Комментарии •

  • @premierktg4323
    @premierktg4323 2 года назад +8

    "Ushabiki Unahama"...@Haji Manara🙌🏻...Jamaa Anafalsafa Nzuri Sanaa Appreciate✊

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 2 года назад +9

    Saaaaaafi sana Haji Manara. Leo nimejua jambo la muhimu sana ambalo sikulijua mwanzoni. Sikujua kama baba yako ni Sande Manara mchezaji wa kabumbu! Asante sana. Watanzania tunakupenda sana.

  • @Mwamy11
    @Mwamy11 2 года назад +7

    Haji Manara ni smart 😎 salaam toka canada 🇨🇦

  • @chazyteshakimaro4659
    @chazyteshakimaro4659 2 года назад +16

    Haji manara yupo mmoja tu ,🙌🙌🔥🔥🔥🔥

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Kumbe hatar sana ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

  • @barracksgabriell9152
    @barracksgabriell9152 2 года назад +14

    Bonge moja ya interview manara yuko vizuri tuache maswala ya ushabiki hadi kwenye maisha ya kawaida haji nae anamaisha nje ya mpira maana mtu ukimwona haji tu unawaza simba na Yanga

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 2 года назад +8

    Mimi ni mpenzi wa Simba lakini nimeopenda sana interview hii namba has a historia yake Haji Manara.

  • @mwanakombobakari2451
    @mwanakombobakari2451 2 года назад +1

    Mashaaalah,Mashaaalah, the best Interview, nimefurah sana , Haji Ni zawadi ya wa Tanzania toka kwa Mungu , Haji ni mkubwa sana mwenye kipawa kikubwa sana , Mungu akujaalie kheri zote ktk maisha yako kk Haji Manara. Allah akupe umri mrefu na uzima na hekma, Allah kuongoze vyema ktk kila hatua akuepushe na shari zote na mitihani. Kila jambo lako utakalopanga liende kama ulivyokusudia , Puuzia sana maneno ya watu wabaya ,songa mbele unaweza sana ndiomaana unapigwa vita nyingi usjali be strong .AAMIN AAMIN KHERI INSHAALAH.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 года назад +13

    Nilikua naisubiri kwa hamu hii interview ahsante Millard Ayo

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 2 года назад +22

    Wenye Akili tunajua Haji ni Precious Treasure,Hii ni best interview.Kuna zuzu Moja lilitaka kuchallenge uwezo wa Haji.Wazee wake waliwekeza,We wa kwa Mama Kimbo Buza unajifanya Ujuaajiii.

  • @tanganyikamarketingagency5007
    @tanganyikamarketingagency5007 2 года назад +2

    nimecheka sana jamani nimejifunza mengi mashaallah, na mimi INSHAALLAH nitamuita mwanangu MILLARD JAPO bado sijaolewa lkn my future huby jua hili mapema hahahhah hongereni sana nimependa I WATCH THIS THREE TIMES

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 2 года назад +26

    Huyu mtu nampenda sana... Haji ni dume kamilifu....

  • @mubarakahussein9950
    @mubarakahussein9950 2 года назад +37

    Piga like kama unampenda semaji la dunia 👍👍

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Hatar jaman ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

  • @sangjr8219
    @sangjr8219 2 года назад +5

    Safi sana @hajismanara. Toka uwe mwananchi unaongea kwa busara sana

  • @marymwacha995
    @marymwacha995 2 года назад +4

    Haji Manara nakupenda sana resembling with my brother , the way you are, navyosema umefanana nae namaanisha mpk rang. He is an alibi no like you

  • @julianakamese5268
    @julianakamese5268 2 года назад +7

    Natamani mungu anipe mme mwenye busara Kama Haji manara,,nakpenda sana,ur very bright❤️❤️❤️

  • @zaizaitwaha6633
    @zaizaitwaha6633 2 года назад +9

    Ila haji bwana una maono makubwa aman of abig dream u inspire so many young generation congratulation bigup

  • @demycratia2567
    @demycratia2567 2 года назад +3

    Nimesoma na mama yako Rehema Zanaki Secondary form 3 Com III Mimi patsy mage Hudson robina princilla mauga Farida, mackeja janet mna ndio Wakati WA uja uzito wako. Alikua mchekeshaji Sana Rehema kuna comment aliitoa darasani sitakaa niisahau kuhusu uja uzito WA huyu Haji Ayo niunganishe na Rehema pse

  • @hamzahassan2079
    @hamzahassan2079 2 года назад +12

    Jambo bora sana.
    Mtangazaji bora
    Imefahana sana kwenye kipindi
    Hajii manala ni haruatani mzee

    • @hamzahassan2079
      @hamzahassan2079 2 года назад +1

      Ubinadamu uko poA
      Ayoooooo
      Nakwambia Tena mtu Achekwi kirema Anachekwa uchafu sawasawa

    • @georgematahimba5242
      @georgematahimba5242 2 года назад +1

      Nampenda sana HAJI lakini yanga siipendi kabisa

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 года назад +33

    Semaji la DUNIA ndani ya millard ayo Tv

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 2 года назад +13

    Msemaji wa viwango vya juuu haji mtoto wa mzee manala

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 2 года назад

    Ayo Millard Ayo hongera sana broo big up unafanya kazi kubwa na yenye uboraa ubarikiwe ktk maishaa yako pia manara hongeraa uko vyema unaweza kufanya kitu chochote kwa uimara wako mashallah

  • @JR-db8yq
    @JR-db8yq 2 года назад +11

    Great Interview! This is Haji a lot of people know nothing about him.

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 2 года назад +18

    Hongera Haji Manara na Millard Ayo pia 😎God bless us all

  • @violetmunuo5053
    @violetmunuo5053 2 года назад +14

    nampenda sana haji manara🤩

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 2 года назад +8

    Uwezi kuzungumzia soka la bongo lazima umtaje haji manara anamchago mkubwa sana katika tasinia ya soka . Bugatti

  • @mustaphakitole9454
    @mustaphakitole9454 2 года назад +1

    Keep it up Haji haya ni maisha mi binafsi nimekuelewa vzur

  • @williamkilembwe7189
    @williamkilembwe7189 2 месяца назад

    Baba yako ameshangaa sana. Kusema umezaliwa Ulaya. Muongo umezaliwa kariakoo

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +4

    Namkubali sana haji manara. Big up bro 💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @lukasanga685
    @lukasanga685 2 года назад +7

    Ndoto yangu kwel imetimia nilikuwa natamani haji manara kuja yanga leo imetimia

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Jamaa hatar ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 6 месяцев назад

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh Haji manara mimi naitwa Abdul Simba naishi Amsterdam Netherlands mwaka 43 ukitaka kupata uraiya wa Hollands kwako niraisi sana juu umezaliwa hapa unahaki zote

  • @alindabenjamin6672
    @alindabenjamin6672 2 года назад +12

    Div 1 ya Point 7,, big up sn Haji

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Manara ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

    • @musamgulila577
      @musamgulila577 2 года назад

      Hapo tumedanganywa

    • @kassimabdu5677
      @kassimabdu5677 2 года назад

      @@musamgulila577 Hajji alipata point 7, watu wa Dar na tuliomaliza muda ule tuna kumbukumbu nzur kwa hilo

    • @musamgulila577
      @musamgulila577 2 года назад

      @@kassimabdu5677 hahaha danganya wajinga ...hii sio interview ya kwanza ya haji ...

    • @kassimabdu5677
      @kassimabdu5677 2 года назад

      @@musamgulila577 mie simjui Hajji kwenye interview, nimezaliwa Kkoo, nimesoma Azania, namjua Hajji kama kijana mwenzangu tuliyekulia kkoo, najua na nakumbuka mzee wake alivyokua na furaha na raha siku ile ya matokeo ya mtoto wake... halaf mbona kuthibitisha hilo la matokeo yake ni rahisi sana? Au hujui nikuelekeze namna ya kufanya ili ujiridhishe?

  • @costantinesebastian6508
    @costantinesebastian6508 2 года назад +6

    Nmependa maneno yakuhitimisha asee.

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 2 года назад +3

    Hongera yako Al hajj hajji manara

  • @sengakijumiletv8125
    @sengakijumiletv8125 2 года назад +3

    Bado naendelea na DOZI ya Dawa nameza kutwa mara tatu Kila siku ili KUMSAMEHE NA KUMkubali Manara kuwa Yanga ipo siku nitapona.

  • @anthonychipuga8551
    @anthonychipuga8551 2 года назад +4

    Millard Ayo uki-host Interview hata ikiwa na masaa 10 kuajilia njiani Ni ngumu sana😄,Hongera sana unapangilia sana maswali nk. Kiasi kwamba interview ya lisaa inakuwa Ni kama dk 5😄...Well Done! Big Up sana Brother.

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353 2 года назад +2

    Mmmmh! Sikuwahi waza kama Haji uko
    Smart kiasi hiki! We ni hazina na ni mkweli daima. Mungu akupe maisha marefu.

  • @user-ou9wj4hu3e
    @user-ou9wj4hu3e 6 месяцев назад

    Kwa tanzania hapa hakuna msemaji wa mpira kama Haji manara.Ninakubari sana.

  • @king-rr8oc
    @king-rr8oc 2 года назад +4

    Ulipo tupo gonga like zangu

  • @SWAHILINATION
    @SWAHILINATION 2 года назад +14

    Bonge la interview! Quality 💯 Shout out to Millard Ayo

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 года назад +4

    Kumbe Manara aka akili sana kuliko Mwijaku mropokaji mwijaku anasema manara hana Elimu kumbe ipo elimu

    • @alexjacobndagile8708
      @alexjacobndagile8708 2 года назад

      Profile ya Mwijaku haiwezi kuifikia huyu jamaa.Ndio utajua Kuna watu warokopaji.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 года назад +1

    Maswali na majibu ya ufasaha nice interview 👍👌 manara ana akili kubwa sana mungu akutimizie ndoto zako inshallah ❤ you all kwaajili ya Allah

  • @rojaa_mwadime
    @rojaa_mwadime 2 года назад

    Millard Ayo ni icon wangu kwenye interviews 🙌🏾

  • @almazula9063
    @almazula9063 2 года назад +2

    Afadhali dogo kasema mwenyewe jinsi alivyokuwa cha utundu pale alipokuja Bunge p/school,Lakini mcheshi pia.

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 2 года назад +1

    Hii sauti niliimis sana da! Millard uko na kipaj brother

  • @kayombog1694
    @kayombog1694 2 года назад +1

    #settingIsAwesome

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 2 года назад +1

    🔥🔥

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 года назад

    Interview To watch Iko Sawa Sana Bwa Wawili Wazuru

  • @MohammedAli-sd8ji
    @MohammedAli-sd8ji 5 месяцев назад

    Mashallah bro

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 2 года назад +2

    Haji ni bugati kweli..hahaa.Kuna watu wanadharau hawa watu wenye rangi tofauti ila haji ana wanyoosha kisawa sawa.

  • @christiamapendo9186
    @christiamapendo9186 Год назад

    Naam semaji letu inshallah mwenyezi Mungu atazidi kukuwa na wewe

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 года назад

    Asante sana

  • @marymwacha995
    @marymwacha995 2 года назад +2

    I appliciate your work

  • @peterngassalah6454
    @peterngassalah6454 2 года назад +4

    Aloooh mpaka nimeimaliza yote mmetisha watoto wa mwezi mmoja sema yanga oyee✊ haya mikia🐒 wakate kaclip aliko alikosema bhakresar ajanijua nikiwa msemaji wa simba maana wanataman akosee lakn lijamaa alikosei lipo makini kinouma daah bugati hatari😂😂

  • @allymawazo7189
    @allymawazo7189 2 года назад +7

    Mbingu na ardhi😂😂😂😂😂

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 2 года назад +3

    Manara ni brand kubwa hela unayo huwezi kosa milion moja kwenda kusafisha meno jamani wakina GIGY wakupe siri.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 2 года назад

      Nadhn kapenda yawe hivyo,kwa baadhi ya watu wanapenda meno ya namna hiyoo

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад

      Sasa mbona we mchokozi hivi !!!

    • @drimazonechoice9822
      @drimazonechoice9822 2 года назад +1

      tatizo huna ndugu mwenye ulemavu wa albino ukajua maumbile yao..ni tatizo kubwa kumuona mtu anatoa madhaifu ya maumbile

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад

      @@drimazonechoice9822 wachana na huyu dada ..hana habari...ni maumbile ya albino sio kutopiga mswaki....

    • @mosimba467
      @mosimba467 2 года назад

      Mbona wewe unananuka

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 2 года назад

    Nakuelewa Shekhe Manara
    Inshallah Shekheeee

  • @alexismwinyi8472
    @alexismwinyi8472 2 года назад +1

    Ongereni

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 года назад

    Karibu sana Yanga tunakupenda huyo ndo Mungu

  • @jothamekisouke8199
    @jothamekisouke8199 2 года назад +1

    Haji ametulia sana ktk hyo inter view

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 2 года назад +4

    Interview tamu Sana hii lkn mb za kuunga nitamalizia nilipo ishia inshaallah nimeishia dakika ya 18 👊👍💪

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 года назад +1

    Hata nzi na paka wanazaliwa ulaya usitushughulishe wacha tuhangaike na tozo

  • @wailesihalisoni7285
    @wailesihalisoni7285 2 года назад +5

    Vizur sana haji

    • @ahmedmattar4661
      @ahmedmattar4661 2 года назад

      Huyu kweli ni msukule amefanana kuanzia rangi ni ya usukule akili ni usukule ni msukule kweli

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

  • @jothamekisouke8199
    @jothamekisouke8199 2 года назад

    Mambo safii sana

  • @saadysaidzahaze5980
    @saadysaidzahaze5980 Год назад

    Maashaallah ❤

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 6 месяцев назад

    😂😂😂😂ety miaka ya sabini acha uwongo ww walozaliwa sabini wapo lkn ww unatuongopea

  • @saidiissa4673
    @saidiissa4673 2 года назад

    Good

  • @gidionrwechungura4763
    @gidionrwechungura4763 2 года назад

    Ongera Sana Haji Manara Nilipenda Sana uchezaji wa baba yako alikuwa anaitwa Computer wakati anachezea Yanga

  • @jan6703
    @jan6703 Год назад

    Interview nyingine kasema amezaliwa Daressalaam hospitali ya Dr Khan

  • @demycratia2567
    @demycratia2567 2 года назад +1

    Huo Utundu NI WA kama yakeeee darasani ilikua hivyo hivyo

  • @demycratia2567
    @demycratia2567 2 года назад +1

    Halafu Sunday Baba yako aliishi ilala MTAA karibu na Manyoni street amenisahau tuu tulika nyumba ya Bibi mchinga

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 2 года назад +3

    Achana nao hao manara fanya kazi ulishe familia yako

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Kaz iendeleee ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 2 года назад

    Haji anazidi kuwa kijana ...kweli pesa hatari. Bora umekimbia njaa kule

  • @magazimahushi6417
    @magazimahushi6417 2 года назад +2

    Nimefurahi sana kusikia historia ya haji manara ,kutoka kwenye kinywa chake mwenyewe.
    Hao wanaliokuwa wanambeza HS Manara sasa wajue.
    Yule ni mtoto wa kishua.Kusoma international school of Tanganyika si mchezo

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Kwel ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html

    • @georgemhalla8853
      @georgemhalla8853 2 года назад

      Aisee kweli, Tanganyika sio mchezo, ndo shule ya kwanza Tz kwa ghali Zaid ada

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 2 года назад +3

    Millard eti ulizaliwa uholanzi wew jamaa ni moto

  • @ramadhanipadon3577
    @ramadhanipadon3577 2 года назад +1

    Bugatiiiiii ✊✊✊✊

  • @alexanderjustine1523
    @alexanderjustine1523 2 года назад

    Jamaa anajua

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353 2 года назад

    The best interview i ever come across

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Nakukubali sana Manara

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 2 года назад

    Manara Safi Sana

  • @amosgerald7763
    @amosgerald7763 2 года назад

    Aisee

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 года назад +1

    Manara umenifanya nijue kwamba tz kuna sports,

  • @perfecthilarymbewa5968
    @perfecthilarymbewa5968 2 года назад +1

    sawa rais ujae nakubali harakati mwaisa

  • @MrMtebwa
    @MrMtebwa 2 года назад

    Milliad hao wanao pita nyuma ya manara they’re unprofessional kwani hakuna njia nyengine ya kupita mpaka wapite huko nyuma

  • @mituniissa9957
    @mituniissa9957 2 года назад +3

    Wanajutaaaaaa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 года назад +1

    Interview bakubwa! Penda sana Haji Manara❤❤❤👍

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 года назад

    Jamaa amenifanya niipende yanga African namkubali sana semaji la dunia

  • @issakara9403
    @issakara9403 2 года назад +2

    Msemaji msomi

  • @jamesassanga9220
    @jamesassanga9220 2 года назад

    Sijaelewa,umetoka Tanganyika international ( English medium) ,ukahamia bunge ( Swahili medium) Kisha mzumbe......,..?????

  • @issamohamedissa8894
    @issamohamedissa8894 2 года назад +1

    Semaji la Dunia

  • @husseinntarugera3930
    @husseinntarugera3930 2 года назад +1

    Nimeamin kuwa hakuna kitu chepes katika hii dunia

  • @joseelias4870
    @joseelias4870 2 года назад

    Millardayo bhana, eti "hiyo safi sana" nawe oa bhana jamaa yetu.

  • @neemahezron486
    @neemahezron486 2 года назад +1

    Haji wetu

  • @waktiahmad2503
    @waktiahmad2503 2 года назад

    Duuh safi sana

  • @shaurimwambange5940
    @shaurimwambange5940 2 года назад

    Duuuuuuh aiseeeee unatisha hajj div1 ya point 7

  • @josephkavindi3666
    @josephkavindi3666 2 года назад

    Nakumbuka kagari cha Suzuki vitara cha turubai anakuja nacho kariakoo Maulidi kitenge😂😂😂

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 2 года назад

    Kweli mungu akupi kilema akakukosesha mwendo

  • @istransportationcorp7916
    @istransportationcorp7916 Год назад

    Semaji kuu la nchi 🇹🇿

  • @duniasalutweshakur3323
    @duniasalutweshakur3323 2 года назад

    Millard Ayo jitahidi unapofanya interview jitahidi kufanya maandalizi kamili kabla kwanini nakukumbusha hili mipito ya wafanya kazi wako pindi ukiwa kwenye interview imezidi wanapita pita sana wahanaribu muonekano

  • @nelsonmdeka2793
    @nelsonmdeka2793 2 года назад +3

    Huyo jamaa anaezunguka zunguka anaharibu interview improve that millard

    • @3kings63
      @3kings63 2 года назад +1

      Ushaondoka nyumbani kwenu

    • @josephk90
      @josephk90 2 года назад

      Umeaathirika nini sasa? Huyo fundi mitambo.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 2 года назад

    Tuishi kwa Upendo, it is all matters my pipos