TAZAMA WASANII WA ZAMANI WA BONGO FLEVA WALIVYOJIKUMBUSHIA ENZI ZAO MBELE YA WAANDISHI WA HABARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #Bongolegends #muziki
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 365

  • @kishhilz5370
    @kishhilz5370 2 года назад +10

    Daah big up sana tanzania legendary artists we always remmbr u and love u🇹🇿💫💥👌

  • @bedanchimbi4371
    @bedanchimbi4371 2 года назад +4

    Hawa ndio waliimba mziki, big up, hadi hivi sasa huwa nasikiliza nyimbo za zamani tu

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy 2 года назад +14

    Noma sana legendary. Yaani sauti kama wimbo wa studio. Hakuna tofauti. Naomba tu hilo tamasha liandaliwe vizuri na sounds ziwe vizuri. Wasifanye blayback na watumie muda mwingi kuimba kuliko kusema "pega kelele" na kuwanyoshesha mikono watu.

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад +1

      Ukitaka liwe zuri snaaa wa watafute. Masta j.. NA p faki hapo itatisha sanaaa

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 2 года назад +1

      @@زيتونتنزانيا Hao wataenda kufanya nini?

    • @tedychijinga105
      @tedychijinga105 2 года назад +1

      Weweeeeeee

  • @bahatimalundi3593
    @bahatimalundi3593 2 года назад +4

    Acheni bangi mnaweza

  • @hamisilutungu7293
    @hamisilutungu7293 2 года назад +5

    Mko vizur sana wakongwe mmetulia Sanaa...nilitaman sana kumuona prof jay Mungu ampe uhau ligendary wetu....

  • @omarsalimmarjanmj1474
    @omarsalimmarjanmj1474 2 года назад +4

    the best of all times
    tbt ya kishua kikweli Tunawatambua had huku Kenya🇰🇪

  • @devothasimbi1055
    @devothasimbi1055 2 года назад +2

    Nakupenda bibu kizee.chicha limemkolea hizo nyimbo zimenifurahisha sana ningekuwa bongo ningeshuhudia.

  • @pamilamussa2749
    @pamilamussa2749 2 года назад +18

    Picco ,,PNC, mbonakama vile bado wapya 💪💪💪💪💪 Walioweng bado Wanavipaji vyao vyazaman

  • @apolonasa462
    @apolonasa462 2 года назад

    Noma saaaa enzi izooo

  • @dinagod173
    @dinagod173 2 года назад +1

    Woooh wooh duuh mmenikumbusha mbalii sana ma legendary😍

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 2 года назад +1

    Mwenye hajui Hawa wasanii basi hajui muziki

  • @mohamedyally9912
    @mohamedyally9912 2 года назад +17

    Oyya awa jamaa kama unawakubali ttujuane

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi3655 2 года назад +20

    Mpaka leo huwa nasikiliza nyimbo zenu,hizi zingine hazina nafasi

  • @FrankBoozerFitnition
    @FrankBoozerFitnition 2 года назад +8

    This is LEGENDARY 🔥🔥💪💪

  • @paulbutundu9397
    @paulbutundu9397 2 года назад

    Picco umetisha Mwanangu

  • @isayaenock1644
    @isayaenock1644 2 года назад +1

    Ouwoooooooh oooooooh kitambo sana love sana hii song

  • @amosikondo778
    @amosikondo778 2 года назад +3

    Nomaaa sana I wish ninge kuwa tz

  • @matronafrank9838
    @matronafrank9838 2 года назад +1

    Mmefanya vizuri kk zangu nmewamiss sana

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 2 года назад +1

    Solid ground family The best all the time.:-
    Muhogo mchungu kabeba mbuzi
    Ichi kipande kiliniuwa sana.

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 2 года назад +10

    Big up, Mnanikumbusha Kitambo kidogo hua nikisikiliza hizi nyimbo najisikia Nasikilizia Muziki sio sasa Matusi kilakona, Mungu Awabariki Sana Muziki konk

  • @japhetjohnson8493
    @japhetjohnson8493 2 года назад

    unyama saanaa aisee'' mlikuwa mnaumiza sanaa aiseee daaaah💪💪💪

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 2 года назад +3

    Legendary tunawahitaji na nitauzuria la msingi tujitokeze kusaport bongo fleva

  • @Wordchefs
    @Wordchefs 2 года назад

    Miwani like fundi kuchomea.

  • @tumainikyomo5646
    @tumainikyomo5646 2 года назад

    Mmetisha Yana ninawapenda bureeee

  • @SalhaSwalehe-o9n
    @SalhaSwalehe-o9n 5 месяцев назад

    Jamani adila nikumbuka nilikua naibiwa na mchumba wangu nitimpenzi ya josilin

  • @millangtonwillfred4451
    @millangtonwillfred4451 2 года назад +4

    Hizo nyimbo tulishawadanganishia watoto wakike Sana enzi hizo dah mmenikumbusha mbali sana

  • @mwanamkuuhamza3219
    @mwanamkuuhamza3219 2 года назад

    Noma maze

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад +7

    Mziki wa zamani kweli.nyny ndy mmeufanya mpk umekubalika maana nikikumbuka kipind bongo flavour inaaza ulikua unaonekana mzik wa kiuni ingawa ulikua na Maudhui mema na maana kubwa xx huu mziki ungeanza kwa mfumo wa nyimbo za sasa usinge toboa kwa 7bb ya kujaa kwa matusi wazazi wasingekubali waimbe watt wao tunakubali nyimbo za leo kwa 7bb ya vinanda na bit lkn sio kufundisha mema unafundisha mabaya sanaa

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 2 года назад +2

    👋👋👋Daaah Sio POA... I Wish Niwepo Kwa Kweli...✊✊ Old is Gold🎧🎤📻

  • @agnesmbukilo1197
    @agnesmbukilo1197 2 года назад

    Jamaniiii Hadi raha

  • @berthamatinde5088
    @berthamatinde5088 2 года назад

    Mnanikumbusha vitu vizuri...nice

  • @mduduonline8116
    @mduduonline8116 2 года назад +8

    PASHA saut mzur broh na EP yako inafanya poa #DEDE ni 🔥🔥🔥

  • @antonykhamati6387
    @antonykhamati6387 2 года назад

    Safi sana

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 2 года назад

    Ahsante, mmenikumbusha mbali acha tu.

  • @mnhamaproducer4987
    @mnhamaproducer4987 2 года назад

    Amina nakukubali sana

  • @mussamo545
    @mussamo545 2 года назад +7

    Dah Mnanikumbusha Primary School Asee Mziki Ulikuwa Mziki😄

  • @mwanamkuuhamza3219
    @mwanamkuuhamza3219 2 года назад

    Tumekubali

  • @antonykhamati6387
    @antonykhamati6387 2 года назад +6

    Talent never fades!

  • @christopherkimea8514
    @christopherkimea8514 2 года назад +2

    That's is the music ma pipooo!!!I can't wait 14-5-2022🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mselemkombo4834
    @mselemkombo4834 2 года назад

    Daaaa nimejikuta nakosa la kusema nimekumbuka mbali sana

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 2 года назад

    Ooooh tamu sana itakuwa hii..kawafundisheni madogo utam wa Bongo flavour

  • @kevindon3863
    @kevindon3863 2 года назад +2

    Balaaaaaaa 💥💥💥💥💥💥💥,, 🔥🔥,, I wish ningekuwa dar

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 2 года назад +2

    Mziki haujaharibia nyakati imewakataa kwa sababu wengi wenu mlishindwa kwenda na hitaji la muda. Msipondee mziki wa sasa kwa sababu unafanywa na waliokuwa na mashabiki wenu. Tunawapenda sana na mnapojumuika na kuunda umoja mtafanya pia mashabiki tuamke na kuanza Kuja kwenye show zenu

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 2 года назад +4

    Mmenikumbusha zamani du safi sana endeleeni kuwa wamoja

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 2 года назад +10

    Wananikumbusha mbali sana hawa jamaa....walikuwa na mziki mzuri saaana hakukuwa na matusi wala nini.

  • @ahmadchitema7200
    @ahmadchitema7200 2 года назад

    Nakubali Sana tena Sana ni zaid ya burudani

  • @husseisalimumaula3867
    @husseisalimumaula3867 2 года назад +5

    Huu ndio ulikua mziki saluti kwa malegenderi ni vyema sana

  • @louisbusingye743
    @louisbusingye743 2 года назад

    Bushi party. Daah!
    Shukran kunikumbusha. Mziki halisi uliopendwa na wote kwokote!

  • @giftgerard2846
    @giftgerard2846 2 года назад

    Oya wanajua kinoma ooooh my g can't wait

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 года назад +3

    Jaman naomba Mungu ningekuwwpo dar mbn ningekuja Mana nyimbo zote taaam🥰🥰🙏

  • @winydavid9373
    @winydavid9373 2 года назад

    Amazing sanaaaa

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb5227 2 года назад +8

    DAAH nmefurahi Sana,JAPO hzo nyimbo naziskia NILIKUWA shule ya msingi🤣

  • @remygiusalfred9106
    @remygiusalfred9106 2 года назад

    Safi aise

  • @greysonjohn9778
    @greysonjohn9778 2 года назад

    Hongereni mnatakiwa mzunguke mikoani mtapata kitu kizuri na washabiki tutapata kitu kizuri

  • @eunicemussa5883
    @eunicemussa5883 2 года назад

    Noma sanaaaaq

  • @mtummoja6882
    @mtummoja6882 2 года назад +2

    Homgereni sana mmenikumbusha mbali

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga3496 2 года назад

    Karibuni sana

  • @masterkey536
    @masterkey536 2 года назад

    Nimekubali uwimbaji wa zamani

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 года назад +1

    Nashauli mfanye kila wilaya hapa dar.

  • @petergemela8316
    @petergemela8316 2 года назад +7

    Jaman hata kingilio naona km ndogo kwa show

  • @beatricshadrack321
    @beatricshadrack321 2 года назад +1

    Hatariiiiiiiii nitakuja, muziki ulikua zamani jamani

  • @sharifarashidy1721
    @sharifarashidy1721 2 года назад +2

    Aisee ni nomaaaa.

  • @nashongwanko910
    @nashongwanko910 2 года назад

    Daaaah mpaka nasisimkaaaa

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 2 года назад

    Da jamani mnatisha sauti nzuriiiii

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 2 года назад +2

    KEEp the good Music alive 🎻🎶🎻🎶 🎻🎻

  • @eliaikawilhelm3541
    @eliaikawilhelm3541 2 года назад +2

    Big up kwa malengendary wote nawakubali mpaka kesho🔥🔥🔥🔥🤸🤸

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 2 года назад +6

    PNC 💯pasha Yuko vilevile

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323 2 года назад

    Wasanii wa zamani waimba bhana, talented

  • @edithajoseph1789
    @edithajoseph1789 2 года назад +1

    Long time nikiwa na mtoto mmoja

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 2 года назад +4

    Nimefurahi sana jaman mmenikumbusha mbali sana mpaka nimelia kwa furaha!

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 2 года назад +1

    Pasha pasha pasha , pico pico pico Sound ground family wimbo wao wa happy Birthday utaishi milele na milele

  • @kenyancontent2546
    @kenyancontent2546 2 года назад

    Fire

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 2 года назад +4

    Dis is real music we wait for it coming soon 🔜legendary music

  • @joycembepera4607
    @joycembepera4607 2 года назад

    Firee

  • @fatumamakwaia1126
    @fatumamakwaia1126 2 года назад

    Daaah

  • @octavianiburuno5645
    @octavianiburuno5645 2 года назад +1

    nimependa sana

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 2 года назад

    Pico,,,,pasha,,,Amin na wengne woooot mpo vizr

  • @aishahusseni3352
    @aishahusseni3352 2 года назад +2

    Nawpenda sana jamani nimefurahi sana dah izo ndio nyimbo nzuri

  • @emmanuelsteven5707
    @emmanuelsteven5707 2 года назад +1

    Nimekubali sana

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 2 года назад +3

    Tume wamiss sana vimiziki vya sasa havieleweki havina ujumbe mfike na mikoani wa jameni

  • @drkiti
    @drkiti 2 года назад

    Hii kubwa ✌️

  • @jbabajabir2000
    @jbabajabir2000 2 года назад +1

    Ebana Pico ni noma Sana
    Nyie ambao hamuelewi ni watoto wajuzi kausheni

  • @irenemcha2569
    @irenemcha2569 2 года назад +1

    Jamaani mludi tena kah mziki wa zamani ilikuwa mnzuri sana.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +1

    I wish ningekuwa bongo🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga3496 2 года назад +1

    Mmetisha mpaka nimejikuta nasasahau kama kunawasanii wengine kma akina mond ,

  • @veronicasulle1849
    @veronicasulle1849 2 года назад

    Daaa mpo vizuri rudin tu kundini

  • @brotheralimelody4703
    @brotheralimelody4703 2 года назад

    Nakupenda bibi kizee 🤩🤩

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 2 года назад +4

    Duuuuh nilijua sauti ya Josline pekee kumbe ni wasanii wote,wanasikika bila filter!
    Hongera nyote nami nitakuwepo 14/05/2022 hpo

  • @manchesterunited6076
    @manchesterunited6076 2 года назад

    Old is gold forever wakongwe muko vzr bado

  • @kosgoliath
    @kosgoliath 2 года назад

    Kipindi muziki unaitwa muziki kweli

  • @williamruto3103
    @williamruto3103 2 года назад

    Dahhhhh, hawa ndio wasanii

  • @chamijoseph9344
    @chamijoseph9344 2 года назад +2

    Hii ndiyo bongo fleva ya kweli achana na kina naniiii sijamtaja mtu mie.

  • @janetnadauson2988
    @janetnadauson2988 2 года назад +1

    Aise nyie ninoma mungu awaweke wote nawambea uzima mkovizuri zakale nidhaabu mungu awabarik natamani mrudi Tena jaman🙏

  • @franciseliya1354
    @franciseliya1354 2 года назад

    Mko vizurii saana

  • @mamaspapasrehabcenter
    @mamaspapasrehabcenter 2 года назад

    Hii ilikuwa kali sana..❤👍👍

  • @jacobtesha2365
    @jacobtesha2365 2 года назад

    Jmn nmekumbuka mbalii

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 2 года назад

    Jmn naomba Hiyo nyimbo

  • @ismailjuma1452
    @ismailjuma1452 2 года назад +1

    Nimependa tuu Kwa kweli mpk machozi yamenitoka enzi hizo Diamond Jubilee nilikuwa sikosi kwa kweli

  • @fredykyando1977
    @fredykyando1977 2 года назад +4

    Mngetembea nchi nzima bado mziki mzri ni wenu huu wa sasa unazingua kinoma.

  • @mkangyailutashaggy7207
    @mkangyailutashaggy7207 2 года назад +1

    Nyie ndo mlikuwa najua, zaman hizo hakun kuchez na hela za mama zetu