YOUNG LUNYA AMLIPUA TENA YOUNG KILLER - "HAONGELEWI Mpaka ANIDISS"
HTML-код
- Опубликовано: 11 июл 2023
- YOUNG LUNYA AMLIPUA TENA YOUNG KILLER - "HAONGELEWI Mpaka ANIDISS"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
young killer moto mwengine.....tunaomkubali killer tukutan hapaa❤❤❤❤
Killer
Killer❤❤❤
Hamna Bro Yung Luny Ni Moto Zaid
LUNYA Z THE BEST OF ALL TIMES
mm nashindwa chenye young killer ana do cjui n rap or poetic ju bdal ya kurap anaongea LUNya to world 🌎 wide
The comment I’ve been looking for Lunya ako bieee 😂 huyu kila hata simuulewi ni mawhat anasema 😂
Killer ndo ambae anajua🤴 uyu jamaa wenu mbuz👆 anapenda kujiimba mwenyewe sasa sisi atuitaji maisha yake tunataka MZIKI🔊
Young killer ni noma
For sure
Killer sio mtu mzuri
Fact
😂😂😂 acheni kujishuku madogo
Young killer is at another level.....
Tamba pande zako pande zetu autambi hii verse naikubali sana young killer ni mtu bad from Drc congo lubumbashi young killer always likolo ❤❤❤❤❤🎉🎉 mnyonge mnyongeni haki yake mpeni 🎉🎉🎉🎉
Wangekuwa marapa Bora wanateuliwa ningemteuwa young killer❤❤❤❤
Killer is killing it
Amna ki2 amekill apo mzee hamna styl yoyote zaid ya maneno 2 ya ngonjera .. timeline inachange
No bro Kuna m tz ❤ makli jina #skotziki ana kuja na bado aja fika #skotziki in RUclips ... Young bad rapper in all tzzz❤❤❤❤❤
#skotziki in RUclips uyo ni m tz
@@almanalitoyngmula8079p😮ll
@@almanalitoyngmula8079p😮ll
Usupastaa dogo sio kununua cheni 🔥🔥🔥young killer msodok on 🔥🔥🔥
Young killer is the best 🙌
Killer 🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali sana Lunya king warap bongo salute kwako man
Uneanza kufatilia mzik juz nini
@@revocatuscharles1512 na ww ujui mziki wakisasa
Mziki gani anaimba huyo mbuzi wenu mistari ya kujisifia sifia tu sifa usifiwe mzee yan ye mauwa anajipa mwenyew
Huyu mbuzi kafia kwa muuza supu
They're in their own battle but for me I'll go for KILLER
Amekinukisha tangia Lunya anatoa funza miguuni af killer ni mshkaji flan sio mshamba
Lunya unarap kelele tu uwezi moto wa killer ata cku moja niamini meme
Lunya he’s has the flow and he knows what hes he’s doing..Mimi Lunya namkubali 🔥🔥
young lunya hamuwez young killer young killer ni best of hip hop
KILLER KILLED IT
Broo Kuna m tz makli Kwa jina #Skotziki in RUclips m tz makli sana #skotziki in RUclips m tz mkali sana ❤❤❤❤
Lunya tatizo kelele nyingi na kujisifia sana anakua kama chief good love
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
Killer atabaki kwenye ubora wake, anazijua sana tungo
Young killer Katisha sana lunya mdogo sana killer mnyama sana 🔥💪💯🔥
Acha ushabiki sema2 ukweliii lunya ni Moto🔥🔥🔥🔥🔥
Unachekesha kweli brother Killa brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ujakosea lunya ni kama kijusi tu anajiimba mwenyewe
@@lilpaff93Inaonekana Umemaliza form 4 Mwaka Jana Lunya Has Nothing Zaidi Ya Kujisifia Tu,Sisi Tunataka mziki
Young killer is the best
Young killer🔥🔥
Killer atabaki kuanomatu❤️💥🔥
Young Killa ni 🔥🔥🔥
Battle Kali✅...But this is Rap we need to see (Y.killer) akirap sana kuliko kuongea anapooza vibe...(Y.Lunya) got that rap spirit anabrag kdg that's what we need
📌BOTH ARE GOOD📌 we need the best🔒
Kwan kurap Nini,
Hivi umemsikiliza 21savage
That true man Ila Mimi wote sio watu wangu Sana hawakai katika line Sana Kwa Hawa yule young d kiboko Yao...ana Radha na kila kitu
@@kibeginiblue7188ru 21 anarap anaflow na beatz haongei ongei bro,, rudi kumskiliza kwa makini
Huyu mbuzi jau san anayumba....alaf sas nymbo zke zote anajisifia yey tu kwn sis tunataka ujiimbie maish yko au uimbie jamii kw ujumla. Killer atabak kuw killer🔥
Greatness is not guarding yourself from the people; greatness is being accepted by the people na uo ndo ukubwa wenyew so mashabiki mda huu ndo tunahaki ya kusema nani mkali me nafikiri kwangu ni killer ndo best coz ameweza kuonyesha ukali kwa maana ya action lakini sio kudefense yeye mwenyew kama young lunya kila ngoma me me me me mkali no we need ukali wenyewe ndo ukutambulishe kua wewe ndo mkali arafu nimuelekeze pia kumbe anafanya mziki asio ujua yeye sio hip hop ni sehemu ya hip hop sasa why anakosoa hip hop ooh sijui wenzake wanaongea fuck it So let's begin! To be clear, rap is the delivery used in hip-hop music and trap is a sub-genre of hip-hop music. Therefore, out of the two, only trap is a genre. Trap derives from hip-hop, an urban-based genre from New York City
Mbuzi ni mbuzi tu.killer ni nomaaa
Youngkiller kendrick 💯👑
Lunya ni best rapper kwa sasa, respect kwa killer, ila Lunya njo ameibeba new generation ya rap in the moment
Kuna wengine mnasema2 killer mkali Kwa mapenzi kwakuwa kiiler kaanza mda, sifa kubwa ya hip-hop ni flow, mistari na kucheza na beat, Sasa lunya anaweza Hivyo vyote, Sasa killer nyimbo zake nyingi ni kuongea2, Sasa hiyo ni rap au poetic song, sikilizeni top ten rappers wote Africa, especially kaligraph Jones km utakuwa anaimba Kwa kuongea , ni speed2 na flow changes.
Sema unapendaa flow zake ilaa ulichoooelezeaa sio vigezo vya rap bora !! Kwaiyo fid Q ni rapa wakaidaa sabab awez flow kama lunya ??? Jay MO ?? Wakazi ?? Stamina ?? Utasemaa ni wabov??
Ushawahi sikia lunya akitema punchlines?? Usimuweke level ya Khaligraph na sarko kabisa
Nilitaka kukujibu lakini ngoja nikuache tu! Humjui killer vzuri!!
@@salim02tv24 kati ya hao wote FD Q, ndie rapa, Sasa una uhakika kwamba FD Q hawez ku flow, ushawahi skiliza professional , bongo hip hop na zingine au unasema2, Sasa embu ntajie nyimbo ipi huyo killer ameflow
@@alphoncegeoffrey7018 punchlines maana yake nn kwanza, maan usiongeee2 Mzee
Killer ❤
Lunya mshamba tu huyo hamuwezi killa ni kitambo brother
Youngkiller🔥🔥🔥🔥
Killer it’s it song 🎶
killer ndio kusema🤙🏾
Killer mnyama 🔥🔥🔥🔥
Young killa talks on the beat but lunya got flows
Nakubali lunyaa anakwenda kixaxa na flowers❤❤❤❤
oyaaa young killer ni noma broo aminia kijana acha porojo
Killer ni nomaaa sana🔥🔥🔥
Lunyaaaa🎉
Lunya🎉
2 be honestly young killer ni fire kwa tungo
Killer moto sana lunya mdogo wetu hana kituu
Young lunya gat style of corse while killer anaongea tu
Lunyamila uyo
Wasafi makuma tu siku izi mnampa promo lunya , mnyamwezi killer mnamnyima promo.
bro umeongea kwa uchungu sana basi kaka si wenyew tunaumia sana tu fuck it
Lunya ❤❤❤
Young killer 🔥🔥🙌
Dogo lunya naona bado unaendelea saiv tunatoa dakika kumi zakwako iyo itakua mwisho et namsaidia you have nothing bro😂
Dogo amepanic sanaa hakutegemeaa hichiii fans base ya young killer ni kubwaa sanaa ya ages 30+ na wanaoelewa music sana wa rap and fans base ya lunya ni kubwa sana ya age 20+
Umeongea point
Point sana
All ov you firee
Lunya💥🔥💥
Lunya don't look for diss right now boy.. hustle hard like killer...the boy you are talking about is on another level men.c,on
Lunya is like Jayz bt killer is a normal rapper with the ability to rap
Lunya nakubali Sana💪
Lunya nimkali wa kuflow lakini killer ni mtunzi wa punchline Kali sana in short killer amemfunika lunya ipasavyo
I agree with you
Sahihi
...young killer everyday
Mbuzi number one ☝️
Lunya 🔥🔥🔥
killer 🔥🔥
@Wasafi media acheni umama
Killer ni killer mwachane nae kabisaaaaaa
Young Killer is the best
The battle is GOOD 4da game.... Endeleeni tu, turudi kwenye hiphop,, tumechoka kubana pua
Lunya still young kwa killer msodoki ni real hiphop, hiphop co styles! Hiphop ni tungo mazee
Young killer number 1 uyo mbuzi tu
Killer nihatarrr lunya anajiogopa
Lunya we ni nomaaa
Lunya hamuwezi killer hata kidogo labda killer angekuwa na beef na rapchat ingekuwa 🔥🔥🔥
Killer mshamba tu hana lolote
Killer kapotea...tumemsikia right now baada ya kutoa disrap ya Lunya....Hana consistency ya mziki kabisa...hafanyi kazi kubwa...kwasasa awaachie wakina Lunya... Rapper ambae Yuko on fire
Hujui hip hop kaa kimya🤫🤫
We unaejua katoe zako basi mnapanik kishamba lunya kwenye ubora wake sio swali liko wazi acheni Mapepe mnakurupuka
Nakubali Sana nyimbo za young lunya
Always Killer is 🔥
Dakika sita za makele hamna point yyte unainba perfyum 😂😂😂😂😂😂 humwezi killer ata kidog ngoma zako laini sana afu we mlamba lips mchumba tu, me naeza ata kuflow zaid yako coz unaflow visivyoelimisha
Shida nahc na ww ni msukuma mwenzake Rapping is not speaking Bruh wen we say Rapping we mean Flowing *Ditch*
Killer ni🔥🔥🔥goma lake liko no1 ontreding kamshusha hadi mondi. Wewe lunya uko nafasgani? Nawewe ndoumeanza kumdis killer halafu leo unasema Hasikiki bila kukudis kakudis lini? Acha upumbavu
❤
Killer mkali sana dogo anatungo hatari Yani maneno yake ni chakula Cha ubongo# anaemkubali like hp#
Lunya king
Lunya mnyama🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Ma young young weng....lakin young ni moja tu...YOUNG KILLER
Killer ni mnoma sana, acheni kabisa wakuu
Killer 🔥🔥
Young Killer Is Always A Killer
Amna ki2 amekill apo zaid kuongea.. maisha yanabadlika ata kina juma nature mwana fa ay .. gk oten fid no wakali ilaa wakati ukikupita bila kuchange styl kutokana na mzik unavoenda . Inakua imeishaa io
Lunya is next level
Killer the best
.matako ww lunya uwez killer fire mn yan sikuelew at kidg
Kilaaaaa ni noma
Huku Kitaa Tumekubaliana Kua
sio kila Young Ni Killer
😂😂😂
mstali katisha sana uwo killer👏👏👏
Tulip kuja hapa baada ya freestyle session 6 kutoka ya young lunya tujuane Kwa like
Young killer n 2pac
Lunya mkali sana 💥💥💥💥💥
Lunya unyama mlima🤘mbuzi unaweza killer bdo
Young Killer iz the best rapper
Haya ndo yaleyale ya Rapcha kulinganishwa na mtu mwenye Dizasta zake, ni usenge usiofaa .Sio kwamba Rapcha mbovu 'ila levo za Dizasta bado ' .Kwahyo huyu Lunya asijisikie 7babu kasainiwa SONY, Killer alichokosa ni mtu mwenye mapana ili asonge zaidi
basi kaka inatosha tumuache akalale
Ukweli tu tuseme mwanza hatoki mshamba Killa sayali nyingi hat fdq awe making tu na mtot killa
Oya izo zarau sn luny mtt sn young killer amkuti ata kidogo killer ana hip hop irignol
Mna mbrand Tu uyo mbuzi alio kosa mfugaji ata mfanye nn killer hawezi kupotea sababu yy ni kipaji
Killer anajua kulap LUNYA anajua kupiga makelele😂😂
Bro Young Luny Ni Mzima Sana eis Namkubal Mpaka Bas
Killer na Lunya siongelei ila wote bado sana kwa king Rapcha🎉
😂Amna k2 pale
🗣️Oyoo Young killer tumpe mauwa yake Ila Kwa MDA Huu acha Tu niseme Lunya atawale kwasasa 👊
Hata Kwa Konde Boy walikuwa hivihivi
Let’s do this my brother Mbuziii is the best number one hip hop artist in Tanzania
Other rapper must learn 😂
Killer ni 🔥
Nikitaka radha ntamskiza mbosso, nikitaka michano ntamskiza killer, dogo anajua sanaaa.
This battle inaenda kubadili game ya hip_hop 🎱🏌️♂️
,, we
Msodokiii is the best
Killer msodoki2024❤❤❤❤
Meeeee🐐🐐🐐