Ali Kamwe the best! Ww 90% huongei mpira unaongelea watu na majungu! Ali Kamwe mtu wa Mpira ameipeleka Yanga mbali sn kwa ubunifu wake. Tafuta kazi😂😂😂😂
Wewe mwenyewe manara ni mpingaji mkubwa unavumiliwa sanaaa.. Mjibu Sasa mzaramo mwenzio maana huku duniani kila mtu mtuwe.. Mwenyewe umeshusha mapanga kwa magoma 😁
Huyu jamaa anavyopenda misifa , eti "Haji ni brand kubwa " .
Huyu pale Yanga hatumtaki, mkorofi! Ali kamwe safi sn
Anamaansha umaarufu wake.Na ni maarufu ikiwa unamzidi umaarufu basi na wewe ni brand kubwa itisha tu press conference.
Ali Kamwe the best! Ww 90% huongei mpira unaongelea watu na majungu! Ali Kamwe mtu wa Mpira ameipeleka Yanga mbali sn kwa ubunifu wake. Tafuta kazi😂😂😂😂
Niko Na Wee
Wewe mwenyewe manara ni mpingaji mkubwa unavumiliwa sanaaa.. Mjibu Sasa mzaramo mwenzio maana huku duniani kila mtu mtuwe..
Mwenyewe umeshusha mapanga kwa magoma 😁
Lakini point ya msingi ameieleza nazani ulipaswa ujibu point zake. Jua sio watanzania wote ni mazuzu..wengine wanajitambua
Point kubwa sana Haji leo umeongea
Magoma mtamjua au hamjui mtarimbo umewaganda 😂😂
Point kubwa sana leo Haji umeongea
Point bro Hajji
Asa ushakuwa mtu mzima mambo ya kuzalilishana na watoto wadogo achana nayo
huyo mzee njaa inamsumbua tu pimbi huyo mzee magoma
HAKUNA ASIE NA NJAA
Yes ana njaa lakini haibi kama wewe na hatukani binadamu wewe mbwa koko!
Mbwa komo mwenyeww nawewe njaa inakusumbua
Unajizalilisha hiyo ni njaa
Mwongo wewe, wewe na Magoma nani ananjaa
Nawe n njaa tu mana hiyo kauli ya ukubwa wa yanga aliwashawi itoa kwa Simba pia
Mbona wewe huja mhoji magoma, unahoji upande mmoja.unafanya upendeleo
Manara karudi amezeeka hatari
Mbona sijamwelewa, hoja yako n nini
Mbona ww unajib siunge kaaa nyumban
Huna lolote hata Simba uliwaambia hivyo Toka japa
Kanusha