Nashukuru sana kwa taarifa hii,maana ni upendo wa ajabu kwa wanakigoma maana umefungua milango ya fursa ili wenye uwezo wawekeze,ingawa katika vitu hivo mikoa mingi hakuna Kama singida,kagera nk ila kwakua umeiona kgm naomba mambo haya yafike ikulu hasa UNIVERSITY
Mimi ni mkongomani ambaye nilizowea kutembelea Kigoma sana, na nafurahi kuona video nzuri ya drone footage ya Kigoma. HASANTE Millard Ayo. Tungependelea kuona mitaa jinsi imebadilika kama Mji mwema Kilima Hewa, Mwanga, Ujiji, . . .
Good nimeipenda Sana Ila kunavitu vingine ulivovitaja humo , mikoa mingi havipo , vingi ulivovisema vinapatika Sana Sana dar, Arusha na mwanza tu labda dodoma baadhi
Kigoma ina wasanii maarufu nchini wenye uwezo Mkubwa kifedha wanaweza kuja wekeza nyumbani hususani kwenye mapungufu uliyoyaona. Charity begins at home
We umetuleta hii makala kukebehi mkoa wa kigoma au dhumuni lako ni lipi hasa, au umekuja kwa ajili ya kuelimisha jamii!! Sijakulewa bado, na unahisi kukosekana kwa chuo kikuu mkoa wa kigoma ni nani alaumiwe au nani aambiwe raia wa kigoma au viongozi wa serikali?
Ni ukiritimba tu lkn kigoma iliyakiwa kua na kila kitu hata uwanja mkubwa wa ndege hapo ni mpakani hakukutakiwa kukosekana hivyo. Bandari inayopakana na nchi 3. Roho mbaya za watu.
Mkoa mzuri, tena clean ! Mama Samia atawapa tuzo ya usafi! 🤣🤣🤣 Mmetaja viwanda, nami nitaongezea fursa zingine ambazo hazipo: Ya 8 ni AIRPORT ya kimataifa (kama ile ya Mwanza inayojengwa leo). Ya 9 ni SOKO la kisasa. Ya 10 ni Chuo cha VETA. Ya 12 ni HOSPITALI ya KANDA (Kama ile ya Bugando au ile itakayojengwa Chato). Ya 13 ni RELI (sgr) na STATION kubwa ya KISASA... (Kigoma is a strategic zone (Brdi, Congo, Rda)>>>>>>> Mkoa huu una historia kubwa, ila umesahaulika kwa muda mrefu sasa!
Uchumi mdogo Kigoma vyote vilivyotajwa kwenye list havina tija/maslahi huko so haviwezi kulipa kibiashara. Hapo labda serikali ijenge chuo ila sio mtu binafsi lazima upate hasara takatifu. Nonetheless ni mkoa wenye potential. Natoka Kigoma by the way.
Supermarket na choose kikuu havimo pia shinyanga na simiyu mikoa yenye zahabu na aliasing! Kwanini? Hata Geita region iliyo na mgodi wa dhahabu nyingi sana toka mwaka 1898 haina chuo kikuu au maghorofa marefu. Kwanini
Vyote hivyo sioni kma vina tija Tatzo kubwa mkoa wa kigoma Ni changa moto ya ajira hasa za viwandani maana vijana wote kigoma hatuna ajira zaidi ya kilimo Cha jimbe la mkono
Tafuta neno zuri kuwasilisha unachomaanisha sidhani kama ni sahihi supermarket kuita kitu, chuo Kikuu, showroom nk ukiwa mwana habari ni sehemu ya mwalimu kuelimisha jamii, pls
@@selemanmaganga6013 naamini hujanielewa kabisa, kwanza hujui Kiswahili hakuna neno HAITEJE wala HAITEJE, pili mimi sio Muha, tatu bora angetumia neno HUDUMA neno VITU SITA ..................., sio mahali pake - afuatilie kwa faida yake na kuuliza si ujinga
Aswaaa inabidi aelewe huyo mwandishi kuwa sisi kigoma tunakula vitu asilia, Nani aende kununua samaki supermarket sh 10000 wakati nikteremka hapo chini ziwan nakija na samaki wakutosha wa buku mbili, nachenchi inarudi
Nashukuru sana kwa taarifa hii,maana ni upendo wa ajabu kwa wanakigoma maana umefungua milango ya fursa ili wenye uwezo wawekeze,ingawa katika vitu hivo mikoa mingi hakuna Kama singida,kagera nk ila kwakua umeiona kgm naomba mambo haya yafike ikulu hasa UNIVERSITY
Mimi ni mkongomani ambaye nilizowea kutembelea Kigoma sana, na nafurahi kuona video nzuri ya drone footage ya Kigoma. HASANTE Millard Ayo. Tungependelea kuona mitaa jinsi imebadilika kama Mji mwema Kilima Hewa, Mwanga, Ujiji, . . .
Mimi ni mzaliwa wa Dodoma ila kigoma nimeishi sana maeneo ya kilima hewa nilikupenda sana kigoma
Mkoa wa Mwanza hauna University ya serikali. Ile iliyopo imejenggwa na wamisionary! Lini serikali itajenga chuo kikuu kama UCD au UDOM?
Kiuhalisia kigoma Ina badilika kigoma ya mwaka 2000 ni tofauti na ya mwaka 2023
MUNGU atusaidie turudi nyumbani kumenoga waha wenzangu njooni KIGOMA muwekeze😭😭
Mikoa mingine haina Ziwa wala bandari kama Kigoma. Kila Mkoa una Chuo Kikuu Huria. Hata Kigoma kipo!
Tanzania Dar Esalam mzuri Sana 💝💞💝💞💝
Good nimeipenda Sana Ila kunavitu vingine ulivovitaja humo , mikoa mingi havipo , vingi ulivovisema vinapatika Sana Sana dar, Arusha na mwanza tu labda dodoma baadhi
Kigoma ina wasanii maarufu nchini wenye uwezo Mkubwa kifedha wanaweza kuja wekeza nyumbani hususani kwenye mapungufu uliyoyaona. Charity begins at home
Safi sana hiyo itawasaidia watu kujua fursa , naomba piga hivo mikoa yote , kujua nini hakipo..
Nyumban kwangu🔥🔥🔥
Ooh okay
We umetuleta hii makala kukebehi mkoa wa kigoma au dhumuni lako ni lipi hasa, au umekuja kwa ajili ya kuelimisha jamii!! Sijakulewa bado, na unahisi kukosekana kwa chuo kikuu mkoa wa kigoma ni nani alaumiwe au nani aambiwe raia wa kigoma au viongozi wa serikali?
Ni ukiritimba tu lkn kigoma iliyakiwa kua na kila kitu hata uwanja mkubwa wa ndege hapo ni mpakani hakukutakiwa kukosekana hivyo. Bandari inayopakana na nchi 3. Roho mbaya za watu.
Ahsante sana kwa video hii yenye logic
This is so Educational.
NIPA ZURI SANA, UMETAJA SITA YA SABA NI VIWANDA HAKUNA. JAPO HAVIPO BADO NITAUPENDA MKOA WANGU.
Mkoa mzuri, tena clean ! Mama Samia atawapa tuzo ya usafi! 🤣🤣🤣 Mmetaja viwanda, nami nitaongezea fursa zingine ambazo hazipo: Ya 8 ni AIRPORT ya kimataifa (kama ile ya Mwanza inayojengwa leo). Ya 9 ni SOKO la kisasa. Ya 10 ni Chuo cha VETA. Ya 12 ni HOSPITALI ya KANDA (Kama ile ya Bugando au ile itakayojengwa Chato). Ya 13 ni RELI (sgr) na STATION kubwa ya KISASA... (Kigoma is a strategic zone (Brdi, Congo, Rda)>>>>>>> Mkoa huu una historia kubwa, ila umesahaulika kwa muda mrefu sasa!
ukwel mtupu uko fact kabisa
Showroom ipo bn mji mwema pale ya mzee mmja anaitwa mtei
Kigoma ifutwe tu 😂😂😂😂
Mmewatangazia sunsets hotel bure
Mkoa wa kigoma ulianza mwaka gani
Home swt home
Ni kweli kabisaaaa
From Burundi in Cape Town sawa
mbona ka wafananisha na Dar
Mengine hata Iringa hatuna
Wow, very strange, nilishawai kufika Kigoma, sikua najua kama hakuna choo kijuu, mji strategic kama Kigoma unakosa iyo huduma - Eh serekali inabidi itizame ilo jambo
Uchumi mdogo Kigoma vyote vilivyotajwa kwenye list havina tija/maslahi huko so haviwezi kulipa kibiashara. Hapo labda serikali ijenge chuo ila sio mtu binafsi lazima upate hasara takatifu. Nonetheless ni mkoa wenye potential. Natoka Kigoma by the way.
Well explained 👏 👌 👍 🙌 😀 ☺️
My home
Uongo mtupu
Unabisha nini ? Tembeya ufanye utafiti
Naskia pia hakuna watu weupe ni kweli ??
🤣🤣🤣
Yaah huko mawese tu watu weupe watoke wapi?
Muulize Zitto Kabwe! 😀😀🤣🤣
🤣🤣
Kwaiyo ndo mtutangaze?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tumekwishaaa
Lkn si wanafuraha wenyw
Kuna mini supermarkets
Kigoma was part of burundi before white colonial come. kiha and kirundi has same accent
Sasa shada ipo wapi,
Kuna wahaya kagera pia uganda
Kuna masai arusha pia kenya
Kuna makonde mtwara pia Mozambique
Kuna wanyasa ruvuma pia malawi
Tanya ivo kwa mkoa wa morogoro
Ila saafiii tu c tunajivunia Ivo Ivo
Sio kweli chuo kikuu kipo
Kwanza Selikar haina sapoti ya mkoa wetu umeutenga kabisa
Sasa Lindi ata ivyo vilivyopo kigoma havipo
😁😁😁
ALI KIBA NA DIAMOND njooni huku musikilize hii habari🏃🏃🏃.
Umemsahau Christina Shusho!
Mme kosa vua kusema
🙌
Cinema _ #HomeTheter
Supermarket na choose kikuu havimo pia shinyanga na simiyu mikoa yenye zahabu na aliasing! Kwanini?
Hata Geita region iliyo na mgodi wa dhahabu nyingi sana toka mwaka 1898 haina chuo kikuu au maghorofa marefu. Kwanini
Mimi niko huku ulaya nilikuwa ninampango wakureta biashara ya magari madogo madogo
Leta magar
Vyote hivyo sioni kma vina tija
Tatzo kubwa mkoa wa kigoma Ni changa moto ya ajira hasa za viwandani maana vijana wote kigoma hatuna ajira zaidi ya kilimo Cha jimbe la mkono
Ni ajira pia
Tafuta neno zuri kuwasilisha unachomaanisha sidhani kama ni sahihi supermarket kuita kitu, chuo Kikuu, showroom nk ukiwa mwana habari ni sehemu ya mwalimu kuelimisha jamii, pls
Ulitaka haitaje? alitaka haite mtu au; Waha bwana wabishi Kweli 😁😁😁
Benjamin yuko sahihi... Journalist, unaweza kutumia neno "FURSA" (au fursa za kibiashara)
@@selemanmaganga6013 naamini hujanielewa kabisa, kwanza hujui Kiswahili hakuna neno HAITEJE wala HAITEJE, pili mimi sio Muha, tatu bora angetumia neno HUDUMA neno VITU SITA ..................., sio mahali pake - afuatilie kwa faida yake na kuuliza si ujinga
Wee pimbi golofa zipo hadi rosha nane
Samahani kwa hiyo comment nisahihi kwa yote yaliyozungumzwa
Cinema zpo ujafanya uchunguz wewe sema n dogo mwanga
Waziri wa Elimu makamu wa Rais wote wanatoka huko,kwanini hawawatendei haki?
Tutamkumbuka JPM maana alituonyesha mfano Chato! Amebadili kwao katika dakika chache tu!
Show room ipo
Mme kosa taarifa
Kuna mikoa mingi tu hakuna hivyo vitu y kigoma mnakosa weredi
Kigoma ni Burundi sema tuli wazulumu.😁ukweli ndio huu kata kubali ndio hivyo 🏃♀️
Tupe ushahidi
Burundi yenyewe ilikuwa ni sehemu tanganyika wazungu ndio waliotenganisha
@@madetetv6576 njoo
Kigoma ni wachawi ndio maana AkunA vyuo vikuu
Uchawi ni mali pia ukitumika kwa busara karibu kigoma
Ulete supermarket huku umuuzie nani wakati kilakitu sokomalungu kipo,
Aswaaaa
Aswaaa inabidi aelewe huyo mwandishi kuwa sisi kigoma tunakula vitu asilia, Nani aende kununua samaki supermarket sh 10000 wakati nikteremka hapo chini ziwan nakija na samaki wakutosha wa buku mbili, nachenchi inarudi
Kwahyo unadhani super marketing sawa na local market?ndio maana bado mko gizani mnahitaji mwanga
@@elinamilyatuu7337 huo mwanga hatuutaki bakini nao nyie mlioko mjini,tuna supermarket yetu,inakila kitu hakuna kitu utakosa humo
Axante
Ila wana uchawi usisahau
😀🙆♀️Hawazidi Tanga, Lindi, Sumbawanga (Rukwa), nk...🚴♂️🚴♂️🚴♂️ Yaani, uchawi unanuka kila mahali 🤦♂️ Tumrudie Mwenyezi Mungu, jamaani!🙏🏽🙏🏽🤲🤲
Uko n kelele2 ndy wanajua najungupia