Safi nakupendaga hunaga maringo you are very humble that's why God promoted you its Holy Spirit promotion vile huwa una preach MUNGU anafanya ya kwako Utafuteni kwanza UFALME wake na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa!! keep it up 🙌🙌🙌
This nice and inspiring, watu wengine wana hate tu. Sometimes inabidi unapoona vitu kama hiv chukulia positive kwamba tusikate tamaa, swala la kijana huyu kuwa mwarabu sijui nn weka pembeni. Still dont believe some hit dislike for this, au yanajibonyezea tu. "Vision, the art of seeing whats invisible to others" some will never understand this.
Kama Watanzania na waafrika. The video teaches us to understand the process to progress. It was all planned tangu pale alipokuwawa mwisho darasani, akapata scholarship, akaja kuongoza sehemu mbali mbali kisha akanyimwa kufanya interview, ghafla akakutana na mwalimu wake, akamtia moyo kisha akaonana na Interviewer tayari inaonyesha it was a process to progress. Its like a map planned. Really God works in the way sisi hatujui! Hongera kaka Benja kwa hapo ulipofika, wish Mungu akufungulie milango ufike mbali zaidi. I still remember Bill gates statement; Those who are given more, people expect more from them. Sasa wewe ni balozi wa Tanzania!
Hongera sana kijana, ni wachache sana wenye umri kama wako hufika ughaibuni wakaweza kuendeleza masomo, wengi hushika starehe na kuinga mambo ya kipuuzi tu. Mungu akutangulie ufike hata mbali zaidi. LOVE!
Benja my lovely Brother Congratulations kwa kuwa Mtz wa kwanza kufanya kazi na Tajiri mkubwa Bill Gates foundation. Mungu akubariki sana na zaidi kwa kuwa chachu kwa vijana wengine wa kitanzania na Waafrika wote. Hauna Maringo wala majivuno Una Kipaji toka kwa Muumbaji Mungu wetu. Endelea kuitamburisha Tanzania. I love you Proudly Tanzanian
Wabongo noma bora Huyu kaka kuliko hao wakaa uchi tunamaliza mb bure na Muda hakuna tunalopata. Ila hapa mtu unajifinza Ila ndo yananza matusi na kejeli Kwa kaka wa watu. Hata Kama Sio kweli si ufate hata anayoyasema kujipa moyo kufanikisha malengo yako ? Tuache hz watanzania tumsapot mwenzetu tujikomboe kifikra tutatoka.
Big up Benjamin.. i believe HOPAC will be so proud of you. not even knowng that the boy they thought as a dropout at prime age , will finally meet up with a billionaire who was actually a dropout too. life has no formula. hongera sana..
Apo sasa angekuwa v Money, namasupar star wetu mamamamama ona kichwa icho kimeaoma mpka atari tena kweny chuo kikbwa duniani lakini kiswahili kama kawa yani respect kaka
yaani kijana anaongea kiswahili kwa shida lkn haingizi zile mambo za kina vee mane na kina shidhi😘😘🙌huyu ndo mtanzania na anajivunia utanzania bila kusahau lugha yake kiswahili ..hiyo tuzo umepewa kwa 100% unajitambua we ni nani
ooh very inspiring Benjamini, kilichonitia moyo zaidi ni uthubutu wako wa kugonga chumba cha interview, wengi wasingethubutu but u did it.. nimejifunza kufata fursa na sio kusubiri..God Bless u forever
Benjamin you are our role model. Nadhani vijana wajinga wajinga hapa TZ watakuelewa tu. Mimi ni "babako" ni mkubwa kwako nimekukubali utafika mbali saidia nchi yako!
ohh boy..., man we're so much in common, i am exactly like you. I am Tanzanian/Burundian/American, i live in U.S. with my family. man I was like you dude. Back in my middle school years, i used to stand up in classroom and start jumpin on the desks while teacher isn't around. or go in my teacher's desk and sat in his or her chair. or being talkative a lot time in class, or go on white board and start teaching, but not really teaching as smart kid, (no) but like stupid kid. and also i still have those habits during my senior year in high school. my classmates used to be freaked out because of what i do. Actually i had a dream too, being soccer player was my dream. I am Man Utd's fun, & Cr7 is my idol since I was 8 years old and now i am 19. But being a soccer player won't work at all because one day during a game, i got injuried on my left kidney by one of the defender from rival team, so since that day, i am injured until now. But next year, I'll get a surgery. My first dream has gone, but now i got new dream, now i wanna be come a Surgical Tech (Surgeon) In U.S. and all over the world.. hope my dream come true. like you man
He is a Tanzanian by being naturalized si ajabu kwake kua hivyo ingekua interesting sn km angekua mtanzania w a asili ya kuzaliwa kabisa but all in all hongera sana
Vizuri umerudi kusaidia kujenga nchi. Wenzako tumerudi Bongo miaka mingi iliyopita, tumeacha kazi sehemu kubwa kubwa tuu in Wall street, Gov institutions, na Pharmaceutical companies. Wengine na Phd zao tumewaacha huko...
iwapo kuna mtu anadhani huyu kijana sio mtanzania,sijui tuwaeleweje ,hivi kuna mini Tanzania mpaka MTU ajifanye mtanzania wakati siokweli?,,,huyu ni mtanzania,na lafudhi take inamtambulisha hivyo,hakuna nchi yoyote yenye lafudhi kama hii,isipokua hapa tz,,,kijana hongera sana,umeonyesha mfano.
Great accomplishments for sure. Congratulations to the fellah. However, you have to admit that the Maasai image is totally Kenyan. The Maasai 'shuka' is globally synonymous to Kenya and people identify Maasais to Kenya. So Tanzania is kinda like infringing on Kenya's global marketing image.
daah hongera sana benjamin!!unatu influence vema na sisi wengine.Mungu akubarik
Safi nakupendaga hunaga maringo you are very humble that's why God promoted you its Holy Spirit promotion vile huwa una preach MUNGU anafanya ya kwako
Utafuteni kwanza UFALME wake na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa!!
keep it up 🙌🙌🙌
This nice and inspiring, watu wengine wana hate tu. Sometimes inabidi unapoona vitu kama hiv chukulia positive kwamba tusikate tamaa, swala la kijana huyu kuwa mwarabu sijui nn weka pembeni. Still dont believe some hit dislike for this, au yanajibonyezea tu.
"Vision, the art of seeing whats invisible to others" some will never understand this.
true
Simon Charles Mgoa
VERY INSPIRING CONGRATULATION YOUNG MAN BENJAMIN VERNANDES.... KEEP IT UP... AND ACKNOWLEDGE, PRAISE GOD IN EVERY STEPS OF YOUR LIFE....
Kama Watanzania na waafrika. The video teaches us to understand the process to progress. It was all planned tangu pale alipokuwawa mwisho darasani, akapata scholarship, akaja kuongoza sehemu mbali mbali kisha akanyimwa kufanya interview, ghafla akakutana na mwalimu wake, akamtia moyo kisha akaonana na Interviewer tayari inaonyesha it was a process to progress. Its like a map planned. Really God works in the way sisi hatujui! Hongera kaka Benja kwa hapo ulipofika, wish Mungu akufungulie milango ufike mbali zaidi. I still remember Bill gates statement; Those who are given more, people expect more from them. Sasa wewe ni balozi wa Tanzania!
hongera kaka mungu akutunze
Safi Saana,i'la nimependa hapo unapotaka wakupende mwsho ukawa wa mwsho,
I'la HONGERA SANA BROTHER YOU CAN
Hongera sana kijana, ni wachache sana wenye umri kama wako hufika ughaibuni wakaweza kuendeleza masomo, wengi hushika starehe na kuinga mambo ya kipuuzi tu. Mungu akutangulie ufike hata mbali zaidi. LOVE!
hongera sana kaka
One of the best inspiration story, keep up Benjamin.
I like this guy. So humble. Jamani na mimi naendelea kumtumikia Mungu. I know thats the secret
are sure... wacha kubabaika.
Alan Lynch hahaha.. Itakuwa hujui mengi kuhusu yeye.
uko vizuri mtumish
good luck
Benja my lovely Brother Congratulations kwa kuwa Mtz wa kwanza kufanya kazi na Tajiri mkubwa Bill Gates foundation. Mungu akubariki sana na zaidi kwa kuwa chachu kwa vijana wengine wa kitanzania na Waafrika wote. Hauna Maringo wala majivuno Una Kipaji toka kwa Muumbaji Mungu wetu. Endelea kuitamburisha Tanzania. I love you Proudly Tanzanian
Wabongo noma bora Huyu kaka kuliko hao wakaa uchi tunamaliza mb bure na Muda hakuna tunalopata. Ila hapa mtu unajifinza Ila ndo yananza matusi na kejeli Kwa kaka wa watu. Hata Kama Sio kweli si ufate hata anayoyasema kujipa moyo kufanikisha malengo yako ? Tuache hz watanzania tumsapot mwenzetu tujikomboe kifikra tutatoka.
Big up Benjamin.. i believe HOPAC will be so proud of you. not even knowng that the boy they thought as a dropout at prime age , will finally meet up with a billionaire who was actually a dropout too. life has no formula. hongera sana..
Dah umeniamsha sana juhudi zangu kaka asante mno na Mungu azidi kukuongoza unaakili mpaka unakera kwakweli huku ni kupatwa kwa juhudi
nini sasa ? njaa
Big up brother, hakika wewe ni Mtanzania unaongea kiswahihi safi, na huonyeshi kusoma nje ni kitu cha kujivunia.
huyo mtanzania bana au watanzania huwajui?
Ahsante sana Benjamin, you inspire many people. Kila la heri kaka
not me...
Apo sasa angekuwa v Money, namasupar star wetu mamamamama ona kichwa icho kimeaoma mpka atari tena kweny chuo kikbwa duniani lakini kiswahili kama kawa yani respect kaka
Benj hongera bro u real did it and am proud of u, pongez pia kwa Apostle venon
Hongera Fred umeitangaza Tanzañia
yaani kijana anaongea kiswahili kwa shida lkn haingizi zile mambo za kina vee mane na kina shidhi😘😘🙌huyu ndo mtanzania na anajivunia utanzania bila kusahau lugha yake kiswahili ..hiyo tuzo umepewa kwa 100% unajitambua we ni nani
saaana
Mwanahamisi Hella kweli kbs
Aloyce George Dj anae tumia kanda
kabisa dogo hana maringo kabisa Wangekuwa kina Fulani hapa 😀😂😂😂 ooh my God nyingiiiii 😁😁😁
Mwanahamisi Hella hahahaha yenyewe ni ukweli amejitahd hanaga nyodo
kijana uko vizuri, hongera sana
mashaalah. kijana very impressive! hongera Tanzania
Benjamin nime over kleiz yaan sjui hat nikwambie nn hongera saaan bro🙋🙏 pongez kwako
ooh very inspiring Benjamini, kilichonitia moyo zaidi ni uthubutu wako wa kugonga chumba cha interview, wengi wasingethubutu but u did it.. nimejifunza kufata fursa na sio kusubiri..God Bless u forever
safi sana yuko na madili mazuri na ndio maana yuko vizuri sana mungu aendelee kumsimamia
nice sana benjamini u will go far bro keep it up , komaa ufanye na obama pia
hongera Sana Kaka.... Mungu akutangulie daima
Pambano kachila ongera Sana kijana mungu akutangulie
hongera and saf kwa kujikubal na kujitambua benja pia Gud kW kusimamia ukiaminicho......
nimejifuza vitu Vingi sana kutoka kwako hongera sana.
thank you brother you inspired me!!
Congratulation, utafika mbali zaidi, shukrani kwa kutangaza nchi yetu zaidi
nimependa saana historia yake hongera saana Mr.Benjamin...tena saana nimevutiwa na juhudi zako.
Benjamin you are our role model. Nadhani vijana wajinga wajinga hapa TZ watakuelewa tu. Mimi ni "babako" ni mkubwa kwako nimekukubali utafika mbali saidia nchi yako!
Good brother life style yako inafanana Sana na Ben Carson. Unavitu vngi Sana vya kuigwa God will bless u Mr
Ukijielewa utafika mbali, bila shaka. Hongera.
very Insipiring, nmejifunza kitu, Big up Benjamin
God bless you Young man you are an inspiration to other young people
kwa kweli kijana amenigusa sana!, siri ya maisha hakika ni ushujaa tu na kuamini kuwa hakuna lisilowezekana katika maisha ya mwanadamu
ohh boy..., man we're so much in common, i am exactly like you. I am Tanzanian/Burundian/American, i live in U.S. with my family. man I was like you dude. Back in my middle school years, i used to stand up in classroom and start jumpin on the desks while teacher isn't around. or go in my teacher's desk and sat in his or her chair. or being talkative a lot time in class, or go on white board and start teaching, but not really teaching as smart kid, (no) but like stupid kid. and also i still have those habits during my senior year in high school. my classmates used to be freaked out because of what i do. Actually i had a dream too, being soccer player was my dream. I am Man Utd's fun, & Cr7 is my idol since I was 8 years old and now i am 19. But being a soccer player won't work at all because one day during a game, i got injuried on my left kidney by one of the defender from rival team, so since that day, i am injured until now. But next year, I'll get a surgery.
My first dream has gone, but now i got new dream, now i wanna be come a Surgical Tech (Surgeon) In U.S. and all over the world.. hope my dream come true. like you man
Impressive way to success! thanks Benjamin!
Really nice i like people who aim high in life am proud of you Benjamin.
I'm so happy to hear you benja this is so good,,I get influence from you one day I'll be ,...............
Nimejifunza what moves this guy forward, that's commitment
uyuu jamaa hana sifa hata kidgo kachukuwa tabia za kizungu Big Up braza
I love this young man...he has inspired my heart.
dar hongera sana.maisha yote ukibwebwa huwezi jua ugumu wa safar.jitihada yako na kujielewa ndio mafanikio yko
Real inspiring aseee....we real have to change guys
duh nafasi nzuri kweli
hongera sanaa big bro.. may god bless you.. more and more...
This is Inspiring..... Go On Benji
hongera Sana Benjamin...
Ongereni Benjamin
Such a humble soul
congratulations.... good work and God Bless
vizuri sana kaka hongera
story ya kuvutia sana nimeipenda mno benja hongera
Hongera Sana Benjamin
Mungu na akubariki daima.
Very nice and inspired... nimependa mpangilio wako wa maneno Broo
The problem is not being the last, the problem is to know who you are...
Ezekia Charles truth
ongera sana Benjamin
Much respect!
kwakweli ukimweshim mungu mungu naeatakuheshim
hongera kk...
safi sana kijana Benjamin..
hongera sana kijana
Mungu awe upande wako daimaa
Good mwana man u na yanga mwenzangu god be with u.
saf sana kijana mwenzetu tunakuombea mafanikio mema
keep it up Benjamin
That was so inspiring Benjamin and you're a very humble guy ..may God bless u endlessly
mungu atusaidie sisi vijana
He is a Tanzanian by being naturalized si ajabu kwake kua hivyo ingekua interesting sn km angekua mtanzania w a asili ya kuzaliwa kabisa but all in all hongera sana
Really
Vizuri umerudi kusaidia kujenga nchi. Wenzako tumerudi Bongo miaka mingi iliyopita, tumeacha kazi sehemu kubwa kubwa tuu in Wall street, Gov institutions, na Pharmaceutical companies. Wengine na Phd zao tumewaacha huko...
Go boy, see u at the top
hongera Sana Benjamin fernandes god has plans for everyone when you depend on him
Hongera kaka we in mfano was kuigwa
Mmmmh aseee mungu pekee ndo anajua alikuumbuaj aseee bro tumia uwez wako kutuongoz vijana wenzako mungu awe na wew kaka
daah so good.....i like da story.....
duuuuuuu anaongea vizuri sana akuna mashauzi
He is always the best
iwapo kuna mtu anadhani huyu kijana sio mtanzania,sijui tuwaeleweje ,hivi kuna mini Tanzania mpaka MTU ajifanye mtanzania wakati siokweli?,,,huyu ni mtanzania,na lafudhi take inamtambulisha hivyo,hakuna nchi yoyote yenye lafudhi kama hii,isipokua hapa tz,,,kijana hongera sana,umeonyesha mfano.
Definition of God's blessings
Safi sana..
Mara nyingine sio kama hatuna akili ni mahala tulipo tunachukuliana poa
oooooooooooyoooor yanga African
POW ndugu mungu yuko na ww.
very nice history
big up brother thanks to God
Arnold city
hakuna ulazima muwe kumi,walokataa kujitolea kwa moyo kumsaidia mama Tanzania.ww mmoja mungu akupe nguvu uisaidie nchi.malengo yetu yatimie.
Great accomplishments for sure. Congratulations to the fellah. However, you have to admit that the Maasai image is totally Kenyan. The Maasai 'shuka' is globally synonymous to Kenya and people identify Maasais to Kenya. So Tanzania is kinda like infringing on Kenya's global marketing image.
Nice
waoh....
amenifunza kitu sasa borakujifanya mjinga kuliko kujufanya mjanja
what?
Umeona eeeeeeee
u have inspired me
Very impressive story
Rafiki yangu naye pia ni mfanyakazi wa Microsoft huku Seattle, WA. :)
Focus Y Mengi unaishi Seattle Washington
Focus Y Mengi nitumie no yako
KEEP THE GOOD WORK
I love his story From zero to hero!
he inspire me very much
nice ilike you 👏👏👏👏
nimependa alivyosema kuhusu IDENTITY!!
God be with you.