Nilichogundua huyu Mzee anapena Sana kesi na yawezekana huwa anashinda mahakamani. Taratibu nyingi za kesi za madai anazifahamu. Huyu ukiwa jirani yake lazima akuburize mahakamani
Nyie wote mnao sema magoma ana ongea point...wote ni sanda mna subiria kuzikwa ....mna penda yanga uludi kule ilipo toka ....mme chemka Yani nyie mtazidi kukandwa mpaka dunia igeuke
Timu zote duniani lazima ziwe na jezi toleo la tatú, Kwa hiyo yanga kuwa na jezi Ya blue sio ajabu ni third kit,ya kijani ipo na ya njano ipo shida iko wapi nyie makolo?magoma nae kolo pia
Huyu mzee hajielewi nyeusi sio jezi ya yanga haelewi ni jezi za kuwashukuru mashabiki sio jezi za uwanjani ndio zile nyeusi zimeandikwa asante mwananchi
Exclusive Magoma, high standard quality explanation
Mzee Magoma wasemee wale wasiokuwa na sauti ya kusema Mungu atakulipa
Magoma apewe kazi ya kuishauri Yanga ❤... He is very good 👍
Huyu mzee anaakili sana bwana ila mashabiki maandazi hawaelewi na wale waopewa jezi Bure na buku mbili kina mwalimu godi mchome ndo wanamtukana
Mzee Magoma yupo sahihi, Tatizo hatasikilizwa hata Sheria zikivunjwa ili mradi timu inashinda mechi zake
MZEE MAGOMA NI MANDELA MTUPU KASORO LUGHA TOFAUTI ZEE LA KATIBA LINALOJUWA HAKI.
GSM NA WAHUNI WENZAKE MATAPELI TU 😂😂😂😂
Magoma ana point sema tu watu hatumwelewi
Anapont za uchizi kama wewe
Kwa akili zako huwezi kujua @@MustaphaMdaki
@MustaphaMdaki NG'OMBE WA MAZIWA WEWE YENU MAJANI TU 😂😂😂 MNAPEWA BUKU BUKU KWA KILA JEZI JEZI PUMBAVU NYIE 😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@@adrianorayner6551YANI CLUB MNAPEWA BUKU KWA KILA JEZI 😂😂😂😂😂
Sana
Yanga mpoooooooo mnamuelewa huyu mzee
Huyu ndiye mwenyekiti sasa🤣🤣😅
Unajua ushabiki na upenzi umetuzidi lakini magoma on the point
Saiv mmeshaanza kumuelewa kumbeee. Wengine mpaka mje mumuelewe mtakuwa mmechelewa sanaa
Uk sawa mzee
Safi sana awa wanae kutukana watakuelewa badae baada ya madeni mengi kuibuka jangwani watakukumbuka
😂😂😂😂😂😂😂😂 nomaaaa
“Si alikuwa anapewa pasi? Kwani alicheza peke yake?”😂
Magoma yupo sawa
Ushaona wapi mwana yanga akavaa shati linamaua mekundu!!?
Ushaona wapi mwana yanga anavaa jezi nyeupe ? Ulizia pia 😂
Magoma tuko pamoja mpaka wakuuee
Hawa mashiki wa yanga wengi wap hawajui sheria
Kafanye uselemara acha uhuni.
Huyu mzee yuko sahihi sana na anaongea point sana ila hayo yanga sasa wanasikia hawasikii hata kwa dawa gsm kawaloga
😂😂😂 chapa chapaaa aoooo
Mzee magoma yupo sawa
We magoma ni chizi mpya siku zijazo tutakukuta dampo
Nilichogundua huyu Mzee anapena Sana kesi na yawezekana huwa anashinda mahakamani. Taratibu nyingi za kesi za madai anazifahamu. Huyu ukiwa jirani yake lazima akuburize mahakamani
mwandishi unamhoji mzee magoma kama babu yako 😂😂😂 unamchokoza na kaswali kadogo ka uchokozi afu mzee anapata moto anafunguka
Makolo ndo wanahangaika na magoma sijui kwnn
Wewe na nani msiotambua?
Msikilizeni huu Mzee point zake
Anaye kula hasara hakai
Hapo kwa manara sasa😂😂😂😂😂😂
Mzee magoma anayanga yake mwenyewe siyo ya egenia elsi saidi 😂😂😂😂
Mnake kesi ya kugushi saini.
Bab wanyooshe hvo hvo
Watamkumbuka siku yanga ikivaa jezi nyekundu kama simba maana yanga katiba yao wameikanyaga
Hakuna asieruhusiwa mzee
Kwani katiba haifanyiwi amendment
Kipindi yy anaongoza yanga aliisaidia nyooooo
Magoma huwelewi tuu hapo yanga.kunawatu niwapenzi wa simba akina injinia na akinamanara wanaipenda simba ndiypmana wameanza kuibia rangi wanazozipenda kwajadiyao muhofu simuda wanakishi na nyekundu.mapenzi babaaaaaaaa.huwezi kujifichaa.
Manara! Kurujuani imemkuta
Tuko pale tunawasubili
Huyu na wanaompa kiki watashangazwa yanga tushamdharau yaani mahakama imetupa upuuzi wake anaendelea kuyaeleza huyo ni boya na nyid mnaompromote
Tuko pamoja mzee una pwent na tutakuja kukuelewa mbele
Hli zee ni chengu
Huyu mzee ni chiz 2
Mzee huyu mbna anazingua huko tulishatoka
Tv za majungu hizi kazi content za kuizodoa yanga tu
Mzee katiba huwa zinafanyiwa marekebisho unatuchosha bhana porojo tu
Nyie wote mnao sema magoma ana ongea point...wote ni sanda mna subiria kuzikwa ....mna penda yanga uludi kule ilipo toka ....mme chemka Yani nyie mtazidi kukandwa mpaka dunia igeuke
Shule yako ndogo na huto elewa kitu
Una kazi yakufanya wewe mzee😂😂😂
Timu zote duniani lazima ziwe na jezi toleo la tatú, Kwa hiyo yanga kuwa na jezi Ya blue sio ajabu ni third kit,ya kijani ipo na ya njano ipo shida iko wapi nyie makolo?magoma nae kolo pia
Na rangi nyeupe vipi hapo ?
Wanao Mkubali ni wanafiki na Maadui wa YANGA. Anaropoka Magoma.
Kuongea kwenye Media anajichongea yatamkuta makubwa
Lipa million 70 ww naona unaongea using a tu
Huyu mzee hajielewi nyeusi sio jezi ya yanga haelewi ni jezi za kuwashukuru mashabiki sio jezi za uwanjani ndio zile nyeusi zimeandikwa asante mwananchi
Wewe zwazwa wewe jezi ya shukurani umeiyona wapi?mjinga wewe hujui kitu mzee yupo sshihi
kuna siku mtamuelewa uyu mzee na mtampigia makofi furaha ya mda mfupi isikufanye ukasahau mambo ya msingi
Hapo ndo tunamwamini manara hamnaga akili nyie
WE MZEE HUNA LOLOTE MPIRA..PESA HAO WANAKUTOA THAMANI YA UTU WAKO ACHANA NA HAO SIMBA LUWALA....WANAKUZINGUA WE BABU BWEGE
Sio ninyi hamuitambui ila wewe ndo hutambui
Mzee umeachwa na wakati, Bora ungekaa na wajukuu. Mpira wa kisasa huujui. Unataka yanga iende kwenye bakuli Tena! Umeishiwa!!!!