Kama mmekumbuka hii idea wameirudia ile ya miaka kama minne iliyopita ambapo joti alikua Amefiwa na mtoto wake alikua ni HR hakuna kitu kipya zaidi ya wameongeza watu tu ila hii wameshaifanya
Hapa issue ni script ndio inataka asiongee ongee sana vitu vya mbeleni ambavyo ndio lengo la script kuigiza ni kuendana na script na sio uhalisia mnaousema hapa
@@dr.peterofficial6390 poleee Sanaa mzee,usichokijuwaa wewe maandishii anapomchoraa msanii kwenye maandishii lazma ajue nataka awe Kama Nani kwenye jamiii husika coz,haijalishii script inasemaje but script lazma hiakisii uhalisia wa jamii husika so kutokana na script mama ameweza kufikisha ujumbe kwa uhalisia wa wamama wetu uswahilinii wanaopenda kuropoka ropoka upoo mzee Big up kwa Mam etu kaweza kuvaa character yake vyemaa
Msiwe watu wakuvunja moy et mama bonge hajui kueni watu wa kujenga sanaa ni mpangilio sasa we unasem hajui wkt scene inamtak acheze uhusika uo watien moyo cio kusem ajuh
hii comedy mmeirudia, mliigizaga enzi zenu zile joti alikuwa kama babu aliyefiwa. whole script mmeirudia. sema niliipenda sana ile ya babu joti, alibakishiwa shilingi mia😂😂. afu bonge anaharibu, anatujulisha mwisho wa comedy tokea mwanzo, inapunguza uhondo,,,,angejifanya hajui kitakachotokea
Masanja na kukubari sana ila hii kazi ya kuigiza waachie2 kina mpoki ww nimchungaji Kwa Sasa so anzisha maisha yakibiashara2 uwe boss MCH sio mizaha kama hii sawasawa na zabur1;1_3
Wazee zibeni masikio pamba hao wanao coment pumba waseme wamecheka au hawajacheka!? Kazi nzuri sana wakuu hingereni kwa kazi zenu zenye ubora wa hali ya juu sana, na hii ni zaidi ya commedy🙌🏽🙌🏽 Nawakubari sana you make everyone’s day na tunawaunga mkono. Hao wanao comment pumba ndo viewers wazuri sana na wamesubscribe for next episodes😂😂😂
Mko vizuri katika kazi hii, ila kurudia mchezo unahitaji ubunifu ili hadhira hata akifahamu aone mchezo ni kama mpya. Nje ya ubunifu mzuri inaonyesha mchezo wa mwanzo kuwa mzuri kuliko ule wa kuboresha. Tupokee maoni na tuyaingize kazini.
Watu "hawalopoki" wanaropoka. Pili, hatusemi "aweki" bali haweki. Tatu si sahihi kusema "ayupo" sema hayupo. Wala huwezi kusema "hayupo seriously". Sahihi ni hayuko serious. Jifunze kwanza lugha kabla hujaanza kukosoa wenzio.
Bonge nakupenda sana na unajua Sana kuigiza kpenz
Safi sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 NYIE woote mnatisha sanaaaa. Hongereni Sana.
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Mmetisha mnoo uhusika wa mke wa mpoki Kaua mnoo ametiisha mnoo
Jamii ina watu kama hawa lakini hatuwaelewi tunawaona kama wanakiherehere
Umeongea vyema sana
@@ChekeshaTv pamojaaaa sanaa
Ila Ambao hawaijui Sanaa wataona anaropoka wakati huo Ni uhusika wake
Ni kweli kabisa
Kama mmekumbuka hii idea wameirudia ile ya miaka kama minne iliyopita ambapo joti alikua Amefiwa na mtoto wake alikua ni HR hakuna kitu kipya zaidi ya wameongeza watu tu ila hii wameshaifanya
So?
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
@@TimilaiGugachat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
huwa naitafuta youtube ile na siipati,,,, inaitwa mchanganuo wa rambirambi
Mzee chalamila😂😂😂
Dada bonge hana experience na hii kazi.pls mpeni madin kwenye mozoezin
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Kiujumla wte mmetisha kwel wakongwe kazini😂😂
Na majji wakamwagiwa
mpoki nimekupenda bure unajuaa saannnn masanja on fire
Ata nyimbo watu ua wanarudia wkt walifny kuna watu wengne awakuoon xo n saw tu kurudia
Comedians wa uhakika Big up sana kwenu...Mmmetisha sana
Hawa wanaosema mama hajuii kuigizaa hawajuii nini maana ya uigizajii tena huyo mana kaigiza ualisia kabisa kutokana na uhusikaa aliopewa
Umekua positive safiii
Ni kweli kabisa.
Hapa issue ni script ndio inataka asiongee ongee sana vitu vya mbeleni ambavyo ndio lengo la script kuigiza ni kuendana na script na sio uhalisia mnaousema hapa
@@dr.peterofficial6390 poleee Sanaa mzee,usichokijuwaa wewe maandishii anapomchoraa msanii kwenye maandishii lazma ajue nataka awe Kama Nani kwenye jamiii husika coz,haijalishii script inasemaje but script lazma hiakisii uhalisia wa jamii husika so kutokana na script mama ameweza kufikisha ujumbe kwa uhalisia wa wamama wetu uswahilinii wanaopenda kuropoka ropoka upoo mzee Big up kwa Mam etu kaweza kuvaa character yake vyemaa
Wenye mnasema mama bonge hajui kaigizeni nyinyi nkt
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Waswahili hawana kizuri ; uki wafuatilla hauto fanyaga chochote
Msiwe watu wakuvunja moy et mama bonge hajui kueni watu wa kujenga sanaa ni mpangilio sasa we unasem hajui wkt scene inamtak acheze uhusika uo watien moyo cio kusem ajuh
Nilijuwa to hakuna hera hapa du
Huyooo bonge anajuwa sana
😂😂😂😂 mpoki ndio unawatwisha viti jamani nakuwamwagia maji maji
😅😅😅😅mnaweza sana wote mko mzuri
Mpoki et watu wamekula maharage matupu😂😂😂😂😂😂😂😂
hii comedy mmeirudia, mliigizaga enzi zenu zile joti alikuwa kama babu aliyefiwa. whole script mmeirudia. sema niliipenda sana ile ya babu joti, alibakishiwa shilingi mia😂😂. afu bonge anaharibu, anatujulisha mwisho wa comedy tokea mwanzo, inapunguza uhondo,,,,angejifanya hajui kitakachotokea
Waache warudie kwani ww unazurika wap cheka tena
@@Amirmgunya-pt2zm hii ya sahiv haichekeshi sasa.....bora ata wewe unachekesha😂😂
Huyo mama bonge achaneni nae anaharibu show
Masanja na kukubari sana ila hii kazi ya kuigiza waachie2 kina mpoki ww nimchungaji Kwa Sasa so anzisha maisha yakibiashara2 uwe boss MCH sio mizaha kama hii sawasawa na zabur1;1_3
Shida Unachanganya mambo
Wazee zibeni masikio pamba hao wanao coment pumba waseme wamecheka au hawajacheka!?
Kazi nzuri sana wakuu hingereni kwa kazi zenu zenye ubora wa hali ya juu sana, na hii ni zaidi ya commedy🙌🏽🙌🏽
Nawakubari sana you make everyone’s day na tunawaunga mkono.
Hao wanao comment pumba ndo viewers wazuri sana na wamesubscribe for next episodes😂😂😂
@@mussawaziri4702 kweli kabisa
Sehemu ya uyo dada bonge mngemuweka Katarina
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Tatizo! Mlichanganya siasa na kazi zenu za usanii! Poleni!
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
mama lmma kama co ww vile umetupia balaa..haaahaaahaaahaaa nakukubali sana mama lmma
Mambo ya kiswahili😅
Nimecheka sana mbavu zangu
Ile ya mwanzo mkiwa na Joti ndiyo nzuriii
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Mpoki mpuuz sana et halaf watu wa mjini wakilia machozi huyaoni yanavilia ndani kwa ndani 😂😂
Huyo mama amezidi kihelehele hajui kuigiza
Mnawezaa aiseeee🏆🙌😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Nimempenda mke wa mpoki, ameona mbali.
Dada hapana, Kibonge bado
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Ima ame anza kazi yake🤣🤣
Wakuvanga nomaaa
Mbona mnarudia jaman au mmeishiwa mana nawafatilia mda mlefu hh mlisha ifanya kuchanganua
Sifuli baba😃😃😃
Mko vizuri katika kazi hii, ila kurudia mchezo unahitaji ubunifu ili hadhira hata akifahamu aone mchezo ni kama mpya. Nje ya ubunifu mzuri inaonyesha mchezo wa mwanzo kuwa mzuri kuliko ule wa kuboresha. Tupokee maoni na tuyaingize kazini.
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
😅😅😅dah hatr sanaa sema kwel mama bonge anaongea kwa sauti kali inaumiza masikio
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Maneno yakuwa mengi,jua pesa kidogo au hmna kbsa
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Masanja Naona unabonga Kiha Mwakeye.
Sikuhizi mmeishiwa kabisa, sasa hivi kuna damu changa wanafanya vizuri sana.
Umeshasema damu changa sisi ni Wakongwe
Wanyonyadamuuuu😂😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Hhhhhhhhhhhhh huu msiba umekua double impact
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
😂😂😂😂ujue wakuvanga ni miayusho sana Tena namkubaligi akikasirika 😂😂😂😂😂
Hela ya kampuni😂😂
Chalamila na bajwahuka wapi na wapi sasa😂
Dereva katumia mpaka Hela yake
Mm nashauli na Mboneke awepo kwenye hili kundi mtanishkuru😅
NYiE mnaosema dada bonge hajuiii kuigiza mkaigizeee NYiE bc😊😊
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Hiko alichoongea sio kiingereza kabisa 😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Nani atanikopesha mbeya wa office yote ya nini😂😂😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Masanja nakukubali sana😂😂😂😂😂
Hahahahah, Wapuuzi sana Nyie😀
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Hii Kari
Huyo bonge mmepata shoti tu
Hehee... masanja na mpoki wote taira...😂😂😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaa
Eti mzee alikuwa ni HR
Mpoki kumbe Mariooo😂
Hii comedy ya mchanganuo mshairudia sana umizeni vichwa mtuletee vitu vipya.
jamaa mnajua
Kutambika Milazetu izo
Hela ni noma 😂😂😂
Ma bonge Badoo,apambane
Markregan umetisha hutaki ushenzi
Mmetisha sana
Unakopa kwenye hela ya MAREHEM😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kijana naona hii tuitoe 😂😂😂😂
Sifuri baba😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Hii ni kali Sanaa kama michango ya rambirambi inatumiwa ni hatari
i wish siku moja nikutane na makregani napenda anavoongea jamaa
Hi nakumbuka iliwahi tokea maporomoko
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Ila Masanja, eti mwakeye 😂😂😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Yani hii comedy unacheka Hadi unakojoa😂😂😂😂
Hii comedy mtu anaeweza kucheka adi kukojoa basi uyo atakuwa ana matatizo ya kibofu cha mkojo
Uyo dada Bonge kuigiza bado analopoka lopoka tu aweki uhalisia wa kuigiza ayupo seriously kabisa .mwambieni abadilike huo ni mtazamo wako
Ndio anajifunza sasa
Unaweza wewe tukupe kitengo
Watu "hawalopoki" wanaropoka. Pili, hatusemi "aweki" bali haweki. Tatu si sahihi kusema "ayupo" sema hayupo. Wala huwezi kusema "hayupo seriously". Sahihi ni hayuko serious. Jifunze kwanza lugha kabla hujaanza kukosoa wenzio.
Kumbka ni comedy ko Bado hamna alichoharibu....😊
umemuona kumbe
Ety mpoki anasema nibora mngebaki kigoma mm niruke chap
Sifuri baba. Hahahahaha😂
🤣🤣🤣🤣wapuuzi kweli nyie
😂😂😂😂 mpoki bana
Uyo bonge toeni bhana
Huyo bonge mmepata hasara tu hata hachekeshi
Chief.hata body guard huna
😮
ati mbeya wa ofisi🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂ila mpoku
Ba mdogo hata haelewi
😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣
😂😂😂eti wanaomba tena 75k ya nauli
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Bonge kelele nyingi
Unachekeshwa kiufundi
🤣🤣🤣🤣daah hela imepigwa
wafanyakaz wanalia kuliko sisi watoto wa marehemu hahahahahahahahaa
Hizi tabia za kupeana mikono inabidi zife hapo ni mila lakini ni mila mbaya. Magonjwa jamani
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Funga kikao hapo pesa imepigwa
Hela ya kampun
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Joti yupo wp,
Unamshika Chifu kama msela😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
🤣🤣
NIMECHEKA SANA
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Bei ya angani ni tofauti
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
zawad tulia bas mtoto wa magomen mapipa