Wasanii wa injili nao wanahitaji kiki kubusti kazi zao au hii imekaaje coz huyo alyezusha kua amekufa lengo lake ni nin huenda ni mipango ilipangwa ili kuishtua jamii 😢😢😢😢 yote yanwezekana ila yey ndo mweny ukweli juu ya hili
inawezekana ni kweli hao ndio waliosusha,maana directa kasema bony alikuwa Kenya wakati bony mwaitege alikuwa huku tunduma tangu jumatano mpaka Jana jioni ndo tumemaliza mkutano
MUNGU ampe maisha marefu sana🎉🎉🎉🎉
Naombeni like wanaompenda bony mwaitege
@@NUHUONLINETV am from Kenya and I love his songs very much 🔥🔥🔥🥰
sasa hap waomba nn like zitakusaidia nn
Ishi Sana kaka MKUBWA... Na mtumishi wa MUNGU ALIYE HAI
Daaaa Mungu ni mwema maan nliishiwa had nguvu jmn😢 hv kwann watu wanapend kuzushia wenzao kifo
Huyu jamaa ataishi miaka mingi sana na atakuwa na afya njema kwa mda mrefu❤
Mwanzo nilikuwa nikiimin hivo,ikaja kutokea kwa mjomba angu walimzushia baada ya hayo haikuisha hata mwez akafariki
Bony hautakufa mbali utaishi kutangaza wema wa Mungu katika nchi ya walio hai❤❤❤❤❤Hiyo pepo ya kifo ishindwe katika Jina La Yesu✊
Mungu tunakuomba mtumishi wako aishi miaka mingi ❤
Ishi miakaka mingi mtumishi nimeshutuka sana aki😢😢😢Mungu azidi kukutumia❤❤
Mungu akupe maisha marefu , Mtumishi wa MUNGU.
Aisee Na ashukuliwe Mungu anaehusika na maisha yake endelea kuinuliwa katika utumishi hutakufa bali utaishi kutangaza sifa xa Bwana❤❤❤
Bwana akubariki na akuongezee miaka kama Ezekiah vile mungu alimuongezea miaka
Kyala akutule ka mkubwa Bado tunakupenda saana na mungu AKUTUNZE saana Bado tunahitaji huduma yako na mibaraka yako ya uimbaji. 🙏
Tungependa kumsikia Bony Mwaitege mwenyewe tujiridhishe zaidi
Hapa bongo sometimes nyoko sana unaweza hata kuzimia tyu ukajikuta umezikwa......😢😢😂❤ Ila jamani bongo sihami wapi like zangu
Watu waache upuzi wa kutakia wengine mabaya,Mungu akupe maisha marefu mutumishi wa Mungu.
Mungu azidi kumpa maisha marefu
Mungu wambinguni ampe maisha marefu
Ishi miaka mingi brother ❤❤❤
Nilikuwa nimeshtuka sana 😢😢
Ishi sana kaka mwaitege na Mungu azid kukuongoza Kila iitwapo leo
Amen.
Kama yuko hai mungu ni mwema.....aishi mpaka atosheke.
AMEN 🙏 God protect you daddy your my favorite 🎉❤
Mungu nimwema kweli❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen❤❤🎉🎉 ishi maisha marefu kaka
God is good 👍 🙏 🙌 ishi miaka minĝi baba yangu nlkua nmeishiwa nguvu sana 🙏 kwa wanao kutakia mabaya back to the sender in Jesus's name
Huishi miaka mingi mtumishi wa mungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ooh asantee YESU 😢
Its good to denounce those messages in the spiritual realm coz that how the devil works when he wants to destroy someone, pray pray.
Asante uwiiii nilikua nina presha
Weeee mbona watu ni wanafiki kweli
Bony mwaitege alikuwa tunduma kwenye mkutano tumeagana nae Jana jioni viwanja vya shule ya msingi tunduma.
Jana jioni Tunduma, kwahiyo Kenya alienda kuhudumu usiku? Maana mkewe hapa anaseka kesharudi leo toka Kenya, yupo nyumbani.
@@sihamdemu4412 ni kweli hata Mimi nikesikia mke akisema Yuko kenya,ila ukiingia RUclips saiv utasikia akizungumza na mirad ayo kuwa alienda Kenya akaenda Burundi akaenda tabora akaenda mpanda Kisha sumbawanga halafu akaja tunduma
Sasa jamani wengine wanasema alikuwa tunduma au kenya.duuuu tumuombee mtumishi wa mungu.
@@mosessolo7387 hata ukisikiliza mazungumzo yake anasema alianza Kenya akaenda Burundi Kisha tabora baadae mpanda,sumbawanga mpaka tunduma
Jamani kama ni mzima boni jina la Bwana libalikiwe daima
Na vile nimeudhika kusikia amekufa Asante mungu 🙏
Mungu akuweke
Kyala akutule broooo washidwe hao wazushi
He will never die young in Jesus name amefunikwa na damu ya yesu😢
Eh! Yesu🇨🇩💔😭, qu'est-ce qui se passe ?
Depuis Congo-kinshasa.
Wasanii wa injili nao wanahitaji kiki kubusti kazi zao au hii imekaaje coz huyo alyezusha kua amekufa lengo lake ni nin huenda ni mipango ilipangwa ili kuishtua jamii 😢😢😢😢 yote yanwezekana ila yey ndo mweny ukweli juu ya hili
MUNGU AKUEPUSHIE BONY WETU
Imeniuma Sana bt Glory be to God may you live long
Aishi miaka mingi sana mwimbaji wetu😊
Live Long bro servant of God
Washindwe kabisa waliozusha maneno kama hayo washindwe Kwa jina la yesu
Ni pepo huyo ashindwe kwa jina la Yesu
Thanks God Ako safe I was Soo sad,
BONNY MWAITEGE ISHI MIAKA MINGI MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU DUNIANI
Dogo wa 2000 unazingua ,sa bony mwaiyege anasahaulikaje 😮
Walio sema ivo ndo watakufa kabla yake upuuzi mtupu.
Baba bonny mwaitege iishi miaka mingi baba angu
Daaa Asante mungu
Asantiiiiii munguu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema kama Yuko hai
Those who are wishing him death back to the sender in the mighty Name of Jesus Christ
Amen
WATU WABAYA SANA KWANINI WANAPENDA KUZUSHIA WENZAO KIFO
Mungu asifiwe kuwa mbonye ako hayi nilikuwa nimeuzunika sana
Shimo waliokuchimbia watatumbukia wenyewe ishi miaka mingi kaka
Ache mwenyewe akanushe hii tarifa😢
Kumbe huyu Kenge alitengeneza story mwenyewe ili apate Kiki shenzi sana
May you live long my brother
Thanks lord for this🙏🙏🙏
Ishi sana
Hakika Mungu ni mwema
Nlistuka 😢 Hadi moyo umeuma
Ooh Mungu ni mwema
Wale walitowa hizi tarifa wao wafee wao
Habari za kuzushia kifo sio nzuri.
hyo ishidwe Pepo ya kifo kwa mtumishi
Kwani huyu bony hufa tu kila mwaka
Wakenya wanaeza kua mtu akiwa hai jamani
Ushindwe kwa jina la yesu ww uliyepost taarifa hii ya uongo!!!!
Hakuwa Kenya alikuwa Tunduma.Huu uongo umetoka wapi
Mbona asizungumze yeye
Live long bro
Ataishi miaka buku huyu jamaa
Ishi miaka mingi
God is good
Shetani
ameshindwa pamoja na mipango yake
Mwenye alianza kueneza uvumi ulaaniwe kabisa
Bonny hajafariki
Kwanini mnatupasua roho jamani
Watu kwakuzusha😢
MAJITU MAJINGA XNA HDI RAHA 🙏🙏🙏
😂😂😂😂kweli
Why do people kill others while they are alive. God have mercy
Live long
Nilikua nimeshituka yangu yote
Ishi miaka Mingi mwamba
Mbna siamini
Uzush tu
Na waliokuua wafe wakuache uishi miaka yako yote
hizi habar za kifo sana sana zimezushwa na wanabroger wa kenya na baadhi ya midia za kenya.
inawezekana ni kweli hao ndio waliosusha,maana directa kasema bony alikuwa Kenya wakati bony mwaitege alikuwa huku tunduma tangu jumatano mpaka Jana jioni ndo tumemaliza mkutano
Mnipe number i call him