Salama Na Fid Q Ep 7 | NGOSHA WA MBASA Part 1
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru
RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
NGOSHA WA MBASA
Nakumbuka kipindi ambacho Fidi alikua anaamini kabisa kama kuweka ‘uso wa mbuzi’ ndo kulikua kunakufanya uwe ‘hard core’, sina uhakika lini aliachana na dhana hiyo ila kwa kipindi cha miaka miwili au zaidi tabasamu na bashasha vimekua havibanduki kwenye uso wake, jambo ambalo mimi kama rafiki nalifurahia sana. Nakumbuka baadhi ya marafiki zangu wa kike ambao ni wapenzi haswa wa mziki wake walikua wakiniambia eh, sema rafiki yako mgumu jamani, Kha! Mi hucheka tu na baadae wakishazoeana basi sidhani kama kuna hata mmoja anaweza kusema kitu kibaya kuhusu yeye. Nilikua nacheka kwasababu mimi naamini namfahamu rafiki yangu huyu, yeye hupenda sana matani, na kucheka na marafiki wa karibu wanaweza wakathibitisha hilo maana katika watu ambao unaweza ukawatania weeee mpaka asubuhi, na utani mpaka wa vitu vyengine ambavyo wewe wa karibu unaweza kusema ey, hiyo sasa imepitiliza, yeye waala... Atacheka tu!
Mwenye kipaji chake cha kujifunza mwenyewe, nasema hivyo kwasababu nadhani kufahamiana kwetu na kuelewana kwetu pia kunatokana na kuwa na vitu vinavyofanana ndani yetu. Kajifunza jinsi ya kupenda kusoma vitabu mwenyewe, kujifunza jinsi ya kuandika na kurap mwenyewe, kajiendeleza mwenyewe (bila ya shaka kuna watu walomsaidia kwa tafu za hapa na pale ila walitokea baada ya kuona jitihada zake). Alihakikisha anasafiri kwenda nje ya nchi na Africa kwa jitihada zake mwenyewe na mpaka leo, kukiitwa watu ambao wamesaidia kwa kiasi kikubwa kufikisha Hip Hop ya nyumbani hapa ilipo basi jina lake litakua ni miungoni ya yale yatakayopata heshima ya juu kabisa. Pia anachekesha sana. Uelewa wake wa baadhi ya vitu unaweza ukakuacha mdomo wazi wakati mwengine. Kwenye uwepo wake? Vicheko lazima vitawale.
Hii siku nilitia nae story haikua kama kazi, bali kama mtu na rafikiye tu wakitia story juu ya njia za maisha ambazo tumepitia mpaka sasa. Fidi amekuzwa na Mama yake ambae alikua ni mfanyakazi wa serikalini (ameshastaafu), alikulia mkoani kama wengi wetu, alifika Dar akakaa kwa ndugu kama wengi wetu, alianzia sehemu na kutoka hapo mdogomdogo akajijenga kufikia hapa alipo. Humu tumeongelea hayo, watoto, muziki, ndoa, maisha ya wasanii na maendeleo kwa ujumla. Yangu matumaini uta enjoy na kuelewa baadhi ya vitu zaidi na zaidi.
Here’s to Ngosha wa Mbasa.
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Wanawake huhofia maisha kabla ya ndoa. Wanaume huhofia maisha na future baada ya ndoa
Innocent Mushi Naona mnaokota madini ya ngosha😍
@@veronicadaniel1122 yah ngosha ana madini mengi sana..ukitaka mengine nicheki kwa email yangu mushiinnocent19@gmail.com
point hyosiomakudhuzi ya thuglife nailele
Naomba like zamamaake fraridi jamani🤲
Mwanaume ni kichwa cha familia lkin mwanamke in shingo inayofanya kichwa kizunguuke
hatareeeee mzee
Only two artists nikiangaliaga au kusikiliza interviews zao nachota vitu vipya, 1. FID Q na 2. MwanaFA
Ukweli mtupu ukimuongeza na AY
We jamaa kama Mimi kaaaabiiiisaaaaa
hawa majamaa wana akili sana, ukisikiliza nyimbo zao unashiba
Niki wa 2
Mmoja wa mwisho mwamba wa kaskazini
Naheshimu Fid- Q Sana toka long tym, big up dadangu Salama kwa kumleta
Salama unamuoji mshikaji Kuna maswali kabla ya kuhoji unataka kucheka unajikaza
Alishaliwa na msukuma
dah nimejifunz meng san kupitia mtu huy coz story ya maish yak aijaend mbal san na story ya maish yang thnks fid umenitia moyo wa maisha leo bigup pia salam kwa kuandaa kipind kizur km hiki i will be no 1 kukitazam kipind chako...
Hii ya "Ongeza Bando" nimeielewa sanaa..😂😂
So far, fid yuko very specific in details, unakua km unatizama movie hv
(Wabongo wa majuu hamna upendo mnajigawa) Yani ukweli wa msemo huu ni asiimia 88%
Emmanuel Bukuku asilmia 99
Uongo hauna miguu lakin upendo una mabawa 😎
The way mwamba anavochana mistar katik nyimbo na interview ataendelea kuwa the best on my soul
Brain with potential
Kazi nzuri sana Salama. Mlete Jay Moe kwa interview
"Farid Kubanda,alizaliwa Aug 13 katika hosp ya bugando jijini mwanza,kwakuwa mtoto kwa mama akui aliamua kwenda kulelewa kwa bibi.....salama napenda
"Kwanini wasinitafute kupitia mimi"
Liberia, Senegal, Ivory Coast
nimemuelewa vizur Mr mbuzi naomba hii interview irudiwe
Historia ya malezi ya fid q inaumiza Sana
Mwalimu wa kitaaa and the truth speaker,
Much love my dear Brother *FAREED* unamadini Mengi sana Bro ❤️😍
Yani ww hongera kila nikisoma koment za kipindi hiki lazima nikuone hongera hatar ila ue wajifunza mamy hata kama nakuona upo kwneye ndege ya ethiopia
the G.O.A.T farid qubanda
.... "nawapa ofa ya mswaki alaf mnaning'oa meno!!!!" hatar sanaa huu mstar
Time is money nafasi hujali kuzuga, wema anataka saa ya almasi zari anaujali mda
Ila Wakaka wa hip hop wanaonekanaga hardcore lakini wanakipenda wanamapenzi ya kweli
Kama mimi tu dada 🙏
Maria James Saana
Mmmmh haya bna
SalamaNaFidQ among the best talk siku zote ya kuangalia to us young generation ✊🏿🤍🧠
Hichi kimewahamasisha vijana wengi sana wawe na matumaini kwa maisha hasa mimi Salama dadangu mkubwa vipindi vyako navifwatilia mbaya
brain ..Fid Q...GREAT
Salama Jabir The Greatest Of All Time #Goat she can do each and everything in this industry
My nigga Q always been a great story teller. Liked alivyo simulia the way he met his girl
Wana sanaaa waliobaki ni fd pr j sugu na fa
Leo kali,,,umekutana na mtu mwenye upeo mkubwa kiakil na saikolojia,,,,ulizeni maswali ya kikubwa.
kama yapi?? yaweke wazi ili wajue tujifunze...
Vivian Charlz 😅😅
Fid q kalelewa vzr xn uyu jamaa ana hekima na busara xn npo jiran na nymbn kwao apa nyegezi Mwanza jamaa anakujaga home Hana sifa yan ana maisha ya pekee xn
Yaani FidQ nkikuangalia tu nacheka big up broo nakukubali sana 💪💪
Perfect Mwanamalundi fid Q
Point ya mama fid umenikosha Allah akujazie kheri
‘Nilichekechaaaaaaa nikandua sijafanya chochote cha kumfurahisha huyu headmaster’ fid Q nakukubari sana man
Mr aron wa nyakabungo,ni shidaaaa
Msanii bora wa hip hop Africa nzima na duniani kubali san bro
Nimeipenda sana tangia agost 13 mpaka sasa maneno ya kikubwa heshima kwenu👍👍👍👍
Salama always I love you
"Sehemu niliopo huku hamna access kabisa ya pilau" imenichekesha sana na kunihuzinisha pia. Bittersweet moment!
Legends re perfect 🙏🙏🙏🙏
Natumia Akili nyingi Kuilewa Mistari Yako Bro 💪🏼
Hii interview qali sana....fid q amepoa sana.
Bonge LA ex interview Kati ya Ng'wanamarundi na salama
Nimecheka sn ety ninaappetite ya msosi
Fid anaweza kumlaumu Baba yake lakini haja fanya utafiti kuwa kilicho mfanya Baba yake kubadilika Ni Nini?mke anaweza kuwa mzuri kwa watoto lakini asiwe mzuri Kwa mme au mme anaweza kuwa mzuri kwa watoto lakini asiwe mzuri Kwa mke wake kwa hiyo kujua chanzo kikubwa cha tatizo ndio ukomavu wa fikra pana na utafiti, asilimia kubwa ya mke au mme kuna kosa kubwa sana wanalo fanya kuhamishia upendo kwa watoto Ni kosa kubwa sana katika ndoa, mme na mke wakipendana wao kwa wao Ni jambo jema na la busara, Mimi nina mwanangu lakini mwanangu akikua ataniacha na mke wangu
Hapo alipotoka huko kwa mwanae na akaamua kumsamehe nafikiri aliambiwa ukweli ulivyo
Single monthers and fathers mjifunze hapa, msiwatie sumu watoto, haisidii. Baba ni baba na Mama ni Mama. Period!!
Trust
Love u my sisSalamA ... 🤗your hair 😋
some brains conversations...safi sana
Mmetisha sana
Best interview Salama n Fid Q
Leo story za malezi tu na familia
Kaka mkubwa wewe ni zaidi ya kiyoo... Mashairi yako, maisha yako hua najifunza Sana kupitia nyimbo zako... 🤪 Mzee wa appetite
😂😂😂😂😂kila akichekecha hajamfraisha mwalimu
sister salama please nitafurahi sana kama utarudia tena interview na brother fid coz daaah maneno yake ni kuntu
ukiniuliza msanii bongo,kichwani inakuja fid q.
Ni kweli Salama aliwah kutembea na fid q
Wewe hatar sana salama
Unajua
Fid Q's music changed how I see the world
Salama uyo Alisha kua mtu wako gonga like km unajua iloo
Neat
mbasa Gete
Rudia hii interview SALAMA
usinikubali halaka moja kat ya ngoma nzuri sana inayotukosesha mademu
Salama twataka sura ya Jesca,,. interview iko 🔥🔥
mimi nikishamuona jessica tu...Show imeisha
Mwanamalundi,ngosha,mwanza mwanza,cheusi dawa sijawahi kuchukia interview zake
Bonge la intavyuuuuu aiseee
Dar fid nimependa maneno yako ofxa
kweli 100% wabongo wa majuu wanagombana na kujigawa kila cku mpk wengine wanasema mtu akifa asiende mazikoni kwake hongera kaka kwa mda mchache State kuliona ilo mucpinge mie pia naishi State hali iyo ipo ukweli mtupu
Salaama uko makini ...eti apo ushaita mpenzi.
Respect to you fid q your big thinker
Fid q fundi wa mziki we proud of u Wana lake zone
Jeska kula gwara👊
Sijutiii kukutizama
King 👑 of Rock City 🙌
Fid Q, the Legendary OG GOAT
El FF
¡ GT 7m 5 88hombre htt
nakumuintaviu ex veepee 😂
Iv kwl walikuwa na relationship
Ndy walishawHi kua na mahusiano
*FARID QUBANDA* nakukubali sana 💕
wooozaaah😍😍😍
Mary
Mambo
Nom
very nice
Mbona haifunguki kwangu
Salama upo active sana .. unajua sana hii kazi siku choki kwenye kamera
Salama always I love you.
Namkubali saana fid
Nimekuja baada ya kuona Ngosha wa Mbasa
Anisia ludelemla kama mm
Great interview
Salama na #Dj_Fetty itakua poa
You are so conscious mwanamalundi
August 13
Good
Yani kuna watu huwezi kuangalia interview zao lkn kwasababu yupo na Salama unapata ushawishi wa kuangalia na unaenjoy sanaaaa I love u salama
#madsoft
Sawa
Salama naskia goma hlo kitambo mshagusisha nyaya
Duh
One love
My kaka WA mbasa
huwa siangalii episodes zako lakini wasanii kama Fid q, FA, AY na professor Jay akiibukia lazima niangalie
Muangalie shishi pia
Wizy Idrisa yes yuko vizuri
Nakushauri muongeze na afande selle ...yuko vizuri sana hutajutia kabisa
Mnyama kabixa
Mpaka leo 👌🥰🥰👌💯
Kipindi kizuri🇹🇿🇦🇷
Nakukubali sana fid q
Jamaa anajua sana
Mwanamalundi nakubari