Arusha sijui baridi au vipi, mbona kama haya matukio yanaongezeka kila kukicha, mi ninachojua mortuary wanapewa majina kamili ili wamuandae mtu wao kwa kidhibitisho, mbona kama mnatuchosha, hii inawahusu wote mortuary attendant na familia
Kuna sababu ya kuona mwili unapooshwa wawepo wenye marehemu. Kwa nini? Waosheji wanafanya kilankitu pasipo ndg wa karibu ndio maana mambo haya yanstokea
Uzembe mkubwa hospital, juzi tu mjombaa kaonekana mzima wakati mmezika mtu, viongozi wa hospital mnazembea sana, kila mwili kila mgonjwa anaingia na jina lake inakuaje mnachanganya majina ya maiti au majina ya mgonjwa uzembe wa hali ya juu hatua kali zichukuliwe
Ni Yale Yale ya Yule kaka yaani haya mambo huku yapo sana lakini utashindwaje kumjua ndugu yako? Bora sasa wametambua mapema au tuanzishe utaratibu Wa kuvalisha wagonjwa bangili zenye majina huko hosptali
Mnaweka mno watu kwenye mabarafu had wanapoteza muonekano wao halisi
Arusha wapewe tu bendera na rais wao hii ni nchi kamili kila kukicha matukio
Acha kabisa huku ni shida jamn
Mpaka nimecheka wakati ni Jambo la huzuni, Arusha Arusha
@@ZalkhaRawahi hii naona iliporwa kutoka kenya sio ya Tz kabisa kwa kuchangamka huko!, 😂😂
Arusha wana dunia yao saivi
Arusha watu wanafufuka, wanazika maiti sio zao,
Bangi ya arusha nasikia mbaya sana
Nikisema mm mnaona naongea uongo Dar tunatekwa Arusha maajabu ya maiti kila leo😂😂
Arusha na geita mmmmh kwa matukio yamezidi😮
@@CatherineHassan-z1pkabisaa 😢
Hiyo nchi ya Arusha ina mambo kweli kweli 😮😮😮
Nikweli chuga nimbegu ya wazuru wa saudh afrika
Nchi ndani ya nchi naipenda chuga yangu
Yani arusha iv kweli wanashindwa kuwatambua ndug zao😢
Arusha Kuna matukio sasaivi
Tunamuomba mwamposa aende huu mji akapige maomba 🙌
maombi gani nakati wamechukua mwili wa mwingine TATIZO MNAWEKA MAITI MDA MREFU MPAKA ANABADILIKA
Umeonaee @@ayububakari9942
Mambo ya Arusha na dunia yao😂😂
Kulikoni Arusha 😅😅😅
Na Robert ata
Mtuombee tu arusha ni baraa ipo
Arusha sijui baridi au vipi, mbona kama haya matukio yanaongezeka kila kukicha, mi ninachojua mortuary wanapewa majina kamili ili wamuandae mtu wao kwa kidhibitisho, mbona kama mnatuchosha, hii inawahusu wote mortuary attendant na familia
Inshalla
Arusha ni nchi nyingine jamani hakuna siku matukio yanapoa kilasiku ni matukio, mungu tuhurumie
Kuna sababu ya kuona mwili unapooshwa wawepo wenye marehemu. Kwa nini? Waosheji wanafanya kilankitu pasipo ndg wa karibu ndio maana mambo haya yanstokea
Kwann mlipoenda kumchukua amkumuangalia jmn
watu hawana upendo na ndugu zao ikifika wakati wa kumuosha maiti wanakimbia wanatoa 20,000 ya kuosha maiti wanamkuta ndani ya jeneza
Ebu tupumzisheni Arusha.
Arusha tena
Ndo maana uislam unataka ukifariki tuuuu hakuna jipya zaidi ya kuzika , ila hongereni kwa kupambana kuupata mwili wa mpendwa wenu
Na hyo tabia ya kuzk bla kukagua mait muuache polen
Banging mingi na ndo msimu wa baridi😅
Haaa jamani, arusha ni nn mtukio ya kutisha,kila kukicha ,salini sana na kumrudia mungu du
❤❤❤❤
😢😢😢
Arusha iko tz kwel kla day matukio jm n
Arusha mwisho yaani
Ila Arusha matukio yanazidi sasa
Chuga matukio mengi
Uzembe mkubwa hospital, juzi tu mjombaa kaonekana mzima wakati mmezika mtu, viongozi wa hospital mnazembea sana, kila mwili kila mgonjwa anaingia na jina lake inakuaje mnachanganya majina ya maiti au majina ya mgonjwa uzembe wa hali ya juu hatua kali zichukuliwe
Hiyo point
Arusha jaman mbona ivo duu
Arusha kwani vipi
Arusha Wamezidi inabid serikali marautasikia kunamtu kafufuka kwahalihyo yakushindwa kumtambua marehemu inabid waende mochwar kwawakat mchache siokumuacha mtu had sura ibadilike
Arusha imekuwa kisii kenya😂😂😂
Arusha kuna matukioo khaaa😅😢
Binadam mkianza kuitwa wadudu wakati mungu kaumba binadam wanao onekana na wadudu wasio onekana hapo ndo laana zinaanza Arusha badirikeni
Jamani
Arusha Arusha Arusha nimeiita 3 times
Jaman watu walikaa mbali wakat mwili unaoshwa ndio maana
Wangepotezea tu maan wote watazikwa kwenye udongo.
mbona arumeru mnazika miili ambayo siyo yenu juzi mlizika mtu. ,mkadai amefufuka kumbe mmemzika mtu mwingine,Tatizo mnawaweka mochwari hadi wanabadilika sura
Arusha rusha roho aka Aruchuga 😂😂 ni shit shidaaaaaa 🤣🤣
Arusha kiboko
Sasa watakula pilau mara mbili?
Wameru sijui wanashida gani
Kwann hamkuangalia sura
Arumeru kuna vituko,
Ni Yale Yale ya Yule kaka yaani haya mambo huku yapo sana lakini utashindwaje kumjua ndugu yako? Bora sasa wametambua mapema au tuanzishe utaratibu Wa kuvalisha wagonjwa bangili zenye majina huko hosptali
OmWatu wa Arusha visa na vituko haviishi
Ulienda kuhakiki wakiwa wametumia vikali ndomana hawakumjua
Kwani watu hawaangalii ndugu zaoooo??
Arusha shkamooni,ila poleni pia
Chuga tupewe maua🎉
@@shakilamasoud2983. chukua kwa kweli , 😆
Watu wakati mwingine wanafanana jmn.
Kwani huyo mait hakukoshwa au mnachukua mwili ambao hamja uona jamani mvona mna mambo ya ajabu
Hilo nalo na mtu wa mwisho kuwa na marehemu anapaswa kwenda siku ya kuchkua mwili maana anaweza kukumbuka hata nguo
Ila na waandishi wa arusha wako shap.khaaa!!au mikoa mingine hamna habari?
Arusha mna nini mbona matukio ya ajabu ajabu kila leo akili zimevurugwa na nini ?!
Majani ya arusha ndio yaliovuruga akili zao😅😅
@@MashaMbwana kwa kweli si uongo daaah! Sina la kusema , 😂😂 mi namshauri rais hichi kipande awarudishie wakenya tu manake naona ni yao waliwapora
Arusha muokoke😅
Yaan ntihani kila siku
Tatizo wakiristo mnapenda kuwema maiti sana monchwali. Amziki haraka ndiyomaana yanatokeahayo mtuak8fa sula inabadilika .zikeni haraka hayatotokea hayo
Mi nafkriaga kua inakuaje mpaka mtu wanachukuliwa nakuzkwa paspokujua ni ndug wa familia au la kwamba uso hauonekan, duu polen
😢 nashindwa kujua hlo