MANARA AMJIBU MAGOMA “NJAA ZAKE, POROJO HIZO SIMJUI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 26

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify Месяц назад +8

    Huyu jamaa anavyopenda misifa , eti "Haji ni brand kubwa " .

    • @halimamwingu4478
      @halimamwingu4478 Месяц назад

      Huyu pale Yanga hatumtaki, mkorofi! Ali kamwe safi sn

    • @ndekemwaifyusi8499
      @ndekemwaifyusi8499 Месяц назад

      Anamaansha umaarufu wake.Na ni maarufu ikiwa unamzidi umaarufu basi na wewe ni brand kubwa itisha tu press conference.

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 Месяц назад +1

    Ali Kamwe the best! Ww 90% huongei mpira unaongelea watu na majungu! Ali Kamwe mtu wa Mpira ameipeleka Yanga mbali sn kwa ubunifu wake. Tafuta kazi😂😂😂😂

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Месяц назад +3

    Wewe mwenyewe manara ni mpingaji mkubwa unavumiliwa sanaaa.. Mjibu Sasa mzaramo mwenzio maana huku duniani kila mtu mtuwe..
    Mwenyewe umeshusha mapanga kwa magoma 😁

  • @IddMMhina
    @IddMMhina Месяц назад +3

    Lakini point ya msingi ameieleza nazani ulipaswa ujibu point zake. Jua sio watanzania wote ni mazuzu..wengine wanajitambua

  • @LillianNalugendo
    @LillianNalugendo Месяц назад +2

    Point kubwa sana Haji leo umeongea

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Месяц назад +1

    Magoma mtamjua au hamjui mtarimbo umewaganda 😂😂

  • @LillianNalugendo
    @LillianNalugendo Месяц назад +1

    Point kubwa sana leo Haji umeongea

  • @anamsaid8610
    @anamsaid8610 Месяц назад +2

    Point bro Hajji

  • @xhampoza_25
    @xhampoza_25 Месяц назад +1

    Asa ushakuwa mtu mzima mambo ya kuzalilishana na watoto wadogo achana nayo

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Месяц назад

    huyo mzee njaa inamsumbua tu pimbi huyo mzee magoma

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 Месяц назад

    HAKUNA ASIE NA NJAA

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Месяц назад

    Yes ana njaa lakini haibi kama wewe na hatukani binadamu wewe mbwa koko!

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Месяц назад

      Mbwa komo mwenyeww nawewe njaa inakusumbua

  • @xhampoza_25
    @xhampoza_25 Месяц назад

    Unajizalilisha hiyo ni njaa

  • @zebedayochilamla6758
    @zebedayochilamla6758 Месяц назад

    Mwongo wewe, wewe na Magoma nani ananjaa

  • @deogratiusprosper4796
    @deogratiusprosper4796 Месяц назад

    Nawe n njaa tu mana hiyo kauli ya ukubwa wa yanga aliwashawi itoa kwa Simba pia

  • @mkolwebrown4599
    @mkolwebrown4599 Месяц назад

    Mbona wewe huja mhoji magoma, unahoji upande mmoja.unafanya upendeleo

  • @user-xb6mb1by5l
    @user-xb6mb1by5l Месяц назад

    Manara karudi amezeeka hatari

  • @ChiefHeke
    @ChiefHeke Месяц назад

    Mbona sijamwelewa, hoja yako n nini

  • @user-rr9pd5bv3w
    @user-rr9pd5bv3w Месяц назад

    Mbona ww unajib siunge kaaa nyumban

  • @SudyMpanda
    @SudyMpanda Месяц назад

    Huna lolote hata Simba uliwaambia hivyo Toka japa

  • @SalumMkugwa-i9i
    @SalumMkugwa-i9i Месяц назад

    Kanusha