Swali la Nikki wa II ndani ya Basi kuna Fid Q, Mr. Blue na wengine
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2016
- Ni kutoka kwenye basi la Wasanii wa bongofleva wakiwa safarini kwenye show za FIESTA 2016, tamasha ambalo linafanyika kwenye mikoa mbalimbali Tanzania sasa hivi.
Fid upo sawa bro your opened our mind...
fid he belive what he believe bt niki hajakubaliana na fid bt wote wana reasons bt fid kafeli suala la sumu bt they are so smart kuna elimu kati yao bt wengine hapo waulize kuhusu mademu watatoa michango
snura u a smart pia umeweza kuthink na kukataa majibu ya fid ikiwa wengine wanakubali so congraturation kwa ku argue 👏👏👏👏
Fid q the best
Natural order Na Psychology Ni vitu viwili tofauti. Fid Umetisha saana kuwaelewesha hao wasiotaka kuelewa. Psychology ina play part kubwa saana kwenye ishu ya afya Na maisha Kwa ujumla.
sababu nyingi zimesemw lakini ukweli ni kwamba hapa mpaakaa mtu aumwe inaegemea na mazingira na swala la imani, na imani saa nyingine ndio hiyo psychology.
inawezekana vichaa ulio waona njiani wanatembea ndio hao walio fanikiwa kutoboa haya maisha wengine walisha dead pale tu walipo pata ugonjwa.
mtu anaweza kuwa naumwa kichwa akashika flajil zile huku akijua ni paanadol na apone kichwa hiyo ni imani/ psychology
mwingine kichaa haumwi kumbe mwili usha adopt mazingira hayo.
fid unaongea kisomi wengine shule ni shida kidogo but ni true
Daniel Luvunzu namna kitu, hakuna swali hata moja alilojibu, mwaswali ya secondary hakuna aliyeweza jibu
You're right Fid Q. Unajibu kwa kutumia akili I like that
Big up Fid ndo maana nakariri minyimbo yako Mzeee😄😄😄😄😄 umetisha mbaya
daaah in short hyo clue iliyo husika kwa maswali naikubali sana yani I wish ngekuwepo mkali Nikki from A town Fidi toka Rock city pamoja na Mchomvu baba la baba big up sana nawaelewa kinoma noma
Fid Q akili zake ni nyingi mno, Hata ukichanganya akili za watu wote humo kwenye gari bado hawamfikii (IQ)
hajafikia kichwa ya Nikki c umesikia hayo maswali lakini
+LEON SHAYO usiseme nikki kwa kiwango chake cha elimu lkn fid ana taalam ya saikolojia
Fd Q yuko vzr
Nikki ndo level za akina Fid Q
@@khalfansimba9610 umeona ee
Fid Q is a critical thinker cause he use his time in books, Nikki II he is smart cause of Education, hawa wengine mungu tu awasaidie cause hawajui hata wanachokiongea 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
hahahahahaaa
fred umenena ukweli kaka...shule muhimu sana
Wamejikita kwene mzk tu ao wengine lkn fd na nikk wako vzr
Daah Jamaa umetisha kuliko hata fid na Niki
mmmmh! fid q we ninoumaaa etiii!!!! am really like it kiukweli. big up bro, and keep it up!!!!!
Fd Q much respect
ana taaluma ya saikolojia ndo maana yko hvo na wengi hawamfaham nje ya mzik ykoje
i guess I am kinda randomly asking but do anyone know a good website to watch new tv shows online?
@Amos Mitchell flixportal :)
@Riley Odin thank you, I signed up and it seems like they got a lot of movies there =) Appreciate it!!
@Amos Mitchell you are welcome xD
fid q umesema maana halisi ya " kujitambua" upo right bro
Yap
fid nihatari sana ....Psychology iko juu sana....
who u re ni cha msingi coz hata kichaa aaamin kuwa yy ni kichaa thats y chochote anachokutana nacho kama chakula umshkuru Mungu na kula hvyo Mungu pia umlinda huyu mja wake katka muda wote hvyo ni sawala la sykologia then na theologia ambapo tunamuhusisha Mungu na ulinzi wake hvyo fid q kawajib vizur sana ngosha anajua big up
daaaaaaaaaaaa #fid q ana akili yaaan daaaaa deep thinker
ngosha you kill it umejibu vizuri sana
Fid q it's so smart
drama tu. maigizo yanapunguza uelewa.washaona camera baaasi
Man fongo hpo anaona nyotanyota tu. 😂😂 kma umemuona fongo gonga like
Nikki anajua nn anasema ila ajaribu kumchallenge fid ila dada wa chura cjui hata kama anajua nn fid anazungumza...... psychological issue ni jambo kubwa sana kwenye mwili wa binadam.... mtu anaweza shika moto na asihisi maumivu......
fid Q salute mmbaba
Moto qubanda mskilize niki ww bdo mtto na uumbaj kaz y mungu dhen kumsklza uyo mshkaj unajua meng dhen mnaona akionge mnavomskiza qubanda..
fid q big up to you coz majbu yako ni ya kiutu uzma mpe akil young killer
thanks bro fid Q nitafanyia kazi udhaifu wangu
pamoja sana fid Q nakukubali majibu ya busara hata kuchana ukiwa stejini unapasua vyema pamoja sana
vichaaa huwa washadevelop immunity against hao bacteria vibrio cholera due to continuous exposure to the antigen, hivoooo tu
Na kwambia eti kichaa hapati kupindu pindu ni swala la kisaikolojia, shule imewapiga chenga
fid yupo sawa kuna kitu kinaitwa "PLACEIBO EFFECT" UKIPATA MUDA GOOGLE
Umeona eeh hapo shule ilipiga chenga .kipindupindu husababishwa kwa kula kinyesi(mavi)
+Mshanga F Nikweli kabisa nimemuelewa
+Mshanga F Nikweli kabisa nimemuelewa
Kobe hawagogwi wengi sababu population ya Kobe in ndogo kuliko wanyama WA speed Kama gazelle Na Kobe sio wanyama wakutembea safari ndefu, 2. Vichaa wanaumwa kipindupindu Kama kawaida ila hawana uwezo WA kulipia matibabu au hata kufikiria matibabu 3. Vicha sio wengi wanaogongwa Na magari kutokana na population Yao kua ndogo kulikuo watu wazima Mfano mji mzima unaweza kua Na vichaa 100 akifa mmoja au 10 kwa mwaka huwezi kushtuka tofauti Na watu wazima 3000 kufariki, hio ndio science majibu mengine anayo mungu ila fid q kajitahidi
Halafu kingine vichaa wamenyimwa akili zote lkn akili ya kujihami wamebaki nayo, mfano hai kama walivyonyimwa uwezo wa kuiba au kumtilia sumu adui yake hawa watu wa kuwanga, hata ukiwa adui yake vp atakuwangia lkn vyote ulivyonavyo iwe pesa sijui ninihawezi chukua
Naona mr blue yupo makini sana kumsikiliza fid Q 👂👈
Mpo xawa kiax
Fid we baba yao wakatae wakubali pamoja na nikk
much respect to u fid.q
ajari ni ajari inaweza mpata yeyote lakini kwa vichaa sio maranyingi kwasababu hawatangitangi barabaran pale ambapo ajari inataka kutokea lakini mtu wa kawaida ghari likimfungia break anaweza akaanza kurudi alikotoka ama akaendelea kwa kasi(kutangatanga) ambapo anakoenda usalama hauko guaranteed io inamfanya agongwe
Fid the genious😎
millard wasanii wet elmu hawna kbsa coz kchaa n case of adaptation mwil usha adapt kul uchaf xo uko strong uki linganisha n w mt cio kchaa halaf khuxu ajali kwa vchaa co kwamb hawagongwi wanagongwa bt poption y vchaa n ndgo xna ukilnganixha n wa2 wazma xo huwez kta wamegngwa kwa wng ktokna n uchache wao
safi nimekuelewa I wish ungekuwa kwenye gari la wasanii ujibu aisee
nikki the gineus salut bro 😍😍😍😍
Mara paap! akili ni nywele big up ngoxha
Mnamchanganya sasa mr blue shikamoo na mamdogo snura mmependeza sema mama snura fid q nomaaaaa kichwa cha wengi
duh, #SNURA anasauti kali kama panga.. ilinibidi kupunguza sauti kwenye sim mpaka 1vlm. ILA #F_Q yuko sahii... aliwazalo mjinga ndilo humtokea...!
Mwili huwa na tabia ya kujifunza kutokana na mazingira yanayojirudiarudia, lakini hata hivyo chembe hai nyeupe hujifunza namna ya kupambana na wageni mwilini, na kutunza kumbukumbu ya namna walivyopambana nao. Ndio maana pia tunafanya chanjo ili kuzifundisha chembe hai zetu kupambana na vijimelea. Hivyo mazingira na akili ya kichaa inatosha kuzifundisha chembe hai zake kukabiliana na vijimelea (Kichaa ni ugonjwa wa akili na sio wa kinga ya mwili), kwa hiyo hata kama huna akili basi kinga ya mwili itafanya kazi kama kawaida mpaka pale ugonjwaa huo wa akili utakavyoanza kudhoofisha au kusababisha majera ya ogani kuu na mifumo mingine ya mwili kama.
msomi hapo ni Nikii wa pili hao wengine woote ni darasa la 7
ngosha kasoma hadi form6
Fid q mwanaaa we shidaaa
Thank you ngosha
kipindupindu kinatokana na kula kinyesi, kwa hiyo ikitokea mtu ameenda kujisaidia haja kubwa na asiponawa vizuri huondoka na wale wadudu wa kipindupindu baada ya hapo kama hatoosha mikono yake kwa maji safi yanayo tiririka na sabuni kisha akala chukula au matunda moja kwa moja anakuwa amepata kipindupindu, sasa vichaa na wendawazimu wao baada ya kujisaidia huwa hawa nawi wala kujiosha kwa namna yoyote na ndo maana hawawi wahanga wa ugonjwa huu wa kipindupindu.
Fid umetisha 👏👏👏
Majibu ya Fid Ni sahh kabisa
nimemuelewa fid Maisha ni kuyafanyia kazi madhaifu yako ili yasikuelemee well say broo
Cheery pick Brain of FID Q , VISIONARY.educational
fid Q genius
duuh fid nomaa...thumbs up bro
ngosha amefunika wao
jamaa anauwexo mkubwa sana ...nmeshangaa sana sikutegemea huyu jama kama unauwezo mkubwa hivyo nje ya muziki...
Hapo ndo tunapofaham uwezo wa kufikiri wa wasanii wetu
Kumbe wengi wao ni vilaza.
Atleast nikki na fid ndio wana uelewa.
And they are all hip hop artist, hawa wabana pua ni vilaza watupu
Kupata na kutopata kipindupindu ni mipango ya mungu mwenyewe
Lakin pia kichaa na mwenye akili timamu ni wa2 wawl tofaut kichaa uwa aelew chochote anakula kizury/kichafu yeye anakula tofaut na m2 mwenye akili timamu Kwa hiy sometimes mungu umlindaa kichaa zaid 7bu akili Zak azipo perfect
ipo gud
ndo ujue ngosha ni zaidi.. basi zima limenyamaza
Fid q uko njema mzeeya
Sio kweli vichaa hawapi kipindupindu(vibrio cholera).ila kipindupindu kinasababishwa na kula kinyesi(mavi)au kula kula chakula kilichochanganyikana na kinyesi hasa kwa watu wanaotumia samadi za vinyesii kama kinyesi cha binadamu
Fid Q noma sana
fid q uko vizuri sana
Dahhh hizi kamba nazo eti m2 akidhurika ni swala la saikolojia, kwel fid umebwandaaa sana
true dat Fid q tell dem
Did q is the best vocalist
fid uko vzr
Gabriella Faith
jux we msanii wangu ume tulia. kuleee wame sakizia swali ume chomoa 😂😂😂
Alex Mumba 66
mbwa wanagongwa kwasababu wengi wao hutoka mbali kwenda kwa jike na wakifika huko ajikuti peke yake kuna wababe wapigane mbabe mmoja ndo ale,so wale wengine pindi wanarudi wanakuwa na mawazo kede hata road hawakumbuki kuangalia magari but utashaanga mwanzo alivuka vizur
man fongo anaona Giza tu apo 😂😂🙌😂😂
hahaha
Mi nahisi ata kichaa anaugua kipindu pindu maana ila kwasababu hana mtu wakumwelezea shida zake ndo maana unahisi haugui......
FD q umetisha mzee baba
kichaaaaa memory yake ina virus
Andrea Shayo very funny
Fid Q yuko vzr
india
nilikuwa simuelewag kabisa fid lakini Leo nimemuelewa na nimempenda bure yani
Fd q namkubali sana
yn inafurahixha kwa kweli
fid Q sio mtu wa mchezomchezo shkamoo Fid Q
Kamwe huwezi agiza kitu ambacho hukipendi nahuwez kulavtu vyote unavyovipenda kwawakat mmoja brother fdq
Ngosha Upo sawa
Fid saluuuuuut....
fid anafaham kila kitu hamnaa haja kubishana nyi vipi
Wote hawamuelewi fid q.kajibu majibu sahihi na pia Yuki deep ndomana inakuwa shida kufahamu anachomaanisha.
dah fid nakuelewa
duuu fid q the respect
Fid ni philosopher
good fdq.
fid umetsha sana nakubali sana
nice
Kwa hayo maswali ndani ya hilo basi ni tofauti ya hip hop na wabana pua..nimejua akili kubwa ilipo
nice meeting
Walikua wanaenda wapi
mjadala mzuri huo😉
Trd nimekuelewa sana
fid yo the smartest
ngosha
Nikki wa pili li mangi lina akili hili
fid q ni noma nimejifunza kupitia yy
Idadi ya vichaa ingekuwa sawa na watu wenye akili timamu naamini vichaa wangegongwa zaidi...
kimya ni kizuri kama huna uhakika na cha kusema! sasa bakteria vibrio cholerae ana wezaje kumjua huyu ni kichaa na huyu ni mzima katika kuleta madhara! kichaa akila chakula au maji yenye hao bakteria ni ataugua kama mtu asie na kichaa hakuna cha saikolojia hapo.
Fid g,
FD q nomaa sanaa
huu mjadala haujafuata kanuni., kila MTU kaongea na jibu halijapatikana. sasa hatujui huenda alieuliza nae hajui jibu lake...., ilibidi protocols zifuatwe....., watu wanaongea hovyo hovyo tu kama sio watu wazima....
sio kila uchafu una wadudu wa kipindupindu
jamani chanzo cha kipindupindu ni kuwepo kwa kimelea sababishi kwenye chakula (yaani vibrio cholerae) na si vinginevyo.
Noma fid q