Uchambuzi kuhusu mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Rais Samia Suluhu Hassani Julai 21, 2024 amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali.
    Fuatilia mjadala huu kufahamu mengi zaidi.

Комментарии • 74

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 месяца назад +13

    Rais Samia simpendi lakini kwenye hili la kumuondoa Nape Nnauye na January makamba amefanya moyo wangu uwe mzuri sana na asije akawarudisha tena wabaki kwenye ubunge wao kwa sababu walianza kuwa mungu watu na walikuwa wanajifanya nchi kama ya wazazi wao yaani ni watu ambao hawafai kabisa kwenye uongozi

    • @DodomaTanzania-r5z
      @DodomaTanzania-r5z 2 месяца назад

      Wote tunafuraha ila kaa ukijua furaha ya masikini huwa ya muda mfupi😂

    • @joezeno8
      @joezeno8 2 месяца назад

      @@DodomaTanzania-r5z😂😂😂😂

  • @AllaudinMeghji
    @AllaudinMeghji 2 месяца назад +3

    Mama yetu samia umefanya vizuri Sana kumuondoa nape na January usiwarudishe tena big up mother....

  • @abraham92268
    @abraham92268 2 месяца назад

    Huyu mchambuzi ni smart sana
    Is so knowledgeable and wise

  • @Landisy
    @Landisy 2 месяца назад

    Kwa kweli mama Samia kwa hili umefanya vizurrrrrrrrrri sana kuwa ng'oa hawa watu.

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 2 месяца назад +5

    Kwa hao watu kuwatoa hujakose na umefanya la maana,kura yangu unayo hapo

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 2 месяца назад +5

    Nape alichemka sana kule Bukoba...ulimi umemponza, ila Slaa angebaki ardhi....hizi kazi za kuteuliwa, ikifika Ijumaa unatakiwa kubeba vitu vyako vyote ofisini maana hujui kitakachotokea Jumatatu!!

  • @leonardlushika
    @leonardlushika 2 месяца назад

    Rais hongera sana kura yangu unachukua mapema tu

  • @WilliamKivugo
    @WilliamKivugo 2 месяца назад +4

    Yani huyo makamba hafai hata kuwa mjumbe nyumba 10

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 2 месяца назад

    Hajatenguliwa japewa kazi maalum ya ucgaguzi ni waongo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 месяца назад +2

    Subra inahitajika saaana

  • @eddyjabry6939
    @eddyjabry6939 2 месяца назад +1

    I agree with the President Suluhu absolutely 💯…Makamba hafai kabisa …keep going Mama Samia

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 месяца назад +3

    Mama awafu wakina nape na mtt wa makamba CCM awafute kabisa sio watu wema kwake

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 месяца назад +2

    Nape alikuwa hafai kabisa. Rais Samia alichelewa. Nape alipopewa nafasi ya uwaziri straight alienda ubalozi wa Marekani na kupiga picha na balozi. Alikuwa anacheza bawo mała akaanza kucheza golf. Kwa Ridhiwani Kikwete, ni jina la baba yake ndilo linamufanya apande na siyo waziri bora. Sijui kwa nini Slaa ameondolewa, kazi yake aliifanya vizuri.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 месяца назад +4

    Bado Mwigulu

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 2 месяца назад

      Siku Mwigulu akitumbuliwa taifa litapona .
      Rais Samia asimcheleweshe Mwigulu hafai kabisa.

  • @yusuphyahayaissa4863
    @yusuphyahayaissa4863 2 месяца назад

    Nimefurah sana nape kukaa pembeni maana mitanda ilikuwa ikilala ikiamuka wanapandisha bei ya vifurushi

  • @joezeno8
    @joezeno8 2 месяца назад

    MAKAMBA na NAPE NI WAHUNI tena MAJIZI TU! Hawa Washenzi nimefurahi wametumbuliwa 😂😂😂😂

  • @RaphaelMdindile
    @RaphaelMdindile 2 месяца назад

    Mama muangalie na mwigulu.

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 2 месяца назад +1

    Hongera Rais wetu hakika nimekukubali naona Mungu amekuonyesha nyumba yako ilipokuwa inavuja. Ni muda mrefu tulikuwa tunajiuliza na hatupati jibu kama Baba yetu Magu hawa watu aliwaacha ni kipi kiliwasafisha na kuwatakasa mpaka ukawachagua?

  • @medardkalinjuma5503
    @medardkalinjuma5503 2 месяца назад

    Nape na Makamba hawajawahi kuwa moyoni mwangu hata siku 1, sikuwahi kuwapenda kwasababu ya sifa zao, japo Silaha angebaki ardhi angesaidia sana ,maana ni mtu anaenda had field

  • @JohnGadafi-x8j
    @JohnGadafi-x8j 2 месяца назад +3

    Mimi nasheherekea kwa kumutoa nape alikua anajigamba sana

    • @khamisawadh1086
      @khamisawadh1086 2 месяца назад

      hakika, jamaa alifanya ujeuri

    • @blessingntuli3796
      @blessingntuli3796 2 месяца назад

      Hata Mimi siwapendi hawa jamaa wawili
      Bado mwigulu nchemba

  • @medardkalinjuma5503
    @medardkalinjuma5503 2 месяца назад

    Nahuyo Riziwani, sina imani naye hata

  • @swelehemkumba5007
    @swelehemkumba5007 2 месяца назад

    Mama yetu, Rais wetu, pamoja na yote mazuri lakini nakuomba umrudishe slaa kwenye ardhi.

  • @EvelinMinja
    @EvelinMinja 2 месяца назад +1

    Kwa Ridhiwni umeshemsha ña kumtoa s8laa ardhi umeshemsha mama yangu kwa kweli hebu fikiri kabla ya kuwaapisha

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 2 месяца назад

      Kweli kumtoa Silaa wizara ya Ardhi ni makosa kwa utendaji wa Silaa ulivyokuwa yaani Imani ilishaanza kujengeka na pia Silaa mwenyewe kisiasa alianza kupanda pia.

  • @MusaMwanawima
    @MusaMwanawima 2 месяца назад +2

    Mama samia kwenye hili umefanya vzr kuwatoa hawa watu lkn bado mwigulu naye mwangalie vzr ikiwezekana naye mtoe kitendo cha kusema hakuna mtu atakayepgiwa hod kulipa deni la Tai akat kla mweziii tunakatwa Tozo ya jengo hiii nchi ni ya kwetu wote.

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 2 месяца назад

      Umesahau, Mwigulu aliwaambia Watanzania ambao walikuwa hawakubaliani na tozo katika miamala ya simu waende Burundi. Ana kiburi na hafai kabisa kuwa kiongozi

  • @ErickKilusu
    @ErickKilusu 2 месяца назад

    Ni uamuzi sahihi. Rais awe makini na watu wa kujikweza tena wenye kumezea mate cheo chake.

  • @drbalagomwatvonline4937
    @drbalagomwatvonline4937 2 месяца назад

    Kwakweli mama yetu tunakuomba Slaa mludishe kwenye ardhi hakika huko Kuna madudu makubwa watu wanadhulumiwa ardhi zao Jerry Slaa amejitahidi kutetea wanyonge na nilitegemea huyu Slaa atakaa sana kwenye wizara hiyo.

  • @AbuJunaidi
    @AbuJunaidi 2 месяца назад

    Nape na makamba magufuli aliona mbali aliwatowa katika uongozi wa.serikali.sijui ilikuqje wakarejeshwa serikali.makamba kashavujisha siri za serikali..kwa wazungu. Hao.hawafaidaima

  • @froma3732
    @froma3732 2 месяца назад

    Katiba ndio inahitaji lkn Rais akishaamuwa ndio imetoka Kenya wanapelekwa Bunge na hkn kitu kimeonekana kimebadilika

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 месяца назад

    Kwenye slaa ametuonea kweli

  • @drbalagomwatvonline4937
    @drbalagomwatvonline4937 2 месяца назад

    Mama narudia tena kama unafuatilia hizi komenti zetu tunakuomba mrejeshe Slaa kwenye ardhi mama yetu hakika wanyonge wanazulumiwa ardhi zao Jerry Slaa amekuwa mkombozi wa ardhi, sijui Kwa nini umemtoa kwenye wizara ya ardhi,kama Kuna watu wamekushauli uwatoe basi hao hawakupendi hakika Slaa wizara hiyo mrejeshe mama yetu.

  • @saidimwanga444
    @saidimwanga444 2 месяца назад

    Namwomba mama Raisi wetu mpendwa kama ikimpendeza amrudishe Jerry Slaa wizara ya Ardhi tafadhali naona alikuwa anaendelea vizuri katika kutatua changamoto za Ardhi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 месяца назад

    Kubadili mawaziri kila siku haina faida yani wizara zna lega lega 😢

  • @ClaudCarlos
    @ClaudCarlos 2 месяца назад

    Mama bado yulee alituambia TUHAMIE BURUND

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 месяца назад

    Huyu Nape amekusanya pesa za watanzania nyingi sana,,
    Haiwezekani vocha imeandikwa tsh500 halafu ikauzwa tsh 600.

  • @JohnGadafi-x8j
    @JohnGadafi-x8j 2 месяца назад +2

    Nape ni mtu wa ajabu ajabu sana

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 2 месяца назад +2

    Slaa amepelekwa kwa makusudi Habari kuna watu wanatumia Mitandao vibaya wacha waje kunyooshwa na Slaa mtaona

  • @EvelinMinja
    @EvelinMinja 2 месяца назад +1

    Mama tunamuomba Silàa wizara ya Àrthi hapo alipaweza mama tuonee huruma

  • @SaimoniMarandu
    @SaimoniMarandu 2 месяца назад

    Mama umefanya vzr hata baba alikua hawataki wapigaji Sana walikuchafulia jina

  • @froma3732
    @froma3732 2 месяца назад

    Kama hafai atakwenda tuu hata kama ni masaa Ukieleweka utakaaa

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 2 месяца назад

    Rais wangu mama yangu naomba uende pale kwa mangi ukachukue pepsi ya baridi ushushe kidogo nimefurahi sana nape kumtoa kwenye hiyo secta alikuwa mchumia tumbo

  • @issamuhammedi
    @issamuhammedi 2 месяца назад

    Bado wa dar

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 месяца назад +2

    Nape alilewa madaraka akatumia lugha chafu ambayo naamini mama pia imemuudhi.. hii nashauri ajiuzuru na ubunge pia

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe 2 месяца назад +2

    Nafkiri ma waziri wanapo fanya vikao na Raia, ni zizuri chama kimpangie maneno atakayo zungumza. Hiyo itaepusha kuropoka kwa Maneno hovyo.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 месяца назад

      Kama waziri hana akili na hekima ya kufikiri cha kuongea na wananchi basi hata huo uwaziri haumfai

  • @StephenTsoray-r1b
    @StephenTsoray-r1b 2 месяца назад

    Pamoja na kutambua kuwa rais ndy anayetambua utendaji wa wasaidizi wake, Mh Slaa angeachwa pale alipo. Sasa muda mfupi tu mabadiliko!! Why all this ??

  • @newtonnyembe8228
    @newtonnyembe8228 2 месяца назад +1

    Mama kawavumilia mno wanae Sasa kaamua liwalo na liwe kawapiga chini.

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 2 месяца назад

    Kiujazacho moyo ndicho kimtokacho mtu.msimlaumu Nape. Lakin pia mama amesoma alama za 2025. Lkn je ni kwel hawapo tena? 😂😅😅 tuombe Mungu jmn

  • @LisaBandiho
    @LisaBandiho 2 месяца назад

    Silaa alikuwa jembe saana cjui kama mteuliwa ajae atavaa viatu vya silaa na ilemela bado kidogo kuna shida baadhi hatujapata hati

  • @AbuJunaidi
    @AbuJunaidi 2 месяца назад

    Mwigulu mchemba hafai

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 2 месяца назад

    Hao Awape ubalozi kidogo uchaguzi ukiisha Bado wanahitajika katika chama na Serekali

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 2 месяца назад

    Wa tozo amesahaulika?

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 месяца назад +1

    The man he was overcofendece so that no body even samia she cant take ection

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 2 месяца назад

    Safi sana samia walikua wanajiona sana

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 2 месяца назад +1

    Kuna kitu ardhi Jerry alikuwa anakikosea ndio maana amembadilisha

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 2 месяца назад

      Hakujali atenda haki hata kwa vigogo"kitu ambacho huwa hawapendi

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 2 месяца назад +1

    Huyo mchambuzi muogope Mola wako anachanganya maneno sana Rais Samia ni Kiongozi makini sana

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 2 месяца назад

    🙏🙏🙏🙏✍️✍️✍️✍️✍️🤝🤝🤝

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 2 месяца назад

    Bado mwigulu

  • @yassinmruma9706
    @yassinmruma9706 2 месяца назад

    Mchambuzi huyu ni mbumbumbu bado ni mbinafsi Hugo na Anaupande ajitambue kwanza bwana Lukuman mawazo yangu.

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 2 месяца назад

    Subirin cku ya uapisho mama samia yakifika koon huwa friji lake haligandishi...Yan watu wa kufanya kazi na samia ni kama vile makonda, Slaa, Magoti watu wenye karba kama hiz tutafika na wiz utaisha

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 2 месяца назад

      Polepole na docta bashiru na medadi kalemani na jafo

  • @yassinmruma9706
    @yassinmruma9706 2 месяца назад +1

    Kwa kumuondoa Nape Rais alichelewa huyu ni mnafiki no moja kwenye watu wake na Makamba hawa wameihujumu his nchi vibaya mno walijiona wao ni wao hakuna wa kuwagusa mama Hongera wanafiki usiwape nafasi his nchi ni yet sote.

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 2 месяца назад

    Kwenye ardi amechemsha mama

  • @Didaskamili
    @Didaskamili 2 месяца назад

    Mtu kuongo,a ni kipaji sio vyeti amepewa