Saaaaaafi sana Haji Manara. Leo nimejua jambo la muhimu sana ambalo sikulijua mwanzoni. Sikujua kama baba yako ni Sande Manara mchezaji wa kabumbu! Asante sana. Watanzania tunakupenda sana.
Bonge moja ya interview manara yuko vizuri tuache maswala ya ushabiki hadi kwenye maisha ya kawaida haji nae anamaisha nje ya mpira maana mtu ukimwona haji tu unawaza simba na Yanga
Mashaaalah,Mashaaalah, the best Interview, nimefurah sana , Haji Ni zawadi ya wa Tanzania toka kwa Mungu , Haji ni mkubwa sana mwenye kipawa kikubwa sana , Mungu akujaalie kheri zote ktk maisha yako kk Haji Manara. Allah akupe umri mrefu na uzima na hekma, Allah kuongoze vyema ktk kila hatua akuepushe na shari zote na mitihani. Kila jambo lako utakalopanga liende kama ulivyokusudia , Puuzia sana maneno ya watu wabaya ,songa mbele unaweza sana ndiomaana unapigwa vita nyingi usjali be strong .AAMIN AAMIN KHERI INSHAALAH.
Wenye Akili tunajua Haji ni Precious Treasure,Hii ni best interview.Kuna zuzu Moja lilitaka kuchallenge uwezo wa Haji.Wazee wake waliwekeza,We wa kwa Mama Kimbo Buza unajifanya Ujuaajiii.
nimecheka sana jamani nimejifunza mengi mashaallah, na mimi INSHAALLAH nitamuita mwanangu MILLARD JAPO bado sijaolewa lkn my future huby jua hili mapema hahahhah hongereni sana nimependa I WATCH THIS THREE TIMES
Nimesoma na mama yako Rehema Zanaki Secondary form 3 Com III Mimi patsy mage Hudson robina princilla mauga Farida, mackeja janet mna ndio Wakati WA uja uzito wako. Alikua mchekeshaji Sana Rehema kuna comment aliitoa darasani sitakaa niisahau kuhusu uja uzito WA huyu Haji Ayo niunganishe na Rehema pse
Ayo Millard Ayo hongera sana broo big up unafanya kazi kubwa na yenye uboraa ubarikiwe ktk maishaa yako pia manara hongeraa uko vyema unaweza kufanya kitu chochote kwa uimara wako mashallah
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh Haji manara mimi naitwa Abdul Simba naishi Amsterdam Netherlands mwaka 43 ukitaka kupata uraiya wa Hollands kwako niraisi sana juu umezaliwa hapa unahaki zote
@@musamgulila577 mie simjui Hajji kwenye interview, nimezaliwa Kkoo, nimesoma Azania, namjua Hajji kama kijana mwenzangu tuliyekulia kkoo, najua na nakumbuka mzee wake alivyokua na furaha na raha siku ile ya matokeo ya mtoto wake... halaf mbona kuthibitisha hilo la matokeo yake ni rahisi sana? Au hujui nikuelekeze namna ya kufanya ili ujiridhishe?
Millard Ayo uki-host Interview hata ikiwa na masaa 10 kuajilia njiani Ni ngumu sana😄,Hongera sana unapangilia sana maswali nk. Kiasi kwamba interview ya lisaa inakuwa Ni kama dk 5😄...Well Done! Big Up sana Brother.
Aloooh mpaka nimeimaliza yote mmetisha watoto wa mwezi mmoja sema yanga oyee✊ haya mikia🐒 wakate kaclip aliko alikosema bhakresar ajanijua nikiwa msemaji wa simba maana wanataman akosee lakn lijamaa alikosei lipo makini kinouma daah bugati hatari😂😂
Nimefurahi sana kusikia historia ya haji manara ,kutoka kwenye kinywa chake mwenyewe. Hao wanaliokuwa wanambeza HS Manara sasa wajue. Yule ni mtoto wa kishua.Kusoma international school of Tanganyika si mchezo
Millard Ayo jitahidi unapofanya interview jitahidi kufanya maandalizi kamili kabla kwanini nakukumbusha hili mipito ya wafanya kazi wako pindi ukiwa kwenye interview imezidi wanapita pita sana wahanaribu muonekano
"Ushabiki Unahama"...@Haji Manara🙌🏻...Jamaa Anafalsafa Nzuri Sanaa Appreciate✊
Saaaaaafi sana Haji Manara. Leo nimejua jambo la muhimu sana ambalo sikulijua mwanzoni. Sikujua kama baba yako ni Sande Manara mchezaji wa kabumbu! Asante sana. Watanzania tunakupenda sana.
Haji Manara ni smart 😎 salaam toka canada 🇨🇦
Haji manara yupo mmoja tu ,🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Kumbe hatar sana ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Bonge moja ya interview manara yuko vizuri tuache maswala ya ushabiki hadi kwenye maisha ya kawaida haji nae anamaisha nje ya mpira maana mtu ukimwona haji tu unawaza simba na Yanga
Gud ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini nimeopenda sana interview hii namba has a historia yake Haji Manara.
Mashaaalah,Mashaaalah, the best Interview, nimefurah sana , Haji Ni zawadi ya wa Tanzania toka kwa Mungu , Haji ni mkubwa sana mwenye kipawa kikubwa sana , Mungu akujaalie kheri zote ktk maisha yako kk Haji Manara. Allah akupe umri mrefu na uzima na hekma, Allah kuongoze vyema ktk kila hatua akuepushe na shari zote na mitihani. Kila jambo lako utakalopanga liende kama ulivyokusudia , Puuzia sana maneno ya watu wabaya ,songa mbele unaweza sana ndiomaana unapigwa vita nyingi usjali be strong .AAMIN AAMIN KHERI INSHAALAH.
Nilikua naisubiri kwa hamu hii interview ahsante Millard Ayo
Wenye Akili tunajua Haji ni Precious Treasure,Hii ni best interview.Kuna zuzu Moja lilitaka kuchallenge uwezo wa Haji.Wazee wake waliwekeza,We wa kwa Mama Kimbo Buza unajifanya Ujuaajiii.
Yanga mmeopoa dume aisee ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Akina mwijaku Hao
nimecheka sana jamani nimejifunza mengi mashaallah, na mimi INSHAALLAH nitamuita mwanangu MILLARD JAPO bado sijaolewa lkn my future huby jua hili mapema hahahhah hongereni sana nimependa I WATCH THIS THREE TIMES
Huyu mtu nampenda sana... Haji ni dume kamilifu....
Piga like kama unampenda semaji la dunia 👍👍
Hatar jaman ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Safi sana @hajismanara. Toka uwe mwananchi unaongea kwa busara sana
Haji Manara nakupenda sana resembling with my brother , the way you are, navyosema umefanana nae namaanisha mpk rang. He is an alibi no like you
Natamani mungu anipe mme mwenye busara Kama Haji manara,,nakpenda sana,ur very bright❤️❤️❤️
Mă a
Juliana Kamese Aminaa utapata mpenzi, Kikubwa maombi.
nipo apa
@@nulaniisa9425 umpakie mkongo sio
Ila haji bwana una maono makubwa aman of abig dream u inspire so many young generation congratulation bigup
Nimesoma na mama yako Rehema Zanaki Secondary form 3 Com III Mimi patsy mage Hudson robina princilla mauga Farida, mackeja janet mna ndio Wakati WA uja uzito wako. Alikua mchekeshaji Sana Rehema kuna comment aliitoa darasani sitakaa niisahau kuhusu uja uzito WA huyu Haji Ayo niunganishe na Rehema pse
Jambo bora sana.
Mtangazaji bora
Imefahana sana kwenye kipindi
Hajii manala ni haruatani mzee
Ubinadamu uko poA
Ayoooooo
Nakwambia Tena mtu Achekwi kirema Anachekwa uchafu sawasawa
Nampenda sana HAJI lakini yanga siipendi kabisa
Semaji la DUNIA ndani ya millard ayo Tv
Hatar ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Kizazi sana
Msemaji wa viwango vya juuu haji mtoto wa mzee manala
Heheheee ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
@@simbafuns785kviews hkkk
Ayo Millard Ayo hongera sana broo big up unafanya kazi kubwa na yenye uboraa ubarikiwe ktk maishaa yako pia manara hongeraa uko vyema unaweza kufanya kitu chochote kwa uimara wako mashallah
Great Interview! This is Haji a lot of people know nothing about him.
Mnknnbbgjbbbg
Hongera Haji Manara na Millard Ayo pia 😎God bless us all
00
⁰14131³
nampenda sana haji manara🤩
Uwezi kuzungumzia soka la bongo lazima umtaje haji manara anamchago mkubwa sana katika tasinia ya soka . Bugatti
Keep it up Haji haya ni maisha mi binafsi nimekuelewa vzur
Baba yako ameshangaa sana. Kusema umezaliwa Ulaya. Muongo umezaliwa kariakoo
Namkubali sana haji manara. Big up bro 💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Ndoto yangu kwel imetimia nilikuwa natamani haji manara kuja yanga leo imetimia
Jamaa hatar ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh Haji manara mimi naitwa Abdul Simba naishi Amsterdam Netherlands mwaka 43 ukitaka kupata uraiya wa Hollands kwako niraisi sana juu umezaliwa hapa unahaki zote
Div 1 ya Point 7,, big up sn Haji
Manara ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Hapo tumedanganywa
@@musamgulila577 Hajji alipata point 7, watu wa Dar na tuliomaliza muda ule tuna kumbukumbu nzur kwa hilo
@@kassimabdu5677 hahaha danganya wajinga ...hii sio interview ya kwanza ya haji ...
@@musamgulila577 mie simjui Hajji kwenye interview, nimezaliwa Kkoo, nimesoma Azania, namjua Hajji kama kijana mwenzangu tuliyekulia kkoo, najua na nakumbuka mzee wake alivyokua na furaha na raha siku ile ya matokeo ya mtoto wake... halaf mbona kuthibitisha hilo la matokeo yake ni rahisi sana? Au hujui nikuelekeze namna ya kufanya ili ujiridhishe?
Nmependa maneno yakuhitimisha asee.
Hongera yako Al hajj hajji manara
Bado naendelea na DOZI ya Dawa nameza kutwa mara tatu Kila siku ili KUMSAMEHE NA KUMkubali Manara kuwa Yanga ipo siku nitapona.
Na Mimi pia
Millard Ayo uki-host Interview hata ikiwa na masaa 10 kuajilia njiani Ni ngumu sana😄,Hongera sana unapangilia sana maswali nk. Kiasi kwamba interview ya lisaa inakuwa Ni kama dk 5😄...Well Done! Big Up sana Brother.
Shukrani sana Chipuga
❤🌺@@millardayoTZA
Mmmmh! Sikuwahi waza kama Haji uko
Smart kiasi hiki! We ni hazina na ni mkweli daima. Mungu akupe maisha marefu.
Kwa tanzania hapa hakuna msemaji wa mpira kama Haji manara.Ninakubari sana.
Ulipo tupo gonga like zangu
Amina ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Upo na nani?
Bonge la interview! Quality 💯 Shout out to Millard Ayo
💯%🤝
Kumbe Manara aka akili sana kuliko Mwijaku mropokaji mwijaku anasema manara hana Elimu kumbe ipo elimu
Profile ya Mwijaku haiwezi kuifikia huyu jamaa.Ndio utajua Kuna watu warokopaji.
Maswali na majibu ya ufasaha nice interview 👍👌 manara ana akili kubwa sana mungu akutimizie ndoto zako inshallah ❤ you all kwaajili ya Allah
Millard Ayo ni icon wangu kwenye interviews 🙌🏾
Afadhali dogo kasema mwenyewe jinsi alivyokuwa cha utundu pale alipokuja Bunge p/school,Lakini mcheshi pia.
Hii sauti niliimis sana da! Millard uko na kipaj brother
#settingIsAwesome
🔥🔥
Interview To watch Iko Sawa Sana Bwa Wawili Wazuru
Mashallah bro
Haji ni bugati kweli..hahaa.Kuna watu wanadharau hawa watu wenye rangi tofauti ila haji ana wanyoosha kisawa sawa.
Naam semaji letu inshallah mwenyezi Mungu atazidi kukuwa na wewe
Asante sana
I appliciate your work
Appreciate
@d😊elmasmas1347
Aloooh mpaka nimeimaliza yote mmetisha watoto wa mwezi mmoja sema yanga oyee✊ haya mikia🐒 wakate kaclip aliko alikosema bhakresar ajanijua nikiwa msemaji wa simba maana wanataman akosee lakn lijamaa alikosei lipo makini kinouma daah bugati hatari😂😂
Mbingu na ardhi😂😂😂😂😂
Manara ni brand kubwa hela unayo huwezi kosa milion moja kwenda kusafisha meno jamani wakina GIGY wakupe siri.
Nadhn kapenda yawe hivyo,kwa baadhi ya watu wanapenda meno ya namna hiyoo
Sasa mbona we mchokozi hivi !!!
tatizo huna ndugu mwenye ulemavu wa albino ukajua maumbile yao..ni tatizo kubwa kumuona mtu anatoa madhaifu ya maumbile
@@drimazonechoice9822 wachana na huyu dada ..hana habari...ni maumbile ya albino sio kutopiga mswaki....
Mbona wewe unananuka
Nakuelewa Shekhe Manara
Inshallah Shekheeee
Ongereni
Karibu sana Yanga tunakupenda huyo ndo Mungu
Haji ametulia sana ktk hyo inter view
Interview tamu Sana hii lkn mb za kuunga nitamalizia nilipo ishia inshaallah nimeishia dakika ya 18 👊👍💪
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Mr hamisi usiwe mbahiri wa mb
Fanya setting kwenye account yako video zisile mb kwa kasi.
Hata nzi na paka wanazaliwa ulaya usitushughulishe wacha tuhangaike na tozo
Vizur sana haji
Huyu kweli ni msukule amefanana kuanzia rangi ni ya usukule akili ni usukule ni msukule kweli
ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Mambo safii sana
Maashaallah ❤
😂😂😂😂ety miaka ya sabini acha uwongo ww walozaliwa sabini wapo lkn ww unatuongopea
Good
Ongera Sana Haji Manara Nilipenda Sana uchezaji wa baba yako alikuwa anaitwa Computer wakati anachezea Yanga
Interview nyingine kasema amezaliwa Daressalaam hospitali ya Dr Khan
Huo Utundu NI WA kama yakeeee darasani ilikua hivyo hivyo
Halafu Sunday Baba yako aliishi ilala MTAA karibu na Manyoni street amenisahau tuu tulika nyumba ya Bibi mchinga
Achana nao hao manara fanya kazi ulishe familia yako
Kaz iendeleee ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Haji anazidi kuwa kijana ...kweli pesa hatari. Bora umekimbia njaa kule
Nimefurahi sana kusikia historia ya haji manara ,kutoka kwenye kinywa chake mwenyewe.
Hao wanaliokuwa wanambeza HS Manara sasa wajue.
Yule ni mtoto wa kishua.Kusoma international school of Tanganyika si mchezo
Kwel ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Aisee kweli, Tanganyika sio mchezo, ndo shule ya kwanza Tz kwa ghali Zaid ada
Millard eti ulizaliwa uholanzi wew jamaa ni moto
😹😹😹😹
Bugatiiiiii ✊✊✊✊
Jamaa anajua
The best interview i ever come across
Nakukubali sana Manara
Manara Safi Sana
Aisee
Manara umenifanya nijue kwamba tz kuna sports,
sawa rais ujae nakubali harakati mwaisa
Milliad hao wanao pita nyuma ya manara they’re unprofessional kwani hakuna njia nyengine ya kupita mpaka wapite huko nyuma
Wanajutaaaaaa
Interview bakubwa! Penda sana Haji Manara❤❤❤👍
Jamaa amenifanya niipende yanga African namkubali sana semaji la dunia
Msemaji msomi
Sijaelewa,umetoka Tanganyika international ( English medium) ,ukahamia bunge ( Swahili medium) Kisha mzumbe......,..?????
Semaji la Dunia
Nimeamin kuwa hakuna kitu chepes katika hii dunia
Millardayo bhana, eti "hiyo safi sana" nawe oa bhana jamaa yetu.
Haji wetu
Duuh safi sana
Kwel ruclips.net/video/hPfGDMQuh3M/видео.html
Duuuuuuh aiseeeee unatisha hajj div1 ya point 7
Nakumbuka kagari cha Suzuki vitara cha turubai anakuja nacho kariakoo Maulidi kitenge😂😂😂
Kweli mungu akupi kilema akakukosesha mwendo
Semaji kuu la nchi 🇹🇿
Millard Ayo jitahidi unapofanya interview jitahidi kufanya maandalizi kamili kabla kwanini nakukumbusha hili mipito ya wafanya kazi wako pindi ukiwa kwenye interview imezidi wanapita pita sana wahanaribu muonekano
Huyo jamaa anaezunguka zunguka anaharibu interview improve that millard
Ushaondoka nyumbani kwenu
Umeaathirika nini sasa? Huyo fundi mitambo.
Tuishi kwa Upendo, it is all matters my pipos