HAKIKA YESU aendelee kukunoa nmeipenda hii sifa na utukufu ni kwa Mungu Emanuel endelea kukaa barazan kwa Mungu tuendelee kupokea damu ya YESU iendelee kukutunza
To be honestly....Naelewa Sana Mahubiri ya Mtumishi anahubiri Kwa lugha nyepesi na inaeleweka vzr Sana. Sasaiv ni postor namba Moja Kwangu Kwa kumskiliza na kunisaidia kumjua Mungu
Amina mtumishi wa BWANA YESU, Ujumbe wako ni mzuri sana tena ni injiri ya kweli na ulivyoanza sivyo ulivyo sasa, nakuombea neema kwa BWANA YESU uendelee kunyenyekea mbele za YEHOVA.
nimeikubali injili hii,Mungu akupe kudumu katika kweli yake,isipokuwa kanisa limepotoka kwa kiwango kikubwa mno,cku hizi wachungaji wanaajiri hadi watu wafanye vituko kwa jina la miujiza,kizazi kilicholaaniwa,watoto wa majoka.watu wamekataa garama ya kumtafuta Mungu wanakimbilia undanganyifu wa shetani.
Hongera Sana Mtumishi. "Hizi shuhuda zinaua Kanisa la Kiroho na kujenga Kanisa la mwili" Maana yake tunaua Kiroho ambacho ndilo Kanisa la kweli la Kiroho na tunatoa shuhuda za uongo kujenga Kanisa la mwili yaani kujaza majengo yamakanisa yetu kupata sadaka nyingi na kupata sifa za wingi wa Watu katika madhehebu yetu.
aisee umetisha sana big point watu wanamchezea sana mungu makanisa yamekuwa nalamli zauganga wachungaji wanekuwa matapeli tu wanatafuta pesa kwakutapeli wajinga wanao jiita waumini wenye akili ndogo watu duniani wanaangamia kwakukosa maalifa
Amen Mtumishi ubarikiwe sana kwa neno zuri hayo maigizo yanayoendelea yanaua mioyo ya watu wanaompenda Mungu. Kutokana Mtu anampenda Mungu vile alivyo na anatarajia kupokea lolote kutoka kwa Bwana na ndilo litakuwa sahihi kwakua Mungu anajibu kwa wakati wake na ndio sahihi lakini watumishi wasiowaaminifu hudanganya wengi kanakwamba wana ratiba ya Mungu matokeo yake watu wanaanza kutangatanga miaka hadi miaka hawajibiwi wengine mpaka wanakufa kwa udanganyifu.
Siuondoke hapo kwenye hiyo madhabahu ndugu?, Yaani umeshajua kuna shida bado upo hapo?,utakuwa umefungwa,hapo siyo pa kukaa kimbia na naamini dodoma hapo kuna madhabahu nyingi za kweli.
ASANTE MTUMISHI MAANA UMEPIGA PANAPOUMA, KUNA WATUMISHI HATA MIMI HUWA SIWAELEWI, SHUHUDA ZAO NA MAHUBIRI YAO NI MEPESI WANATUPULIZIA BILA KUKEMEA DHAMBI.
Safi sana somo limesomeka wenye sikio wamesikia
HAKIKA YESU aendelee kukunoa nmeipenda hii sifa na utukufu ni kwa Mungu Emanuel endelea kukaa barazan kwa Mungu tuendelee kupokea damu ya YESU iendelee kukutunza
Unasema ukweli Mtumish wa mungu
To be honestly....Naelewa Sana Mahubiri ya Mtumishi anahubiri Kwa lugha nyepesi na inaeleweka vzr Sana. Sasaiv ni postor namba Moja Kwangu Kwa kumskiliza na kunisaidia kumjua Mungu
Amina.Hiyo ndio injili ya kweli Mtumishi.Barikiwa
Amina mtumishi wa BWANA YESU, Ujumbe wako ni mzuri sana tena ni injiri ya kweli na ulivyoanza sivyo ulivyo sasa, nakuombea neema kwa BWANA YESU uendelee kunyenyekea mbele za YEHOVA.
Ameen barikiwa San mtumishi
Hongela masanja uko sawa hao watumishi waongo wapigwe kwa Nina la yesu
Amen ni kweli
Very very unique leason
Balikiwa sana Mutumishi na kufatiliya toka Congo Butembo 🎉🎉🎉
nimeikubali injili hii,Mungu akupe kudumu katika kweli yake,isipokuwa kanisa limepotoka kwa kiwango kikubwa mno,cku hizi wachungaji wanaajiri hadi watu wafanye vituko kwa jina la miujiza,kizazi kilicholaaniwa,watoto wa majoka.watu wamekataa garama ya kumtafuta Mungu wanakimbilia undanganyifu wa shetani.
Ninampa Mungu utukufu kwa ujumbe huu. Mwenye dhamira ya mbingu ataelewa
Hongera Sana Mtumishi. "Hizi shuhuda zinaua Kanisa la Kiroho na kujenga Kanisa la mwili" Maana yake tunaua Kiroho ambacho ndilo Kanisa la kweli la Kiroho na tunatoa shuhuda za uongo kujenga Kanisa la mwili yaani kujaza majengo yamakanisa yetu kupata sadaka nyingi na kupata sifa za wingi wa Watu katika madhehebu yetu.
Safi sana Emmanuel, wewe siyo Masanja Mkandamizaji tena, Mungu amekubadilisha jina, Wewe ni Emmanuel Mungu pamoja nasi
Ni wakati wa kusema ukweli
Hakika huu ni ujumbe mzuri Sana, MUNGU ambariki mtumishi wake❤❤
aisee umetisha sana big point watu wanamchezea sana mungu makanisa yamekuwa nalamli zauganga wachungaji wanekuwa matapeli tu wanatafuta pesa kwakutapeli wajinga wanao jiita waumini wenye akili ndogo watu duniani wanaangamia kwakukosa maalifa
Ujumbe ulionyooka kama rula ni ukweli mtupu
Uzidi kubarikiwa mtumishi kwa Jina la Yesu Kristo
Barikiwa Dady Mungu Akuinue
Chuma la JEHOVA 🙏
Amina amina
Ooh yes 💪, Mtumishi hana mbingu yakunipeleka,na hili swala la uongo Mungu ingilia kati maana uongo umezidi🙏
Hii ya Leo kwinini. Imenikaa kisawa sawa. Umeningezea maarifa pastor masanja. Umenipa wimbo hapo nanitakuja nayo huko redio kwako. Amen😅
da! nimecheka sana naa nimebarikiwa yan nimebarikiwa huku na enjoy asanteee my pastor
Amina mtumishi
Kuna watumishi Mungu anawatumia kwa viwango vya juu Sana na hao hawana muda wa kuongea Mambo ya wengine
Endelea masanja na injili ya kweli mungu akutie nguvu
Amen Mtumishi ubarikiwe sana kwa neno zuri hayo maigizo yanayoendelea yanaua mioyo ya watu wanaompenda Mungu.
Kutokana Mtu anampenda Mungu vile alivyo na anatarajia kupokea lolote kutoka kwa Bwana na ndilo litakuwa sahihi kwakua Mungu anajibu kwa wakati wake na ndio sahihi lakini watumishi wasiowaaminifu hudanganya wengi kanakwamba wana ratiba ya Mungu matokeo yake watu wanaanza kutangatanga miaka hadi miaka hawajibiwi wengine mpaka wanakufa kwa udanganyifu.
Amen pastor very true Mungu hasaidiwi kazi
Asante kwa ujumbe mnzuri umenisaidia mengi
God bless you❤
Yani sisi tunamchungaji mwongo kweli natamani hata ungekuwa na kanisa Dodoma ,ubarikiwe sana,🙏
Siuondoke hapo kwenye hiyo madhabahu ndugu?,
Yaani umeshajua kuna shida bado upo hapo?,utakuwa umefungwa,hapo siyo pa kukaa kimbia na naamini dodoma hapo kuna madhabahu nyingi za kweli.
Masanja kagusa maeneo ya watu Mungu akulinde
UTUKUFU KWA BWANA ,,AMINA LEO NIMEPATA kikubwa Sana kwamba Mungu asaidiwi ,UONGO MBAYA SANA
Safi sanaaaaaa God bless you
Hakika Mungu anakutumia, Aman of God
Glory Glory to God🙏
Saafi mtumishi
Nimekuelewa sana mtumishi waambie hao wataka sifa na wapiga hela.
Amen ubarikiwe mtumish wa Mungu
Glory to God leo nmepata kitu kikubwa Sana kwamba Mungu asaidiwi we need to live with the truth God bless you pastor
Sawa mtumishi ila ila hayo mavazi uliyo vaa sina uhakika kama kama unauelewa nayoo!!
Amen
Toka rwanda hapa tunawapata vizuri , tupe tu ukweli japo mchungu
Umenena baba
neno zuri mno, sikutarajia kama ungefundisha hivi.. Mungu akubariki mno
Ameen
Injiri Hii Imenyoka Mtumishi Haijachakachuliwa Mungu Akutunze Saana Mtumishi
Barkiwa mtumishi wa mungu
Safy ❤
Amen Amen
Pastor masanja nimekuelewa waambie Baba waache ukanjanja"
Mwanangu uko vizuri
Ameeeeeeen
Masanja wewe nikomidiani lakini unachakifanya hapo kanisani mungu atakulipa kwa hiyo elimi unayoitoa binafsi nimekuelewa sana❤
Sijawahi kuchoka kukusikiliza, Mungu aendelee kukupandisha juu zaidi, unabariki wengi.
Kandamija Ng'wanawaneee
Mungu akubariki kwa kweli maan unaongea ukweli kabisa
Safiii Mtumishi Ubarikiwee saaaaana Masanja Nimekubarii Ubarikiwee mtumishiiii
Umenikumbusha mengi....iwe heri Kwa wengi
Hiyo baba nakupa zote miamia ,wape neno
Seja abençoado pastor
Emmanuel
Amina sana baba umenitoa mahali Amen 🙏🙏
Masanja leoooooo...... Umefurumushaaaa
Huyu anaweza kuwa mchungaji wangu,
Mungu akuinue Mtumishi wa Mungu.
Ubarikiwe sana kwa mahubiri ya kweli
Nimekuelewa sana pastor
Ubarikiwe sana mchungaji
Ila hapa rafiki yangu hongera sana sana huyu ni Mungu amekutuma
Ni kweli kwa mahubili haya ni mungu anamtuma
Asante mtumishi wa Mungu, uko juu
Amina mtumishi MUNGU akubariki.
Yes yes.. Amen.. man of God, hiz ndio nondo zinazotakiwa kwa kizazi cha leo
Ubarikiwe sana
Amina Mtumishi Sema Kweli
😂😂😂😂safiiiiii sanaaaaaaaaaa
Aminaaaaa
Ameeen baba 🙏🙏🙏
Ameeen Ameeen Pastor.....
Amen.
Waongo hawaendi mbinguni
Baba ubarikiwe sana
Amen amen barikiwa MTUMISHI
Kaa Imara unatangaza vita .
Preach preach pastor
Ameen, ameen
Amen kubwa
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Afu we masanja ni comedian kanisani 😂😂😂😂
Nakuelewa.baba
Well said
Ameni wewe nichuma vunja nondo mshua
Amen kaka
Nguruvi aghukyinighake mlongovangu
Umenena mtumishi.
❤❤
Kandamiza mkuu
Bishop tenaa???
ASANTE MTUMISHI MAANA UMEPIGA PANAPOUMA, KUNA WATUMISHI HATA MIMI HUWA SIWAELEWI, SHUHUDA ZAO NA MAHUBIRI YAO NI MEPESI WANATUPULIZIA BILA KUKEMEA DHAMBI.
Hawo.wachungaji.wamafuta.wanasaidiwa.mafirimasoni.