Shilole alivyowapeleka Wasanii nyumbani kwao Igunga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2016
  • Shilole alivyowapeleka wasanii wenzake nyumbani kwao Igunga

Комментарии • 541

  • @barakamwamwaja9292
    @barakamwamwaja9292 7 лет назад +74

    Dah! Nimempenda sana Shishi Baby kwa kuwa real na kuwapeleka wenzake mpaka home manake wasanii wetu wengi wanapenda maisha fake tofauti na alichoonyesha Shishi baby.
    Much respect kwake

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 лет назад +124

    yaani ktk wasanii wasojali kbs ni shishi na wala hajali kbs mkataa kwao mtumwa mtu kwao mama

    • @sirbosco3645
      @sirbosco3645 7 лет назад +3

      angekuwa mwingine wasingeenda

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 7 лет назад +4

      +SIR BOSCO. 😂😂😂 hawa ndo wanawake wa kuoa.sio Mwanamke akifika mjini anasahau ya nyuma

    • @sirbosco3645
      @sirbosco3645 7 лет назад +8

      Binafsi nilivyokuwa namfikiria ni tofauti afu yupo na confidence kubwa ulimwona wakati anamchana Msanii .... kutumia mkorogo

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 7 лет назад +7

      +SIR BOSCO 😂😂😂 alimuuliza young killer akazingua kusema kweli.ikabidi amwambie unapaka nachokipaka mie😁
      kwakweli ukijiamini utaishi kwa amani sana kwenye hii dunia.maana hata alivyomchangamkia Nuh si km wengi tulivyodhani mwisho wa mapenzi si uadui

    • @davidnkwela5931
      @davidnkwela5931 6 лет назад

      SIR BOSCO

  • @hamisally7523
    @hamisally7523 7 лет назад +6

    vizuri sana sister shishi, nyumbani ni nyumbani ,big up.hachana na hao masharo na masista duu ambayo wanavunga,we kamanda.

  • @denniskiango6901
    @denniskiango6901 7 лет назад +14

    Nimeipenda sanaaaa..... kwa dada zetu nivigumu sana kufanya hv wanajidai wapo juu mjini tu

  • @lightnessmori6485
    @lightnessmori6485 7 лет назад +6

    nakupenda shilole .... Mungu akupe hatua zaidi ya mafanikio... respect

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 7 лет назад +5

    MashaAllah Shishi Bby Mungu akuzidishie tena na tena Amani na barka kwenye maisha yako maana wengi wasani sivirahisi kufanya kitu kama hicho mamy Wallah Allah akuzidishie huna majivuno😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏

  • @stanleymaganga503
    @stanleymaganga503 7 лет назад +6

    She did a wonderful thing, yani hadi natamani kulia she bring a bongo flever home she made a history kwawana Igunga, Its so amaizing respect kwako SHILOLE

  • @aishaalhvvd2639
    @aishaalhvvd2639 7 лет назад +16

    sijui nieleze vip jinsi ninavyo kupenda shilole wanadada wengi wanaficha masingila ya kwa lakini wee auko ivyo hongera my mswahi lakini una roho ya kizungu mungu akusimamie kwa kila ukifanyacho

  • @yusufumiraji7778
    @yusufumiraji7778 7 лет назад +87

    kwa mara ya kwanza naweka LIKE kwa hii video
    Shishy baby una upeo wa kufikir

  • @salmazena7388
    @salmazena7388 7 лет назад +55

    nyumbani ni nyumbani hatakama kichakani Mkataa kwao mtumwaaa nakukubali shishi babby

  • @sheilanafula768
    @sheilanafula768 6 лет назад

    Kwenyu ni kwenyu hata kama kibandani huezi sikilia aibu hata wazazi wawe aje huezi waficha.Hongera sana shishi mabadiliko ni mwanadamu hufanya mutumainie mungu utabadili nyumbani😍😍😍

  • @divaifrank4192
    @divaifrank4192 7 лет назад +14

    Shilole mi nime kupenda saana huvungi mama kwenu ni kweni ni meipenda sana hiyo

  • @josephmasindi7348
    @josephmasindi7348 7 лет назад +14

    its something very awesome i respect u shishi bby

  • @ijmanzitv
    @ijmanzitv 6 лет назад +1

    Huyu ndye msanii mkali mwenye utu wa udugu msahau kwao na mkataa kwao ni mtumwa,nadhan ni msanii wa kwanza kufanya hivi safi sana shishi bby kigoli

  • @irenebernard1331
    @irenebernard1331 7 лет назад +3

    love u shishi hustler woman keep it ip na mungu yu pamoja nawe love u sana sanaaa

  • @evansdesantos954
    @evansdesantos954 7 лет назад +15

    mimi napenda pale Mr Blue amelala kwa lile godoro n chakula kakiweka godoroni... not only shishi but almost all of them wamekubali mazingiza

  • @nyandamisana3630
    @nyandamisana3630 6 лет назад +15

    Kuanzia Leo mimi shabiki yako

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 5 лет назад +1

    2019 shishi aiseeee safi dear hongera sanaaa ndio maana unasonga mbele na hivi ndio maisha yanavyotaka

  • @thabitmolly6957
    @thabitmolly6957 7 лет назад +17

    Hongera Shishi kwa kuwa na courage lakini nakushauri ufikiri mara mbili huko nyumbani ukipeleka milioni 10 tu unabadilsha kila kitu maisha yanakuwa bora sana Duh... kweli maisha si kama tunavyo yaona jitahidi dada ake hiyo hali ya nyumbani inatisha.

    • @salum8831
      @salum8831 7 лет назад +5

      nikweli kabisa 10 milioni inaweza kubadilisha vitu kibao hapo home kwao

    • @suhailalbastaki5531
      @suhailalbastaki5531 6 лет назад

      Thabit Molly asha sema sikwao ni kwa dadake jamani

    • @hopechidera
      @hopechidera 6 лет назад

      Suhail Al Bastaki kwani kwa dadake ndio hawezi kutuma hizo 10millioni!?huyo dadake saa iyi ndiye mamake,sababu ndiye kamlea,mama yawo mzazi alifariki Shishi bado mdogo akiwa na miaka misaba(she was 7years old ),hapo ndipo kwao tu.

    • @smidyjay2886
      @smidyjay2886 6 лет назад

      Thabit Molly masidhi

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 10 месяцев назад

      😆😆

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 7 лет назад +3

    Shishi is so brave and strong coz most of our artists is so rare to see dem invite dem frens remote areas like dat

  • @lucaslucaswalogwa9524
    @lucaslucaswalogwa9524 5 лет назад

    Katika vitu ambavyo nimeshangaa ni upendo wa ajabu sana alioufanya shilole na kudhihirisha nyumbani ni nyumbani hata kama pako vipi wengi sana hawawezagi hili jambo big up my ccter

  • @funsupadatestourists9256
    @funsupadatestourists9256 7 лет назад

    Safi sn shishi ayo ndio maisha watu waige ukiwa star sio ndio ujiwekee juuusn big up kwako

  • @254sexiest4
    @254sexiest4 7 лет назад +4

    shish we mkali love u so much u nver forget where u come from and that is a good thing u av done God bless ya so much wengine wafuate mfano huo

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 7 лет назад +17

    Sema Blue msela sana yaani kaamua kujiachia kabisa kwenye kigodoro chembamba namna ile

  • @michaelgoldie3955
    @michaelgoldie3955 7 лет назад +2

    shishi baby...... home is sweet, usisahau ulipo toka ila usiishi maisha uliyotoka,

  • @Cris-Kai
    @Cris-Kai 7 лет назад +5

    she is very very real...kwa hili umescore sana Shishi!!!

  • @agogodadimwa3886
    @agogodadimwa3886 7 лет назад +17

    NIMEKUWA AGAINST THIS GAL BUT KWA HILI NIMEKUMAHABA GHAFLA.BIG UP SHISHI.

    • @edsonandrew2844
      @edsonandrew2844 7 лет назад +4

      Shilole huwa unani bowa sna ila kwa hili ss nakupenda sna tena wewe ni msanii unae paswa kuigwa kwa hicho ulicho kifanya ushauri wangu kwako ni kwamba fanya kazi kama sehemu ya maisha yako naimani utafika mbali sna ongera sanaaaaaaaaaaa

    • @tembasimba9462
      @tembasimba9462 7 лет назад +4

      Mimi pia nimempenda sana. she is so open and real

  • @wangwemrongoti3
    @wangwemrongoti3 5 лет назад

    Ur among of da super women keep it up shishi👏👏

  • @coolmom7329
    @coolmom7329 7 лет назад

    this is so nice jaman Good job shishi nimemuona Amina tulisoma darasa moja wow nimelia

  • @tatuhamiz4733
    @tatuhamiz4733 7 лет назад +1

    kumbukeni shilole hana wazazi kwa dada yake ndio laifu yake bravo shishi baby

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 6 лет назад +18

    Safi sana angekuwa mwingine angeficha kwao nyumbani ni nyumbani

  • @sosanhi4109
    @sosanhi4109 7 лет назад

    hongera Dada kuna wengine hawapendi kujionyesha katika hayo mazingira ila ww big up siz

  • @dickeyjoseph9187
    @dickeyjoseph9187 7 лет назад

    big up shishi nimeipenda sana very very nice east to west home is the best

  • @hancymarin7081
    @hancymarin7081 7 лет назад

    respect to shishi coz ame show real life ya watanzania n were they came frm. wasanii igeni mfano mzuri toka kwa shilole ka show upendo kuwachukua na kuwapeleka kwa aliko tokea respect kwa hilo. wangekua wengne cjui ingekuaje.. appreciate u shishi

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 7 лет назад

    big up saaaana shilole na mr mziwanda nuh amenona ama nimacho yangu love you kwamazuri nakusapot but kwamabaya siwezi kukusaport big up lov love

  • @pascolemmanuel4839
    @pascolemmanuel4839 7 лет назад +2

    Umetisha sana uko fresh .

  • @mariamagoma6253
    @mariamagoma6253 7 лет назад

    safi sana dada umekuwa na roho yakujiamini sana, nyumbani ni nyumbani mungu akubariki ktk kaz zako

  • @gmosha1
    @gmosha1 7 лет назад +2

    i like it... it feels good to see how far u came from and the progress you have made in your life

  • @hassandude5085
    @hassandude5085 7 лет назад +1

    u have done something very good shilole,,God bless u abundantly..

  • @jameshilya9468
    @jameshilya9468 7 лет назад +1

    shilole we ni mtu wa kipekee kabisa katika wasanii wa bongo mungu akubariki sana

  • @zuhuramabrouk5184
    @zuhuramabrouk5184 7 лет назад

    Nakukubali zaidi ya maelezo shishi kwa hili wallah Allah akujaalie mengi mema Zaidi ...Ameen yarabil alamin +254

  • @joarymagaga9082
    @joarymagaga9082 6 лет назад +1

    Uwazi ndo kitu cha msingi katika maisha 😍 you shishi

  • @sophiasoud2197
    @sophiasoud2197 7 лет назад

    Big up shilole u r one in a Million superstar who never forget where she came from

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 4 года назад

    Nimekupenda Sana Dada wasanii weng wakitoka Kimaisha huwa wanaficha makwaoo hongera

  • @jumafuko9005
    @jumafuko9005 7 лет назад

    kwa hilo shishi nakupa big up unajuwa wengi tuna fail kuwapeleka malafiki nyumbani hatuwezi nyumbani ni nyumbani tu hats kuweje hongera saana dadake

  • @janepopular889
    @janepopular889 6 лет назад

    Daaah Dada shishi mm comment zimeisha maaana zote Wamesha maliza waliokuwa Wakwanza but msisitizo aumkazo nikujenga home basi nimemaliza Nc Dada shishi 😍 love u mingimingi!!

  • @happinessnyambita8139
    @happinessnyambita8139 6 лет назад

    Vzr dada shishi cyo mtu wa kiki unaonyesha maisha halisi big up my.

  • @SAMCHOM
    @SAMCHOM 7 лет назад

    I almost dropped tears in this ishhh, sijui kwanini hata...I love reality....I MISS HOME!

  • @nyotalaprincess3393
    @nyotalaprincess3393 7 лет назад +1

    I never know you're this sweet shishi, but I love you for this

  • @rahmangajime551
    @rahmangajime551 7 лет назад +5

    Maua sama ilove u shishi nakupendaje

  • @ibrahimlumbe402
    @ibrahimlumbe402 7 лет назад +4

    Real life is good for you guys shishi is doing well.nuhu you have a few days to come up with shish coz u see if you want and you can get it if you like.look around life goes on.

  • @yvonovicacidic1972
    @yvonovicacidic1972 5 лет назад

    uko vzr sana dada nakupenda kwa kutokuwa na majivuno japo vitu unavyo mwaaaaaa

  • @linawitness1126
    @linawitness1126 5 лет назад +5

    Shish nakupenda sana mama

  • @maryamalbahry1387
    @maryamalbahry1387 7 лет назад

    Hongera shishi kuanza na wenzako watamaliza😊 mtu kwao😙

  • @zuenaomary9987
    @zuenaomary9987 7 лет назад +4

    nampenda huyu dsada huwa hajivungi na nimkweli wengine wanajidai km hawajatoka vijijini

  • @aishamussa7246
    @aishamussa7246 3 года назад +1

    Mashallah mung akzdishie Dada shishi uko real xna

  • @anitajairos2664
    @anitajairos2664 7 лет назад

    sina meng sana bt bigup my lovely Sister mana mkataa kwao ni mtumwa mbli nipata funzo juu yawew na nuhu

  • @irenebbygal3511
    @irenebbygal3511 7 лет назад

    Umefanya jambo la maana sana shishi,,,much love 💙💙💙💙💋💋💋💋

  • @zaharasayyid5724
    @zaharasayyid5724 4 года назад

    Shishi nakupenda saaaaanaaaaaa wasichana wengine wanaonaga aibu kupeleka wenzao majumban kwao hongera shishiiiiiii

  • @esthernyokabikimiti9984
    @esthernyokabikimiti9984 7 лет назад

    Niiiiiiiice one shishi. umetisha

  • @yvetteniyibigira3833
    @yvetteniyibigira3833 6 лет назад

    Ongela daaa lov u

  • @pillymsangi6093
    @pillymsangi6093 7 лет назад

    Safii sana nyumban ni nyumban shilole nimekukubali mpka nashndwa kuelezea

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 лет назад +7

    Good Shishi but fanya mpango uwajengee kamjengo

  • @maishayetunibahari
    @maishayetunibahari 6 лет назад +5

    nimependa sana shilole kuwa muwazi hadi home like you shshi bby

  • @imeldakadege2838
    @imeldakadege2838 5 лет назад

    Yani shishi nakupenda bureeeee hujifichiii safi mrembo

  • @dianaketegwe8147
    @dianaketegwe8147 6 лет назад

    Shishi the fighter very inspirational jaman am inspired

  • @rahapaulina1451
    @rahapaulina1451 7 лет назад

    nimekupenda sana na mungu akubariki kwa kuto jifanya

  • @abdallahjuma4881
    @abdallahjuma4881 6 лет назад

    shishi...am proud of u siz ..no one like u..aki uko real c kama wengine...

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 7 лет назад

    hongera zako msema kweli mpenzi wa mungu, wengine hawawezi kupeleka mtu kwao

  • @toshirohitsugaya6421
    @toshirohitsugaya6421 7 лет назад +2

    wabheja sana mwanike kommaga mungu akuambilije

  • @reymuddy9577
    @reymuddy9577 5 лет назад

    Shilole we ni mwanamke wa tofauti saaana shuw we ni bonge la dem by the way love you so much

  • @victorchampion1513
    @victorchampion1513 3 года назад

    nice& lovely, yaan kama mm tu

  • @geofreyk.fredrick3035
    @geofreyk.fredrick3035 5 лет назад +1

    namshauri shilol Mungu akimjali ajenge kwao

  • @elicegelard5026
    @elicegelard5026 5 лет назад

    Fanya uwajengee kamjengo dada Shishi. We mtu mkubwa bhana

  • @lulujames5193
    @lulujames5193 6 лет назад +1

    shilole nimekupenda sana mkataa kwako huyo mtumwa

    • @liydiafaustine7852
      @liydiafaustine7852 6 лет назад

      Da sality mama ndo maan mm nakupenda pig up my shishi beibye

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 7 лет назад +33

    waoh ni gd thing ila ni vyema zile pesa unazozitumia kwa sherehe zisizona jina ukazitumia kujenga home

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 7 лет назад +3

    big up shishi love u

  • @agnesmgomba3421
    @agnesmgomba3421 7 лет назад

    uko vzur Ccter shishi huigz maisha, love you

  • @emmanuelmashauri6861
    @emmanuelmashauri6861 7 лет назад

    nimeipenda hiyo.., umeonesha kitu tofauti

  • @Mzebane976
    @Mzebane976 7 лет назад

    6:00 Mr. Blue stop eaaating HAHAHA au siwo

  • @engchrispianjohn9681
    @engchrispianjohn9681 7 лет назад

    Real life not forget. God with u .shilole ..wa kwetu nyumban n nyumbani banaa

  • @zubedamwanjirani5597
    @zubedamwanjirani5597 7 лет назад

    nakupenda kwa hili .well come to Canada shilole

  • @basilhamis681
    @basilhamis681 Год назад

    Sitaki nikufosi dada yangu mzuri ila ukipata hakiba wajengee nyumban nzuri ila nimependa uwazi wako

  • @happyleonard8717
    @happyleonard8717 6 лет назад

    Safi sana Shishi kwa ulichokifanya... Umeonesha tofauti yako na wasanii wengine ambao wanapaonea aibu kwao na kupatelekeza.... In short nimependa saaaaana ulichokifanya;

  • @mwanaishasmai2111
    @mwanaishasmai2111 6 лет назад +2

    Nuhu mziwanda acha zarau dogo ulkua umpe jp big up lkn ushamba umefanya

  • @pierredeboy7472
    @pierredeboy7472 6 лет назад +3

    Nkuombe kitu shishi et, wainue hom hat kidogo waufurahie uwepo wako pa1 nao na mungu atakubark au vp

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 лет назад +2

    Nimeipenda hii respect kwako Shishi

  • @allymasta4866
    @allymasta4866 6 лет назад

    safy sana shishi beby ikopouwa sana watapata tabu saanaaa

  • @zulekhamohammad3165
    @zulekhamohammad3165 6 лет назад

    hongera shishi wangu natamani siku mija nikutane na ww hta nikupe mkono wallah

  • @tumujailani4578
    @tumujailani4578 6 лет назад

    Big up Dada shishi kwani niwatu wachache wenyekujionyesha makwao Kama hivyo du kweli mkataa kwao mtumwa

  • @tatuhaji6575
    @tatuhaji6575 5 лет назад

    Shishi baby unajuwa mm nakukubali kinoma yaan unajiamini sana nafurahia sana uwepowako

  • @ramadhanmessi673
    @ramadhanmessi673 6 лет назад +1

    Nimekupenda bure Shishi

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад

    muhimu daa shishii .....mtu nikwao sikuzoteeee ...nakupa hongeraaaaaaaaa xnaaa

  • @coudramicharazo2485
    @coudramicharazo2485 5 лет назад

    Shilole ongera sana naitwa coudra micharazo nimekipenda sana ilico kifanya Mkataa kwao mtumwa

  • @fridawinnie1501
    @fridawinnie1501 7 лет назад +9

    kweri shirole bado anampenda nuh
    basi atambue umuim wake maisha yaendereheee

  • @sirbosco3645
    @sirbosco3645 7 лет назад +5

    hapa nisomo kubwa kwa namna tunavyoishi tusisahau tulikotokea.

  • @gracegodbless6935
    @gracegodbless6935 6 лет назад

    This is much bebeee shihiii nakukunda bhanaaaa 😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @hassanovajunior7771
    @hassanovajunior7771 7 лет назад

    hongera yako shishi beibe nimekupenda bure

  • @julytito3891
    @julytito3891 5 лет назад

    Kwanza mm nampongeza kwa kusubutu kufanya hv maan angekuwa mwingn asingesubutu ,,naamn atapaweka sawa tu kwao,napenda maisha yake ya ujasiri jmn

  • @noreenmillicient8101
    @noreenmillicient8101 4 года назад

    Dah,,,for real don judge a book by its colour,,this is amazing men