MKE WA BONNY MWAITEGE AKANUSHA TAARIFA ZA MUMEWE KUFARIKI ASEMA HAYA "NI MZIMA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 103

  • @vailethvennance4651
    @vailethvennance4651 2 месяца назад +14

    MUNGU ampe maisha marefu sana🎉🎉🎉🎉

  • @NUHUONLINETV
    @NUHUONLINETV 2 месяца назад +47

    Naombeni like wanaompenda bony mwaitege

    • @agnesmwelu1120
      @agnesmwelu1120 2 месяца назад

      @@NUHUONLINETV am from Kenya and I love his songs very much 🔥🔥🔥🥰

    • @saidmasika8738
      @saidmasika8738 2 месяца назад

      sasa hap waomba nn like zitakusaidia nn

  • @officialdeogratiusnelson
    @officialdeogratiusnelson 2 месяца назад +12

    Ishi Sana kaka MKUBWA... Na mtumishi wa MUNGU ALIYE HAI

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo 2 месяца назад +8

    Daaaa Mungu ni mwema maan nliishiwa had nguvu jmn😢 hv kwann watu wanapend kuzushia wenzao kifo

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 месяца назад +6

    Huyu jamaa ataishi miaka mingi sana na atakuwa na afya njema kwa mda mrefu❤

    • @JescaJulius-m5z
      @JescaJulius-m5z 2 месяца назад

      Mwanzo nilikuwa nikiimin hivo,ikaja kutokea kwa mjomba angu walimzushia baada ya hayo haikuisha hata mwez akafariki

  • @PeterAmollo-pk2lo
    @PeterAmollo-pk2lo 2 месяца назад +2

    Bony hautakufa mbali utaishi kutangaza wema wa Mungu katika nchi ya walio hai❤❤❤❤❤Hiyo pepo ya kifo ishindwe katika Jina La Yesu✊

  • @johnmwangangi194
    @johnmwangangi194 2 месяца назад +3

    Mungu tunakuomba mtumishi wako aishi miaka mingi ❤

  • @sylviapendo4161
    @sylviapendo4161 2 месяца назад +3

    Ishi miakaka mingi mtumishi nimeshutuka sana aki😢😢😢Mungu azidi kukutumia❤❤

  • @JescaKisinza
    @JescaKisinza 2 месяца назад

    Mungu akupe maisha marefu , Mtumishi wa MUNGU.

  • @KemiCare-c9w
    @KemiCare-c9w 2 месяца назад

    Aisee Na ashukuliwe Mungu anaehusika na maisha yake endelea kuinuliwa katika utumishi hutakufa bali utaishi kutangaza sifa xa Bwana❤❤❤

  • @jeriahonkoba
    @jeriahonkoba 2 месяца назад

    Bwana akubariki na akuongezee miaka kama Ezekiah vile mungu alimuongezea miaka

  • @ImaniMadiba-yu7wn
    @ImaniMadiba-yu7wn 2 месяца назад +1

    Kyala akutule ka mkubwa Bado tunakupenda saana na mungu AKUTUNZE saana Bado tunahitaji huduma yako na mibaraka yako ya uimbaji. 🙏

  • @BensonKaminyoghe
    @BensonKaminyoghe 2 месяца назад +1

    Tungependa kumsikia Bony Mwaitege mwenyewe tujiridhishe zaidi

  • @erickAfricatz
    @erickAfricatz 2 месяца назад

    Hapa bongo sometimes nyoko sana unaweza hata kuzimia tyu ukajikuta umezikwa......😢😢😂❤ Ila jamani bongo sihami wapi like zangu

  • @SuzzyMwita-ju8pv
    @SuzzyMwita-ju8pv 2 месяца назад

    Watu waache upuzi wa kutakia wengine mabaya,Mungu akupe maisha marefu mutumishi wa Mungu.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 месяца назад

    Mungu azidi kumpa maisha marefu

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 2 месяца назад +2

    Mungu wambinguni ampe maisha marefu

  • @hillarimtambo482
    @hillarimtambo482 2 месяца назад +11

    Ishi miaka mingi brother ❤❤❤

  • @chepkorir96
    @chepkorir96 2 месяца назад +5

    Nilikuwa nimeshtuka sana 😢😢

  • @HappyShirima-k9t
    @HappyShirima-k9t 2 месяца назад +4

    Ishi sana kaka mwaitege na Mungu azid kukuongoza Kila iitwapo leo

  • @LizNjeri-n2p
    @LizNjeri-n2p 2 месяца назад +2

    Kama yuko hai mungu ni mwema.....aishi mpaka atosheke.

  • @jenniferongwech6421
    @jenniferongwech6421 2 месяца назад

    AMEN 🙏 God protect you daddy your my favorite 🎉❤

  • @farijiréponse-k4v
    @farijiréponse-k4v 2 месяца назад

    Mungu nimwema kweli❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @emilychebet4669
    @emilychebet4669 2 месяца назад +1

    Amen❤❤🎉🎉 ishi maisha marefu kaka

  • @ROSEMoraa-o2u
    @ROSEMoraa-o2u 2 месяца назад +1

    God is good 👍 🙏 🙌 ishi miaka minĝi baba yangu nlkua nmeishiwa nguvu sana 🙏 kwa wanao kutakia mabaya back to the sender in Jesus's name

  • @MaggyGesare
    @MaggyGesare 2 месяца назад

    Huishi miaka mingi mtumishi wa mungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rhodaemmanuel2618
    @rhodaemmanuel2618 2 месяца назад +1

    Ooh asantee YESU 😢

  • @PeterMigwi-h9b
    @PeterMigwi-h9b 2 месяца назад +1

    Its good to denounce those messages in the spiritual realm coz that how the devil works when he wants to destroy someone, pray pray.

  • @SaraEmmanuel-f9d
    @SaraEmmanuel-f9d 2 месяца назад +3

    Asante uwiiii nilikua nina presha

  • @Pentecost598
    @Pentecost598 2 месяца назад +9

    Bony mwaitege alikuwa tunduma kwenye mkutano tumeagana nae Jana jioni viwanja vya shule ya msingi tunduma.

    • @sihamdemu4412
      @sihamdemu4412 2 месяца назад +1

      Jana jioni Tunduma, kwahiyo Kenya alienda kuhudumu usiku? Maana mkewe hapa anaseka kesharudi leo toka Kenya, yupo nyumbani.

    • @Pentecost598
      @Pentecost598 2 месяца назад

      @@sihamdemu4412 ni kweli hata Mimi nikesikia mke akisema Yuko kenya,ila ukiingia RUclips saiv utasikia akizungumza na mirad ayo kuwa alienda Kenya akaenda Burundi akaenda tabora akaenda mpanda Kisha sumbawanga halafu akaja tunduma

    • @mosessolo7387
      @mosessolo7387 2 месяца назад +1

      Sasa jamani wengine wanasema alikuwa tunduma au kenya.duuuu tumuombee mtumishi wa mungu.

    • @Pentecost598
      @Pentecost598 2 месяца назад

      @@mosessolo7387 hata ukisikiliza mazungumzo yake anasema alianza Kenya akaenda Burundi Kisha tabora baadae mpanda,sumbawanga mpaka tunduma

  • @josephkamanzi
    @josephkamanzi 2 месяца назад +2

    Jamani kama ni mzima boni jina la Bwana libalikiwe daima

  • @catherinendinda5966
    @catherinendinda5966 2 месяца назад

    Na vile nimeudhika kusikia amekufa Asante mungu 🙏

  • @FurahaMlowe-oe4pf
    @FurahaMlowe-oe4pf 2 месяца назад

    Mungu akuweke

  • @magrethkapinga1811
    @magrethkapinga1811 2 месяца назад +3

    Kyala akutule broooo washidwe hao wazushi

  • @gloriaamase9764
    @gloriaamase9764 2 месяца назад

    He will never die young in Jesus name amefunikwa na damu ya yesu😢

  • @doelkabange-qs5fm
    @doelkabange-qs5fm 2 месяца назад

    Eh! Yesu🇨🇩💔😭, qu'est-ce qui se passe ?
    Depuis Congo-kinshasa.

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde 2 месяца назад

    Wasanii wa injili nao wanahitaji kiki kubusti kazi zao au hii imekaaje coz huyo alyezusha kua amekufa lengo lake ni nin huenda ni mipango ilipangwa ili kuishtua jamii 😢😢😢😢 yote yanwezekana ila yey ndo mweny ukweli juu ya hili

  • @MwanaidiKashoda
    @MwanaidiKashoda 2 месяца назад

    MUNGU AKUEPUSHIE BONY WETU

  • @elizabethbwayo
    @elizabethbwayo 2 месяца назад

    Imeniuma Sana bt Glory be to God may you live long

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 2 месяца назад

    Aishi miaka mingi sana mwimbaji wetu😊

  • @kotikashfelister1183
    @kotikashfelister1183 2 месяца назад

    Live Long bro servant of God

  • @nurumaya6497
    @nurumaya6497 2 месяца назад

    Washindwe kabisa waliozusha maneno kama hayo washindwe Kwa jina la yesu

  • @bemsinvestment3781
    @bemsinvestment3781 2 месяца назад

    Ni pepo huyo ashindwe kwa jina la Yesu

  • @joycenyambura4926
    @joycenyambura4926 2 месяца назад

    Thanks God Ako safe I was Soo sad,

  • @queen.christelle1
    @queen.christelle1 2 месяца назад +1

    BONNY MWAITEGE ISHI MIAKA MINGI MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU DUNIANI

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 2 месяца назад

    Dogo wa 2000 unazingua ,sa bony mwaiyege anasahaulikaje 😮

  • @Teaching356
    @Teaching356 2 месяца назад +3

    Walio sema ivo ndo watakufa kabla yake upuuzi mtupu.

  • @barrehotel-q5t
    @barrehotel-q5t 2 месяца назад +2

    Baba bonny mwaitege iishi miaka mingi baba angu

  • @PatrickSaimon-t3l
    @PatrickSaimon-t3l 2 месяца назад

    Daaa Asante mungu

  • @ElssyShivah
    @ElssyShivah 2 месяца назад +1

    Asantiiiiii munguu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CatherineAbiero-b3u
    @CatherineAbiero-b3u 2 месяца назад +5

    Mungu ni mwema kama Yuko hai

  • @agnesmwelu1120
    @agnesmwelu1120 2 месяца назад +3

    Those who are wishing him death back to the sender in the mighty Name of Jesus Christ

  • @MagrethyMalama
    @MagrethyMalama 2 месяца назад +1

    WATU WABAYA SANA KWANINI WANAPENDA KUZUSHIA WENZAO KIFO

  • @rubonekaeric
    @rubonekaeric 2 месяца назад

    Mungu asifiwe kuwa mbonye ako hayi nilikuwa nimeuzunika sana

  • @SALOMENkya-p4y
    @SALOMENkya-p4y 2 месяца назад +1

    Shimo waliokuchimbia watatumbukia wenyewe ishi miaka mingi kaka

  • @GladsOndieki
    @GladsOndieki 2 месяца назад

    Ache mwenyewe akanushe hii tarifa😢

  • @Niika870
    @Niika870 2 месяца назад

    Kumbe huyu Kenge alitengeneza story mwenyewe ili apate Kiki shenzi sana

  • @jacintamafura9246
    @jacintamafura9246 2 месяца назад

    May you live long my brother

  • @nancynyaringita1871
    @nancynyaringita1871 2 месяца назад

    Thanks lord for this🙏🙏🙏

  • @annavincent8269
    @annavincent8269 2 месяца назад +4

    Ishi sana

  • @johnbkimaro
    @johnbkimaro 2 месяца назад

    Hakika Mungu ni mwema

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii 2 месяца назад

    Nlistuka 😢 Hadi moyo umeuma

  • @mamiimakundi4374
    @mamiimakundi4374 2 месяца назад

    Ooh Mungu ni mwema

  • @perisfranklin2918
    @perisfranklin2918 2 месяца назад

    Wale walitowa hizi tarifa wao wafee wao

  • @akwinomsombe
    @akwinomsombe 2 месяца назад

    Habari za kuzushia kifo sio nzuri.

  • @IbrahimKinyua-m1c
    @IbrahimKinyua-m1c 2 месяца назад

    hyo ishidwe Pepo ya kifo kwa mtumishi

  • @StephenMulaaa
    @StephenMulaaa 2 месяца назад

    Kwani huyu bony hufa tu kila mwaka

  • @JemimahDerrick
    @JemimahDerrick 2 месяца назад

    Wakenya wanaeza kua mtu akiwa hai jamani

  • @EZRALWESHA-gn4wm
    @EZRALWESHA-gn4wm 2 месяца назад

    Ushindwe kwa jina la yesu ww uliyepost taarifa hii ya uongo!!!!

  • @sogeasdachoirtunduma8081
    @sogeasdachoirtunduma8081 2 месяца назад

    Hakuwa Kenya alikuwa Tunduma.Huu uongo umetoka wapi

  • @elizabethachieng-r1p
    @elizabethachieng-r1p 2 месяца назад

    Mbona asizungumze yeye

  • @robainaliaka
    @robainaliaka 2 месяца назад

    Live long bro

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 месяца назад

    Ataishi miaka buku huyu jamaa

  • @MoraaWangila-w3e
    @MoraaWangila-w3e 2 месяца назад

    Ishi miaka mingi

  • @emmilykasoha7647
    @emmilykasoha7647 2 месяца назад

    God is good

  • @isaacsamwel6123
    @isaacsamwel6123 2 месяца назад

    Shetani
    ameshindwa pamoja na mipango yake

  • @graceannisha
    @graceannisha 2 месяца назад

    Mwenye alianza kueneza uvumi ulaaniwe kabisa

  • @PlacideRasuli
    @PlacideRasuli 2 месяца назад

    Bonny hajafariki

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 2 месяца назад

    Kwanini mnatupasua roho jamani

  • @OWENFORAGEPICTURES-p8y
    @OWENFORAGEPICTURES-p8y 2 месяца назад

    Watu kwakuzusha😢

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 2 месяца назад

    MAJITU MAJINGA XNA HDI RAHA 🙏🙏🙏

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 2 месяца назад

      😂😂😂😂kweli

  • @petertashjr7548
    @petertashjr7548 2 месяца назад

    Why do people kill others while they are alive. God have mercy

  • @sherryfuraha3076
    @sherryfuraha3076 2 месяца назад

    Live long

  • @Yvonne-hu6zd
    @Yvonne-hu6zd 2 месяца назад

    Nilikua nimeshituka yangu yote

  • @JosephIsanzu-g1r
    @JosephIsanzu-g1r 2 месяца назад

    Ishi miaka Mingi mwamba

  • @emmahmoraa4884
    @emmahmoraa4884 2 месяца назад

    Mbna siamini

  • @andrewdiganyeck
    @andrewdiganyeck 2 месяца назад

    Uzush tu

  • @jullywakhungu7454
    @jullywakhungu7454 2 месяца назад

    Na waliokuua wafe wakuache uishi miaka yako yote

  • @piussogoye
    @piussogoye 2 месяца назад +1

    hizi habar za kifo sana sana zimezushwa na wanabroger wa kenya na baadhi ya midia za kenya.

    • @Pentecost598
      @Pentecost598 2 месяца назад +1

      inawezekana ni kweli hao ndio waliosusha,maana directa kasema bony alikuwa Kenya wakati bony mwaitege alikuwa huku tunduma tangu jumatano mpaka Jana jioni ndo tumemaliza mkutano

  • @BeatriceMursoi
    @BeatriceMursoi 2 месяца назад

    Mnipe number i call him