TAZAMA WASANII WA ZAMANI WA BONGO FLEVA WALIVYOJIKUMBUSHIA ENZI ZAO MBELE YA WAANDISHI WA HABARI
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- #Bongolegends #muziki
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Daah big up sana tanzania legendary artists we always remmbr u and love u🇹🇿💫💥👌
Hawa ndio waliimba mziki, big up, hadi hivi sasa huwa nasikiliza nyimbo za zamani tu
Noma sana legendary. Yaani sauti kama wimbo wa studio. Hakuna tofauti. Naomba tu hilo tamasha liandaliwe vizuri na sounds ziwe vizuri. Wasifanye blayback na watumie muda mwingi kuimba kuliko kusema "pega kelele" na kuwanyoshesha mikono watu.
Ukitaka liwe zuri snaaa wa watafute. Masta j.. NA p faki hapo itatisha sanaaa
@@زيتونتنزانيا Hao wataenda kufanya nini?
Weweeeeeee
Acheni bangi mnaweza
Mko vizur sana wakongwe mmetulia Sanaa...nilitaman sana kumuona prof jay Mungu ampe uhau ligendary wetu....
the best of all times
tbt ya kishua kikweli Tunawatambua had huku Kenya🇰🇪
Nakupenda bibu kizee.chicha limemkolea hizo nyimbo zimenifurahisha sana ningekuwa bongo ningeshuhudia.
Picco ,,PNC, mbonakama vile bado wapya 💪💪💪💪💪 Walioweng bado Wanavipaji vyao vyazaman
Dah kweli kilikuwa na vipaji kweli
Wapya kabisa
Noma saaaa enzi izooo
Woooh wooh duuh mmenikumbusha mbalii sana ma legendary😍
Mwenye hajui Hawa wasanii basi hajui muziki
Oyya awa jamaa kama unawakubali ttujuane
Mpaka leo huwa nasikiliza nyimbo zenu,hizi zingine hazina nafasi
Adi lahaaa
This is LEGENDARY 🔥🔥💪💪
Picco umetisha Mwanangu
Ouwoooooooh oooooooh kitambo sana love sana hii song
Nomaaa sana I wish ninge kuwa tz
Mmefanya vizuri kk zangu nmewamiss sana
Solid ground family The best all the time.:-
Muhogo mchungu kabeba mbuzi
Ichi kipande kiliniuwa sana.
Big up, Mnanikumbusha Kitambo kidogo hua nikisikiliza hizi nyimbo najisikia Nasikilizia Muziki sio sasa Matusi kilakona, Mungu Awabariki Sana Muziki konk
unyama saanaa aisee'' mlikuwa mnaumiza sanaa aiseee daaaah💪💪💪
Legendary tunawahitaji na nitauzuria la msingi tujitokeze kusaport bongo fleva
Miwani like fundi kuchomea.
Mmetisha Yana ninawapenda bureeee
Jamani adila nikumbuka nilikua naibiwa na mchumba wangu nitimpenzi ya josilin
Hizo nyimbo tulishawadanganishia watoto wakike Sana enzi hizo dah mmenikumbusha mbali sana
Noma maze
Mziki wa zamani kweli.nyny ndy mmeufanya mpk umekubalika maana nikikumbuka kipind bongo flavour inaaza ulikua unaonekana mzik wa kiuni ingawa ulikua na Maudhui mema na maana kubwa xx huu mziki ungeanza kwa mfumo wa nyimbo za sasa usinge toboa kwa 7bb ya kujaa kwa matusi wazazi wasingekubali waimbe watt wao tunakubali nyimbo za leo kwa 7bb ya vinanda na bit lkn sio kufundisha mema unafundisha mabaya sanaa
👋👋👋Daaah Sio POA... I Wish Niwepo Kwa Kweli...✊✊ Old is Gold🎧🎤📻
Jamaniiii Hadi raha
Mnanikumbusha vitu vizuri...nice
PASHA saut mzur broh na EP yako inafanya poa #DEDE ni 🔥🔥🔥
Mambo
Safi sana
Ahsante, mmenikumbusha mbali acha tu.
Amina nakukubali sana
Dah Mnanikumbusha Primary School Asee Mziki Ulikuwa Mziki😄
Tumekubali
Talent never fades!
That's is the music ma pipooo!!!I can't wait 14-5-2022🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaa nimejikuta nakosa la kusema nimekumbuka mbali sana
Ooooh tamu sana itakuwa hii..kawafundisheni madogo utam wa Bongo flavour
Balaaaaaaa 💥💥💥💥💥💥💥,, 🔥🔥,, I wish ningekuwa dar
Mziki haujaharibia nyakati imewakataa kwa sababu wengi wenu mlishindwa kwenda na hitaji la muda. Msipondee mziki wa sasa kwa sababu unafanywa na waliokuwa na mashabiki wenu. Tunawapenda sana na mnapojumuika na kuunda umoja mtafanya pia mashabiki tuamke na kuanza Kuja kwenye show zenu
Mmenikumbusha zamani du safi sana endeleeni kuwa wamoja
Wananikumbusha mbali sana hawa jamaa....walikuwa na mziki mzuri saaana hakukuwa na matusi wala nini.
Nakubali Sana tena Sana ni zaid ya burudani
Huu ndio ulikua mziki saluti kwa malegenderi ni vyema sana
Bushi party. Daah!
Shukran kunikumbusha. Mziki halisi uliopendwa na wote kwokote!
Oya wanajua kinoma ooooh my g can't wait
Jaman naomba Mungu ningekuwwpo dar mbn ningekuja Mana nyimbo zote taaam🥰🥰🙏
Amazing sanaaaa
DAAH nmefurahi Sana,JAPO hzo nyimbo naziskia NILIKUWA shule ya msingi🤣
Safi aise
Hongereni mnatakiwa mzunguke mikoani mtapata kitu kizuri na washabiki tutapata kitu kizuri
Noma sanaaaaq
Homgereni sana mmenikumbusha mbali
Karibuni sana
Nimekubali uwimbaji wa zamani
Nashauli mfanye kila wilaya hapa dar.
Jaman hata kingilio naona km ndogo kwa show
Hatariiiiiiiii nitakuja, muziki ulikua zamani jamani
Aisee ni nomaaaa.
Daaaah mpaka nasisimkaaaa
Da jamani mnatisha sauti nzuriiiii
KEEp the good Music alive 🎻🎶🎻🎶 🎻🎻
Big up kwa malengendary wote nawakubali mpaka kesho🔥🔥🔥🔥🤸🤸
nakupenda san cctaa
PNC 💯pasha Yuko vilevile
Wasanii wa zamani waimba bhana, talented
Long time nikiwa na mtoto mmoja
Nimefurahi sana jaman mmenikumbusha mbali sana mpaka nimelia kwa furaha!
Amalila gawe galiheihi
Pasha pasha pasha , pico pico pico Sound ground family wimbo wao wa happy Birthday utaishi milele na milele
Fire
Dis is real music we wait for it coming soon 🔜legendary music
Firee
Daaah
nimependa sana
Pico,,,,pasha,,,Amin na wengne woooot mpo vizr
Nawpenda sana jamani nimefurahi sana dah izo ndio nyimbo nzuri
Nimekubali sana
Tume wamiss sana vimiziki vya sasa havieleweki havina ujumbe mfike na mikoani wa jameni
Hii kubwa ✌️
Ebana Pico ni noma Sana
Nyie ambao hamuelewi ni watoto wajuzi kausheni
Jamaani mludi tena kah mziki wa zamani ilikuwa mnzuri sana.
I wish ningekuwa bongo🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Pole mamy..🙏🤒
Mmetisha mpaka nimejikuta nasasahau kama kunawasanii wengine kma akina mond ,
Daaa mpo vizuri rudin tu kundini
Nakupenda bibi kizee 🤩🤩
Duuuuh nilijua sauti ya Josline pekee kumbe ni wasanii wote,wanasikika bila filter!
Hongera nyote nami nitakuwepo 14/05/2022 hpo
Old is gold forever wakongwe muko vzr bado
Kipindi muziki unaitwa muziki kweli
Dahhhhh, hawa ndio wasanii
Hii ndiyo bongo fleva ya kweli achana na kina naniiii sijamtaja mtu mie.
Aise nyie ninoma mungu awaweke wote nawambea uzima mkovizuri zakale nidhaabu mungu awabarik natamani mrudi Tena jaman🙏
Mko vizurii saana
Hii ilikuwa kali sana..❤👍👍
Jmn nmekumbuka mbalii
Jmn naomba Hiyo nyimbo
Nimependa tuu Kwa kweli mpk machozi yamenitoka enzi hizo Diamond Jubilee nilikuwa sikosi kwa kweli
Mngetembea nchi nzima bado mziki mzri ni wenu huu wa sasa unazingua kinoma.
Nyie ndo mlikuwa najua, zaman hizo hakun kuchez na hela za mama zetu