THE CLASSIC MKANDAMIZAJI PT 1:KUJA MJINI NA NDOTO ZA KUA RAPPER/BYSER ALINIPA HASIRA/NILIFELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Masanja Mkandamizaji ni muigizaji na mchekeshaji mwenye mafanikio makubwa,alikuja mjini akiwa na ndoto za kua rapper mkubwa na kufanikiwa,lakini safari yake ilikua na mambo mengi na mwishoe kuwa muigizaji,nni kilitokea?hii ndio hadithi yake

Комментарии • 24

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 9 месяцев назад +5

    Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥

  • @MirajiTraves
    @MirajiTraves 5 месяцев назад

    Masanja nakupa big up sana unaongea kweli wa maisha yako toka

  • @rahimchardluck
    @rahimchardluck 9 месяцев назад +4

    hii interview nzuri jamani....watu wako jamaica 😀😀😀😀😀😀 nimependa jamaa anaongea yeye yani hii sasa ndio interview..mwamba tangia kakaribishwa anafunguka mpaka mwisho yani iko bieeeee

  • @mosesoballaonlinetv2579
    @mosesoballaonlinetv2579 9 месяцев назад +3

    Dah! Ila Masanja eti pigo la mwisho la Getril dah nmecheka sana😅😅😅

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 9 месяцев назад +4

    Leo mmenifurisha mnoooo,,,mapicha picha hakuna kabisa

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 9 месяцев назад +1

    2008 alikuwa tayari star na ze comedy ilikuepo tayari unaongelea 2003 huko

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga4805 9 месяцев назад +2

    Kumbe Jabil ndoulinibania BSS 2005 Bilcanas

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 9 месяцев назад +3

    Atakuua huyo na mikono yake huyoo 😂😂😂

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 9 месяцев назад +6

    Daah! Mbona fupi sana pia nilitaka kujua ile ngoma ya nakataa Ugali kwanini hakutoa video,pia kuna ile nyingine inaitwa Wadogo zangu aliwashirikisha Joti na Mpoki

  • @chambertalkshow9437
    @chambertalkshow9437 9 месяцев назад

    Noma sana 😅

  • @a-zproduction8143
    @a-zproduction8143 7 месяцев назад

    Amazing sana ila please Kuvi boresha sound system please 🙏

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  7 месяцев назад

      Ok ndugu japo naona iko fresh lakini tutafanyia kazi maoni ndugu

    • @a-zproduction8143
      @a-zproduction8143 7 месяцев назад +1

      @@KuviFacts ndio ifanyie kazi maana inasound kama umerecord sauti Ina noise halafu uichuje kwa kutumia Adobe Audition Sasa Kuna namna itasound kama Ivo Sasa Kaka lkn bonge la kipindi Mzee keep it up Bro.❤

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 9 месяцев назад

    Masanja kanichekesha sn, Yani kipindi kimekuwa kifupi, umenikumbusha dar West tabata,

  • @AfricanAlphaBeats
    @AfricanAlphaBeats 7 месяцев назад

    Sound mbov

  • @stuartikonko1941
    @stuartikonko1941 9 месяцев назад

    Cyo 2008 kala katoka bss ya Kwanza ilikuwa 2006 kwo itakuwa nyuma ya mwaka huo

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 9 месяцев назад

    Kuvichaka

  • @abednego3876
    @abednego3876 9 месяцев назад

    Mpo kwenye pipa au drum
    😅

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 8 месяцев назад

    Rudi tena

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 9 месяцев назад

    ✊🏿👮🏿‍♂️

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 9 месяцев назад +1

    Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 9 месяцев назад

    Mwendelezo plz