Shilole alipomuuliza Young Killer anatumia mkorogoro?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2016
  • Ni kutoka kwenye basi la Wasanii wa bongofleva wakiwa safarini kwenye show za FIESTA tamasha ambalo linafanyika kwenye mikoa mbalimbali Tanzania sasa hivi.

Комментарии • 245

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 5 лет назад +1

    Namkubali sana mchomvu kwa mashavu aliyowapa wana na ukizungumzia mziki wa tz hauwezi kuacha kumtaja mchomvu salut sana kaka nakubali voice yako pia watu wengi wamekopi sauti yako

  • @happyleonard8717
    @happyleonard8717 6 лет назад +2

    "She is my young brother"😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nyash2542
    @nyash2542 7 лет назад +14

    Nina swali ujue au vipi bhana?

  • @jacksonlema9536
    @jacksonlema9536 7 лет назад +2

    GOD BLESS YOU ADAM. YOU ALWAYS MAKE ME HAPPY MA NIGGA

  • @abbymsa6858
    @abbymsa6858 7 лет назад +24

    Shilole wala usijisikie vibaya iko siku utafika utaongea kingereza safi, waache waseme, iko siku watakuona unafanya interview BBC English.

  • @petermgosi2111
    @petermgosi2111 7 лет назад +6

    da kingereza wito why don't we use kiswali as our nation language?

  • @dianaantony9445
    @dianaantony9445 7 лет назад +4

    shilole anapenda kingeleza jitaidi utaweza au jipendekeze kwa wema na Vanessa kwakweli

  • @musirtv8706
    @musirtv8706 7 лет назад +8

    adam ni tatz aseeeeeeeeee

  • @leonshayo5240
    @leonshayo5240 7 лет назад +2

    Mchomvu nakuelewa sana presenter upo vizuri na unakipaji Jombaa big up sana aisee sema nini hzi clip ziwe continuously basi msi ishie hapo tu

  • @jocelinejohn7294
    @jocelinejohn7294 7 лет назад +9

    adam anazingua khaaa😂😂😂

  • @rebimbere
    @rebimbere 7 лет назад +2

    Mungu we! ni shida kwa kweli!

  • @dinoboyarnold661
    @dinoboyarnold661 7 лет назад +1

    Daah nimemic fiesta tena Adam bhna

  • @shukurushukuru5680
    @shukurushukuru5680 7 лет назад +2

    adam noumaaa sanaaa a .town 100

  • @jaffjeff2660
    @jaffjeff2660 7 лет назад +1

    Mmetisha mazee

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 7 лет назад +4

    Bro Adam funga kazi. Chekesha mbaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!!!

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 лет назад

    Yaani wasanii watanzania mnanipa raha sana zaidi ya raha.

  • @saudahmedsaudahmed7074
    @saudahmedsaudahmed7074 7 лет назад +1

    tok kiswahili ww shishi plzz

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад

    *Kama unamkubali young killer msodoki gonga like*

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 7 лет назад +1

    Adam nomaaaa saaana

  • @luvlypaulineshali5474
    @luvlypaulineshali5474 7 лет назад +4

    blue amechekeka sana😂😂😂😂😂

  • @wicheonetv1141
    @wicheonetv1141 7 лет назад +2

    Ninja wangu blue kashapata mambo anacheeeka

  • @benjaminmgoji4240
    @benjaminmgoji4240 7 лет назад +3

    dah Adam bana mecheka mpk machozi

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад +5

    umenivunjaaa mbavuuuu kaka ww 😁😂😂😂😃😅😅

  • @xxlnairobitv9503
    @xxlnairobitv9503 7 лет назад +15

    Tanzania kweli English balaa! Njooni kenya tuwafunze moja mbili.

    • @masterkratos2
      @masterkratos2 7 лет назад +2

      shishi ata mwenyewe alishasema hajui English. usijaji watu wote kwa kumwona mtu mmoja watu wengi waliosoma Tanzania wanajua English tena vizuri kabisa.

    • @Frazztraveller
      @Frazztraveller 7 лет назад +3

      Watanzania wengi wanajua English vizur Sema huyo hajenda shule # kumbuka education is free of charge in Tanzania

    • @bahatiibahati1127
      @bahatiibahati1127 7 лет назад +2

      +Fetrishaz Kidai nice mamy umemjibu poa coz kenya kiswahili yao ni mbovu but hajaiona ameona english ya tz

    • @rukiaabdallah92
      @rukiaabdallah92 7 лет назад +1

      Rusesa Wear ndomana mtawaliwa na wekundu wa msimbazi kama unaona kingereza kinamaana kwako mbona unazeekea kenya chupi wew

    • @caslidajosephat778
      @caslidajosephat778 7 лет назад +4

      Rusesa Wear
      English yako imekusaidia nn ? kwani lugha ya Taifa ya Tanzania ni kingereza tuache, mbona maisha yako hovyo na hicho kingereza chako hakijakusaidia...cchogo kweli wewe

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 4 года назад +1

    Apo u team haujaanza shilole

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 лет назад +1

    Adam jamaa nomaa!

  • @kaleemohaa3043
    @kaleemohaa3043 7 лет назад

    my braza👐👐👐

  • @aminakshamoona6900
    @aminakshamoona6900 7 лет назад

    Shilole nakupenda sana she's ma young blaza hihihiiiii

  • @tinaamos2626
    @tinaamos2626 7 лет назад +5

    daaaah adamu ni tatizoooooooooo hahahahaaaaaa

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 7 лет назад +1

    adam uko vizuri

  • @peterchoga9624
    @peterchoga9624 7 лет назад +5

    Au vp bhana duuuuuuuuuuuuuuuh mbav za ngap. 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @happymapunda1530
    @happymapunda1530 7 лет назад +1

    we kaka noma unasifa mi nasubli swali nisikie we wafany ivyo khaaaaa nom san

  • @barakachawe6241
    @barakachawe6241 7 лет назад +4

    Mchomvu anavutia kaya chooni walahi tena, alafu mbichi 😁😁😁😁😁😂😂😂

  • @imamumponda276
    @imamumponda276 7 лет назад +14

    ahahahahahahahha nimecheka sana msione tumekaa kimya mkaona kama vp mbona hatuulizi sasa ss tulikua tunamaswalai yetu tunauliza vp ahahahahahahahahahah dah nimecheka hatari

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 7 лет назад +2

    😂😂😂😂😂 mchomvu umenishinda tabia chaaaaaa!!

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 7 лет назад +1

    Ahsante ADAM! Hahahahahahahaaaaaaa

  • @Likes_comment_share
    @Likes_comment_share 4 года назад

    She is my young brother .. 2020#Corona . hahaha

  • @adamnassoro9332
    @adamnassoro9332 7 лет назад

    nimeipenda hiyo

  • @cestjolie5574
    @cestjolie5574 6 лет назад

    C uyo Killer, c uyo Shilo, wote nawaonen mmekua wapotevu 2 so bera start loving yoselves na muachen kuharib MILI yenu bure!!!!!

  • @hafiztheobard142
    @hafiztheobard142 7 лет назад +1

    adam katisha sana 😃😃😃

  • @sontop5979
    @sontop5979 6 лет назад

    i like

  • @dicksongodson4402
    @dicksongodson4402 5 лет назад

    duh kweli icho kisheriii cha Abuja
    A K A kiporo cha shada

  • @kilundilamwiga16
    @kilundilamwiga16 7 лет назад +2

    Noumaaa sanaaa imooo

  • @emmanuelhelen4529
    @emmanuelhelen4529 7 лет назад

    Au vip bana..!

  • @moseslaurentlaurent9365
    @moseslaurentlaurent9365 6 лет назад +1

    shilole anajitoaga ufahamu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nemesmassawe7326
    @nemesmassawe7326 6 лет назад

    nice

  • @msabahtasha4055
    @msabahtasha4055 6 лет назад +2

    slow slow but show

  • @japhetichilewa8182
    @japhetichilewa8182 7 лет назад +1

    Japhet Steven

  • @hassanihussein4479
    @hassanihussein4479 7 лет назад +11

    Adaam si kulaumu tatizo kitu cha Arusha kina kusumbua kichwaa

  • @husseinadam4847
    @husseinadam4847 6 лет назад

    Huyu Shilole kama hajui kingereza bora anyamaze ati she's my brother!! 😣😣

  • @pascaly6007
    @pascaly6007 7 лет назад

    Nomwa Sana

  • @ngalyajames7114
    @ngalyajames7114 5 лет назад +1

    Ata naw shi shi mbon unatumia mkorog pia🤨🤨🤨🤨🤨😐😐😐😐🤔🤔🤔🤔🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️?

  • @trez-bchampionboy1696
    @trez-bchampionboy1696 5 лет назад

    She's my young brother

  • @bryanjonathan6312
    @bryanjonathan6312 7 лет назад +4

    😂😂😂😂au vp bana....adam kivhwa chako ni kilobytes

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile9389 4 года назад +1

    Au veep bhana

  • @mashamninnaninna8743
    @mashamninnaninna8743 7 лет назад

    😂😂😂😂ur very funny

  • @mubadaud7638
    @mubadaud7638 4 года назад

    nc my blood

  • @nyash2542
    @nyash2542 7 лет назад +3

    Akikosekana teja we unafaa Sudii

  • @gonzagagonza2968
    @gonzagagonza2968 7 лет назад +3

    Ahahahahhh...Kila mtu ana maswali yake binafsi

  • @asha_homedecorations
    @asha_homedecorations 7 лет назад +5

    hahahhahh mchovu nomaaaaa

  • @tridybane
    @tridybane 7 лет назад +2

    Mbavu zangu😂😂😂😂😂🙌

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 7 лет назад

    Nyccc

  • @nancymrs359
    @nancymrs359 7 лет назад +1

    Shilole anaboaaaaaa sana!!!

  • @janethsangalali4147
    @janethsangalali4147 5 лет назад +2

    Hahahahaha uwiii au VP bwana mbavu zangu mie

  • @leezarbennito4143
    @leezarbennito4143 7 лет назад +1

    ila kweli, mbn kawa mweupe?

  • @asiatanzania6380
    @asiatanzania6380 7 лет назад +2

    hahhahah Adam kiboko kbs

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 6 лет назад

    shule si zipo si usome elim haina mwisho usisikie aibu kusoma km hv ambavyo unaropoka tu she is my young brother

  • @deymondomari6461
    @deymondomari6461 7 лет назад +1

    nc

  • @fridambwambo600
    @fridambwambo600 7 лет назад

    umechekesha kaka safi

  • @antoniageorge5533
    @antoniageorge5533 5 лет назад +1

    Nna enjoy Mr blue anavyochek apo... Mchomvu motoo

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 7 лет назад +3

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Adam

  • @jokervannytz2330
    @jokervannytz2330 5 лет назад

    Gud

  • @GabroTz
    @GabroTz 7 лет назад

    shilole kweli rahaa

  • @doramwanyika5826
    @doramwanyika5826 5 лет назад +1

    LMAO 🤣🤣 🤣 maswali tunayo 🤣🤣2019 tupo

  • @katengololosteven8196
    @katengololosteven8196 6 лет назад

    Kati ya shilole na young killer sijui nani kamuumbua mwenzake!

  • @pbye2974
    @pbye2974 6 лет назад

    hahahaaaaaa nouma umeongeza cku zang broo

  • @mariamjuma4589
    @mariamjuma4589 7 лет назад +1

    shilole ongea tu kiswahili

    • @mariamjuma4589
      @mariamjuma4589 7 лет назад

      +Roger Mwinyi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shirazikiwani5568
    @shirazikiwani5568 4 года назад

    Hivi shilole kuna ulazima uzungumze Kiingereza wakati hakipandi?

  • @user-fm9gr6jb6e
    @user-fm9gr6jb6e 7 лет назад

    baba joniiiiiiiii tisha sana

  • @eliaswaves3683
    @eliaswaves3683 7 лет назад +3

    hahahhahahah kuna mwenye swali

  • @edwinernest2012
    @edwinernest2012 7 лет назад

    Mi nafikiri Shilole kama hawezi kuongea Kiingereza aongee kiswahili tutamwelewa tuu. Kuongea kiswahili ni utambulisho na pia ni ufahari. Anaweza kuongea kiswahili tuu.

  • @rickstyleboy9373
    @rickstyleboy9373 6 лет назад +3

    d ommy alishashtuka mwanzoni kuwa atakachofanya #adam ni kichekesho alishaanza kucheka kabla

  • @user-hj6in8zg4p
    @user-hj6in8zg4p 2 месяца назад

    Rip Gardner 😢

  • @methodthabit1643
    @methodthabit1643 6 лет назад

    Kweli kanajichubua Aka katoto kama Mabatin kwenye Mafuriko

  • @zainabuzungo3138
    @zainabuzungo3138 7 лет назад

    Mr bluu jaman mbona uko ivyo sijakujua kabisaa mwe kama unakwashakoo

  • @neemahussein4957
    @neemahussein4957 7 лет назад +1

    daah kweli kajikoboa

  • @jeremiahmujinja4451
    @jeremiahmujinja4451 7 лет назад

    Mtu wa nguvu millard ungefanya kama kuwa unatupa vipande kama hivi ambavyo huwa vina happen fiesta mkiwa safarini kwenye basi mie nafikiri vingemake headline sana mtu wa nguvu... kwan mastory kama haya nna maswali yake mashabiki tunaenjoy.. think about it

  • @ashagrills1319
    @ashagrills1319 7 лет назад

    😂😂😂😂 baba la baba adam nimecheka sana

  • @Bagi873
    @Bagi873 7 лет назад

    nazani wasanii watanzania awasomi English.😂😂😂😂 Pole kwenyu

  • @patrick02agakadangel4
    @patrick02agakadangel4 7 лет назад +2

    baba la baba Adam teh teh

  • @kizablack7667
    @kizablack7667 6 лет назад

    Adam Adam nakuona nakuona

  • @goodhelpnolland9637
    @goodhelpnolland9637 5 лет назад

    Shishi utani unaofanana na ukweli sio mzuri ukizingatia ni kweli killer anajichubua

  • @hamdunimgalapo2967
    @hamdunimgalapo2967 5 лет назад

    wachache sana ndo tumemwelewa adam mchomvuuuuu😁😁😁

  • @janetmgweno2645
    @janetmgweno2645 7 лет назад +1

    Adam ni noumaaa

  • @kitatakitata8678
    @kitatakitata8678 6 лет назад +3

    Young killer anaogopa demu

  • @aishababie3062
    @aishababie3062 7 лет назад

    duh nami nimo

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 5 лет назад

    😂😂😂😂 wenye majina wote ya Ma, adam wazinguaji kishenzi 😂😂😂 nakaa na m,moja apa kila kukicha ana nipa tabu sana kwausngee huo huo.

  • @hildapaul601
    @hildapaul601 7 лет назад +5

    😂😂😂😂😂mbavu zangu mie huyu mchomvu huyu

  • @danielbachuta157
    @danielbachuta157 7 лет назад +4

    SHE IS MY YOUNG BROTHER.. HAHAHAHAHAH SHILOLE FALAAA

  • @paraahmwende9989
    @paraahmwende9989 6 лет назад

    Mr blue cheka pole😂😂😂