THE CLASSIC MASANJA PART 2 EP 1:NILIFUKUZWA ZAIDI YA MARA NNE SIKUKATA TAMAA/IMANI ZA WAGANGA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Kama maombi ya wengi yalivyotaka Masanja Mkandamizaji amerudi tena kwa mara ya pili katika meza ya The Classic akiendelea kutupa simulizi kali na za kusisimua juu ya maisha yake ya sanaa na menginge nje ya sanaa kiujumla,episode Masanja anaeleza namna alivyokutana na vizingito vizito kila alipofanikiwa hatua moja lakini hakukata tamaa kabisa na kusonga mbele
Kuna funzo kubwa sana hapa, shukran brother masanja kwa kushare hii, shukra pia Brother Jabir kwakuandaa hiki kitu
Pamoja sana kaka
Aisee ahsante sana kaka Jabir kumrudisha mwamba. Best storyteller huchoki kumsikiliza
Siku Muite king 👑 kiba Pia alichenji upepo wa bongo flavor nakumbuka album nyimbo16 zote zili hits Sana nakumbuka mack muga ilihit miaka3,Kiba nalia,naks,cndelela,nchumu njiwa nazingine nyngi haijawah tokea had leo
Hajaweza kubadili upepo wa bongo fleva, amefanya vizuri tu. Wewe ni mapenzi yako yanakuendesha
Masanja kula jasho lako umepambana saaaaana
Nilichojifunza ni kuwa kama una kitu kikubwa kwenye maisha utakutana na mapingamizi mengi ambayo yanaweza kukukatisha tamaa... Kikubwa ni kufocus na kukokata tamaa.... Kujiamini kwa kile unachokifanya kutokuruhusu kukata tamaa Wala kukatishwa tamaa....
Maaisha bana masanj zamani alikua mzee saivi kijana😂😂😂
Binafsi nimeongeza heshima kubwa after kusikia interview ya Masanja, vile tunavyowafahamu hawa mastaa ni tofauti na kitu wamepitia. respect to Masanja
🇰🇪 Napenda Masanja alivyopaa real
Masanja hakika umepambania sana sanaa Yako bila kuchoka mungu akutie nguvu nimewahi kukuona mara mbili kaka lakin huwez Amin nilikua naogopa hata kukusalimia kaka nilihofia utanitoa nishai mara ya kwanza Biafra kwa white 2015 mara ya pili ilala ofisin kwa mkuu wa mkoa zote broo nilikua nakuogopa hta kukusemesha lakin moyo wangu hakika ulifarijika sana Kila nilipokuona I hope one tutaonana tena much respect nimejifunza kitu Toka kwako Kuna mastaa nilikua nawaona halafu wakawa wanavungia ndio chanzo Cha uoga
Nilikua namuheshimu Ila nmemuheshimu zaidi. Big up
Umasikini ni mzuri kuuelezea ukiwa na Pesa😂
😅😅😅😅😅
Kwel
Finally umetundea haki, Ahsanteeee Sana Jabir
Pamoja sana
Masanja acha ale pesa yake kwakweli😂😂😂😂
Oya Kuvi Naomba Mlete Masanja Tena
Nakumbuka Historia yake niliisoma kupitia Jarida la Fema mwaka 2010 nimekuja kugundua vitu vingi mwandishi aliviskip ila kupitia hii interview nimepata Madini yakutosha....
Daah jarida la fema, kitambo sana
Enz ya Sekondari 2008 iv
❤❤❤
masanja arudi tena
Maisha ni safari yenye mabonde,Milima,Vichaka na Misitu minene🎉🎉🎉
MASANJA IS HELLA FUNNY 😂😂😂😂😂
Masanja is a very good storyteller aisee...🔥🔥🔥
Story ya masanja ukiwa huna akili utaona anachekesha ila kiukweli ina somo kubwa sana kwenye maisha ila kiufupi tu kila mtu aamini anachofanya bila kujali watu wanasema nini
Haichoshi kusikiliza….very interesting and motivating👏🏼👏🏼🔥
Nipo nawafuatilia, kiukweli stori ya Masanja inatufunza mengi.
Safi sana motivation kwa sisi vijana kipind kizuri sana
That is Masanja. Mungu ni wetu sote, katika maisha lazima kukaza. Asante kwa interview nzuri
Tunafunga n kufungua mwaka n mkandamizaji😂😂😂
Safi sana jabiri bonge la pindi hili keep moving
Nahisi masanja ndo jamaa ambae nkimuangalia ,siwezi kujikaza😂😂😂
Very interest story big shut out masanja 🤏
Umetisha kuvichaka..🔥🔥
watu wanayoka mbali sana
Kweli penye nia pana njia big up masanja mkandamizaji, adi machozi yamenilenga
Tisha sana
kuvichaka arudi huyu hajamalizia episodes
Mlete tena part 3
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkubwa sana
Tunaitaji mwendelezo wa hiyo story ni nzuri sana
Watching this from USA best interview
Aludi tena bhn
Masaja ongera sana kwa uvumilivu
Umejua kuni-inspire masanja
finally🙌🙌
Mzee wa kuv mkandamizaji aje tena😅😅😅😅
🙏🙏👍
Ila Bado tunamuhitaji another round ili tujue akina mpoki waliingiaje ingiaje humo.
I don't usually write but wageni wako wote hakuna hata mmoja kamzungumzia Cool James "Mtoto wa dandu". People should get to know about this guy
Hao jamaa ni kisimple na hazintoshi wahenga tu ndio tunawajua🤣🤣
Haha wanatumia majina gani Instagram?
Kuvichaka Mtafute Jay Moe na Soggy Dog hanta hawa Jamaaa ni Noma wanajuwa kuongea na wana story nyingi kuhusu Music
Brother J .tumpate wakuvanga
Sanjaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mdimi uko poa
😂😂