MZEE MAGOMA AFUNGUKA ENG.HERSI KAMFUKUZA HAJI MANARA YANGA/GSM NDO ANAMNG'ANG'ANIA HAJI MANARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 74

  • @bonifacekaundila-mm3cd
    @bonifacekaundila-mm3cd 15 дней назад +3

    Exclusive Magoma, high standard quality explanation

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 17 дней назад +11

    Mzee Magoma wasemee wale wasiokuwa na sauti ya kusema Mungu atakulipa

  • @madamrita9685
    @madamrita9685 13 дней назад +2

    Magoma apewe kazi ya kuishauri Yanga ❤... He is very good 👍

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 16 дней назад +5

    Huyu mzee anaakili sana bwana ila mashabiki maandazi hawaelewi na wale waopewa jezi Bure na buku mbili kina mwalimu godi mchome ndo wanamtukana

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 17 дней назад +6

    Mzee Magoma yupo sahihi, Tatizo hatasikilizwa hata Sheria zikivunjwa ili mradi timu inashinda mechi zake

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 17 дней назад +7

    MZEE MAGOMA NI MANDELA MTUPU KASORO LUGHA TOFAUTI ZEE LA KATIBA LINALOJUWA HAKI.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 17 дней назад +6

    GSM NA WAHUNI WENZAKE MATAPELI TU 😂😂😂😂

  • @JohnGoryo
    @JohnGoryo 17 дней назад +12

    Magoma ana point sema tu watu hatumwelewi

    • @MustaphaMdaki
      @MustaphaMdaki 17 дней назад +1

      Anapont za uchizi kama wewe

    • @adrianorayner6551
      @adrianorayner6551 17 дней назад +1

      Kwa akili zako huwezi kujua ​@@MustaphaMdaki

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 17 дней назад +2

      ​@MustaphaMdaki NG'OMBE WA MAZIWA WEWE YENU MAJANI TU 😂😂😂 MNAPEWA BUKU BUKU KWA KILA JEZI JEZI PUMBAVU NYIE 😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 17 дней назад +2

      ​@@adrianorayner6551YANI CLUB MNAPEWA BUKU KWA KILA JEZI 😂😂😂😂😂

    • @SuddyMpanda
      @SuddyMpanda 16 дней назад

      Sana

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 16 дней назад +4

    Yanga mpoooooooo mnamuelewa huyu mzee

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 12 дней назад +1

    Huyu ndiye mwenyekiti sasa🤣🤣😅

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 16 дней назад +3

    Unajua ushabiki na upenzi umetuzidi lakini magoma on the point

  • @nasibumsuri4155
    @nasibumsuri4155 13 дней назад +1

    Saiv mmeshaanza kumuelewa kumbeee. Wengine mpaka mje mumuelewe mtakuwa mmechelewa sanaa

  • @user-uf9rz3jk2j
    @user-uf9rz3jk2j 15 дней назад +1

    Uk sawa mzee

  • @RajabuNdauka-h6u
    @RajabuNdauka-h6u 10 дней назад

    Safi sana awa wanae kutukana watakuelewa badae baada ya madeni mengi kuibuka jangwani watakukumbuka

  • @arlindozacarias4588
    @arlindozacarias4588 17 дней назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nomaaaa

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 10 дней назад

    “Si alikuwa anapewa pasi? Kwani alicheza peke yake?”😂

  • @SaidAli-yv1mr
    @SaidAli-yv1mr 10 дней назад

    Magoma yupo sawa

  • @GAZARAZSPORTS2123
    @GAZARAZSPORTS2123 15 дней назад +1

    Ushaona wapi mwana yanga akavaa shati linamaua mekundu!!?

    • @IssaBosco
      @IssaBosco 10 дней назад

      Ushaona wapi mwana yanga anavaa jezi nyeupe ? Ulizia pia 😂

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 16 дней назад +1

    Magoma tuko pamoja mpaka wakuuee

  • @maximilianikatani2602
    @maximilianikatani2602 11 дней назад

    Hawa mashiki wa yanga wengi wap hawajui sheria

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 9 дней назад

    Kafanye uselemara acha uhuni.

  • @Dockbrand
    @Dockbrand 16 дней назад

    Huyu mzee yuko sahihi sana na anaongea point sana ila hayo yanga sasa wanasikia hawasikii hata kwa dawa gsm kawaloga

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 15 дней назад

    😂😂😂 chapa chapaaa aoooo

  • @SalimHizza
    @SalimHizza 12 дней назад

    Mzee magoma yupo sawa

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 9 дней назад

    We magoma ni chizi mpya siku zijazo tutakukuta dampo

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 16 дней назад

    Nilichogundua huyu Mzee anapena Sana kesi na yawezekana huwa anashinda mahakamani. Taratibu nyingi za kesi za madai anazifahamu. Huyu ukiwa jirani yake lazima akuburize mahakamani

  • @laizerstudio5790
    @laizerstudio5790 17 дней назад +2

    mwandishi unamhoji mzee magoma kama babu yako 😂😂😂 unamchokoza na kaswali kadogo ka uchokozi afu mzee anapata moto anafunguka

  • @ZaniaMohammed
    @ZaniaMohammed 14 дней назад

    Makolo ndo wanahangaika na magoma sijui kwnn

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 9 дней назад

    Wewe na nani msiotambua?

  • @salimabass2288
    @salimabass2288 14 дней назад

    Msikilizeni huu Mzee point zake

  • @lusekelonelson7256
    @lusekelonelson7256 14 дней назад

    Anaye kula hasara hakai

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 17 дней назад

    Hapo kwa manara sasa😂😂😂😂😂😂

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422 13 дней назад

    Mzee magoma anayanga yake mwenyewe siyo ya egenia elsi saidi 😂😂😂😂

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 9 дней назад

    Mnake kesi ya kugushi saini.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 17 дней назад +1

    Bab wanyooshe hvo hvo

  • @RamadhaniMfaume-se9op
    @RamadhaniMfaume-se9op 15 дней назад

    Watamkumbuka siku yanga ikivaa jezi nyekundu kama simba maana yanga katiba yao wameikanyaga

  • @WistoniMtewele
    @WistoniMtewele 14 дней назад

    Hakuna asieruhusiwa mzee

  • @derimkongwa5965
    @derimkongwa5965 16 дней назад

    Kwani katiba haifanyiwi amendment

  • @BahatiIsangu
    @BahatiIsangu 14 дней назад

    Kipindi yy anaongoza yanga aliisaidia nyooooo

  • @IsayaShokaulaya
    @IsayaShokaulaya 16 дней назад

    Magoma huwelewi tuu hapo yanga.kunawatu niwapenzi wa simba akina injinia na akinamanara wanaipenda simba ndiypmana wameanza kuibia rangi wanazozipenda kwajadiyao muhofu simuda wanakishi na nyekundu.mapenzi babaaaaaaaa.huwezi kujifichaa.

  • @sulemanmagesa2181
    @sulemanmagesa2181 16 дней назад

    Manara! Kurujuani imemkuta

  • @JacklineYakawa
    @JacklineYakawa 16 дней назад

    Tuko pale tunawasubili

  • @stellahkachenje3926
    @stellahkachenje3926 15 дней назад

    Huyu na wanaompa kiki watashangazwa yanga tushamdharau yaani mahakama imetupa upuuzi wake anaendelea kuyaeleza huyo ni boya na nyid mnaompromote

  • @hamidjuma2178
    @hamidjuma2178 16 дней назад

    Tuko pamoja mzee una pwent na tutakuja kukuelewa mbele

  • @MustaphaMdaki
    @MustaphaMdaki 17 дней назад +1

    Hli zee ni chengu

  • @MirajiRashid-r7o
    @MirajiRashid-r7o 14 дней назад

    Huyu mzee ni chiz 2

  • @derimkongwa5965
    @derimkongwa5965 16 дней назад

    Mzee huyu mbna anazingua huko tulishatoka

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 16 дней назад

    Tv za majungu hizi kazi content za kuizodoa yanga tu

  • @RazinWahsh
    @RazinWahsh 17 дней назад

    Mzee katiba huwa zinafanyiwa marekebisho unatuchosha bhana porojo tu

  • @andreajoseph5859
    @andreajoseph5859 15 дней назад

    Nyie wote mnao sema magoma ana ongea point...wote ni sanda mna subiria kuzikwa ....mna penda yanga uludi kule ilipo toka ....mme chemka Yani nyie mtazidi kukandwa mpaka dunia igeuke

  • @subiralema
    @subiralema 17 дней назад

    Una kazi yakufanya wewe mzee😂😂😂

  • @ShaabanCairo
    @ShaabanCairo 16 дней назад

    Timu zote duniani lazima ziwe na jezi toleo la tatú, Kwa hiyo yanga kuwa na jezi Ya blue sio ajabu ni third kit,ya kijani ipo na ya njano ipo shida iko wapi nyie makolo?magoma nae kolo pia

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 16 дней назад

    Wanao Mkubali ni wanafiki na Maadui wa YANGA. Anaropoka Magoma.
    Kuongea kwenye Media anajichongea yatamkuta makubwa

  • @RamadhanSaidy-q7k
    @RamadhanSaidy-q7k 17 дней назад

    Lipa million 70 ww naona unaongea using a tu

  • @hassanmatata9335
    @hassanmatata9335 17 дней назад

    Huyu mzee hajielewi nyeusi sio jezi ya yanga haelewi ni jezi za kuwashukuru mashabiki sio jezi za uwanjani ndio zile nyeusi zimeandikwa asante mwananchi

    • @user-ec3iz6pg2i
      @user-ec3iz6pg2i 16 дней назад +1

      Wewe zwazwa wewe jezi ya shukurani umeiyona wapi?mjinga wewe hujui kitu mzee yupo sshihi

    • @herybertsabai6503
      @herybertsabai6503 16 дней назад +1

      kuna siku mtamuelewa uyu mzee na mtampigia makofi furaha ya mda mfupi isikufanye ukasahau mambo ya msingi

    • @user-cp2do9pd5k
      @user-cp2do9pd5k 16 дней назад

      Hapo ndo tunamwamini manara hamnaga akili nyie

  • @WahabiAbdallah-k4v
    @WahabiAbdallah-k4v 17 дней назад

    WE MZEE HUNA LOLOTE MPIRA..PESA HAO WANAKUTOA THAMANI YA UTU WAKO ACHANA NA HAO SIMBA LUWALA....WANAKUZINGUA WE BABU BWEGE

  • @WistoniMtewele
    @WistoniMtewele 14 дней назад

    Sio ninyi hamuitambui ila wewe ndo hutambui

  • @richardjafu7404
    @richardjafu7404 16 дней назад

    Mzee umeachwa na wakati, Bora ungekaa na wajukuu. Mpira wa kisasa huujui. Unataka yanga iende kwenye bakuli Tena! Umeishiwa!!!!