Prof Jay need to be a Lecturer pale UD. Prof Jay need to be a Lecturer within East Africa, Makerere, UoN and UD. This guy is a legend. Everytime namsikiza najipata nalia. Long Live Jay. May be one day i will write a story. I am a Kenyan who could listen to RFA (Radio Free Africa), and it could only be located at specific place, had to get out of our house to located RFA to listen to Bongo Flava. Peace.
Chemsha bongo ni all time best, yenyewe ni namba moja, mbili na tatu pia. Hizo nyengine anzeni kuzipanga kuanzia nne huko. Fanyeni adabu zenu jamani! .. eboo!!!
Vizuri sanamimi kazaliwa mapema na hizi zilinikuta nikiwa kijana ... Chemsha Bongo kweli ndio iliniingiza kwa hip hop, RADIO FREE AFRIKA enzi hizo tuliweka aerial ya redio kwa mabati pale Kisii- Kenya, kweli zilikua enzi za kukumbuka milele
Hii ngoma niliwahi kuitwa na waalimu ofisini, wakaniambia niwaimbie staff nzima baada ya kunisikia naiimba sehemu. Na baada ya kuiimba wakaniambia niwaandikie nyimbo yote. Kali sana hii.
Plzz Brother Hizi interviews Usiwe unazicut Just Upload it full au kama unaziachua kama Episodes make sure zinakuwa kwenye mpangilio poa All n All Much Respect kwako 🎉🎉
Prof Jay need to be a Lecturer pale UD.
Prof Jay need to be a Lecturer within East Africa, Makerere, UoN and UD. This guy is a legend. Everytime namsikiza najipata nalia. Long Live Jay. May be one day i will write a story. I am a Kenyan who could listen to RFA (Radio Free Africa), and it could only be located at specific place, had to get out of our house to located RFA to listen to Bongo Flava. Peace.
Respect
Mzee hatari sana professor....kumekucha na nonini moto sana
Chemsha bongo ni all time best, yenyewe ni namba moja, mbili na tatu pia. Hizo nyengine anzeni kuzipanga kuanzia nne huko.
Fanyeni adabu zenu jamani! .. eboo!!!
Legendary ....Tupo mwaka 2099 watu bado wanasimulia jinsi Chemsha Bongo ilivyobadili game ya Bongo Flavour
Exactly... @josephatmasawe5924
❤watu wameumiza vichwa mzuki mzuri unaishi na kupasua anga
Time traveller 😅
Maaan,i missed this ENERGY
Jay ni Master of Story telling,kumsikiliza tu akizungumza ni MADINI YA KUTOSHA
Wakunyumba mwenzangu....nimefurahi kukuona ukiwa na afya njeama mlongoo😊 mungu mkubwa
my all time favorite MC #ProfessorJay
RESPECT TO JOSEPH HAULE #ProfessorJay 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥
Ni kweli Prof.Jay huyu Jamaa Hasheem Dogo is the one of God Mcee wa Freestyle kwa hapa Tz
Favourite kabisa bless sana jabir
SEMA pole Sana kwa kuumwa prof jay
PROFESA JAY ALITU INSPIRE MPAKA LEO TUNAFANYA GAME
Jamani hii mlifanyia lini au mmeichomoa sehemu.
Pro Jay mwenye hiphop zke. Live long big bro. Much lv men. Vibe kma lote, interview nzuri sana.
Kaka mkubwa Prof Jay,Mungu azidi kukuweka legend
Bongo dar es salaaam bonge la ngomaaa
Mtangazaji tatizo ana maswali marefu saana
Classic interview,
Kazi nzuri Jabir,
Hii ni ya vizazi na vizazi
Niga Jay salute bro
Ata uku Congo tume kubali professor Jay
Signing in #2pacWithoutNoseRing
Vizuri sanamimi kazaliwa mapema na hizi zilinikuta nikiwa kijana ... Chemsha Bongo kweli ndio iliniingiza kwa hip hop, RADIO FREE AFRIKA enzi hizo tuliweka aerial ya redio kwa mabati pale Kisii- Kenya, kweli zilikua enzi za kukumbuka milele
Hii ngoma niliwahi kuitwa na waalimu ofisini, wakaniambia niwaimbie staff nzima baada ya kunisikia naiimba sehemu. Na baada ya kuiimba wakaniambia niwaandikie nyimbo yote. Kali sana hii.
Sipati picha ulivyovimba 😅
Mungu mkubwa Jay is back
Mikumi standup 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🤛
Nakubali sana wana
MUNGU MKUBWA SANA
mungu ni mwemaa mkuu umerudiii nasubiri madini toka mgodini nakujuaa since kigurunyembe hukosei kuandikaaaaa
Hii niliikosa mkubwa.. pamoja sana
The King, my King- live longer my brother.
Professor ni icon Bongo....
Sisemi kitu. Mungu abariki Jay na kizazi chake kwa kazi kubwa
Story zuri sana
Prof Jay,,, one of the legendary ambaye kwangu ni kioo.
Enzi izo mwanza wakat tunasoma hili dude la bongo tuliliimba sana
LEGEND J🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Interview nzuri sn
Living legend..🎶🎼
Nakubali mwamba super presenter in this planet nakupa mau yako hawajui kama hawajui.
salute sana master
Shida ni hizi episodes hazijapangwa yani unatafuta part 2 haionekani, tupangie vzr mzee
Mm nilimfahamu Prof.Jay kwny wimbo wa Mamsapu
Haya yatakua marudio
Mwanzoni nilidhani ni sky walker saut.
Means hip hop bongo ilizaliwa upanga
Hii itavyuu ni ya zamani, ina miaka miwili nadhan
Part 2 ya interview ipo mzee wa San Francisco?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwangu zali la mentali nilikunywa yote enzi zile
Noma🔥🔥🔥
3😂2 ¹111
Regend never die
Ep 2 ??????
Work on the clarity of the audio
UMEENDA KUMCHOMOA,,,AU ILISHAFANYIKA
Hii ni ya kitambo kabla hajawa mgonjwa
Ya zaman hii
Babu haya ni marudio au?
Marudio
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏.
Interview ih yalini mahost?
Mbona munatuliza kwan big
Yupo saw namna ih maana naiyona
Inasiku 6 ni sure sixday au ndiyo
Munatatafuta pesa tu wazee
❤😂🎉🎉🎉 14:50
Brother mtangazaji hivi huyo Mwamba vp Amepona au ni clip ya muda? Mana alikuwa mgonjwa Je Amepona? Mimi Shabiki yake kinoma Naongea kutoka Rwanda
Anaendelea vizuri kwa sasa
Plzz Brother Hizi interviews Usiwe unazicut Just Upload it full au kama unaziachua kama Episodes make sure zinakuwa kwenye mpangilio poa All n All Much Respect kwako 🎉🎉
POA KAKA,PAMOJA
BRO, TOA BARAKOA HILO CORONA NI SIASA TU. RESIST THE SLAVE MIND
✊🏿👮🏿