Kwanza sijuwi wanaume hua wanataka nini hamisa ndo mwanamke ambae alikua mke anaemfaa sijaona mwanamke aliezaa nae au alie nae kua anamzidi hamisa nini kwanza zari nimtu mzima pili tanasha amemzidi uzuri diamond hawa endani Tatu zuchu heheheeh watu wanazarau sana hata. Mm hatoweza kufaa amenifikia aliekua anamtaka wema sio taipu Yake watu wana macho ila hawaoni hamisa ndo mke wanae endana na diamond wanaume kabla yakukurupuka kusema mambo mengi jiangalie kwanza
Then I think it's not the first time the kid has gone to his father's house, remember one time Misa did interview and she said Dylan used to go over the weekend even when Diamond was still with Tanasha....it's just that they never used to post photos
Hata kama mama diamond anamchukiya uyu mtoto Dylan ni muziri kuliko wote duuh saana kweli hamisa unakizazi kizuri saana kabisa usijali maneno ya iyo familiya ya diamond
Dedylan is always with the father. Jealousy will kill people. Foreigners r welcomed because they r visitors. Hamisa and mama diamond r playing people because they know u Rukamba
Kama mama diamond amamchukia hyo mtoto basi tunamuomba mungu nafsi yake mama dangote aichukuwe mapema asije akawa sababu ya watoto wengine kuitwa ma yatima mungu naomba usikilize kilio changu
Huna hata haya wewe!! Umechukua nafasi ya MUNGU ili mama diamond afe!! Afe Mama yako kwanza ili uone utamu wake, We unajuaje Kama kwl anamchukia?! Au unajuwa Kuna nn mpk wafike huko.
Fatuma nirigupendaga NA mwoyo wangu wote nirikuja kugunduwa jeshiiiii hawumupendagi nakajikuta nagucukiya fanya ubadirike Mutangazaji hapendezewe kuwa ngambo moja sorry🇧🇮🇧🇮🇧🇮
WACHENI USHETANI WENU NA UWONGO MNANENA UTASEMA MUMEJIUMBA NYINYI YAKOSAWA SAWA KUMBE CHAPWA KWA LANA ZA KISHETANI NA WEWE MTANGANYIKA SHETANI MWANAMKE KIMAUBILE KWENYE AKILI LAKI WANAJUWA KUWA DAIMONDI HANA WATOTO KABISA SASA NASHANGAA NYINYI MUNAOJIFANYA VIJI MUNGU MUNGU VYA DUNIA MKIFAMTASEMAJE KWA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH MUNAWABANDIKIZIA MABABA WATOTO WA MAMAZAO 😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇😇🇹🇿😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿😇😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿💀🔥💀🔥💀🔥💀🔥💀🔥💀
Fatuma DNA haidanganye uyo mama diamond atasemaaah mpaka pumzi imtoke Dylan atabaki damu yao mpaka dunia ishe hata watu wengi hawafanane na ma baba zao lakini ni damu moja anajisumbuwa bure uyo bibi mahirizi
uliyaona majibu ya DNA? hapa kuna kitu hakitakiwi kuwekwa hadharani lakini kuna siku ukweli utasemwa hz ni sababu ndogondogo bibi anaujua ukweli siku nyingi.
@@MJ-rr6dy hakuna kitakacho wekwa hadharani kwa sababu hakuna kitu cha hofu kwa uyo Dylan nakama kipo saizi zamani kiko indje kwa sababu huyo mama diamond hampedi Dylan juu ya mama yake iyo familiya kwa kupenda kiki number 1 ni chuki zenye hazina kicha wala miguu
Aibu huo ni ubaguzi sana sana au, kwakuwa mtoto anaishi Tanzania? Angekuwa mtoto wa nje ya Tz mtoto angeoneshwa na video juu msitueditie picha hamisa nawe hukomi ukoo umejaa Huna ulazima ya kumpeleka mtoto achana nao utajiri wa diamond usikubabaishe unakuaibisha mitandaoni
Do you really think that the comments you are seeking about this child are fare. What would you gain by making people think or even imagine that the child is rejected. Shame on you and think of the child first before you sell us your nonsense. Leave the children out of your malice and shameful envy.
hapo nimekupenda sanaaa
Mansha Allah mungu mkubwa kbs ❤❤❤
Wooow Hamisa you look great and fabulous
Mfalme Dylan.....I love it
Kusema ukweli mtoto wa hamisa ni mutamuu😘😘😘😘😘😘
Kira mutto ni mutamu kwa menye naye🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwijàku ni mbeá watamvalisha shanga
Mashallah cutee boy more then all of them
All ze best dylan yote mipango ya mungu
Fatuma Zari anatuoneshatena new King bea niatari kumekuchaaaa 🔥🔥🔥
😂😂😂
Hawa wamama wa diamond watatoana roho walah😂😂😂😂
Kwanza sijuwi wanaume hua wanataka nini hamisa ndo mwanamke ambae alikua mke anaemfaa sijaona mwanamke aliezaa nae au alie nae kua anamzidi hamisa nini kwanza zari nimtu mzima pili tanasha amemzidi uzuri diamond hawa endani Tatu zuchu heheheeh watu wanazarau sana hata. Mm hatoweza kufaa amenifikia aliekua anamtaka wema sio taipu Yake watu wana macho ila hawaoni hamisa ndo mke wanae endana na diamond wanaume kabla yakukurupuka kusema mambo mengi jiangalie kwanza
Safi sana akuna kubagua watoto ujui atae kuzika umjui
Nijambo la kumshukuru mungu watoto wote wakutanishwe
Mtoto wa Sarah na yeye mama dangote ajiandaye tu kupokea ni watoto halali kabisa
Diamond always meet this kid out of camera , so I don't know why it's really a big issue now to you pple ...the kid stays in TZ for God's sake !
Then I think it's not the first time the kid has gone to his father's house, remember one time Misa did interview and she said Dylan used to go over the weekend even when Diamond was still with Tanasha....it's just that they never used to post photos
Mashaalah 🤲💓
Hata kama mama diamond anamchukiya uyu mtoto Dylan ni muziri kuliko wote duuh saana kweli hamisa unakizazi kizuri saana kabisa usijali maneno ya iyo familiya ya diamond
Acha uchochezi watoto wote wazuri, hakuna MWANADAM alieumbwa kwa mfano wa MUNGU akawa mbaya...wa MUNGU wote wazuri.
Acha uchochezi watoto wote wazuri, hakuna MWANADAM alieumbwa kwa mfano wa MUNGU akawa mbaya...wa MUNGU wote wazuri.
Hayo mapokezi yako wapi wee domo kaya? Unatuchanganyia mapicha tu hapa.
Kwani maisha ya Daimondi yanaendeshwa na mitandao
Handsome boy Dylan more than
Hapo umefanya vizur kaka kumkubali malaika uyo ya kwenu ya kwenu mtoto mpeni haki yake👍
Rahaaa yann yakuletewaa watoto tuu mwanaume hutulii ukaoa katulia
Handsome boy Dylan
Mwijaku alisema hamisaa aliambia mond ukitaka mtoto njooumuchukue lkn sio hamisaa kumpelekaa mwijaku alihojiwa juxi akasema hivyoo
Jamani hamisa hatakiwi
Nilisikia
Mmmmm napita tu
That's good
Umbea tu.
Think of Covid-19 imejaa huko nyumbani.
Dedylan is always with the father. Jealousy will kill people. Foreigners r welcomed because they r visitors. Hamisa and mama diamond r playing people because they know u Rukamba
Kama mama diamond amamchukia hyo mtoto basi tunamuomba mungu nafsi yake mama dangote aichukuwe mapema asije akawa sababu ya watoto wengine kuitwa ma yatima mungu naomba usikilize kilio changu
Huna hata haya wewe!! Umechukua nafasi ya MUNGU ili mama diamond afe!! Afe Mama yako kwanza ili uone utamu wake, We unajuaje Kama kwl anamchukia?! Au unajuwa Kuna nn mpk wafike huko.
Asante Diamond kumpokea Dialaan
Mimi mtanisamehe kuuliza, sasa siku zote izi wa babysmama walikuwa na chunga Za afunguwe mlango??
Jamaniii huyo ni damu yake SIMBA
Pendezaaah sana
Wow!
Da fatma ♥️♥️♥️
Mtoto wa hamisa ana umri gani
Fatuma nirigupendaga NA mwoyo wangu wote nirikuja kugunduwa jeshiiiii hawumupendagi nakajikuta nagucukiya fanya ubadirike Mutangazaji hapendezewe kuwa ngambo moja sorry🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hi
Acheni kutupoteza tunahitaji follow up ya scandal ya Babu na Bibi
Hata we ni mama ungempeleka
Safi sana
Hayo mapokezi yenu kila siku Daim9nd kabeba bag hilo hilo na tunguo twake utadhan mganga wa kienyeji
Hehee
Hata mapokezi ya zari uwezi kuyalinganisha na ya mtu yeyote hawa wote nikuwarizisha tu
Sana kabisa ndio mana tunamuita mama lao
Chefuuu
Dada muongoo sana nyie ndo wachonganishi hakuna cha kuja wala kutua mnafiki sana
@@zakatiathumani6424 tapika😄hakuna km kipenzi cha doctor sandra👌
Yn wabongo cjui mkojer jmn
MTOTO WA HAMISA MZURI SANA MMM UMEPATA MTOTO NIMEMPENDA SANA HUYO MTOTO.
Mzeee diamond funga zip sasa.
Waongoooo
Napendaga sauti yako mtangazaji
Sana
The reason I love hamissa
WACHENI USHETANI WENU NA UWONGO MNANENA UTASEMA MUMEJIUMBA NYINYI YAKOSAWA SAWA KUMBE CHAPWA KWA LANA ZA KISHETANI NA WEWE MTANGANYIKA SHETANI MWANAMKE KIMAUBILE KWENYE AKILI LAKI WANAJUWA KUWA DAIMONDI HANA WATOTO KABISA SASA NASHANGAA NYINYI MUNAOJIFANYA VIJI MUNGU MUNGU VYA DUNIA MKIFAMTASEMAJE KWA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH MUNAWABANDIKIZIA MABABA WATOTO WA MAMAZAO 😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇😇🇹🇿😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿😇😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿💀🔥💀🔥💀🔥💀🔥💀🔥💀
Nakweli mungu mkubwa
Yah l like it❤
Hawana kazi tu
Umeonaeeee.yaani ukisikia kutojitambua ndio huko.
Mi mtakuja kunipokea lini?😂😂😂🤣🤣🤣
Kesho
Nimekuwa na furaha naitamani kulia kwa furaha
Nikama diamond alichukua vipimo kimnya kimnya akajua ukweli Sasa dah
Simba pokea damu yako
Hogera dayamod
Ila kuwa toto wa monde wote uyo ni mzuri saaaana kabisa wengine wapi uyo ni kijana saaana
Kwa hiyo da Fatma na ww umeanza kutulisha matango pori😃mapokezi yko wapi
Ataharibu akianza hizi
The fact is hamisa's son isn't that much valued
Fatuma DNA haidanganye uyo mama diamond atasemaaah mpaka pumzi imtoke Dylan atabaki damu yao mpaka dunia ishe hata watu wengi hawafanane na ma baba zao lakini ni damu moja anajisumbuwa bure uyo bibi mahirizi
🤣🤣Mbona povu doctor sandra oyeeeeeeee
uliyaona majibu ya DNA? hapa kuna kitu hakitakiwi kuwekwa hadharani lakini kuna siku ukweli utasemwa hz ni sababu ndogondogo bibi anaujua ukweli siku nyingi.
@@MJ-rr6dy hakuna kitakacho wekwa hadharani kwa sababu hakuna kitu cha hofu kwa uyo Dylan nakama kipo saizi zamani kiko indje kwa sababu huyo mama diamond hampedi Dylan juu ya mama yake iyo familiya kwa kupenda kiki number 1 ni chuki zenye hazina kicha wala miguu
Labda driver wa Diamond alienda kumchukua mtoto si lazima Misa ampeleke mtoto
Alisema haezi enda akimtaka ajeyy kumchukuwaa
Aibu huo ni ubaguzi sana sana au, kwakuwa mtoto anaishi Tanzania? Angekuwa mtoto wa nje ya Tz mtoto angeoneshwa na video juu msitueditie picha hamisa nawe hukomi ukoo umejaa Huna ulazima ya kumpeleka mtoto achana nao utajiri wa diamond usikubabaishe unakuaibisha mitandaoni
I hope ujumbe ameupata 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yakowapi hayo mapokezi?? Mbona umbeya hivyo jamani!! Uzushi wa media tu waacheni wenyewe yana tuhusu nini tusio manga maisha yetu na sisi jamani..
Mbona ili daimond linafataga akili za mama yake na wati yeye ni mtoto wakiume
raho djamani
Kichwa cha Habari hovyo😠
Sio mtoto wakke
Na wewe umeanza kuandika vichwa vya habar vya uongo umeanza kuzingua
Weee mtangazaji ujitambui mjinga wewe
Nirikuwa NA mupenda saana fatuma wakati nirigunduwa hamupende kond boyi nirijikuta namucukiya nisameh fatuma NA usiwe ngambo moja🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jamani punguzeni manenomaneno
Do you really think that the comments you are seeking about this child are fare. What would you gain by making people think or even imagine that the child is rejected. Shame on you and think of the child first before you sell us your nonsense. Leave the children out of your malice and shameful envy.