THE CLASSIC DAZ NUNDAZ 2: KAMANDA WIMBO BORA MUDA WOTE BONGOFLEV/ALAMNUSRA WATU WAFE/KISA CHA NIPE5
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Bongofleva Daz Nundaz wakiendelea kutupa hadithi kali za maisha na muziki wao
Kiukweri kamanda ndo wimbo Bora wa mda wote anaebisha na abishe, Ayubu juma from kibaha🎉🎉🎉🎉🎉
Mbishi Aje mi nina fact za kutosha za kumpa
Kabisa bro ila kwangu Barua ndio wimbo bora wa muda wote
Kabisa kaka, wimbo huo ulikuwa na heshima kubwa
Daz Nundaz-Barua nyimbo kali sana forever 🔥 🔥 🔥
MIIKA MWAMBA the BEST📌
feruz ana sauti ya pekee sana,,, saut tamu baalaaaa,,,
Hawa jamaa ukiskia walivyokua wanaandika nyimbo zao naona inatosha kabisa wakajengewa masanamu ili ata vizazi vijavyo vije kuwasoma❤kwa miaka hii hamna akili kama zao ata kidogo kabisa😊😊😊big up sana Daz nundaz
Tatu bora yangu
Mtazamo 3
Kamanda 2
Chemsha bongo 1
Starehe 🙌
Zari ra mentari ndio Mzee mksa wa bosi nipe Tano agost 13 nyaru rend nikusaidieje
Feruz nilisikia tangu shule alkuwa mkali sn wa mashairi,he is very talented lkn game ya Bongo haiko fair
Feruz mnyama sana hata kujieleza yupo vizuri
Imagine na yupo smart sana
Rashid kaombwe aka la rumba bab kubwa sana
Daah mabrother wanamastory nimefurahi sana kuwasikia aisee.
Yh no 1
Big up to Jabir uko vizuri
Wasanii wa zamani walikuwa wanawaza sana kwenye kutunga ..Nyimbo zao huwa haziishi radha na mafundisho kama kamanda Duh
Salute sana
Nakubaliana nao Kamanda ilikuwa na mchango kwenye mabadiliko ya mitizamo juu ya muziki wa bongo flavour.
Mkasa wa boss reminds me my late mother,kaisikia usiku,asubuhi ananiambia vijana wanajua kuna mtu kalalamika kweli.Nikajisemea kweli bongo inakubalika sasa
Umesahau na Barua
Kipind bora cha weekend
Namba 5 my best song everlasting hit
Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.
Kweli kabisa
Ila feruz ana saut tamu sn daa
Hapa tunaongelea 2000/2001 kama ulikuwa chini ya tuseme darasa la 6 tunaomba kuwajulisha kula zenu hazihesabiki, SAMAHANI BY UTAWALA
Ni kweli
lalumba ana kerere sana
Mererani ni kweli kabisaaaa 😂😂😂
Ivi umeisahauje jahazi la daz ?
Jahaz ni la ferooz
Tano bora yangu
1.chemsha bongo
2.Kamanda
3.Starehe
4.Zali la mentali
5.Barua
Feluz ndie bdo ana kit2
Ndio
Mbona mtangazaji kama Yuko biased, Daz nundaz ndo walifanya wazee waturuhusu hata kununua Kanda na kusikiliza sebuleni, sio dully Wala bdp, kwangu Daz nundaz ndio face wa bongo flava
kusema niko biased ni tuhuma ambazo ningepend kuzikanusha hapa,kuhusu swali lako nadhani unapaswakfahamu kua Bongofleva haikujengwa na msanii mmoja bali ni mchanganyiko wa wasanii wengi miana na miaka,BDP walitangulia kabla ya manunda na wao walikua na style ambayo haikua rap ndo mana wanatajwa kamamiongoni mwa waasisis,hii ndio sababu ya kufanya tunachofanya
Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.
Yap jamaa anaitwa SAJO aka CHUPA
ep1 sajo katajwa na hii intervyuu hajaweza kuwepo kwasababu yupo kanisania anabariki ndoa muda huo wa mchana
Afadhali umenisaidia kaka 🙏🏾watu hawasikilizi kwa umakini sometimes
Nimesikiliza vizuri tu, ila sijaona verse yake kama imepewa heshima kiivo, kama zilivyoongelewa verse nyingine, mi nasikiaga tu kuwa hakuimba yeye sijui alikuwa school, nilitamani wangeongelea waliweke vizur hilo.