UTAPENDA MAPOKEZI YA MTOTO WA HAMISA NYUMBANI KWA DIAMONDPLATNUMZ

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 96

  • @mrsebuuuhappy8177
    @mrsebuuuhappy8177 Месяц назад

    hapo nimekupenda sanaaa

  • @NimbonaUdhaifa-jw2lo
    @NimbonaUdhaifa-jw2lo 5 месяцев назад +1

    Mansha Allah mungu mkubwa kbs ❤❤❤

  • @yvonneolaka3238
    @yvonneolaka3238 3 года назад +1

    Wooow Hamisa you look great and fabulous

  • @sherylachieng4660
    @sherylachieng4660 6 месяцев назад

    Mfalme Dylan.....I love it

  • @mercyamagove1223
    @mercyamagove1223 3 года назад +4

    Kusema ukweli mtoto wa hamisa ni mutamuu😘😘😘😘😘😘

    • @mary5162
      @mary5162 3 года назад +1

      Kira mutto ni mutamu kwa menye naye🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 15 дней назад

    Mwijàku ni mbeá watamvalisha shanga

  • @neilasinan5126
    @neilasinan5126 3 года назад +2

    Mashallah cutee boy more then all of them

  • @KidaKapyata
    @KidaKapyata 2 месяца назад

    All ze best dylan yote mipango ya mungu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 года назад +5

    Fatuma Zari anatuoneshatena new King bea niatari kumekuchaaaa 🔥🔥🔥

  • @jacklinibrahim8805
    @jacklinibrahim8805 5 месяцев назад +1

    Kwanza sijuwi wanaume hua wanataka nini hamisa ndo mwanamke ambae alikua mke anaemfaa sijaona mwanamke aliezaa nae au alie nae kua anamzidi hamisa nini kwanza zari nimtu mzima pili tanasha amemzidi uzuri diamond hawa endani Tatu zuchu heheheeh watu wanazarau sana hata. Mm hatoweza kufaa amenifikia aliekua anamtaka wema sio taipu Yake watu wana macho ila hawaoni hamisa ndo mke wanae endana na diamond wanaume kabla yakukurupuka kusema mambo mengi jiangalie kwanza

  • @GalaxyA-ve8tu
    @GalaxyA-ve8tu 5 месяцев назад

    Safi sana akuna kubagua watoto ujui atae kuzika umjui

  • @avitdeus8407
    @avitdeus8407 3 года назад +1

    Nijambo la kumshukuru mungu watoto wote wakutanishwe

  • @user-us8kh3xo9v
    @user-us8kh3xo9v 23 дня назад

    Mtoto wa Sarah na yeye mama dangote ajiandaye tu kupokea ni watoto halali kabisa

  • @achyachy6367
    @achyachy6367 3 года назад +7

    Diamond always meet this kid out of camera , so I don't know why it's really a big issue now to you pple ...the kid stays in TZ for God's sake !

  • @achyachy6367
    @achyachy6367 3 года назад +6

    Then I think it's not the first time the kid has gone to his father's house, remember one time Misa did interview and she said Dylan used to go over the weekend even when Diamond was still with Tanasha....it's just that they never used to post photos

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 3 года назад +2

    Mashaalah 🤲💓

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 3 года назад +5

    Hata kama mama diamond anamchukiya uyu mtoto Dylan ni muziri kuliko wote duuh saana kweli hamisa unakizazi kizuri saana kabisa usijali maneno ya iyo familiya ya diamond

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 6 месяцев назад

      Acha uchochezi watoto wote wazuri, hakuna MWANADAM alieumbwa kwa mfano wa MUNGU akawa mbaya...wa MUNGU wote wazuri.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 6 месяцев назад

      Acha uchochezi watoto wote wazuri, hakuna MWANADAM alieumbwa kwa mfano wa MUNGU akawa mbaya...wa MUNGU wote wazuri.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 года назад +8

    Hayo mapokezi yako wapi wee domo kaya? Unatuchanganyia mapicha tu hapa.

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent2107 3 года назад +3

    Kwani maisha ya Daimondi yanaendeshwa na mitandao

  • @akimopatience4909
    @akimopatience4909 3 года назад +1

    Handsome boy Dylan more than

  • @user-rz4ny6ds4i
    @user-rz4ny6ds4i 5 месяцев назад

    Hapo umefanya vizur kaka kumkubali malaika uyo ya kwenu ya kwenu mtoto mpeni haki yake👍

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад +3

    Rahaaa yann yakuletewaa watoto tuu mwanaume hutulii ukaoa katulia

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 3 года назад +2

    Handsome boy Dylan

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад +6

    Mwijaku alisema hamisaa aliambia mond ukitaka mtoto njooumuchukue lkn sio hamisaa kumpelekaa mwijaku alihojiwa juxi akasema hivyoo

  • @rozmihambo1935
    @rozmihambo1935 3 года назад

    Mmmmm napita tu

  • @alicedzame3492
    @alicedzame3492 3 года назад

    That's good

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 года назад

    Umbea tu.
    Think of Covid-19 imejaa huko nyumbani.

  • @Biancaaa12345
    @Biancaaa12345 3 года назад +1

    Dedylan is always with the father. Jealousy will kill people. Foreigners r welcomed because they r visitors. Hamisa and mama diamond r playing people because they know u Rukamba

  • @user-it7ds1sy7e
    @user-it7ds1sy7e 6 месяцев назад

    Kama mama diamond amamchukia hyo mtoto basi tunamuomba mungu nafsi yake mama dangote aichukuwe mapema asije akawa sababu ya watoto wengine kuitwa ma yatima mungu naomba usikilize kilio changu

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 6 месяцев назад

      Huna hata haya wewe!! Umechukua nafasi ya MUNGU ili mama diamond afe!! Afe Mama yako kwanza ili uone utamu wake, We unajuaje Kama kwl anamchukia?! Au unajuwa Kuna nn mpk wafike huko.

  • @user-wv5ug7iz1n
    @user-wv5ug7iz1n 4 месяца назад

    Asante Diamond kumpokea Dialaan

  • @solangekubota9487
    @solangekubota9487 3 года назад +1

    Mimi mtanisamehe kuuliza, sasa siku zote izi wa babysmama walikuwa na chunga Za afunguwe mlango??

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +2

    Jamaniii huyo ni damu yake SIMBA

  • @nasifatyyahaya1564
    @nasifatyyahaya1564 3 года назад +3

    Pendezaaah sana

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Год назад

    Wow!

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv7183 3 года назад

    Da fatma ♥️♥️♥️

  • @magretpaulo3590
    @magretpaulo3590 2 года назад

    Mtoto wa hamisa ana umri gani

  • @mary5162
    @mary5162 3 года назад

    Fatuma nirigupendaga NA mwoyo wangu wote nirikuja kugunduwa jeshiiiii hawumupendagi nakajikuta nagucukiya fanya ubadirike Mutangazaji hapendezewe kuwa ngambo moja sorry🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @neemakalenga2141
    @neemakalenga2141 2 года назад

    Hi

  • @ironladywamugo5753
    @ironladywamugo5753 3 года назад +2

    Acheni kutupoteza tunahitaji follow up ya scandal ya Babu na Bibi

  • @eddydauson7525
    @eddydauson7525 3 года назад

    Hata we ni mama ungempeleka

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 года назад

    Safi sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 года назад +1

    Hayo mapokezi yenu kila siku Daim9nd kabeba bag hilo hilo na tunguo twake utadhan mganga wa kienyeji

  • @mamaanivia9234
    @mamaanivia9234 3 года назад +3

    Hata mapokezi ya zari uwezi kuyalinganisha na ya mtu yeyote hawa wote nikuwarizisha tu

    • @shanishosho911
      @shanishosho911 3 года назад

      Sana kabisa ndio mana tunamuita mama lao

    • @zakatiathumani6424
      @zakatiathumani6424 3 года назад

      Chefuuu

    • @mwasitiramadhan128
      @mwasitiramadhan128 3 года назад

      Dada muongoo sana nyie ndo wachonganishi hakuna cha kuja wala kutua mnafiki sana

    • @shanishosho911
      @shanishosho911 3 года назад

      @@zakatiathumani6424 tapika😄hakuna km kipenzi cha doctor sandra👌

  • @swahibamnene5847
    @swahibamnene5847 3 года назад

    Yn wabongo cjui mkojer jmn

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 месяца назад

    MTOTO WA HAMISA MZURI SANA MMM UMEPATA MTOTO NIMEMPENDA SANA HUYO MTOTO.

  • @fridahmaingi6025
    @fridahmaingi6025 3 года назад

    Mzeee diamond funga zip sasa.

  • @sambogoamba4790
    @sambogoamba4790 3 года назад

    Waongoooo

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 3 года назад +2

    Napendaga sauti yako mtangazaji

  • @kevinmukisira
    @kevinmukisira 3 года назад +4

    The reason I love hamissa

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 года назад

    WACHENI USHETANI WENU NA UWONGO MNANENA UTASEMA MUMEJIUMBA NYINYI YAKOSAWA SAWA KUMBE CHAPWA KWA LANA ZA KISHETANI NA WEWE MTANGANYIKA SHETANI MWANAMKE KIMAUBILE KWENYE AKILI LAKI WANAJUWA KUWA DAIMONDI HANA WATOTO KABISA SASA NASHANGAA NYINYI MUNAOJIFANYA VIJI MUNGU MUNGU VYA DUNIA MKIFAMTASEMAJE KWA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH MUNAWABANDIKIZIA MABABA WATOTO WA MAMAZAO 😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇😇🇹🇿😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿😇😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿💀🔥💀🔥💀🔥💀🔥💀🔥💀

  • @user-rq1tv9dc4s
    @user-rq1tv9dc4s 5 месяцев назад

    Nakweli mungu mkubwa

  • @CatherineNamonje-ok7oi
    @CatherineNamonje-ok7oi 11 месяцев назад +1

    Yah l like it❤

  • @ukhtisanura1656
    @ukhtisanura1656 3 года назад +1

    Hawana kazi tu

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 3 года назад +2

    Mi mtakuja kunipokea lini?😂😂😂🤣🤣🤣

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 4 месяца назад

    Nimekuwa na furaha naitamani kulia kwa furaha

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 7 месяцев назад

    Nikama diamond alichukua vipimo kimnya kimnya akajua ukweli Sasa dah

  • @mariamusaidy4327
    @mariamusaidy4327 3 года назад +2

    Simba pokea damu yako

  • @evaisacka1642
    @evaisacka1642 Год назад

    Hogera dayamod

  • @merrymerry4282
    @merrymerry4282 3 года назад +1

    Ila kuwa toto wa monde wote uyo ni mzuri saaaana kabisa wengine wapi uyo ni kijana saaana

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 3 года назад +3

    Kwa hiyo da Fatma na ww umeanza kutulisha matango pori😃mapokezi yko wapi

  • @sugarlipskashrynmejavone5254
    @sugarlipskashrynmejavone5254 3 года назад +1

    The fact is hamisa's son isn't that much valued

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 3 года назад

    Fatuma DNA haidanganye uyo mama diamond atasemaaah mpaka pumzi imtoke Dylan atabaki damu yao mpaka dunia ishe hata watu wengi hawafanane na ma baba zao lakini ni damu moja anajisumbuwa bure uyo bibi mahirizi

    • @shanishosho911
      @shanishosho911 3 года назад

      🤣🤣Mbona povu doctor sandra oyeeeeeeee

    • @MJ-rr6dy
      @MJ-rr6dy 3 года назад

      uliyaona majibu ya DNA? hapa kuna kitu hakitakiwi kuwekwa hadharani lakini kuna siku ukweli utasemwa hz ni sababu ndogondogo bibi anaujua ukweli siku nyingi.

    • @elit3_furor517
      @elit3_furor517 3 года назад

      @@MJ-rr6dy hakuna kitakacho wekwa hadharani kwa sababu hakuna kitu cha hofu kwa uyo Dylan nakama kipo saizi zamani kiko indje kwa sababu huyo mama diamond hampedi Dylan juu ya mama yake iyo familiya kwa kupenda kiki number 1 ni chuki zenye hazina kicha wala miguu

  • @achyachy6367
    @achyachy6367 3 года назад

    Labda driver wa Diamond alienda kumchukua mtoto si lazima Misa ampeleke mtoto

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 года назад

      Alisema haezi enda akimtaka ajeyy kumchukuwaa

  • @misrahmisrah8761
    @misrahmisrah8761 3 года назад +4

    Aibu huo ni ubaguzi sana sana au, kwakuwa mtoto anaishi Tanzania? Angekuwa mtoto wa nje ya Tz mtoto angeoneshwa na video juu msitueditie picha hamisa nawe hukomi ukoo umejaa Huna ulazima ya kumpeleka mtoto achana nao utajiri wa diamond usikubabaishe unakuaibisha mitandaoni

    • @asyahamaro7546
      @asyahamaro7546 3 года назад

      I hope ujumbe ameupata 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annezawadindurya8602
    @annezawadindurya8602 3 года назад

    Yakowapi hayo mapokezi?? Mbona umbeya hivyo jamani!! Uzushi wa media tu waacheni wenyewe yana tuhusu nini tusio manga maisha yetu na sisi jamani..

  • @vicentgodfrey7296
    @vicentgodfrey7296 3 года назад +1

    Mbona ili daimond linafataga akili za mama yake na wati yeye ni mtoto wakiume

  • @dfinafriga9863
    @dfinafriga9863 3 года назад

    raho djamani

  • @boalelaiyoko48
    @boalelaiyoko48 3 года назад +1

    Kichwa cha Habari hovyo😠

  • @amneyabdy2899
    @amneyabdy2899 3 года назад

    Sio mtoto wakke

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 3 года назад

    Na wewe umeanza kuandika vichwa vya habar vya uongo umeanza kuzingua

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 3 года назад

    Weee mtangazaji ujitambui mjinga wewe

    • @mary5162
      @mary5162 3 года назад

      Nirikuwa NA mupenda saana fatuma wakati nirigunduwa hamupende kond boyi nirijikuta namucukiya nisameh fatuma NA usiwe ngambo moja🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @fortunatamasigati3654
      @fortunatamasigati3654 2 года назад

      Jamani punguzeni manenomaneno

  • @mercywambui3400
    @mercywambui3400 3 года назад

    Do you really think that the comments you are seeking about this child are fare. What would you gain by making people think or even imagine that the child is rejected. Shame on you and think of the child first before you sell us your nonsense. Leave the children out of your malice and shameful envy.