THE CLASSIC MR NICE PT 1 : NILISHIKA HELA KABLA YA WATOTO/NLITAKA HELA SIO SIFA/ZAID MIAKA27 YA GAME
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Mr Nice ni jina lililotikisa anga za muziki katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kati ,ni msanii ambaye sifa zake na mapato yake yameweka rekodi hadi sasa katika historia ya Bongo fleva licha ya muziki wake kuzngukwa na migogoro ya hapa na pale wakati huu,hii ni sehemu ya kwanza ya mazungumzo yetu ndani ya The Classic akiwa na Jabir Saleh
16:23 asante kwa kunipa maua yangu Mr. Nice.
Nmefurahi sana kumskia nice akisema hata mtoto wa darasa la pili awe anaweza akaskia na akaelewa, kipindi Cha kikulacho ndio nilikuwa darasa la pili na nyimbo ya kikulacho ilikuwa favourite yangu, Kila ikipigwa kwenye redio mamangu, mashangazi zangu na wajomba zangu lazima waniite ata nikiwa mbali nacheza na watoto wenzangu, "Njooo nyimbo yako inachezwa huku" mi ndio nanyanyuka mbio kuisikiliza Kwa furaha sana. Inanikumbusha mbali kiasi, enzi izo nikiwa darasa la pili sai nishapiga Diploma yangu nataka kuenda degree, Mr Nice Salute....
😂😂😂 Unacha hadi kucheza 🙌🏼
Kwa kweli nyimbo za Mr. Nice zilikiwa zinaweza aikilizwa na watu wote nikimaanisha ht watoto pasipo kupotosha watoto. Congrat's Mr. Nice
N memiss nyimbo zake jamani mr nice❤🎉
Kwa sasa akuna kipindi Bora Cha weekend kama hiki Cha the classic.... congratulations kuvi chaka !!!...salute kwa efm Kwa kukupa platform hii jizzo blessings kwakee🏁🏁🏁🏁🙏💪
Friday night naipenda Sana iyo nyimbo
Brother yani we travel in the time through kipindi hikii ..keep going and God bless you for keeping legends alive...big up sana ..love from Rwanda..
One love
Kiwengwa Beach napajua vizuri sana
natamani Mr nice hafanye remix Ile nyimbo ya mama na harmonize itakaa poa Sana
safi sana mkuu nimemuona Mr Nice nimefurahi
nafurahi sana mrnice kukusikiatena
Mshukuru sana Jonas Mkenda !
Allah akutangulie br kuvi chaka
Mr nice alikua poa
Mziki wako umetukuza brothr, mziki wa kiungwana sana. uliimba bila kutia tusi mr nice unastahili kupongezwa sana.
Hakika
Jamaa Angekuwa Ni Mzungu Now Tungekuwa Tunasikiliza Interview Ya Billionaire #RespectLegend✌
Hamna wazungu walofilisika ?
@@fahadfaraj6474 naa ww hiyo neno kufilisika umelitolea wapi ...!!? mbn m sikutaja hilo neno
Ilitangazwa wapi amefikisika au alijitangaza mwenyewe
@@edwardpeter8569 ni nani amesema amefilisika
Mpunguze back ground music mnatesa maskio yetu
Brother Mr Nice
Interview nzuri sana,natamani sana siku moja na Mimi NIFANYE interview hapo EFM
1994 tukiwa Kisangiro Moshi Marangu Kilema wakati Mwanamzi Ghato kutoka Congo anatamba na Ngoma yake ya Azalaki awa Mr Nice ntamwita hivyo Sema Kuna jina lake la skonga huyu Ndugu akiwa na zile Double deck Panasonic radio alikuwa anapiga show zakwenda Mgombani Babu kubwa ukatoboa kweli Sema Kipaji chako Cha uchoraji Mzee mwenyewe Nakupa salute zako ubora wa Obi na Linda...yum yum king Man hapa East London
Kwetu kbs hapa!
Ghato kaokoka siku hizi hatak muzik wadunia😅
1. Azalaki awa pembeni na ngai....alikuwa hapa..she used to be here with me
2. Esika Akei ....ameenda mbali
3. Moto oyo nalingi akomi mosika...mtu niliyempenda sasa yupo mbali nami
4. Nalela na nani, nasala po nini, nakende ko wapi..nitalia na nani, nifanye nini, niende wapi mimi
5. Sherry akei na ye, alobaki na nga kozonga...mpenz wangu kaniacha, aliniambia angerudi
6. Nakati ya ndoto asingi nga loboko, nafungula miso natala pembeni namoni moto te...naota nipo naye amenishika mkono nikifungua macho sioni mtu
7. Lelo natimi baye baloba maladi ya bolingo eza na kisi te!..leo nimeamini waliosema maradhi ya mapenzi hayana tiba😅😅
Kiukwel Mr nice ni msanii ambae kwanza ni mkweli kutoka namfaham pili ni mtu asiyefeki maisha na kbsa ni mtu mwenye kipaji kile Cha asili shida ya watu wanapenda mpaka ufe ndo wakusifie huyu jamaa anastahili sifa za taifa
♥️🫂♥️💐💐💐🌹💐🌹💐
Sijua huyu brother ni very humble kiasi hiki
Legend
nakubali sana kuv chaka
Heshima kubwa kwako baba nimesikia nyimbo zako nikiwa bado mdogo zilifundisha naziliburudisha ninamengi yakukusifu wakat bado ukiwa hai ila ingekuwa kwa wenzetu ungejengewa sanamu
Naikubali kutoka Kenya...siku moja tu nitakuwa guest hapo kwa #Theclassic
Mr nice from no where amepasua East africa.
Kaka fanya siku tumpate Glover Guru uyu mtu ana'madini sana ya huu mziki wetu
GURU ASEE AJEE APAAA✅🤝
Legend🔥🔥🔥🔥
Eti kuku wako walikuwa wakipanda baskeli???
Nice mkenda kikulacho
Nimeaza kuimba kisa Mr Nice toka 2003🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
leo ndio nimejua the meaning of TAKEU style ,TANZANIA, KENYA AND UGANDA
Nakumbuk 2005/2006 alikuj nangwanda stadium alichelewa akaingia saa11 kwenda saa12 alipigwa mawe sisahau
Namkubar Sana huyo mwamba
mrnice nakubali sana
TAKEU - TANZANIA , KENYA , UGANDA STYLE.Aloo ndio leo nmeelewa maana yake
Duu basi we mdogo sana
@@fahadfaraj6474 the style itself was copied from a legend from South Africa, I don't know if she's still live up to date her name was Ntombi Marhumbini, her music videos are on RUclips.
😂😂 aloooh sema wengi hawajui@@fahadfaraj6474
@@richardsolomon1268offcourse the phrase" Sasa ndo nimeelewa Sasa"left me in awe,how come those years back until now you have no idea what TAKEU style real means,,I bet you are not Tanzanian or if you are, you live in diaspora
napenda sana nyimbo zako ila ya mbona umeniacha mama kilasiku naiskia ila nyimbo yangu bola kinani nani nakuita ujeuwewangu naipenda hadi leo hasa ile biti
Masanja anarudi lini mzee
shoo Bora ya mwaka huu
Namkubali sana Nice mkenda, nlkua nadhan friday night ya 2000 kumbe 1997
Naikubali saaana 🤝
Ila kuna vionjo vya kikenya kwenye lafudhi yake...why?
Interview mwishoni inakwama kwamaaa
Mr nice
Friday night ni ya 1997😂…. Yani mimi ndo nyimbo yangu pendwa kutoka kwa MR Nice ni ya 97 … mmmh hadi sisi tunakua 2003/2004 ilikua bado kene chat kweli LEJENDI .. UPEWE MAUA MR NICE
Mr nais kiboko alichangia wa mama wakichaga kila siku kwenye sherehe kupigana ikipigwa Ile nyimbo yake ya kikulacho
Jamaa sauti yake iko poa sana
Anapenda kuongea Sana anaalibu
Picha kali...
Jamaha ana miyaka 74
Jamaa bado hazeeki kabisa 😂
Mr Nice alikua mkubwa kabisa huo wakati alikua mwamba
🙌💥💥💥🙌
🙌🏾
Poor sound ina scratch sana!! Work on that
ila jamaa kikenya kimemkaa
Mr nice dudu baya alikipigia nini ivi
Mr nice alikua mchokozi
Nyota yako ipo ila umeamua mwenyewe kuiacha ife hvohvyo. Hujaibiwa nyota
Mwamba kabisa huyo mtu hatari mr nice
Kuku kapanda beskeli
Jmn kofia ya kibonge tozz c ndyo ile ya diamond plutnumz iliyo poteaga et wadau au hajaliona hro
Yenyewe iyo
Hahah zinafanana mkuu
Si unajua Nice na diamond ni wako sayari 1 SEMA generation tofauti. Mr Nice ni diamond wa zama zile