Swali la Nikki wa II ndani ya Basi kuna Fid Q, Mr. Blue na wengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2016
  • Ni kutoka kwenye basi la Wasanii wa bongofleva wakiwa safarini kwenye show za FIESTA 2016, tamasha ambalo linafanyika kwenye mikoa mbalimbali Tanzania sasa hivi.

Комментарии • 263

  • @hawarajab5639
    @hawarajab5639 5 лет назад +7

    Fid upo sawa bro your opened our mind...

  • @officialphillz66
    @officialphillz66 7 лет назад +5

    fid he belive what he believe bt niki hajakubaliana na fid bt wote wana reasons bt fid kafeli suala la sumu bt they are so smart kuna elimu kati yao bt wengine hapo waulize kuhusu mademu watatoa michango
    snura u a smart pia umeweza kuthink na kukataa majibu ya fid ikiwa wengine wanakubali so congraturation kwa ku argue 👏👏👏👏

  • @eliudchubwa6277
    @eliudchubwa6277 5 лет назад +2

    Fid q the best

  • @lwitikogladson5127
    @lwitikogladson5127 7 лет назад +3

    Natural order Na Psychology Ni vitu viwili tofauti. Fid Umetisha saana kuwaelewesha hao wasiotaka kuelewa. Psychology ina play part kubwa saana kwenye ishu ya afya Na maisha Kwa ujumla.

  • @nicasanderson5225
    @nicasanderson5225 7 лет назад +2

    sababu nyingi zimesemw lakini ukweli ni kwamba hapa mpaakaa mtu aumwe inaegemea na mazingira na swala la imani, na imani saa nyingine ndio hiyo psychology.
    inawezekana vichaa ulio waona njiani wanatembea ndio hao walio fanikiwa kutoboa haya maisha wengine walisha dead pale tu walipo pata ugonjwa.
    mtu anaweza kuwa naumwa kichwa akashika flajil zile huku akijua ni paanadol na apone kichwa hiyo ni imani/ psychology
    mwingine kichaa haumwi kumbe mwili usha adopt mazingira hayo.

  • @danielluvunzu553
    @danielluvunzu553 7 лет назад +16

    fid unaongea kisomi wengine shule ni shida kidogo but ni true

    • @samuelpaul9212
      @samuelpaul9212 5 лет назад

      Daniel Luvunzu namna kitu, hakuna swali hata moja alilojibu, mwaswali ya secondary hakuna aliyeweza jibu

  • @andrewmsungu2535
    @andrewmsungu2535 7 лет назад +4

    You're right Fid Q. Unajibu kwa kutumia akili I like that

  • @eliofootz6519
    @eliofootz6519 7 лет назад +3

    Big up Fid ndo maana nakariri minyimbo yako Mzeee😄😄😄😄😄 umetisha mbaya

  • @leonshayo5240
    @leonshayo5240 7 лет назад +1

    daaah in short hyo clue iliyo husika kwa maswali naikubali sana yani I wish ngekuwepo mkali Nikki from A town Fidi toka Rock city pamoja na Mchomvu baba la baba big up sana nawaelewa kinoma noma

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko5850 7 лет назад +20

    Fid Q akili zake ni nyingi mno, Hata ukichanganya akili za watu wote humo kwenye gari bado hawamfikii (IQ)

    • @leonshayo5240
      @leonshayo5240 7 лет назад

      hajafikia kichwa ya Nikki c umesikia hayo maswali lakini

    • @iamzillahx6901
      @iamzillahx6901 7 лет назад +1

      +LEON SHAYO usiseme nikki kwa kiwango chake cha elimu lkn fid ana taalam ya saikolojia

    • @jullymosha4087
      @jullymosha4087 7 лет назад +3

      Fd Q yuko vzr

    • @khalfansimba9610
      @khalfansimba9610 6 лет назад

      Nikki ndo level za akina Fid Q

    • @yusuphjr2320
      @yusuphjr2320 5 лет назад

      @@khalfansimba9610 umeona ee

  • @fredmathubejr3547
    @fredmathubejr3547 7 лет назад +52

    Fid Q is a critical thinker cause he use his time in books, Nikki II he is smart cause of Education, hawa wengine mungu tu awasaidie cause hawajui hata wanachokiongea 😂😂😂😂😂😂😂

  • @machetemdudu5607
    @machetemdudu5607 7 лет назад

    mmmmh! fid q we ninoumaaa etiii!!!! am really like it kiukweli. big up bro, and keep it up!!!!!

  • @irenemossha2874
    @irenemossha2874 7 лет назад +15

    Fd Q much respect

    • @iamzillahx6901
      @iamzillahx6901 7 лет назад

      ana taaluma ya saikolojia ndo maana yko hvo na wengi hawamfaham nje ya mzik ykoje

    • @amosmitchell2130
      @amosmitchell2130 2 года назад

      i guess I am kinda randomly asking but do anyone know a good website to watch new tv shows online?

    • @rileyodin2602
      @rileyodin2602 2 года назад

      @Amos Mitchell flixportal :)

    • @amosmitchell2130
      @amosmitchell2130 2 года назад

      @Riley Odin thank you, I signed up and it seems like they got a lot of movies there =) Appreciate it!!

    • @rileyodin2602
      @rileyodin2602 2 года назад

      @Amos Mitchell you are welcome xD

  • @balysonemmanuel4527
    @balysonemmanuel4527 7 лет назад +15

    fid q umesema maana halisi ya " kujitambua" upo right bro

  • @chia9963
    @chia9963 7 лет назад +1

    fid nihatari sana ....Psychology iko juu sana....

  • @phanipeter4606
    @phanipeter4606 7 лет назад +1

    who u re ni cha msingi coz hata kichaa aaamin kuwa yy ni kichaa thats y chochote anachokutana nacho kama chakula umshkuru Mungu na kula hvyo Mungu pia umlinda huyu mja wake katka muda wote hvyo ni sawala la sykologia then na theologia ambapo tunamuhusisha Mungu na ulinzi wake hvyo fid q kawajib vizur sana ngosha anajua big up

  • @iamdavimoo5179
    @iamdavimoo5179 7 лет назад +4

    daaaaaaaaaaaa #fid q ana akili yaaan daaaaa deep thinker

  • @emmanuelpeter1958
    @emmanuelpeter1958 7 лет назад +1

    ngosha you kill it umejibu vizuri sana

  • @benoitfirmino7504
    @benoitfirmino7504 5 лет назад +1

    Fid q it's so smart

  • @dizastavina
    @dizastavina 7 лет назад +7

    drama tu. maigizo yanapunguza uelewa.washaona camera baaasi

  • @emmanuelkimea3255
    @emmanuelkimea3255 5 лет назад +1

    Man fongo hpo anaona nyotanyota tu. 😂😂 kma umemuona fongo gonga like

  • @abdallahmassera9509
    @abdallahmassera9509 7 лет назад +1

    Nikki anajua nn anasema ila ajaribu kumchallenge fid ila dada wa chura cjui hata kama anajua nn fid anazungumza...... psychological issue ni jambo kubwa sana kwenye mwili wa binadam.... mtu anaweza shika moto na asihisi maumivu......

  • @problemyabubakar3912
    @problemyabubakar3912 6 лет назад +3

    fid Q salute mmbaba

  • @mansabomarmanssab1079
    @mansabomarmanssab1079 5 лет назад +1

    Moto qubanda mskilize niki ww bdo mtto na uumbaj kaz y mungu dhen kumsklza uyo mshkaj unajua meng dhen mnaona akionge mnavomskiza qubanda..

  • @pauljaguar660
    @pauljaguar660 5 лет назад +1

    fid q big up to you coz majbu yako ni ya kiutu uzma mpe akil young killer

  • @somekeinnocent2322
    @somekeinnocent2322 7 лет назад

    thanks bro fid Q nitafanyia kazi udhaifu wangu

  • @spiyerharoun1670
    @spiyerharoun1670 7 лет назад +2

    pamoja sana fid Q nakukubali majibu ya busara hata kuchana ukiwa stejini unapasua vyema pamoja sana

  • @jamesmasanyiwa8375
    @jamesmasanyiwa8375 7 лет назад +30

    vichaaa huwa washadevelop immunity against hao bacteria vibrio cholera due to continuous exposure to the antigen, hivoooo tu

    • @rubbymusa1971
      @rubbymusa1971 7 лет назад +1

      Na kwambia eti kichaa hapati kupindu pindu ni swala la kisaikolojia, shule imewapiga chenga

    • @mshangaf1726
      @mshangaf1726 7 лет назад +3

      fid yupo sawa kuna kitu kinaitwa "PLACEIBO EFFECT" UKIPATA MUDA GOOGLE

    • @mohammedmlekwa4257
      @mohammedmlekwa4257 7 лет назад

      Umeona eeh hapo shule ilipiga chenga .kipindupindu husababishwa kwa kula kinyesi(mavi)

    • @dianaantony9445
      @dianaantony9445 7 лет назад

      +Mshanga F Nikweli kabisa nimemuelewa

    • @dianaantony9445
      @dianaantony9445 7 лет назад +1

      +Mshanga F Nikweli kabisa nimemuelewa

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 7 лет назад +7

    Kobe hawagogwi wengi sababu population ya Kobe in ndogo kuliko wanyama WA speed Kama gazelle Na Kobe sio wanyama wakutembea safari ndefu, 2. Vichaa wanaumwa kipindupindu Kama kawaida ila hawana uwezo WA kulipia matibabu au hata kufikiria matibabu 3. Vicha sio wengi wanaogongwa Na magari kutokana na population Yao kua ndogo kulikuo watu wazima Mfano mji mzima unaweza kua Na vichaa 100 akifa mmoja au 10 kwa mwaka huwezi kushtuka tofauti Na watu wazima 3000 kufariki, hio ndio science majibu mengine anayo mungu ila fid q kajitahidi

    • @wasajo
      @wasajo 7 лет назад

      Halafu kingine vichaa wamenyimwa akili zote lkn akili ya kujihami wamebaki nayo, mfano hai kama walivyonyimwa uwezo wa kuiba au kumtilia sumu adui yake hawa watu wa kuwanga, hata ukiwa adui yake vp atakuwangia lkn vyote ulivyonavyo iwe pesa sijui ninihawezi chukua

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 лет назад +1

    Naona mr blue yupo makini sana kumsikiliza fid Q 👂👈

  • @wasajo
    @wasajo 7 лет назад +4

    Fid we baba yao wakatae wakubali pamoja na nikk

  • @marthapollady1463
    @marthapollady1463 7 лет назад +1

    much respect to u fid.q

  • @godfreybahame1414
    @godfreybahame1414 2 месяца назад

    ajari ni ajari inaweza mpata yeyote lakini kwa vichaa sio maranyingi kwasababu hawatangitangi barabaran pale ambapo ajari inataka kutokea lakini mtu wa kawaida ghari likimfungia break anaweza akaanza kurudi alikotoka ama akaendelea kwa kasi(kutangatanga) ambapo anakoenda usalama hauko guaranteed io inamfanya agongwe

  • @slim2129
    @slim2129 7 лет назад +1

    Fid the genious😎

  • @joshuamsimbe7787
    @joshuamsimbe7787 7 лет назад +2

    millard wasanii wet elmu hawna kbsa coz kchaa n case of adaptation mwil usha adapt kul uchaf xo uko strong uki linganisha n w mt cio kchaa halaf khuxu ajali kwa vchaa co kwamb hawagongwi wanagongwa bt poption y vchaa n ndgo xna ukilnganixha n wa2 wazma xo huwez kta wamegngwa kwa wng ktokna n uchache wao

    • @viktamade
      @viktamade 7 лет назад

      safi nimekuelewa I wish ungekuwa kwenye gari la wasanii ujibu aisee

  • @Onicavee
    @Onicavee 7 лет назад +1

    nikki the gineus salut bro 😍😍😍😍

  • @billrass5097
    @billrass5097 6 лет назад +1

    Mara paap! akili ni nywele big up ngoxha

  • @marthamwasite1350
    @marthamwasite1350 5 лет назад

    Mnamchanganya sasa mr blue shikamoo na mamdogo snura mmependeza sema mama snura fid q nomaaaaa kichwa cha wengi

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 7 лет назад +2

    duh, #SNURA anasauti kali kama panga.. ilinibidi kupunguza sauti kwenye sim mpaka 1vlm. ILA #F_Q yuko sahii... aliwazalo mjinga ndilo humtokea...!

  • @yusuphh.kajabukama4029
    @yusuphh.kajabukama4029 7 лет назад +2

    Mwili huwa na tabia ya kujifunza kutokana na mazingira yanayojirudiarudia, lakini hata hivyo chembe hai nyeupe hujifunza namna ya kupambana na wageni mwilini, na kutunza kumbukumbu ya namna walivyopambana nao. Ndio maana pia tunafanya chanjo ili kuzifundisha chembe hai zetu kupambana na vijimelea. Hivyo mazingira na akili ya kichaa inatosha kuzifundisha chembe hai zake kukabiliana na vijimelea (Kichaa ni ugonjwa wa akili na sio wa kinga ya mwili), kwa hiyo hata kama huna akili basi kinga ya mwili itafanya kazi kama kawaida mpaka pale ugonjwaa huo wa akili utakavyoanza kudhoofisha au kusababisha majera ya ogani kuu na mifumo mingine ya mwili kama.

  • @charityoluoch94
    @charityoluoch94 3 года назад +1

    Fid q mwanaaa we shidaaa

  • @josephchristopher1887
    @josephchristopher1887 5 лет назад

    Thank you ngosha

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 7 лет назад +1

    kipindupindu kinatokana na kula kinyesi, kwa hiyo ikitokea mtu ameenda kujisaidia haja kubwa na asiponawa vizuri huondoka na wale wadudu wa kipindupindu baada ya hapo kama hatoosha mikono yake kwa maji safi yanayo tiririka na sabuni kisha akala chukula au matunda moja kwa moja anakuwa amepata kipindupindu, sasa vichaa na wendawazimu wao baada ya kujisaidia huwa hawa nawi wala kujiosha kwa namna yoyote na ndo maana hawawi wahanga wa ugonjwa huu wa kipindupindu.

  • @161mviews
    @161mviews 7 лет назад +1

    Fid umetisha 👏👏👏

  • @horizontv7324
    @horizontv7324 5 лет назад +1

    Majibu ya Fid Ni sahh kabisa

  • @fettyslim7511
    @fettyslim7511 7 лет назад +2

    nimemuelewa fid Maisha ni kuyafanyia kazi madhaifu yako ili yasikuelemee well say broo

    • @mohamedmande3958
      @mohamedmande3958 5 лет назад

      Cheery pick Brain of FID Q , VISIONARY.educational

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 лет назад +1

    fid Q genius

  • @subiraedward8868
    @subiraedward8868 7 лет назад

    duuh fid nomaa...thumbs up bro

  • @eventelias278
    @eventelias278 7 лет назад +7

    ngosha amefunika wao

    • @chia9963
      @chia9963 7 лет назад

      jamaa anauwexo mkubwa sana ...nmeshangaa sana sikutegemea huyu jama kama unauwezo mkubwa hivyo nje ya muziki...

  • @bwaxyalabainho4590
    @bwaxyalabainho4590 7 лет назад

    Hapo ndo tunapofaham uwezo wa kufikiri wa wasanii wetu
    Kumbe wengi wao ni vilaza.
    Atleast nikki na fid ndio wana uelewa.
    And they are all hip hop artist, hawa wabana pua ni vilaza watupu

  • @rajabusultan8214
    @rajabusultan8214 7 лет назад

    Kupata na kutopata kipindupindu ni mipango ya mungu mwenyewe
    Lakin pia kichaa na mwenye akili timamu ni wa2 wawl tofaut kichaa uwa aelew chochote anakula kizury/kichafu yeye anakula tofaut na m2 mwenye akili timamu Kwa hiy sometimes mungu umlindaa kichaa zaid 7bu akili Zak azipo perfect

  • @afterx3172
    @afterx3172 7 лет назад +2

    ipo gud

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 7 лет назад +3

    ndo ujue ngosha ni zaidi.. basi zima limenyamaza

  • @mudisaidy2748
    @mudisaidy2748 6 лет назад +1

    Fid q uko njema mzeeya

  • @mohammedmlekwa4257
    @mohammedmlekwa4257 7 лет назад

    Sio kweli vichaa hawapi kipindupindu(vibrio cholera).ila kipindupindu kinasababishwa na kula kinyesi(mavi)au kula kula chakula kilichochanganyikana na kinyesi hasa kwa watu wanaotumia samadi za vinyesii kama kinyesi cha binadamu

  • @monicajohn6270
    @monicajohn6270 6 лет назад

    Fid Q noma sana

  • @johnpeter745
    @johnpeter745 7 лет назад

    fid q uko vizuri sana

  • @erickrobinson8826
    @erickrobinson8826 7 лет назад

    Dahhh hizi kamba nazo eti m2 akidhurika ni swala la saikolojia, kwel fid umebwandaaa sana

  • @thetwen2167
    @thetwen2167 7 лет назад

    true dat Fid q tell dem

  • @nelsonmwalukuta23
    @nelsonmwalukuta23 6 лет назад

    Did q is the best vocalist

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith6128 7 лет назад +2

    fid uko vzr

  • @stylistofficial1405
    @stylistofficial1405 6 лет назад +1

    jux we msanii wangu ume tulia. kuleee wame sakizia swali ume chomoa 😂😂😂

  • @buhariabashiri4229
    @buhariabashiri4229 7 лет назад

    mbwa wanagongwa kwasababu wengi wao hutoka mbali kwenda kwa jike na wakifika huko ajikuti peke yake kuna wababe wapigane mbabe mmoja ndo ale,so wale wengine pindi wanarudi wanakuwa na mawazo kede hata road hawakumbuki kuangalia magari but utashaanga mwanzo alivuka vizur

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 5 лет назад +1

    man fongo anaona Giza tu apo 😂😂🙌😂😂

  • @emilyemanuel7174
    @emilyemanuel7174 5 лет назад +1

    Mi nahisi ata kichaa anaugua kipindu pindu maana ila kwasababu hana mtu wakumwelezea shida zake ndo maana unahisi haugui......

  • @immakandio1783
    @immakandio1783 5 лет назад

    FD q umetisha mzee baba

  • @andreashayo1168
    @andreashayo1168 7 лет назад +5

    kichaaaaa memory yake ina virus

  • @jullymosha4087
    @jullymosha4087 7 лет назад +1

    Fid Q yuko vzr

  • @chiefnewa7055
    @chiefnewa7055 7 лет назад

    india

  • @keziamsemo5837
    @keziamsemo5837 5 лет назад +1

    nilikuwa simuelewag kabisa fid lakini Leo nimemuelewa na nimempenda bure yani

  • @mussamchinjo68
    @mussamchinjo68 5 лет назад

    Fd q namkubali sana

  • @herypembe6904
    @herypembe6904 7 лет назад +1

    yn inafurahixha kwa kweli

  • @kalindatech1591
    @kalindatech1591 7 лет назад +2

    fid Q sio mtu wa mchezomchezo shkamoo Fid Q

  • @stephanoluoga8156
    @stephanoluoga8156 5 лет назад

    Kamwe huwezi agiza kitu ambacho hukipendi nahuwez kulavtu vyote unavyovipenda kwawakat mmoja brother fdq

  • @peteryohana7710
    @peteryohana7710 7 лет назад

    Ngosha Upo sawa

  • @justinkasuku1460
    @justinkasuku1460 7 лет назад

    Fid saluuuuuut....

  • @dickensndadema5403
    @dickensndadema5403 7 лет назад +2

    fid anafaham kila kitu hamnaa haja kubishana nyi vipi

  • @lovetonny0793
    @lovetonny0793 7 лет назад

    Wote hawamuelewi fid q.kajibu majibu sahihi na pia Yuki deep ndomana inakuwa shida kufahamu anachomaanisha.

  • @fareedmatumlah4440
    @fareedmatumlah4440 6 лет назад +1

    dah fid nakuelewa

  • @nackdree2248
    @nackdree2248 6 лет назад

    duuu fid q the respect

  • @emmanuelnyansiro7642
    @emmanuelnyansiro7642 7 лет назад

    Fid ni philosopher

  • @kalingarichard8825
    @kalingarichard8825 7 лет назад

    good fdq.

  • @ombenivasha7361
    @ombenivasha7361 6 лет назад +1

    fid umetsha sana nakubali sana

  • @crownmshana7838
    @crownmshana7838 7 лет назад

    nice

  • @abbasnassib9532
    @abbasnassib9532 7 лет назад +1

    Kwa hayo maswali ndani ya hilo basi ni tofauti ya hip hop na wabana pua..nimejua akili kubwa ilipo

  • @ramadhansaidi3549
    @ramadhansaidi3549 7 лет назад

    nice meeting

  • @lengaymaida434
    @lengaymaida434 6 лет назад +1

    Walikua wanaenda wapi

  • @esthernyokabikimiti9984
    @esthernyokabikimiti9984 7 лет назад

    mjadala mzuri huo😉

  • @gadsonmanchester475
    @gadsonmanchester475 5 лет назад

    Trd nimekuelewa sana

  • @giftmwambola5434
    @giftmwambola5434 7 лет назад

    fid yo the smartest

  • @kijoriselemani3445
    @kijoriselemani3445 5 лет назад

    ngosha

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 7 лет назад +2

    Nikki wa pili li mangi lina akili hili

  • @geresonshots2698
    @geresonshots2698 7 лет назад

    fid q ni noma nimejifunza kupitia yy

  • @nenda86
    @nenda86 7 лет назад

    Idadi ya vichaa ingekuwa sawa na watu wenye akili timamu naamini vichaa wangegongwa zaidi...

  • @mohamedmtopa6612
    @mohamedmtopa6612 7 лет назад

    kimya ni kizuri kama huna uhakika na cha kusema! sasa bakteria vibrio cholerae ana wezaje kumjua huyu ni kichaa na huyu ni mzima katika kuleta madhara! kichaa akila chakula au maji yenye hao bakteria ni ataugua kama mtu asie na kichaa hakuna cha saikolojia hapo.

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 11 месяцев назад

    Fid g,

  • @Raphael99
    @Raphael99 5 лет назад

    FD q nomaa sanaa

  • @kinarazemaster7321
    @kinarazemaster7321 5 лет назад

    huu mjadala haujafuata kanuni., kila MTU kaongea na jibu halijapatikana. sasa hatujui huenda alieuliza nae hajui jibu lake...., ilibidi protocols zifuatwe....., watu wanaongea hovyo hovyo tu kama sio watu wazima....
    sio kila uchafu una wadudu wa kipindupindu

  • @Veryabcstories
    @Veryabcstories 7 лет назад

    jamani chanzo cha kipindupindu ni kuwepo kwa kimelea sababishi kwenye chakula (yaani vibrio cholerae) na si vinginevyo.

  • @evodiusantony2115
    @evodiusantony2115 6 лет назад

    Noma fid q