Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 599

  • @justinsamwel4946
    @justinsamwel4946 10 месяцев назад +34

    Tujuane ambao tunaangalia leo 2024

  • @shantaaswad9523
    @shantaaswad9523 6 лет назад +9

    I love this man for free, open heart, down to earth, very composed, he loves God, humble the list continue, l prayed to God for his safe return, faithful God his back in one piece, a country needs people like him, may God protect him always.

  • @MussaSanare
    @MussaSanare 11 месяцев назад +66

    Nani anaangalia 2024?!!

  • @ramadhanali2548
    @ramadhanali2548 9 лет назад +25

    The BEST interview ever, Mo is wonderful, Salama tuletee watu kama hawa wenye muelekeo.

    • @Bbwaoy
      @Bbwaoy 9 лет назад +5

      napenda sana kuangalia interviews za watu walio fanikiwa kimaisha au matajiri au the most successful individuals kwa lugha ya wenzetu... kitu ambacho nime jifunza toka nianze hii hurka ya kufatilia interviews za style hio.. ni kwamba "the most successful people think, act, speak, behave, almost 99% different from low life individuals" kitu kingine success needs TIME am gonna put that in capital letters... jamaa alianza 1998 kutafuta utajiri / biashara tuseme lakin its upto this moment ndio tumsikia sasa kua ana pesa according to FORBES, so take lets say 2013-1998= 15 years, so guy roughly ali hangaika for 15 Years kuweza kufika kwenye pick aliyopo sasa which shows a degree of patience and determination he has. Congratulations! at some point am inspired.

  • @husnatgamaah1335
    @husnatgamaah1335 6 лет назад +3

    Yaa Allah kama ulivyomvusha nabii yunnus kwenye tumbo la samaki, ya Allah kama ambavyo uliufanya moto kwa Nabii Ibrahim ukawa barid, Allah tunakuomba na huyu mja wako mo popote alipo umrudishe salama Yaa Rabb😢😢😢

  • @SachaTz-wk7nb
    @SachaTz-wk7nb Месяц назад +1

    Nani kaja hapa 2025

  • @jackart3739
    @jackart3739 4 года назад +22

    Kama bado unaangalia hi 2020march gonga like hapa

  • @mercy8543
    @mercy8543 9 лет назад +11

    Kwakeli Mo Dewji anasema ukweli ...I give you lots of respect!!even in UK your dad help lots of Tanzanians. Please keep doing what your doing. And mkasi producer you have one of the best program in tanzania.

  • @isayawilsonabongo4866
    @isayawilsonabongo4866 9 лет назад +1

    very inspiring...ni mfano mzuri kwa vijana wengine...kwa kweli tunatakiwa tuamke tukafanye kazi hasaaaaa....biashara.
    I salute you Mr. Mo....endelea kupambana ukawe mwanga kwa wengine....

  • @salmaqueen4382
    @salmaqueen4382 6 лет назад +9

    Mwenyezi mungu akulinde urudi salama kaka yetu na hao waliokuteka walaanike laana zote mbaya Amen..

  • @soloelly
    @soloelly 9 месяцев назад

    Kati ya interview bora Tanzania, stay blessed for doing this.

  • @fraitmgala5966
    @fraitmgala5966 2 года назад +4

    Ndoto yangu ni kufungua kampuni kubwa ipo siku mungu atanifanyia wepesi ndoto yangu itakuwa Kweli ❣️❣️

  • @MaarufuChambuso
    @MaarufuChambuso 10 месяцев назад

    Mashaalwaa unamaona mungu akulinde boss umenipa mwangaza❤️❤️❤️

  • @dennie3000
    @dennie3000 9 лет назад +64

    This was the best interview since nimeanza kuangalia mkasi.

  • @luise-lottefidan5786
    @luise-lottefidan5786 6 лет назад +3

    Sad that he is gone...poleni from Kenya living in Germany. Have learnt a lot from him Dankeschön

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 5 лет назад +19

    Nani bado anaangalia November 2019

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 6 лет назад

    Kaka mo nnakuombeaa duwaa kwa mungu yaaraby akulinde na akutowe kwenye makucha ya mayahudi haoo yaaraby akufanyiee kila la wepesi yaaraby mmungu awatiee imaani na huruma haoo walio kutekaa YAARABY mmungu watiee imaani kwakilaa aliee shiriki kwa kudhulumiwa kakayetu mo kama walivyo amrisha atekwee basi mmungu watiee imaani na uwafanyiee moyo mwepesi wakutowa ambri arejeshwe kwa usalama na afya yake YAARABY jaaliyaa mo wamrejeshe akiwa yuhaii
    AMEENA YAARABY 🙏🙏🙏🙏🤝🤝

  • @ahmedalwy
    @ahmedalwy 8 лет назад +10

    this is my favourite episode of mkasi,like that man,God bless u.got inspired by this man,need more interview like this.

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 6 лет назад +58

    tangia moo atekwe sina raha katika nafs yang na namuomba ALLAH amlinde huko aliko na inshaallah atapatikana akiwa salama. 2gther from soni lushoto tanga tanzania

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 6 лет назад +2

      Emed Ibrahim sio ww tu brother laiti tungekuwa nauwz wakujua awa wachawi walipo asee kaka wangenda kututeka wote

    • @mohamedpius1459
      @mohamedpius1459 6 лет назад +1

      Yaani tupo wengi roho inaniuma sana sina raha natamani hata nitambue alipo wapi ila naamini yupo salama Nina imani hyo mungu amsaidie

    • @gladnessmahimbo3779
      @gladnessmahimbo3779 6 лет назад

      Emed Ibrahim m

    • @bushiliapollo5790
      @bushiliapollo5790 5 лет назад

      Mungu akupe maisha marefu

  • @TheNdaki
    @TheNdaki 8 лет назад +6

    Hii ni interview nzuri Sana na pia nimejifunza mengi kupitia Mohamed Dewji. Natamani sana siku moja kufanya mambo kama haya aliohadisia... Ntajitaidi kutimiza aliyotushauri Mo.
    *Mungu nisaidie katika hili.Amen!

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 6 лет назад +2

    Usijali kaka wanaosema umerithi,..u my champion bro..u so humble and mostly i like from u u so humble

  • @fahdijabir1270
    @fahdijabir1270 2 года назад +1

    Salute kwako Dada Salama 🙋‍♂️🙋‍♂️🙋‍♂️

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 7 лет назад +13

    Love the interview

  • @hopemandelae
    @hopemandelae 4 года назад +5

    Hii ni mojawepo wa shoo za mkasi zilizonipendeza sana....vijana tujitume na tuweke Mungu mbele.

  • @ibnhassan2003
    @ibnhassan2003 4 года назад

    dewji kasema anataka kufungua "benki zitazotoa mikopo midogo kwa riba nafuu" alafu salama akasema "in shaa allah mungu atakusaidia", ajui maskini kwamba Allah kwenye quran katangaza vita na wala riba

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 6 лет назад +8

    Jamani nye mliomteka turusishieni mo wetu salama maana ni mtu muhimu sana kwa nchi hii leo ndo nimesikiliza intavyu yake maashaallah ni mwanaume wa maaana sana

  • @nuruaud8271
    @nuruaud8271 9 лет назад +15

    Such an inspiration

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy846 6 лет назад +3

    Allah atamsaidia mja wake,vile vile serikali yetu imara inafanya kazi usiku na mchana,hivo kila kitu kitaenda sawa.Mungu Ibariki Tanzania

  • @mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76
    @mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76 6 лет назад +17

    ..Riba {Dhambi ya Riba ni Zaidi ya MTU aliyefanya mapenzi na Mama yake Mzazi}😊😊😊Tupige kazi,Pepo ni yetu sote

  • @anatymatiath4517
    @anatymatiath4517 6 лет назад

    Jaman Masha Allah Mungu atamrudisha huyu kaka Wallah anahekima Sana Allah atamfanyia wepes arud salama

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 6 лет назад +1

    MO.. u r nice boy.! Mungu akulinde huko waliko kupeleka' maskiin kijana wewe wamekudhulumu.! subra kwa family na wazee wako.!

  • @PranksTz
    @PranksTz 6 лет назад +2

    One of the greatest Gift from God is that kuwa huyu #MoDewji anayo hekima na always GOD WILL BE ON HIS SIDE ALL THE WAYS UP.. 🗽🌍🌟👌🙏😢

  • @princelee2264
    @princelee2264 6 лет назад

    Honesty is an expensive thing don't expect it from cheap people! I love this😘💕💕..........Jaman mrudisheni mo wetu ! Mungu simamia maisha ya mtu huyu Amen. Soon Mo atarudi akiwa salama naamini Mungu anaona hili kwani hawezi ruhusu mwenye haki wake ateseke kiasi hiki....

  • @frankbunini9898
    @frankbunini9898 3 года назад +3

    It was a fantastic interview

  • @robin_MMM
    @robin_MMM 9 лет назад +43

    this is epic and inspiring.salama next time invite abubakar bahressa(son of said salim bahressa) for interview.I hear he is the master mind behind bahressa's success in business. we would like to hear something from him.

    • @stevenmamba2464
      @stevenmamba2464 9 лет назад +3

      +joseph mabrouk Bahressa yupi ? Anaemiliki bandari kavu iliopitisha containers 320 bila kulipa ushuru ?

    • @rashidayoub2131
      @rashidayoub2131 9 лет назад +1

      +Steven Mamba sio kila kosa linalofanywa na mtoto ndio kusema katumwa na mzazi wake

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 9 лет назад +2

      +Steven Mamba but i think of you complain it wont change anything

    • @TheNdaki
      @TheNdaki 8 лет назад +3

      +Steven Mamba "The society prepares the crime..the criminal commits it"
      Ndo maana hata leo hii watu wameekewa sehemu za kuvukia barabara salama mfano "zebra cross" lakini hawazitumii badala yake wanajivukia ovyo sehem wanazotaka.
      *Maana ya mfano hapo juu ni kua Matatizo ya Tanzania yanatokana na mfumo ulioandaliwa au kutengenezwa na Taifa (Tanzania) ndio maana unakuta makosa hayo.

    • @jumamchina2698
      @jumamchina2698 6 лет назад

      poln

  • @bettykibale4449
    @bettykibale4449 9 лет назад +9

    That's very great and inspiring !!

  • @nebatmwangomba8427
    @nebatmwangomba8427 6 лет назад +1

    Dah mo hongera sana Mungu wako akutie nguvu sana kwa elimu hii nimejifunza kitu kikubwa. Nataman sana kufikia malengo hayo

  • @K-STARGLOBALTRADERSCOLTD
    @K-STARGLOBALTRADERSCOLTD 8 лет назад +12

    Salama please interview more great people like MO instead of bongo flavor artists only
    But so far it's the best show I've ever watched.big up

  • @malkiawarda8303
    @malkiawarda8303 9 лет назад +11

    very inspiring interview

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 лет назад +1

    Hapo nimekukubali Mr mo ni kweli kumsema MTU kuwa ni mchafu ni dhambi mbaya sana hata Bwana Yesu alikataza kuwahumu wengine Mathayo 7:7

  • @imanimatabula3109
    @imanimatabula3109 6 лет назад

    Wow thanks Mohammed Dewj. Dah you have inspired me a lot.

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 года назад

    Nemeipenda Sana mungu naomba unfungulie pazia LA mafanikio napia usinipe majivuno pale nitakapo fanikiwa 🙏🙏🙏🙏

  • @yahyashaaban1881
    @yahyashaaban1881 5 лет назад

    Mita ya nguo milion 100 duh ! Kwa siku/mwezi/mwaka br ? Wonderful hongera sana

  • @lastbreezy4931
    @lastbreezy4931 6 лет назад +1

    mashaallah kaka upo vizur Allah akulinde hilo na lingine

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 6 лет назад

    Umenifundisha kitukikubwa MO M'Mungu akulinde akupe Afya njema miaka mianane

  • @FadhiliMwandete
    @FadhiliMwandete Год назад

    Kama bado unatazama hii 2023 gonga like

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад

    Allah akupe uzima uko uliko wakuachie ukiwa salama, najikuta nalia kwa mtihani huu uliokukumba, Allah mfanyie wepec mja wako aachiwe akiwa salama.

  • @jamaliyuda8802
    @jamaliyuda8802 9 лет назад

    more dewj lov u and keep it up.... binadam tumezoea kukosoa ucjal ndyo chachu ya maendeleo yako na kwetu sote hakuna aliyekamilika..........

  • @parfaitkalemela7150
    @parfaitkalemela7150 5 лет назад +4

    Naipenda interview hii 👍🏾✅

  • @JosephAdam-e9w
    @JosephAdam-e9w 4 месяца назад

    Eti namm sikumoja ntakaa niesabu ata million nne🙏🙏🙏🙏

  • @muneramuhammad1134
    @muneramuhammad1134 6 лет назад

    Mashallah tabarakallah mungu akubarikii akuepushe na hasad☝Baraka allah fikk❤

  • @surayammanga8190
    @surayammanga8190 6 лет назад

    Mungu nakuomba mlinde huko alipo arudi salama na watekaji Mungu husika kikamilifu najua ww wajua kila kitu kuhusu mor ww ulie mlizi wa kila kiumbe Mungu wa mbingu na ardhi wafedheheshe hawa waliomteka huyu kijana

  • @evammile7876
    @evammile7876 6 лет назад +2

    Eeh M/Mungu Naomba umlinde Huko aliko na utusaidie Apatikane Inshallah

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 6 лет назад +9

    Sijawahi kumsikia mo ata ugomvi na mtu yeyot, MUNGU MSAIDIE HUKO ALIKO AWE SALAMA, AMIN

  • @salimhullk4134
    @salimhullk4134 6 лет назад +4

    Daaagh yani brother wangu umeniamsha akili yangu sanna na hadi sasa sijui upo wapi Umeniwachia Majiraha makubwa sanna na Namuomba mungu Akulinde na kila sharii By Salim Mohammed Awamy from znz

  • @scorbernassoro4043
    @scorbernassoro4043 9 лет назад +15

    Mchz anaongea lugha ya kupata pesa tu safi sana afu anasema pesa ipo kwenye kilimo na kwenye biashara let me deal with kilimo ooh my God

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +1

    Yaaa Allah mfanyie wepesi Mo Dewji arudi salama yaliyompata huyu ndio yalimpata Dr Shika. Najisikia vibaya sana

  • @lashylewisy2665
    @lashylewisy2665 3 года назад +2

    2021

  • @rebeccacheyo
    @rebeccacheyo 3 года назад

    So good, Who’s watching in 2021?

  • @ConfusedPeacefulLake-nh8qm
    @ConfusedPeacefulLake-nh8qm Год назад +1

    Mo anaupendo sana

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 6 часов назад

    Mashaallah mashaallah

  • @karimkarachiwalla7073
    @karimkarachiwalla7073 10 месяцев назад

    Very inspiring story from a fellow African.

  • @elizachota6361
    @elizachota6361 7 лет назад +3

    🤗🤗jaman maneno yapo good san mmenifungua tumacho thanks mkasi na mo😗

  • @theafricanphilosopherqueen3032
    @theafricanphilosopherqueen3032 6 лет назад

    Hongera,nimetazama kutoka Kenya,mwapendeza sana,mungu alinde Mo

  • @stelladomani4429
    @stelladomani4429 6 лет назад

    Jamani mo,Mungu akulinde urudi salama.nanyie watekaji hamna huruma kabisa Mungu awalaani.

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 6 лет назад +12

    Salama na Team yako....Uwelewa wenu wa mambo ya biashara ni mdogo sana kuweza kum-interview MO ila hongereni kwa kujaribu na kupata opportunity hiyo.

  • @marycelineevergreen9257
    @marycelineevergreen9257 9 лет назад +3

    yahhhh nasonga mbele tu safi sana MO ni dawa ni hiyo!!

  • @MoRasheed
    @MoRasheed 6 лет назад

    Alhamdulilah Mo kaachiwa. Oman tumekuombea dua sana

  • @annastazyahemed1018
    @annastazyahemed1018 9 лет назад +2

    interview bomba kuliko zoteeeee....dah!inatia moyo sana

  • @athumanfadhili9429
    @athumanfadhili9429 6 лет назад

    Nimeelewa zaidi kuhusiana na hilo na nmpenda sana ndg. yangu Dewji MOO

  • @florenceholmen8304
    @florenceholmen8304 9 лет назад +9

    Duh! Learned a lot!!!! Bonge moja la interview👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @bb-fe9su
    @bb-fe9su 8 лет назад +1

    safi sana kaka angu mungu akuongezee inshaalah

  • @labanbishirabandi3740
    @labanbishirabandi3740 5 лет назад +1

    Excellent mr mo

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba3470 5 лет назад

    Meo amenisibitishia anasema amekopa mabilioni ya pesa yenye riba nafuu m mungu anasema inamilango mingi na mlango mdogowao ni sawasawa na kumzini mamaako mzazi

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 6 лет назад +1

    Masha Allah

  • @kaygrekogreko8149
    @kaygrekogreko8149 6 лет назад +7

    Mimi ndiyo leo nimepita kibahati tu na nimependa sana maelezo yake na hasa ukizingatia body language unakuja kuta anachokisema KINAMTOKA MOYONI

  • @muneramuhammad1134
    @muneramuhammad1134 6 лет назад

    Allah y tawil umrak✋lkn towaa sadaka sanaa brother mungu akuhifadhy na akulinde na hasad👍👍👍❤❤❤

  • @floressaabasi1299
    @floressaabasi1299 4 года назад +1

    2020...nan yuko hapa

  • @edwinkatunda5429
    @edwinkatunda5429 5 лет назад

    I'm proud of him mungu akupe afya bora MO 😄😄😄

  • @gerraldbukelebe1578
    @gerraldbukelebe1578 6 лет назад +3

    Good inspiration MO well done we'll still love you too

  • @komododrag5232
    @komododrag5232 5 лет назад +2

    U are an inspiration👋

  • @yusuphraphael8690
    @yusuphraphael8690 3 года назад

    Hii interview naiangalia mpaka Sasa 2021

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 11 месяцев назад

    Maa Shaa Allah ❤

  • @salmaabed8579
    @salmaabed8579 6 лет назад

    inaumiza sana mungu akusaidie tunakuombea sn

  • @HassaniNdundu
    @HassaniNdundu 7 месяцев назад

    Mungu akupe afya daim

  • @rahillhamidu1704
    @rahillhamidu1704 6 лет назад

    mashaAllah mungu akulinde mahala ulipo na upatikane salama Allah kareem

  • @almericksakafu5023
    @almericksakafu5023 8 месяцев назад

    Aisee watu wapo smart naangalia sana clips za hii interview sikuwaza kama aliongea 9 years ago mwamba ni inspirational🏌️‍♂️

  • @wariobaanton3323
    @wariobaanton3323 6 лет назад

    best interview ever in mkasi

  • @Elly_corner
    @Elly_corner 9 лет назад +1

    very inspiring....thanks for the show

  • @karthala6676
    @karthala6676 6 лет назад +6

    I feel for him and his family. Pray for him to be found safe and sound InshaAllah

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 5 лет назад +1

    2019 aise mpaka tajiri anakopa milioni 800 bado hazitoshi unaongeza bilioni 600 Ndio nafuu

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 6 лет назад

    Daaaaah Mungu saidia jamaa apatikane,kila binadamu ana mapungufu yake cha msingi tusamehe yane ..............!

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 5 часов назад

    Upo vizuri deuji

  • @ospesa5
    @ospesa5 9 лет назад +1

    thanks Salama kwa hakika nimepata faida kubwa leo

  • @bihizaclement9868
    @bihizaclement9868 6 лет назад +1

    Daaa Mungu akulinde😭😭😭😭😭ulipo mpaka nimelia

  • @EdgarKimutai
    @EdgarKimutai 4 года назад

    Very bright chap, Tanzanians should put him in leadership

  • @ngwandedumange6543
    @ngwandedumange6543 2 года назад

    Mohammad you are the man of people

  • @nm56342
    @nm56342 9 лет назад +3

    Pongezi zangu kwa Team "MkasiTv".. Ongezeni interview na watu tofauti kama hii hapa. sio star wa muvi na miziki tu. nice job. Salama is an amazimg person

  • @mayamohamad710
    @mayamohamad710 6 лет назад +1

    😁😁😁Mo amesharudi mm nitaamia singindaa

  • @emmanuelzakayo996
    @emmanuelzakayo996 6 лет назад +2

    Very educational interview