THE CLASSIC MASANJA PART 3 EP 1:NILIKUA MJANJA KULIKO JOTI NA MPOKI/ BAMBO ALINIRUDISHA UBARUKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Hdithi za kusisimua za Masanja Mkandamizaji zinaendelea ,amekua msanii wa pili wa kufika for part 3 ukiacha Mandojo na Domokaya ambao ndio pekee kufanya hivyo,Masanja anaendela kutupa hadithi ya kusisimua kuhusu maisha yake mpaka alipfika sasa

Комментарии • 100

  • @AdolphKankuba
    @AdolphKankuba 6 месяцев назад +4

    Daaah 😂😂😂uko vzr Sana yaan Kuna vitu najifunza kutoka kwako

  • @kelvinmkuye6927
    @kelvinmkuye6927 6 месяцев назад +6

    Nlikua nasubilia kama Interview ii kama navosubilia umeme😂😂Thank you mtangazaji na sana sana tena sana kwa masanja kwakukubali kuendelea kutufunza

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 6 месяцев назад +7

    Elimu tosha kwa wapambanaji wengi tulio underground bado 🎉🎉

  • @user-qm8do1cr7u
    @user-qm8do1cr7u 6 месяцев назад +8

    The long waiting is finally over ❤

  • @kilimajohn5600
    @kilimajohn5600 6 месяцев назад +3

    Dah hayo maisha noma sana nakumbuka enzi zangu za kutembea kwa mguu tabta to sinza noma saaa 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @RajabuSamasi-lx8vl
    @RajabuSamasi-lx8vl 6 месяцев назад +8

    Nimechelewa kidogo gongen like

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 6 месяцев назад +8

    Sauti ya msimliaji ni hatari sana😂😂😂😂

  • @dorislyimo8621
    @dorislyimo8621 6 месяцев назад +3

    Nimecheka sana 😅😅😅😅😅jamani Masanja ni nomaaaaa!Very good interview and very inspirational aiseeee😂...Loved every word of it!❤ila Mbavu zinauma kwa kucheka....dah!noma sana😂😂😂😂😂😂

  • @silashemed4849
    @silashemed4849 4 месяца назад +1

    Masanja ana kumbukumbu,mbaya.
    kwel nimejifunza kitu

  • @user-kk7re2jl8y
    @user-kk7re2jl8y 6 месяцев назад +6

    Kaka kaka nakwita tena kaka nakuomba we mwislamu mwenzangu fanya juu chini nakuombea sana umtafute gwamaka kahiyura. King crazy GK moja kati ya watu muhimu sana japo awasemwi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 месяцев назад +2

      salaam kaka,kwanza usihusise dini na hivi vitu inakua si sawa,lakini pili Gk nilmualika hakufika mwenyewe siku hiyo tuka cancel mahojiano na ilkua mbaya sana,lakini yamepita hayo tutajaribu kumuomba afike tena kama hatajali.

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y 6 месяцев назад +1

      @@KuviFacts oooh nisamehe ndgu yangu ni mgeni katika Imani ndo maana nilishazoea mambo yetu yakiyaudi ok basi mtafute jay moe

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 6 месяцев назад +1

      Kwani ulikuwa imani ip

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y 6 месяцев назад

      @@roberttagaya9098 mkristo

    • @debbiethomas9825
      @debbiethomas9825 5 месяцев назад

      🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️ Hajielewi

  • @kingcole60
    @kingcole60 6 месяцев назад +3

    Masanja ana vitu vingi sana, anahitaji kutoa documentary

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 6 месяцев назад +2

    Unanipa nguvu ya kupambana kaka na kutokukata tamaa.Best inspirational speech

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 6 месяцев назад +8

    Naikumbuka hiyo movie ilikua inaitwa She is my sister 😂😂😂

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 6 месяцев назад +2

    Huyu jamaa hachoshi Wallah😂😂

  • @2116-n
    @2116-n 6 месяцев назад +2

    Yaaan Masanja huwez kuchoka kumsikiliza, nikiwa bored narudia interview zake tangu ile ya part 1

  • @sangomacmc3558
    @sangomacmc3558 6 месяцев назад +2

    Huyu jamaa ana kipaji mno💯 👏👏👏

  • @AgnesYoram-mc5cr
    @AgnesYoram-mc5cr 6 месяцев назад

    Yas YESU anaokoa anaponya anabariki

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 5 месяцев назад

    😂😂kwakweli Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana.maisha niivo mapito kwa Mungu yanawezekana

  • @hawasalim2180
    @hawasalim2180 6 месяцев назад +2

    Toka mwanzo nipo nae had tamati nafurahishwa..na huzunika na ninaelimika pia ......asnt masanj

  • @MenejaCossie
    @MenejaCossie 6 месяцев назад +1

    Pamba Nyepesi💣💣

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 6 месяцев назад

    Yaan Bro.Jabir Salehe utakumbukwa kwa kutunza history ya Wakongwe wa Sanaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 6 месяцев назад +1

    one and only mkandamizaji

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 6 месяцев назад +1

    😂😂😂huyo jamaa anafurahisha sana😂😂

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 6 месяцев назад +1

    Masanja azisha podcast yako itashika sana

  • @hawasalim2180
    @hawasalim2180 6 месяцев назад +2

    Na enjoy na life yake

  • @geffects1141
    @geffects1141 6 месяцев назад

    Mkandamizaji namkubali kinoma 🎉🎉🎉

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 6 месяцев назад +2

    Aisee tunapokuona leo tunakuona kama umefanikiwa from no ware

  • @NguyaPlanB-wn3yy
    @NguyaPlanB-wn3yy 6 месяцев назад +1

    Alud tena

  • @CheerfulFish-pq8qs
    @CheerfulFish-pq8qs 6 месяцев назад

    Byee byee

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 6 месяцев назад

    Jamaaa anajua sana

  • @herrykapinga1084
    @herrykapinga1084 6 месяцев назад

    Pamoja sana

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 6 месяцев назад +1

    Jamaa hachoshi kumsikiliza bando liliisha ningaunga juu kwa juu na mpesa

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 6 месяцев назад

    Big up kwa muendelezo

  • @imaiskaka8305
    @imaiskaka8305 6 месяцев назад

    nilikuwa nawaza lini atarud studio 🎉🎉

  • @JamesJoseph-vd7ep
    @JamesJoseph-vd7ep 6 месяцев назад

    hapo sawa sawa

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 6 месяцев назад +1

    part 4 ijee

  • @sjaykigomatz
    @sjaykigomatz 6 месяцев назад

    Pamba Nyepesi kali

  • @Extension4353
    @Extension4353 6 месяцев назад

    Legendary anaogopa kamera,,
    Angalia mbele wewe

  • @meddymachozy1815
    @meddymachozy1815 6 месяцев назад

    Tuliisubiri Sanaa hiii🤣🤣

  • @smartgeoffrey9550
    @smartgeoffrey9550 6 месяцев назад

    Bye byee

  • @jameshagwe3063
    @jameshagwe3063 6 месяцев назад

    Pamba nyepesi ilikua noma

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 5 месяцев назад

    Hapo kwenye msosi kwa Mtitu😂

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 6 месяцев назад

    Hii interview nimeingoja sana

  • @hamphreyalfred1156
    @hamphreyalfred1156 6 месяцев назад +1

    Mambo vipi dodoma sipati radio kabisa tatizo nini

  • @jamesngaita4836
    @jamesngaita4836 6 месяцев назад +1

    Pamba nyepesi

  • @12322879
    @12322879 6 месяцев назад

    Mungu fundi sana,leo una pesa kuliko Mtitu 😂

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 6 месяцев назад

      Noma Sana chamsingi tusikate tamaa

  • @malungamtoro9047
    @malungamtoro9047 6 месяцев назад

    Nimeisubirii hiii atar

  • @RashidiIruma
    @RashidiIruma 5 месяцев назад

    Sehemu ya nne itakua lini nasubiri kwa hamu sana

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 5 месяцев назад

    Inawezekana hii ndio interview bora kuwa kutokea

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 6 месяцев назад

    Masanja apewe session kumi TUNATAKA SESSON na iitwe mkandamizaji

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 6 месяцев назад

    NISIWE MUONGO MI NAFATILIA SANA GAME.,, ILA SIJAWAH TOKA KWANGU NISEMA NAENDA KWENYE SHOO....HIYO HAIPO

  • @innocentmathias8668
    @innocentmathias8668 6 месяцев назад

    😅hiyo sehemu ya njaaa nmecheka aisee

  • @hadserhood2823
    @hadserhood2823 6 месяцев назад

    Biyebiye

  • @user-vw7xw5tq2k
    @user-vw7xw5tq2k 6 месяцев назад

    Hyuu jamaa huchoki kumsikiliza pia stor zake zinamafundisho makubwa kwa jamii apewe mda hata mpka part 10 frsh tuu

  • @mycolumic20
    @mycolumic20 6 месяцев назад

    Icho kibena ndio nimekielewa na mimi wa ludewa

  • @lekashunkirwa4805
    @lekashunkirwa4805 6 месяцев назад

    Naomba aje baada ya miaka miwili

  • @Globaletz
    @Globaletz 6 месяцев назад +1

    😂😂😂kmmkee 🫡

  • @yrwa313
    @yrwa313 6 месяцев назад

    🎉🎉🎉

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 6 месяцев назад +1

    Joti mlete😅

  • @abuuarushadawg7158
    @abuuarushadawg7158 6 месяцев назад

    Yani ni bye bye, lete tye tye.. byebye hatari bhana

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 6 месяцев назад

    😀😀 masanja safi sana

  • @christinayamo7861
    @christinayamo7861 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 6 месяцев назад

    Mlete huyo bambo

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 6 месяцев назад

    Mbona fupi?yaani Masanja unanipunguzia stress kwa kweli,sitamani hata kipindi kimalizike.from Nederland

  • @kalis1115
    @kalis1115 4 месяца назад

    Masanja mbavu zangu wewe. Sije nikapelekwa moi# kwenye msosi kwa mtitu hapo

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 4 месяца назад

    Bro this guy have more to tell, please
    Give time for the rest to learn

  • @barakaclement7754
    @barakaclement7754 6 месяцев назад

    😅

  • @makamekombo8278
    @makamekombo8278 6 месяцев назад

    Bye bye

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 6 месяцев назад

    Ingia RUclips andika mams kiumbe -kabila gani wimbo wangu mpya sapoti yenu ndoo kila kitu kwangu

  • @user-vz3eh2ym9u
    @user-vz3eh2ym9u 6 месяцев назад

    Pamba nyepes

  • @dicksonmichael5793
    @dicksonmichael5793 6 месяцев назад

    Tunaomba muwe mnazingua ivo background sound ili wenye matatizo ya maskio inanisumbua tukashindwa kusikia anachozungumza ,namba kuwasilisha

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 6 месяцев назад

    Lipokuwa kijiwe samli pale kabla filamunyako kushirikishwa ya itunyama na director gumbo Wacha dharau zako za kijingajinga hata snura anajua

  • @mellahcoffee
    @mellahcoffee 6 месяцев назад

    Eti njaa haina chakupata

  • @user-ki5rd5id2k
    @user-ki5rd5id2k 6 месяцев назад

    San

  • @mwanakitenge
    @mwanakitenge 6 месяцев назад

    Tunaomba hiki kipindi kiwe endelevu jamani mi ninaimani masanja haishiwi story yani tunataka atuhadisie story yake mbaka hapo ilipofika sasa

  • @elgringogringo5238
    @elgringogringo5238 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @asiajuma5560
    @asiajuma5560 6 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @findleybingham4047
    @findleybingham4047 5 месяцев назад

    'Promo SM' 😩

  • @chax255
    @chax255 6 месяцев назад

    Ichi anaongea ni kikinga/kipangwa/kibena? Mbona kama naelewa kila neno anaongea

  • @hamisiseiph2233
    @hamisiseiph2233 6 месяцев назад

    Pamba nyepesi

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 6 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @anoldrwehabura7795
    @anoldrwehabura7795 6 месяцев назад

    pamba nyepesi

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 6 месяцев назад

    Pamba nyespesi

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 6 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @jumasayisholee2236
    @jumasayisholee2236 6 месяцев назад

    pamba nyepesi