#Ustaadh Haji karibu tena kwenye kuisemea timu yetu.Wapinzani wako na wa Yanga wanakuogopa saana,na ndio maana wanajaribu kukuzuia kuisemea timu yetu kwa visingizio mbalimbali.Mtu mjuzi mkubwa wa mpira wa Tanzania,Afrika na Dunia.Timu yetu inapata mafanikio makubwa tena ya mfululizo lkn inakosa mtu wa kuisemea kwa nguvu na kwa takwimu.Nina heshimu waliokuwepo lakini kuna kona wanaitaji sapoti kusema ukweli.#Njoo Haji,karibu Haji.💪🤝🙏
Acha kujipa majukumu ww! Subiri upangiwe kazi na Eng. Ali Kamwe yuko vzuri na mbunifu sn. Amewapa wachezaji heshma na ikasaidia timu kufanya vzuri misimu miwili. Ww mkorofi mkorofi tangu upo Simba, mbele utakuja kulizua lingine.
Hapo Leo umeongea vizuri Sana,Ally Kamwe ni Afsa Habari wa Yanga na wewe Manara uliluwa msemaji na mhamasishaji wa yanga,ila wewe haukuwepo yanga muda mrefu ni vyema ukasubiri upangiwe KAZI na kiongozi wa yanga
Acheni ugombanishi wote hao ni waajiriwa wa young African. Sasa hiyo ya mflani boss wake flani inatoka wapi,,,boni ni mmoja tu GSM.nb.Acheni kutengeneza chuki sio vema.
Ao damu zao haziendani😊..afu wako timu 1 adi laa😊;chanzo ni uyo ally simba kugoma kumtetemekea uyo mzungu wa kibongo....(anapenda kusujudiwa) ally we kaza ivo ivo
Kwanza ulitakiwa uwe kimya usibiri kupangiwa kazi na sio kuanza kujipa majukumu! Unajuaje km ww utakuwa msemaji wakati yupo msemaji Ali Kamwe na ww umetoka kifungoni??? Mm binafsi hapana, we urudi Simba tu sikuamini 😅
Huyu jamaa hamnazo kabisa. Anatakiwa kuripoti kazini ili apangiwe Kazi. Kama atapewa Kazi ya usemaji sawa lakini pia anaweza kupigwa chini pia Yanga ni kubwa kuliko yeye asije kutuharibia huyu ni chai ya rangi.
Kumbe umewatambua makolokwinyo.#wanamuogopa sana huyu mtu.Wanamuhitaji yule wanaemuweza.Halafu wana Yanga,tunawaacha hawa jamaa wawe wengi kwenye comments kwanini ndugu zangu!
Ki ukweli mm sio yanga lakini Ali kamwe ni mchakazi pili hawezi kuelewana na manara ni mfitini sana huyu baba ngoja tuone kwa nn ajitabgaze yy mwenyewe pasipo waajili wake mbaya sana huyu anataka kumchanga dogo
Manara lazima akubali kuwa boss ni Mr Ali kamwe😂
Hpn tuachie alikamwe wetuu
#Ustaadh Haji karibu tena kwenye kuisemea timu yetu.Wapinzani wako na wa Yanga wanakuogopa saana,na ndio maana wanajaribu kukuzuia kuisemea timu yetu kwa visingizio mbalimbali.Mtu mjuzi mkubwa wa mpira wa Tanzania,Afrika na Dunia.Timu yetu inapata mafanikio makubwa tena ya mfululizo lkn inakosa mtu wa kuisemea kwa nguvu na kwa takwimu.Nina heshimu waliokuwepo lakini kuna kona wanaitaji sapoti kusema ukweli.#Njoo Haji,karibu Haji.💪🤝🙏
Viongozi wa Yanga ni vema kuwa waangalifu na Manara. He is a chaotic by nature. Vinginevyo, mgogoro wa magoma una afadhali.
😂😂😂😂😂😂 neno limeelezewa masaa manne ujue limemuingia😂😂🙌🙌
Huyu jamaa kufanya nae kazi sio rahisi kwasabu mjuaji juaji sana kuna siku alikua ana mu outsmart Baba yake sasa sembuse Ali kamwe
Tofauti na kuropoka na matusi , Manara na Kamwe ni ardhi na mbingu. Manara ni moto sana
Sijapenda kabisa mimi. Mie nataka ali kamwe aendelee na majukum yote
Kiutalatibu Unasubilia Kupangiwa kazi na Mwajili wako...Eng Hensi Ndo anatakiwa aseme majukumu yako huezi kuja tu na Ku resume majukumu 😂😂😂😂😂
Manara kuballi kuwa chini ya Ali Kamwe. Usije kuleta mgogoro usio wa lazima
Kwan we ndo unawapangiaa kazi
Naona kazi umekuwa kubwaa😮😮😮
Manara njoo Simba
Tunakukubali Sana mwamba
The return of heroooo
Mimi shabiki wa simba hila kamwe ni mtu wa watu
Hapo yanga ndio wanazidi kuongeza migogoro
Kwani lazma urudi kwenye mpira yakhe😂
Iyo kitaalamu tunaita kazini kwa manara kuna kazi😅😅😅
🎉🎉
Sisi kama yanga hatukutaki manara
Sisi wangapi sema Wewe 😂😂 Ndio humtaki sio wote😂😂
Sasa wewe humtaki mdhamini anamtaka, utaweza 😂😂
Usinisemee mm tafadhali
Mm pia simtaki, kiherehere huyu! Ameshaanza kujipa majukum mwenyewe hapo😂😂😂
Sema ww sio sisi
HAJI Ulikuwa bench ila uwe na adabu
Tafuta kazi nyingine tuachie ali kamwe wetu
We Kafanye TU Kazi Nyingine!!
Hap saw
Acha kujipa majukumu ww! Subiri upangiwe kazi na Eng. Ali Kamwe yuko vzuri na mbunifu sn. Amewapa wachezaji heshma na ikasaidia timu kufanya vzuri misimu miwili. Ww mkorofi mkorofi tangu upo Simba, mbele utakuja kulizua lingine.
Hapo Leo umeongea vizuri Sana,Ally Kamwe ni Afsa Habari wa Yanga na wewe Manara uliluwa msemaji na mhamasishaji wa yanga,ila wewe haukuwepo yanga muda mrefu ni vyema ukasubiri upangiwe KAZI na kiongozi wa yanga
Huyu anawaletea mgogo utopolo mda si mrefu,,Ali kamwe hana raha tena
Hapo mmenukuu “ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” lkn ndani yake hamna sehem haji manara amesema hvyo.. Media jmn tuacheni uswahili uswahili..
Tusema unwell Ally kamwe ndiye aliyefiti nikijana uyu mzee atarudi kuleta miugomvi tu .namafaini yatakuwa kibao
Safi haji manara wa ni gwiji la wasemaji wa vilabu alafu unajitambua Sana safi Sana kwa majibu yako
Tx😅 it
Huyu maisha ayake yatakuwa ya kufungiwa funguwa maana hana sitahaa ata kdg anaropoka sana hadi anakela
Mbona Unatumia Nguvu Kubwa Sana Kujieleza!???😂😂😂😂😂
Manara oyeeeeeeeeee
Acheni ugombanishi wote hao ni waajiriwa wa young African. Sasa hiyo ya mflani boss wake flani inatoka wapi,,,boni ni mmoja tu GSM.nb.Acheni kutengeneza chuki sio vema.
Huyu anaugomvi na ali sasa ngoja tuonee
Mwamba afyngiww tena ameshaanza kelele zake
Ameonyesha atakavyokwenda kuvuruga kitengo cha habari, afisa ni mkuu kuliko msemaji, huyu apangiwe idara ya uhusiano vilabu kimataifa kama ipo
Viongoz huyu akafanye Kaz Huko GSM kitengo Chochote hata Cha kuosha vyombo ally kamwe yupo vzr amuache
Watu wanatakiwa kujua tofauti ya Majukumu ya Afisa Habari na Msemaji wa club.
Wasemani watatu dhidi ya mtambo wa maneno
Ao damu zao haziendani😊..afu wako timu 1 adi laa😊;chanzo ni uyo ally simba kugoma kumtetemekea uyo mzungu wa kibongo....(anapenda kusujudiwa) ally we kaza ivo ivo
Jaman ali wetu itakuaje sas
Wavuruge tu😊
Manara una jeuri sana lazima ufungiwe tena siku si nyingi
Kumekucha 😂😂😂
Alikamwe utaanza bench, mwenye yanga yake kashawasili
Sisi Kwa sasa Manara hatuna tena shida nae tutaendelea na vijana akina Ali kamwe ww Manara uwe kiongoz Ila sio msemaji
Sisi yanga tunasajili wazeee na wasemaji wetyu ni wazeee.. vijana bakieeni nao nyie makolo
Kwanza ulitakiwa uwe kimya usibiri kupangiwa kazi na sio kuanza kujipa majukumu! Unajuaje km ww utakuwa msemaji wakati yupo msemaji Ali Kamwe na ww umetoka kifungoni??? Mm binafsi hapana, we urudi Simba tu sikuamini 😅
We ni mnafiki sana tunakujua utampiga figisu uyo dogo mpaka ubaki peke ako
Huyu jamaa hamnazo kabisa. Anatakiwa kuripoti kazini ili apangiwe Kazi. Kama atapewa Kazi ya usemaji sawa lakini pia anaweza kupigwa chini pia Yanga ni kubwa kuliko yeye asije kutuharibia huyu ni chai ya rangi.
Huyu ndie aliesema Kule yanga wenye akili ni wawili tu. Kikwete na baba yake. Leo hii anaenda kwa wale aliowazarau jamani mdomo
Mafuta na maji lazima Vijitenge na hujulikana, ngoja tusubiri chanya na hasi zikitoa cheche!
KWAHIYO ALLY KAMWE SIYO RAFIKI YAKO?
Huyu atasumbuana na Ali kamwe we subiri tu
sanuka Haji Simba
Umekomea peke yako leo taarifa haina mvuto
Kama mie ndiye Ally Kamwe siwezi kukubali kufanyakazi na huyu jamaa ni fitna sana atamfitini Ally hatoamini huyu jmaa hatakiwi kurudi yanga Jamani
Simpendi uyu zeruzeru tatizo anajiona mjuajiyeyetu
Naona kama unalazimisha kufanya kazi na yanga haliakuwa uwongozi haujakutangaza
HUYU JAMA HAENDE AZAM FC PLEASE
Manara umeanza
Kamwe
kuna makolo wana comit humu tuwe makini sana sisi wenyewe tunawapendaa wote wanaosimamia kitengo cha habari na hawa wote ni brand ytu
Kumbe umewatambua makolokwinyo.#wanamuogopa sana huyu mtu.Wanamuhitaji yule wanaemuweza.Halafu wana Yanga,tunawaacha hawa jamaa wawe wengi kwenye comments kwanini ndugu zangu!
Huweza kufanyakazi na Ali kamwe binfsi wewe una ugomvi nae physical
Ukumbwi
Wakwanza mm
Picha linaanza
Rudi zako simba usituvurugie kitengo chetu cha habari hakuna sehemu pasipo na uongozi aidha uwe dogii wa ally kamwe au urudi simba ulipotoka.
Binafsi namkubari Ali kamwe
Kunywa maji mengi sana umeongea point 👉👉
Mdogo mdogo kwa majirani yetu kumeanza kufuka fuka..
Sisi SIMBA tupo paleeeee tunazooom.
Sisi kama yanga hatumtaki alikamwe
Alikamwe hatumtaki amuache Manala apige kazi
Kajifunze kuandika kwanza
Hatukutaki manara wewe mchochezi tuachie alikamwe kijana mchapakazi we nenda katafute ajira hata ihefu
Ki ukweli mm sio yanga lakini Ali kamwe ni mchakazi pili hawezi kuelewana na manara ni mfitini sana huyu baba ngoja tuone kwa nn ajitabgaze yy mwenyewe pasipo waajili wake mbaya sana huyu anataka kumchanga dogo
Yanga ukiangalia kwamakin na kama una d 1 utaelewa kuwa viongoz wake awana akali ya kuendesha krabu zaid ya miemko tu NIMENUKUU KWA MZEE MAGOMA😁😁
Ww na magoma akili wote sana za kuku
Sasa kama kuandika Kiswahili haujui akili unatoa wapi, kapambane kwanza kujua kusoma na kuandika
Tafuta chaka yanga hatukutaki
Kwa sasa jamaa kapungua U STAR
Kichoko Ali Kamwe kitaingia mitini sasa hivi