THE CLASSIC PROF JAY EP 1:MIONGO 3 YA GAME/HISTORIA YA BONGOFLEVA/TAJI NI LANGU/SIKUA NA NAULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 74

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 7 месяцев назад +5

    Prof Jay need to be a Lecturer pale UD.
    Prof Jay need to be a Lecturer within East Africa, Makerere, UoN and UD. This guy is a legend. Everytime namsikiza najipata nalia. Long Live Jay. May be one day i will write a story. I am a Kenyan who could listen to RFA (Radio Free Africa), and it could only be located at specific place, had to get out of our house to located RFA to listen to Bongo Flava. Peace.

  • @kennedymaende5297
    @kennedymaende5297 2 месяца назад +2

    Mzee hatari sana professor....kumekucha na nonini moto sana

  • @HilmiHilal-g8j
    @HilmiHilal-g8j 2 месяца назад +1

    Chemsha bongo ni all time best, yenyewe ni namba moja, mbili na tatu pia. Hizo nyengine anzeni kuzipanga kuanzia nne huko.
    Fanyeni adabu zenu jamani! .. eboo!!!

  • @josephatmasawe5924
    @josephatmasawe5924 Год назад +19

    Legendary ....Tupo mwaka 2099 watu bado wanasimulia jinsi Chemsha Bongo ilivyobadili game ya Bongo Flavour

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 Год назад

      Exactly... @josephatmasawe5924

    • @MsangoDiesel
      @MsangoDiesel 9 месяцев назад +1

      ❤watu wameumiza vichwa mzuki mzuri unaishi na kupasua anga

    • @josephlyakurwa
      @josephlyakurwa 6 месяцев назад

      Time traveller 😅

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Год назад +7

    Maaan,i missed this ENERGY
    Jay ni Master of Story telling,kumsikiliza tu akizungumza ni MADINI YA KUTOSHA

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 Год назад +7

    Wakunyumba mwenzangu....nimefurahi kukuona ukiwa na afya njeama mlongoo😊 mungu mkubwa

  • @emmakiwaya4607
    @emmakiwaya4607 8 месяцев назад +1

    my all time favorite MC #ProfessorJay

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Год назад +6

    RESPECT TO JOSEPH HAULE #ProfessorJay 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Год назад +3

    Ni kweli Prof.Jay huyu Jamaa Hasheem Dogo is the one of God Mcee wa Freestyle kwa hapa Tz

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 11 месяцев назад +1

    Favourite kabisa bless sana jabir

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад +7

    SEMA pole Sana kwa kuumwa prof jay

  • @imogimasta9077
    @imogimasta9077 Год назад +4

    PROFESA JAY ALITU INSPIRE MPAKA LEO TUNAFANYA GAME

  • @godfreypaulo8355
    @godfreypaulo8355 Год назад +1

    Jamani hii mlifanyia lini au mmeichomoa sehemu.

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Год назад +8

    Pro Jay mwenye hiphop zke. Live long big bro. Much lv men. Vibe kma lote, interview nzuri sana.

  • @lucasmsogoti3435
    @lucasmsogoti3435 Год назад +6

    Kaka mkubwa Prof Jay,Mungu azidi kukuweka legend

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 Год назад +5

    Bongo dar es salaaam bonge la ngomaaa

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 3 месяца назад

    Mtangazaji tatizo ana maswali marefu saana

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 11 месяцев назад +1

    Classic interview,
    Kazi nzuri Jabir,
    Hii ni ya vizazi na vizazi

  • @MeshackKabunda
    @MeshackKabunda 8 месяцев назад +1

    Niga Jay salute bro

  • @didierbahindwa2121
    @didierbahindwa2121 Год назад +1

    Ata uku Congo tume kubali professor Jay

  • @abdibuddy7583
    @abdibuddy7583 10 месяцев назад +1

    Signing in #2pacWithoutNoseRing

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Год назад +3

    Vizuri sanamimi kazaliwa mapema na hizi zilinikuta nikiwa kijana ... Chemsha Bongo kweli ndio iliniingiza kwa hip hop, RADIO FREE AFRIKA enzi hizo tuliweka aerial ya redio kwa mabati pale Kisii- Kenya, kweli zilikua enzi za kukumbuka milele

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 Год назад +5

    Hii ngoma niliwahi kuitwa na waalimu ofisini, wakaniambia niwaimbie staff nzima baada ya kunisikia naiimba sehemu. Na baada ya kuiimba wakaniambia niwaandikie nyimbo yote. Kali sana hii.

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini5688 Год назад +5

    Mungu mkubwa Jay is back

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub Год назад +4

    Mikumi standup 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🤛

  • @shonviabdallah5392
    @shonviabdallah5392 Год назад +3

    Nakubali sana wana

  • @darglobal1084
    @darglobal1084 Год назад +2

    MUNGU MKUBWA SANA

  • @babusbabu3699
    @babusbabu3699 Год назад +1

    mungu ni mwemaa mkuu umerudiii nasubiri madini toka mgodini nakujuaa since kigurunyembe hukosei kuandikaaaaa

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 Год назад +3

    Hii niliikosa mkubwa.. pamoja sana

  • @jimmykidult
    @jimmykidult Год назад +2

    The King, my King- live longer my brother.

  • @manyarasoja1082
    @manyarasoja1082 Год назад +4

    Professor ni icon Bongo....

  • @danwabomba8740
    @danwabomba8740 11 месяцев назад

    Sisemi kitu. Mungu abariki Jay na kizazi chake kwa kazi kubwa

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 7 месяцев назад

    Story zuri sana

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Год назад

    Prof Jay,,, one of the legendary ambaye kwangu ni kioo.

  • @josephkahindi1713
    @josephkahindi1713 Год назад +1

    Enzi izo mwanza wakat tunasoma hili dude la bongo tuliliimba sana

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад +4

    LEGEND J🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga Год назад +1

    Interview nzuri sn

  • @jacksonbad
    @jacksonbad Год назад +4

    Living legend..🎶🎼

  • @abdalahmwinsheh587
    @abdalahmwinsheh587 Год назад +2

    Nakubali mwamba super presenter in this planet nakupa mau yako hawajui kama hawajui.

  • @hamidamsafiri-po7lf
    @hamidamsafiri-po7lf 7 месяцев назад

    Shida ni hizi episodes hazijapangwa yani unatafuta part 2 haionekani, tupangie vzr mzee

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Год назад

    Mm nilimfahamu Prof.Jay kwny wimbo wa Mamsapu

  • @geraldminja5142
    @geraldminja5142 Год назад +1

    Haya yatakua marudio

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Год назад +2

    Mwanzoni nilidhani ni sky walker saut.

  • @AlliJuma-pk7oq
    @AlliJuma-pk7oq 3 месяца назад

    Means hip hop bongo ilizaliwa upanga

  • @martjune2734
    @martjune2734 Год назад

    Hii itavyuu ni ya zamani, ina miaka miwili nadhan

  • @denissnkya5891
    @denissnkya5891 Год назад

    Part 2 ya interview ipo mzee wa San Francisco?

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад +6

    Kwangu zali la mentali nilikunywa yote enzi zile

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 Год назад +3

    Noma🔥🔥🔥

  • @jiwefurniture1128
    @jiwefurniture1128 11 месяцев назад

    Regend never die

  • @seniorchiefkoinange7872
    @seniorchiefkoinange7872 Год назад +1

    Ep 2 ??????

  • @anthonywahome1682
    @anthonywahome1682 5 месяцев назад

    Work on the clarity of the audio

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +4

    UMEENDA KUMCHOMOA,,,AU ILISHAFANYIKA

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 Год назад +4

    Babu haya ni marudio au?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +1

    Interview ih yalini mahost?
    Mbona munatuliza kwan big
    Yupo saw namna ih maana naiyona
    Inasiku 6 ni sure sixday au ndiyo
    Munatatafuta pesa tu wazee

  • @nassorozumba3999
    @nassorozumba3999 Год назад

    ❤😂🎉🎉🎉 14:50

  • @saidausi9917
    @saidausi9917 Год назад

    Brother mtangazaji hivi huyo Mwamba vp Amepona au ni clip ya muda? Mana alikuwa mgonjwa Je Amepona? Mimi Shabiki yake kinoma Naongea kutoka Rwanda

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Год назад

      Anaendelea vizuri kwa sasa

  • @djlasterTz
    @djlasterTz Год назад

    Plzz Brother Hizi interviews Usiwe unazicut Just Upload it full au kama unaziachua kama Episodes make sure zinakuwa kwenye mpangilio poa All n All Much Respect kwako 🎉🎉

  • @joesimba
    @joesimba Год назад +1

    BRO, TOA BARAKOA HILO CORONA NI SIASA TU. RESIST THE SLAVE MIND

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Год назад +2

    ✊🏿👮🏿