UONGO WA MADHABAHUNI | BISHOP MASANJA MKANDAMIZAJI | PRAYER ROOM TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 158

  • @rahimjamal2717
    @rahimjamal2717 5 месяцев назад +4

    Safi sana somo limesomeka wenye sikio wamesikia

  • @janemabada3357
    @janemabada3357 6 месяцев назад +4

    HAKIKA YESU aendelee kukunoa nmeipenda hii sifa na utukufu ni kwa Mungu Emanuel endelea kukaa barazan kwa Mungu tuendelee kupokea damu ya YESU iendelee kukutunza

  • @user-rw9tv8eo8r
    @user-rw9tv8eo8r 6 месяцев назад +4

    Unasema ukweli Mtumish wa mungu

  • @ombenijady8409
    @ombenijady8409 6 месяцев назад +3

    To be honestly....Naelewa Sana Mahubiri ya Mtumishi anahubiri Kwa lugha nyepesi na inaeleweka vzr Sana. Sasaiv ni postor namba Moja Kwangu Kwa kumskiliza na kunisaidia kumjua Mungu

  • @praisejublathurassa7789
    @praisejublathurassa7789 6 месяцев назад +3

    Amina.Hiyo ndio injili ya kweli Mtumishi.Barikiwa

  • @ibrahimucharlessatto3449
    @ibrahimucharlessatto3449 5 месяцев назад +2

    Amina mtumishi wa BWANA YESU, Ujumbe wako ni mzuri sana tena ni injiri ya kweli na ulivyoanza sivyo ulivyo sasa, nakuombea neema kwa BWANA YESU uendelee kunyenyekea mbele za YEHOVA.

  • @StanslausFransis
    @StanslausFransis 4 месяца назад +1

    Ameen barikiwa San mtumishi

  • @allymwampaka9604
    @allymwampaka9604 5 месяцев назад +2

    Hongela masanja uko sawa hao watumishi waongo wapigwe kwa Nina la yesu

  • @MTUMEROBERTWENERA01
    @MTUMEROBERTWENERA01 4 месяца назад +1

    Very very unique leason

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 13 дней назад

    Balikiwa sana Mutumishi na kufatiliya toka Congo Butembo 🎉🎉🎉

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 6 месяцев назад +2

    nimeikubali injili hii,Mungu akupe kudumu katika kweli yake,isipokuwa kanisa limepotoka kwa kiwango kikubwa mno,cku hizi wachungaji wanaajiri hadi watu wafanye vituko kwa jina la miujiza,kizazi kilicholaaniwa,watoto wa majoka.watu wamekataa garama ya kumtafuta Mungu wanakimbilia undanganyifu wa shetani.

  • @vicentgodda3357
    @vicentgodda3357 6 месяцев назад +2

    Ninampa Mungu utukufu kwa ujumbe huu. Mwenye dhamira ya mbingu ataelewa

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 6 месяцев назад +2

    Hongera Sana Mtumishi. "Hizi shuhuda zinaua Kanisa la Kiroho na kujenga Kanisa la mwili" Maana yake tunaua Kiroho ambacho ndilo Kanisa la kweli la Kiroho na tunatoa shuhuda za uongo kujenga Kanisa la mwili yaani kujaza majengo yamakanisa yetu kupata sadaka nyingi na kupata sifa za wingi wa Watu katika madhehebu yetu.

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 6 месяцев назад +7

    Safi sana Emmanuel, wewe siyo Masanja Mkandamizaji tena, Mungu amekubadilisha jina, Wewe ni Emmanuel Mungu pamoja nasi

  • @user-ut2bd5ln4i
    @user-ut2bd5ln4i 5 месяцев назад +1

    Hakika huu ni ujumbe mzuri Sana, MUNGU ambariki mtumishi wake❤❤

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c 5 месяцев назад +1

    aisee umetisha sana big point watu wanamchezea sana mungu makanisa yamekuwa nalamli zauganga wachungaji wanekuwa matapeli tu wanatafuta pesa kwakutapeli wajinga wanao jiita waumini wenye akili ndogo watu duniani wanaangamia kwakukosa maalifa

  • @novatuschaula1635
    @novatuschaula1635 6 месяцев назад +4

    Ujumbe ulionyooka kama rula ni ukweli mtupu
    Uzidi kubarikiwa mtumishi kwa Jina la Yesu Kristo

  • @barakaboazi5938
    @barakaboazi5938 5 месяцев назад +1

    Barikiwa Dady Mungu Akuinue

  • @NellyInocent
    @NellyInocent 6 месяцев назад +3

    Chuma la JEHOVA 🙏

  • @faustinkabene971
    @faustinkabene971 5 месяцев назад +1

    Amina amina

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 6 месяцев назад +2

    Ooh yes 💪, Mtumishi hana mbingu yakunipeleka,na hili swala la uongo Mungu ingilia kati maana uongo umezidi🙏

  • @goodlucksenyagwaofficial2299
    @goodlucksenyagwaofficial2299 6 месяцев назад +1

    Hii ya Leo kwinini. Imenikaa kisawa sawa. Umeningezea maarifa pastor masanja. Umenipa wimbo hapo nanitakuja nayo huko redio kwako. Amen😅

  • @duacheketela959
    @duacheketela959 3 месяца назад

    da! nimecheka sana naa nimebarikiwa yan nimebarikiwa huku na enjoy asanteee my pastor

  • @reginaldalexander1142
    @reginaldalexander1142 5 месяцев назад +1

    Amina mtumishi

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 6 месяцев назад +3

    Kuna watumishi Mungu anawatumia kwa viwango vya juu Sana na hao hawana muda wa kuongea Mambo ya wengine

  • @allymwampaka9604
    @allymwampaka9604 5 месяцев назад +1

    Endelea masanja na injili ya kweli mungu akutie nguvu

  • @patrickpastory6216
    @patrickpastory6216 6 месяцев назад +1

    Amen Mtumishi ubarikiwe sana kwa neno zuri hayo maigizo yanayoendelea yanaua mioyo ya watu wanaompenda Mungu.
    Kutokana Mtu anampenda Mungu vile alivyo na anatarajia kupokea lolote kutoka kwa Bwana na ndilo litakuwa sahihi kwakua Mungu anajibu kwa wakati wake na ndio sahihi lakini watumishi wasiowaaminifu hudanganya wengi kanakwamba wana ratiba ya Mungu matokeo yake watu wanaanza kutangatanga miaka hadi miaka hawajibiwi wengine mpaka wanakufa kwa udanganyifu.

  • @elizabethbarasa4727
    @elizabethbarasa4727 Месяц назад

    Amen pastor very true Mungu hasaidiwi kazi

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 5 месяцев назад +1

    Asante kwa ujumbe mnzuri umenisaidia mengi

  • @renatusmichael7948
    @renatusmichael7948 5 месяцев назад +1

    God bless you❤

  • @user-pr3zn3gn5v
    @user-pr3zn3gn5v 6 месяцев назад +1

    Yani sisi tunamchungaji mwongo kweli natamani hata ungekuwa na kanisa Dodoma ,ubarikiwe sana,🙏

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 6 месяцев назад

      Siuondoke hapo kwenye hiyo madhabahu ndugu?,
      Yaani umeshajua kuna shida bado upo hapo?,utakuwa umefungwa,hapo siyo pa kukaa kimbia na naamini dodoma hapo kuna madhabahu nyingi za kweli.

  • @yoelimwiwa6827
    @yoelimwiwa6827 6 месяцев назад +1

    Masanja kagusa maeneo ya watu Mungu akulinde

  • @Life10061
    @Life10061 6 месяцев назад +1

    UTUKUFU KWA BWANA ,,AMINA LEO NIMEPATA kikubwa Sana kwamba Mungu asaidiwi ,UONGO MBAYA SANA

  • @IvanChaula-xz9ne
    @IvanChaula-xz9ne 5 месяцев назад +1

    Safi sanaaaaaa God bless you

  • @user-de6yl3zg3l
    @user-de6yl3zg3l 6 месяцев назад +2

    Hakika Mungu anakutumia, Aman of God

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 5 месяцев назад +1

    Glory Glory to God🙏

  • @MuhinaMruma-lu2vj
    @MuhinaMruma-lu2vj 5 месяцев назад +1

    Saafi mtumishi

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 6 месяцев назад +1

    Nimekuelewa sana mtumishi waambie hao wataka sifa na wapiga hela.

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 5 месяцев назад +1

    Amen ubarikiwe mtumish wa Mungu

  • @lovenessjoseph5718
    @lovenessjoseph5718 6 месяцев назад +1

    Glory to God leo nmepata kitu kikubwa Sana kwamba Mungu asaidiwi we need to live with the truth God bless you pastor

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 5 месяцев назад +1

    Sawa mtumishi ila ila hayo mavazi uliyo vaa sina uhakika kama kama unauelewa nayoo!!

  • @faustinkabene971
    @faustinkabene971 5 месяцев назад +1

    Amen

  • @ChristianEinstein-t2j
    @ChristianEinstein-t2j 6 месяцев назад +2

    Toka rwanda hapa tunawapata vizuri , tupe tu ukweli japo mchungu

  • @noelyephraim6874
    @noelyephraim6874 5 месяцев назад +2

    Umenena baba

  • @Manyohu.tv1
    @Manyohu.tv1 6 месяцев назад +2

    neno zuri mno, sikutarajia kama ungefundisha hivi.. Mungu akubariki mno

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 6 месяцев назад +1

    Ameen

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 6 месяцев назад +1

    Injiri Hii Imenyoka Mtumishi Haijachakachuliwa Mungu Akutunze Saana Mtumishi

  • @BarakaMwalukasa-jz9ut
    @BarakaMwalukasa-jz9ut 3 месяца назад

    Barkiwa mtumishi wa mungu

  • @user-ct4ib8lo7e
    @user-ct4ib8lo7e 5 месяцев назад +1

    Safy ❤

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald125 6 месяцев назад +1

    Amen Amen

  • @user-cm5xv7gb2e
    @user-cm5xv7gb2e 6 месяцев назад +1

    Pastor masanja nimekuelewa waambie Baba waache ukanjanja"

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be 6 месяцев назад +1

    Mwanangu uko vizuri

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda7574 6 месяцев назад +1

    Ameeeeeeen

  • @user-bq4im8oq2n
    @user-bq4im8oq2n 6 месяцев назад +1

    Masanja wewe nikomidiani lakini unachakifanya hapo kanisani mungu atakulipa kwa hiyo elimi unayoitoa binafsi nimekuelewa sana❤

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 6 месяцев назад +1

    Sijawahi kuchoka kukusikiliza, Mungu aendelee kukupandisha juu zaidi, unabariki wengi.

  • @peterjames7161
    @peterjames7161 5 месяцев назад +1

    Kandamija Ng'wanawaneee

  • @NsiyaDaudi
    @NsiyaDaudi 23 дня назад

    Mungu akubariki kwa kweli maan unaongea ukweli kabisa

  • @godfreykatunzi9680
    @godfreykatunzi9680 6 месяцев назад +1

    Safiii Mtumishi Ubarikiwee saaaaana Masanja Nimekubarii Ubarikiwee mtumishiiii

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 6 месяцев назад +1

    Umenikumbusha mengi....iwe heri Kwa wengi

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 6 дней назад

    Hiyo baba nakupa zote miamia ,wape neno

  • @busvicentedaniel
    @busvicentedaniel 6 месяцев назад +1

    Seja abençoado pastor

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 месяцев назад +1

    Emmanuel

  • @castohamza8261
    @castohamza8261 6 месяцев назад +2

    Amina sana baba umenitoa mahali Amen 🙏🙏

  • @MwalimuPeter
    @MwalimuPeter 6 месяцев назад +1

    Masanja leoooooo...... Umefurumushaaaa

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 6 месяцев назад +1

    Huyu anaweza kuwa mchungaji wangu,

  • @mosesimligo7206
    @mosesimligo7206 6 месяцев назад +1

    Mungu akuinue Mtumishi wa Mungu.

  • @kitwanajohn8237
    @kitwanajohn8237 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana kwa mahubiri ya kweli

  • @MwaminiKifyasi
    @MwaminiKifyasi 6 месяцев назад +1

    Nimekuelewa sana pastor

  • @MayolwaGolani
    @MayolwaGolani 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 6 месяцев назад +1

    Ila hapa rafiki yangu hongera sana sana huyu ni Mungu amekutuma

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 6 месяцев назад

      Ni kweli kwa mahubili haya ni mungu anamtuma

  • @louissamuel1659
    @louissamuel1659 6 месяцев назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu, uko juu

  • @user-bv1wt9ut8t
    @user-bv1wt9ut8t 6 месяцев назад +1

    Amina mtumishi MUNGU akubariki.

  • @paschaltimotheo5441
    @paschaltimotheo5441 6 месяцев назад

    Yes yes.. Amen.. man of God, hiz ndio nondo zinazotakiwa kwa kizazi cha leo

  • @SamsonErnest_
    @SamsonErnest_ 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
    @NATACIARAPHAEL-iz8kr 6 месяцев назад +1

    Amina Mtumishi Sema Kweli

  • @abdulcharles3430
    @abdulcharles3430 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂safiiiiii sanaaaaaaaaaa

  • @calistgwaydamuy8813
    @calistgwaydamuy8813 6 месяцев назад +1

    Aminaaaaa

  • @user-dh3gu6ux7r
    @user-dh3gu6ux7r 6 месяцев назад +2

    Ameeen baba 🙏🙏🙏

  • @godfreymlangali3428
    @godfreymlangali3428 6 месяцев назад +1

    Ameeen Ameeen Pastor.....

  • @manassehmarwatv.6520
    @manassehmarwatv.6520 6 месяцев назад +1

    Amen.

  • @jeofreydmallya7878
    @jeofreydmallya7878 6 месяцев назад +1

    Waongo hawaendi mbinguni

  • @user-ci3pw1pt7v
    @user-ci3pw1pt7v 6 месяцев назад +1

    Baba ubarikiwe sana

  • @pastormalitiushuhuda9965
    @pastormalitiushuhuda9965 6 месяцев назад +1

    Amen amen barikiwa MTUMISHI

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 5 месяцев назад +1

    Kaa Imara unatangaza vita .

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s 6 месяцев назад +1

    Preach preach pastor

  • @powerofgospeltorecover804
    @powerofgospeltorecover804 6 месяцев назад +1

    Ameen, ameen

  • @RichardStephano-zr3qf
    @RichardStephano-zr3qf 6 месяцев назад +1

    Amen kubwa

  • @johnmgalilwa9136
    @johnmgalilwa9136 5 месяцев назад +1

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 6 месяцев назад +1

    Afu we masanja ni comedian kanisani 😂😂😂😂

  • @TumainSkanda
    @TumainSkanda 4 месяца назад

    Nakuelewa.baba

  • @colethamkamate6617
    @colethamkamate6617 6 месяцев назад

    Well said

  • @user-bd6wn4sn4h
    @user-bd6wn4sn4h 6 месяцев назад +2

    Ameni wewe nichuma vunja nondo mshua

  • @lizyNgaa
    @lizyNgaa 6 месяцев назад +1

    Amen kaka

  • @NoelKomba-bj4yr
    @NoelKomba-bj4yr 6 месяцев назад +1

    Nguruvi aghukyinighake mlongovangu

  • @manumbubujiba8610
    @manumbubujiba8610 6 месяцев назад +1

    Umenena mtumishi.

  • @MwinjilistiEmanuelmzuri
    @MwinjilistiEmanuelmzuri 6 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @goshenprayersministries
    @goshenprayersministries 6 месяцев назад +1

    Kandamiza mkuu

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 6 месяцев назад +1

    Bishop tenaa???

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 6 месяцев назад

    ASANTE MTUMISHI MAANA UMEPIGA PANAPOUMA, KUNA WATUMISHI HATA MIMI HUWA SIWAELEWI, SHUHUDA ZAO NA MAHUBIRI YAO NI MEPESI WANATUPULIZIA BILA KUKEMEA DHAMBI.

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s 5 месяцев назад +1

    Hawo.wachungaji.wamafuta.wanasaidiwa.mafirimasoni.