MWILI WA MTU WAFUKULIWA ARUSHA NDUGU WAKIVUNJA TANGA, UMEKAA KABURINI SIKU TATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024

Комментарии • 79

  • @kutailass6671
    @kutailass6671 13 дней назад +21

    Mnaweka mno watu kwenye mabarafu had wanapoteza muonekano wao halisi

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi 13 дней назад +17

    Arusha wapewe tu bendera na rais wao hii ni nchi kamili kila kukicha matukio

    • @user-qh2bx5em6j
      @user-qh2bx5em6j 13 дней назад +2

      Acha kabisa huku ni shida jamn

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 13 дней назад

      Mpaka nimecheka wakati ni Jambo la huzuni, Arusha Arusha

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 13 дней назад +1

      @@ZalkhaRawahi hii naona iliporwa kutoka kenya sio ya Tz kabisa kwa kuchangamka huko!, 😂😂

  • @halfanimalinda5421
    @halfanimalinda5421 13 дней назад +8

    Arusha wana dunia yao saivi

  • @machatv3717
    @machatv3717 12 дней назад +3

    Arusha watu wanafufuka, wanazika maiti sio zao,
    Bangi ya arusha nasikia mbaya sana

  • @Official83640
    @Official83640 13 дней назад +6

    Nikisema mm mnaona naongea uongo Dar tunatekwa Arusha maajabu ya maiti kila leo😂😂

  • @vero57
    @vero57 13 дней назад +5

    Hiyo nchi ya Arusha ina mambo kweli kweli 😮😮😮

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 13 дней назад

      Nikweli chuga nimbegu ya wazuru wa saudh afrika

  • @user-sc8mp6tc3n
    @user-sc8mp6tc3n 13 дней назад +2

    Nchi ndani ya nchi naipenda chuga yangu

  • @LucyNaman
    @LucyNaman 13 дней назад +2

    Yani arusha iv kweli wanashindwa kuwatambua ndug zao😢

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 13 дней назад +5

    Arusha Kuna matukio sasaivi

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 13 дней назад +3

    Tunamuomba mwamposa aende huu mji akapige maomba 🙌

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 13 дней назад +1

      maombi gani nakati wamechukua mwili wa mwingine TATIZO MNAWEKA MAITI MDA MREFU MPAKA ANABADILIKA

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 13 дней назад

      Umeonaee ​@@ayububakari9942

  • @josephatilunde9329
    @josephatilunde9329 13 дней назад +2

    Mambo ya Arusha na dunia yao😂😂

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 13 дней назад +3

    Kulikoni Arusha 😅😅😅

  • @Wana_imani_kenya
    @Wana_imani_kenya 13 дней назад +2

    Na Robert ata

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 13 дней назад +2

    Mtuombee tu arusha ni baraa ipo

  • @DotoLemako-np3lp
    @DotoLemako-np3lp 12 дней назад

    Arusha sijui baridi au vipi, mbona kama haya matukio yanaongezeka kila kukicha, mi ninachojua mortuary wanapewa majina kamili ili wamuandae mtu wao kwa kidhibitisho, mbona kama mnatuchosha, hii inawahusu wote mortuary attendant na familia

  • @KhalfanDotto
    @KhalfanDotto 8 дней назад

    Inshalla

  • @penuelmichael3374
    @penuelmichael3374 13 дней назад

    Arusha ni nchi nyingine jamani hakuna siku matukio yanapoa kilasiku ni matukio, mungu tuhurumie

  • @francisletara4316
    @francisletara4316 12 дней назад

    Kuna sababu ya kuona mwili unapooshwa wawepo wenye marehemu. Kwa nini? Waosheji wanafanya kilankitu pasipo ndg wa karibu ndio maana mambo haya yanstokea

  • @user-uy4tw2ug6o
    @user-uy4tw2ug6o 13 дней назад +2

    Kwann mlipoenda kumchukua amkumuangalia jmn

    • @ibrahimdaudi5823
      @ibrahimdaudi5823 12 дней назад

      watu hawana upendo na ndugu zao ikifika wakati wa kumuosha maiti wanakimbia wanatoa 20,000 ya kuosha maiti wanamkuta ndani ya jeneza

  • @melinamlawa9235
    @melinamlawa9235 11 дней назад

    Ebu tupumzisheni Arusha.

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture1810 13 дней назад +2

    Arusha tena

  • @fifo262
    @fifo262 12 дней назад

    Ndo maana uislam unataka ukifariki tuuuu hakuna jipya zaidi ya kuzika , ila hongereni kwa kupambana kuupata mwili wa mpendwa wenu

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 13 дней назад +2

    Na hyo tabia ya kuzk bla kukagua mait muuache polen

  • @rahabukirigiti8514
    @rahabukirigiti8514 13 дней назад

    Haaa jamani, arusha ni nn mtukio ya kutisha,kila kukicha ,salini sana na kumrudia mungu du

  • @RonaldBarasa-q7s
    @RonaldBarasa-q7s 13 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @SadikiKisubi
    @SadikiKisubi 13 дней назад +1

    😢😢😢

  • @Gloriarespiki
    @Gloriarespiki 13 дней назад +1

    Arusha iko tz kwel kla day matukio jm n

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761 12 дней назад

    Arusha mwisho yaani

  • @JacksonAloyce-kq6nh
    @JacksonAloyce-kq6nh 13 дней назад

    Ila Arusha matukio yanazidi sasa

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy6856 13 дней назад +1

    Chuga matukio mengi

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 13 дней назад

    Uzembe mkubwa hospital, juzi tu mjombaa kaonekana mzima wakati mmezika mtu, viongozi wa hospital mnazembea sana, kila mwili kila mgonjwa anaingia na jina lake inakuaje mnachanganya majina ya maiti au majina ya mgonjwa uzembe wa hali ya juu hatua kali zichukuliwe

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y 13 дней назад +1

    Arusha jaman mbona ivo duu

  • @marthamvanga8028
    @marthamvanga8028 13 дней назад +1

    Arusha kwani vipi

  • @DimitryMghamba
    @DimitryMghamba 13 дней назад

    Arusha Wamezidi inabid serikali marautasikia kunamtu kafufuka kwahalihyo yakushindwa kumtambua marehemu inabid waende mochwar kwawakat mchache siokumuacha mtu had sura ibadilike

  • @barakakisioki
    @barakakisioki 13 дней назад

    Arusha imekuwa kisii kenya😂😂😂

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd 13 дней назад

    Arusha kuna matukioo khaaa😅😢

  • @kulwamikwanga3112
    @kulwamikwanga3112 13 дней назад

    Binadam mkianza kuitwa wadudu wakati mungu kaumba binadam wanao onekana na wadudu wasio onekana hapo ndo laana zinaanza Arusha badirikeni

  • @willsonmsuya9261
    @willsonmsuya9261 13 дней назад

    Jamani

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 11 дней назад

    Arusha Arusha Arusha nimeiita 3 times

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 13 дней назад

    Jaman watu walikaa mbali wakat mwili unaoshwa ndio maana

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 13 дней назад

    Wangepotezea tu maan wote watazikwa kwenye udongo.

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 13 дней назад

    mbona arumeru mnazika miili ambayo siyo yenu juzi mlizika mtu. ,mkadai amefufuka kumbe mmemzika mtu mwingine,Tatizo mnawaweka mochwari hadi wanabadilika sura

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 13 дней назад

    Arusha rusha roho aka Aruchuga 😂😂 ni shit shidaaaaaa 🤣🤣

  • @fifo262
    @fifo262 12 дней назад

    Arusha kiboko

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 13 дней назад +1

    Sasa watakula pilau mara mbili?

  • @beatricemtui3766
    @beatricemtui3766 12 дней назад

    Wameru sijui wanashida gani

  • @AshleyMahmoud-vt1vz
    @AshleyMahmoud-vt1vz 12 дней назад

    Kwann hamkuangalia sura

  • @RichardMbwelwa-xk3tm
    @RichardMbwelwa-xk3tm 13 дней назад

    Arumeru kuna vituko,

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 13 дней назад

    Ni Yale Yale ya Yule kaka yaani haya mambo huku yapo sana lakini utashindwaje kumjua ndugu yako? Bora sasa wametambua mapema au tuanzishe utaratibu Wa kuvalisha wagonjwa bangili zenye majina huko hosptali

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 13 дней назад

    OmWatu wa Arusha visa na vituko haviishi

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 13 дней назад

    Ulienda kuhakiki wakiwa wametumia vikali ndomana hawakumjua

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 13 дней назад

    Kwani watu hawaangalii ndugu zaoooo??

  • @witneyjerry2587
    @witneyjerry2587 13 дней назад

    Arusha shkamooni,ila poleni pia

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 13 дней назад

    Chuga tupewe maua🎉

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 13 дней назад

    Watu wakati mwingine wanafanana jmn.

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o 13 дней назад +3

    Kwani huyo mait hakukoshwa au mnachukua mwili ambao hamja uona jamani mvona mna mambo ya ajabu

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 12 дней назад

      Hilo nalo na mtu wa mwisho kuwa na marehemu anapaswa kwenda siku ya kuchkua mwili maana anaweza kukumbuka hata nguo

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 12 дней назад

    Ila na waandishi wa arusha wako shap.khaaa!!au mikoa mingine hamna habari?

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 13 дней назад +4

    Arusha mna nini mbona matukio ya ajabu ajabu kila leo akili zimevurugwa na nini ?!

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 13 дней назад

      Majani ya arusha ndio yaliovuruga akili zao😅😅

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 13 дней назад

      @@MashaMbwana kwa kweli si uongo daaah! Sina la kusema , 😂😂 mi namshauri rais hichi kipande awarudishie wakenya tu manake naona ni yao waliwapora

  • @lusajomwakajoka4955
    @lusajomwakajoka4955 13 дней назад

    Arusha muokoke😅

  • @SadaKigwangala
    @SadaKigwangala 13 дней назад +1

    Yaan ntihani kila siku

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 13 дней назад

    Tatizo wakiristo mnapenda kuwema maiti sana monchwali. Amziki haraka ndiyomaana yanatokeahayo mtuak8fa sula inabadilika .zikeni haraka hayatotokea hayo

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d 13 дней назад +2

    Mi nafkriaga kua inakuaje mpaka mtu wanachukuliwa nakuzkwa paspokujua ni ndug wa familia au la kwamba uso hauonekan, duu polen