DIAMOND AMEMKATAA MTOTO WAKE, HAMISA MOBETTO AFUNGUKA UKWELI WOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 350

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph6973 Год назад +39

    Mobeto wewe ni mama Bora na mungu akupe baraka na umejibu vizuri sana maswali ya mwaandishi ,Kila wakati una mwamini mungu ni mwenza wa wote ,amina🙏🙏

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Год назад +41

    Nampenda sana Misa ni Malkia wa nguvu jembe la Kazi umependeza mwaya ❤️❤️🙏🙏

  • @SheikhomariKhamis-bx2ed
    @SheikhomariKhamis-bx2ed Год назад +6

    Mashallah Hamisa umekua na uko makini sana Allah akuongoze katika njia sahihi

  • @lulumalima1739
    @lulumalima1739 Год назад +5

    Mimi binafsi nakuombea hamisa. We love you, destined for greatness

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад

    Nakupenda sana hamisa.Nimwamke unaejua kujielezea,kwautulivu,unajitambua,unajibu maswali kwautulivu.Unamjua Mungu nakumshukuru pia.So Mungu akuzidi kukuweka kwenye mikono yke.naakupe mume sahihi wakukufanya ulee wanao katika malezi bora

  • @GetrudeMalombo-fw7xe
    @GetrudeMalombo-fw7xe Год назад +10

    I love this mother because she is brave and she knows what she is doing

  • @shamimmusyoka4639
    @shamimmusyoka4639 Год назад +3

    Jua mtu ndo umuzungumzie I like the way u are answering those quiz mum and God continue giving u that Good heart

  • @john-ke5838
    @john-ke5838 Год назад +9

    Mwanake ni mtoto wa ki🤗🤗🤗🇰🇪 KENYA...babake Jaguar

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 Год назад +7

    Hongera Sana mrembo mchapa kazi .Mungu amekuinua Sana, Endelea kumtaja Mungu kwenye hatua zako zote.

  • @dannylinguist15
    @dannylinguist15 Год назад +42

    She is so beautiful ❤️❤️

  • @maineskiwelu8235
    @maineskiwelu8235 Год назад +14

    Hamisa hongera sana upo vizuri,mtulivu,una Hekima,mchapa kazi,endelea kumwomba Mungu,yeye ni Kila kitu kwetu

  • @lorettahamaro9065
    @lorettahamaro9065 Год назад +11

    I love this lady,anajitambua sana,she knows what she wants and she stands for what she believes in.
    ❤️🇰🇪

  • @abdulaugustinho972
    @abdulaugustinho972 Год назад +5

    HAMISA uki ongea nakupa 💯💯 love my sister nakupenda Sana

  • @GracePallangyo
    @GracePallangyo Год назад +23

    Jamani ktk watu maarufu wenye heshima na warembo hamisa anawazidi wote,nampenda kiukweli huyu dada mungu akupe mume mwema

  • @nacyfloflo9494
    @nacyfloflo9494 Год назад +16

    Napenda vile hupendi kuweka kucha au kufunga mikucha Hamisa❤

  • @sellysang7504
    @sellysang7504 Год назад +8

    She looks very beautiful ❤❤❤🎉

  • @habibuhanifa1090
    @habibuhanifa1090 Год назад +1

    Hamisa mobeto ww ni mrembo sana nakupenda bureee na unajielewa mama wa watoto 2 bt ni karembooo❤❤❤❤

  • @CandyMwahalende-yv2gs
    @CandyMwahalende-yv2gs Год назад +2

    Hongera sana hamisa mungu aendelee kukulinda Kwa kila kitu

  • @READYpesa
    @READYpesa Год назад +1

    Wewe ni mama boraa Duniani❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹💯

  • @tryc_579
    @tryc_579 Год назад +16

    Matajiri ndio tulivyo hatupendi Sana mambo ya mitandaoni😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️👏🏾💪🏽

  • @Lovelyshanyz-gg7pl
    @Lovelyshanyz-gg7pl 5 месяцев назад

    Mungu akushikilie kwa kazi yako mama wewe ni mtu unajitegemea hongera sana hamisa

  • @pamelakiama6599
    @pamelakiama6599 Год назад

    Nitashangaa ... pia nitamcheka... alijisifu sana alipoharibu love ya Chibu na Boss lady Zari

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 Год назад +5

    Hamisa wewe ni mwanamke bora ktk wanawake wa ulimwengu huu napenda unavyomueka Mwenyezi Mungu mbele, usibabaishwe na vikaragosi visokutakia mema, nakupenda kwa ajili ya Allah 😘

  • @WiliamsKolet
    @WiliamsKolet Год назад

    Ilove you❤❤❤❤ mobeto nakupenda kwa xababu unajitambua upo tofauti na wanawake wengine mungu akulinde

  • @geeva99
    @geeva99 Год назад +10

    Hongera zake kwa kupata boss wa ukweli sio yule officer ricky

  • @aloyceteoduli-t5v
    @aloyceteoduli-t5v 5 месяцев назад

    Naku kubali san my sr ♥️ ❤️ 💕

  • @hanamuson891
    @hanamuson891 Год назад +15

    Everyone deserves happiness this lady has gone through alot God's tyme is the best relax mamah enjoy ur self 254 we love u❤❤❤

  • @lucywanjiru484
    @lucywanjiru484 Год назад +6

    I just love this woman,,,mungu akuzidishie baraka

  • @aquinoowour6067
    @aquinoowour6067 Год назад +27

    Wishing you Hamisa the very best in life , more blessings and love

  • @faridawanjira3327
    @faridawanjira3327 Год назад +1

    Hamisa jazakaAllah for brave & brilliant mother from universe😇

  • @Dorcaskiwale-ir6ec
    @Dorcaskiwale-ir6ec Год назад +1

    ❤❤❤❤❤good nimekupenda zaidi mrembo wangu❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px Год назад +3

    Mungu akupe nguvu yakulea mwanao ❤❤❤❤

  • @MaryamMasudi-n3v
    @MaryamMasudi-n3v Год назад +3

    Huyu dada anaongea kistarabu kabisa alafu kiupole Allah bless you

  • @HusnaKhamis-i8v
    @HusnaKhamis-i8v Год назад +1

    Fanya yako dada wew ni mama bora❤❤❤

  • @FlowiKimasa
    @FlowiKimasa Год назад +8

    Majibu mazuri sana ...sometimes vitu vikipita vimepita kama ni mtoto anazidi kukua vyema hayo ya kukataliwa ni kawaida

  • @ManaseMoleli
    @ManaseMoleli Год назад +3

    Hongera dada una hekima sana❤

  • @HelenaKipeta
    @HelenaKipeta Год назад

    Ongera Sana kwa kulea best mungu ata msaidia tuu! Yani ya walimwenguu mengii

  • @joselinejonathan8818
    @joselinejonathan8818 Год назад +8

    Simple and clear, Nimekupenda bure juu ya majibu yako

  • @fardahhassanially7033
    @fardahhassanially7033 Год назад +2

    Allah atamkuza mtoto wetu In sha Allah

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Год назад +97

    Mastaa wa bongo wa kike hamisa ni no one haweki kucha hafugi kucha hapaki rangi kucha mashaallah ❤️majibu mazur sana hamisa

    • @TashwillKaroolse
      @TashwillKaroolse Год назад +1

      Ila anabandika kope

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Год назад

      @@TashwillKaroolse angalia nilicho andika ni nn Acha kukurupuka

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 Год назад +3

      Ila anapaka makeup

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Год назад +1

      @@rosemery3017 c upake na ww kwani umekatazwa ? Na ni msafi pia 😃

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 Год назад +1

      @@ruqaiamohammed345 mbna kma umepanic relax huu mchezo hauhitaji hasira😡😩

  • @cookingwithphely1538
    @cookingwithphely1538 Год назад +8

    ❤❤❤ nakupenda dadangu

  • @annastaciariungu
    @annastaciariungu Год назад +1

    Smart lady.on point Yu are IQ iko sawa

  • @tinatilia1101
    @tinatilia1101 Год назад +1

    Hammy nakupenda unaustaarabu uliotulia big up Hammy mobby

  • @margrethemanuel7501
    @margrethemanuel7501 Год назад +1

    Inshallah Mwenyenz Mungu akujaalie kher

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Год назад +3

    ❤mobeto mzuriii sana nakukubar dada

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Год назад +37

    HUYU dada ,amelelewa ktk maadili ya kidini anaonekana anahofu ya MUNGU sema tu, njia anazo pitia ktk maisha ndio njia za kishetani, lkn.bado anajitahidi kumleta MUNGU mbele,

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Год назад +2

    Mwonekano na Tabia NI vitu viwili tofauti....ukiacha vyote hivyo umekua NI binti mnyenyekevu na unajibu maswali kwa. Utulivu mngu azidi kukupigania...🙏

  • @ZuwenaZuwena-oe9kk
    @ZuwenaZuwena-oe9kk 9 месяцев назад

    Jamani.nakupenda❤❤❤wedadaa❤❤❤aunabaya

  • @tunesdjmixeske
    @tunesdjmixeske Год назад +6

    Mtoto Mremboo kweli❤

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Год назад +13

    Mashallha mrembo sana hamisa pia mpole ❤❤

  • @mwanayusuf7815
    @mwanayusuf7815 Год назад +17

    I just love hamisa

  • @AnithaGalla-c9x
    @AnithaGalla-c9x 10 месяцев назад

    Kicheko tu nakipenda my ❤

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Год назад +4

    Mobetto to the top!👏👏

  • @Katombijunior.123
    @Katombijunior.123 Год назад

    I like your brightness 🙏 hamisa

  • @tenubs1016
    @tenubs1016 Год назад +28

    Hamisa, I have proposals for you & Diamond about how to solve your son's paternity issue. Don't let pride or shame stand in the way. I suggest you approach the American Embassy in TZ as to how to have a paternity test in the USA. I read where you objected blood to be drawn from your son for another test. In the USA, no blood drawing is involved but swapping from inside the mouth for the specimen. You and Diamond can make the necessary arrangements via the Embassy. If that is not doable, then I suggest you change your son's name to that of yours - Mobetto - through the court system. You need to avoid all these rejections and humiliations because they are detriment to your son's long-term well-being. You need to give him a sense of belonging. As he gets older, he will sort these things out himself if he is interested. I ask that you take these suggestions to God in prayers.They are suggestions to consider. Be 🙌

  • @lildraco_k8977
    @lildraco_k8977 Год назад +21

    Maisha niya Mungu hamisa wangu Mungu atazidi kumulinda mtoto wako

    • @anonymouslyhidden95
      @anonymouslyhidden95 Год назад

      Mtoto sio wa diamond hamuwezi elewa hicho masenge nyie huyu mwehu alizaa na billnass mtoto si wa diamond ishafanywa DNA

  • @shakira1301
    @shakira1301 Год назад +2

    oh god I like this interview

  • @puritysiddi
    @puritysiddi Год назад +3

    Nampenda huyu dad❤️😘

  • @AshaJuma-t6l
    @AshaJuma-t6l 11 месяцев назад

    I love that mama 💕 ❤️ ❤😊

  • @jescakahangwa5224
    @jescakahangwa5224 Год назад +14

    Hongera sana tulia Sasa mama❤️❤️❤️❤️

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 Год назад +9

    Kazuri jamani ❤❤❤😊

  • @carolineachayo1930
    @carolineachayo1930 Год назад

    Mungu akutendee mema

  • @DarajaniZanzibr
    @DarajaniZanzibr Год назад

    Mwanangu hamisa huyo mtoto ni wako mungu anajuwa usiwe na hofu kwani hakukuowa

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc Год назад +3

    Nakupenda sana Amisa❤❤

  • @tatually1366
    @tatually1366 Год назад +1

    Hamis upata jibu unafiki wagu 😂😂

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph Год назад +1

    I love you Missa🥰♥️

  • @LightDaniel-v1l
    @LightDaniel-v1l Год назад +9

    So cute❤

  • @eliudkimari-wt5cl
    @eliudkimari-wt5cl Год назад +1

    So so humbled woman

  • @lightouma477
    @lightouma477 Год назад

    Nimekupenda Bure hamisa

  • @BenjaNickorous
    @BenjaNickorous Год назад +2

    Together as one mbengo tv

  • @imeldaw.m5525
    @imeldaw.m5525 Год назад

    First time hearing her voice

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 Год назад

    Hamisa good 🤲💕💕💓💓👍

  • @carolinemusimbi9232
    @carolinemusimbi9232 Год назад +1

    Huyu mtoto ndio atakua successful hadi washangae

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Год назад +6

    Lea mwanao hamisa rizki inatoka kwa Allha mtukufu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад

    Kanajifanya katakatifu kumbe kachawi na ndo mana mwanao hatakiwi kigagula😅😅😅

  • @gracengunga348
    @gracengunga348 11 месяцев назад

    Kichwa timamu 🥰🥰🥰

  • @naomihaika538
    @naomihaika538 Год назад +15

    She is so down to earth,,

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl Год назад +1

    Mtoto mpelekee billnas bwana
    Acha ujinga wew

  • @nadosamuel7631
    @nadosamuel7631 Год назад

    Huwa sifatilii mahojiano ya watu lakini leo nimefatilia na nimempenda hamisa bule kwaajili ya Allaah anajitambua Sana na huyo mtalajiwa wake amepata mke!.

  • @JoyceOcharo-y9h
    @JoyceOcharo-y9h Год назад +1

    Hamisa wangu I love you ❤❤❤

  • @KuluthumMuhina
    @KuluthumMuhina Год назад +2

    Nakupenda Sana mama D

  • @jamesmeitalami467
    @jamesmeitalami467 Год назад

    We love you Hamisa

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht 4 месяца назад

    Hamisa njoo nikuowe mm usiangaeke na wanaume ambao awana mapenzi ya kweli

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph Год назад +1

    Mwanamke na nusu 🥰♥️

  • @pstarhreal2767
    @pstarhreal2767 Год назад +11

    Kanaongea vizuliii😍😍😍😍

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 Год назад +1

    Mobeto the most beautiful lady I know in diamonds life. Among the ladies she was the hottest but keep moving baby girl pretty ladies we move on and on never give up.

  • @Josephine-t8e
    @Josephine-t8e Год назад

    Hata sisi tupo walea watoto bila baba,hongera

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Год назад

    Mutotomaraika arakini wamua che❤😂

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t Год назад +1

    MMM 😋 kilembo sana jamani mimi nakupenda sana dada 🎉

  • @ريزتيكينيا
    @ريزتيكينيا Год назад

    Achana nae mama Lea mtoto wako atakua kwa uwezo wa mungu kwn baba ndo nn mungu anatosha na imani atakua tu

  • @wahidabakar
    @wahidabakar Год назад

    Nikupe hongera tu mdogo wangu pambana kumlea mwanao

  • @manyunyufisi
    @manyunyufisi Год назад +1

    Kaji changa huyo dada kiu kwe manyunyu fisi hapa kalibuni RUclips kwangu manyunyu fisi

  • @sunyareh
    @sunyareh 5 месяцев назад

    Watoto wa Zarina Hasan ambaye jina lake la kweli ni Mariamu hata wao siyo watoto wa Diamond platnum na Hilo ni kweli.

  • @AsteliaEmily
    @AsteliaEmily Год назад

    Mungu Baba awabariki

  • @carolinemusimbi9232
    @carolinemusimbi9232 Год назад

    Hamisa is very brilliant cheki vile anajibu maswali

  • @jeanneo473
    @jeanneo473 Год назад

    the Hamissa much love 😍

  • @AliKhamisi-f4m
    @AliKhamisi-f4m Год назад

    Wanake wa mond wote Hamisa no.1

  • @dekedeke9672
    @dekedeke9672 Год назад

    Uko vizuri dada!

  • @NusraMustafa
    @NusraMustafa Год назад +1

    Nakupenda sn hamisaa

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Год назад

    Keep it