho wa mwez

  • @robertgurti309
    @robertgurti309 5 лет назад

    Huyu ni muongo miaka saba

  • @robertgurti309
    @robertgurti309 6 лет назад +1

    Muongo maana kasema amemaliza chuo2015 alaf kafundisha Islamic school kwa miaka Saba je sahv ni mwaka gani

  • @menejawamradi4996
    @menejawamradi4996 6 лет назад

    Duuh

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 6 лет назад

    Maji ni shida jamani kwanini serikali isifunge pampu ili kusambaza maji majumbani? Ni rahisi kutoa mabilioni kununua ndege but ni vigumu kutoa mamilioni kusambasa maji vijijini, huku ndiko mtatugusa sisi wanyonge please serikali yangu tunaomba mlifanyie kazi hilo najua lina wezekana tu.

    • @fighterm7708
      @fighterm7708 6 лет назад

      Abel Mirwatu why kila kitu serikali ??? Kabla serikali haijakufanyia nn jiulize wewe umeifanyia nn serikali

  • @luteking
    @luteking 6 лет назад +3

    Vyuma vimekaza

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 6 лет назад

      Lute King havija no havija kaza acha uvivu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 6 лет назад

      Lute King .Hapendi kuajiliwa, anapenda ajiajili. Ana mipango na mikakati mingi ya mipangirio ya maisha, kiasi yakwamba kuajiliwa alikuwa anaona kama anapoteza muda wa mipangirio yake anayoiwazia haitweza kufanya

    • @diamondplatnumzvevo8645
      @diamondplatnumzvevo8645 6 лет назад

      Lute King kumamayo wewe

  • @shiruclever1679
    @shiruclever1679 6 лет назад +1

    Poa

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434 5 лет назад

    Big up ila mzee baba baik itakutoa shipa so unaonaje ukatafuta njia mbadala ya kufanya hiyo kaz kama kutumia punda had hapo utakapo pata hiyo gari kama unavyotarajia maana hata ufanikiwe vip ukiharibu afya yako ur nothing

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Год назад

    Masha'allah kijana anauelewa wake ..atafikia lengo

  • @arnoldwillison3821
    @arnoldwillison3821 6 лет назад

    Vizuri sana we ni mfano wa kuigwa kongore yako