Tamba pande zako pande zetu autambi hii verse naikubali sana young killer ni mtu bad from Drc congo lubumbashi young killer always likolo ❤❤❤❤❤🎉🎉 mnyonge mnyongeni haki yake mpeni 🎉🎉🎉🎉
Huyu mbuzi jau san anayumba....alaf sas nymbo zke zote anajisifia yey tu kwn sis tunataka ujiimbie maish yko au uimbie jamii kw ujumla. Killer atabak kuw killer🔥
Kuna wengine mnasema2 killer mkali Kwa mapenzi kwakuwa kiiler kaanza mda, sifa kubwa ya hip-hop ni flow, mistari na kucheza na beat, Sasa lunya anaweza Hivyo vyote, Sasa killer nyimbo zake nyingi ni kuongea2, Sasa hiyo ni rap au poetic song, sikilizeni top ten rappers wote Africa, especially kaligraph Jones km utakuwa anaimba Kwa kuongea , ni speed2 na flow changes.
Sema unapendaa flow zake ilaa ulichoooelezeaa sio vigezo vya rap bora !! Kwaiyo fid Q ni rapa wakaidaa sabab awez flow kama lunya ??? Jay MO ?? Wakazi ?? Stamina ?? Utasemaa ni wabov??
@@salim02tv24 kati ya hao wote FD Q, ndie rapa, Sasa una uhakika kwamba FD Q hawez ku flow, ushawahi skiliza professional , bongo hip hop na zingine au unasema2, Sasa embu ntajie nyimbo ipi huyo killer ameflow
Greatness is not guarding yourself from the people; greatness is being accepted by the people na uo ndo ukubwa wenyew so mashabiki mda huu ndo tunahaki ya kusema nani mkali me nafikiri kwangu ni killer ndo best coz ameweza kuonyesha ukali kwa maana ya action lakini sio kudefense yeye mwenyew kama young lunya kila ngoma me me me me mkali no we need ukali wenyewe ndo ukutambulishe kua wewe ndo mkali arafu nimuelekeze pia kumbe anafanya mziki asio ujua yeye sio hip hop ni sehemu ya hip hop sasa why anakosoa hip hop ooh sijui wenzake wanaongea fuck it So let's begin! To be clear, rap is the delivery used in hip-hop music and trap is a sub-genre of hip-hop music. Therefore, out of the two, only trap is a genre. Trap derives from hip-hop, an urban-based genre from New York City
Dogo amepanic sanaa hakutegemeaa hichiii fans base ya young killer ni kubwaa sanaa ya ages 30+ na wanaoelewa music sana wa rap and fans base ya lunya ni kubwa sana ya age 20+
Haya ndo yaleyale ya Rapcha kulinganishwa na mtu mwenye Dizasta zake, ni usenge usiofaa .Sio kwamba Rapcha mbovu 'ila levo za Dizasta bado ' .Kwahyo huyu Lunya asijisikie 7babu kasainiwa SONY, Killer alichokosa ni mtu mwenye mapana ili asonge zaidi
Mashabiki wa bongo wengi ni wanafiki.Majority kwenye comments wanamsifia young killer while ukiangalia for the past 5 yrs young killer amekuwa aki_struggle sana kwenye game hata videos zake you tube hazina namba kihivyo,nyie fans wa young killer where were you all these yrs?.Kwa game ya sasa young lunya is more marketable than young killer.Watu hawataki kusikia mashairi pekee,watu wanahitaji pia flows, swags and staffs like that.Killer alikuwa wapi siku zote kutoa session 6?ametoa ngoma ngapi hivi karibuni na hazijaenda?Young killer anatembelea upepo wa Young Lunya na hiyo ndio fact. NOTE:With all due respect for YK I go for YL.
Battle Kali✅...But this is Rap we need to see (Y.killer) akirap sana kuliko kuongea anapooza vibe...(Y.Lunya) got that rap spirit anabrag kdg that's what we need 📌BOTH ARE GOOD📌 we need the best🔒
Killer ni🔥🔥🔥goma lake liko no1 ontreding kamshusha hadi mondi. Wewe lunya uko nafasgani? Nawewe ndoumeanza kumdis killer halafu leo unasema Hasikiki bila kukudis kakudis lini? Acha upumbavu
Dakika sita za makele hamna point yyte unainba perfyum 😂😂😂😂😂😂 humwezi killer ata kidog ngoma zako laini sana afu we mlamba lips mchumba tu, me naeza ata kuflow zaid yako coz unaflow visivyoelimisha
Killer kapotea...tumemsikia right now baada ya kutoa disrap ya Lunya....Hana consistency ya mziki kabisa...hafanyi kazi kubwa...kwasasa awaachie wakina Lunya... Rapper ambae Yuko on fire
“Kuwa fahari kwa wenzio, michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatari unaua game”…erick msodoki
Karne ya hizi ni Karne ya kutumia akili nyingi asee na kujituma, kiukweli Killer Ana mistari yenye akili nyingi( elimisha,inafundisha,inamtia mtu nguvu na kumpa mtu akili kumfanya asilkilize Kila mstar anaotamka na mistar yote Ina Radha na stle yake kurap Ni asali).truly killer is the best killer and predeter. Huyu jamaa lunyaa Ana rap stylish tu (Tena kuiga rapa wa mbele wanavyo flow+ marehem salasala) Hana mistar yenye sense and combination in real.
Huyu dogo umaarufu umeanza kumpanda kichwani. Ngoma zake zoooooooooooooooooooteeeeeeeee anajisifia tu nothing else. Killer is diverse he can story tell he can even sing for Christ Sake.
young killer moto mwengine.....tunaomkubali killer tukutan hapaa❤❤❤❤
Killer
Killer❤❤❤
Hamna Bro Yung Luny Ni Moto Zaid
Tamba pande zako pande zetu autambi hii verse naikubali sana young killer ni mtu bad from Drc congo lubumbashi young killer always likolo ❤❤❤❤❤🎉🎉 mnyonge mnyongeni haki yake mpeni 🎉🎉🎉🎉
Wangekuwa marapa Bora wanateuliwa ningemteuwa young killer❤❤❤❤
Young killer is at another level.....
Killer is killing it
Amna ki2 amekill apo mzee hamna styl yoyote zaid ya maneno 2 ya ngonjera .. timeline inachange
No bro Kuna m tz ❤ makli jina #skotziki ana kuja na bado aja fika #skotziki in RUclips ... Young bad rapper in all tzzz❤❤❤❤❤
#skotziki in RUclips uyo ni m tz
@@almanalitoyngmula8079p😮ll
@@almanalitoyngmula8079p😮ll
Usupastaa dogo sio kununua cheni 🔥🔥🔥young killer msodok on 🔥🔥🔥
They're in their own battle but for me I'll go for KILLER
Amekinukisha tangia Lunya anatoa funza miguuni af killer ni mshkaji flan sio mshamba
Lunya unarap kelele tu uwezi moto wa killer ata cku moja niamini meme
Young killer Katisha sana lunya mdogo sana killer mnyama sana 🔥💪💯🔥
Acha ushabiki sema2 ukweliii lunya ni Moto🔥🔥🔥🔥🔥
Unachekesha kweli brother Killa brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ujakosea lunya ni kama kijusi tu anajiimba mwenyewe
@@lilpaff93Inaonekana Umemaliza form 4 Mwaka Jana Lunya Has Nothing Zaidi Ya Kujisifia Tu,Sisi Tunataka mziki
Young killer is the best 🙌
Nakubali sana Lunya king warap bongo salute kwako man
Uneanza kufatilia mzik juz nini
@@revocatuscharles1512 na ww ujui mziki wakisasa
Mziki gani anaimba huyo mbuzi wenu mistari ya kujisifia sifia tu sifa usifiwe mzee yan ye mauwa anajipa mwenyew
Huyu mbuzi kafia kwa muuza supu
Killer 🔥🔥🔥🔥🔥
Killer atabaki kwenye ubora wake, anazijua sana tungo
Lunya tatizo kelele nyingi na kujisifia sana anakua kama chief good love
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
LUNYA Z THE BEST OF ALL TIMES
mm nashindwa chenye young killer ana do cjui n rap or poetic ju bdal ya kurap anaongea LUNya to world 🌎 wide
The comment I’ve been looking for Lunya ako bieee 😂 huyu kila hata simuulewi ni mawhat anasema 😂
Killer atabaki kuanomatu❤️💥🔥
Huyu mbuzi jau san anayumba....alaf sas nymbo zke zote anajisifia yey tu kwn sis tunataka ujiimbie maish yko au uimbie jamii kw ujumla. Killer atabak kuw killer🔥
Huku Kitaa Tumekubaliana Kua
sio kila Young Ni Killer
😂😂😂
mstali katisha sana uwo killer👏👏👏
Lunya he’s has the flow and he knows what hes he’s doing..Mimi Lunya namkubali 🔥🔥
Young killer is the best
Lunya mshamba tu huyo hamuwezi killa ni kitambo brother
Young Killa ni 🔥🔥🔥
Lunya ni best rapper kwa sasa, respect kwa killer, ila Lunya njo ameibeba new generation ya rap in the moment
young lunya hamuwez young killer young killer ni best of hip hop
Kuna wengine mnasema2 killer mkali Kwa mapenzi kwakuwa kiiler kaanza mda, sifa kubwa ya hip-hop ni flow, mistari na kucheza na beat, Sasa lunya anaweza Hivyo vyote, Sasa killer nyimbo zake nyingi ni kuongea2, Sasa hiyo ni rap au poetic song, sikilizeni top ten rappers wote Africa, especially kaligraph Jones km utakuwa anaimba Kwa kuongea , ni speed2 na flow changes.
Sema unapendaa flow zake ilaa ulichoooelezeaa sio vigezo vya rap bora !! Kwaiyo fid Q ni rapa wakaidaa sabab awez flow kama lunya ??? Jay MO ?? Wakazi ?? Stamina ?? Utasemaa ni wabov??
Ushawahi sikia lunya akitema punchlines?? Usimuweke level ya Khaligraph na sarko kabisa
Nilitaka kukujibu lakini ngoja nikuache tu! Humjui killer vzuri!!
@@salim02tv24 kati ya hao wote FD Q, ndie rapa, Sasa una uhakika kwamba FD Q hawez ku flow, ushawahi skiliza professional , bongo hip hop na zingine au unasema2, Sasa embu ntajie nyimbo ipi huyo killer ameflow
@@alphoncegeoffrey7018 punchlines maana yake nn kwanza, maan usiongeee2 Mzee
Killer ni nomaaa sana🔥🔥🔥
Wasafi makuma tu siku izi mnampa promo lunya , mnyamwezi killer mnamnyima promo.
bro umeongea kwa uchungu sana basi kaka si wenyew tunaumia sana tu fuck it
Mbuzi ni mbuzi tu.killer ni nomaaa
Dogo lunya naona bado unaendelea saiv tunatoa dakika kumi zakwako iyo itakua mwisho et namsaidia you have nothing bro😂
Greatness is not guarding yourself from the people; greatness is being accepted by the people na uo ndo ukubwa wenyew so mashabiki mda huu ndo tunahaki ya kusema nani mkali me nafikiri kwangu ni killer ndo best coz ameweza kuonyesha ukali kwa maana ya action lakini sio kudefense yeye mwenyew kama young lunya kila ngoma me me me me mkali no we need ukali wenyewe ndo ukutambulishe kua wewe ndo mkali arafu nimuelekeze pia kumbe anafanya mziki asio ujua yeye sio hip hop ni sehemu ya hip hop sasa why anakosoa hip hop ooh sijui wenzake wanaongea fuck it So let's begin! To be clear, rap is the delivery used in hip-hop music and trap is a sub-genre of hip-hop music. Therefore, out of the two, only trap is a genre. Trap derives from hip-hop, an urban-based genre from New York City
killer ndio kusema🤙🏾
KILLER KILLED IT
Broo Kuna m tz makli Kwa jina #Skotziki in RUclips m tz makli sana #skotziki in RUclips m tz mkali sana ❤❤❤❤
Lunyamila uyo
Killer ndo ambae anajua🤴 uyu jamaa wenu mbuz👆 anapenda kujiimba mwenyewe sasa sisi atuitaji maisha yake tunataka MZIKI🔊
Young killer ni noma
For sure
Killer sio mtu mzuri
Fact
😂😂😂 acheni kujishuku madogo
Young killer🔥🔥
Lunya hamuwezi killer hata kidogo labda killer angekuwa na beef na rapchat ingekuwa 🔥🔥🔥
Killer mshamba tu hana lolote
Tulip kuja hapa baada ya freestyle session 6 kutoka ya young lunya tujuane Kwa like
oyaaa young killer ni noma broo aminia kijana acha porojo
Young lunya gat style of corse while killer anaongea tu
Nakubali lunyaa anakwenda kixaxa na flowers❤❤❤❤
Killer mnyama 🔥🔥🔥🔥
Killer moto sana lunya mdogo wetu hana kituu
.matako ww lunya uwez killer fire mn yan sikuelew at kidg
Anajishukia..kashasanda ..amuwezi young kuller
Lunya nimkali wa kuflow lakini killer ni mtunzi wa punchline Kali sana in short killer amemfunika lunya ipasavyo
I agree with you
Sahihi
Nikitaka radha ntamskiza mbosso, nikitaka michano ntamskiza killer, dogo anajua sanaaa.
Dogo amepanic sanaa hakutegemeaa hichiii fans base ya young killer ni kubwaa sanaa ya ages 30+ na wanaoelewa music sana wa rap and fans base ya lunya ni kubwa sana ya age 20+
Umeongea point
Point sana
Bro Young Luny Ni Mzima Sana eis Namkubal Mpaka Bas
Haya ndo yaleyale ya Rapcha kulinganishwa na mtu mwenye Dizasta zake, ni usenge usiofaa .Sio kwamba Rapcha mbovu 'ila levo za Dizasta bado ' .Kwahyo huyu Lunya asijisikie 7babu kasainiwa SONY, Killer alichokosa ni mtu mwenye mapana ili asonge zaidi
basi kaka inatosha tumuache akalale
Ukweli tu tuseme mwanza hatoki mshamba Killa sayali nyingi hat fdq awe making tu na mtot killa
Oya izo zarau sn luny mtt sn young killer amkuti ata kidogo killer ana hip hop irignol
Mna mbrand Tu uyo mbuzi alio kosa mfugaji ata mfanye nn killer hawezi kupotea sababu yy ni kipaji
Mashabiki wa bongo wengi ni wanafiki.Majority kwenye comments wanamsifia young killer while ukiangalia for the past 5 yrs young killer amekuwa aki_struggle sana kwenye game hata videos zake you tube hazina namba kihivyo,nyie fans wa young killer where were you all these yrs?.Kwa game ya sasa young lunya is more marketable than young killer.Watu hawataki kusikia mashairi pekee,watu wanahitaji pia flows, swags and staffs like that.Killer alikuwa wapi siku zote kutoa session 6?ametoa ngoma ngapi hivi karibuni na hazijaenda?Young killer anatembelea upepo wa Young Lunya na hiyo ndio fact.
NOTE:With all due respect for YK I go for YL.
Still bado killer ni The best sana kuliko Lunya maana lunya ni mtt mdogo
Bro kaskilize Album ya msodoki #super nyota 😅
Upate madini
Kingine young killer achokeki maskioni
Young lunya Amna kitu we
Lunya misifa tu Hana tungo
Battle Kali✅...But this is Rap we need to see (Y.killer) akirap sana kuliko kuongea anapooza vibe...(Y.Lunya) got that rap spirit anabrag kdg that's what we need
📌BOTH ARE GOOD📌 we need the best🔒
Kwan kurap Nini,
Hivi umemsikiliza 21savage
That true man Ila Mimi wote sio watu wangu Sana hawakai katika line Sana Kwa Hawa yule young d kiboko Yao...ana Radha na kila kitu
@@kibeginiblue7188ru 21 anarap anaflow na beatz haongei ongei bro,, rudi kumskiliza kwa makini
Killer ni🔥🔥🔥goma lake liko no1 ontreding kamshusha hadi mondi. Wewe lunya uko nafasgani? Nawewe ndoumeanza kumdis killer halafu leo unasema Hasikiki bila kukudis kakudis lini? Acha upumbavu
❤
Wewe kuku 2 kama unzaweza ingia studio tuone na akiingia mniite mmbwa nimekaa paleee
Dakika sita za makele hamna point yyte unainba perfyum 😂😂😂😂😂😂 humwezi killer ata kidog ngoma zako laini sana afu we mlamba lips mchumba tu, me naeza ata kuflow zaid yako coz unaflow visivyoelimisha
Shida nahc na ww ni msukuma mwenzake Rapping is not speaking Bruh wen we say Rapping we mean Flowing *Ditch*
Young killer number 1 uyo mbuzi tu
Young fundi sanaa
Killer msodoki2024❤❤❤❤
🗣️Oyoo Young killer tumpe mauwa yake Ila Kwa MDA Huu acha Tu niseme Lunya atawale kwasasa 👊
Wew lunya amna kitu dubu mnyama mkali msondoki nd mwenyewe☺☺
Killer it’s it song 🎶
Killer kapotea...tumemsikia right now baada ya kutoa disrap ya Lunya....Hana consistency ya mziki kabisa...hafanyi kazi kubwa...kwasasa awaachie wakina Lunya... Rapper ambae Yuko on fire
Hujui hip hop kaa kimya🤫🤫
We unaejua katoe zako basi mnapanik kishamba lunya kwenye ubora wake sio swali liko wazi acheni Mapepe mnakurupuka
Killer mkali sana dogo anatungo hatari Yani maneno yake ni chakula Cha ubongo# anaemkubali like hp#
Killer ❤
Lunya ni mtoto mdogo Sana Kwa killer aachee kujitamba
Youngkiller🔥🔥🔥🔥
Kilaaaaa ni noma
Ma young young weng....lakin young ni moja tu...YOUNG KILLER
Uyo namba 9 kila namba 1
The battle is GOOD 4da game.... Endeleeni tu, turudi kwenye hiphop,, tumechoka kubana pua
Young lunya alichomzidi Msodoki ni Mashavu tu hakuna kingine 😂
😂😂😂
FACT😂😅
Mtoto Mza Yuko gud
😂😂😂😂we ni nyoko
Uyu jamaaa na mwakinyo awapishani kwa majigambo
Lunya still young kwa killer msodoki ni real hiphop, hiphop co styles! Hiphop ni tungo mazee
YOUNG KILLER ANAMJUA UYO LUNYA ANAWAIMBIA WANAUME WA DAR SISI WA KIGOMA MSODOKI 1
Killer is de best
“Kuwa fahari kwa wenzio, michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatari unaua game”…erick msodoki
Killer anarap maisha , lunya Hana panch inajiimba
Wasaf wana jua kuua mbuzi Killa kamuua mbuzi
Lunya killed at all
Kwanza young lunya ni msenge mbuzi kweli kabisa amna kitu anajua kubana pua na kujifunza lugha tyuu em akaje uku tumfunze English
Msodoki anatishasana amna msaniii mwingine wakulapu kama msodoki💪💪💪
Msodoki✌
Killer nihatarrr lunya anajiogopa
Young Killer iz the best rapper
Killer anajua kulap LUNYA anajua kupiga makelele😂😂
2 be honestly young killer ni fire kwa tungo
All ov you firee
Karne ya hizi ni Karne ya kutumia akili nyingi asee na kujituma, kiukweli Killer Ana mistari yenye akili nyingi( elimisha,inafundisha,inamtia mtu nguvu na kumpa mtu akili kumfanya asilkilize Kila mstar anaotamka na mistar yote Ina Radha na stle yake kurap Ni asali).truly killer is the best killer and predeter.
Huyu jamaa lunyaa Ana rap stylish tu (Tena kuiga rapa wa mbele wanavyo flow+ marehem salasala) Hana mistar yenye sense and combination in real.
ruclips.net/video/yabWYjtGt4c/видео.html
Lunya braha anatisha youngkller afanye mazowezi
Kasome kiswahili
Lunya nakubali Sana💪
...young killer everyday
Msodokiii is the best
Killer ni mnoma sana, acheni kabisa wakuu
Babu kwa Killer naomba ukajitafute tena
we jamaa haukubaliki Wala nn unajipa bichwa tu, let's go to young killer msodoki
Anajisifia sanah
Lunya🎉
Huyu dogo umaarufu umeanza kumpanda kichwani. Ngoma zake zoooooooooooooooooooteeeeeeeee anajisifia tu nothing else. Killer is diverse he can story tell he can even sing for Christ Sake.
Imba zako basi
Lunya is next level
Lunya mnyama🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Lunyaaaa🎉
Kaka wew ni mtu wa trap tu hip hop hazikuhusu
Lunya kumfikia kila ajifunze miaka 10 bado sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kelele nying ww lunya mipasho tu hyo
Young killer huwez fikia moto wake wew
Lunya anaweza