Rais Samia simpendi lakini kwenye hili la kumuondoa Nape Nnauye na January makamba amefanya moyo wangu uwe mzuri sana na asije akawarudisha tena wabaki kwenye ubunge wao kwa sababu walianza kuwa mungu watu na walikuwa wanajifanya nchi kama ya wazazi wao yaani ni watu ambao hawafai kabisa kwenye uongozi
Nape alichemka sana kule Bukoba...ulimi umemponza, ila Slaa angebaki ardhi....hizi kazi za kuteuliwa, ikifika Ijumaa unatakiwa kubeba vitu vyako vyote ofisini maana hujui kitakachotokea Jumatatu!!
Nape alikuwa hafai kabisa. Rais Samia alichelewa. Nape alipopewa nafasi ya uwaziri straight alienda ubalozi wa Marekani na kupiga picha na balozi. Alikuwa anacheza bawo mała akaanza kucheza golf. Kwa Ridhiwani Kikwete, ni jina la baba yake ndilo linamufanya apande na siyo waziri bora. Sijui kwa nini Slaa ameondolewa, kazi yake aliifanya vizuri.
Hongera Rais wetu hakika nimekukubali naona Mungu amekuonyesha nyumba yako ilipokuwa inavuja. Ni muda mrefu tulikuwa tunajiuliza na hatupati jibu kama Baba yetu Magu hawa watu aliwaacha ni kipi kiliwasafisha na kuwatakasa mpaka ukawachagua?
Nape na Makamba hawajawahi kuwa moyoni mwangu hata siku 1, sikuwahi kuwapenda kwasababu ya sifa zao, japo Silaha angebaki ardhi angesaidia sana ,maana ni mtu anaenda had field
Kweli kumtoa Silaa wizara ya Ardhi ni makosa kwa utendaji wa Silaa ulivyokuwa yaani Imani ilishaanza kujengeka na pia Silaa mwenyewe kisiasa alianza kupanda pia.
Mama samia kwenye hili umefanya vzr kuwatoa hawa watu lkn bado mwigulu naye mwangalie vzr ikiwezekana naye mtoe kitendo cha kusema hakuna mtu atakayepgiwa hod kulipa deni la Tai akat kla mweziii tunakatwa Tozo ya jengo hiii nchi ni ya kwetu wote.
Umesahau, Mwigulu aliwaambia Watanzania ambao walikuwa hawakubaliani na tozo katika miamala ya simu waende Burundi. Ana kiburi na hafai kabisa kuwa kiongozi
Kwakweli mama yetu tunakuomba Slaa mludishe kwenye ardhi hakika huko Kuna madudu makubwa watu wanadhulumiwa ardhi zao Jerry Slaa amejitahidi kutetea wanyonge na nilitegemea huyu Slaa atakaa sana kwenye wizara hiyo.
Nape na makamba magufuli aliona mbali aliwatowa katika uongozi wa.serikali.sijui ilikuqje wakarejeshwa serikali.makamba kashavujisha siri za serikali..kwa wazungu. Hao.hawafaidaima
Mama narudia tena kama unafuatilia hizi komenti zetu tunakuomba mrejeshe Slaa kwenye ardhi mama yetu hakika wanyonge wanazulumiwa ardhi zao Jerry Slaa amekuwa mkombozi wa ardhi, sijui Kwa nini umemtoa kwenye wizara ya ardhi,kama Kuna watu wamekushauli uwatoe basi hao hawakupendi hakika Slaa wizara hiyo mrejeshe mama yetu.
Namwomba mama Raisi wetu mpendwa kama ikimpendeza amrudishe Jerry Slaa wizara ya Ardhi tafadhali naona alikuwa anaendelea vizuri katika kutatua changamoto za Ardhi
Rais wangu mama yangu naomba uende pale kwa mangi ukachukue pepsi ya baridi ushushe kidogo nimefurahi sana nape kumtoa kwenye hiyo secta alikuwa mchumia tumbo
Subirin cku ya uapisho mama samia yakifika koon huwa friji lake haligandishi...Yan watu wa kufanya kazi na samia ni kama vile makonda, Slaa, Magoti watu wenye karba kama hiz tutafika na wiz utaisha
Kwa kumuondoa Nape Rais alichelewa huyu ni mnafiki no moja kwenye watu wake na Makamba hawa wameihujumu his nchi vibaya mno walijiona wao ni wao hakuna wa kuwagusa mama Hongera wanafiki usiwape nafasi his nchi ni yet sote.
Rais Samia simpendi lakini kwenye hili la kumuondoa Nape Nnauye na January makamba amefanya moyo wangu uwe mzuri sana na asije akawarudisha tena wabaki kwenye ubunge wao kwa sababu walianza kuwa mungu watu na walikuwa wanajifanya nchi kama ya wazazi wao yaani ni watu ambao hawafai kabisa kwenye uongozi
Wote tunafuraha ila kaa ukijua furaha ya masikini huwa ya muda mfupi😂
@@DodomaTanzania-r5z😂😂😂😂
Mama yetu samia umefanya vizuri Sana kumuondoa nape na January usiwarudishe tena big up mother....
Huyu mchambuzi ni smart sana
Is so knowledgeable and wise
Kwa kweli mama Samia kwa hili umefanya vizurrrrrrrrrri sana kuwa ng'oa hawa watu.
Kwa hao watu kuwatoa hujakose na umefanya la maana,kura yangu unayo hapo
Nape alichemka sana kule Bukoba...ulimi umemponza, ila Slaa angebaki ardhi....hizi kazi za kuteuliwa, ikifika Ijumaa unatakiwa kubeba vitu vyako vyote ofisini maana hujui kitakachotokea Jumatatu!!
Rais hongera sana kura yangu unachukua mapema tu
Yani huyo makamba hafai hata kuwa mjumbe nyumba 10
Hajatenguliwa japewa kazi maalum ya ucgaguzi ni waongo
Subra inahitajika saaana
I agree with the President Suluhu absolutely 💯…Makamba hafai kabisa …keep going Mama Samia
Mama awafu wakina nape na mtt wa makamba CCM awafute kabisa sio watu wema kwake
Nape alikuwa hafai kabisa. Rais Samia alichelewa. Nape alipopewa nafasi ya uwaziri straight alienda ubalozi wa Marekani na kupiga picha na balozi. Alikuwa anacheza bawo mała akaanza kucheza golf. Kwa Ridhiwani Kikwete, ni jina la baba yake ndilo linamufanya apande na siyo waziri bora. Sijui kwa nini Slaa ameondolewa, kazi yake aliifanya vizuri.
Bado Mwigulu
Siku Mwigulu akitumbuliwa taifa litapona .
Rais Samia asimcheleweshe Mwigulu hafai kabisa.
Nimefurah sana nape kukaa pembeni maana mitanda ilikuwa ikilala ikiamuka wanapandisha bei ya vifurushi
MAKAMBA na NAPE NI WAHUNI tena MAJIZI TU! Hawa Washenzi nimefurahi wametumbuliwa 😂😂😂😂
Mama muangalie na mwigulu.
Hongera Rais wetu hakika nimekukubali naona Mungu amekuonyesha nyumba yako ilipokuwa inavuja. Ni muda mrefu tulikuwa tunajiuliza na hatupati jibu kama Baba yetu Magu hawa watu aliwaacha ni kipi kiliwasafisha na kuwatakasa mpaka ukawachagua?
Nape na Makamba hawajawahi kuwa moyoni mwangu hata siku 1, sikuwahi kuwapenda kwasababu ya sifa zao, japo Silaha angebaki ardhi angesaidia sana ,maana ni mtu anaenda had field
Mimi nasheherekea kwa kumutoa nape alikua anajigamba sana
hakika, jamaa alifanya ujeuri
Hata Mimi siwapendi hawa jamaa wawili
Bado mwigulu nchemba
Nahuyo Riziwani, sina imani naye hata
Mama yetu, Rais wetu, pamoja na yote mazuri lakini nakuomba umrudishe slaa kwenye ardhi.
Kwa Ridhiwni umeshemsha ña kumtoa s8laa ardhi umeshemsha mama yangu kwa kweli hebu fikiri kabla ya kuwaapisha
Kweli kumtoa Silaa wizara ya Ardhi ni makosa kwa utendaji wa Silaa ulivyokuwa yaani Imani ilishaanza kujengeka na pia Silaa mwenyewe kisiasa alianza kupanda pia.
Mama samia kwenye hili umefanya vzr kuwatoa hawa watu lkn bado mwigulu naye mwangalie vzr ikiwezekana naye mtoe kitendo cha kusema hakuna mtu atakayepgiwa hod kulipa deni la Tai akat kla mweziii tunakatwa Tozo ya jengo hiii nchi ni ya kwetu wote.
Umesahau, Mwigulu aliwaambia Watanzania ambao walikuwa hawakubaliani na tozo katika miamala ya simu waende Burundi. Ana kiburi na hafai kabisa kuwa kiongozi
Ni uamuzi sahihi. Rais awe makini na watu wa kujikweza tena wenye kumezea mate cheo chake.
Kwakweli mama yetu tunakuomba Slaa mludishe kwenye ardhi hakika huko Kuna madudu makubwa watu wanadhulumiwa ardhi zao Jerry Slaa amejitahidi kutetea wanyonge na nilitegemea huyu Slaa atakaa sana kwenye wizara hiyo.
Nape na makamba magufuli aliona mbali aliwatowa katika uongozi wa.serikali.sijui ilikuqje wakarejeshwa serikali.makamba kashavujisha siri za serikali..kwa wazungu. Hao.hawafaidaima
Katiba ndio inahitaji lkn Rais akishaamuwa ndio imetoka Kenya wanapelekwa Bunge na hkn kitu kimeonekana kimebadilika
Kwenye slaa ametuonea kweli
Mama narudia tena kama unafuatilia hizi komenti zetu tunakuomba mrejeshe Slaa kwenye ardhi mama yetu hakika wanyonge wanazulumiwa ardhi zao Jerry Slaa amekuwa mkombozi wa ardhi, sijui Kwa nini umemtoa kwenye wizara ya ardhi,kama Kuna watu wamekushauli uwatoe basi hao hawakupendi hakika Slaa wizara hiyo mrejeshe mama yetu.
Namwomba mama Raisi wetu mpendwa kama ikimpendeza amrudishe Jerry Slaa wizara ya Ardhi tafadhali naona alikuwa anaendelea vizuri katika kutatua changamoto za Ardhi
Kubadili mawaziri kila siku haina faida yani wizara zna lega lega 😢
Mama bado yulee alituambia TUHAMIE BURUND
Huyu Nape amekusanya pesa za watanzania nyingi sana,,
Haiwezekani vocha imeandikwa tsh500 halafu ikauzwa tsh 600.
Nape ni mtu wa ajabu ajabu sana
Slaa amepelekwa kwa makusudi Habari kuna watu wanatumia Mitandao vibaya wacha waje kunyooshwa na Slaa mtaona
Mama tunamuomba Silàa wizara ya Àrthi hapo alipaweza mama tuonee huruma
Mama umefanya vzr hata baba alikua hawataki wapigaji Sana walikuchafulia jina
Kama hafai atakwenda tuu hata kama ni masaa Ukieleweka utakaaa
Rais wangu mama yangu naomba uende pale kwa mangi ukachukue pepsi ya baridi ushushe kidogo nimefurahi sana nape kumtoa kwenye hiyo secta alikuwa mchumia tumbo
Bado wa dar
Nape alilewa madaraka akatumia lugha chafu ambayo naamini mama pia imemuudhi.. hii nashauri ajiuzuru na ubunge pia
Nafkiri ma waziri wanapo fanya vikao na Raia, ni zizuri chama kimpangie maneno atakayo zungumza. Hiyo itaepusha kuropoka kwa Maneno hovyo.
Kama waziri hana akili na hekima ya kufikiri cha kuongea na wananchi basi hata huo uwaziri haumfai
Pamoja na kutambua kuwa rais ndy anayetambua utendaji wa wasaidizi wake, Mh Slaa angeachwa pale alipo. Sasa muda mfupi tu mabadiliko!! Why all this ??
Mama kawavumilia mno wanae Sasa kaamua liwalo na liwe kawapiga chini.
Kiujazacho moyo ndicho kimtokacho mtu.msimlaumu Nape. Lakin pia mama amesoma alama za 2025. Lkn je ni kwel hawapo tena? 😂😅😅 tuombe Mungu jmn
Silaa alikuwa jembe saana cjui kama mteuliwa ajae atavaa viatu vya silaa na ilemela bado kidogo kuna shida baadhi hatujapata hati
Mwigulu mchemba hafai
Hao Awape ubalozi kidogo uchaguzi ukiisha Bado wanahitajika katika chama na Serekali
Wa tozo amesahaulika?
The man he was overcofendece so that no body even samia she cant take ection
Safi sana samia walikua wanajiona sana
Kuna kitu ardhi Jerry alikuwa anakikosea ndio maana amembadilisha
Hakujali atenda haki hata kwa vigogo"kitu ambacho huwa hawapendi
Huyo mchambuzi muogope Mola wako anachanganya maneno sana Rais Samia ni Kiongozi makini sana
Samia ni pumba tuu , hajui nyuma wa mbele
@@whatisthetruth.8793 udini unakutesa wewe
🙏🙏🙏🙏✍️✍️✍️✍️✍️🤝🤝🤝
Bado mwigulu
Mchambuzi huyu ni mbumbumbu bado ni mbinafsi Hugo na Anaupande ajitambue kwanza bwana Lukuman mawazo yangu.
Subirin cku ya uapisho mama samia yakifika koon huwa friji lake haligandishi...Yan watu wa kufanya kazi na samia ni kama vile makonda, Slaa, Magoti watu wenye karba kama hiz tutafika na wiz utaisha
Polepole na docta bashiru na medadi kalemani na jafo
Kwa kumuondoa Nape Rais alichelewa huyu ni mnafiki no moja kwenye watu wake na Makamba hawa wameihujumu his nchi vibaya mno walijiona wao ni wao hakuna wa kuwagusa mama Hongera wanafiki usiwape nafasi his nchi ni yet sote.
Kwenye ardi amechemsha mama
Mtu kuongo,a ni kipaji sio vyeti amepewa