THE CLASSIC MASANJA PART 3 EP 1:NILIKUA MJANJA KULIKO JOTI NA MPOKI/ BAMBO ALINIRUDISHA UBARUKU
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Hdithi za kusisimua za Masanja Mkandamizaji zinaendelea ,amekua msanii wa pili wa kufika for part 3 ukiacha Mandojo na Domokaya ambao ndio pekee kufanya hivyo,Masanja anaendela kutupa hadithi ya kusisimua kuhusu maisha yake mpaka alipfika sasa
Daaah 😂😂😂uko vzr Sana yaan Kuna vitu najifunza kutoka kwako
Nlikua nasubilia kama Interview ii kama navosubilia umeme😂😂Thank you mtangazaji na sana sana tena sana kwa masanja kwakukubali kuendelea kutufunza
Kaka vip mzima kaka broo naomba namba za masanja
Elimu tosha kwa wapambanaji wengi tulio underground bado 🎉🎉
The long waiting is finally over ❤
Dah hayo maisha noma sana nakumbuka enzi zangu za kutembea kwa mguu tabta to sinza noma saaa 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Nimechelewa kidogo gongen like
Sauti ya msimliaji ni hatari sana😂😂😂😂
Nimecheka sana 😅😅😅😅😅jamani Masanja ni nomaaaaa!Very good interview and very inspirational aiseeee😂...Loved every word of it!❤ila Mbavu zinauma kwa kucheka....dah!noma sana😂😂😂😂😂😂
Masanja ana kumbukumbu,mbaya.
kwel nimejifunza kitu
Kaka kaka nakwita tena kaka nakuomba we mwislamu mwenzangu fanya juu chini nakuombea sana umtafute gwamaka kahiyura. King crazy GK moja kati ya watu muhimu sana japo awasemwi
salaam kaka,kwanza usihusise dini na hivi vitu inakua si sawa,lakini pili Gk nilmualika hakufika mwenyewe siku hiyo tuka cancel mahojiano na ilkua mbaya sana,lakini yamepita hayo tutajaribu kumuomba afike tena kama hatajali.
@@KuviFacts oooh nisamehe ndgu yangu ni mgeni katika Imani ndo maana nilishazoea mambo yetu yakiyaudi ok basi mtafute jay moe
Kwani ulikuwa imani ip
@@roberttagaya9098 mkristo
🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️ Hajielewi
Masanja ana vitu vingi sana, anahitaji kutoa documentary
Unanipa nguvu ya kupambana kaka na kutokukata tamaa.Best inspirational speech
Naikumbuka hiyo movie ilikua inaitwa She is my sister 😂😂😂
Sio dar to Lagos mkuu
Huyu jamaa hachoshi Wallah😂😂
Yaaan Masanja huwez kuchoka kumsikiliza, nikiwa bored narudia interview zake tangu ile ya part 1
🫡
Huyu jamaa ana kipaji mno💯 👏👏👏
Yas YESU anaokoa anaponya anabariki
😂😂kwakweli Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana.maisha niivo mapito kwa Mungu yanawezekana
Toka mwanzo nipo nae had tamati nafurahishwa..na huzunika na ninaelimika pia ......asnt masanj
Pamba Nyepesi💣💣
Yaan Bro.Jabir Salehe utakumbukwa kwa kutunza history ya Wakongwe wa Sanaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
@@KuviFacts Pamoja Kaka
one and only mkandamizaji
😂😂😂huyo jamaa anafurahisha sana😂😂
Masanja azisha podcast yako itashika sana
Na enjoy na life yake
Mkandamizaji namkubali kinoma 🎉🎉🎉
Aisee tunapokuona leo tunakuona kama umefanikiwa from no ware
Alud tena
Byee byee
Jamaaa anajua sana
Pamoja sana
Jamaa hachoshi kumsikiliza bando liliisha ningaunga juu kwa juu na mpesa
Big up kwa muendelezo
nilikuwa nawaza lini atarud studio 🎉🎉
hapo sawa sawa
part 4 ijee
Pamba Nyepesi kali
Legendary anaogopa kamera,,
Angalia mbele wewe
Tuliisubiri Sanaa hiii🤣🤣
Bye byee
Pamba nyepesi ilikua noma
Hapo kwenye msosi kwa Mtitu😂
Hii interview nimeingoja sana
Mambo vipi dodoma sipati radio kabisa tatizo nini
Pamba nyepesi
Mungu fundi sana,leo una pesa kuliko Mtitu 😂
Noma Sana chamsingi tusikate tamaa
Nimeisubirii hiii atar
Sehemu ya nne itakua lini nasubiri kwa hamu sana
Inawezekana hii ndio interview bora kuwa kutokea
Masanja apewe session kumi TUNATAKA SESSON na iitwe mkandamizaji
NISIWE MUONGO MI NAFATILIA SANA GAME.,, ILA SIJAWAH TOKA KWANGU NISEMA NAENDA KWENYE SHOO....HIYO HAIPO
😅hiyo sehemu ya njaaa nmecheka aisee
Biyebiye
Hyuu jamaa huchoki kumsikiliza pia stor zake zinamafundisho makubwa kwa jamii apewe mda hata mpka part 10 frsh tuu
Icho kibena ndio nimekielewa na mimi wa ludewa
Naomba aje baada ya miaka miwili
😂😂😂kmmkee 🫡
🎉🎉🎉
Joti mlete😅
Yani ni bye bye, lete tye tye.. byebye hatari bhana
😀😀 masanja safi sana
❤❤❤❤
Mlete huyo bambo
Mbona fupi?yaani Masanja unanipunguzia stress kwa kweli,sitamani hata kipindi kimalizike.from Nederland
Masanja mbavu zangu wewe. Sije nikapelekwa moi# kwenye msosi kwa mtitu hapo
Bro this guy have more to tell, please
Give time for the rest to learn
😅
Bye bye
Ingia RUclips andika mams kiumbe -kabila gani wimbo wangu mpya sapoti yenu ndoo kila kitu kwangu
Pamba nyepes
Tunaomba muwe mnazingua ivo background sound ili wenye matatizo ya maskio inanisumbua tukashindwa kusikia anachozungumza ,namba kuwasilisha
Lipokuwa kijiwe samli pale kabla filamunyako kushirikishwa ya itunyama na director gumbo Wacha dharau zako za kijingajinga hata snura anajua
Eti njaa haina chakupata
San
Tunaomba hiki kipindi kiwe endelevu jamani mi ninaimani masanja haishiwi story yani tunataka atuhadisie story yake mbaka hapo ilipofika sasa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
'Promo SM' 😩
Ichi anaongea ni kikinga/kipangwa/kibena? Mbona kama naelewa kila neno anaongea
Kibena
Pamba nyepesi
😂😂😂😂
pamba nyepesi
Pamba nyespesi
😂😂😂😂
pamba nyepesi