THE CLASSIC MASANJA PART 2 EP 1:NILIFUKUZWA ZAIDI YA MARA NNE SIKUKATA TAMAA/IMANI ZA WAGANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kama maombi ya wengi yalivyotaka Masanja Mkandamizaji amerudi tena kwa mara ya pili katika meza ya The Classic akiendelea kutupa simulizi kali na za kusisimua juu ya maisha yake ya sanaa na menginge nje ya sanaa kiujumla,episode Masanja anaeleza namna alivyokutana na vizingito vizito kila alipofanikiwa hatua moja lakini hakukata tamaa kabisa na kusonga mbele

Комментарии • 61

  • @user-lr8vm9yd4l
    @user-lr8vm9yd4l 7 месяцев назад +11

    Kuna funzo kubwa sana hapa, shukran brother masanja kwa kushare hii, shukra pia Brother Jabir kwakuandaa hiki kitu

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  7 месяцев назад +1

      Pamoja sana kaka

  • @ombenikija
    @ombenikija 7 месяцев назад +14

    Aisee ahsante sana kaka Jabir kumrudisha mwamba. Best storyteller huchoki kumsikiliza

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini5688 7 месяцев назад +8

    Siku Muite king 👑 kiba Pia alichenji upepo wa bongo flavor nakumbuka album nyimbo16 zote zili hits Sana nakumbuka mack muga ilihit miaka3,Kiba nalia,naks,cndelela,nchumu njiwa nazingine nyngi haijawah tokea had leo

    • @jfmagnifico
      @jfmagnifico 7 месяцев назад

      Hajaweza kubadili upepo wa bongo fleva, amefanya vizuri tu. Wewe ni mapenzi yako yanakuendesha

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq 7 месяцев назад +5

    Masanja kula jasho lako umepambana saaaaana

  • @shexnkole4684
    @shexnkole4684 7 месяцев назад +5

    Nilichojifunza ni kuwa kama una kitu kikubwa kwenye maisha utakutana na mapingamizi mengi ambayo yanaweza kukukatisha tamaa... Kikubwa ni kufocus na kukokata tamaa.... Kujiamini kwa kile unachokifanya kutokuruhusu kukata tamaa Wala kukatishwa tamaa....

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 7 месяцев назад +5

    Maaisha bana masanj zamani alikua mzee saivi kijana😂😂😂

  • @richardmaxwell3991
    @richardmaxwell3991 7 месяцев назад +8

    Binafsi nimeongeza heshima kubwa after kusikia interview ya Masanja, vile tunavyowafahamu hawa mastaa ni tofauti na kitu wamepitia. respect to Masanja

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 7 месяцев назад +5

    🇰🇪 Napenda Masanja alivyopaa real

  • @rashidally7285
    @rashidally7285 7 месяцев назад +3

    Masanja hakika umepambania sana sanaa Yako bila kuchoka mungu akutie nguvu nimewahi kukuona mara mbili kaka lakin huwez Amin nilikua naogopa hata kukusalimia kaka nilihofia utanitoa nishai mara ya kwanza Biafra kwa white 2015 mara ya pili ilala ofisin kwa mkuu wa mkoa zote broo nilikua nakuogopa hta kukusemesha lakin moyo wangu hakika ulifarijika sana Kila nilipokuona I hope one tutaonana tena much respect nimejifunza kitu Toka kwako Kuna mastaa nilikua nawaona halafu wakawa wanavungia ndio chanzo Cha uoga

  • @thomasbarabonamubondo9218
    @thomasbarabonamubondo9218 7 месяцев назад +3

    Nilikua namuheshimu Ila nmemuheshimu zaidi. Big up

  • @williammbwambo747
    @williammbwambo747 7 месяцев назад +4

    Umasikini ni mzuri kuuelezea ukiwa na Pesa😂

  • @2116-n
    @2116-n 7 месяцев назад +5

    Finally umetundea haki, Ahsanteeee Sana Jabir

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 7 месяцев назад +8

    Masanja acha ale pesa yake kwakweli😂😂😂😂

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 7 месяцев назад +4

    Oya Kuvi Naomba Mlete Masanja Tena

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 7 месяцев назад +22

    Nakumbuka Historia yake niliisoma kupitia Jarida la Fema mwaka 2010 nimekuja kugundua vitu vingi mwandishi aliviskip ila kupitia hii interview nimepata Madini yakutosha....

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 7 месяцев назад +3

    masanja arudi tena

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 7 месяцев назад +1

    Maisha ni safari yenye mabonde,Milima,Vichaka na Misitu minene🎉🎉🎉

  • @KIPEPE19
    @KIPEPE19 7 месяцев назад +3

    MASANJA IS HELLA FUNNY 😂😂😂😂😂

  • @JustinMapper
    @JustinMapper 7 месяцев назад +1

    Masanja is a very good storyteller aisee...🔥🔥🔥

  • @voisaclassic1866
    @voisaclassic1866 7 месяцев назад +3

    Story ya masanja ukiwa huna akili utaona anachekesha ila kiukweli ina somo kubwa sana kwenye maisha ila kiufupi tu kila mtu aamini anachofanya bila kujali watu wanasema nini

  • @judithmaghembe2530
    @judithmaghembe2530 7 месяцев назад +1

    Haichoshi kusikiliza….very interesting and motivating👏🏼👏🏼🔥

  • @mzansitv714
    @mzansitv714 7 месяцев назад +3

    Nipo nawafuatilia, kiukweli stori ya Masanja inatufunza mengi.

  • @mustapherabel8471
    @mustapherabel8471 7 месяцев назад +1

    Safi sana motivation kwa sisi vijana kipind kizuri sana

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353 6 месяцев назад

    That is Masanja. Mungu ni wetu sote, katika maisha lazima kukaza. Asante kwa interview nzuri

  • @sallynemsi6560
    @sallynemsi6560 7 месяцев назад +3

    Tunafunga n kufungua mwaka n mkandamizaji😂😂😂

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 7 месяцев назад +2

    Safi sana jabiri bonge la pindi hili keep moving

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 7 месяцев назад +3

    Nahisi masanja ndo jamaa ambae nkimuangalia ,siwezi kujikaza😂😂😂

  • @triga24x
    @triga24x 4 месяца назад

    Very interest story big shut out masanja 🤏

  • @weeknd_places
    @weeknd_places 7 месяцев назад +3

    Umetisha kuvichaka..🔥🔥

  • @user-qu2uw9jj6z
    @user-qu2uw9jj6z 7 месяцев назад +2

    watu wanayoka mbali sana

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 7 месяцев назад

    Kweli penye nia pana njia big up masanja mkandamizaji, adi machozi yamenilenga

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 7 месяцев назад +1

    Tisha sana

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 7 месяцев назад +3

    kuvichaka arudi huyu hajamalizia episodes

  • @ahaditaifa4639
    @ahaditaifa4639 7 месяцев назад +2

    Mlete tena part 3

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 7 месяцев назад +1

    Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkubwa sana

  • @user-rw5hh6ip8z
    @user-rw5hh6ip8z 7 месяцев назад

    Tunaitaji mwendelezo wa hiyo story ni nzuri sana

  • @PAPRATZ
    @PAPRATZ 6 месяцев назад

    Watching this from USA best interview

  • @NguyaPlanB-wn3yy
    @NguyaPlanB-wn3yy 7 месяцев назад +1

    Aludi tena bhn

  • @beatricethomson4020
    @beatricethomson4020 6 месяцев назад

    Masaja ongera sana kwa uvumilivu

  • @georgenathanael
    @georgenathanael 5 месяцев назад

    Umejua kuni-inspire masanja

  • @Eng2460
    @Eng2460 7 месяцев назад +4

    finally🙌🙌

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 7 месяцев назад +1

    Mzee wa kuv mkandamizaji aje tena😅😅😅😅

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 5 месяцев назад

    🙏🙏👍

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 7 месяцев назад +3

    Ila Bado tunamuhitaji another round ili tujue akina mpoki waliingiaje ingiaje humo.

  • @baritazarstanley9608
    @baritazarstanley9608 7 месяцев назад

    I don't usually write but wageni wako wote hakuna hata mmoja kamzungumzia Cool James "Mtoto wa dandu". People should get to know about this guy

  • @mikelmweuc9619
    @mikelmweuc9619 7 месяцев назад +2

    Hao jamaa ni kisimple na hazintoshi wahenga tu ndio tunawajua🤣🤣

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana6148 7 месяцев назад +1

    Kuvichaka Mtafute Jay Moe na Soggy Dog hanta hawa Jamaaa ni Noma wanajuwa kuongea na wana story nyingi kuhusu Music

  • @FaridMohd-t5x
    @FaridMohd-t5x 7 месяцев назад +3

    Brother J .tumpate wakuvanga

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 7 месяцев назад

    Sanjaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 6 месяцев назад

    Mdimi uko poa

  • @pangapower688
    @pangapower688 7 месяцев назад

    😂😂