CHEKESHA : KIKAO KIFO CHA BOSS / MASANJA / MPOKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 260

  • @josephatlameck4533
    @josephatlameck4533 3 месяца назад +6

    Bonge nakupenda sana na unajua Sana kuigiza kpenz

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf 3 месяца назад +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 NYIE woote mnatisha sanaaaa. Hongereni Sana.

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @lemeboyofficial
    @lemeboyofficial 3 месяца назад +5

    Mmetisha mnoo uhusika wa mke wa mpoki Kaua mnoo ametiisha mnoo
    Jamii ina watu kama hawa lakini hatuwaelewi tunawaona kama wanakiherehere

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад +1

      Umeongea vyema sana

    • @lemeboyofficial
      @lemeboyofficial 3 месяца назад +1

      @@ChekeshaTv pamojaaaa sanaa
      Ila Ambao hawaijui Sanaa wataona anaropoka wakati huo Ni uhusika wake

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 3 месяца назад +1

      Ni kweli kabisa

  • @samsondawson6982
    @samsondawson6982 3 месяца назад +7

    Kama mmekumbuka hii idea wameirudia ile ya miaka kama minne iliyopita ambapo joti alikua Amefiwa na mtoto wake alikua ni HR hakuna kitu kipya zaidi ya wameongeza watu tu ila hii wameshaifanya

    • @TimilaiGuga
      @TimilaiGuga 3 месяца назад

      So?

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад +1

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      ​@@TimilaiGugachat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

    • @emmanuelkungubala3912
      @emmanuelkungubala3912 Месяц назад

      huwa naitafuta youtube ile na siipati,,,, inaitwa mchanganuo wa rambirambi

  • @J约瑟夫·阿德森
    @J约瑟夫·阿德森 19 дней назад +1

    Mzee chalamila😂😂😂

  • @ramsogoscop
    @ramsogoscop 3 месяца назад +4

    Dada bonge hana experience na hii kazi.pls mpeni madin kwenye mozoezin

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @shaibinhojr3209
    @shaibinhojr3209 3 месяца назад +7

    Kiujumla wte mmetisha kwel wakongwe kazini😂😂

  • @AvityZam
    @AvityZam 3 месяца назад +1

    mpoki nimekupenda bure unajuaa saannnn masanja on fire

  • @maxmawe3945
    @maxmawe3945 18 дней назад

    Ata nyimbo watu ua wanarudia wkt walifny kuna watu wengne awakuoon xo n saw tu kurudia

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 месяца назад

    Comedians wa uhakika Big up sana kwenu...Mmmetisha sana

  • @MREVENTPLANNER-gy4di
    @MREVENTPLANNER-gy4di 3 месяца назад +7

    Hawa wanaosema mama hajuii kuigizaa hawajuii nini maana ya uigizajii tena huyo mana kaigiza ualisia kabisa kutokana na uhusikaa aliopewa

    • @mmarycalvin6395
      @mmarycalvin6395 3 месяца назад

      Umekua positive safiii

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 3 месяца назад

      Ni kweli kabisa.

    • @dr.peterofficial6390
      @dr.peterofficial6390 2 месяца назад

      Hapa issue ni script ndio inataka asiongee ongee sana vitu vya mbeleni ambavyo ndio lengo la script kuigiza ni kuendana na script na sio uhalisia mnaousema hapa

    • @MREVENTPLANNER-gy4di
      @MREVENTPLANNER-gy4di 2 месяца назад

      @@dr.peterofficial6390 poleee Sanaa mzee,usichokijuwaa wewe maandishii anapomchoraa msanii kwenye maandishii lazma ajue nataka awe Kama Nani kwenye jamiii husika coz,haijalishii script inasemaje but script lazma hiakisii uhalisia wa jamii husika so kutokana na script mama ameweza kufikisha ujumbe kwa uhalisia wa wamama wetu uswahilinii wanaopenda kuropoka ropoka upoo mzee Big up kwa Mam etu kaweza kuvaa character yake vyemaa

  • @Lashymreal96
    @Lashymreal96 3 месяца назад +9

    Wenye mnasema mama bonge hajui kaigizeni nyinyi nkt

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

    • @JosephMulumbaDunia
      @JosephMulumbaDunia 2 месяца назад

      Waswahili hawana kizuri ; uki wafuatilla hauto fanyaga chochote

  • @maxmawe3945
    @maxmawe3945 18 дней назад

    Msiwe watu wakuvunja moy et mama bonge hajui kueni watu wa kujenga sanaa ni mpangilio sasa we unasem hajui wkt scene inamtak acheze uhusika uo watien moyo cio kusem ajuh

  • @ImaniMwashilindi
    @ImaniMwashilindi 3 месяца назад +5

    Nilijuwa to hakuna hera hapa du

  • @NOVATISIYAME
    @NOVATISIYAME 29 дней назад

    Huyooo bonge anajuwa sana

  • @anastaziambote4574
    @anastaziambote4574 2 месяца назад

    😂😂😂😂 mpoki ndio unawatwisha viti jamani nakuwamwagia maji maji
    😅😅😅😅mnaweza sana wote mko mzuri

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 3 месяца назад +2

    Mpoki et watu wamekula maharage matupu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 3 месяца назад +1

    hii comedy mmeirudia, mliigizaga enzi zenu zile joti alikuwa kama babu aliyefiwa. whole script mmeirudia. sema niliipenda sana ile ya babu joti, alibakishiwa shilingi mia😂😂. afu bonge anaharibu, anatujulisha mwisho wa comedy tokea mwanzo, inapunguza uhondo,,,,angejifanya hajui kitakachotokea

    • @Amirmgunya-pt2zm
      @Amirmgunya-pt2zm 2 месяца назад

      Waache warudie kwani ww unazurika wap cheka tena

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 2 месяца назад

      @@Amirmgunya-pt2zm hii ya sahiv haichekeshi sasa.....bora ata wewe unachekesha😂😂

  • @kilalamuhumba4612
    @kilalamuhumba4612 2 месяца назад +1

    Huyo mama bonge achaneni nae anaharibu show

  • @Ushindiemmanuelushindi
    @Ushindiemmanuelushindi 3 месяца назад +6

    Masanja na kukubari sana ila hii kazi ya kuigiza waachie2 kina mpoki ww nimchungaji Kwa Sasa so anzisha maisha yakibiashara2 uwe boss MCH sio mizaha kama hii sawasawa na zabur1;1_3

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад +4

      Shida Unachanganya mambo

  • @mussawaziri4702
    @mussawaziri4702 3 месяца назад

    Wazee zibeni masikio pamba hao wanao coment pumba waseme wamecheka au hawajacheka!?
    Kazi nzuri sana wakuu hingereni kwa kazi zenu zenye ubora wa hali ya juu sana, na hii ni zaidi ya commedy🙌🏽🙌🏽
    Nawakubari sana you make everyone’s day na tunawaunga mkono.
    Hao wanao comment pumba ndo viewers wazuri sana na wamesubscribe for next episodes😂😂😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      @@mussawaziri4702 kweli kabisa

  • @JoshuaSamwel-j2k
    @JoshuaSamwel-j2k 3 месяца назад +2

    Sehemu ya uyo dada bonge mngemuweka Katarina

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @HermanMassawe-sj4nj
    @HermanMassawe-sj4nj 3 месяца назад

    Tatizo! Mlichanganya siasa na kazi zenu za usanii! Poleni!

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 2 месяца назад

    mama lmma kama co ww vile umetupia balaa..haaahaaahaaahaaa nakukubali sana mama lmma

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 26 дней назад

    Mambo ya kiswahili😅

  • @paulbenedict-jj9ul
    @paulbenedict-jj9ul 3 месяца назад

    Nimecheka sana mbavu zangu

  • @paulmbwilo6477
    @paulmbwilo6477 3 месяца назад

    Ile ya mwanzo mkiwa na Joti ndiyo nzuriii

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 2 месяца назад

    Mpoki mpuuz sana et halaf watu wa mjini wakilia machozi huyaoni yanavilia ndani kwa ndani 😂😂

  • @FLORENCEPETER-v1p
    @FLORENCEPETER-v1p 2 месяца назад

    Huyo mama amezidi kihelehele hajui kuigiza

  • @EmanuelMwakajinga
    @EmanuelMwakajinga 3 месяца назад +2

    Mnawezaa aiseeee🏆🙌😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 месяца назад +3

    Nimempenda mke wa mpoki, ameona mbali.

  • @monicamunisi2889
    @monicamunisi2889 3 месяца назад +2

    Dada hapana, Kibonge bado

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @SisteryMagwaza-pi2yk
    @SisteryMagwaza-pi2yk 17 дней назад

    Ima ame anza kazi yake🤣🤣

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад +1

    Wakuvanga nomaaa

  • @MohamedIsaya
    @MohamedIsaya 2 месяца назад

    Mbona mnarudia jaman au mmeishiwa mana nawafatilia mda mlefu hh mlisha ifanya kuchanganua

  • @Tunyoorap
    @Tunyoorap Месяц назад

    Sifuli baba😃😃😃

  • @LaurianChristian
    @LaurianChristian 3 месяца назад

    Mko vizuri katika kazi hii, ila kurudia mchezo unahitaji ubunifu ili hadhira hata akifahamu aone mchezo ni kama mpya. Nje ya ubunifu mzuri inaonyesha mchezo wa mwanzo kuwa mzuri kuliko ule wa kuboresha. Tupokee maoni na tuyaingize kazini.

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @ntambisamwel4436
    @ntambisamwel4436 3 месяца назад

    😅😅😅dah hatr sanaa sema kwel mama bonge anaongea kwa sauti kali inaumiza masikio

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @kilonzomchome2576
    @kilonzomchome2576 3 месяца назад +2

    Maneno yakuwa mengi,jua pesa kidogo au hmna kbsa

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid8488 2 месяца назад

    Masanja Naona unabonga Kiha Mwakeye.

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 месяца назад

    Sikuhizi mmeishiwa kabisa, sasa hivi kuna damu changa wanafanya vizuri sana.

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  2 месяца назад

      Umeshasema damu changa sisi ni Wakongwe

  • @fortunatahulilo8411
    @fortunatahulilo8411 3 месяца назад +3

    Wanyonyadamuuuu😂😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 3 месяца назад +2

    Hhhhhhhhhhhhh huu msiba umekua double impact

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @Jeysen_lemar
    @Jeysen_lemar 2 месяца назад

    😂😂😂😂ujue wakuvanga ni miayusho sana Tena namkubaligi akikasirika 😂😂😂😂😂

  • @linajulius4185
    @linajulius4185 2 месяца назад +1

    Hela ya kampuni😂😂

  • @MrJevelson
    @MrJevelson 3 месяца назад +1

    Chalamila na bajwahuka wapi na wapi sasa😂

  • @AliceMussa-kv5um
    @AliceMussa-kv5um 3 месяца назад +1

    Dereva katumia mpaka Hela yake

  • @jamesmapalala4045
    @jamesmapalala4045 3 месяца назад

    Mm nashauli na Mboneke awepo kwenye hili kundi mtanishkuru😅

  • @NgarasaaJunior
    @NgarasaaJunior 3 месяца назад +1

    NYiE mnaosema dada bonge hajuiii kuigiza mkaigizeee NYiE bc😊😊

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @Jrhythms.
    @Jrhythms. 3 месяца назад +1

    Hiko alichoongea sio kiingereza kabisa 😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 3 месяца назад +2

    Nani atanikopesha mbeya wa office yote ya nini😂😂😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @EmmanuelMakoye-h3i
    @EmmanuelMakoye-h3i 3 месяца назад

    Masanja nakukubali sana😂😂😂😂😂

  • @johnsonpaul8362
    @johnsonpaul8362 3 месяца назад

    Hahahahah, Wapuuzi sana Nyie😀

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @frankmichael411
    @frankmichael411 3 месяца назад +3

    Hii Kari

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 2 месяца назад +1

    Huyo bonge mmepata shoti tu

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 3 месяца назад

    Hehee... masanja na mpoki wote taira...😂😂😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaa

  • @nassorosaid-rp4dn
    @nassorosaid-rp4dn 3 месяца назад

    Eti mzee alikuwa ni HR

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 3 месяца назад

    Mpoki kumbe Mariooo😂

  • @MauBonde
    @MauBonde 2 месяца назад +1

    Hii comedy ya mchanganuo mshairudia sana umizeni vichwa mtuletee vitu vipya.

  • @KorudiniVaroiya
    @KorudiniVaroiya 3 месяца назад

    jamaa mnajua

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka 2 месяца назад

    Kutambika Milazetu izo

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 2 месяца назад

    Hela ni noma 😂😂😂

  • @kay170
    @kay170 3 месяца назад

    Ma bonge Badoo,apambane

  • @philipopeter9929
    @philipopeter9929 2 месяца назад

    Markregan umetisha hutaki ushenzi

  • @stevemayala2739
    @stevemayala2739 3 месяца назад +3

    Mmetisha sana

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka 2 месяца назад

    Unakopa kwenye hela ya MAREHEM😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @juliusjohn698
    @juliusjohn698 2 месяца назад

    Kijana naona hii tuitoe 😂😂😂😂

  • @mshindochanga5698
    @mshindochanga5698 3 месяца назад +2

    Sifuri baba😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @MasterMohamed-uc8uj
    @MasterMohamed-uc8uj 2 месяца назад

    Hii ni kali Sanaa kama michango ya rambirambi inatumiwa ni hatari

  • @enockkaini5386
    @enockkaini5386 2 месяца назад

    i wish siku moja nikutane na makregani napenda anavoongea jamaa

  • @christophalmsongo5208
    @christophalmsongo5208 3 месяца назад

    Hi nakumbuka iliwahi tokea maporomoko

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @st.jamese.r6941
    @st.jamese.r6941 3 месяца назад

    Ila Masanja, eti mwakeye 😂😂😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @Mra_brandvevo
    @Mra_brandvevo 3 месяца назад

    Yani hii comedy unacheka Hadi unakojoa😂😂😂😂

    • @yusuphmwanza507
      @yusuphmwanza507 3 месяца назад

      Hii comedy mtu anaeweza kucheka adi kukojoa basi uyo atakuwa ana matatizo ya kibofu cha mkojo

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 3 месяца назад +29

    Uyo dada Bonge kuigiza bado analopoka lopoka tu aweki uhalisia wa kuigiza ayupo seriously kabisa .mwambieni abadilike huo ni mtazamo wako

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад +3

      Ndio anajifunza sasa

    • @AliyuHamisi
      @AliyuHamisi 3 месяца назад +5

      Unaweza wewe tukupe kitengo

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 3 месяца назад +18

      Watu "hawalopoki" wanaropoka. Pili, hatusemi "aweki" bali haweki. Tatu si sahihi kusema "ayupo" sema hayupo. Wala huwezi kusema "hayupo seriously". Sahihi ni hayuko serious. Jifunze kwanza lugha kabla hujaanza kukosoa wenzio.

    • @bhenryfilm
      @bhenryfilm 3 месяца назад +3

      Kumbka ni comedy ko Bado hamna alichoharibu....😊

    • @besttrendingcovers1838
      @besttrendingcovers1838 3 месяца назад +3

      umemuona kumbe

  • @jrstories5062
    @jrstories5062 3 месяца назад

    Ety mpoki anasema nibora mngebaki kigoma mm niruke chap

  • @ferdinandmakore5002
    @ferdinandmakore5002 3 месяца назад

    Sifuri baba. Hahahahaha😂

  • @vascokagombora7165
    @vascokagombora7165 2 месяца назад

    🤣🤣🤣🤣wapuuzi kweli nyie

  • @boniphace1
    @boniphace1 3 месяца назад

    😂😂😂😂 mpoki bana

  • @JoshuaYunde
    @JoshuaYunde 23 дня назад

    Uyo bonge toeni bhana

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 2 месяца назад

    Huyo bonge mmepata hasara tu hata hachekeshi

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug 3 месяца назад

    Chief.hata body guard huna

  • @OmyOmar-s3r
    @OmyOmar-s3r 2 месяца назад

    😮

  • @nicholasmuli5904
    @nicholasmuli5904 3 месяца назад

    ati mbeya wa ofisi🤣🤣🤣

  • @gnasnassary9475
    @gnasnassary9475 2 месяца назад

    😂😂😂ila mpoku

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 2 месяца назад

    Ba mdogo hata haelewi

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 2 месяца назад

    😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 3 месяца назад +1

    😂😂😂eti wanaomba tena 75k ya nauli

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @EmanuelRyoba
    @EmanuelRyoba 2 месяца назад

    Bonge kelele nyingi

  • @NuruSalum-k1c
    @NuruSalum-k1c 2 месяца назад

    Unachekeshwa kiufundi

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 месяца назад

    🤣🤣🤣🤣daah hela imepigwa

  • @james-lx6rf
    @james-lx6rf 3 месяца назад

    wafanyakaz wanalia kuliko sisi watoto wa marehemu hahahahahahahahaa

  • @kiatu
    @kiatu 3 месяца назад

    Hizi tabia za kupeana mikono inabidi zife hapo ni mila lakini ni mila mbaya. Magonjwa jamani

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @christopherdotto6023
    @christopherdotto6023 3 месяца назад

    Funga kikao hapo pesa imepigwa

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 3 месяца назад

    Hela ya kampun

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @AlexSanga-yb5tg
    @AlexSanga-yb5tg 3 месяца назад

    Joti yupo wp,

  • @angedizzle1
    @angedizzle1 3 месяца назад +1

    Unamshika Chifu kama msela😂

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      🤣🤣

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 месяца назад

    NIMECHEKA SANA

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @dicksonndayisaba9300
    @dicksonndayisaba9300 3 месяца назад

    Bei ya angani ni tofauti

    • @ChekeshaTv
      @ChekeshaTv  3 месяца назад

      chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR

  • @MohammedAlly-hp8fg
    @MohammedAlly-hp8fg 3 месяца назад

    zawad tulia bas mtoto wa magomen mapipa