Комментарии •

  • @florameza9529
    @florameza9529 7 лет назад +47

    kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge

    • @ziakaitala2221
      @ziakaitala2221 5 лет назад +1

      Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku

    • @jumaazitto2767
      @jumaazitto2767 5 лет назад

      @@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey

    • @ziakaitala2221
      @ziakaitala2221 5 лет назад

      @@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?

    • @Kimbururu
      @Kimbururu 5 лет назад +12

      Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu

    • @dullabritish3277
      @dullabritish3277 4 года назад +9

      Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania

  • @Daudi-pg8bw
    @Daudi-pg8bw 5 дней назад +4

    Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz 3 года назад +4

    Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.

  • @eliyamahenge9382
    @eliyamahenge9382 5 лет назад +4

    Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay4773 2 года назад +3

    Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!

  • @dismaskamanzi2365
    @dismaskamanzi2365 4 года назад +10

    Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha

  • @mwalimu1520
    @mwalimu1520 3 года назад +9

    Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,

  • @ziakaitala2221
    @ziakaitala2221 5 лет назад +8

    Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 Год назад +4

    Tuliorud kumchunguza maulid tujuane

  • @jackzest4really145
    @jackzest4really145 2 года назад +2

    Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani

  • @ibrahimalisharif275
    @ibrahimalisharif275 4 года назад +4

    Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu

  • @shishismile1973
    @shishismile1973 4 года назад +3

    Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv 5 лет назад +5

    Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 5 лет назад +1

    uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 2 года назад +1

      Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo

  • @yusuphsaid6300
    @yusuphsaid6300 5 лет назад +2

    pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад +1

    Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno..
    Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba.
    Kwa Mungu kuna kujibu huko

  • @saidindaro7758
    @saidindaro7758 5 лет назад +8

    Huyu kitenge ni nani? Nyuma ya pazia.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 2 года назад

      Ni usalma wa taifa hyo ndgu mbona toka zamani tuu

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 5 лет назад +10

    Hii ndo faida ya bao la mkono

  • @Movic5806
    @Movic5806 Год назад +1

    Kama umemwona Harmorapa Gonga like

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Год назад

    Mtangazaji wangu Bora wa muda wote maulid kitengee nampenda Sanaa maana huyu jamaaa n mnafkii sanaa

  • @haliimomar1692
    @haliimomar1692 5 лет назад +4

    Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally6455 7 лет назад +6

    DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka2755 5 лет назад +4

    Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!

  • @josphatoyondi3376
    @josphatoyondi3376 5 лет назад +2

    huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 5 лет назад +1

    Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 5 дней назад

    2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶

  • @mwalimukashashadarant9676
    @mwalimukashashadarant9676 4 года назад +4

    Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa

    • @farealapple7962
      @farealapple7962 3 года назад

      Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 2 года назад

    Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye

  • @iam_lasco
    @iam_lasco 2 года назад +1

    Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 лет назад +4

    Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 2 месяца назад

    Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga

  • @youngramajrtz2215
    @youngramajrtz2215 5 лет назад +1

    Big up kitengeee

  • @johnkikene8906
    @johnkikene8906 5 лет назад +1

    Kitenge hapo nlikukubali sana

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj 28 дней назад +1

    Wefisadi sikupendi

  • @MsatiOne
    @MsatiOne 6 дней назад

    ivi naomba niulize huyu jamaa alietoa bastola hazalani yupo wapi

  • @roi2554
    @roi2554 2 года назад +1

    2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 16 часов назад

    Sasa haonwanaume wote na hao wenye video walikuwa na kazi gani hapo ,au ishu ilikuwa nini

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 6 дней назад +1

    Enzi za ubabe

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o 4 месяца назад +1

    Askari wa Magufuli

  • @raphaelrespichius8508
    @raphaelrespichius8508 5 лет назад +1

    Utaaribu mambo ni kauli ya mpango ulikuwepo

  • @richardmassawe8416
    @richardmassawe8416 Год назад +1

    Kitenge

  • @allyhamissi5835
    @allyhamissi5835 Год назад

    Utaharibu mambo bhwana

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule 3 года назад

    Nilikua naangalia sports arena..ikabid nije kumchek kitenge huku 😀

  • @hammybrown6313
    @hammybrown6313 7 лет назад +2

    huyo jamaa mzima kweli

  • @Freedom_fighters898
    @Freedom_fighters898 Год назад

    ‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp 8 месяцев назад

    Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv 5 лет назад +1

    Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899 5 лет назад

    Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard3618 5 лет назад +2

    Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 2 года назад

      Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 5 дней назад

      Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 2 года назад

    Kuna mambo mengine xio haki unataka kumdhuru mtu ambae yuko huru wala hana nia mbya na Nchi yake. Hapa Serekali ilichemka! Wengi wametangulia lakini hayakutokea haya.

  • @jchuwatv1890
    @jchuwatv1890 5 лет назад +2

    Mzeee wa bao la mkono

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 4 месяца назад

    Bora muuwane nyinyi Kwa nyinyi CCM Kwa CCM maana hiyo ndio sera zenu

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale 5 дней назад

    Tukio lilitenezwa ili kuchafua uongozi uliopo madarakan

  • @redmondmulilo4852
    @redmondmulilo4852 5 лет назад +2

    Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 5 дней назад

    Huyo wa bastola bado yupooo

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 3 года назад

    Kitenge anastahili ukuuu

  • @husseisalimumaula3867
    @husseisalimumaula3867 2 года назад

    Wanamsubiri jela huyo kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fikiria ubaya unageuka .

  • @mwaitukamwallah1300
    @mwaitukamwallah1300 5 лет назад +1

    Hiii dharau kweliii.

  • @alijumes3580
    @alijumes3580 4 дня назад

    Utukufu wa makufuli

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 Месяц назад

    Hii nchi ilikuwa inaelekea kubaya sana

  • @yasinitwalika1565
    @yasinitwalika1565 Год назад

    kitenge kitenge kitenge mh....

  • @ezekieljolam4276
    @ezekieljolam4276 2 года назад

    Wangap wamerudi kuangali hii kwasasa je umejifunza nn baada ya kuangalia mwaka huu?

  • @bahatimalundi3593
    @bahatimalundi3593 2 года назад

    Kawa waziri toa bastola na saizi

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 9 дней назад

    Wewe ulivosema mtashinda kwa koli la mkono ilikuwa sawa ww wamekunyosha unalalamika we vp tulia wakunyoshe.

  • @deomdolo5049
    @deomdolo5049 2 года назад

    Hivi huyu jamaa aliyemtishiaga ataacha kazi au

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb 5 лет назад

    Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono

  • @yakoboaizack1473
    @yakoboaizack1473 2 года назад

    Yule mbwa wa kutoa bastola afungwe kifungo cha maisha

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 2 года назад

    Nape kwa hili alionewa lakini pamoja na hilo nape samehee tu wala asifungue kesi na pia nakumbuka hayo waliya maliza na magufuri adhalani kama sijasahau

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 5 лет назад +7

    Sasa Ikiwa huyu jamaa alie mtishia nape bastola hajulikani huwa nawaza mambo mengi sana kwamba ni Nani sasa atakae julikana?

  • @nassororamadhan8756
    @nassororamadhan8756 5 лет назад

    hamorap nae yupo

  • @kennedymwangala8385
    @kennedymwangala8385 5 лет назад

    Kuna tatizo gani Kwan?

  • @aliimwasiri2764
    @aliimwasiri2764 5 лет назад

    Ndugu watanzania kwa hii tabia ya kutaka kuoneshana mamlaka pasi na kutomheshimu mwenzako ni kitu kibaya

  • @dominicclassic8089
    @dominicclassic8089 5 лет назад +4

    Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂

  • @RooblesJourney
    @RooblesJourney 5 лет назад

    What's going on? Could someone translate pls?

    • @jawadyrasheed6880
      @jawadyrasheed6880 5 лет назад

      That person who wearing a cap was try to attack our former minister the one who wearing a white shirt

  • @stephenhebron9838
    @stephenhebron9838 5 лет назад

    Watanzania bana kwa kusahau hatujambo! Sinema hizi bana naona ni Kama hazitufundishi kitu maana tunaludia yaleyale

  • @yonamwaweya8517
    @yonamwaweya8517 5 лет назад

    watu wasiojulikana, NINGEKUWA mm nape ningemmwaga ubongo hapohapo huyo JAMAA,

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад

    Huyo nape angeingia humo kwny hilo gari pembeni hapo ingekua ndio bye bye....

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 5 лет назад

    Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад

    Kikwapi sasa hii dunia ya kupita bwana

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa3974 5 лет назад

    Kazi ipo

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 2 года назад

    Sa itakuaje???

  • @sadicckdasilvatz5279
    @sadicckdasilvatz5279 2 года назад

    Tuliokuja baada ya post ya kigogo leo rujuanee

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 4 месяца назад

    Wangemuuwa tu jasusi mpelelezi

  • @amonamiri4487
    @amonamiri4487 3 года назад

    Ungepiga risasi mbwa huyoo

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 5 лет назад +5

    Polisi tanzania wajinga wanatumia kama tissue chooni

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 года назад

    Huyu askari jambazi ndio limeua huku kwetu mtwara

  • @erastomwakalinga7079
    @erastomwakalinga7079 5 лет назад

    hahaaa hii nchi huyu ndo hafamik na vyombo vya usalama dyuu wamuulize kitenge kamuona usoni kabisa ,,,,,naipend nchi yng ila Hays mmmmh

  • @rali8825
    @rali8825 5 лет назад

    Bastora ndo nini?????

  • @shabanaman8556
    @shabanaman8556 5 лет назад

    Sasa kuonyesha mguu wa kuku wa nn?

  • @azzaali7780
    @azzaali7780 6 лет назад

    Sasa huyu anatoa bastora mpaka leo hawamjui huyo alitakiwa aonyeshwe adabu

  • @shazilchymwager9496
    @shazilchymwager9496 3 года назад

    Nimejifunz kitu

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 5 лет назад +1

    Goli la mkono Hilo

  • @Fefetubes
    @Fefetubes 2 месяца назад

    Nchi iliingia uhuni hii

  • @johnassey8544
    @johnassey8544 2 года назад

    Waziri nape tunamuomba huyu jamaa

  • @abdallahsalum7301
    @abdallahsalum7301 2 года назад

    Inakuwaje Sasa niwaziriwako

  • @petromwinyi4955
    @petromwinyi4955 5 лет назад

    Eti bado kuna mijituuuu tz.kuna amani

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana2871 5 лет назад

    Huyo police karudishwe shuleni

  • @abisaiamos8740
    @abisaiamos8740 5 лет назад

    Mchana kweupe 😀alafu unaambiwa ajulikani huyu mtu,😂😅 watu bwana, huu ujinga uliotangilia,na hekima imekaa nyuma itaigarimu sana tZ🤔

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 5 лет назад

    Alikuwa anatekwa nini?.

  • @jaylanimakarama1063
    @jaylanimakarama1063 4 года назад

    Amorapa ka kimbia