Dah! Nimempenda sana Shishi Baby kwa kuwa real na kuwapeleka wenzake mpaka home manake wasanii wetu wengi wanapenda maisha fake tofauti na alichoonyesha Shishi baby. Much respect kwake
+SIR BOSCO 😂😂😂 alimuuliza young killer akazingua kusema kweli.ikabidi amwambie unapaka nachokipaka mie😁 kwakweli ukijiamini utaishi kwa amani sana kwenye hii dunia.maana hata alivyomchangamkia Nuh si km wengi tulivyodhani mwisho wa mapenzi si uadui
MashaAllah Shishi Bby Mungu akuzidishie tena na tena Amani na barka kwenye maisha yako maana wengi wasani sivirahisi kufanya kitu kama hicho mamy Wallah Allah akuzidishie huna majivuno😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏
She did a wonderful thing, yani hadi natamani kulia she bring a bongo flever home she made a history kwawana Igunga, Its so amaizing respect kwako SHILOLE
sijui nieleze vip jinsi ninavyo kupenda shilole wanadada wengi wanaficha masingila ya kwa lakini wee auko ivyo hongera my mswahi lakini una roho ya kizungu mungu akusimamie kwa kila ukifanyacho
Kwenyu ni kwenyu hata kama kibandani huezi sikilia aibu hata wazazi wawe aje huezi waficha.Hongera sana shishi mabadiliko ni mwanadamu hufanya mutumainie mungu utabadili nyumbani😍😍😍
Hongera Shishi kwa kuwa na courage lakini nakushauri ufikiri mara mbili huko nyumbani ukipeleka milioni 10 tu unabadilsha kila kitu maisha yanakuwa bora sana Duh... kweli maisha si kama tunavyo yaona jitahidi dada ake hiyo hali ya nyumbani inatisha.
Suhail Al Bastaki kwani kwa dadake ndio hawezi kutuma hizo 10millioni!?huyo dadake saa iyi ndiye mamake,sababu ndiye kamlea,mama yawo mzazi alifariki Shishi bado mdogo akiwa na miaka misaba(she was 7years old ),hapo ndipo kwao tu.
Katika vitu ambavyo nimeshangaa ni upendo wa ajabu sana alioufanya shilole na kudhihirisha nyumbani ni nyumbani hata kama pako vipi wengi sana hawawezagi hili jambo big up my ccter
Shilole huwa unani bowa sna ila kwa hili ss nakupenda sna tena wewe ni msanii unae paswa kuigwa kwa hicho ulicho kifanya ushauri wangu kwako ni kwamba fanya kazi kama sehemu ya maisha yako naimani utafika mbali sna ongera sanaaaaaaaaaaa
respect to shishi coz ame show real life ya watanzania n were they came frm. wasanii igeni mfano mzuri toka kwa shilole ka show upendo kuwachukua na kuwapeleka kwa aliko tokea respect kwa hilo. wangekua wengne cjui ingekuaje.. appreciate u shishi
Daaah Dada shishi mm comment zimeisha maaana zote Wamesha maliza waliokuwa Wakwanza but msisitizo aumkazo nikujenga home basi nimemaliza Nc Dada shishi 😍 love u mingimingi!!
Real life is good for you guys shishi is doing well.nuhu you have a few days to come up with shish coz u see if you want and you can get it if you like.look around life goes on.
Safi sana Shishi kwa ulichokifanya... Umeonesha tofauti yako na wasanii wengine ambao wanapaonea aibu kwao na kupatelekeza.... In short nimependa saaaaana ulichokifanya;
Dah! Nimempenda sana Shishi Baby kwa kuwa real na kuwapeleka wenzake mpaka home manake wasanii wetu wengi wanapenda maisha fake tofauti na alichoonyesha Shishi baby.
Much respect kwake
I'm
BARAKA MWAMWAJA sana sanaaa
yap
Ss unakuta ck wakifika wt walienda kuzika ndo unakuta tena wt kuadisia a bora wapajue kqbla hj pt shida
yaani ktk wasanii wasojali kbs ni shishi na wala hajali kbs mkataa kwao mtumwa mtu kwao mama
angekuwa mwingine wasingeenda
+SIR BOSCO. 😂😂😂 hawa ndo wanawake wa kuoa.sio Mwanamke akifika mjini anasahau ya nyuma
Binafsi nilivyokuwa namfikiria ni tofauti afu yupo na confidence kubwa ulimwona wakati anamchana Msanii .... kutumia mkorogo
+SIR BOSCO 😂😂😂 alimuuliza young killer akazingua kusema kweli.ikabidi amwambie unapaka nachokipaka mie😁
kwakweli ukijiamini utaishi kwa amani sana kwenye hii dunia.maana hata alivyomchangamkia Nuh si km wengi tulivyodhani mwisho wa mapenzi si uadui
SIR BOSCO
vizuri sana sister shishi, nyumbani ni nyumbani ,big up.hachana na hao masharo na masista duu ambayo wanavunga,we kamanda.
Nimeipenda sanaaaa..... kwa dada zetu nivigumu sana kufanya hv wanajidai wapo juu mjini tu
nakubali maamuzi
nakupenda shilole .... Mungu akupe hatua zaidi ya mafanikio... respect
MashaAllah Shishi Bby Mungu akuzidishie tena na tena Amani na barka kwenye maisha yako maana wengi wasani sivirahisi kufanya kitu kama hicho mamy Wallah Allah akuzidishie huna majivuno😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏
Sifa Cycy_Bby igunga ndo mkoa gani jmn
Hgg
Shishi nimekupenda bure mpaka nimejifunza kitu
She did a wonderful thing, yani hadi natamani kulia she bring a bongo flever home she made a history kwawana Igunga, Its so amaizing respect kwako SHILOLE
Fact
Stanley Maganga
wengine hawaendi kwao mpaka wafariki
sijui nieleze vip jinsi ninavyo kupenda shilole wanadada wengi wanaficha masingila ya kwa lakini wee auko ivyo hongera my mswahi lakini una roho ya kizungu mungu akusimamie kwa kila ukifanyacho
kwa mara ya kwanza naweka LIKE kwa hii video
Shishy baby una upeo wa kufikir
Gud
Mwamke huyu syo bshooo kabsa
nyumbani ni nyumbani hatakama kichakani Mkataa kwao mtumwaaa nakukubali shishi babby
Kwenyu ni kwenyu hata kama kibandani huezi sikilia aibu hata wazazi wawe aje huezi waficha.Hongera sana shishi mabadiliko ni mwanadamu hufanya mutumainie mungu utabadili nyumbani😍😍😍
Shilole mi nime kupenda saana huvungi mama kwenu ni kweni ni meipenda sana hiyo
its something very awesome i respect u shishi bby
Joseph Masindi
Huyu ndye msanii mkali mwenye utu wa udugu msahau kwao na mkataa kwao ni mtumwa,nadhan ni msanii wa kwanza kufanya hivi safi sana shishi bby kigoli
love u shishi hustler woman keep it ip na mungu yu pamoja nawe love u sana sanaaa
mimi napenda pale Mr Blue amelala kwa lile godoro n chakula kakiweka godoroni... not only shishi but almost all of them wamekubali mazingiza
Nakukubali sana shish unaupeo sana mama
Kuanzia Leo mimi shabiki yako
2019 shishi aiseeee safi dear hongera sanaaa ndio maana unasonga mbele na hivi ndio maisha yanavyotaka
Hongera Shishi kwa kuwa na courage lakini nakushauri ufikiri mara mbili huko nyumbani ukipeleka milioni 10 tu unabadilsha kila kitu maisha yanakuwa bora sana Duh... kweli maisha si kama tunavyo yaona jitahidi dada ake hiyo hali ya nyumbani inatisha.
nikweli kabisa 10 milioni inaweza kubadilisha vitu kibao hapo home kwao
Thabit Molly asha sema sikwao ni kwa dadake jamani
Suhail Al Bastaki kwani kwa dadake ndio hawezi kutuma hizo 10millioni!?huyo dadake saa iyi ndiye mamake,sababu ndiye kamlea,mama yawo mzazi alifariki Shishi bado mdogo akiwa na miaka misaba(she was 7years old ),hapo ndipo kwao tu.
Thabit Molly masidhi
😆😆
Shishi is so brave and strong coz most of our artists is so rare to see dem invite dem frens remote areas like dat
Waooo nimekupenda shishi
Katika vitu ambavyo nimeshangaa ni upendo wa ajabu sana alioufanya shilole na kudhihirisha nyumbani ni nyumbani hata kama pako vipi wengi sana hawawezagi hili jambo big up my ccter
Safi sn shishi ayo ndio maisha watu waige ukiwa star sio ndio ujiwekee juuusn big up kwako
shish we mkali love u so much u nver forget where u come from and that is a good thing u av done God bless ya so much wengine wafuate mfano huo
sana tu wanangu
Sema Blue msela sana yaani kaamua kujiachia kabisa kwenye kigodoro chembamba namna ile
Wise Noizy noma San
😂😂😂😂
shishi baby...... home is sweet, usisahau ulipo toka ila usiishi maisha uliyotoka,
she is very very real...kwa hili umescore sana Shishi!!!
NIMEKUWA AGAINST THIS GAL BUT KWA HILI NIMEKUMAHABA GHAFLA.BIG UP SHISHI.
Shilole huwa unani bowa sna ila kwa hili ss nakupenda sna tena wewe ni msanii unae paswa kuigwa kwa hicho ulicho kifanya ushauri wangu kwako ni kwamba fanya kazi kama sehemu ya maisha yako naimani utafika mbali sna ongera sanaaaaaaaaaaa
Mimi pia nimempenda sana. she is so open and real
Ur among of da super women keep it up shishi👏👏
this is so nice jaman Good job shishi nimemuona Amina tulisoma darasa moja wow nimelia
kumbukeni shilole hana wazazi kwa dada yake ndio laifu yake bravo shishi baby
Safi sana angekuwa mwingine angeficha kwao nyumbani ni nyumbani
Lucas Mhagama
hongera Dada kuna wengine hawapendi kujionyesha katika hayo mazingira ila ww big up siz
big up shishi nimeipenda sana very very nice east to west home is the best
respect to shishi coz ame show real life ya watanzania n were they came frm. wasanii igeni mfano mzuri toka kwa shilole ka show upendo kuwachukua na kuwapeleka kwa aliko tokea respect kwa hilo. wangekua wengne cjui ingekuaje.. appreciate u shishi
big up saaaana shilole na mr mziwanda nuh amenona ama nimacho yangu love you kwamazuri nakusapot but kwamabaya siwezi kukusaport big up lov love
Umetisha sana uko fresh .
safi sana dada umekuwa na roho yakujiamini sana, nyumbani ni nyumbani mungu akubariki ktk kaz zako
i like it... it feels good to see how far u came from and the progress you have made in your life
Nimemuona gadina
u have done something very good shilole,,God bless u abundantly..
shilole we ni mtu wa kipekee kabisa katika wasanii wa bongo mungu akubariki sana
Nakukubali zaidi ya maelezo shishi kwa hili wallah Allah akujaalie mengi mema Zaidi ...Ameen yarabil alamin +254
Uwazi ndo kitu cha msingi katika maisha 😍 you shishi
Big up shilole u r one in a Million superstar who never forget where she came from
Nimekupenda Sana Dada wasanii weng wakitoka Kimaisha huwa wanaficha makwaoo hongera
kwa hilo shishi nakupa big up unajuwa wengi tuna fail kuwapeleka malafiki nyumbani hatuwezi nyumbani ni nyumbani tu hats kuweje hongera saana dadake
Daaah Dada shishi mm comment zimeisha maaana zote Wamesha maliza waliokuwa Wakwanza but msisitizo aumkazo nikujenga home basi nimemaliza Nc Dada shishi 😍 love u mingimingi!!
Vzr dada shishi cyo mtu wa kiki unaonyesha maisha halisi big up my.
I almost dropped tears in this ishhh, sijui kwanini hata...I love reality....I MISS HOME!
I never know you're this sweet shishi, but I love you for this
Maua sama ilove u shishi nakupendaje
Real life is good for you guys shishi is doing well.nuhu you have a few days to come up with shish coz u see if you want and you can get it if you like.look around life goes on.
uko vzr sana dada nakupenda kwa kutokuwa na majivuno japo vitu unavyo mwaaaaaa
Shish nakupenda sana mama
Hongera shishi kuanza na wenzako watamaliza😊 mtu kwao😙
nampenda huyu dsada huwa hajivungi na nimkweli wengine wanajidai km hawajatoka vijijini
Mashallah mung akzdishie Dada shishi uko real xna
sina meng sana bt bigup my lovely Sister mana mkataa kwao ni mtumwa mbli nipata funzo juu yawew na nuhu
Umefanya jambo la maana sana shishi,,,much love 💙💙💙💙💋💋💋💋
Shishi nakupenda saaaaanaaaaaa wasichana wengine wanaonaga aibu kupeleka wenzao majumban kwao hongera shishiiiiiii
Niiiiiiiice one shishi. umetisha
Ongela daaa lov u
Safii sana nyumban ni nyumban shilole nimekukubali mpka nashndwa kuelezea
Good Shishi but fanya mpango uwajengee kamjengo
nimekupenda sana
Umeona ee lakini hata iyo kaijenga bado matengenezo
@@bahatisunga1642 poa poa
nimependa sana shilole kuwa muwazi hadi home like you shshi bby
Yani shishi nakupenda bureeeee hujifichiii safi mrembo
Shishi the fighter very inspirational jaman am inspired
nimekupenda sana na mungu akubariki kwa kuto jifanya
shishi...am proud of u siz ..no one like u..aki uko real c kama wengine...
hongera zako msema kweli mpenzi wa mungu, wengine hawawezi kupeleka mtu kwao
wabheja sana mwanike kommaga mungu akuambilije
Shilole we ni mwanamke wa tofauti saaana shuw we ni bonge la dem by the way love you so much
nice& lovely, yaan kama mm tu
namshauri shilol Mungu akimjali ajenge kwao
Fanya uwajengee kamjengo dada Shishi. We mtu mkubwa bhana
shilole nimekupenda sana mkataa kwako huyo mtumwa
Da sality mama ndo maan mm nakupenda pig up my shishi beibye
waoh ni gd thing ila ni vyema zile pesa unazozitumia kwa sherehe zisizona jina ukazitumia kujenga home
kijijini ukijenga vizuri unalogwa hahah, bola aache hvyo hvyo au aboreshe kidogo tu
MUHAMMED RASHID kweli kaka
Kani Veri hahahh
nikweri samtmmi
MUHAMMED RASHID kabisa
big up shishi love u
uko vzur Ccter shishi huigz maisha, love you
nimeipenda hiyo.., umeonesha kitu tofauti
6:00 Mr. Blue stop eaaating HAHAHA au siwo
Real life not forget. God with u .shilole ..wa kwetu nyumban n nyumbani banaa
nakupenda kwa hili .well come to Canada shilole
Sitaki nikufosi dada yangu mzuri ila ukipata hakiba wajengee nyumban nzuri ila nimependa uwazi wako
Safi sana Shishi kwa ulichokifanya... Umeonesha tofauti yako na wasanii wengine ambao wanapaonea aibu kwao na kupatelekeza.... In short nimependa saaaaana ulichokifanya;
Nuhu mziwanda acha zarau dogo ulkua umpe jp big up lkn ushamba umefanya
Yani hata mie kanichefua sana
Nkuombe kitu shishi et, wainue hom hat kidogo waufurahie uwepo wako pa1 nao na mungu atakubark au vp
shishi ndo ninachokupendea
Nimeipenda hii respect kwako Shishi
safy sana shishi beby ikopouwa sana watapata tabu saanaaa
hongera shishi wangu natamani siku mija nikutane na ww hta nikupe mkono wallah
Big up Dada shishi kwani niwatu wachache wenyekujionyesha makwao Kama hivyo du kweli mkataa kwao mtumwa
Shishi baby unajuwa mm nakukubali kinoma yaan unajiamini sana nafurahia sana uwepowako
Nimekupenda bure Shishi
muhimu daa shishii .....mtu nikwao sikuzoteeee ...nakupa hongeraaaaaaaaa xnaaa
Shilole ongera sana naitwa coudra micharazo nimekipenda sana ilico kifanya Mkataa kwao mtumwa
kweri shirole bado anampenda nuh
basi atambue umuim wake maisha yaendereheee
Merci beaucoup pour votre aide
Mm nimeona hivyo
hapa nisomo kubwa kwa namna tunavyoishi tusisahau tulikotokea.
This is much bebeee shihiii nakukunda bhanaaaa 😘😘😘😘😘😘😘😘😘
hongera yako shishi beibe nimekupenda bure
Kwanza mm nampongeza kwa kusubutu kufanya hv maan angekuwa mwingn asingesubutu ,,naamn atapaweka sawa tu kwao,napenda maisha yake ya ujasiri jmn
Dah,,,for real don judge a book by its colour,,this is amazing men