“ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” MANARA AVUNJA UKIMYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 91

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 2 месяца назад +12

    Manara lazima akubali kuwa boss ni Mr Ali kamwe😂

  • @ireneseth
    @ireneseth 2 месяца назад +14

    Hpn tuachie alikamwe wetuu

  • @williamsaulos8769
    @williamsaulos8769 2 месяца назад +1

    #Ustaadh Haji karibu tena kwenye kuisemea timu yetu.Wapinzani wako na wa Yanga wanakuogopa saana,na ndio maana wanajaribu kukuzuia kuisemea timu yetu kwa visingizio mbalimbali.Mtu mjuzi mkubwa wa mpira wa Tanzania,Afrika na Dunia.Timu yetu inapata mafanikio makubwa tena ya mfululizo lkn inakosa mtu wa kuisemea kwa nguvu na kwa takwimu.Nina heshimu waliokuwepo lakini kuna kona wanaitaji sapoti kusema ukweli.#Njoo Haji,karibu Haji.💪🤝🙏

  • @alexkakwaya4383
    @alexkakwaya4383 2 месяца назад +13

    Viongozi wa Yanga ni vema kuwa waangalifu na Manara. He is a chaotic by nature. Vinginevyo, mgogoro wa magoma una afadhali.

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 neno limeelezewa masaa manne ujue limemuingia😂😂🙌🙌

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 месяца назад +5

    Huyu jamaa kufanya nae kazi sio rahisi kwasabu mjuaji juaji sana kuna siku alikua ana mu outsmart Baba yake sasa sembuse Ali kamwe

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 2 месяца назад

    Tofauti na kuropoka na matusi , Manara na Kamwe ni ardhi na mbingu. Manara ni moto sana

  • @rubbenmabuga3058
    @rubbenmabuga3058 2 месяца назад +2

    Sijapenda kabisa mimi. Mie nataka ali kamwe aendelee na majukum yote

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 2 месяца назад +11

    Kiutalatibu Unasubilia Kupangiwa kazi na Mwajili wako...Eng Hensi Ndo anatakiwa aseme majukumu yako huezi kuja tu na Ku resume majukumu 😂😂😂😂😂

  • @ezekielhaule364
    @ezekielhaule364 2 месяца назад +6

    Manara kuballi kuwa chini ya Ali Kamwe. Usije kuleta mgogoro usio wa lazima

  • @HamidaOmar-ub4kb
    @HamidaOmar-ub4kb 2 месяца назад

    Naona kazi umekuwa kubwaa😮😮😮

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 2 месяца назад

    Manara njoo Simba

  • @OWENGODFREYSIWALE
    @OWENGODFREYSIWALE 2 месяца назад

    Tunakukubali Sana mwamba
    The return of heroooo

  • @mwajumaseifu216
    @mwajumaseifu216 2 месяца назад +4

    Mimi shabiki wa simba hila kamwe ni mtu wa watu

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 2 месяца назад +4

    Hapo yanga ndio wanazidi kuongeza migogoro

  • @walidmaguha7487
    @walidmaguha7487 2 месяца назад +2

    Kwani lazma urudi kwenye mpira yakhe😂

  • @DariusKasitu
    @DariusKasitu 2 месяца назад +1

    Iyo kitaalamu tunaita kazini kwa manara kuna kazi😅😅😅

  • @shigetemteremko7551
    @shigetemteremko7551 2 месяца назад

    🎉🎉

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 2 месяца назад +9

    Sisi kama yanga hatukutaki manara

    • @BerthaEdward
      @BerthaEdward 2 месяца назад

      Sisi wangapi sema Wewe 😂😂 Ndio humtaki sio wote😂😂

    • @robertchugu7932
      @robertchugu7932 2 месяца назад

      Sasa wewe humtaki mdhamini anamtaka, utaweza 😂😂

    • @MysarahMohamed
      @MysarahMohamed 2 месяца назад

      Usinisemee mm tafadhali

    • @halimamwingu4478
      @halimamwingu4478 2 месяца назад

      Mm pia simtaki, kiherehere huyu! Ameshaanza kujipa majukum mwenyewe hapo😂😂😂

    • @christophercostancio5185
      @christophercostancio5185 2 месяца назад

      Sema ww sio sisi

  • @Amplifiedtz
    @Amplifiedtz 2 месяца назад +1

    HAJI Ulikuwa bench ila uwe na adabu

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 2 месяца назад +3

    Tafuta kazi nyingine tuachie ali kamwe wetu

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 2 месяца назад +1

    We Kafanye TU Kazi Nyingine!!

  • @IddiHassani-s9j
    @IddiHassani-s9j 2 месяца назад

    Hap saw

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 2 месяца назад +1

    Acha kujipa majukumu ww! Subiri upangiwe kazi na Eng. Ali Kamwe yuko vzuri na mbunifu sn. Amewapa wachezaji heshma na ikasaidia timu kufanya vzuri misimu miwili. Ww mkorofi mkorofi tangu upo Simba, mbele utakuja kulizua lingine.

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 2 месяца назад +2

    Hapo Leo umeongea vizuri Sana,Ally Kamwe ni Afsa Habari wa Yanga na wewe Manara uliluwa msemaji na mhamasishaji wa yanga,ila wewe haukuwepo yanga muda mrefu ni vyema ukasubiri upangiwe KAZI na kiongozi wa yanga

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад

    Huyu anawaletea mgogo utopolo mda si mrefu,,Ali kamwe hana raha tena

  • @othmankhalfan9675
    @othmankhalfan9675 2 месяца назад

    Hapo mmenukuu “ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” lkn ndani yake hamna sehem haji manara amesema hvyo.. Media jmn tuacheni uswahili uswahili..

  • @marrymwinuka3105
    @marrymwinuka3105 2 месяца назад +3

    Tusema unwell Ally kamwe ndiye aliyefiti nikijana uyu mzee atarudi kuleta miugomvi tu .namafaini yatakuwa kibao

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад

    Safi haji manara wa ni gwiji la wasemaji wa vilabu alafu unajitambua Sana safi Sana kwa majibu yako

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 2 месяца назад

    Huyu maisha ayake yatakuwa ya kufungiwa funguwa maana hana sitahaa ata kdg anaropoka sana hadi anakela

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 2 месяца назад

    Mbona Unatumia Nguvu Kubwa Sana Kujieleza!???😂😂😂😂😂

  • @OWENGODFREYSIWALE
    @OWENGODFREYSIWALE 2 месяца назад

    Manara oyeeeeeeeeee

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr 2 месяца назад

    Acheni ugombanishi wote hao ni waajiriwa wa young African. Sasa hiyo ya mflani boss wake flani inatoka wapi,,,boni ni mmoja tu GSM.nb.Acheni kutengeneza chuki sio vema.

  • @AhmedHussein-l3t
    @AhmedHussein-l3t 2 месяца назад +2

    Huyu anaugomvi na ali sasa ngoja tuonee

  • @ajuayekilindi4401
    @ajuayekilindi4401 2 месяца назад

    Mwamba afyngiww tena ameshaanza kelele zake

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 2 месяца назад

    Ameonyesha atakavyokwenda kuvuruga kitengo cha habari, afisa ni mkuu kuliko msemaji, huyu apangiwe idara ya uhusiano vilabu kimataifa kama ipo

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 2 месяца назад

    Viongoz huyu akafanye Kaz Huko GSM kitengo Chochote hata Cha kuosha vyombo ally kamwe yupo vzr amuache

  • @jifunzeinadvance1782
    @jifunzeinadvance1782 2 месяца назад

    Watu wanatakiwa kujua tofauti ya Majukumu ya Afisa Habari na Msemaji wa club.

  • @eliashelyongolo4123
    @eliashelyongolo4123 2 месяца назад +1

    Wasemani watatu dhidi ya mtambo wa maneno

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад

    Ao damu zao haziendani😊..afu wako timu 1 adi laa😊;chanzo ni uyo ally simba kugoma kumtetemekea uyo mzungu wa kibongo....(anapenda kusujudiwa) ally we kaza ivo ivo

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge 2 месяца назад

    Jaman ali wetu itakuaje sas

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 2 месяца назад

    Wavuruge tu😊

  • @onesmomashembo8495
    @onesmomashembo8495 2 месяца назад

    Manara una jeuri sana lazima ufungiwe tena siku si nyingi

  • @BabuuBar
    @BabuuBar 2 месяца назад +1

    Kumekucha 😂😂😂

  • @yusuphlean417
    @yusuphlean417 2 месяца назад

    Alikamwe utaanza bench, mwenye yanga yake kashawasili

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 2 месяца назад +3

    Sisi Kwa sasa Manara hatuna tena shida nae tutaendelea na vijana akina Ali kamwe ww Manara uwe kiongoz Ila sio msemaji

    • @FatumaIssa-w1s
      @FatumaIssa-w1s 2 месяца назад

      Sisi yanga tunasajili wazeee na wasemaji wetyu ni wazeee.. vijana bakieeni nao nyie makolo

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 2 месяца назад

    Kwanza ulitakiwa uwe kimya usibiri kupangiwa kazi na sio kuanza kujipa majukumu! Unajuaje km ww utakuwa msemaji wakati yupo msemaji Ali Kamwe na ww umetoka kifungoni??? Mm binafsi hapana, we urudi Simba tu sikuamini 😅

  • @kellynsemiti1665
    @kellynsemiti1665 2 месяца назад

    We ni mnafiki sana tunakujua utampiga figisu uyo dogo mpaka ubaki peke ako

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад

    Huyu jamaa hamnazo kabisa. Anatakiwa kuripoti kazini ili apangiwe Kazi. Kama atapewa Kazi ya usemaji sawa lakini pia anaweza kupigwa chini pia Yanga ni kubwa kuliko yeye asije kutuharibia huyu ni chai ya rangi.

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 2 месяца назад

    Huyu ndie aliesema Kule yanga wenye akili ni wawili tu. Kikwete na baba yake. Leo hii anaenda kwa wale aliowazarau jamani mdomo

  • @zakaria924
    @zakaria924 2 месяца назад +1

    Mafuta na maji lazima Vijitenge na hujulikana, ngoja tusubiri chanya na hasi zikitoa cheche!

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c 2 месяца назад

    KWAHIYO ALLY KAMWE SIYO RAFIKI YAKO?

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 2 месяца назад

    Huyu atasumbuana na Ali kamwe we subiri tu

  • @theson1987
    @theson1987 2 месяца назад

    sanuka Haji Simba

  • @feliciankabasa8995
    @feliciankabasa8995 2 месяца назад +2

    Umekomea peke yako leo taarifa haina mvuto

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 месяца назад

    Kama mie ndiye Ally Kamwe siwezi kukubali kufanyakazi na huyu jamaa ni fitna sana atamfitini Ally hatoamini huyu jmaa hatakiwi kurudi yanga Jamani

  • @DainessKongela
    @DainessKongela 2 месяца назад

    Simpendi uyu zeruzeru tatizo anajiona mjuajiyeyetu

  • @abdillahhassan6271
    @abdillahhassan6271 2 месяца назад

    Naona kama unalazimisha kufanya kazi na yanga haliakuwa uwongozi haujakutangaza

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 2 месяца назад

    HUYU JAMA HAENDE AZAM FC PLEASE

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA 2 месяца назад

    Manara umeanza

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 2 месяца назад

    Kamwe

  • @ziadamuhunzi6210
    @ziadamuhunzi6210 2 месяца назад

    kuna makolo wana comit humu tuwe makini sana sisi wenyewe tunawapendaa wote wanaosimamia kitengo cha habari na hawa wote ni brand ytu

    • @williamsaulos8769
      @williamsaulos8769 2 месяца назад

      Kumbe umewatambua makolokwinyo.#wanamuogopa sana huyu mtu.Wanamuhitaji yule wanaemuweza.Halafu wana Yanga,tunawaacha hawa jamaa wawe wengi kwenye comments kwanini ndugu zangu!

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 месяца назад

    Huweza kufanyakazi na Ali kamwe binfsi wewe una ugomvi nae physical

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 2 месяца назад

    Ukumbwi

  • @salumually4447
    @salumually4447 2 месяца назад

    Wakwanza mm

  • @sadickbakari3678
    @sadickbakari3678 2 месяца назад

    Picha linaanza

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c 2 месяца назад

    Rudi zako simba usituvurugie kitengo chetu cha habari hakuna sehemu pasipo na uongozi aidha uwe dogii wa ally kamwe au urudi simba ulipotoka.

  • @faridaamenye8405
    @faridaamenye8405 2 месяца назад +2

    Binafsi namkubari Ali kamwe

    • @diva_20162
      @diva_20162 2 месяца назад +2

      Kunywa maji mengi sana umeongea point 👉👉

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 2 месяца назад

    Mdogo mdogo kwa majirani yetu kumeanza kufuka fuka..
    Sisi SIMBA tupo paleeeee tunazooom.

  • @jamaliahmadi1383
    @jamaliahmadi1383 2 месяца назад

    Sisi kama yanga hatumtaki alikamwe

  • @jamaliahmadi1383
    @jamaliahmadi1383 2 месяца назад

    Alikamwe hatumtaki amuache Manala apige kazi

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 2 месяца назад

    Hatukutaki manara wewe mchochezi tuachie alikamwe kijana mchapakazi we nenda katafute ajira hata ihefu

  • @elizabethchikoti3534
    @elizabethchikoti3534 2 месяца назад

    Ki ukweli mm sio yanga lakini Ali kamwe ni mchakazi pili hawezi kuelewana na manara ni mfitini sana huyu baba ngoja tuone kwa nn ajitabgaze yy mwenyewe pasipo waajili wake mbaya sana huyu anataka kumchanga dogo

  • @jellysazaina8491
    @jellysazaina8491 2 месяца назад +2

    Yanga ukiangalia kwamakin na kama una d 1 utaelewa kuwa viongoz wake awana akali ya kuendesha krabu zaid ya miemko tu NIMENUKUU KWA MZEE MAGOMA😁😁

    • @ferdinandikubila3669
      @ferdinandikubila3669 2 месяца назад

      Ww na magoma akili wote sana za kuku

    • @WestChoma01
      @WestChoma01 2 месяца назад

      Sasa kama kuandika Kiswahili haujui akili unatoa wapi, kapambane kwanza kujua kusoma na kuandika

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 2 месяца назад

    Tafuta chaka yanga hatukutaki

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 месяца назад

    Kwa sasa jamaa kapungua U STAR

  • @jrm9448
    @jrm9448 2 месяца назад

    Kichoko Ali Kamwe kitaingia mitini sasa hivi