VITU SITA AMBAVYO HAKUNA KIGOMA "SUPERMARKET, SHOWROOMS, CHUO KIKUU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 88

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 2 года назад +7

    Nashukuru sana kwa taarifa hii,maana ni upendo wa ajabu kwa wanakigoma maana umefungua milango ya fursa ili wenye uwezo wawekeze,ingawa katika vitu hivo mikoa mingi hakuna Kama singida,kagera nk ila kwakua umeiona kgm naomba mambo haya yafike ikulu hasa UNIVERSITY

  • @lelkaya7912
    @lelkaya7912 2 года назад +7

    Mimi ni mkongomani ambaye nilizowea kutembelea Kigoma sana, na nafurahi kuona video nzuri ya drone footage ya Kigoma. HASANTE Millard Ayo. Tungependelea kuona mitaa jinsi imebadilika kama Mji mwema Kilima Hewa, Mwanga, Ujiji, . . .

    • @sebastianalbert2857
      @sebastianalbert2857 Год назад +1

      Mimi ni mzaliwa wa Dodoma ila kigoma nimeishi sana maeneo ya kilima hewa nilikupenda sana kigoma

    • @francismadoshi8529
      @francismadoshi8529 Год назад

      Mkoa wa Mwanza hauna University ya serikali. Ile iliyopo imejenggwa na wamisionary! Lini serikali itajenga chuo kikuu kama UCD au UDOM?

  • @mussajuma7119
    @mussajuma7119 Год назад +1

    Kiuhalisia kigoma Ina badilika kigoma ya mwaka 2000 ni tofauti na ya mwaka 2023

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 2 года назад +3

    MUNGU atusaidie turudi nyumbani kumenoga waha wenzangu njooni KIGOMA muwekeze😭😭

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 2 года назад +5

    Mikoa mingine haina Ziwa wala bandari kama Kigoma. Kila Mkoa una Chuo Kikuu Huria. Hata Kigoma kipo!

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz Год назад +1

    Tanzania Dar Esalam mzuri Sana 💝💞💝💞💝

  • @ndimuligobikingwe8562
    @ndimuligobikingwe8562 2 года назад +2

    Good nimeipenda Sana Ila kunavitu vingine ulivovitaja humo , mikoa mingi havipo , vingi ulivovisema vinapatika Sana Sana dar, Arusha na mwanza tu labda dodoma baadhi

  • @gracejulius3966
    @gracejulius3966 2 года назад +3

    Kigoma ina wasanii maarufu nchini wenye uwezo Mkubwa kifedha wanaweza kuja wekeza nyumbani hususani kwenye mapungufu uliyoyaona. Charity begins at home

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад +3

    Safi sana hiyo itawasaidia watu kujua fursa , naomba piga hivo mikoa yote , kujua nini hakipo..

  • @yasiniamri5458
    @yasiniamri5458 2 года назад +2

    Nyumban kwangu🔥🔥🔥

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo 3 месяца назад

    Ooh okay

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 Месяц назад

    We umetuleta hii makala kukebehi mkoa wa kigoma au dhumuni lako ni lipi hasa, au umekuja kwa ajili ya kuelimisha jamii!! Sijakulewa bado, na unahisi kukosekana kwa chuo kikuu mkoa wa kigoma ni nani alaumiwe au nani aambiwe raia wa kigoma au viongozi wa serikali?

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 2 года назад +2

    Ni ukiritimba tu lkn kigoma iliyakiwa kua na kila kitu hata uwanja mkubwa wa ndege hapo ni mpakani hakukutakiwa kukosekana hivyo. Bandari inayopakana na nchi 3. Roho mbaya za watu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Ahsante sana kwa video hii yenye logic

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 2 года назад

    This is so Educational.

  • @HARMONITZ
    @HARMONITZ 2 года назад +4

    NIPA ZURI SANA, UMETAJA SITA YA SABA NI VIWANDA HAKUNA. JAPO HAVIPO BADO NITAUPENDA MKOA WANGU.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад +1

      Mkoa mzuri, tena clean ! Mama Samia atawapa tuzo ya usafi! 🤣🤣🤣 Mmetaja viwanda, nami nitaongezea fursa zingine ambazo hazipo: Ya 8 ni AIRPORT ya kimataifa (kama ile ya Mwanza inayojengwa leo). Ya 9 ni SOKO la kisasa. Ya 10 ni Chuo cha VETA. Ya 12 ni HOSPITALI ya KANDA (Kama ile ya Bugando au ile itakayojengwa Chato). Ya 13 ni RELI (sgr) na STATION kubwa ya KISASA... (Kigoma is a strategic zone (Brdi, Congo, Rda)>>>>>>> Mkoa huu una historia kubwa, ila umesahaulika kwa muda mrefu sasa!

    • @bundende
      @bundende 2 года назад

      ukwel mtupu uko fact kabisa

  • @andrewmachage9102
    @andrewmachage9102 2 года назад +3

    Showroom ipo bn mji mwema pale ya mzee mmja anaitwa mtei

  • @vincosmeticsmarvin
    @vincosmeticsmarvin Год назад +1

    Kigoma ifutwe tu 😂😂😂😂

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 года назад +1

    Mmewatangazia sunsets hotel bure

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye Год назад +1

    Mkoa wa kigoma ulianza mwaka gani

  • @micky7626
    @micky7626 2 года назад +1

    Home swt home

  • @selemanishabani6843
    @selemanishabani6843 2 года назад +1

    Ni kweli kabisaaaa

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 Год назад

    From Burundi in Cape Town sawa

  • @davidntahindwa752
    @davidntahindwa752 8 месяцев назад +1

    mbona ka wafananisha na Dar

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 года назад +1

    Mengine hata Iringa hatuna

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero9958 2 года назад

    Wow, very strange, nilishawai kufika Kigoma, sikua najua kama hakuna choo kijuu, mji strategic kama Kigoma unakosa iyo huduma - Eh serekali inabidi itizame ilo jambo

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 2 года назад +1

    Uchumi mdogo Kigoma vyote vilivyotajwa kwenye list havina tija/maslahi huko so haviwezi kulipa kibiashara. Hapo labda serikali ijenge chuo ila sio mtu binafsi lazima upate hasara takatifu. Nonetheless ni mkoa wenye potential. Natoka Kigoma by the way.

    • @hamidahamidu16
      @hamidahamidu16 2 года назад

      Well explained 👏 👌 👍 🙌 😀 ☺️

  • @gejoboyofficialtz8961
    @gejoboyofficialtz8961 Год назад

    My home

  • @bilalijuma527
    @bilalijuma527 7 месяцев назад +1

    Uongo mtupu

    • @BadoMartense
      @BadoMartense 6 месяцев назад

      Unabisha nini ? Tembeya ufanye utafiti

  • @issabinmaryam7450
    @issabinmaryam7450 2 года назад +4

    Naskia pia hakuna watu weupe ni kweli ??

  • @donaldelias6689
    @donaldelias6689 2 года назад +1

    Kwaiyo ndo mtutangaze?

    • @boazgwanko7254
      @boazgwanko7254 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tumekwishaaa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Lkn si wanafuraha wenyw

  • @alexjos7625
    @alexjos7625 Год назад

    Kuna mini supermarkets

  • @patrickntwali2435
    @patrickntwali2435 2 года назад +1

    Kigoma was part of burundi before white colonial come. kiha and kirundi has same accent

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 Год назад +1

      Sasa shada ipo wapi,
      Kuna wahaya kagera pia uganda
      Kuna masai arusha pia kenya
      Kuna makonde mtwara pia Mozambique
      Kuna wanyasa ruvuma pia malawi

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 года назад

    Tanya ivo kwa mkoa wa morogoro

  • @Nurukasulu
    @Nurukasulu 2 года назад +1

    Ila saafiii tu c tunajivunia Ivo Ivo

  • @Dottopeche
    @Dottopeche 2 года назад

    Sio kweli chuo kikuu kipo

  • @ImmanuelRenatus
    @ImmanuelRenatus Год назад

    Kwanza Selikar haina sapoti ya mkoa wetu umeutenga kabisa

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 2 года назад +1

    Sasa Lindi ata ivyo vilivyopo kigoma havipo

  • @jambo3751
    @jambo3751 2 года назад +1

    ALI KIBA NA DIAMOND njooni huku musikilize hii habari🏃🏃🏃.

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 2 года назад

    Mme kosa vua kusema

  • @musamunyota5645
    @musamunyota5645 2 года назад

    🙌

  • @hansmedia9767
    @hansmedia9767 2 года назад

    Cinema _ #HomeTheter

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Год назад +1

    Supermarket na choose kikuu havimo pia shinyanga na simiyu mikoa yenye zahabu na aliasing! Kwanini?
    Hata Geita region iliyo na mgodi wa dhahabu nyingi sana toka mwaka 1898 haina chuo kikuu au maghorofa marefu. Kwanini

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 2 года назад

    Mimi niko huku ulaya nilikuwa ninampango wakureta biashara ya magari madogo madogo

  • @novatusyohana9349
    @novatusyohana9349 2 года назад

    Vyote hivyo sioni kma vina tija
    Tatzo kubwa mkoa wa kigoma Ni changa moto ya ajira hasa za viwandani maana vijana wote kigoma hatuna ajira zaidi ya kilimo Cha jimbe la mkono

  • @benjaminmshana9294
    @benjaminmshana9294 2 года назад

    Tafuta neno zuri kuwasilisha unachomaanisha sidhani kama ni sahihi supermarket kuita kitu, chuo Kikuu, showroom nk ukiwa mwana habari ni sehemu ya mwalimu kuelimisha jamii, pls

    • @selemanmaganga6013
      @selemanmaganga6013 2 года назад

      Ulitaka haitaje? alitaka haite mtu au; Waha bwana wabishi Kweli 😁😁😁

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      Benjamin yuko sahihi... Journalist, unaweza kutumia neno "FURSA" (au fursa za kibiashara)

    • @benjaminmshana9294
      @benjaminmshana9294 2 года назад +1

      @@selemanmaganga6013 naamini hujanielewa kabisa, kwanza hujui Kiswahili hakuna neno HAITEJE wala HAITEJE, pili mimi sio Muha, tatu bora angetumia neno HUDUMA neno VITU SITA ..................., sio mahali pake - afuatilie kwa faida yake na kuuliza si ujinga

  • @nasorobangara2924
    @nasorobangara2924 2 года назад

    Wee pimbi golofa zipo hadi rosha nane

  • @Dottopeche
    @Dottopeche 2 года назад

    Samahani kwa hiyo comment nisahihi kwa yote yaliyozungumzwa

  • @morombotv
    @morombotv 2 года назад

    Cinema zpo ujafanya uchunguz wewe sema n dogo mwanga

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 2 года назад

    Waziri wa Elimu makamu wa Rais wote wanatoka huko,kwanini hawawatendei haki?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      Tutamkumbuka JPM maana alituonyesha mfano Chato! Amebadili kwao katika dakika chache tu!

  • @desmond-87
    @desmond-87 2 года назад +1

    Show room ipo

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 2 года назад +1

    Mme kosa taarifa
    Kuna mikoa mingi tu hakuna hivyo vitu y kigoma mnakosa weredi

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 2 года назад +1

    Kigoma ni Burundi sema tuli wazulumu.😁ukweli ndio huu kata kubali ndio hivyo 🏃‍♀️

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 года назад

      Tupe ushahidi

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Burundi yenyewe ilikuwa ni sehemu tanganyika wazungu ndio waliotenganisha

    • @sidrasidra8616
      @sidrasidra8616 2 года назад

      @@madetetv6576 njoo

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 2 года назад

    Kigoma ni wachawi ndio maana AkunA vyuo vikuu

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 Год назад

      Uchawi ni mali pia ukitumika kwa busara karibu kigoma

  • @bigboys016
    @bigboys016 2 года назад +3

    Ulete supermarket huku umuuzie nani wakati kilakitu sokomalungu kipo,

    • @amelinamwaduga9724
      @amelinamwaduga9724 2 года назад

      Aswaaaa

    • @ndimuligobikingwe8562
      @ndimuligobikingwe8562 2 года назад

      Aswaaa inabidi aelewe huyo mwandishi kuwa sisi kigoma tunakula vitu asilia, Nani aende kununua samaki supermarket sh 10000 wakati nikteremka hapo chini ziwan nakija na samaki wakutosha wa buku mbili, nachenchi inarudi

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 2 года назад

      Kwahyo unadhani super marketing sawa na local market?ndio maana bado mko gizani mnahitaji mwanga

    • @bigboys016
      @bigboys016 4 дня назад

      ​@@elinamilyatuu7337 huo mwanga hatuutaki bakini nao nyie mlioko mjini,tuna supermarket yetu,inakila kitu hakuna kitu utakosa humo

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 2 года назад

    Axante

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 2 года назад

    Ila wana uchawi usisahau

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад +1

      😀🙆‍♀️Hawazidi Tanga, Lindi, Sumbawanga (Rukwa), nk...🚴‍♂️🚴‍♂️🚴‍♂️ Yaani, uchawi unanuka kila mahali 🤦‍♂️ Tumrudie Mwenyezi Mungu, jamaani!🙏🏽🙏🏽🤲🤲

  • @chumbulajames9895
    @chumbulajames9895 2 года назад

    Uko n kelele2 ndy wanajua najungupia