THE CLASSIC DAZ NUNDAZ 2: KAMANDA WIMBO BORA MUDA WOTE BONGOFLEV/ALAMNUSRA WATU WAFE/KISA CHA NIPE5

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Bongofleva Daz Nundaz wakiendelea kutupa hadithi kali za maisha na muziki wao

Комментарии • 43

  • @AyubuErnest-x1k
    @AyubuErnest-x1k 3 месяца назад +12

    Kiukweri kamanda ndo wimbo Bora wa mda wote anaebisha na abishe, Ayubu juma from kibaha🎉🎉🎉🎉🎉

    • @MadembweDickson-ur4kl
      @MadembweDickson-ur4kl 3 месяца назад

      Mbishi Aje mi nina fact za kutosha za kumpa

    • @idarousomar1
      @idarousomar1 3 месяца назад +2

      Kabisa bro ila kwangu Barua ndio wimbo bora wa muda wote

    • @official_lionboy_tz
      @official_lionboy_tz 3 месяца назад +1

      Kabisa kaka, wimbo huo ulikuwa na heshima kubwa

  • @alibinali_
    @alibinali_ 2 месяца назад

    Daz Nundaz-Barua nyimbo kali sana forever 🔥 🔥 🔥

  • @nassoromelele7339
    @nassoromelele7339 2 месяца назад +1

    MIIKA MWAMBA the BEST📌

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 2 месяца назад

    feruz ana sauti ya pekee sana,,, saut tamu baalaaaa,,,

  • @spartachize122
    @spartachize122 2 месяца назад

    Hawa jamaa ukiskia walivyokua wanaandika nyimbo zao naona inatosha kabisa wakajengewa masanamu ili ata vizazi vijavyo vije kuwasoma❤kwa miaka hii hamna akili kama zao ata kidogo kabisa😊😊😊big up sana Daz nundaz

  • @claraellias6654
    @claraellias6654 3 месяца назад +7

    Tatu bora yangu
    Mtazamo 3
    Kamanda 2
    Chemsha bongo 1

    • @InnoTeo-id6hl
      @InnoTeo-id6hl 2 месяца назад

      Starehe 🙌

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 2 месяца назад

      Zari ra mentari ndio Mzee mksa wa bosi nipe Tano agost 13 nyaru rend nikusaidieje

  • @barnabaschars1637
    @barnabaschars1637 3 месяца назад +5

    Feruz nilisikia tangu shule alkuwa mkali sn wa mashairi,he is very talented lkn game ya Bongo haiko fair

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 3 месяца назад +3

    Feruz mnyama sana hata kujieleza yupo vizuri

    • @Eliabennet
      @Eliabennet 3 месяца назад

      Imagine na yupo smart sana

  • @BakariSaidy-s7r
    @BakariSaidy-s7r 3 месяца назад +2

    Rashid kaombwe aka la rumba bab kubwa sana

  • @SaleheAdamu-vv1fq
    @SaleheAdamu-vv1fq 3 месяца назад

    Daah mabrother wanamastory nimefurahi sana kuwasikia aisee.

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 2 месяца назад

    Yh no 1

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 3 месяца назад +2

    Big up to Jabir uko vizuri

    • @Nyanda506
      @Nyanda506 3 месяца назад +1

      Wasanii wa zamani walikuwa wanawaza sana kwenye kutunga ..Nyimbo zao huwa haziishi radha na mafundisho kama kamanda Duh

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  3 месяца назад +1

      Salute sana

  • @valencenkulanga9118
    @valencenkulanga9118 3 месяца назад

    Nakubaliana nao Kamanda ilikuwa na mchango kwenye mabadiliko ya mitizamo juu ya muziki wa bongo flavour.
    Mkasa wa boss reminds me my late mother,kaisikia usiku,asubuhi ananiambia vijana wanajua kuna mtu kalalamika kweli.Nikajisemea kweli bongo inakubalika sasa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 3 месяца назад

    Kipind bora cha weekend

  • @richpaullzproductions
    @richpaullzproductions 3 месяца назад

    Namba 5 my best song everlasting hit

  • @gadimbajo
    @gadimbajo 3 месяца назад +2

    Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 3 месяца назад +2

    Kweli kabisa

  • @yusufsuwi5350
    @yusufsuwi5350 3 месяца назад +1

    Ila feruz ana saut tamu sn daa

  • @animalx8346
    @animalx8346 3 месяца назад

    Hapa tunaongelea 2000/2001 kama ulikuwa chini ya tuseme darasa la 6 tunaomba kuwajulisha kula zenu hazihesabiki, SAMAHANI BY UTAWALA

  • @TariqJafari-w2j
    @TariqJafari-w2j 3 месяца назад

    Ni kweli

  • @businesstanzania
    @businesstanzania 3 месяца назад +1

    lalumba ana kerere sana

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 3 месяца назад

    Mererani ni kweli kabisaaaa 😂😂😂

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 3 месяца назад +1

    Ivi umeisahauje jahazi la daz ?

  • @maneno-my4lu4dt8i
    @maneno-my4lu4dt8i 3 месяца назад +1

    Tano bora yangu
    1.chemsha bongo
    2.Kamanda
    3.Starehe
    4.Zali la mentali
    5.Barua

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 3 месяца назад

    Feluz ndie bdo ana kit2

  • @shabanihussein6329
    @shabanihussein6329 3 месяца назад +1

    Ndio

  • @animalx8346
    @animalx8346 3 месяца назад

    Mbona mtangazaji kama Yuko biased, Daz nundaz ndo walifanya wazee waturuhusu hata kununua Kanda na kusikiliza sebuleni, sio dully Wala bdp, kwangu Daz nundaz ndio face wa bongo flava

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  3 месяца назад

      kusema niko biased ni tuhuma ambazo ningepend kuzikanusha hapa,kuhusu swali lako nadhani unapaswakfahamu kua Bongofleva haikujengwa na msanii mmoja bali ni mchanganyiko wa wasanii wengi miana na miaka,BDP walitangulia kabla ya manunda na wao walikua na style ambayo haikua rap ndo mana wanatajwa kamamiongoni mwa waasisis,hii ndio sababu ya kufanya tunachofanya

  • @gadimbajo
    @gadimbajo 3 месяца назад

    Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.

    • @FajeFesto
      @FajeFesto 3 месяца назад +1

      Yap jamaa anaitwa SAJO aka CHUPA

    • @Lugongam
      @Lugongam 3 месяца назад

      ep1 sajo katajwa na hii intervyuu hajaweza kuwepo kwasababu yupo kanisania anabariki ndoa muda huo wa mchana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 месяца назад

      Afadhali umenisaidia kaka 🙏🏾watu hawasikilizi kwa umakini sometimes

    • @gadimbajo
      @gadimbajo 2 месяца назад

      Nimesikiliza vizuri tu, ila sijaona verse yake kama imepewa heshima kiivo, kama zilivyoongelewa verse nyingine, mi nasikiaga tu kuwa hakuimba yeye sijui alikuwa school, nilitamani wangeongelea waliweke vizur hilo.