MAMA KARUME ATEMA NYONGO | NITAMUADABISHA MZEE MAGOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 197

  • @TumpeZakaria
    @TumpeZakaria 2 месяца назад +6

    Shikamoo Mama ❤

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 2 месяца назад +7

    kweli kabisa huyo anatumiwa na watu huyo

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 месяца назад +2

    Yule Mzee ni Njaa tuu. 😂😂😂 Kumbe kashazoea

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 2 месяца назад

    Dada mchana mwenzangu Asante

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl 2 месяца назад +4

    Sana mam unaweza 😂😂😂😂

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 месяца назад +3

    Huyo magoma kafanya Nini tena😊

  • @FarajiSinawasa
    @FarajiSinawasa 2 месяца назад +1

    Huyoo magoma ni shogaaa

  • @rukundorwiza5223
    @rukundorwiza5223 2 месяца назад +1

    Magoma sisi yanga tunampenda

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 месяца назад +5

    Nimekuelewa sana dadaangu uko sawa sana

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 2 месяца назад +9

    Sasa nyinyi wenyewe waandishi ni wa kughushi mnamzulia mama wa Rais wetu wa mwanzo Zanzibar mbona mnatukosea nyinyi

  • @SafinaDanieli
    @SafinaDanieli 2 месяца назад +1

    💚💚💚💚💚

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 2 месяца назад +5

    Mzee afukunzwe tuu hapo jangwani mzee jinga sana hiloo

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 2 месяца назад +1

    Magoma ana matatizo ya kukosa hekima na busara. Kafilisika kiakili kabisaaaaa !

  • @ramadhanisimon
    @ramadhanisimon 2 месяца назад +1

    kwelii kabisa katukoseya sana huyo muzee fala kwelii huyo muzee

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 2 месяца назад +2

    Uyo ayupo pekeyake wako wengi tena ata viongozi wakubwa

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 2 месяца назад +3

    Mama umeongea pointi sana namm naamini akili yake haiko sawa au njaa tu lakini kwa hili sizani kama atakuwa na raha

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 2 месяца назад +2

    Magoma wasimkubalie kukaribia.clabu yayanga.wala kuja kucheza.bao hapo clabuni.huyo ni wakumuogopa kama ukoma atawatia wanachama.namashabiki wayanga matatizoniii!!!

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 2 месяца назад +10

    Asante. Mama. Umeeleweka. Sana. Nyuma. Ya. Magoma. Kuna. Watu. Na. Mnao. Humohumo. YANGA. Wanamutumia. Kwa. Maslilahi. Yao. Binafsi. Kuweni. Macho. Na. Umakini. Unahitajika

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 2 месяца назад +3

    Magoma Yuko vyema

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 месяца назад

      Inaonyesha magoma anatumiwa na madunduka

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 месяца назад +1

    Kunguru huyooo mangoma

  • @rashidmkomange2278
    @rashidmkomange2278 2 месяца назад +1

    Huyo mama karume kaongea wapi sasa nyie nao mizinguo

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад +3

    Magoma yuko sahihi tunazugwa na ushindi. Bodi ya Wazamini imepewa fedha. Haiwezekani wakaingia mikataba ya kimangungo kuanzia miaka 5 Hadi 10, wakati watani wetu hawazidi miaka 3. Kuhusu kwenda mahakamani anakuwa na hoja nzito. Asikilzwe, Jezi zimetoka 25,000/= mpaka 70,000/= huku gawio la timu ni 1,300/= tu.

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 месяца назад +1

      Kamnunue.chama kwa bukujero ya jezi 😂😂

    • @FrankMpole-r7u
      @FrankMpole-r7u 2 месяца назад

      ​@@maclaudismail6606😂😂😂

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael 2 месяца назад

      Wewe ni kolo,,,, huna lolote na Magoma hapati kitu pale kuwa mpole

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 2 месяца назад +4

    Mama karume gani uyo😁😁🏃🏃🏃

  • @RabeccaAdam
    @RabeccaAdam 2 месяца назад

    Hogera sana mama

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 месяца назад +1

    Magoma nakupendaa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 месяца назад

    Hoja kwa hoja ,,leta hoja😁

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 месяца назад +1

    Nyoooo, mtajibeba Babu Mzee anaongea ukweli

    • @AshrafuJuma-l3l
      @AshrafuJuma-l3l 2 месяца назад

      Katobwe uko kumamayo Koro wewe hiii yanga kubwa kuriko bibi yako

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti 2 месяца назад +2

    Wazee kama hawa hawafai.
    Itangazwe wazi kuwa siyo mwanachama.
    Ijulikane,ili hata akikutana na" Gen Z " wa Yanga

  • @AllDesigningTZ
    @AllDesigningTZ 2 месяца назад +1

    Chanel hii ni ya hovyo

  • @chemstry409
    @chemstry409 2 месяца назад +2

    Kabla ya kuruka agana na nyonga.... 😂😂😂😂😂

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri 2 месяца назад +3

    Asante dada nyie ndio wenye yanga

  • @sundaysHassan
    @sundaysHassan 2 месяца назад +1

    kwahiyo huyo ndio mama karume?

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 месяца назад +1

    Watu kama Magoma wanatakiwa sana watu wasijisahau kupiga hela

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g 2 месяца назад +3

    Anasumbuliwa nanjaa

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 месяца назад +3

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 месяца назад +3

    Huyu mama karume niwakufoji

  • @AmosKayega
    @AmosKayega 2 месяца назад

    We mama magoma Yuko sahihi

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 месяца назад +1

    Ongea mama etuu

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 месяца назад +1

    Washenzi nyieeeeeee😛😝😜🤪

  • @MohdAliHaji
    @MohdAliHaji 2 месяца назад +1

    Sasa mbona anashinda kesi

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 месяца назад +1

    Shkamoo magoma,umewapa adabu Hawa migongo waz

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 2 месяца назад +1

    Njaaa mbaya kweli

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂 Eti huenda ana Katiba yake nyumbani

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад +4

    Mungu ndiye anajua kitakachokuja hapo baadaye. Kama yuko sahihi tutashuhudia issue fulani kwa Yanga😂😂😂

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 месяца назад

      Yanı ndugu nikwamba magoma anataka kəsi na vigogo wa serikali maq kawashtaki kinamwiguru tarıma mama karume saşa magoma anaringia nini😅😅😅😅

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 2 месяца назад +1

    Huwezi mama huyu kasema ukweli.. na mapenzi na yanga.

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 месяца назад +4

    ACHUKULIWE HATUA KALI ZA KISHERIA NA AFUNGWE ILI IWE MFANO KWA WENGINE..

  • @FilipoBahava
    @FilipoBahava 2 месяца назад +1

    Amezoea tunaomba Serikali imwadabishe ni mzee OVYO

  • @eliudmugendi9619
    @eliudmugendi9619 2 месяца назад +1

    Issue ni kuwa anachosema ni sahihi ama sio sahihi

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi 2 месяца назад

    Asant mama kwakutufumbua macho.ukweli tumeupata Sasa kagoma kaingia chakike sana

  • @madarakamarumbo6102
    @madarakamarumbo6102 2 месяца назад +3

    Sasa huyo ni mama Karume? Huyo ni Siza Lyimo

  • @ErickSingano-o8r
    @ErickSingano-o8r 2 месяца назад +2

    Ss sio watoto msicheze na akili zetu ulikua wapi hukumu ina mwaka sasa leo ndo mzee aonekane mbaya achen hizo kaen myamalize

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 2 месяца назад

      Hukumu ina mwaka mbona club aijui kama kuna hukumu mpaka mwezi uliopita wamefatilia wenyewe baada ya kusikia tetesi? Hiyo mahakama aijui yanga inapatikana Wapi? Kwa nini awakuhitumia club hiyo hukumu? Mzee njaa tu sijui km ushamskia akiongea utajua ni njaa tu,, Yanga taasisi kubwa nenda kaungane na huyo Magoma uhone km kitatokea chochote """

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 2 месяца назад +1

    Yeye amesema mpelekeni ahakamani

  • @OsmanSiame-ou8ty
    @OsmanSiame-ou8ty 2 месяца назад +6

    Mshenzi sn huyo babu

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 месяца назад +1

    Huyu mama eti hapa Magoma hela hapati

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 2 месяца назад +1

    Musimtishe mzee magoma asikilizwe

  • @dismasfabian2122
    @dismasfabian2122 2 месяца назад +2

    Cc tunataka furaha hayo mengine mnayajua ninyi

  • @papykatoziking2395
    @papykatoziking2395 2 месяца назад +2

    Mzee ni njaa iyo yanga msaidiyeni mjengeeni nyumba nzuri basi atatuliya

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 2 месяца назад +1

      Hakuna kumjengea chohote! Hata banda la tope!

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад +1

      Waliomtuma wamjengee

    • @EliasNtejile
      @EliasNtejile 2 месяца назад

      Alikuwa wapi kujega alipokuwa kiongozi wa tawi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад

      @@EliasNtejile hela zake alikua amefungia kwenye flaiz

    • @HadijaKiwambu
      @HadijaKiwambu 2 месяца назад

      Anataka ajengewe nyumba angoje nyumba ya mwisho ajengewe ye nyau mtu mkubwa onvo

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 2 месяца назад

    Magoma pa1 na hii Media iliyoppst jina la Mama Karume wote wachkuliwe hatua za kinidhamu.Mama Karume ni Mtu Mkubwa jmn

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 2 месяца назад

    Tuonyeshen nyumban kwake uyo mzee

  • @AbrahamMMcharo
    @AbrahamMMcharo 2 месяца назад

    Mama Karume tafadhali muadabishe huyu mtu,katumwa huyu kutuvuruga. Si kuadabishwa TU hata bakora apewe za kutosha. Zee zimaa LINAKERAAA. Likapige migoma huko huko!!!

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 2 месяца назад +1

    Acha hawanyosheeee

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec 2 месяца назад +2

    Sasa si mko na mwana sheria nendeni mahakamani mka mcahalange ukweli ujulikane tu c kila mtu Ana haki

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 месяца назад +1

    Uyo magoma amechoka kuixhi sio mda ataenda dampo tukamfukie😢 nasemaje yanga bingwa adi 230🙏

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 2 месяца назад +1

    Magoma.mfukuzeni yanga.kwa usalama wake amechokoza.taasisi kubwa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 месяца назад

    Team ,imeuzwa ,ila wanajificha kwenye mafanikio

  • @MohamediSleyum
    @MohamediSleyum 2 месяца назад +1

    Kazi ipo hapo yani hatuelewi nani mbaya kati ya wote waloshtaki

  • @zee-ow2wr
    @zee-ow2wr 2 месяца назад +1

    Mbona hatoi hoja anachamba huyu mama?? Magoma kama ameghushi hzo saini s sheria zipo? Mamlaka zpo mumpeleke akafungwe?? Bas ni kwl kuna ktu hapa yanga?
    Na ww mwnye page uchwara huyo ndy mama karume? JINGA SANA

  • @agreykayombo1466
    @agreykayombo1466 2 месяца назад

    Tunahitaji kauli ya Mama Karume sio huyu

  • @MohamedyHuseni
    @MohamedyHuseni 2 месяца назад +1

    Mohamedy ally

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 месяца назад +1

    Mi ni mwanachama niko Mwanza nina machungu sana na huyu zumbukuku....

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 2 месяца назад +1

    Utuliv wa aina gani .achen8 kutetea wapigaji.magoma kaongea facts tupu.

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael 2 месяца назад

      Katika walio comment wote ww ndo umecomment Utumbo , kati ya Injinia na Magoma MPIGAJI nani hapo kama magoma anasema yeye anataka awe anapewa pesa kdg na wakati anakwambia ada ya uanachama halipi Sasa MPIGAJI nani au we kolo unataka Yanga ipolomoke Ili Upate urahisi Bado miaka mingne minne mbele ndo uwe bingwa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 месяца назад

      Wewe ni kolo ndio maana unamtetea magoma

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 2 месяца назад

      @@eliyaraphael ubingwa mnachukua kwa bahasha na marefa na kudhamin team sita .ilo sina shake mtachukua kwa kua wazee wa tigo pesa .

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr 2 месяца назад +1

    Kwann msimfute uwanachama shida ni nini???

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo 2 месяца назад +1

    Magoma asikilizwe Yuko sahii muache kumnyonga,mnyonge mnyonge I ila mpenz hak

  • @DELAVEGA-c5x
    @DELAVEGA-c5x 2 месяца назад

    Magoma anawapiga mande mamaee😂😂

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 2 месяца назад +1

    Mahakama sio wapumbav wamejiridhisha wakaona yuko sahihi.na uyu dada anachochea ugomvi kwenye maelezo yake.magoma komalia kwenye haki wataelewa tuu badae

  • @hamadihamisiambale8943
    @hamadihamisiambale8943 2 месяца назад +1

    Huyo mzee ni magoma moto njaa yamsumbua

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 2 месяца назад +1

    Yani hata picha yake kuoona tu popote inaleta hasira sana kwa upuuzi alio ufanya.

  • @ALLYHMHANDO
    @ALLYHMHANDO 2 месяца назад +1

    Magoma. Onvo

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 2 месяца назад +1

    Mpenihakiyake

  • @EliasNtejile
    @EliasNtejile 2 месяца назад +2

    Mama nakuomba umsamehe Bure Mzee magoma.Kwani njaa hupoteza utu wa mtu hasa ukiwa mvivu wa kufikiria.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 месяца назад +1

    Mzee Magoma ana kitu na ana maono ya mbali wacha Awashitaki hamkuwa na Nidhamu nyie

  • @GabrielMyinga
    @GabrielMyinga 2 месяца назад +1

    Wazee wangu wa yanga nawaheshim Sana na Nina waamini kwani magoma yy ni nani mpaka achafue hali ya hewa yanga huyo tunamkabidhi kwa wazee wa yanga wamalizane nae.

  • @KhalfanNuhu
    @KhalfanNuhu 2 месяца назад +1

    Magoma fala tu njaa inampa tabu

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад +1

    Huyu Mama yupo na akili sana Yani YANGA Ina watu sana

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 2 месяца назад +6

    Atafungwa kama pelemende

  • @DELAVEGA-c5x
    @DELAVEGA-c5x 2 месяца назад

    Kadange huko poch manyoya Kwan unafikir mkimua magoma ndo uhai wake mnaongezewa nyinyi Kila mtu ardhi inamsubiri nyoko ww 😂et ndo unaenda kwenye uzee si bib kabisa dooh hutak kuzeeka leta Hilo bunyanga tulisolobeke ukuni mamaee

  • @DamianMasawe
    @DamianMasawe 2 месяца назад +4

    Mama karume yupo wapi hapa

  • @andrewmuya7212
    @andrewmuya7212 2 месяца назад +3

    Habari sio sahihi na kichwa Chako Cha habariAcheni uongo online tv

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 2 месяца назад +2

    Mama huyu anachochea uadui utakao leta madhara makubwa sana kwa mashabiki.
    Mahakama, kwenye wabobezi wa sheria wameona Eng amekosea.
    Eng anaona ugumu gani kukaa na hao wazee wskaongea kama mahakama ilivyotaka?
    Sema tu Magona kalikamua jipu mapema, ila lipo.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад

      Peka usimba huko umbea tu unakusumbua mbona nyee mlimkataa Mzee Hamisi kilomoni? Na mka muua Mzee wa watu

    • @mutakagoza4759
      @mutakagoza4759 2 месяца назад

      Majinga ya makolo yanaangaika

  • @VictorAlchard
    @VictorAlchard 2 месяца назад +1

    Magoma yuko sahii😂

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 2 месяца назад +1

    Kumbe Magoma bwabwa eee

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 2 месяца назад

    Magoma anapenda vita aende ukrein huyo si mwanachama huyo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 месяца назад +1

    Magoma kiwashe hvo hvo had kieleweke

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 месяца назад +1

    Magoma hongeraaa unajua unajua teinaaaaaaa,mwaaaaaa👍

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 2 месяца назад

      Ndiyo nyinyi mpo nyuma ya magoma zeee linataka kugongwa...anafufua kesi mchwara Yanga mbovu kwani kama simba???😂😂😂😂

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 2 месяца назад +1

    KWAN MAMA KARUME ANA MAHAKAMA YAKE?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +2

    MAMA KARUME UENDE MAHAKAMANI UKASEME HAYO SASA HAPO YA NN HAYO NENDA UKAMSHITAKI MAGOMA MAHAKAMANI. MBONA HAMUENDI?

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 2 месяца назад

      Tumia akili ww.Huyu siyo mama karume.Mwandishi ameamua kula MB zako kiwizi tu.

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 2 месяца назад

    Nyinyi Yanga hamjielewi aliefoji sahihi sio Magoma bali kunamtu ambae ndie aliesema anawawakilisha wadaiwa wengine na sio, mimi nipotayari kuweka dau lolote kama Magoma ataguswa kwa fojari.

  • @BahatiO
    @BahatiO 2 месяца назад

    Gen z malizaneni na huyo babu jamani shabiki wa yanga kutoka 🇰🇪

  • @mohamedymkopi5887
    @mohamedymkopi5887 2 месяца назад

    ieleweke kuwa magoma siyo aliesambaza izo taharuki waulizwe hao walipokwenda kuchukua file mahakamani wakati kess haiwahusu then kuanza kusambaza habr hz mtandaoni… ye wala hakuusika straight 🎉

  • @mbinonyoso7501
    @mbinonyoso7501 2 месяца назад +1

    MAGOMA KENGE