Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani
Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million
Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno.. Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba. Kwa Mungu kuna kujibu huko
huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.
‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️
Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?
Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.
Kuna mambo mengine xio haki unataka kumdhuru mtu ambae yuko huru wala hana nia mbya na Nchi yake. Hapa Serekali ilichemka! Wengi wametangulia lakini hayakutokea haya.
Nape kwa hili alionewa lakini pamoja na hilo nape samehee tu wala asifungue kesi na pia nakumbuka hayo waliya maliza na magufuri adhalani kama sijasahau
kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge
Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku
@@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey
@@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?
Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu
Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania
Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂
😂😂😂😂😂
Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.
Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie
Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!
Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha
Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,
Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana
Tuliorud kumchunguza maulid tujuane
Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani
Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu
Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million
Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.
uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo
pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!
Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno..
Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba.
Kwa Mungu kuna kujibu huko
Huyu kitenge ni nani? Nyuma ya pazia.
Ni usalma wa taifa hyo ndgu mbona toka zamani tuu
Hii ndo faida ya bao la mkono
Kama umemwona Harmorapa Gonga like
Mtangazaji wangu Bora wa muda wote maulid kitengee nampenda Sanaa maana huyu jamaaa n mnafkii sanaa
Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪
DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap
Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!
huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.
Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni
2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶
Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa
Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa
Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye
Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌
Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!
RAPHAEL SAMWEL
ha ha ha ha ha,naona wtz tumeshavulugwa
Unafirwa wewe
@@twentyfours3652 nn sasa hk mkuu
Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga
Big up kitengeee
Kitenge hapo nlikukubali sana
Wefisadi sikupendi
ivi naomba niulize huyu jamaa alietoa bastola hazalani yupo wapi
2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa haonwanaume wote na hao wenye video walikuwa na kazi gani hapo ,au ishu ilikuwa nini
Enzi za ubabe
Askari wa Magufuli
Utaaribu mambo ni kauli ya mpango ulikuwepo
Kitenge
Utaharibu mambo bhwana
Nilikua naangalia sports arena..ikabid nije kumchek kitenge huku 😀
huyo jamaa mzima kweli
‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️
Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa
Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua
Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake
Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?
Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.
Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.
Kuna mambo mengine xio haki unataka kumdhuru mtu ambae yuko huru wala hana nia mbya na Nchi yake. Hapa Serekali ilichemka! Wengi wametangulia lakini hayakutokea haya.
Mzeee wa bao la mkono
Bora muuwane nyinyi Kwa nyinyi CCM Kwa CCM maana hiyo ndio sera zenu
Tukio lilitenezwa ili kuchafua uongozi uliopo madarakan
Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu
Noma hiyo
Huyo wa bastola bado yupooo
Kitenge anastahili ukuuu
Wanamsubiri jela huyo kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fikiria ubaya unageuka .
Hiii dharau kweliii.
Utukufu wa makufuli
Hii nchi ilikuwa inaelekea kubaya sana
kitenge kitenge kitenge mh....
Wangap wamerudi kuangali hii kwasasa je umejifunza nn baada ya kuangalia mwaka huu?
Kawa waziri toa bastola na saizi
Wewe ulivosema mtashinda kwa koli la mkono ilikuwa sawa ww wamekunyosha unalalamika we vp tulia wakunyoshe.
Hivi huyu jamaa aliyemtishiaga ataacha kazi au
Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono
Yule mbwa wa kutoa bastola afungwe kifungo cha maisha
Nape kwa hili alionewa lakini pamoja na hilo nape samehee tu wala asifungue kesi na pia nakumbuka hayo waliya maliza na magufuri adhalani kama sijasahau
Sasa Ikiwa huyu jamaa alie mtishia nape bastola hajulikani huwa nawaza mambo mengi sana kwamba ni Nani sasa atakae julikana?
atv
Haaaàa
hamorap nae yupo
Kuna tatizo gani Kwan?
Ndugu watanzania kwa hii tabia ya kutaka kuoneshana mamlaka pasi na kutomheshimu mwenzako ni kitu kibaya
Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂
Dominic Classic hamorapa nduki
😀😀😀😀😀
What's going on? Could someone translate pls?
That person who wearing a cap was try to attack our former minister the one who wearing a white shirt
Watanzania bana kwa kusahau hatujambo! Sinema hizi bana naona ni Kama hazitufundishi kitu maana tunaludia yaleyale
watu wasiojulikana, NINGEKUWA mm nape ningemmwaga ubongo hapohapo huyo JAMAA,
Huyo nape angeingia humo kwny hilo gari pembeni hapo ingekua ndio bye bye....
Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu
🤔
Kikwapi sasa hii dunia ya kupita bwana
Kazi ipo
Sa itakuaje???
Tuliokuja baada ya post ya kigogo leo rujuanee
Wangemuuwa tu jasusi mpelelezi
Ungepiga risasi mbwa huyoo
Polisi tanzania wajinga wanatumia kama tissue chooni
Huyu askari jambazi ndio limeua huku kwetu mtwara
hahaaa hii nchi huyu ndo hafamik na vyombo vya usalama dyuu wamuulize kitenge kamuona usoni kabisa ,,,,,naipend nchi yng ila Hays mmmmh
Bastora ndo nini?????
Sasa kuonyesha mguu wa kuku wa nn?
Sasa huyu anatoa bastora mpaka leo hawamjui huyo alitakiwa aonyeshwe adabu
Nimejifunz kitu
Goli la mkono Hilo
Nchi iliingia uhuni hii
Waziri nape tunamuomba huyu jamaa
Inakuwaje Sasa niwaziriwako
Eti bado kuna mijituuuu tz.kuna amani
Huyo police karudishwe shuleni
Mchana kweupe 😀alafu unaambiwa ajulikani huyu mtu,😂😅 watu bwana, huu ujinga uliotangilia,na hekima imekaa nyuma itaigarimu sana tZ🤔
Alikuwa anatekwa nini?.
Amorapa ka kimbia