Alianza na MTAJI wa simu na ELFU 20 tu, sasa anamiliki duka la vyombo KARIAKOO la zaidi ya MIL. 50

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Follow Account ya Instagram ya Boma Kitchen Ware hapa
    / boma_kitcheni_ware

Комментарии • 115

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 3 года назад +16

    Nimejifunza kitu kikubwa Sana aisee! Hebu tuletee watu wengine kama hawa sio kuleta udaku wa mapenzi! Mapenzi tu! Big up brother!

    • @frezamapunda4273
      @frezamapunda4273 3 года назад

      Nimejifunza mambo meng sana iseee naomba niunganishe nae nijifunze zaid

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 3 года назад +19

    Ukiwa na mwanamke supportive kama wa huyu Jamaa ndoa inakuwa tamu sana...

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar 3 года назад +8

    Interview nzuri , ninejifunza mengi hapa leo

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +12

    Sns ni channel nzurisana.kweli mwanamke anasaidia sana Mimi kipindi nipo pekee yangu hela sijui hata zilikuwa zinaenda wapi unapata milioni lakini nikitoka out siku 2 tu Sina hata Mia. Sasa nimeoa miezi miwili akili imenikaa naweka akiba, KIWANJA kimenunulika, hiace ya kuingiza hela ya CHAKULA.

    • @husseinmrisho8980
      @husseinmrisho8980 3 года назад

      Tusaidiane vjana na izo fursa
      Plz🙏

    • @cadhimberec1286
      @cadhimberec1286 3 года назад +1

      Umepata mke mwema kuna wanawake majambazi wakiona hela wanachanganyikiwa??

    • @salamagat4784
      @salamagat4784 3 года назад

      @@cadhimberec1286 ww jamani

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 3 года назад

      Hahahaaa

    • @tedymwandara5480
      @tedymwandara5480 3 года назад +2

      Watu wengi sana wanafikiri kua peke Yao ndio watafanikiwa sana kumbe ni kupoteza muda bure.Umoja ni kitu kizuri hata Mwenyezi Mungu anafanya kazi ktk utatu mtakatifu.Vijana msiogope kuoa.Usioe mwanamke sababu ya uziri wake.Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na anapenda mafanikio.

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel5727 3 года назад +9

    Brother muite na Sirjeff Dennis

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 2 года назад +1

    Nina mtaji nilikuwa nawaza ishu ya kuuza vyombo, i got something here. Thanks Bro

  • @advocatekarama4917
    @advocatekarama4917 3 года назад +5

    Nimeipenda hii interview, God bless you all 🙏🥂

  • @asiasabua2346
    @asiasabua2346 Год назад +1

    Mashaallah nimependa kaka kumsifia mwanamkewake wachache wenyekupata wakajuwa sapotizaweziwao upo vizur kaka

  • @renatuskweyamba6460
    @renatuskweyamba6460 3 года назад +1

    Yaani nimejifunza kitu kikubwa sana.. Mungu akubariki hata mb zangu hazikwenda bure.. Bless bless bless much.

  • @saumurashid5232
    @saumurashid5232 3 года назад +2

    👌 mashaallah ♥️nimejifunza kitu hapa 🌟🌟

  • @zakstv7368
    @zakstv7368 3 года назад +3

    Sky umenifurahisha sana leo umetuletea kitu tunapenda

  • @Kulimagolddrc
    @Kulimagolddrc 3 года назад

    When I started following this interview I thought that you deliver even overseas but not, we miss those products in Australia many thanks

  • @lizzyjulie1604
    @lizzyjulie1604 3 года назад +1

    Great interview, huyo anaongea ukweli kabisa. Kitu kilichomsaisia kujenga uaminifu kwa wateja wake mwanzo ni kukubali kufikisha mzigo kwanza kwa mteja ndipo alipwe kitu ambacho wauzaji wengi wa online hawafanyi

    • @muhammehusna3384
      @muhammehusna3384 2 года назад

      Hakika uaminiifu ndio mafanikio y mfany biashaara

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 4 месяца назад

    Kaka awezekani Mimi myaka18 kwenye gem lakini Bado kutoboa nasijawai kuishi maisha yanasa

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 3 года назад +1

    Aaaa classmate big up sana Fr Jbmligo hapaa!

  • @harriethkisese3945
    @harriethkisese3945 3 года назад +1

    Hapo kwenye kusapot account ndio mtihani na ndio maana wengi tunajaribu biashara kwenye mitandao na tunashindwa kumbe kuna kusaport acoustic jamani...

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 года назад

    Thanks Sns nimejifunza kitu ❤🇹🇿🇨🇭

  • @cciddccudd2845
    @cciddccudd2845 3 года назад +1

    Kwahiyo....mwaka na miezi mi4=16 months....50,000,000÷16=3,125,000/=.....bila ya kuwa na duka wala nn!!!Mungu tupe maarifa

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад

    Hongera sana kwa upambanaji
    Mungu Azidi kukubariki

  • @aminakupila3079
    @aminakupila3079 3 года назад

    Thank you 🙏 Kaka Sky tumejifunza.

  • @izzynevin3443
    @izzynevin3443 2 года назад +1

    The best enterview ever seen

  • @arestiusbanks7182
    @arestiusbanks7182 3 года назад +1

    Brother umetema nondo sana be blessed

  • @mwajumatwalib260
    @mwajumatwalib260 3 года назад

    Brother shukran Sana nimejifunza kitu kupitia wewe ongera Sana

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 3 года назад +5

    MWAKANI NAMIMI NIITE

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 3 года назад

    Shukran sns

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 3 года назад

    Mashaa'Allah jaman mm mbona nimependa hlo somo

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile9606 3 года назад

    Expose those clowns Sky, hao wa marketing networks na online businesses ambao sio waamifinifu uokoe kizazi cha wengi wasio kuwa na uelewa. It might help a lot bro. Shout out to Mapunda for sure he's deserves to prosper also big up to madam on his side, God bless their hustles with you too guys hapo mjengoni SNS. Love!

  • @nikhatkhan8362
    @nikhatkhan8362 3 года назад

    Allah amjalie ndugu yetu

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 3 года назад +1

    Huyu kaka kaongea point mno...kubadili marafiki

  • @shanitito6470
    @shanitito6470 2 года назад +1

    Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?

  • @owlbig
    @owlbig 3 года назад +1

    Thx a lot boss

  • @aminamrisho3620
    @aminamrisho3620 3 года назад

    Good interview hapana najifunza kitu safi bro

  • @kizakadafi4649
    @kizakadafi4649 Год назад

    Uyu brother ni level ingine

  • @daktarij381
    @daktarij381 3 года назад +2

    very educative interview,,,big up sky

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 года назад +1

    Kuheshimu waminifu imani bidii kazi usikate tamaaa ni kweli kabisa unachosema la kweli kabisa watu wafiri kupewa pesa bdio dili lakini dill la kweli mtu kupa njia kuambia kuhusu maendeleo ubarikiwe zaidi

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa7513 3 года назад

    Mashaallah nimeipenda sana🇹🇿🇴🇲

  • @bestmedia_tz
    @bestmedia_tz 3 года назад +1

    Life is war Big up sana Kaka

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 3 года назад

    Asante nimefurahi sana

  • @willymfilima9936
    @willymfilima9936 3 года назад

    Umetisha bro,uko smart sana

  • @verynicethifilmnuur1alrahb887
    @verynicethifilmnuur1alrahb887 3 года назад

    Mashaallah hakika iko vzr

  • @phinerjulius8487
    @phinerjulius8487 2 года назад

    Asante sn kaka

  • @donaldkawacha9875
    @donaldkawacha9875 3 года назад

    Ubarikiwe kaka

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed3765 3 года назад

    Ma sha allah

  • @lenatawinchilaus7688
    @lenatawinchilaus7688 3 года назад

    Nimependa sana historia yake

  • @keviombni3289
    @keviombni3289 Год назад +1

    kaka xhikamo samahani Sana kaka nakuomba namba ya simu

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Год назад

    Sky embu nisaidie jina la duka la huyu mentor

  • @samangupatrick9960
    @samangupatrick9960 3 года назад +1

    Wanawake mjifunze hapo na siyo kusema tuma na yakutolea

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 3 года назад

    Nice interview 👌 bless on bless

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 3 года назад

    Facts indeed big up

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +1

    Nimependa

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 3 года назад

      jamani tupo wengi sanaa tuliepambana.mm nipo Dodoma.namba yangu hiyo.0717130010.nipigieni.na mm nitakuja.nimjasiliamali pia

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 3 года назад

    Thanx🙏

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 года назад

    Kweli kbs

  • @shadrickmbamba4521
    @shadrickmbamba4521 2 года назад

    Kitu kilicho nifurahisha amemtaja jamaa nilie soma nae Shule moja Meta Secondary High school nimekaa nae bweni Room moja kwajina la utani tulimwita mseminary jina lake Jeovin

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 2 года назад

    Namba za duka plz, nahitaji kuagiza mzigo, nipo Dodoma.

  • @nahengadesempy8555
    @nahengadesempy8555 3 года назад

    Sky bonge moja la mtangazaji

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 3 года назад +1

    Mashaallah

    • @shanitito6470
      @shanitito6470 2 года назад

      Nataman sana niganye biashala na ww kaka lakini niko mkoani na mm naifanya nitawezaje kukupata

  • @queenbhanji7223
    @queenbhanji7223 3 года назад +1

    Mm nshakutan na mtu mmoja hv nilipenda bidhaa yake akatak ntume pesa fasta yaan ulikuwa ucku lkn nkatuma cku ya pili akantumia mzigo wang lkn alituma mzigo nusu huo ulobak mpaka leo hii tunasumbuana2 kweny cmu had naogop kuorder bidhaa online

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 3 года назад +4

    Shetani mbaya sana nimefika apo kwenye vyombo vya million tatu si sim ikazima bhana... Kweli kwenye njia ya mafanikio kuna changamoto nyingi

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  3 года назад

      ha ha ha!

    • @aminajuma1435
      @aminajuma1435 3 года назад

      Mkaka mpole 😂😂😂 umesababisha nimecheka kijingasana hahahahaha

    • @mkakampole7802
      @mkakampole7802 3 года назад

      @@SimuliziNaSauti hahahah!! sio poa kaka sky nusu nizimie yani.

    • @mkakampole7802
      @mkakampole7802 3 года назад

      @@aminajuma1435 😂😂 ilibaki kidogo nilie et...

    • @fatinasudi3806
      @fatinasudi3806 3 года назад

      Hahahahaha

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 года назад +1

    "NDIVYO ILIVYO...SHIDA UZALISHA FURSA"

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 3 года назад +1

    Huwezi kuhifadhi pesa bank alafu, ukawa unafanya saving, awa watu wanao fanyiwaga interview kuna vitu huwa hawasemi ,hawafunguki ukweli, kuna mmmoja umu juzi apa kaijiwa akasema alianza na laki tatu na ana biashara kubwa sana ,

    • @isamaboe3495
      @isamaboe3495 3 года назад

      Naomba unifafanulie

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 3 года назад

      Kidogo kidogo hujaza kibaba

    • @isamaboe3495
      @isamaboe3495 3 года назад

      Kwahy ni vyema kuhifadhi kawaida t Na sio kweny bank au una maana gan mkuu

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 3 года назад

    Mnambilie nataka machine 2 za juis niko Igunga

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +3

    Tuletee watu kama hawa wengi

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi6345 3 года назад

    Wanawake mjifunzekituhapo siyo unakuwa Mwanaume akipata mzigo unaanza kupigamzinga nakujenga kwenu.hiyosiyopoa

  • @عبداللهالعازمي-ع3ش
    @عبداللهالعازمي-ع3ش 3 года назад

    Naitaji namba yake nije nifate vyombo

  • @esterjimmy7573
    @esterjimmy7573 3 года назад

    Nimejifunza mengi hasa katika utafutaji

  • @mrmhando9819
    @mrmhando9819 3 года назад

    Naomba namba bro

  • @jamesimsokwa5867
    @jamesimsokwa5867 2 года назад

    Jamaa yuko poa sana

  • @LuganoSteven
    @LuganoSteven 9 месяцев назад

    ahahaha imenifurahisha history Yako nashangaa unasimulia history ambayo mlie toroka Naye alikua akitusimulia tulikaa bweni pamoja room Moja tukiwa nae META SECONDARY mbeya pale

  • @Hustlingqueen254
    @Hustlingqueen254 3 года назад +1

    Nimewahi Leo🥰🥰🥰

  • @khadijahajji716
    @khadijahajji716 3 года назад

    Kama una namba ,za huyu jamaa nipe maan nafanya kitu kama hichi

  • @amzamrid3571
    @amzamrid3571 3 года назад

    Tutajifunza mengi

  • @chamomedia920
    @chamomedia920 3 года назад

    Alitumia muda gani hadi kufungua duka

  • @kathyrinesimbeye4449
    @kathyrinesimbeye4449 3 года назад

    Mmh xijaelewa hapo kweny kusponsor account ya Instagram

    • @haskao77
      @haskao77 3 года назад +1

      I think he meant promoting, (kuitangaza page/biashara)

    • @kathyrinesimbeye4449
      @kathyrinesimbeye4449 3 года назад

      @@haskao77 unaitangazaje Sasa kupitia account ya bank???

    • @haskao77
      @haskao77 3 года назад +3

      @@kathyrinesimbeye4449 kama unatumia Instagram ujue kuna account aina mbili. Kuna personal na business account. Kama account yako umeiset kama business account kila ukipost picha inakupa option ya kuipromote hiyo picha na hiyo promotion inalipiwa kwa kutumia bank card (credit au debit card) na kama ilivyokawaida kupata kadi lazima uwe na account benki. Hopefully umenielewa.

    • @samsungj7pro64gb5
      @samsungj7pro64gb5 3 года назад

      @@haskao77mh kwakweri inatakiwa upate mafunzo hasaa

  • @hopeobeth9806
    @hopeobeth9806 3 года назад +1

    Mwakani na Mimi niite jamanii

  • @robertsalu6551
    @robertsalu6551 3 года назад

    Muite na Jeff Bezos

  • @advocatekarama4917
    @advocatekarama4917 3 года назад +1

    SAUT 🥂🥂

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 3 года назад

    ruclips.net/video/X7ONvSSKZLs/видео.html
    👆👆👆👆👆👆👆
    Kama ni muoga usifungue hii video 😨Tazama Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😨

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 3 года назад

    Ina maana hukua na bank accounts

    • @geofreykatangamoyo6806
      @geofreykatangamoyo6806 Год назад

      Apo nilijiuliza sanaa ila nikabaki najibu la labda account yake haikuwa na pesa labda hivyo.

  • @shanitito6470
    @shanitito6470 2 года назад

    Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?

  • @khadijakassim730
    @khadijakassim730 3 года назад

    Mashaallah

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 3 года назад

    Yaan nimejifunza kitu kikubwa sana asante kaka sky kwa kutuletea watu kama hawa

  • @janejohn4704
    @janejohn4704 2 года назад

    Kaka nipe namba yako

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 3 года назад

    We jamaa unanikumbusha walimu wa biashara walahi tunazingua.

    • @khadijahajji716
      @khadijahajji716 3 года назад

      Commerce .bookiping ,enterprenuership ,haaaa hatari

  • @tynercolin5060
    @tynercolin5060 3 года назад

    Wooow